ALICHO FANYA DIAMOND KWA 20 PERCENT,,,KAJIUNGE NA WEWE UTOBOE KAKA,,,UNAFELI WAPI 20 PERCENT???
#zuchu #koffiolomide#chrisbrown
Жүктеу.....
Пікірлер: 653
@gloireirenge80352 жыл бұрын
Jamaa yangu 20 wewe ni bingwa sana tanzania nzima tuna kukubali la siyo kama haujuwe music wewe bado bamba il love you my brother ♥️😘😘😘😘✊✊✊✊
@selfaakinyi29862 жыл бұрын
Wow, 20 percent we still remember you, come back to the game, much love from Kenya.
@barakastantonmwakyoma1003
2 жыл бұрын
20 percent mm bado nipo na ww nakukubali sana
@emanuelmsaki13722 жыл бұрын
Nakubali sana nyimbo zako rudi
@irpack608111 ай бұрын
Vraiment je suis très chaleureux d'avoir encore une nouvelle chanson de 20 Twenty pancenti shabani na imy s nyimboza wewe siyo musani wa kuropokaropa Ila nyimbo zako zinamalengo bro mwanaume ni wenye kujigamba courage mon pote je suis congolais
@christinajames41973 жыл бұрын
........hakika unaishi mioyoni mwetu 20 paaa, you are verry unique 🤔
@wallesmdoe916411 ай бұрын
Ptv naombeni saport yenu nawapenda sana muimbaj
@busegamediatanzania3 жыл бұрын
Kufanikiwa "Unahitaji tuu hasira"..... That's Bigg Thing from my brother 20%
@saramm70813 жыл бұрын
Mama neema kweli mzee wangu hadi leo anaangalia. Allah akuzidishie kaka
@halfaniland3850
3 жыл бұрын
Halafu nyie hamna akiri. Amzidishie ni sasa laan?
@masongaofficial
3 жыл бұрын
Black Angel kzread.info/dash/bejne/pKaaypqvZdu1gbQ.html
@nabilsuleimanhaji2437
3 жыл бұрын
Allah hataki mziki
@aishasalum79363 жыл бұрын
Tuliyolizwaga na nyimbo ya mama. Neema tuujuuuwaanee😭😭💪
@esterwilla1951
3 жыл бұрын
Mimi
@praygodkimaro4552
2 жыл бұрын
Dah mm nilijuaga ilikuwa serious kumbe ilikuwa nyimbo tu dah iliniliza 😥
@vincentsyahava7931 Жыл бұрын
20% LE Musicien qui a touché nos cœurs ! Big up salut depuis Kinshasa Bro ! Mama Neema 🥰🥰
@AthumaniMussa-tx3gk
10 ай бұрын
O I
@edwardouma16302 жыл бұрын
20% nimashine bado tunamuhenzi Hadi leo anaelemisha jamii na kufundisha jamii sii kama wanao imbaimba matuai adi wanatitia kinyaa by Fosill mtanzania from Nairobi Kenya💪👊
@godfreysabay80373 жыл бұрын
God bless you Mr 20% coz Msadili ya sanaa ya kibongo inaanzarudishwa na weye,, you are welcome brother
@norbertcplyian51383 жыл бұрын
Welcome back bro we miss you rudi ufukuze matusii kwel
@rehemadaudi43903 жыл бұрын
Kaka nampenda anaomba vizuri anaringa vizuri. Uko juuuuuuuiii mwaaa
@veronicakamba46283 жыл бұрын
Me mwenyewe nakukubali sana rudi hezi zako
@edwardouma16302 жыл бұрын
20% twakuitaji rudi kwenye game mtuwangu tumemisi sana nyimbo zako za hekma na busara kwa jamii by Fosill mtz from Nairobi Kenya 💪👊
@kasulutv25343 жыл бұрын
💖💖bgerp bro penda sana kama unampenda 20% gonga like hapo
@kissymkulu52453 жыл бұрын
Wewee ni Kioo cha jamii bhaana hauna nyimbo mbaya. Nyimbo zako hazichuji na hazitachuja big up.
@hidamustapher565
3 жыл бұрын
Sana mwamba
@shadrickkatangwa82912 жыл бұрын
that song mama nema it's touch me a lots 20% keep it up
@aloycemadoshi27702 жыл бұрын
Mr 20% mm nakukubali sana kwa nyimbo zako zenye maadili ya hali ya juu sana God be blessed
@faridamfinanga533 жыл бұрын
Tupo ambayo bado tunamkubali 20parcent so,pambana Kaka.
@ayoubkikoti6344
3 жыл бұрын
Kunasafari zingine kweli kaka hazihitaji nauli ni hasira yako tu inakufikisha safari,,,nimeikubali sana,
@nsuriitv2468
3 жыл бұрын
Tunakumbuka sana kazi zako kaka, Mama Neema
@masongaofficial
3 жыл бұрын
Black Angel kzread.info/dash/bejne/pKaaypqvZdu1gbQ.html
@agneswily1942
2 жыл бұрын
💘❤
@filibetmpiluka3459
Жыл бұрын
@@ayoubkikoti6344 l
@user-tu8up9gs7p2 ай бұрын
Hakubariki maunanane,maulana,mwenyezi mungu 20%,kipawa chako na nyimbo tamu.... money money nk
@akenomesh9244 Жыл бұрын
20% nikiwa mdogo sana, napenda ngoma zooote aliingia moyoni........ onelovefrom254
@ferouzmasoud47413 жыл бұрын
20% Kaka ludi kwenye game unajuwa Sanaa 👊🇹🇿
@diegocosta36383 жыл бұрын
Fanya kazi sana 20% ni brand kubwa kaka sura mpya miguu yazamani natamani aje afanye ngoma kali abambe kisawasawa
@iranyibuka88072 жыл бұрын
Na mimi pia sijawai kusahau you're still legend
@oscarmgeradinukauangaze11302 жыл бұрын
Aiseeeee naona uko poa zaidi jitahidi2 mungu yuko na wewe tuko pamoja sana
@mathayonyerera31443 жыл бұрын
Never forget you twenty per one love, NAFICHA NINAYOYAONA
@noahngogo43343 жыл бұрын
Cha kale ni dhahabu. Kwa mahojiano hayo wewe ni mwanamziki wa kuumbwa na Mungu. Tumekukumbuka mwalimu wetu.
@monicaalphayo67463 жыл бұрын
Isha Baba Lao.. see you with 20 per cent..!! Big up broo from Jan💪
@Philipo-vw5he11 ай бұрын
kila kitu ni mipango ya mungu kwaiyo mungu akipenda inshaalla atamjalia tu atarudi tu kwenye heshima yake
@stevenlulangasy35542 жыл бұрын
Wewe ni msanii mwenye maono ya watanzania na nyimbo zako zimeenda moja kwa moja kwa watanzania na uliyoimba yapo kweli
@isayajoram24343 жыл бұрын
Umechelewa brother tatizo lako ulilala sana umekumbuka shuka kumekucha
@sunwizy6083 ай бұрын
tulibambiana sana nyimbo zako kwenye disco vumbi😂😂😂
@kavunjaporiaimable51123 жыл бұрын
Ninahitaji kwenye interview ule Dada ambae amecheza na 20% kwenye igizo furaha iko wapi aliezaa neema alafu akafariki mke wa twenty ndani igizo furaha iko wapi. Nawakubali mno❤️❤️
@angelhashimu6401
3 жыл бұрын
Nikweli twenty wekiboko bado unajianimi sana ila umekwisha
@shukuranikibona58933 жыл бұрын
Mwenye Hekima na Heshima zake katika jamii!!! You're the best and brilliance and teacher in the societies!!!
@ramadhanimkude57442 жыл бұрын
Jamaa Nimekuelewa sana,linaakili sana.
@delphinvivier5278
Жыл бұрын
Yuko wapi mama na mkumbuka sana🙏
@shukurulove54313 жыл бұрын
Parcent aaaah nakukubali sana akuna asiye mjuwa tz nzima
@mkntoujours3025Ай бұрын
Iyo ni kweli atuja wai acha nyimbo zako mpaka sasa tunaishi nazo natoka congo
@user-qd9vf6ud3f7 ай бұрын
Sio siri kwa alie kufatilia hawezia acha kusikiliza nyimbo zako bro Mungu akujalie urudi bwana tuna kumisss sana .
@user-dt2rq9kv8y4 ай бұрын
20% nakupenda Sana baba Rudi maana tusha ku miss Tuna miss nyimbo zako
@janviermumbere68222 жыл бұрын
Mimi ni mkongomani toka drc ninafurai sana vile 20 percent anavyo jibu. Ninapenda sana mziki wake
@musajonas77672 жыл бұрын
Kaka nakuta futasana iposikutu nitakupatatu mama nema danoma sana
@jafarimachinga65752 жыл бұрын
Anachokixema 20% yupo sahihi aisee amaizing sana
@user-hl4rw9xe3u2 жыл бұрын
Mimi pia nakukubali sana kitambo sana unaimba vizuri nyimbo zako aziwezi kisahaulika
@alghamsalim39522 жыл бұрын
Nakupenda sana 20 percent
@rosettematenga6353 жыл бұрын
Nikweli sisi mpaka leo nyimbo zakotunazirudilia mara yote.
@ab3ab313
3 жыл бұрын
20 🔥🔥🔥🔥♥️♥️♥️
@mst1studio2703 жыл бұрын
Duuuuuuh! Yaani nimekukubari! Umejibu majibu vizuuuuri hadi mwanahabari asiejitambua amebaki kinywa wazi. Yaani umejibu kama Yesu alivyokua anawajibu mafalisayo. 20% yaani wewe Baba laooo. No one like you. Nakupendaaaaaaa
@user-xo3ux2oe2w5 ай бұрын
Nakupenda sana broo nakukumbuka sana hasa song yako ya mam nema mungu akurunde
@petromaganga7792 жыл бұрын
Karibu utazame kazi zangu.na Mungu akubariki
@TristanKevin3 жыл бұрын
Kalii Sanaa mkuu I like the artist
@martinmhendi17532 жыл бұрын
Mm i like 20 per kwa majibu yake mazuri hasa kwa waandishi wa habari maana wengi Huwa hawaulizi maswali naona kama wengi wambea na wachonganishi na 20 knows how to deal with them
@Ulasi_Jr3 жыл бұрын
Kweli kaka one love mm binafsi nyimbo zako bado naishi nazo ww ni 👉🔥🔥🔥
@mauriceirahinyuza9945 Жыл бұрын
Love u Sana twenty from Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🤣😂 urakundwa cane gose
@victoriamwaipopo32823 жыл бұрын
Hakuna msanii nnaempenda kama twenty jaman akitoka twenty kiba ao watu mm aise nawapenda sana sana
@mamyhajra68933 жыл бұрын
I love so much 20% nyimbo zake zinaelimisha sana ila zinahuzunisha piaaaa daah big up broooohh👍👍
@mamyhajra6893
3 жыл бұрын
Asanteni nyote mlo like comment yangu much love for you guys
@mbachoclassic7818
3 жыл бұрын
Tamaa mbaya waeleze kaka✅
@Raphaelkamulete4 ай бұрын
Wa stani wazamani walipitiya mu maisha mbaya ndiyo alakini walianza imba bya Mana. Namupenda 20%
@amirmwezemba67783 жыл бұрын
Mxhakaji na mkubali xna pili ana confidence ya kujibu Nice Brother 20p,
@johnjonas77013 жыл бұрын
Katika hao watu unao ishi nao nam nimo,kiukweli kaka m nakuelewa sana broo,nachoamini kwenye mziki nikwamba,unapotoa nyimbo inabidi utulie kuangalia soko la huo wimbo,na pia kukaa kimya sio ajabu,tatizo hao mashabiki uchwala wanataka uangalie mziki tu bila kufanya kitu kingine jambo ambalo si kweli,m najua upo na unajua unachokofana kaka mungu akubariki
Ni kweli kabisa 20 percent kuna watu umeingia mioyoni mwao na mm mmoja wao.
@gladnessterry8430
2 жыл бұрын
Kaka kikweli unaimba vizuri mno
@abdallahjuma75163 жыл бұрын
Big up kaka 20 sana unajiamin mnoo huna papala lakin bado upo na ukiamua kurudi kwenye game ni maamuzi yako yaan maneno yako yananifurahisha sana
@ahmadmlima81552 жыл бұрын
Uwezo wako wa fikra na majibu ya haraka .nisawa,na hekima ya uwezo wa nyota.......ila Kuna kitu kimejificha kwako Rudi kivingine utafika katika Malengo uliokusudiwa.katika kutoa kwa watu yalio kusudiwa
@vascobenedict4883 жыл бұрын
We jamaa ni kichwa sana kweli utaishi daima kupitia mziki wako
@worldfunnyvideos61473 жыл бұрын
Nakupenda 20% john kotorit kutoka kenya
@twahirikitwana98423 жыл бұрын
Just speak in swahili bhana though we ni 20% ila mi nakkubali 💯% tangia kipindi hiko nakupata nikiwa 254💪🏾💪🏾
@kallykisato31993 жыл бұрын
kabsa kk uje kutuondolea matusi kwenye radio zetu na tv,kupitia wew hata watukanaji wanaeza badilisha mashairi
@kintongeboy Жыл бұрын
Jambo kaka mimi naisi Congo Lubumbashi sasa namutafuta twenty pacent
@tatumatata24283 ай бұрын
Huyu ni bonge la msanii ❤
@bigmachineschannelkenya74083 жыл бұрын
This man is very wise he has motivated me in a unique way be bless
@ericbadesire9172
Жыл бұрын
🤝
@user-tg2mn3xu1y
5 ай бұрын
Chawa wenzangu yamanisha nn sielewi mimi
@geraldsanzala81192 жыл бұрын
Ahsante saana 20 upo mioyoni mwetu amini kaka
@shevadizzoshevadizzo84583 жыл бұрын
True twenty pear your very airst good
@guystiger22036 ай бұрын
I like this one ☝️
@jeremiemukovi38172 жыл бұрын
Uko juu sana
@Danielkashatila20243 жыл бұрын
Nimefurahi sana kumuona kwa kweli 20% karibu kazini
@brightnesshawa10893 жыл бұрын
Hiii interview imepangwa na 20"Pa ila kuwastua mashabik zake kwambaa ANALUDIII kwenye game
@mwanaishazain7985
3 жыл бұрын
20%
@shabanijuma20853 жыл бұрын
Mtangazaji muelewe 20 mdomo wako umejikuta ukonao Kwa hiyo jifunze kuishi nao sio jufuata wanachotaka wao.
@fatumamkuzi14753 жыл бұрын
Uhu mtu nilisikia hasa ame fariki mungu akusaidie uzima na afya amiin
@jeanclaude25753 жыл бұрын
Na mimi 20% umeingia mu roho yangu kabisa.na ivi nyimbo zako natembea nazooo.big up sana
@bongowere1594
3 жыл бұрын
Umepaniki mondi baba lao
@shadytv1227
3 жыл бұрын
One love bro we miss you
@wazirimwazembe22173 жыл бұрын
Alishakwama akafeli anatafuta kiki kwa watu acha walioweza wafanye mziki wako ulishapita hujui kujiongoza kizazi kipya hiki tuache tuinjoy
@peterjonathan56813 жыл бұрын
Wakimbize 20% nakuaminia neema mpe hi ile ngoma nifunika bila kusahau tamaa mbaya na ganja
@johnutenga97082 жыл бұрын
Sawa kakaaaaaaaa
@ELIFASIMwigema5 күн бұрын
Hakuna kama 20,,, alafu napendaga unavyowajibu... Kubwa juuuuuuuu.
@terrietrizah30493 жыл бұрын
20 we ndio msanii,,, nakupenda toka zamani
@jaylovemangapi9202 Жыл бұрын
Safi kaka
@user-pc6tb1qz3v9 ай бұрын
Meilleur artiste
@PamelaJonas-dh6lg9 ай бұрын
Aki kweli upo moyoni mwangu 20❤❤❤❤
@ericbadesire9172 Жыл бұрын
Eeeeeh ! 20% cunga Tamaa Mbaya. Potelea mbali na mambo ya WCB utapelekwa Freemason. Ebu tazama Vidole vya Mondi na shingo lake.
@gasperriwa91203 жыл бұрын
Anamaanisha diamond na kofi olomide ni mafreemason kusaidiana ndio moja ya Sheria Za mafreemason Imeisha hiyo
@salimucvales7495
3 жыл бұрын
We utakalia ujinga .tafuta maisha acha domo maisha ni kutafuta sio kutafutana!
@fatumaomary98243 жыл бұрын
na kuku bali sana we kaka unaimba vizur mashair yako safi kabisa nyimbo zako popote pale naskiliza hata mbele ya mzazi wangu naweza skiliza
@mossesezekiel78623 жыл бұрын
Tunakukumbuka bhana tunaofuatilia nyimbo zako tunakukumbuka na mafunzo yako pia!!!
@mossesezekiel7862
3 жыл бұрын
Pamojaaa sana
@paulinanjelekela1149
Жыл бұрын
Nakupenda sana na unaishi kweli moyoni mwangu
@user-qd9vf6ud3f
7 ай бұрын
Kiukweli jamaa yupo poa sana aisee
@ramadhanmngoji15232 жыл бұрын
Nakubali kazi zako 20
@jajakajaniri5813 Жыл бұрын
Namupendasan tweti🇧🇮🇧🇮🙏🙏❤️❤️
@fredkyara32783 жыл бұрын
Nimekuelewa saaaaaana 20 percent. Hakika nikweli wale ndi ndugu. Asilimia 90 day anaoshirikiana nao ni ndugu. Yaani ni jamii moja. Hujanielewa, fumba macho.
@GalaxyA-ve8tu9 ай бұрын
Ulikua unaimba sana 20 yani ww jaman rudi tena nyimbo zako zilikua na miujumbe miziri sana
@uwimananadia60663 жыл бұрын
20% azeheki afu handsome kwa kweli mimi nimezeaka kabla yake😥
@aishasalum7936
3 жыл бұрын
Mm 2000 lkn nishampita😂😂😂yan 20 na barnaba akah nyoe makaka mpk wadogo wenu twawapita
@salimajuma34353 жыл бұрын
Nakukubar sana mshikaji wangu hata mi pia upo moyon siwez kuacha kufatilia nyimbo zako
Пікірлер: 653
Jamaa yangu 20 wewe ni bingwa sana tanzania nzima tuna kukubali la siyo kama haujuwe music wewe bado bamba il love you my brother ♥️😘😘😘😘✊✊✊✊
Wow, 20 percent we still remember you, come back to the game, much love from Kenya.
@barakastantonmwakyoma1003
2 жыл бұрын
20 percent mm bado nipo na ww nakukubali sana
Nakubali sana nyimbo zako rudi
Vraiment je suis très chaleureux d'avoir encore une nouvelle chanson de 20 Twenty pancenti shabani na imy s nyimboza wewe siyo musani wa kuropokaropa Ila nyimbo zako zinamalengo bro mwanaume ni wenye kujigamba courage mon pote je suis congolais
........hakika unaishi mioyoni mwetu 20 paaa, you are verry unique 🤔
Ptv naombeni saport yenu nawapenda sana muimbaj
Kufanikiwa "Unahitaji tuu hasira"..... That's Bigg Thing from my brother 20%
Mama neema kweli mzee wangu hadi leo anaangalia. Allah akuzidishie kaka
@halfaniland3850
3 жыл бұрын
Halafu nyie hamna akiri. Amzidishie ni sasa laan?
@masongaofficial
3 жыл бұрын
Black Angel kzread.info/dash/bejne/pKaaypqvZdu1gbQ.html
@nabilsuleimanhaji2437
3 жыл бұрын
Allah hataki mziki
Tuliyolizwaga na nyimbo ya mama. Neema tuujuuuwaanee😭😭💪
@esterwilla1951
3 жыл бұрын
Mimi
@praygodkimaro4552
2 жыл бұрын
Dah mm nilijuaga ilikuwa serious kumbe ilikuwa nyimbo tu dah iliniliza 😥
20% LE Musicien qui a touché nos cœurs ! Big up salut depuis Kinshasa Bro ! Mama Neema 🥰🥰
@AthumaniMussa-tx3gk
10 ай бұрын
O I
20% nimashine bado tunamuhenzi Hadi leo anaelemisha jamii na kufundisha jamii sii kama wanao imbaimba matuai adi wanatitia kinyaa by Fosill mtanzania from Nairobi Kenya💪👊
God bless you Mr 20% coz Msadili ya sanaa ya kibongo inaanzarudishwa na weye,, you are welcome brother
Welcome back bro we miss you rudi ufukuze matusii kwel
Kaka nampenda anaomba vizuri anaringa vizuri. Uko juuuuuuuiii mwaaa
Me mwenyewe nakukubali sana rudi hezi zako
20% twakuitaji rudi kwenye game mtuwangu tumemisi sana nyimbo zako za hekma na busara kwa jamii by Fosill mtz from Nairobi Kenya 💪👊
💖💖bgerp bro penda sana kama unampenda 20% gonga like hapo
Wewee ni Kioo cha jamii bhaana hauna nyimbo mbaya. Nyimbo zako hazichuji na hazitachuja big up.
@hidamustapher565
3 жыл бұрын
Sana mwamba
that song mama nema it's touch me a lots 20% keep it up
Mr 20% mm nakukubali sana kwa nyimbo zako zenye maadili ya hali ya juu sana God be blessed
Tupo ambayo bado tunamkubali 20parcent so,pambana Kaka.
@ayoubkikoti6344
3 жыл бұрын
Kunasafari zingine kweli kaka hazihitaji nauli ni hasira yako tu inakufikisha safari,,,nimeikubali sana,
@nsuriitv2468
3 жыл бұрын
Tunakumbuka sana kazi zako kaka, Mama Neema
@masongaofficial
3 жыл бұрын
Black Angel kzread.info/dash/bejne/pKaaypqvZdu1gbQ.html
@agneswily1942
2 жыл бұрын
💘❤
@filibetmpiluka3459
Жыл бұрын
@@ayoubkikoti6344 l
Hakubariki maunanane,maulana,mwenyezi mungu 20%,kipawa chako na nyimbo tamu.... money money nk
20% nikiwa mdogo sana, napenda ngoma zooote aliingia moyoni........ onelovefrom254
20% Kaka ludi kwenye game unajuwa Sanaa 👊🇹🇿
Fanya kazi sana 20% ni brand kubwa kaka sura mpya miguu yazamani natamani aje afanye ngoma kali abambe kisawasawa
Na mimi pia sijawai kusahau you're still legend
Aiseeeee naona uko poa zaidi jitahidi2 mungu yuko na wewe tuko pamoja sana
Never forget you twenty per one love, NAFICHA NINAYOYAONA
Cha kale ni dhahabu. Kwa mahojiano hayo wewe ni mwanamziki wa kuumbwa na Mungu. Tumekukumbuka mwalimu wetu.
Isha Baba Lao.. see you with 20 per cent..!! Big up broo from Jan💪
kila kitu ni mipango ya mungu kwaiyo mungu akipenda inshaalla atamjalia tu atarudi tu kwenye heshima yake
Wewe ni msanii mwenye maono ya watanzania na nyimbo zako zimeenda moja kwa moja kwa watanzania na uliyoimba yapo kweli
Umechelewa brother tatizo lako ulilala sana umekumbuka shuka kumekucha
tulibambiana sana nyimbo zako kwenye disco vumbi😂😂😂
Ninahitaji kwenye interview ule Dada ambae amecheza na 20% kwenye igizo furaha iko wapi aliezaa neema alafu akafariki mke wa twenty ndani igizo furaha iko wapi. Nawakubali mno❤️❤️
@angelhashimu6401
3 жыл бұрын
Nikweli twenty wekiboko bado unajianimi sana ila umekwisha
Mwenye Hekima na Heshima zake katika jamii!!! You're the best and brilliance and teacher in the societies!!!
Jamaa Nimekuelewa sana,linaakili sana.
@delphinvivier5278
Жыл бұрын
Yuko wapi mama na mkumbuka sana🙏
Parcent aaaah nakukubali sana akuna asiye mjuwa tz nzima
Iyo ni kweli atuja wai acha nyimbo zako mpaka sasa tunaishi nazo natoka congo
Sio siri kwa alie kufatilia hawezia acha kusikiliza nyimbo zako bro Mungu akujalie urudi bwana tuna kumisss sana .
20% nakupenda Sana baba Rudi maana tusha ku miss Tuna miss nyimbo zako
Mimi ni mkongomani toka drc ninafurai sana vile 20 percent anavyo jibu. Ninapenda sana mziki wake
Kaka nakuta futasana iposikutu nitakupatatu mama nema danoma sana
Anachokixema 20% yupo sahihi aisee amaizing sana
Mimi pia nakukubali sana kitambo sana unaimba vizuri nyimbo zako aziwezi kisahaulika
Nakupenda sana 20 percent
Nikweli sisi mpaka leo nyimbo zakotunazirudilia mara yote.
@ab3ab313
3 жыл бұрын
20 🔥🔥🔥🔥♥️♥️♥️
Duuuuuuh! Yaani nimekukubari! Umejibu majibu vizuuuuri hadi mwanahabari asiejitambua amebaki kinywa wazi. Yaani umejibu kama Yesu alivyokua anawajibu mafalisayo. 20% yaani wewe Baba laooo. No one like you. Nakupendaaaaaaa
Nakupenda sana broo nakukumbuka sana hasa song yako ya mam nema mungu akurunde
Karibu utazame kazi zangu.na Mungu akubariki
Kalii Sanaa mkuu I like the artist
Mm i like 20 per kwa majibu yake mazuri hasa kwa waandishi wa habari maana wengi Huwa hawaulizi maswali naona kama wengi wambea na wachonganishi na 20 knows how to deal with them
Kweli kaka one love mm binafsi nyimbo zako bado naishi nazo ww ni 👉🔥🔥🔥
Love u Sana twenty from Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🤣😂 urakundwa cane gose
Hakuna msanii nnaempenda kama twenty jaman akitoka twenty kiba ao watu mm aise nawapenda sana sana
I love so much 20% nyimbo zake zinaelimisha sana ila zinahuzunisha piaaaa daah big up broooohh👍👍
@mamyhajra6893
3 жыл бұрын
Asanteni nyote mlo like comment yangu much love for you guys
@mbachoclassic7818
3 жыл бұрын
Tamaa mbaya waeleze kaka✅
Wa stani wazamani walipitiya mu maisha mbaya ndiyo alakini walianza imba bya Mana. Namupenda 20%
Mxhakaji na mkubali xna pili ana confidence ya kujibu Nice Brother 20p,
Katika hao watu unao ishi nao nam nimo,kiukweli kaka m nakuelewa sana broo,nachoamini kwenye mziki nikwamba,unapotoa nyimbo inabidi utulie kuangalia soko la huo wimbo,na pia kukaa kimya sio ajabu,tatizo hao mashabiki uchwala wanataka uangalie mziki tu bila kufanya kitu kingine jambo ambalo si kweli,m najua upo na unajua unachokofana kaka mungu akubariki
@jamesmwitawa5439
3 жыл бұрын
inafuraishz
Mimi.napenda.sana.maneno.yatweti.kwnye.muziki.anatunga.sheriya
Hiyo Kweli kbs napendaga sana nyimbo zako
Kaka nakukubali sanaaaaa
Ni kweli kabisa 20 percent kuna watu umeingia mioyoni mwao na mm mmoja wao.
@gladnessterry8430
2 жыл бұрын
Kaka kikweli unaimba vizuri mno
Big up kaka 20 sana unajiamin mnoo huna papala lakin bado upo na ukiamua kurudi kwenye game ni maamuzi yako yaan maneno yako yananifurahisha sana
Uwezo wako wa fikra na majibu ya haraka .nisawa,na hekima ya uwezo wa nyota.......ila Kuna kitu kimejificha kwako Rudi kivingine utafika katika Malengo uliokusudiwa.katika kutoa kwa watu yalio kusudiwa
We jamaa ni kichwa sana kweli utaishi daima kupitia mziki wako
Nakupenda 20% john kotorit kutoka kenya
Just speak in swahili bhana though we ni 20% ila mi nakkubali 💯% tangia kipindi hiko nakupata nikiwa 254💪🏾💪🏾
kabsa kk uje kutuondolea matusi kwenye radio zetu na tv,kupitia wew hata watukanaji wanaeza badilisha mashairi
Jambo kaka mimi naisi Congo Lubumbashi sasa namutafuta twenty pacent
Huyu ni bonge la msanii ❤
This man is very wise he has motivated me in a unique way be bless
@ericbadesire9172
Жыл бұрын
🤝
@user-tg2mn3xu1y
5 ай бұрын
Chawa wenzangu yamanisha nn sielewi mimi
Ahsante saana 20 upo mioyoni mwetu amini kaka
True twenty pear your very airst good
I like this one ☝️
Uko juu sana
Nimefurahi sana kumuona kwa kweli 20% karibu kazini
Hiii interview imepangwa na 20"Pa ila kuwastua mashabik zake kwambaa ANALUDIII kwenye game
@mwanaishazain7985
3 жыл бұрын
20%
Mtangazaji muelewe 20 mdomo wako umejikuta ukonao Kwa hiyo jifunze kuishi nao sio jufuata wanachotaka wao.
Uhu mtu nilisikia hasa ame fariki mungu akusaidie uzima na afya amiin
Na mimi 20% umeingia mu roho yangu kabisa.na ivi nyimbo zako natembea nazooo.big up sana
@bongowere1594
3 жыл бұрын
Umepaniki mondi baba lao
@shadytv1227
3 жыл бұрын
One love bro we miss you
Alishakwama akafeli anatafuta kiki kwa watu acha walioweza wafanye mziki wako ulishapita hujui kujiongoza kizazi kipya hiki tuache tuinjoy
Wakimbize 20% nakuaminia neema mpe hi ile ngoma nifunika bila kusahau tamaa mbaya na ganja
Sawa kakaaaaaaaa
Hakuna kama 20,,, alafu napendaga unavyowajibu... Kubwa juuuuuuuu.
20 we ndio msanii,,, nakupenda toka zamani
Safi kaka
Meilleur artiste
Aki kweli upo moyoni mwangu 20❤❤❤❤
Eeeeeh ! 20% cunga Tamaa Mbaya. Potelea mbali na mambo ya WCB utapelekwa Freemason. Ebu tazama Vidole vya Mondi na shingo lake.
Anamaanisha diamond na kofi olomide ni mafreemason kusaidiana ndio moja ya Sheria Za mafreemason Imeisha hiyo
@salimucvales7495
3 жыл бұрын
We utakalia ujinga .tafuta maisha acha domo maisha ni kutafuta sio kutafutana!
na kuku bali sana we kaka unaimba vizur mashair yako safi kabisa nyimbo zako popote pale naskiliza hata mbele ya mzazi wangu naweza skiliza
Tunakukumbuka bhana tunaofuatilia nyimbo zako tunakukumbuka na mafunzo yako pia!!!
@mossesezekiel7862
3 жыл бұрын
Pamojaaa sana
@paulinanjelekela1149
Жыл бұрын
Nakupenda sana na unaishi kweli moyoni mwangu
@user-qd9vf6ud3f
7 ай бұрын
Kiukweli jamaa yupo poa sana aisee
Nakubali kazi zako 20
Namupendasan tweti🇧🇮🇧🇮🙏🙏❤️❤️
Nimekuelewa saaaaaana 20 percent. Hakika nikweli wale ndi ndugu. Asilimia 90 day anaoshirikiana nao ni ndugu. Yaani ni jamii moja. Hujanielewa, fumba macho.
Ulikua unaimba sana 20 yani ww jaman rudi tena nyimbo zako zilikua na miujumbe miziri sana
20% azeheki afu handsome kwa kweli mimi nimezeaka kabla yake😥
@aishasalum7936
3 жыл бұрын
Mm 2000 lkn nishampita😂😂😂yan 20 na barnaba akah nyoe makaka mpk wadogo wenu twawapita
Nakukubar sana mshikaji wangu hata mi pia upo moyon siwez kuacha kufatilia nyimbo zako
Mi mwenyewe nakukubali sana sina wakukufananisha