20 PACENT Aomba msaada kwa HARMONIZE/ Nisaidie mdogoangu NITAKUFA Alia na DIAMOND kanipoteza..
#TOPLEVELTZ
Жүктеу.....
Пікірлер: 367
@alfredbalazire3 жыл бұрын
Laiti ningekuwa na kipato ningekuwezesha kaka, unanikoshaga sana roho, heshima kwako
@dotnatajoseph26203 жыл бұрын
Umemjibu vizur sana hata mama yake atakukumbuka Safi bro nimekupend anajua umepotea kwenye gem alafu anakutia hasir jib zur linamfaa
@monicamonica45973 жыл бұрын
Daaaa umekonda unaonekana una mawazo njoo tena tumekumisi bwana nyimbo zako 😍😍miss u ukuje
@ambroceharouna1612
7 ай бұрын
Ndo mwili wake
@kozzomix1203 жыл бұрын
uujama 20% yuponahakiri nyingi sana anajibu kama msomi wakujielewa big up bro wew ni noma kabisa
@omosh20233 жыл бұрын
Jamaa ana maarifa sana huyu. Big up 20%
@mathiewdume72023 жыл бұрын
Big up sana bro kwa majibu uliowapa, respect sana
@taekwondotrainingandsparri30333 жыл бұрын
Naitwa Phenias kutoka Burundi, mimi ni Mfans wa 20% kwa ngoma zake pamoja na Movies zake,, Furaha iko wapi? I wish to meet 20%!!
@christinakihwele1950
3 жыл бұрын
Nyimbo zake ninazipenda sana zina ujumbe mnzuri sana
@sarahogama95403 жыл бұрын
Ooooh mmyyyy God msanii wangu nambari moja..celeb wangu mkubwa maskini kwani ulikwamia wapi jamani nyimbo zake zilikua za mafunzo wallahi
@gaspertsori69793 жыл бұрын
nice one 20% support you from kenya
@makobamakoba44653 жыл бұрын
Dah! Huyu jamaa ana akili nyingi sana
@ramadhanruhogore32593 жыл бұрын
Nampenda sana twenty nimefulahi kumuona tena
@bigstonemichanoclassibaby79893 жыл бұрын
20 pacent tunakubali sana,muito obrigado meu fa
@halimasulaimani8483 жыл бұрын
Majibu ya kujiamini sana❤️❤️👌mtangazaji unaumwa nguvu😝😝usipanic😆😆😆😜mtangazaji mpk kasahau maswali😄😄😄
@baysaidotv15183 жыл бұрын
Kutoka Congo drc mimi ni fan Wa 20% natuna hamu yakusikiya wimbo wake mpya, ebu Nipeni likes kama naongeya ukweli
@pittermushi8798
3 жыл бұрын
6319
@gedionraison2402
3 жыл бұрын
20 unajua kujieleza upo vzr sana
@sharinv88643 жыл бұрын
20% you are wright very right.
@salymkitumbika86443 жыл бұрын
Dah huyo waki haponyuma anajikuta Teeemba na stick mdomoni mixer kubenjua domo az if yeye ndo 20% namuona anaforce ubodyguard next time mawack kama hao muwaweke kando asee sio wanauzauza nyago kireeee big up Asilimaileeee 20%
@maikomgwao4906
3 жыл бұрын
Hahaha kamati ya uchunguzi
@bernardrioba84133 жыл бұрын
20% may God bless u bro,napenda sana mziki wako...umeenda kimia kwa mda, Mimi fan wako kutoka Kenya wapendwa sana
@youngsimbawcb18143 жыл бұрын
20% ni fire big up,and intelligence,,,,,, akili kubwa twenty!!!!!
@ShukuruMuhindo-es2rh4 ай бұрын
Namukubali sana alikuwa akitunga nyimbo nzuri sana.
@kimpalambapj3 жыл бұрын
I miss him so much, 20% Dah, can't believe this man is no longer in the world of music. So 😔 Backup brother. Tanzanians need your service, your message. Bro unajua, bro una kila kitu ktk music. Unajua jamii inataka nini, na ipewe nini ili kufika mbali.
@user-mp4ff3rh2s8 ай бұрын
Nakubari sana broo life life 🙏 to you
@zaijack47193 жыл бұрын
Mbona kama umepiga tungu , Huyu jamaa wa T-shirt nyeus mibangi 🔥🔥😂😂
@majaliwataidin6921
3 жыл бұрын
Nkajua nmeona peke yangu
@khalidndemo4386
3 жыл бұрын
Anaboa kuonekana hapo , bangi tupu
@rsshidmnkonje74323 жыл бұрын
Namkubali Sana 20% kuliko msanii yeyote yule
@monicamonica45973 жыл бұрын
Swali najibu dadeki chezea 20%atari Sana love you ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
@anthonyissa16603 жыл бұрын
Aiseee ilijamaa shida sana nunda like nyingi kwa20%
@komandoajadondokmtinya1381
3 жыл бұрын
eshima kwako 20
@darenmboma3952
3 жыл бұрын
Ongera xana kwa kazi dg
@kimaaykimaay67572 жыл бұрын
20 uko sawa kabisa nakuaminia can bradha
@estarwille82723 жыл бұрын
Nakukubali sana mwanang 20%lud BA's jaman tumekumiss sana
@godsosmukama59583 жыл бұрын
20% nikupe pole tu kwamba Kiburi, Majivuno na Kutojali vilikuondoa kwenye Ramani ya Music. Mdogo wangu katika Wasanii wenye nyimbo nzuri zenye Ujumbe wenye Mafunzo siwezi kuacha kulitaja jina lako. Waliokupandisha ndo hao hao waliokushusha nakukumbuka sana kwa nyimbo zako.
@moshimkumba3205
3 жыл бұрын
U
@ambroceharouna1612
7 ай бұрын
Oneni hili senge
@ivanmejar18043 жыл бұрын
am from Kenya I love 20% for nothing end I love ur songs
@hawaheri58333 жыл бұрын
Nakupenda sana
@abrahamaxcel53343 жыл бұрын
20 alikataa USA nafsi yake kwa shetani ndomàn iko ivo but kipaji kiko tuu, basi ningelishauri a tumikie Mungu atamuinuwa
@joelcryptomarket3 жыл бұрын
Namkubali 20% toka Congo
@frenklubago57483 жыл бұрын
Jamaaa yuko vizuri kimajibu 20 yuko poa kifkra sana
@phineruge34803 жыл бұрын
Nimekumiss sn 20% kwani wewe ndo ulikuwa na nyimbo zenye Jumbe nzr ktk jamii unasikiza na kuangalia hata Uwe na Wakwezo, Baba , Mama Watoto na Wajukuu unakaa kwa kujiamini😍😍😍😘😘😘👏👏👏👏
@mahmoodalghefeili5370
3 жыл бұрын
chechee jee na litawachomaa😃😄😃😄
@sergekabuka14133 жыл бұрын
Courage Kaka nasepeli pona yo
@kimpalambapj3 жыл бұрын
You're a brilliant man, 20% You know how not only attempting the propaganda questions but also showing how hero you are. Salute.
@miltonmiltonpaulo34363 жыл бұрын
Good twenty
@augustinzionmanirambona9693 жыл бұрын
Nkupenda twenty umeimba nyimboo zamaaanaaa tafauti na leo ni matusi tuu...
@yesunimwema44973 жыл бұрын
Maji ya 20 yame nichekesha🤣😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@jaylovemangapi9202 Жыл бұрын
Nakubali sana kaka 20/*
@bahatiathumani88223 жыл бұрын
Uko vizuri siku zote kun maboga umu yatadàut oi pitaa,,twent uko poa
@pepyeddy80173 жыл бұрын
Daa namkubali sana 20 muziki wake hata mashehe watausikiliza haporoji anaweza sanaaa
@egideniyonkuru97053 жыл бұрын
Huyu mushkaki kapotelea wapi tulikuwa tumekum6 bro ngoma zako ni kali kbs ila siku hiz mbona hauko vip mjuba imekuwaje xaxa rudi tena utuburudishe na mambo ya kisas Burundi tunakubali sana🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@onesmoayesiga72663 жыл бұрын
Twenyty m nakupenda bure
@user-ry7po6dk5h6 ай бұрын
Nagupenda 20% binatakia urudi kwenye muziki
@awinhaadrianavicente78803 жыл бұрын
Tweet parcent você foi grande homem na música tanzaniana, parabéns irmão
@godfreyjoel11613 жыл бұрын
Nakuelewa xn jembeeeeeeee wellcome again brother!!!!
@yodenntulo87983 жыл бұрын
Maswali yanaonekana magumu,lakin sekunde haipiti jibu linapatikana la uhakika.
@abdalamomade85863 жыл бұрын
Kkkkkkk isso é verdade brow,naquele tempo goxtavamox
@user-rv1kz2dj1n11 ай бұрын
20% wangu rafiki Akili zako ndo kazi kwao 😅😅❤❤💪✅
@BandaClassicBarbers3 жыл бұрын
Fundi Kama fundi Naelewa xna Kaz zako brother Come back mungu atakucmamia 🤲🤲🤲🤲 Pia kwa hayo majibu uliyo wapatia Hakika huna mpinzani kabixa 20%🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@yasodishonest97923 жыл бұрын
Umependeza sana 20.pendasana
@saragdominic4025
3 жыл бұрын
Umetisha 20%
@sophiajumanollo55873 жыл бұрын
Nimeyapenda majbu yko twenty hongera unajiamin sana
@markodhiambo60163 жыл бұрын
20% anajibu maswali kama Yesu Mtakatifu....
@christelle96903 жыл бұрын
Good sir
@yusuphnyon71783 жыл бұрын
No comment
@paulwilson-hc4ey3 жыл бұрын
😂❣️😂😂😂20 jamaa Unamaswali 😂😂 kashika Mike mbili😂
@tatushebe58473 жыл бұрын
Love u2 ,20 mungu akulinde
@sharoombay89973 жыл бұрын
Asante 20. Majibu mazuri.
@paulmbata92023 жыл бұрын
20% namuelewa kinoma kwani anajua kujieleza vinzuri kwanza ana confidence kubwa ya kujieleza
@simbampole48513 жыл бұрын
Nakuku bar Sana 20%
@oj-qw4yc3 жыл бұрын
Biggest fun mukubwa u the best
@anwarigod16673 жыл бұрын
Kiukweli brother kipndi cha nyuma alifanya poa sana namkubali sana
@hatibumsindo29153 жыл бұрын
20 uko sahihi Sana huyo mwandishi mwingine Ana mawenge sana
@reubenismail36723 жыл бұрын
20per ulikuwa vzr Sana lkn ulikosea wapi?wewe jembe pambana bhana mungu atakusaidia!
@omarikilagu41013 жыл бұрын
Hilo lililo kaa nyuma ya twety Lina mikwala 😬yani bangi tupu apo 😀😀😎
@priscamashauri72263 жыл бұрын
Unaimba vizuri saana ila ucje kutuimbia matus kama wasanii wasasa maana tunashindwa kuskiliza na watt.
@joyjilien5432
3 жыл бұрын
Prisca Mashauri kweliii kabisa kwa ss hamna kitu lkn huyo 20 huaga haimbi matusi labda abadilike,,,,na watu nao sio wazurii huaga wanasapot matusi wakashindwa kusapoti wasanii wazuri
@bukaone75073 жыл бұрын
Big up, 20%
@boasmbwaga83623 жыл бұрын
Jamaa linamaneno fact
@faumamakwaia50953 жыл бұрын
Nice
@batatabatata99903 жыл бұрын
Nakubali broo kwa maneno yako mazito yamenichoma xaxa
@eilinli78463 жыл бұрын
Nilijuw kafa kumbe uongo jamani. Mung akup nguvu uendelee kz yako InshaAllah
@mwajumaomari3038
3 жыл бұрын
Hata mimi nimeshangaa nilijua hayupo duniani
@mangapineema7652
3 жыл бұрын
Acheni nicheke
@youngdira15847 ай бұрын
😂😂😂😂 daahh ila twenty..very wise
@RibinByamunguАй бұрын
Tuna kubali
@FaridaNgitu4 ай бұрын
Achana nae uyo mjinga uyo anakuchosha kaka angu
@faumamakwaia50953 жыл бұрын
Omeongea point sana sana
@lovechance29053 жыл бұрын
20% kweli Mungu akulinde, nakuamini ki mziki
@yodenntulo87983 жыл бұрын
Nilikukumbuka saaaana 20℅, ki muziki ulikua vizuri na majibu yako nimeyakubali.
@charlessalehe12863 жыл бұрын
hahahahaaaaaa,nikumbuke kwa kitu ambacho mama yako ana kikumbuka
@poshoramadhani3 жыл бұрын
Upo sahihi brother big up sana kwa majibu uliyo wapi
@khadijayusuph93163 жыл бұрын
20% ww n mkal na hilo halina ubshi broo ila kubali tu kama umepotea kwa kushuka kimzk na umekonda sana pole kwa stress braza
@yasiniselemani66663 жыл бұрын
Nakubali sana twenti maneno yakishujaaa
@christinakihwele19503 жыл бұрын
Jamani Baba Neema mbona kimya sana ?
@suleimanngoi46513 жыл бұрын
#furaha iko wap?
@abrahamsnoopdog59293 жыл бұрын
Usipo ongeleshwa utaongea nni 😃😃 20 bwana
@goldsilver5897 ай бұрын
Kaka 20% akili nyingi 😂😂😂
@karainejlo87063 жыл бұрын
Big up 20 %
@lovechance29053 жыл бұрын
Kwenye Africa nzima, nimeamini mziki wako nasiulinganishe n'a wengine, nyimbo zako n'a fimbo natembelea
Пікірлер: 367
Laiti ningekuwa na kipato ningekuwezesha kaka, unanikoshaga sana roho, heshima kwako
Umemjibu vizur sana hata mama yake atakukumbuka Safi bro nimekupend anajua umepotea kwenye gem alafu anakutia hasir jib zur linamfaa
Daaaa umekonda unaonekana una mawazo njoo tena tumekumisi bwana nyimbo zako 😍😍miss u ukuje
@ambroceharouna1612
7 ай бұрын
Ndo mwili wake
uujama 20% yuponahakiri nyingi sana anajibu kama msomi wakujielewa big up bro wew ni noma kabisa
Jamaa ana maarifa sana huyu. Big up 20%
Big up sana bro kwa majibu uliowapa, respect sana
Naitwa Phenias kutoka Burundi, mimi ni Mfans wa 20% kwa ngoma zake pamoja na Movies zake,, Furaha iko wapi? I wish to meet 20%!!
@christinakihwele1950
3 жыл бұрын
Nyimbo zake ninazipenda sana zina ujumbe mnzuri sana
Ooooh mmyyyy God msanii wangu nambari moja..celeb wangu mkubwa maskini kwani ulikwamia wapi jamani nyimbo zake zilikua za mafunzo wallahi
nice one 20% support you from kenya
Dah! Huyu jamaa ana akili nyingi sana
Nampenda sana twenty nimefulahi kumuona tena
20 pacent tunakubali sana,muito obrigado meu fa
Majibu ya kujiamini sana❤️❤️👌mtangazaji unaumwa nguvu😝😝usipanic😆😆😆😜mtangazaji mpk kasahau maswali😄😄😄
Kutoka Congo drc mimi ni fan Wa 20% natuna hamu yakusikiya wimbo wake mpya, ebu Nipeni likes kama naongeya ukweli
@pittermushi8798
3 жыл бұрын
6319
@gedionraison2402
3 жыл бұрын
20 unajua kujieleza upo vzr sana
20% you are wright very right.
Dah huyo waki haponyuma anajikuta Teeemba na stick mdomoni mixer kubenjua domo az if yeye ndo 20% namuona anaforce ubodyguard next time mawack kama hao muwaweke kando asee sio wanauzauza nyago kireeee big up Asilimaileeee 20%
@maikomgwao4906
3 жыл бұрын
Hahaha kamati ya uchunguzi
20% may God bless u bro,napenda sana mziki wako...umeenda kimia kwa mda, Mimi fan wako kutoka Kenya wapendwa sana
20% ni fire big up,and intelligence,,,,,, akili kubwa twenty!!!!!
Namukubali sana alikuwa akitunga nyimbo nzuri sana.
I miss him so much, 20% Dah, can't believe this man is no longer in the world of music. So 😔 Backup brother. Tanzanians need your service, your message. Bro unajua, bro una kila kitu ktk music. Unajua jamii inataka nini, na ipewe nini ili kufika mbali.
Nakubari sana broo life life 🙏 to you
Mbona kama umepiga tungu , Huyu jamaa wa T-shirt nyeus mibangi 🔥🔥😂😂
@majaliwataidin6921
3 жыл бұрын
Nkajua nmeona peke yangu
@khalidndemo4386
3 жыл бұрын
Anaboa kuonekana hapo , bangi tupu
Namkubali Sana 20% kuliko msanii yeyote yule
Swali najibu dadeki chezea 20%atari Sana love you ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Aiseee ilijamaa shida sana nunda like nyingi kwa20%
@komandoajadondokmtinya1381
3 жыл бұрын
eshima kwako 20
@darenmboma3952
3 жыл бұрын
Ongera xana kwa kazi dg
20 uko sawa kabisa nakuaminia can bradha
Nakukubali sana mwanang 20%lud BA's jaman tumekumiss sana
20% nikupe pole tu kwamba Kiburi, Majivuno na Kutojali vilikuondoa kwenye Ramani ya Music. Mdogo wangu katika Wasanii wenye nyimbo nzuri zenye Ujumbe wenye Mafunzo siwezi kuacha kulitaja jina lako. Waliokupandisha ndo hao hao waliokushusha nakukumbuka sana kwa nyimbo zako.
@moshimkumba3205
3 жыл бұрын
U
@ambroceharouna1612
7 ай бұрын
Oneni hili senge
am from Kenya I love 20% for nothing end I love ur songs
Nakupenda sana
20 alikataa USA nafsi yake kwa shetani ndomàn iko ivo but kipaji kiko tuu, basi ningelishauri a tumikie Mungu atamuinuwa
Namkubali 20% toka Congo
Jamaaa yuko vizuri kimajibu 20 yuko poa kifkra sana
Nimekumiss sn 20% kwani wewe ndo ulikuwa na nyimbo zenye Jumbe nzr ktk jamii unasikiza na kuangalia hata Uwe na Wakwezo, Baba , Mama Watoto na Wajukuu unakaa kwa kujiamini😍😍😍😘😘😘👏👏👏👏
@mahmoodalghefeili5370
3 жыл бұрын
chechee jee na litawachomaa😃😄😃😄
Courage Kaka nasepeli pona yo
You're a brilliant man, 20% You know how not only attempting the propaganda questions but also showing how hero you are. Salute.
Good twenty
Nkupenda twenty umeimba nyimboo zamaaanaaa tafauti na leo ni matusi tuu...
Maji ya 20 yame nichekesha🤣😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nakubali sana kaka 20/*
Uko vizuri siku zote kun maboga umu yatadàut oi pitaa,,twent uko poa
Daa namkubali sana 20 muziki wake hata mashehe watausikiliza haporoji anaweza sanaaa
Huyu mushkaki kapotelea wapi tulikuwa tumekum6 bro ngoma zako ni kali kbs ila siku hiz mbona hauko vip mjuba imekuwaje xaxa rudi tena utuburudishe na mambo ya kisas Burundi tunakubali sana🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Twenyty m nakupenda bure
Nagupenda 20% binatakia urudi kwenye muziki
Tweet parcent você foi grande homem na música tanzaniana, parabéns irmão
Nakuelewa xn jembeeeeeeee wellcome again brother!!!!
Maswali yanaonekana magumu,lakin sekunde haipiti jibu linapatikana la uhakika.
Kkkkkkk isso é verdade brow,naquele tempo goxtavamox
20% wangu rafiki Akili zako ndo kazi kwao 😅😅❤❤💪✅
Fundi Kama fundi Naelewa xna Kaz zako brother Come back mungu atakucmamia 🤲🤲🤲🤲 Pia kwa hayo majibu uliyo wapatia Hakika huna mpinzani kabixa 20%🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Umependeza sana 20.pendasana
@saragdominic4025
3 жыл бұрын
Umetisha 20%
Nimeyapenda majbu yko twenty hongera unajiamin sana
20% anajibu maswali kama Yesu Mtakatifu....
Good sir
No comment
😂❣️😂😂😂20 jamaa Unamaswali 😂😂 kashika Mike mbili😂
Love u2 ,20 mungu akulinde
Asante 20. Majibu mazuri.
20% namuelewa kinoma kwani anajua kujieleza vinzuri kwanza ana confidence kubwa ya kujieleza
Nakuku bar Sana 20%
Biggest fun mukubwa u the best
Kiukweli brother kipndi cha nyuma alifanya poa sana namkubali sana
20 uko sahihi Sana huyo mwandishi mwingine Ana mawenge sana
20per ulikuwa vzr Sana lkn ulikosea wapi?wewe jembe pambana bhana mungu atakusaidia!
Hilo lililo kaa nyuma ya twety Lina mikwala 😬yani bangi tupu apo 😀😀😎
Unaimba vizuri saana ila ucje kutuimbia matus kama wasanii wasasa maana tunashindwa kuskiliza na watt.
@joyjilien5432
3 жыл бұрын
Prisca Mashauri kweliii kabisa kwa ss hamna kitu lkn huyo 20 huaga haimbi matusi labda abadilike,,,,na watu nao sio wazurii huaga wanasapot matusi wakashindwa kusapoti wasanii wazuri
Big up, 20%
Jamaa linamaneno fact
Nice
Nakubali broo kwa maneno yako mazito yamenichoma xaxa
Nilijuw kafa kumbe uongo jamani. Mung akup nguvu uendelee kz yako InshaAllah
@mwajumaomari3038
3 жыл бұрын
Hata mimi nimeshangaa nilijua hayupo duniani
@mangapineema7652
3 жыл бұрын
Acheni nicheke
😂😂😂😂 daahh ila twenty..very wise
Tuna kubali
Achana nae uyo mjinga uyo anakuchosha kaka angu
Omeongea point sana sana
20% kweli Mungu akulinde, nakuamini ki mziki
Nilikukumbuka saaaana 20℅, ki muziki ulikua vizuri na majibu yako nimeyakubali.
hahahahaaaaaa,nikumbuke kwa kitu ambacho mama yako ana kikumbuka
Upo sahihi brother big up sana kwa majibu uliyo wapi
20% ww n mkal na hilo halina ubshi broo ila kubali tu kama umepotea kwa kushuka kimzk na umekonda sana pole kwa stress braza
Nakubali sana twenti maneno yakishujaaa
Jamani Baba Neema mbona kimya sana ?
#furaha iko wap?
Usipo ongeleshwa utaongea nni 😃😃 20 bwana
Kaka 20% akili nyingi 😂😂😂
Big up 20 %
Kwenye Africa nzima, nimeamini mziki wako nasiulinganishe n'a wengine, nyimbo zako n'a fimbo natembelea
@wilsongeorge9974
3 жыл бұрын
Kala jerimiah Ndani Ya kampeni
20% 💞💞💞💞💞
Nice 20%
Daaahhh
Amepandishaaa kweliiii hiyooo,huhuhuhuhuhuhuhuhuhuhuhuhuhuhu!!!!!!!
Huyu aliye nyuma ya Twenty ni usalama wa 20%
@kingwigo2961
3 жыл бұрын
😁😁😁😁
@asiamwangxx3413
3 жыл бұрын
Kwe kwe kwe kwe
@naamohamed9964
3 жыл бұрын
😃😃😃😃😃
20% ni Rasta uyo kwa majibu hayo nime kukubali 20%
anajua kujieleza ni noma😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
20pacent pamoja sana kaka
Maisha Ni hatua Hakika Kaka utarudi tu kwenye game
@victorkahimbi5866
3 жыл бұрын
Mungu atakusaidia tyu utalud mchezon
Big up
Huyo Raster aliharibu hii vedio,coz wajua kama watu wachukua vedio ya mtu haistali nyuma ya mtu kusiwe na mwengine.
@phineruge3480
3 жыл бұрын
Nahisi atakua Bodyguard wa 20%😀😀😀
20 pacent ni mkali sana! Hahaa nyie watangazaji mkicheza mnawashwa vibao
@christelle9690
3 жыл бұрын
Yes