KASSIM MAFUTA yeye pekeyake anaona wooote wafuate Akili yake tu yeye pekeyake ndiyo kaongika
@pavillioncry52413 күн бұрын
Jazakallah haira Unazhngumza kama Abuu muawiya allah amsamehe makosa yake
@alhilalymediapro3 күн бұрын
AMIIN
@Abuumuqbil49944 күн бұрын
Allah akujaliye kauli thabit
@Abuumuqbil49944 күн бұрын
Niliwahi bahatika kusikiliza darsa zake masjed bukhari.magomeni Zanzibar kwa kweli kifo chako kimenigusa sana allah akurehemu
@Abuumuqbil49944 күн бұрын
Allah akurehemu shk abuu Muawiya na akusamehe makosa yko ammin
@yaqubjuma71374 күн бұрын
الله يرحمه رحمة الأبرار ويسكنه فسيح جناته
@luqmanhamisi53435 күн бұрын
Maa Shaa Allah
@omarijawadu40475 күн бұрын
Shukran saan
@OmarAlly-iz8ot5 күн бұрын
Kwakweli hivi vitu vyengine ni vizuri sana vinavyo muhusu Shekhe Abuu Mu'aawiyah Rahimahullaahu. Lakini vinatutia huzuni sana. Yani mengi yalio semwa ktk Taazia moyo wangu ulikua na huzuni, lkn hili shairi limenitia huzuni zaidi, kwa sbb nimewaza meeeengi kuhusu Elimu ya Shekhe Abuu Mu'aawiyah laiti angekua nimwenye kukadiriwa umri wake kua mrefu, ummah ungefaidika sana, na da'wah ingepata watu waliokua imara na waliokua wakweli na wenye juhudi ya kufikisha ukweli bila woga. Nampenda sana Shekh Abuu Mu'aawiyah, alikua mkweli kwenye Da'wah yake, na hakumuogopa yeyote ktk kuitangaza Da'wah ya Haqqi. Na alisimama wima kuyapinga na kuyabainisha makosa ambayo Mashaayikh wana Sunnah walikua nayo bila woga wala kigugumizi. Kiukweli Shekh Abuu Mu'aawiya Allaah amrahamu ma amghufirie makosa yake, alitoa faida kubwa sana kwa ummah ktk raddi zake kwa Mashaayikh wa Sunnah. Allaah mmiminie Rehma zako Shekh Abuu Mu'aawiyah na watowe ktk makosa ya .............Mashaayikh wa kisalafy ambao walimdhulumu ndugu yao Shekh Abuu Mu'aawiyah. Nahuu ndio ubinadamu, huwezi kua mkamilifu ktk kila sekta, bali kuna maeneo uta teleza tu, lamsingi Mashaayikh wa kisalafy bado tuko na imani nao, lkn wajitakase na makosa ya kumdhulumu Shekh Abuu Mu'aawiyah, na wasiyafanye tena kwa Mashaayikh wengine kama vile Shekh Muhammad Bachu Allaah amuhifadhi na amzidishi Maarifa, pamoja na Mashaayikh wengine weeeeeeeeengi.
@khamiskhamis99475 күн бұрын
اللهم آمين
@alhilalymediapro5 күн бұрын
Ameen Allah Atupe Badali Ya Rabbi
@ibnsalim35 күн бұрын
Amin
@hardmystic68825 күн бұрын
ما شاء الله جزى الله عنك كل ما تقدمه على خدمة الإسلام
@mustaphahussein11205 күн бұрын
بارك الله في علمك ونفع الله بك العباد والبلاد
@HakizimanaSelemani-wg3ze6 күн бұрын
ALLAH akulipe sheikh QASIM MAFUTA hakika umesema kweli Wasiokua na upana wa kuelewa bas wao wataongea matus Ila ALLAH awasameh na pia awaongoze
@YusuphSadiki5 күн бұрын
Shekh wetu acha wa mtukane hawajui kama azungumza haki??!! Halaf hao watakuja namazito siku ya kuyyamah . Halaf hayo yapenda tv naukiwachunguza hawasali kabisa
@HakizimanaSelemani-wg3ze5 күн бұрын
@@YusuphSadiki nimtihani kaka yangu ALLAH atupe mwisho mwema
@YusuphSadiki5 күн бұрын
@@HakizimanaSelemani-wg3ze Allah ndo wa kuombwa msaada katika Yale wanayoyaeleza allahumah amiin
@suleyazidu49916 күн бұрын
Allah amrehem Abu Muawiyah, na amuhifadh tokta islam
@abukhansaa28746 күн бұрын
رحمه الله أبا معاوية رحمة الأبرار وجزالله خيراً للدكتور إسلم محمد حفظه الله
@BadendeRamadhan6 күн бұрын
ManshaAllah Sheikhana 🎉❤
@pavillioncry52416 күн бұрын
Majadida ni watu wabaya sana
@abbaspaziaog21885 күн бұрын
Wallah hawa ndugu zetu niwatu wabaya mno yaani kwenye magroup ya whatsapp imefikia hatua wakasema abuu mu3wiya ni mtu wa bidaah na atazikwa na watu wabidaah wenzake 😢. ALLAH amrehemu shekh wetu wa sunnah shekh wetu wa salafi Abuu mu3wiya hasani awadh ❤❤❤❤❤
@nixonmwanguni30946 күн бұрын
Toka kwa hiyo mimbar .
@AhmedAhmed-xg1yo6 күн бұрын
Sheikh sasa hiyo ni yako maandamanp haramu wewe ni kibaraka.Kupiganiya haki yako siyo haramu.Lataktumu al haqkha.Yes kuiba kuchoma magari ya watu ni haramu Ok
@hemedsaidi93886 күн бұрын
Wewe mpuuzi kaa kimya
@ahmadmzoa746 күн бұрын
Jadida ni aina ya Waislamu wenye shari kubwa. Wanajisibu na Usalafi Usalafi lakini sio. Tufanye tathmini akhlaq zao ni Salafiya kweli?Abu Muawiya (Rahimahu LLAH)Ametangulia lakini bado wanamsema vibaya. Kundi hili ni mtihani katika umma. Tuwe na subira na TAHADHARI ALLAH SUBHANAHU WATAALA Atulinde na Atuhifadhi.
@wazirihamisi64845 күн бұрын
أنت جاهل مركب
@IssaSimbilla-hw9ev6 күн бұрын
😂😂 dawatu hizbiyah😂
@MurtadhwaDondo-rd1kf5 күн бұрын
کلام فارغ
@abbaspaziaog21885 күн бұрын
ALLAH akuongoze jinga ww issa simbila .mumemfanyia uadui Abuu mu3wiya hasani awadh ALLAH amraham. Mpaka. Kwenye umauty wake hivi. Niwatu gani nyie. Hamkiogopi kifo???
@OmarAbdalla-ug5yg6 күн бұрын
اللهم آمين..
@khalfaanjeilaan39226 күн бұрын
رحم الله الشيخ وغفر له
@AbAlhuraas6 күн бұрын
Mashallah
@mahmudsebit6 күн бұрын
رحمه الله رحمة واسعة...
@OfficialAbdulrashedalhilaly6 күн бұрын
رحم الله الشيخ أبي معاوية حسن عوض وطيب الله ثراه
@SwahiliSalafiDuruus6 күн бұрын
قصيدة في رثاء الشيخ أبي معاوية للشيخ د/إسلم محمد سالم|RITHAA YA DR ISLAM M SALIM KWA SH ABU MUAWIYA
@AshiffTiger6 күн бұрын
بارك الله فيكم
@suleyazidu49916 күн бұрын
جزاك الله خيرا
@daandibiiftuislaama69226 күн бұрын
وفقك الله كل خير
@daandibiiftuislaama69226 күн бұрын
ماشاء الله
@ibnuomar17706 күн бұрын
Huyu kwake ameeka TV halafu clip zke nyngne eti zimekuja kueleza sababu maalum za qassim mafuta kueka TV kwake.. 😂😂. Yaan yy kueka kwake TV kuna sabb maalum
@YusuphSadiki5 күн бұрын
Unaushahidi Gani wewe au na wewe nimchunguzaji?wachamungu wanajulikana tu
@pavillioncry52416 күн бұрын
Bado tuna majonzi makubwa saana kwa kuondokea na kijana mwenye elimu Ya allah msamehe mwalim wetu na umpe kauli traditional Na utupe mwengine zaid ya huyu ,,aaamin
@lASChanel-di7ki6 күн бұрын
اللهم اخفظ شيخنا يا رب و أحسن خاتمته يا رب 🤲
@BushDoctor-dw8el6 күн бұрын
Huo ni uongo. Uislamu au ukristo au dhehebu lolote lile halijapinga kuandamana madamu ni kwa amani bila kuzusha fujo. Hiyo ni haki ya kibinaadamu wala haihusiki na dini. Hivyo vitabu musomavyo ndio vimewapoteza. Unasema mtume amesema muislamu ni yule anaemsalimisha muislamu mwenzake kwa mkono au ulimi au, au. Kwa hiyo akiwa si muislamu, kama vile mumedifine uislamu kiuongo, anaweza kumdhuru? Wakati Mungu anakwambia katika sura 4 - an-nisaa: 92 Haikuwa kwa mtu anaeishi kwa amani kummua mwenzake anaeishi kwa amani kama yeye ila kwa bahati mbaya na akaeka sharti za kutimizwa lau tokeo hilo likitokea. Mkweli ni Mungu. Hizo ni hadithi mulizotungiwa wakamsingizia mtume. Usichanganye siasa na dini.
@mohammedali16457 күн бұрын
A.a shida ya wahabi wacha vijana wakutembelee ndio ujue.Ulamau suu.
@user-ot4mn2sl5w7 күн бұрын
Jazakallahu kheri hii sio halali kunyakua mali za waislamu Wala makafiri mandamano ni yakutetea haki Yako walasi kuvunja maduka au magari yawatu hapo ndio unaigia uharamu,muislamu alo salimika kwama konowake, na ulimiwake.,shukran ume wajuza upande huo.,
@amournassorsaid76947 күн бұрын
Shehe ubwabwa mbona husemi kuhusù mauaji ya wapalestina kule gaza na huyo mtetea mashoga unaemtetea
@andallaathman38567 күн бұрын
Sheikh amekosea kitu kimoja tuu kusema maandamano ni haramu laa wanao iba ndio niharamu but sio kusema maandamano ni haramu unakosea hilo
@abiabi93537 күн бұрын
Huyu jamaa ni jahili wakiwahabi kichwa mchunga hana ajualo anajisemea tu. Maandamano kutetea haki zetu ni halali kiislam usipotoshe watu. Unajua mawahabi wanataka kubadilisha uislam ufate siasa za Saudia
@hafidhuayubu14517 күн бұрын
جزاك الله خيرا........الله يحفظك
@AdamAdam-xf3gh7 күн бұрын
إنا لله وإنا إليه راجعون. اللهم اغفر له وارحمه واسكنه في الجنة
@saidrakwe87277 күн бұрын
sasa ikiwa wananchi wanadhulumia je wafanyeje??? au watulie tu !
@azizaj7767 күн бұрын
Na uislamu upi unaoruhusu kuwadhulumu nafsi zao yaani kujitoa Muhanga kwa kujiripua tena msikitini ndani watu wakiwa wanaswali????? Kumbe WAHABI , ANSWARI SUNA , SALAFIYA HAYO MNAYAJUWA LEO VIGEUGEU NYIE
@AbuuHaniyfah2 күн бұрын
Kwa hio answar Sunnah na hao masalafi wanaruhusu watu kujilipua?
@andrewdokhoya7 күн бұрын
Stupidity too much wacha kukaza matako hapo kwani maandamano yalifanyawa wajinga waislamu ya kupinga mayahudi sio maandamano? Punda
@FatmaAbdulhalim7 күн бұрын
Shehe huyu jamanii mumemuelewa
@HanifaOman-oo4pl7 күн бұрын
Jazakrllah khaillah shehe kwaukumbusho.
@JumaMvungi-ot4ef7 күн бұрын
Kazi nzuri shekh
@abbaspaziaog21887 күн бұрын
ALLAH amraham shekh Abuu mu3wiya hasani ibnu awadh na amswamehe makosa yake
Пікірлер
Mbona masla ya mwezi hamumsikil9zo qadhi ?
KASSIM MAFUTA yeye pekeyake anaona wooote wafuate Akili yake tu yeye pekeyake ndiyo kaongika
Jazakallah haira Unazhngumza kama Abuu muawiya allah amsamehe makosa yake
AMIIN
Allah akujaliye kauli thabit
Niliwahi bahatika kusikiliza darsa zake masjed bukhari.magomeni Zanzibar kwa kweli kifo chako kimenigusa sana allah akurehemu
Allah akurehemu shk abuu Muawiya na akusamehe makosa yko ammin
الله يرحمه رحمة الأبرار ويسكنه فسيح جناته
Maa Shaa Allah
Shukran saan
Kwakweli hivi vitu vyengine ni vizuri sana vinavyo muhusu Shekhe Abuu Mu'aawiyah Rahimahullaahu. Lakini vinatutia huzuni sana. Yani mengi yalio semwa ktk Taazia moyo wangu ulikua na huzuni, lkn hili shairi limenitia huzuni zaidi, kwa sbb nimewaza meeeengi kuhusu Elimu ya Shekhe Abuu Mu'aawiyah laiti angekua nimwenye kukadiriwa umri wake kua mrefu, ummah ungefaidika sana, na da'wah ingepata watu waliokua imara na waliokua wakweli na wenye juhudi ya kufikisha ukweli bila woga. Nampenda sana Shekh Abuu Mu'aawiyah, alikua mkweli kwenye Da'wah yake, na hakumuogopa yeyote ktk kuitangaza Da'wah ya Haqqi. Na alisimama wima kuyapinga na kuyabainisha makosa ambayo Mashaayikh wana Sunnah walikua nayo bila woga wala kigugumizi. Kiukweli Shekh Abuu Mu'aawiya Allaah amrahamu ma amghufirie makosa yake, alitoa faida kubwa sana kwa ummah ktk raddi zake kwa Mashaayikh wa Sunnah. Allaah mmiminie Rehma zako Shekh Abuu Mu'aawiyah na watowe ktk makosa ya .............Mashaayikh wa kisalafy ambao walimdhulumu ndugu yao Shekh Abuu Mu'aawiyah. Nahuu ndio ubinadamu, huwezi kua mkamilifu ktk kila sekta, bali kuna maeneo uta teleza tu, lamsingi Mashaayikh wa kisalafy bado tuko na imani nao, lkn wajitakase na makosa ya kumdhulumu Shekh Abuu Mu'aawiyah, na wasiyafanye tena kwa Mashaayikh wengine kama vile Shekh Muhammad Bachu Allaah amuhifadhi na amzidishi Maarifa, pamoja na Mashaayikh wengine weeeeeeeeengi.
اللهم آمين
Ameen Allah Atupe Badali Ya Rabbi
Amin
ما شاء الله جزى الله عنك كل ما تقدمه على خدمة الإسلام
بارك الله في علمك ونفع الله بك العباد والبلاد
ALLAH akulipe sheikh QASIM MAFUTA hakika umesema kweli Wasiokua na upana wa kuelewa bas wao wataongea matus Ila ALLAH awasameh na pia awaongoze
Shekh wetu acha wa mtukane hawajui kama azungumza haki??!! Halaf hao watakuja namazito siku ya kuyyamah . Halaf hayo yapenda tv naukiwachunguza hawasali kabisa
@@YusuphSadiki nimtihani kaka yangu ALLAH atupe mwisho mwema
@@HakizimanaSelemani-wg3ze Allah ndo wa kuombwa msaada katika Yale wanayoyaeleza allahumah amiin
Allah amrehem Abu Muawiyah, na amuhifadh tokta islam
رحمه الله أبا معاوية رحمة الأبرار وجزالله خيراً للدكتور إسلم محمد حفظه الله
ManshaAllah Sheikhana 🎉❤
Majadida ni watu wabaya sana
Wallah hawa ndugu zetu niwatu wabaya mno yaani kwenye magroup ya whatsapp imefikia hatua wakasema abuu mu3wiya ni mtu wa bidaah na atazikwa na watu wabidaah wenzake 😢. ALLAH amrehemu shekh wetu wa sunnah shekh wetu wa salafi Abuu mu3wiya hasani awadh ❤❤❤❤❤
Toka kwa hiyo mimbar .
Sheikh sasa hiyo ni yako maandamanp haramu wewe ni kibaraka.Kupiganiya haki yako siyo haramu.Lataktumu al haqkha.Yes kuiba kuchoma magari ya watu ni haramu Ok
Wewe mpuuzi kaa kimya
Jadida ni aina ya Waislamu wenye shari kubwa. Wanajisibu na Usalafi Usalafi lakini sio. Tufanye tathmini akhlaq zao ni Salafiya kweli?Abu Muawiya (Rahimahu LLAH)Ametangulia lakini bado wanamsema vibaya. Kundi hili ni mtihani katika umma. Tuwe na subira na TAHADHARI ALLAH SUBHANAHU WATAALA Atulinde na Atuhifadhi.
أنت جاهل مركب
😂😂 dawatu hizbiyah😂
کلام فارغ
ALLAH akuongoze jinga ww issa simbila .mumemfanyia uadui Abuu mu3wiya hasani awadh ALLAH amraham. Mpaka. Kwenye umauty wake hivi. Niwatu gani nyie. Hamkiogopi kifo???
اللهم آمين..
رحم الله الشيخ وغفر له
Mashallah
رحمه الله رحمة واسعة...
رحم الله الشيخ أبي معاوية حسن عوض وطيب الله ثراه
قصيدة في رثاء الشيخ أبي معاوية للشيخ د/إسلم محمد سالم|RITHAA YA DR ISLAM M SALIM KWA SH ABU MUAWIYA
بارك الله فيكم
جزاك الله خيرا
وفقك الله كل خير
ماشاء الله
Huyu kwake ameeka TV halafu clip zke nyngne eti zimekuja kueleza sababu maalum za qassim mafuta kueka TV kwake.. 😂😂. Yaan yy kueka kwake TV kuna sabb maalum
Unaushahidi Gani wewe au na wewe nimchunguzaji?wachamungu wanajulikana tu
Bado tuna majonzi makubwa saana kwa kuondokea na kijana mwenye elimu Ya allah msamehe mwalim wetu na umpe kauli traditional Na utupe mwengine zaid ya huyu ,,aaamin
اللهم اخفظ شيخنا يا رب و أحسن خاتمته يا رب 🤲
Huo ni uongo. Uislamu au ukristo au dhehebu lolote lile halijapinga kuandamana madamu ni kwa amani bila kuzusha fujo. Hiyo ni haki ya kibinaadamu wala haihusiki na dini. Hivyo vitabu musomavyo ndio vimewapoteza. Unasema mtume amesema muislamu ni yule anaemsalimisha muislamu mwenzake kwa mkono au ulimi au, au. Kwa hiyo akiwa si muislamu, kama vile mumedifine uislamu kiuongo, anaweza kumdhuru? Wakati Mungu anakwambia katika sura 4 - an-nisaa: 92 Haikuwa kwa mtu anaeishi kwa amani kummua mwenzake anaeishi kwa amani kama yeye ila kwa bahati mbaya na akaeka sharti za kutimizwa lau tokeo hilo likitokea. Mkweli ni Mungu. Hizo ni hadithi mulizotungiwa wakamsingizia mtume. Usichanganye siasa na dini.
A.a shida ya wahabi wacha vijana wakutembelee ndio ujue.Ulamau suu.
Jazakallahu kheri hii sio halali kunyakua mali za waislamu Wala makafiri mandamano ni yakutetea haki Yako walasi kuvunja maduka au magari yawatu hapo ndio unaigia uharamu,muislamu alo salimika kwama konowake, na ulimiwake.,shukran ume wajuza upande huo.,
Shehe ubwabwa mbona husemi kuhusù mauaji ya wapalestina kule gaza na huyo mtetea mashoga unaemtetea
Sheikh amekosea kitu kimoja tuu kusema maandamano ni haramu laa wanao iba ndio niharamu but sio kusema maandamano ni haramu unakosea hilo
Huyu jamaa ni jahili wakiwahabi kichwa mchunga hana ajualo anajisemea tu. Maandamano kutetea haki zetu ni halali kiislam usipotoshe watu. Unajua mawahabi wanataka kubadilisha uislam ufate siasa za Saudia
جزاك الله خيرا........الله يحفظك
إنا لله وإنا إليه راجعون. اللهم اغفر له وارحمه واسكنه في الجنة
sasa ikiwa wananchi wanadhulumia je wafanyeje??? au watulie tu !
Na uislamu upi unaoruhusu kuwadhulumu nafsi zao yaani kujitoa Muhanga kwa kujiripua tena msikitini ndani watu wakiwa wanaswali????? Kumbe WAHABI , ANSWARI SUNA , SALAFIYA HAYO MNAYAJUWA LEO VIGEUGEU NYIE
Kwa hio answar Sunnah na hao masalafi wanaruhusu watu kujilipua?
Stupidity too much wacha kukaza matako hapo kwani maandamano yalifanyawa wajinga waislamu ya kupinga mayahudi sio maandamano? Punda
Shehe huyu jamanii mumemuelewa
Jazakrllah khaillah shehe kwaukumbusho.
Kazi nzuri shekh
ALLAH amraham shekh Abuu mu3wiya hasani ibnu awadh na amswamehe makosa yake