Shika mic Juma Lokole Afunguka Kuibiwa Kila Kitu Na Mke Wake Na watoto 2 miaka 9 Kwenye Ndoa
Ойын-сауық
Unaweza kututembelea instagram @bingoonlinetz
#bingoonlinetz
#sisisiowepesi #TunakupaKwaWakati
Ahsante kwa Kuiamini na ku SUBSCRIBE BINGO ONLINE TZ Na kuifanya ifikishe Subscribers Milioni 1
Пікірлер: 33
Wewe ni mweupe? Acha kasumba ya kijnga. Black is beauty
Mbona mwanzo ulikopeshwa mahali na mwanamke alikuwa anapambana sema ukweli kuwa asaivi wanaume wenzio wanakutumia msenge ww badilika
Ila msafi jamani looh tena mwanaume 💐kila kitu cheupe👌🏽🤸♀️🤸♂️
Sio poa dada wakazi afue nguo za ndani bhana 😂😂
Production bado vifaa vipo ttz umakini kwenye Editing , Mwangwi wa Mic sauti sio Smooth Jitahidi lkn All in all Safi Good interview.
Mwanaume kama huyo hatta ana palace simtaki 😏😏😏😏😏
Mit 31:10-31 SUV Mke mwema, ni nani awezaye kumwona? Maana kima chake chapita kima cha marijani. Moyo wa mumewe humwamini, Wala hatakosa kupata mapato. Humtendea mema wala si mabaya, Siku zote za maisha yake. Hutafuta sufu na kitani; Hufanya kazi yake ya mikono kwa moyo. Afanana na merikebu za biashara; Huleta chakula chake kutoka mbali. Tena huamka, kabla haujaisha usiku; Huwapa watu wa nyumbani mwake chakula; Na wajakazi wake sehemu zao. Huangalia shamba, akalinunua; Kwa mapato ya mikono yake hupanda mizabibu. Hujifunga nguvu viunoni kama mshipi; Hutia mikono yake nguvu. Huona kama bidhaa yake ina faida; Taa yake haizimiki usiku. Hutia mikono yake katika kusokota; Na mikono yake huishika pia. Huwakunjulia maskini mikono yake; Naam, huwanyoshea wahitaji mikono yake. Hawahofii theluji watu wa nyumbani mwake; Maana wote wa nyumbani mwake huvikwa nguo nyekundu. Hujifanyia mazulia ya urembo; Mavazi yake ni kitani safi na urujuani. Mume wake hujulikana malangoni; Aketipo pamoja na wazee wa nchi. Hufanya nguo za kitani na kuziuza; Huwapa wafanya biashara mishipi. Nguvu na hadhi ndiyo mavazi yake; Anaucheka wakati ujao. Hufumbua kinywa chake kwa hekima, Na sheria ya wema i katika ulimi wake. Huangalia sana njia za watu wa nyumbani mwake; Wala hali chakula cha uvivu. Wanawe huondoka na kumwita heri; Mumewe naye humsifu, na kusema, Binti za watu wengi wamefanya mema, Lakini wewe umewapita wote. Upendeleo hudanganya, na uzuri ni ubatili; Bali mwanamke amchaye BWANA, ndiye atakayesifiwa. Mpe mapato ya mikono yake, Na matendo yake yamsifu malangoni. SUV: Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia husisha wengine/jumuisha Soma Sura Nzima  Apu ya Biblia  Apu ya Biblia ya Watoto Mit 31:10-31  husisha wengine/jumuisha Soma Sura Nzima
kaka angu juma maneno kuntu
Tunaomba part 2 tuone ndan coz he is smart man
Juma si tupo Dubai uku tunakuzum to unavoongopa wafanya kaz c wangelinga kma ingekua hvo
@khadijahali4837
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
Safi
Anaukubwa gani,labda mmbea mkubwa.
Very true jumaaa nimependa
Haki juma ww 😹🤣
Umepe na Soda jumalokole ni maneno tu😉😉😉
Nikweli juma mie nipo oman kikaz
Kusema hutupend weusi tuna ubaya gani😀😀
Wewe mwenyew nishogaa2
Sasa bona anashikashika mito juma kumbe niwakike
Kumbe weye wamekukomecha
Kwanza ivo ulivokaa ulivovaa unavoongea mwanamke mtupu
Kumbe mke kamtoroka baada akaanza awe shoga Nampo Pole sana kweli kaamua kuvaa pampas kweli😉☺️😉☺️
@lightnesselirehema1464
2 жыл бұрын
Kwanini mnamshuhudia mtu uongo?
Unawutajili gani wewe ?maisha saivi yaishakuwa magumu ?sikuwhizi maisha ni kusaidiyana mke na mme
Your wife didn't steal from you be serious MADAME amechukua alicho penda hapo kwako wee nennda kanunue vingine ikiwezekana aje kubeba tena
@khadijahali4837
2 жыл бұрын
Walishaachana mda sana kabla hata hajawa maarufu
Mmh jmn vizazi hv hata nguo yako ya ndani unashindwa kufua,?
@missmoona4497
2 жыл бұрын
Ni hatar mwenyewe anaona siiifaaaaaaa
Sijasikia Juma Lokole kuwa na Mke wala Watoto, hii ni habari mpya.
@khadijahali4837
2 жыл бұрын
Mbn anasemaga sana kama anao watoto
@sarahgaula2220
2 жыл бұрын
Hata mkewe amewahi kuhojiwa
Unafuliwa chupi zako na mdada wa kazi 🤮😷🤒🤕