Shika mic Juma Lokole Afunguka Kuibiwa Kila Kitu Na Mke Wake Na watoto 2 miaka 9 Kwenye Ndoa

Ойын-сауық

Unaweza kututembelea instagram @bingoonlinetz
#bingoonlinetz
#sisisiowepesi #TunakupaKwaWakati
Ahsante kwa Kuiamini na ku SUBSCRIBE BINGO ONLINE TZ Na kuifanya ifikishe Subscribers Milioni 1

Пікірлер: 33

  • @chantalnizigama5012
    @chantalnizigama50122 жыл бұрын

    Wewe ni mweupe? Acha kasumba ya kijnga. Black is beauty

  • @wardamunguakuzidishew9399
    @wardamunguakuzidishew93992 жыл бұрын

    Mbona mwanzo ulikopeshwa mahali na mwanamke alikuwa anapambana sema ukweli kuwa asaivi wanaume wenzio wanakutumia msenge ww badilika

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum72792 жыл бұрын

    Ila msafi jamani looh tena mwanaume 💐kila kitu cheupe👌🏽🤸‍♀️🤸‍♂️

  • @Queen_latiffa
    @Queen_latiffa2 жыл бұрын

    Sio poa dada wakazi afue nguo za ndani bhana 😂😂

  • @creativebrandtz
    @creativebrandtz2 жыл бұрын

    Production bado vifaa vipo ttz umakini kwenye Editing , Mwangwi wa Mic sauti sio Smooth Jitahidi lkn All in all Safi Good interview.

  • @lm6373
    @lm63732 жыл бұрын

    Mwanaume kama huyo hatta ana palace simtaki 😏😏😏😏😏

  • @sarahgaula2220
    @sarahgaula22202 жыл бұрын

    Mit 31:10-31 SUV Mke mwema, ni nani awezaye kumwona? Maana kima chake chapita kima cha marijani. Moyo wa mumewe humwamini, Wala hatakosa kupata mapato. Humtendea mema wala si mabaya, Siku zote za maisha yake. Hutafuta sufu na kitani; Hufanya kazi yake ya mikono kwa moyo. Afanana na merikebu za biashara; Huleta chakula chake kutoka mbali. Tena huamka, kabla haujaisha usiku; Huwapa watu wa nyumbani mwake chakula; Na wajakazi wake sehemu zao. Huangalia shamba, akalinunua; Kwa mapato ya mikono yake hupanda mizabibu. Hujifunga nguvu viunoni kama mshipi; Hutia mikono yake nguvu. Huona kama bidhaa yake ina faida; Taa yake haizimiki usiku. Hutia mikono yake katika kusokota; Na mikono yake huishika pia. Huwakunjulia maskini mikono yake; Naam, huwanyoshea wahitaji mikono yake. Hawahofii theluji watu wa nyumbani mwake; Maana wote wa nyumbani mwake huvikwa nguo nyekundu. Hujifanyia mazulia ya urembo; Mavazi yake ni kitani safi na urujuani. Mume wake hujulikana malangoni; Aketipo pamoja na wazee wa nchi. Hufanya nguo za kitani na kuziuza; Huwapa wafanya biashara mishipi. Nguvu na hadhi ndiyo mavazi yake; Anaucheka wakati ujao. Hufumbua kinywa chake kwa hekima, Na sheria ya wema i katika ulimi wake. Huangalia sana njia za watu wa nyumbani mwake; Wala hali chakula cha uvivu. Wanawe huondoka na kumwita heri; Mumewe naye humsifu, na kusema, Binti za watu wengi wamefanya mema, Lakini wewe umewapita wote. Upendeleo hudanganya, na uzuri ni ubatili; Bali mwanamke amchaye BWANA, ndiye atakayesifiwa. Mpe mapato ya mikono yake, Na matendo yake yamsifu malangoni. SUV: Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia husisha wengine/jumuisha Soma Sura Nzima  Apu ya Biblia  Apu ya Biblia ya Watoto Mit 31:10-31  husisha wengine/jumuisha Soma Sura Nzima

  • @arafaally800
    @arafaally8002 жыл бұрын

    kaka angu juma maneno kuntu

  • @rehemawema604
    @rehemawema6042 жыл бұрын

    Tunaomba part 2 tuone ndan coz he is smart man

  • @noorynmohammedy6063
    @noorynmohammedy60632 жыл бұрын

    Juma si tupo Dubai uku tunakuzum to unavoongopa wafanya kaz c wangelinga kma ingekua hvo

  • @khadijahali4837

    @khadijahali4837

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @ahmedhamdan8526
    @ahmedhamdan85262 жыл бұрын

    Safi

  • @shellaking6185
    @shellaking61852 жыл бұрын

    Anaukubwa gani,labda mmbea mkubwa.

  • @umikarama5363
    @umikarama53632 жыл бұрын

    Very true jumaaa nimependa

  • @mashiassenga8849
    @mashiassenga88492 жыл бұрын

    Haki juma ww 😹🤣

  • @rayanndizeyes3161
    @rayanndizeyes31612 жыл бұрын

    Umepe na Soda jumalokole ni maneno tu😉😉😉

  • @mdmahammed2852
    @mdmahammed28522 жыл бұрын

    Nikweli juma mie nipo oman kikaz

  • @hieljoe1017
    @hieljoe10172 жыл бұрын

    Kusema hutupend weusi tuna ubaya gani😀😀

  • @alalwialalwiii8194
    @alalwialalwiii81942 жыл бұрын

    Wewe mwenyew nishogaa2

  • @majutosanaelias4307
    @majutosanaelias43072 жыл бұрын

    Sasa bona anashikashika mito juma kumbe niwakike

  • @janetahmed6948
    @janetahmed69482 жыл бұрын

    Kumbe weye wamekukomecha

  • @wardamunguakuzidishew9399
    @wardamunguakuzidishew93992 жыл бұрын

    Kwanza ivo ulivokaa ulivovaa unavoongea mwanamke mtupu

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe8452 жыл бұрын

    Kumbe mke kamtoroka baada akaanza awe shoga Nampo Pole sana kweli kaamua kuvaa pampas kweli😉☺️😉☺️

  • @lightnesselirehema1464

    @lightnesselirehema1464

    2 жыл бұрын

    Kwanini mnamshuhudia mtu uongo?

  • @juliennenzeyimana3274
    @juliennenzeyimana32742 жыл бұрын

    Unawutajili gani wewe ?maisha saivi yaishakuwa magumu ?sikuwhizi maisha ni kusaidiyana mke na mme

  • @cheupestefano5424
    @cheupestefano54242 жыл бұрын

    Your wife didn't steal from you be serious MADAME amechukua alicho penda hapo kwako wee nennda kanunue vingine ikiwezekana aje kubeba tena

  • @khadijahali4837

    @khadijahali4837

    2 жыл бұрын

    Walishaachana mda sana kabla hata hajawa maarufu

  • @magrethmbangama1199
    @magrethmbangama11992 жыл бұрын

    Mmh jmn vizazi hv hata nguo yako ya ndani unashindwa kufua,?

  • @missmoona4497

    @missmoona4497

    2 жыл бұрын

    Ni hatar mwenyewe anaona siiifaaaaaaa

  • @kessynurutajiri4940
    @kessynurutajiri49402 жыл бұрын

    Sijasikia Juma Lokole kuwa na Mke wala Watoto, hii ni habari mpya.

  • @khadijahali4837

    @khadijahali4837

    2 жыл бұрын

    Mbn anasemaga sana kama anao watoto

  • @sarahgaula2220

    @sarahgaula2220

    2 жыл бұрын

    Hata mkewe amewahi kuhojiwa

  • @zoab2699
    @zoab26992 жыл бұрын

    Unafuliwa chupi zako na mdada wa kazi 🤮😷🤒🤕

Келесі