MAKUNDI YOTE MOTONI ISPOKUA KUNDI MOJA TU - Sheikh Salim Barahiyan

Full video on KZread:
• KUKATAA KUPATA MISUKO ...

Пікірлер: 32

  • @Nuru_ya_sunnah.official
    @Nuru_ya_sunnah.official3 ай бұрын

    maa shaa Allah allah awabarik nyote

  • @oxygrp7393
    @oxygrp73934 ай бұрын

    Innaa lillahi wa innaa ilayhi raajiun 😢

  • @user-gc3ec9wx6z
    @user-gc3ec9wx6z3 ай бұрын

    Yan uyu shekhe mbaya sana fitina haswa

  • @AtiqQassim-od9jr
    @AtiqQassim-od9jr4 ай бұрын

    Allah akulipe kila la kher kwan hak lazma isemwee hat kamaykun wanaochukia

  • @wedmoosa3503
    @wedmoosa35034 ай бұрын

    Ungekuwa na tanuri la kutengeza mikate bora kuliko fitna zako...marhum babako tukisali nae ibadhi barabara 12, wacha fitina somesha watu lenye maana... wee ukikaa ibadhi ibadhi... ukizikwa nakkar na munkari hawatakuuliza wee wahabi au ibadhi... ushakuwa umri wako mkubwa wacha fitina

  • @ilyasmuhsin3285

    @ilyasmuhsin3285

    3 ай бұрын

    Ni hakki anachozungumza sheikh wewe chuki zako hazitokufikisha popote

  • @aminaosman3315
    @aminaosman33154 ай бұрын

    ,wewe ndie utaongoza wenye kuingia moton

  • @user-xx1rj2pb5j
    @user-xx1rj2pb5j4 ай бұрын

    Huyu shekhe ni kelbu nar

  • @user-yv1gj2zn4z
    @user-yv1gj2zn4z4 ай бұрын

    Acheni sheikh Othman Maalim ndio aongeye nayeye watu WA fitna muondoke

  • @rashidjuma9169
    @rashidjuma91693 ай бұрын

    «1566» وعنه قَالَ: قَالَ رسولُ اللهِ صلى الله عليه وسلم: ((مَنْ أَحَبَّ أنْ يُزَحْزَحَ عَنِ النَّارِ، ويُدْخَلَ الجَنَّةَ، فَلْتَأْتِهِ مَنِيَّتُهُ وَهُوَ يُؤْمِنُ بِاللهِ وَاليَومِ الآخِرِ، وَلْيَأْتِ إِلَى النَّاسِ الَّذِي يُحِبُّ أنْ يُؤْتَى إِلَيْهِ)). رواه مسلم. وَهُوَ بعض حديثٍ طويلٍ سبق في بابِ طاعَةِ وُلاَةِ الأمُورِ. هذا الحديث: كقوله تعالى: {وَلاَ تَمُوتُنَّ إِلاَّ وَأَنتُم مُّسْلِمُونَ} [آل عمران: 102]، أي: استقيموا على الإِسلام. قوله: ((وليأت إلى الناس الذي يحب أن يؤتى إليه))، أي: يحسن معاملتهم بالبشر، وكف الأذى، وبذل النَّدى، كما يحب ذلك منهم له.

  • @rashidjuma9169
    @rashidjuma91693 ай бұрын

    «1576» وعن جُندب بن عبدِ الله رضي الله عنه قَالَ: قَالَ رسولُ اللهِ صلى الله عليه وسلم: ((قَالَ رَجُلٌ: وَاللهِ لاَ يَغْفِرُ اللهُ لِفُلانٍ، فَقَالَ اللهُ- عز وجل: مَنْ ذا الَّذِي يَتَأَلَّى عَلَيَّ أنْ لاَ أغْفِرَ لِفُلانٍ! إنِّي قَدْ غَفَرْتُ لَهُ، وَأَحْبَطْتُ عَمَلَكَ)). رواه مسلم. في هذا الحديث: التحذير من احتقار أحد من المسلمين، وإن من كان الرعاع، فإن الله تعالى أخفى سره في عباده.

  • @KAIPAAA3211
    @KAIPAAA32114 ай бұрын

    Ndo nyie mnaotukanana mitandaon wenye ubaguz na chuk baina ya waislam waislam. Mtume hakuwa na Tasisi wapumbavu mnawapotosha watu, et Sunn,Suf,Saraf, Istquama,Shia,Hamadia, Dini moja Mungu moja,Tabrqu nyoote wapumbavu wamoton

  • @yasinmasawe6421
    @yasinmasawe64213 ай бұрын

    Salum lbrahim unawahukumu waislamu wenzako wewe unaweza kuwa na elimu ya lzzudidin kazeekea Madina anasoma.wewe ushatengeneza kundi lako inaliita la Suna kula hela zao basi ila huna hata elimu ya hapo Lamu fanya toba umri umekutupa mkono

  • @aminaosman3315
    @aminaosman3315Ай бұрын

    ,kwakudhulimu yatima ikiwa Allah kajiharamishia zulma itakuwa wewe

  • @nasseralmaqbali6317
    @nasseralmaqbali63174 ай бұрын

    Sasa ni kundi gani Hilo moja litakaloingia peponi? Wacha fitna zako, waislamu wote ni ndugu jamani Hawa mashekhe fake tuwapigeni vita ndio wanaotuharibia dini kwa fitna zao, kasoma lakini bado ni mjinga

  • @rashidjuma9169
    @rashidjuma91693 ай бұрын

    «211» وعن عبد الله بن عمرو بن العاص رضي الله عنهما عن النَّبيّ صلى الله عليه وسلم قَالَ: ((المُسْلِمُ مَنْ سَلِمَ المُسْلِمُونَ مِنْ لِسَانِهِ وَيَدِهِ، وَالمُهَاجِرُ مَنْ هَجَرَ مَا نَهَى اللهُ عَنْهُ)). مُتَّفَقٌ عَلَيهِ. في هذا الحديث: دليل على أن من كف لسانه ويده عن المسلمين أنه كامل الإسلام، ومن هجر ما نهى الله عنه فهو المهاجر حقًا، فاشتمل هذا الحديث على جوامع من معاني الكلم والحكم.

  • @user-yv1gj2zn4z
    @user-yv1gj2zn4z4 ай бұрын

    Huyu Mzee analeta fitna

  • @user-cl9zh8zs5e

    @user-cl9zh8zs5e

    4 ай бұрын

    Bainisha fitna gani kaleta?. Utoe dalili kama yeye alivyo nukuu meneno ya mtume wa ALLAH, ukiyakataa hayo basi tambua umemkataa mtume wa ALLAH { وَمَا يَنطِقُ عَنِ ٱلۡهَوَىٰٓ } Wala hatamki kwa matamanio. { إِنۡ هُوَ إِلَّا وَحۡيٞ يُوحَىٰ } Hayakuwa haya ila ni ufunuo ulio funuliwa; وَمَآ ءَاتَىٰكُمُ ٱلرَّسُولُ فَخُذُوهُ وَمَا نَهَىٰكُمۡ عَنۡهُ فَٱنتَهُواْۚ Na anacho kupeni Mtume chukueni, na anacho kukatazeni jiepusheni nacho. Kwahio ukisema sheikh kaleta fitna kwahio mtume ndio kaleta Hilo?. Mcheni Mola enyi waja hakika haya mwayaandika kesho kwa ALLAH tutaulizwa na muda tulionao hapa Dunia ni mchache

  • @user-yv1gj2zn4z
    @user-yv1gj2zn4z4 ай бұрын

    Mzee unafanyiye wasta yakuingiya janat ajili nahisi wewe ndio unaingiza watu motoni na lanat😂😂

  • @SalumuMatimbwa
    @SalumuMatimbwa4 ай бұрын

    Nasaha hizi mumfikishie ndugu yenu kishk ambae yeye na watu wa bidaa wanalala na wanaamka pamoja

  • @ShabanHassan-td3lx

    @ShabanHassan-td3lx

    4 ай бұрын

    Kwni ww kishki si ndgi ako?

  • @AhmedAli-gh1lm

    @AhmedAli-gh1lm

    4 ай бұрын

    Kwa mujibu wa masalafi na mawahabi mtu yoyote asiyejiita salafi au wahabi huwa si ndugu yao katika dini na hata salamu wakati mweingine hawakupi. Wanaitakidi kuwa wewe ni mtu wa bidaa na ni muovu zaidi kuliko hata kafiri. Masalafi hawamuitakidi Kishk kama ndugu yao.

  • @abbaspaziaog2188

    @abbaspaziaog2188

    4 ай бұрын

    Nani asiejua kishki amepinda???

  • @user-rt6fd1fv9i

    @user-rt6fd1fv9i

    4 ай бұрын

    Sn

  • @thegreenkhidhir3705

    @thegreenkhidhir3705

    4 ай бұрын

    Kundi la peponi ni la watu waliotimiza nguzo sita za imani (waumini), ambao wana khushui ktk swala zao na wanazichunga swala zao wakiwa mitaani...Sasa uyu hata Qur'an haiamini inayokataza kuharibu mal na heshima ya muislamu mwenzie! Sio Allah wala Mtume Wake waliosema tuwe Salafi n.k na kujipa majina ya makundi ni Ushirikina (Surat Rum:31-32, Shura: 13-14,An'am: 159). Ni nguzo ya imani kumuamini Allah anapokata kauli na kuamini Aya za Kitabu Chake kuhusu kujipa makundi. { إِنۡ هِيَ إِلَّآ أَسۡمَآءٞ سَمَّيۡتُمُوهَآ أَنتُمۡ وَءَابَآؤُكُم مَّآ أَنزَلَ ٱللَّهُ بِهَا مِن سُلۡطَٰنٍۚ إِن يَتَّبِعُونَ إِلَّا ٱلظَّنَّ وَمَا تَهۡوَى ٱلۡأَنفُسُۖ وَلَقَدۡ جَآءَهُم مِّن رَّبِّهِمُ ٱلۡهُدَىٰٓ } [Surah An-Najm: 23] Hayo hayakuwa ila ni majina mliyoyaita nyinyi na baba zenu. Allah hakuteremsha dalili yoyote juu ya hayo. Hawafuati ila dhana na kipendacho nafsi. Na kwa yakini uwongofu ulikwisha wafikia kutoka kwa Mola wao Mlezi. Na Allah Anajua zaidi

  • @GSaleh-xr3vn
    @GSaleh-xr3vn4 ай бұрын

    Nilijua mtume alisema kundi litakaloingia peponi ni suni,shia,ibadh,sufi,salaf,wahabi kumbe yote hayamo sasa nashangaa masheikh kun'gan'gania makundi sijui wameyatoa wap wakat Allah na Mtume wameshalitaja kundi litakaloingia peponi,iv mashekhe mnatak kutuingiza motoni huku mkiwa mnajua?

Келесі