20 PACENT Aomba msaada kwa HARMONIZE/ Nisaidie mdogoangu NITAKUFA Alia na DIAMOND kanipoteza..

#TOPLEVELTZ

Пікірлер: 367

  • @alfredbalazire
    @alfredbalazire3 жыл бұрын

    Laiti ningekuwa na kipato ningekuwezesha kaka, unanikoshaga sana roho, heshima kwako

  • @dotnatajoseph2620
    @dotnatajoseph26203 жыл бұрын

    Umemjibu vizur sana hata mama yake atakukumbuka Safi bro nimekupend anajua umepotea kwenye gem alafu anakutia hasir jib zur linamfaa

  • @monicamonica4597
    @monicamonica45973 жыл бұрын

    Daaaa umekonda unaonekana una mawazo njoo tena tumekumisi bwana nyimbo zako 😍😍miss u ukuje

  • @ambroceharouna1612

    @ambroceharouna1612

    7 ай бұрын

    Ndo mwili wake

  • @kozzomix120
    @kozzomix1203 жыл бұрын

    uujama 20% yuponahakiri nyingi sana anajibu kama msomi wakujielewa big up bro wew ni noma kabisa

  • @omosh2023
    @omosh20233 жыл бұрын

    Jamaa ana maarifa sana huyu. Big up 20%

  • @mathiewdume7202
    @mathiewdume72023 жыл бұрын

    Big up sana bro kwa majibu uliowapa, respect sana

  • @taekwondotrainingandsparri3033
    @taekwondotrainingandsparri30333 жыл бұрын

    Naitwa Phenias kutoka Burundi, mimi ni Mfans wa 20% kwa ngoma zake pamoja na Movies zake,, Furaha iko wapi? I wish to meet 20%!!

  • @christinakihwele1950

    @christinakihwele1950

    3 жыл бұрын

    Nyimbo zake ninazipenda sana zina ujumbe mnzuri sana

  • @sarahogama9540
    @sarahogama95403 жыл бұрын

    Ooooh mmyyyy God msanii wangu nambari moja..celeb wangu mkubwa maskini kwani ulikwamia wapi jamani nyimbo zake zilikua za mafunzo wallahi

  • @gaspertsori6979
    @gaspertsori69793 жыл бұрын

    nice one 20% support you from kenya

  • @makobamakoba4465
    @makobamakoba44653 жыл бұрын

    Dah! Huyu jamaa ana akili nyingi sana

  • @ramadhanruhogore3259
    @ramadhanruhogore32593 жыл бұрын

    Nampenda sana twenty nimefulahi kumuona tena

  • @bigstonemichanoclassibaby7989
    @bigstonemichanoclassibaby79893 жыл бұрын

    20 pacent tunakubali sana,muito obrigado meu fa

  • @halimasulaimani848
    @halimasulaimani8483 жыл бұрын

    Majibu ya kujiamini sana❤️❤️👌mtangazaji unaumwa nguvu😝😝usipanic😆😆😆😜mtangazaji mpk kasahau maswali😄😄😄

  • @baysaidotv1518
    @baysaidotv15183 жыл бұрын

    Kutoka Congo drc mimi ni fan Wa 20% natuna hamu yakusikiya wimbo wake mpya, ebu Nipeni likes kama naongeya ukweli

  • @pittermushi8798

    @pittermushi8798

    3 жыл бұрын

    6319

  • @gedionraison2402

    @gedionraison2402

    3 жыл бұрын

    20 unajua kujieleza upo vzr sana

  • @sharinv8864
    @sharinv88643 жыл бұрын

    20% you are wright very right.

  • @salymkitumbika8644
    @salymkitumbika86443 жыл бұрын

    Dah huyo waki haponyuma anajikuta Teeemba na stick mdomoni mixer kubenjua domo az if yeye ndo 20% namuona anaforce ubodyguard next time mawack kama hao muwaweke kando asee sio wanauzauza nyago kireeee big up Asilimaileeee 20%

  • @maikomgwao4906

    @maikomgwao4906

    3 жыл бұрын

    Hahaha kamati ya uchunguzi

  • @bernardrioba8413
    @bernardrioba84133 жыл бұрын

    20% may God bless u bro,napenda sana mziki wako...umeenda kimia kwa mda, Mimi fan wako kutoka Kenya wapendwa sana

  • @youngsimbawcb1814
    @youngsimbawcb18143 жыл бұрын

    20% ni fire big up,and intelligence,,,,,, akili kubwa twenty!!!!!

  • @ShukuruMuhindo-es2rh
    @ShukuruMuhindo-es2rh4 ай бұрын

    Namukubali sana alikuwa akitunga nyimbo nzuri sana.

  • @kimpalambapj
    @kimpalambapj3 жыл бұрын

    I miss him so much, 20% Dah, can't believe this man is no longer in the world of music. So 😔 Backup brother. Tanzanians need your service, your message. Bro unajua, bro una kila kitu ktk music. Unajua jamii inataka nini, na ipewe nini ili kufika mbali.

  • @user-mp4ff3rh2s
    @user-mp4ff3rh2s8 ай бұрын

    Nakubari sana broo life life 🙏 to you

  • @zaijack4719
    @zaijack47193 жыл бұрын

    Mbona kama umepiga tungu , Huyu jamaa wa T-shirt nyeus mibangi 🔥🔥😂😂

  • @majaliwataidin6921

    @majaliwataidin6921

    3 жыл бұрын

    Nkajua nmeona peke yangu

  • @khalidndemo4386

    @khalidndemo4386

    3 жыл бұрын

    Anaboa kuonekana hapo , bangi tupu

  • @rsshidmnkonje7432
    @rsshidmnkonje74323 жыл бұрын

    Namkubali Sana 20% kuliko msanii yeyote yule

  • @monicamonica4597
    @monicamonica45973 жыл бұрын

    Swali najibu dadeki chezea 20%atari Sana love you ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @anthonyissa1660
    @anthonyissa16603 жыл бұрын

    Aiseee ilijamaa shida sana nunda like nyingi kwa20%

  • @komandoajadondokmtinya1381

    @komandoajadondokmtinya1381

    3 жыл бұрын

    eshima kwako 20

  • @darenmboma3952

    @darenmboma3952

    3 жыл бұрын

    Ongera xana kwa kazi dg

  • @kimaaykimaay6757
    @kimaaykimaay67572 жыл бұрын

    20 uko sawa kabisa nakuaminia can bradha

  • @estarwille8272
    @estarwille82723 жыл бұрын

    Nakukubali sana mwanang 20%lud BA's jaman tumekumiss sana

  • @godsosmukama5958
    @godsosmukama59583 жыл бұрын

    20% nikupe pole tu kwamba Kiburi, Majivuno na Kutojali vilikuondoa kwenye Ramani ya Music. Mdogo wangu katika Wasanii wenye nyimbo nzuri zenye Ujumbe wenye Mafunzo siwezi kuacha kulitaja jina lako. Waliokupandisha ndo hao hao waliokushusha nakukumbuka sana kwa nyimbo zako.

  • @moshimkumba3205

    @moshimkumba3205

    3 жыл бұрын

    U

  • @ambroceharouna1612

    @ambroceharouna1612

    7 ай бұрын

    Oneni hili senge

  • @ivanmejar1804
    @ivanmejar18043 жыл бұрын

    am from Kenya I love 20% for nothing end I love ur songs

  • @hawaheri5833
    @hawaheri58333 жыл бұрын

    Nakupenda sana

  • @abrahamaxcel5334
    @abrahamaxcel53343 жыл бұрын

    20 alikataa USA nafsi yake kwa shetani ndomàn iko ivo but kipaji kiko tuu, basi ningelishauri a tumikie Mungu atamuinuwa

  • @joelcryptomarket
    @joelcryptomarket3 жыл бұрын

    Namkubali 20% toka Congo

  • @frenklubago5748
    @frenklubago57483 жыл бұрын

    Jamaaa yuko vizuri kimajibu 20 yuko poa kifkra sana

  • @phineruge3480
    @phineruge34803 жыл бұрын

    Nimekumiss sn 20% kwani wewe ndo ulikuwa na nyimbo zenye Jumbe nzr ktk jamii unasikiza na kuangalia hata Uwe na Wakwezo, Baba , Mama Watoto na Wajukuu unakaa kwa kujiamini😍😍😍😘😘😘👏👏👏👏

  • @mahmoodalghefeili5370

    @mahmoodalghefeili5370

    3 жыл бұрын

    chechee jee na litawachomaa😃😄😃😄

  • @sergekabuka1413
    @sergekabuka14133 жыл бұрын

    Courage Kaka nasepeli pona yo

  • @kimpalambapj
    @kimpalambapj3 жыл бұрын

    You're a brilliant man, 20% You know how not only attempting the propaganda questions but also showing how hero you are. Salute.

  • @miltonmiltonpaulo3436
    @miltonmiltonpaulo34363 жыл бұрын

    Good twenty

  • @augustinzionmanirambona969
    @augustinzionmanirambona9693 жыл бұрын

    Nkupenda twenty umeimba nyimboo zamaaanaaa tafauti na leo ni matusi tuu...

  • @yesunimwema4497
    @yesunimwema44973 жыл бұрын

    Maji ya 20 yame nichekesha🤣😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @jaylovemangapi9202
    @jaylovemangapi9202 Жыл бұрын

    Nakubali sana kaka 20/*

  • @bahatiathumani8822
    @bahatiathumani88223 жыл бұрын

    Uko vizuri siku zote kun maboga umu yatadàut oi pitaa,,twent uko poa

  • @pepyeddy8017
    @pepyeddy80173 жыл бұрын

    Daa namkubali sana 20 muziki wake hata mashehe watausikiliza haporoji anaweza sanaaa

  • @egideniyonkuru9705
    @egideniyonkuru97053 жыл бұрын

    Huyu mushkaki kapotelea wapi tulikuwa tumekum6 bro ngoma zako ni kali kbs ila siku hiz mbona hauko vip mjuba imekuwaje xaxa rudi tena utuburudishe na mambo ya kisas Burundi tunakubali sana🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @onesmoayesiga7266
    @onesmoayesiga72663 жыл бұрын

    Twenyty m nakupenda bure

  • @user-ry7po6dk5h
    @user-ry7po6dk5h6 ай бұрын

    Nagupenda 20% binatakia urudi kwenye muziki

  • @awinhaadrianavicente7880
    @awinhaadrianavicente78803 жыл бұрын

    Tweet parcent você foi grande homem na música tanzaniana, parabéns irmão

  • @godfreyjoel1161
    @godfreyjoel11613 жыл бұрын

    Nakuelewa xn jembeeeeeeee wellcome again brother!!!!

  • @yodenntulo8798
    @yodenntulo87983 жыл бұрын

    Maswali yanaonekana magumu,lakin sekunde haipiti jibu linapatikana la uhakika.

  • @abdalamomade8586
    @abdalamomade85863 жыл бұрын

    Kkkkkkk isso é verdade brow,naquele tempo goxtavamox

  • @user-rv1kz2dj1n
    @user-rv1kz2dj1n11 ай бұрын

    20% wangu rafiki Akili zako ndo kazi kwao 😅😅❤❤💪✅

  • @BandaClassicBarbers
    @BandaClassicBarbers3 жыл бұрын

    Fundi Kama fundi Naelewa xna Kaz zako brother Come back mungu atakucmamia 🤲🤲🤲🤲 Pia kwa hayo majibu uliyo wapatia Hakika huna mpinzani kabixa 20%🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @yasodishonest9792
    @yasodishonest97923 жыл бұрын

    Umependeza sana 20.pendasana

  • @saragdominic4025

    @saragdominic4025

    3 жыл бұрын

    Umetisha 20%

  • @sophiajumanollo5587
    @sophiajumanollo55873 жыл бұрын

    Nimeyapenda majbu yko twenty hongera unajiamin sana

  • @markodhiambo6016
    @markodhiambo60163 жыл бұрын

    20% anajibu maswali kama Yesu Mtakatifu....

  • @christelle9690
    @christelle96903 жыл бұрын

    Good sir

  • @yusuphnyon7178
    @yusuphnyon71783 жыл бұрын

    No comment

  • @paulwilson-hc4ey
    @paulwilson-hc4ey3 жыл бұрын

    😂❣️😂😂😂20 jamaa Unamaswali 😂😂 kashika Mike mbili😂

  • @tatushebe5847
    @tatushebe58473 жыл бұрын

    Love u2 ,20 mungu akulinde

  • @sharoombay8997
    @sharoombay89973 жыл бұрын

    Asante 20. Majibu mazuri.

  • @paulmbata9202
    @paulmbata92023 жыл бұрын

    20% namuelewa kinoma kwani anajua kujieleza vinzuri kwanza ana confidence kubwa ya kujieleza

  • @simbampole4851
    @simbampole48513 жыл бұрын

    Nakuku bar Sana 20%

  • @oj-qw4yc
    @oj-qw4yc3 жыл бұрын

    Biggest fun mukubwa u the best

  • @anwarigod1667
    @anwarigod16673 жыл бұрын

    Kiukweli brother kipndi cha nyuma alifanya poa sana namkubali sana

  • @hatibumsindo2915
    @hatibumsindo29153 жыл бұрын

    20 uko sahihi Sana huyo mwandishi mwingine Ana mawenge sana

  • @reubenismail3672
    @reubenismail36723 жыл бұрын

    20per ulikuwa vzr Sana lkn ulikosea wapi?wewe jembe pambana bhana mungu atakusaidia!

  • @omarikilagu4101
    @omarikilagu41013 жыл бұрын

    Hilo lililo kaa nyuma ya twety Lina mikwala 😬yani bangi tupu apo 😀😀😎

  • @priscamashauri7226
    @priscamashauri72263 жыл бұрын

    Unaimba vizuri saana ila ucje kutuimbia matus kama wasanii wasasa maana tunashindwa kuskiliza na watt.

  • @joyjilien5432

    @joyjilien5432

    3 жыл бұрын

    Prisca Mashauri kweliii kabisa kwa ss hamna kitu lkn huyo 20 huaga haimbi matusi labda abadilike,,,,na watu nao sio wazurii huaga wanasapot matusi wakashindwa kusapoti wasanii wazuri

  • @bukaone7507
    @bukaone75073 жыл бұрын

    Big up, 20%

  • @boasmbwaga8362
    @boasmbwaga83623 жыл бұрын

    Jamaa linamaneno fact

  • @faumamakwaia5095
    @faumamakwaia50953 жыл бұрын

    Nice

  • @batatabatata9990
    @batatabatata99903 жыл бұрын

    Nakubali broo kwa maneno yako mazito yamenichoma xaxa

  • @eilinli7846
    @eilinli78463 жыл бұрын

    Nilijuw kafa kumbe uongo jamani. Mung akup nguvu uendelee kz yako InshaAllah

  • @mwajumaomari3038

    @mwajumaomari3038

    3 жыл бұрын

    Hata mimi nimeshangaa nilijua hayupo duniani

  • @mangapineema7652

    @mangapineema7652

    3 жыл бұрын

    Acheni nicheke

  • @youngdira1584
    @youngdira15847 ай бұрын

    😂😂😂😂 daahh ila twenty..very wise

  • @RibinByamungu
    @RibinByamunguАй бұрын

    Tuna kubali

  • @FaridaNgitu
    @FaridaNgitu4 ай бұрын

    Achana nae uyo mjinga uyo anakuchosha kaka angu

  • @faumamakwaia5095
    @faumamakwaia50953 жыл бұрын

    Omeongea point sana sana

  • @lovechance2905
    @lovechance29053 жыл бұрын

    20% kweli Mungu akulinde, nakuamini ki mziki

  • @yodenntulo8798
    @yodenntulo87983 жыл бұрын

    Nilikukumbuka saaaana 20℅, ki muziki ulikua vizuri na majibu yako nimeyakubali.

  • @charlessalehe1286
    @charlessalehe12863 жыл бұрын

    hahahahaaaaaa,nikumbuke kwa kitu ambacho mama yako ana kikumbuka

  • @poshoramadhani
    @poshoramadhani3 жыл бұрын

    Upo sahihi brother big up sana kwa majibu uliyo wapi

  • @khadijayusuph9316
    @khadijayusuph93163 жыл бұрын

    20% ww n mkal na hilo halina ubshi broo ila kubali tu kama umepotea kwa kushuka kimzk na umekonda sana pole kwa stress braza

  • @yasiniselemani6666
    @yasiniselemani66663 жыл бұрын

    Nakubali sana twenti maneno yakishujaaa

  • @christinakihwele1950
    @christinakihwele19503 жыл бұрын

    Jamani Baba Neema mbona kimya sana ?

  • @suleimanngoi4651
    @suleimanngoi46513 жыл бұрын

    #furaha iko wap?

  • @abrahamsnoopdog5929
    @abrahamsnoopdog59293 жыл бұрын

    Usipo ongeleshwa utaongea nni 😃😃 20 bwana

  • @goldsilver589
    @goldsilver5897 ай бұрын

    Kaka 20% akili nyingi 😂😂😂

  • @karainejlo8706
    @karainejlo87063 жыл бұрын

    Big up 20 %

  • @lovechance2905
    @lovechance29053 жыл бұрын

    Kwenye Africa nzima, nimeamini mziki wako nasiulinganishe n'a wengine, nyimbo zako n'a fimbo natembelea

  • @wilsongeorge9974

    @wilsongeorge9974

    3 жыл бұрын

    Kala jerimiah Ndani Ya kampeni

  • @mathanyeke8382
    @mathanyeke83823 жыл бұрын

    20% 💞💞💞💞💞

  • @kazungualiphonce602
    @kazungualiphonce6023 жыл бұрын

    Nice 20%

  • @laurentjaphet5084
    @laurentjaphet50843 жыл бұрын

    Daaahhh

  • @youngsimbawcb1814
    @youngsimbawcb18143 жыл бұрын

    Amepandishaaa kweliiii hiyooo,huhuhuhuhuhuhuhuhuhuhuhuhuhuhu!!!!!!!

  • @kimwerionlinetv5574
    @kimwerionlinetv55743 жыл бұрын

    Huyu aliye nyuma ya Twenty ni usalama wa 20%

  • @kingwigo2961

    @kingwigo2961

    3 жыл бұрын

    😁😁😁😁

  • @asiamwangxx3413

    @asiamwangxx3413

    3 жыл бұрын

    Kwe kwe kwe kwe

  • @naamohamed9964

    @naamohamed9964

    3 жыл бұрын

    😃😃😃😃😃

  • @allanbibba8589
    @allanbibba85893 жыл бұрын

    20% ni Rasta uyo kwa majibu hayo nime kukubali 20%

  • @adrofujonasintahobaje7952
    @adrofujonasintahobaje79523 жыл бұрын

    anajua kujieleza ni noma😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @gabriellmadagala7190
    @gabriellmadagala71902 жыл бұрын

    20pacent pamoja sana kaka

  • @kulwamachibyajr2532
    @kulwamachibyajr25323 жыл бұрын

    Maisha Ni hatua Hakika Kaka utarudi tu kwenye game

  • @victorkahimbi5866

    @victorkahimbi5866

    3 жыл бұрын

    Mungu atakusaidia tyu utalud mchezon

  • @ezranyandura1780
    @ezranyandura17803 жыл бұрын

    Big up

  • @giloogilo6589
    @giloogilo65893 жыл бұрын

    Huyo Raster aliharibu hii vedio,coz wajua kama watu wachukua vedio ya mtu haistali nyuma ya mtu kusiwe na mwengine.

  • @phineruge3480

    @phineruge3480

    3 жыл бұрын

    Nahisi atakua Bodyguard wa 20%😀😀😀

  • @marrymenas
    @marrymenas3 жыл бұрын

    20 pacent ni mkali sana! Hahaa nyie watangazaji mkicheza mnawashwa vibao

  • @christelle9690

    @christelle9690

    3 жыл бұрын

    Yes

Келесі