ALICHO FANYA DIAMOND KWA 20 PERCENT,,,KAJIUNGE NA WEWE UTOBOE KAKA,,,UNAFELI WAPI 20 PERCENT???

#zuchu #koffiolomide#chrisbrown

Пікірлер: 653

  • @gloireirenge8035
    @gloireirenge80352 жыл бұрын

    Jamaa yangu 20 wewe ni bingwa sana tanzania nzima tuna kukubali la siyo kama haujuwe music wewe bado bamba il love you my brother ♥️😘😘😘😘✊✊✊✊

  • @selfaakinyi2986
    @selfaakinyi29862 жыл бұрын

    Wow, 20 percent we still remember you, come back to the game, much love from Kenya.

  • @barakastantonmwakyoma1003

    @barakastantonmwakyoma1003

    2 жыл бұрын

    20 percent mm bado nipo na ww nakukubali sana

  • @emanuelmsaki1372
    @emanuelmsaki13722 жыл бұрын

    Nakubali sana nyimbo zako rudi

  • @irpack6081
    @irpack608111 ай бұрын

    Vraiment je suis très chaleureux d'avoir encore une nouvelle chanson de 20 Twenty pancenti shabani na imy s nyimboza wewe siyo musani wa kuropokaropa Ila nyimbo zako zinamalengo bro mwanaume ni wenye kujigamba courage mon pote je suis congolais

  • @christinajames4197
    @christinajames41973 жыл бұрын

    ........hakika unaishi mioyoni mwetu 20 paaa, you are verry unique 🤔

  • @wallesmdoe9164
    @wallesmdoe916411 ай бұрын

    Ptv naombeni saport yenu nawapenda sana muimbaj

  • @busegamediatanzania
    @busegamediatanzania3 жыл бұрын

    Kufanikiwa "Unahitaji tuu hasira"..... That's Bigg Thing from my brother 20%

  • @saramm7081
    @saramm70813 жыл бұрын

    Mama neema kweli mzee wangu hadi leo anaangalia. Allah akuzidishie kaka

  • @halfaniland3850

    @halfaniland3850

    3 жыл бұрын

    Halafu nyie hamna akiri. Amzidishie ni sasa laan?

  • @masongaofficial

    @masongaofficial

    3 жыл бұрын

    Black Angel kzread.info/dash/bejne/pKaaypqvZdu1gbQ.html

  • @nabilsuleimanhaji2437

    @nabilsuleimanhaji2437

    3 жыл бұрын

    Allah hataki mziki

  • @aishasalum7936
    @aishasalum79363 жыл бұрын

    Tuliyolizwaga na nyimbo ya mama. Neema tuujuuuwaanee😭😭💪

  • @esterwilla1951

    @esterwilla1951

    3 жыл бұрын

    Mimi

  • @praygodkimaro4552

    @praygodkimaro4552

    2 жыл бұрын

    Dah mm nilijuaga ilikuwa serious kumbe ilikuwa nyimbo tu dah iliniliza 😥

  • @vincentsyahava7931
    @vincentsyahava7931 Жыл бұрын

    20% LE Musicien qui a touché nos cœurs ! Big up salut depuis Kinshasa Bro ! Mama Neema 🥰🥰

  • @AthumaniMussa-tx3gk

    @AthumaniMussa-tx3gk

    10 ай бұрын

    O I

  • @edwardouma1630
    @edwardouma16302 жыл бұрын

    20% nimashine bado tunamuhenzi Hadi leo anaelemisha jamii na kufundisha jamii sii kama wanao imbaimba matuai adi wanatitia kinyaa by Fosill mtanzania from Nairobi Kenya💪👊

  • @godfreysabay8037
    @godfreysabay80373 жыл бұрын

    God bless you Mr 20% coz Msadili ya sanaa ya kibongo inaanzarudishwa na weye,, you are welcome brother

  • @norbertcplyian5138
    @norbertcplyian51383 жыл бұрын

    Welcome back bro we miss you rudi ufukuze matusii kwel

  • @rehemadaudi4390
    @rehemadaudi43903 жыл бұрын

    Kaka nampenda anaomba vizuri anaringa vizuri. Uko juuuuuuuiii mwaaa

  • @veronicakamba4628
    @veronicakamba46283 жыл бұрын

    Me mwenyewe nakukubali sana rudi hezi zako

  • @edwardouma1630
    @edwardouma16302 жыл бұрын

    20% twakuitaji rudi kwenye game mtuwangu tumemisi sana nyimbo zako za hekma na busara kwa jamii by Fosill mtz from Nairobi Kenya 💪👊

  • @kasulutv2534
    @kasulutv25343 жыл бұрын

    💖💖bgerp bro penda sana kama unampenda 20% gonga like hapo

  • @kissymkulu5245
    @kissymkulu52453 жыл бұрын

    Wewee ni Kioo cha jamii bhaana hauna nyimbo mbaya. Nyimbo zako hazichuji na hazitachuja big up.

  • @hidamustapher565

    @hidamustapher565

    3 жыл бұрын

    Sana mwamba

  • @shadrickkatangwa8291
    @shadrickkatangwa82912 жыл бұрын

    that song mama nema it's touch me a lots 20% keep it up

  • @aloycemadoshi2770
    @aloycemadoshi27702 жыл бұрын

    Mr 20% mm nakukubali sana kwa nyimbo zako zenye maadili ya hali ya juu sana God be blessed

  • @faridamfinanga53
    @faridamfinanga533 жыл бұрын

    Tupo ambayo bado tunamkubali 20parcent so,pambana Kaka.

  • @ayoubkikoti6344

    @ayoubkikoti6344

    3 жыл бұрын

    Kunasafari zingine kweli kaka hazihitaji nauli ni hasira yako tu inakufikisha safari,,,nimeikubali sana,

  • @nsuriitv2468

    @nsuriitv2468

    3 жыл бұрын

    Tunakumbuka sana kazi zako kaka, Mama Neema

  • @masongaofficial

    @masongaofficial

    3 жыл бұрын

    Black Angel kzread.info/dash/bejne/pKaaypqvZdu1gbQ.html

  • @agneswily1942

    @agneswily1942

    2 жыл бұрын

    💘❤

  • @filibetmpiluka3459

    @filibetmpiluka3459

    Жыл бұрын

    @@ayoubkikoti6344 l

  • @user-tu8up9gs7p
    @user-tu8up9gs7p2 ай бұрын

    Hakubariki maunanane,maulana,mwenyezi mungu 20%,kipawa chako na nyimbo tamu.... money money nk

  • @akenomesh9244
    @akenomesh9244 Жыл бұрын

    20% nikiwa mdogo sana, napenda ngoma zooote aliingia moyoni........ onelovefrom254

  • @ferouzmasoud4741
    @ferouzmasoud47413 жыл бұрын

    20% Kaka ludi kwenye game unajuwa Sanaa 👊🇹🇿

  • @diegocosta3638
    @diegocosta36383 жыл бұрын

    Fanya kazi sana 20% ni brand kubwa kaka sura mpya miguu yazamani natamani aje afanye ngoma kali abambe kisawasawa

  • @iranyibuka8807
    @iranyibuka88072 жыл бұрын

    Na mimi pia sijawai kusahau you're still legend

  • @oscarmgeradinukauangaze1130
    @oscarmgeradinukauangaze11302 жыл бұрын

    Aiseeeee naona uko poa zaidi jitahidi2 mungu yuko na wewe tuko pamoja sana

  • @mathayonyerera3144
    @mathayonyerera31443 жыл бұрын

    Never forget you twenty per one love, NAFICHA NINAYOYAONA

  • @noahngogo4334
    @noahngogo43343 жыл бұрын

    Cha kale ni dhahabu. Kwa mahojiano hayo wewe ni mwanamziki wa kuumbwa na Mungu. Tumekukumbuka mwalimu wetu.

  • @monicaalphayo6746
    @monicaalphayo67463 жыл бұрын

    Isha Baba Lao.. see you with 20 per cent..!! Big up broo from Jan💪

  • @Philipo-vw5he
    @Philipo-vw5he11 ай бұрын

    kila kitu ni mipango ya mungu kwaiyo mungu akipenda inshaalla atamjalia tu atarudi tu kwenye heshima yake

  • @stevenlulangasy3554
    @stevenlulangasy35542 жыл бұрын

    Wewe ni msanii mwenye maono ya watanzania na nyimbo zako zimeenda moja kwa moja kwa watanzania na uliyoimba yapo kweli

  • @isayajoram2434
    @isayajoram24343 жыл бұрын

    Umechelewa brother tatizo lako ulilala sana umekumbuka shuka kumekucha

  • @sunwizy608
    @sunwizy6083 ай бұрын

    tulibambiana sana nyimbo zako kwenye disco vumbi😂😂😂

  • @kavunjaporiaimable5112
    @kavunjaporiaimable51123 жыл бұрын

    Ninahitaji kwenye interview ule Dada ambae amecheza na 20% kwenye igizo furaha iko wapi aliezaa neema alafu akafariki mke wa twenty ndani igizo furaha iko wapi. Nawakubali mno❤️❤️

  • @angelhashimu6401

    @angelhashimu6401

    3 жыл бұрын

    Nikweli twenty wekiboko bado unajianimi sana ila umekwisha

  • @shukuranikibona5893
    @shukuranikibona58933 жыл бұрын

    Mwenye Hekima na Heshima zake katika jamii!!! You're the best and brilliance and teacher in the societies!!!

  • @ramadhanimkude5744
    @ramadhanimkude57442 жыл бұрын

    Jamaa Nimekuelewa sana,linaakili sana.

  • @delphinvivier5278

    @delphinvivier5278

    Жыл бұрын

    Yuko wapi mama na mkumbuka sana🙏

  • @shukurulove5431
    @shukurulove54313 жыл бұрын

    Parcent aaaah nakukubali sana akuna asiye mjuwa tz nzima

  • @mkntoujours3025
    @mkntoujours3025Ай бұрын

    Iyo ni kweli atuja wai acha nyimbo zako mpaka sasa tunaishi nazo natoka congo

  • @user-qd9vf6ud3f
    @user-qd9vf6ud3f7 ай бұрын

    Sio siri kwa alie kufatilia hawezia acha kusikiliza nyimbo zako bro Mungu akujalie urudi bwana tuna kumisss sana .

  • @user-dt2rq9kv8y
    @user-dt2rq9kv8y4 ай бұрын

    20% nakupenda Sana baba Rudi maana tusha ku miss Tuna miss nyimbo zako

  • @janviermumbere6822
    @janviermumbere68222 жыл бұрын

    Mimi ni mkongomani toka drc ninafurai sana vile 20 percent anavyo jibu. Ninapenda sana mziki wake

  • @musajonas7767
    @musajonas77672 жыл бұрын

    Kaka nakuta futasana iposikutu nitakupatatu mama nema danoma sana

  • @jafarimachinga6575
    @jafarimachinga65752 жыл бұрын

    Anachokixema 20% yupo sahihi aisee amaizing sana

  • @user-hl4rw9xe3u
    @user-hl4rw9xe3u2 жыл бұрын

    Mimi pia nakukubali sana kitambo sana unaimba vizuri nyimbo zako aziwezi kisahaulika

  • @alghamsalim3952
    @alghamsalim39522 жыл бұрын

    Nakupenda sana 20 percent

  • @rosettematenga635
    @rosettematenga6353 жыл бұрын

    Nikweli sisi mpaka leo nyimbo zakotunazirudilia mara yote.

  • @ab3ab313

    @ab3ab313

    3 жыл бұрын

    20 🔥🔥🔥🔥♥️♥️♥️

  • @mst1studio270
    @mst1studio2703 жыл бұрын

    Duuuuuuh! Yaani nimekukubari! Umejibu majibu vizuuuuri hadi mwanahabari asiejitambua amebaki kinywa wazi. Yaani umejibu kama Yesu alivyokua anawajibu mafalisayo. 20% yaani wewe Baba laooo. No one like you. Nakupendaaaaaaa

  • @user-xo3ux2oe2w
    @user-xo3ux2oe2w5 ай бұрын

    Nakupenda sana broo nakukumbuka sana hasa song yako ya mam nema mungu akurunde

  • @petromaganga779
    @petromaganga7792 жыл бұрын

    Karibu utazame kazi zangu.na Mungu akubariki

  • @TristanKevin
    @TristanKevin3 жыл бұрын

    Kalii Sanaa mkuu I like the artist

  • @martinmhendi1753
    @martinmhendi17532 жыл бұрын

    Mm i like 20 per kwa majibu yake mazuri hasa kwa waandishi wa habari maana wengi Huwa hawaulizi maswali naona kama wengi wambea na wachonganishi na 20 knows how to deal with them

  • @Ulasi_Jr
    @Ulasi_Jr3 жыл бұрын

    Kweli kaka one love mm binafsi nyimbo zako bado naishi nazo ww ni 👉🔥🔥🔥

  • @mauriceirahinyuza9945
    @mauriceirahinyuza9945 Жыл бұрын

    Love u Sana twenty from Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🤣😂 urakundwa cane gose

  • @victoriamwaipopo3282
    @victoriamwaipopo32823 жыл бұрын

    Hakuna msanii nnaempenda kama twenty jaman akitoka twenty kiba ao watu mm aise nawapenda sana sana

  • @mamyhajra6893
    @mamyhajra68933 жыл бұрын

    I love so much 20% nyimbo zake zinaelimisha sana ila zinahuzunisha piaaaa daah big up broooohh👍👍

  • @mamyhajra6893

    @mamyhajra6893

    3 жыл бұрын

    Asanteni nyote mlo like comment yangu much love for you guys

  • @mbachoclassic7818

    @mbachoclassic7818

    3 жыл бұрын

    Tamaa mbaya waeleze kaka✅

  • @Raphaelkamulete
    @Raphaelkamulete4 ай бұрын

    Wa stani wazamani walipitiya mu maisha mbaya ndiyo alakini walianza imba bya Mana. Namupenda 20%

  • @amirmwezemba6778
    @amirmwezemba67783 жыл бұрын

    Mxhakaji na mkubali xna pili ana confidence ya kujibu Nice Brother 20p,

  • @johnjonas7701
    @johnjonas77013 жыл бұрын

    Katika hao watu unao ishi nao nam nimo,kiukweli kaka m nakuelewa sana broo,nachoamini kwenye mziki nikwamba,unapotoa nyimbo inabidi utulie kuangalia soko la huo wimbo,na pia kukaa kimya sio ajabu,tatizo hao mashabiki uchwala wanataka uangalie mziki tu bila kufanya kitu kingine jambo ambalo si kweli,m najua upo na unajua unachokofana kaka mungu akubariki

  • @jamesmwitawa5439

    @jamesmwitawa5439

    3 жыл бұрын

    inafuraishz

  • @boscobihumugani1703
    @boscobihumugani17032 жыл бұрын

    Mimi.napenda.sana.maneno.yatweti.kwnye.muziki.anatunga.sheriya

  • @alisabyozani9796
    @alisabyozani97968 ай бұрын

    Hiyo Kweli kbs napendaga sana nyimbo zako

  • @rehemasadick3754
    @rehemasadick37542 жыл бұрын

    Kaka nakukubali sanaaaaa

  • @raykas9976
    @raykas99763 жыл бұрын

    Ni kweli kabisa 20 percent kuna watu umeingia mioyoni mwao na mm mmoja wao.

  • @gladnessterry8430

    @gladnessterry8430

    2 жыл бұрын

    Kaka kikweli unaimba vizuri mno

  • @abdallahjuma7516
    @abdallahjuma75163 жыл бұрын

    Big up kaka 20 sana unajiamin mnoo huna papala lakin bado upo na ukiamua kurudi kwenye game ni maamuzi yako yaan maneno yako yananifurahisha sana

  • @ahmadmlima8155
    @ahmadmlima81552 жыл бұрын

    Uwezo wako wa fikra na majibu ya haraka .nisawa,na hekima ya uwezo wa nyota.......ila Kuna kitu kimejificha kwako Rudi kivingine utafika katika Malengo uliokusudiwa.katika kutoa kwa watu yalio kusudiwa

  • @vascobenedict488
    @vascobenedict4883 жыл бұрын

    We jamaa ni kichwa sana kweli utaishi daima kupitia mziki wako

  • @worldfunnyvideos6147
    @worldfunnyvideos61473 жыл бұрын

    Nakupenda 20% john kotorit kutoka kenya

  • @twahirikitwana9842
    @twahirikitwana98423 жыл бұрын

    Just speak in swahili bhana though we ni 20% ila mi nakkubali 💯% tangia kipindi hiko nakupata nikiwa 254💪🏾💪🏾

  • @kallykisato3199
    @kallykisato31993 жыл бұрын

    kabsa kk uje kutuondolea matusi kwenye radio zetu na tv,kupitia wew hata watukanaji wanaeza badilisha mashairi

  • @kintongeboy
    @kintongeboy Жыл бұрын

    Jambo kaka mimi naisi Congo Lubumbashi sasa namutafuta twenty pacent

  • @tatumatata2428
    @tatumatata24283 ай бұрын

    Huyu ni bonge la msanii ❤

  • @bigmachineschannelkenya7408
    @bigmachineschannelkenya74083 жыл бұрын

    This man is very wise he has motivated me in a unique way be bless

  • @ericbadesire9172

    @ericbadesire9172

    Жыл бұрын

    🤝

  • @user-tg2mn3xu1y

    @user-tg2mn3xu1y

    5 ай бұрын

    Chawa wenzangu yamanisha nn sielewi mimi

  • @geraldsanzala8119
    @geraldsanzala81192 жыл бұрын

    Ahsante saana 20 upo mioyoni mwetu amini kaka

  • @shevadizzoshevadizzo8458
    @shevadizzoshevadizzo84583 жыл бұрын

    True twenty pear your very airst good

  • @guystiger2203
    @guystiger22036 ай бұрын

    I like this one ☝️

  • @jeremiemukovi3817
    @jeremiemukovi38172 жыл бұрын

    Uko juu sana

  • @Danielkashatila2024
    @Danielkashatila20243 жыл бұрын

    Nimefurahi sana kumuona kwa kweli 20% karibu kazini

  • @brightnesshawa1089
    @brightnesshawa10893 жыл бұрын

    Hiii interview imepangwa na 20"Pa ila kuwastua mashabik zake kwambaa ANALUDIII kwenye game

  • @mwanaishazain7985

    @mwanaishazain7985

    3 жыл бұрын

    20%

  • @shabanijuma2085
    @shabanijuma20853 жыл бұрын

    Mtangazaji muelewe 20 mdomo wako umejikuta ukonao Kwa hiyo jifunze kuishi nao sio jufuata wanachotaka wao.

  • @fatumamkuzi1475
    @fatumamkuzi14753 жыл бұрын

    Uhu mtu nilisikia hasa ame fariki mungu akusaidie uzima na afya amiin

  • @jeanclaude2575
    @jeanclaude25753 жыл бұрын

    Na mimi 20% umeingia mu roho yangu kabisa.na ivi nyimbo zako natembea nazooo.big up sana

  • @bongowere1594

    @bongowere1594

    3 жыл бұрын

    Umepaniki mondi baba lao

  • @shadytv1227

    @shadytv1227

    3 жыл бұрын

    One love bro we miss you

  • @wazirimwazembe2217
    @wazirimwazembe22173 жыл бұрын

    Alishakwama akafeli anatafuta kiki kwa watu acha walioweza wafanye mziki wako ulishapita hujui kujiongoza kizazi kipya hiki tuache tuinjoy

  • @peterjonathan5681
    @peterjonathan56813 жыл бұрын

    Wakimbize 20% nakuaminia neema mpe hi ile ngoma nifunika bila kusahau tamaa mbaya na ganja

  • @johnutenga9708
    @johnutenga97082 жыл бұрын

    Sawa kakaaaaaaaa

  • @ELIFASIMwigema
    @ELIFASIMwigema5 күн бұрын

    Hakuna kama 20,,, alafu napendaga unavyowajibu... Kubwa juuuuuuuu.

  • @terrietrizah3049
    @terrietrizah30493 жыл бұрын

    20 we ndio msanii,,, nakupenda toka zamani

  • @jaylovemangapi9202
    @jaylovemangapi9202 Жыл бұрын

    Safi kaka

  • @user-pc6tb1qz3v
    @user-pc6tb1qz3v9 ай бұрын

    Meilleur artiste

  • @PamelaJonas-dh6lg
    @PamelaJonas-dh6lg9 ай бұрын

    Aki kweli upo moyoni mwangu 20❤❤❤❤

  • @ericbadesire9172
    @ericbadesire9172 Жыл бұрын

    Eeeeeh ! 20% cunga Tamaa Mbaya. Potelea mbali na mambo ya WCB utapelekwa Freemason. Ebu tazama Vidole vya Mondi na shingo lake.

  • @gasperriwa9120
    @gasperriwa91203 жыл бұрын

    Anamaanisha diamond na kofi olomide ni mafreemason kusaidiana ndio moja ya Sheria Za mafreemason Imeisha hiyo

  • @salimucvales7495

    @salimucvales7495

    3 жыл бұрын

    We utakalia ujinga .tafuta maisha acha domo maisha ni kutafuta sio kutafutana!

  • @fatumaomary9824
    @fatumaomary98243 жыл бұрын

    na kuku bali sana we kaka unaimba vizur mashair yako safi kabisa nyimbo zako popote pale naskiliza hata mbele ya mzazi wangu naweza skiliza

  • @mossesezekiel7862
    @mossesezekiel78623 жыл бұрын

    Tunakukumbuka bhana tunaofuatilia nyimbo zako tunakukumbuka na mafunzo yako pia!!!

  • @mossesezekiel7862

    @mossesezekiel7862

    3 жыл бұрын

    Pamojaaa sana

  • @paulinanjelekela1149

    @paulinanjelekela1149

    Жыл бұрын

    Nakupenda sana na unaishi kweli moyoni mwangu

  • @user-qd9vf6ud3f

    @user-qd9vf6ud3f

    7 ай бұрын

    Kiukweli jamaa yupo poa sana aisee

  • @ramadhanmngoji1523
    @ramadhanmngoji15232 жыл бұрын

    Nakubali kazi zako 20

  • @jajakajaniri5813
    @jajakajaniri5813 Жыл бұрын

    Namupendasan tweti🇧🇮🇧🇮🙏🙏❤️❤️

  • @fredkyara3278
    @fredkyara32783 жыл бұрын

    Nimekuelewa saaaaaana 20 percent. Hakika nikweli wale ndi ndugu. Asilimia 90 day anaoshirikiana nao ni ndugu. Yaani ni jamii moja. Hujanielewa, fumba macho.

  • @GalaxyA-ve8tu
    @GalaxyA-ve8tu9 ай бұрын

    Ulikua unaimba sana 20 yani ww jaman rudi tena nyimbo zako zilikua na miujumbe miziri sana

  • @uwimananadia6066
    @uwimananadia60663 жыл бұрын

    20% azeheki afu handsome kwa kweli mimi nimezeaka kabla yake😥

  • @aishasalum7936

    @aishasalum7936

    3 жыл бұрын

    Mm 2000 lkn nishampita😂😂😂yan 20 na barnaba akah nyoe makaka mpk wadogo wenu twawapita

  • @salimajuma3435
    @salimajuma34353 жыл бұрын

    Nakukubar sana mshikaji wangu hata mi pia upo moyon siwez kuacha kufatilia nyimbo zako

  • @theresiateddimboya1079
    @theresiateddimboya10792 жыл бұрын

    Mi mwenyewe nakukubali sana sina wakukufananisha

Келесі