MAANDAMANO NI HARAMU NI OUVU AMKENI ENYI WAISLAMU! SHEIKH ZEINUL ABIDIIN
❌UHARAMU WA MAANDAMANO ❌
UJAMBAZI NA UFISADI UHARIBIFU NA FUJO KWA KISINGIZIO CHA MAANDAMANO
HII SIO NJIA SAHIHI YA KUDAI HAKI ZETU HUU NI UOVU
🎙️SHEIKH ZEINUL ABIDIIN ALLAH AMHIFADHI
#rejectfinancebill #kenya #maandamano #foryou #duet #alhilalymediapro
•┈┈┈┈•✿❁✿•┈┈┈┈•
Aʟʜɪʟᴀʟʏ ᴍᴇᴅɪᴀ ᴘʀᴏ ||
𝐔𝐧𝐠𝐚𝐧𝐚 𝐍𝐚𝐬𝐢 𝐊𝐰𝐚 𝐕𝐢𝐬𝐨𝐦𝐨 𝐕𝐲𝐚 𝐐𝐮𝐫𝐚𝐧 𝐊𝐡𝐮𝐭𝐛𝐚 𝐙𝐚 𝐈𝐣𝐮𝐦𝐚𝐚 𝐌𝐢𝐡𝐚𝐝𝐡𝐚𝐫𝐚 𝐍𝐚 𝐅𝐚𝐰𝐚𝐢𝐝 𝐌𝐛𝐚𝐥𝐢 𝐌𝐛𝐚𝐥𝐢
𝐘𝐨𝐮𝐭𝐮𝐛𝐞 Alhilaly Media Pro
/ @alhilalymediapro
𝐈𝐧𝐬𝐭𝐚𝐠𝐫𝐚𝐦 Alhilaly Media Pro
/ alhilalymediapro
𝐭𝐢𝐤𝐭𝐨𝐤 Alhilaly Media Pro
/ alhilalymediapro
🌹 انشر بارك الله فيك فمـن أحـب ألا يَنْقَطع عمله بْعد موتہ فَليَنْشُر العلم
•┈┈┈┈•
Пікірлер: 29
جزاك الله خيرا........الله يحفظك
Jazakrllah khaillah shehe kwaukumbusho.
Shehe huyu jamanii mumemuelewa
Wewe mpuuzi kaa kimya
Toka kwa hiyo mimbar .
Sheikh Mohmd rogo ali yasema hayo ss twaamini.
Na uislamu upi unaoruhusu kuwadhulumu nafsi zao yaani kujitoa Muhanga kwa kujiripua tena msikitini ndani watu wakiwa wanaswali????? Kumbe WAHABI , ANSWARI SUNA , SALAFIYA HAYO MNAYAJUWA LEO VIGEUGEU NYIE
@AbuuHaniyfah
15 күн бұрын
Kwa hio answar Sunnah na hao masalafi wanaruhusu watu kujilipua?
Sheikh amekosea kitu kimoja tuu kusema maandamano ni haramu laa wanao iba ndio niharamu but sio kusema maandamano ni haramu unakosea hilo
Subhaanallaah 😊
sasa ikiwa wananchi wanadhulumia je wafanyeje??? au watulie tu !
Kazi nzuri shekh
Kwaani shekh kinachotetewaa ni uislam amaaa??????
A.a shida ya wahabi wacha vijana wakutembelee ndio ujue.Ulamau suu.
Shehe ubwabwa mbona husemi kuhusù mauaji ya wapalestina kule gaza na huyo mtetea mashoga unaemtetea
Ya sheikh uwizi ndo mbaya lakini dhulma lazima ipingwe ije kutoka kiongozi ama raia...
@user-yj5on8cz3e
21 күн бұрын
Shekhe yupo sahihi mtume alikataza kumpinga mtawala ye anawagusia waislamu wenzie haifai kutoka mabarabarani
Huyu jamaa ni jahili wakiwahabi kichwa mchunga hana ajualo anajisemea tu. Maandamano kutetea haki zetu ni halali kiislam usipotoshe watu. Unajua mawahabi wanataka kubadilisha uislam ufate siasa za Saudia
Ewe Allah Tupe hidaya Ya Rabbi
@abbaspaziaog2188
17 күн бұрын
Aamiyn AL-AKHY
Jazakallahu kheri hii sio halali kunyakua mali za waislamu Wala makafiri mandamano ni yakutetea haki Yako walasi kuvunja maduka au magari yawatu hapo ndio unaigia uharamu,muislamu alo salimika kwama konowake, na ulimiwake.,shukran ume wajuza upande huo.,
Sheikh sasa hiyo ni yako maandamanp haramu wewe ni kibaraka.Kupiganiya haki yako siyo haramu.Lataktumu al haqkha.Yes kuiba kuchoma magari ya watu ni haramu Ok
Hawa mashekhe wengine cjui wameokotwa choon
@abuhassan9552
22 күн бұрын
Jambazi mkubwa wataka uachwe uendele na uovu
@mamlomamlo9064
22 күн бұрын
Jina lako zuri lakini ni mtu muovo endelea tu Allah atakukamata Iko siku
@hilalkhalfan1452
20 күн бұрын
Mie naona kinyesi haswaa. Km anawake hawavai hijab ni wakiristo tabia Yao. Sasa muislamu HAFAI kuidai haqi yake doh!😂
@abbaspaziaog2188
17 күн бұрын
Acha ujinga ww na kaa kimya shekh yuwaongea haqq😢