LIPUMBA APASUKA AMJIA JUU RAIS SAMIA/ADAI ANAONGOZA KWA KUKOPA/AYAANIKA MAZITO/ATANGAZA BALAA HILI
Жүктеу.....
Пікірлер: 104
@AllyMandunda-tj9jcАй бұрын
Wazanzibari wenyewe ndio wanaleta ubaguzi,Lisu anasherehesha tu.
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@ezekielmabwai482Ай бұрын
Unatwanga maji mzee! Mama mbona kajigeuza chura. Hukusikia? Chura tangu lini anawasiliana na binadamu!
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@shukuruzoumashukuru8572Ай бұрын
Press bora ya mwaka hii
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@AllyMandunda-tj9jcАй бұрын
Msiwachoshe watu walati hakuna chama
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@SuleimanAli-ub9fdАй бұрын
Waandishii acheni uvivu hangaikeni mtafute habari
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@maryhando227Ай бұрын
Ni kweli kabisa baba.
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@clemencemarcelli3365Ай бұрын
Kuna kikundi cha watu kiko juu ya katiba na hakuna cha kufanya, hii kitu kinaweza fanya watu kutafuta demokrasia kwa njia nyingine tusipojifunza
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@isackcharukula-wy2hnАй бұрын
Duuu
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@helencyprian8745Ай бұрын
Lipimbq jamani inamaana huna macho wala maskio? Rejea kauli ya mbuge wa zanzibar alichosema bungeni.
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@user-my5yp6xx5sАй бұрын
Tatizo lako lipumba nimoja wewe ni msaliti mkubwa wa mageuzi namungu anakuona tamaaa unayo na njaa kubwa unayo ndio maana ccm wanawatumia sana wewe na zito,na tuvyama twa.uchochoroni
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@PasicalAmbokileMwakilas-ms2jpАй бұрын
Bila katiba mpya bila tume hulu uchaguzi usfanyike. Wachaguane kama walivyo chaguana 2020
@williamsenkoro2210
Ай бұрын
Vyama vya. CCM B vinaenda kwenye uchaguzi ndio shida
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@festofute58Ай бұрын
Sasa chadema mtawaelewa 😂
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@user-fx6zr6ij5yАй бұрын
Una jipya wote ndiyo walewale
@PrincePrinceDanielmsafiri
Ай бұрын
Wewe mkinga Sana ujuwi siasa kaa pembeni subilia kofia na tisheti za ccm na dela nyoko wewe
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@yayananajota5838Ай бұрын
Viongozi hamna tz, mabogasi tu,
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@MusaOgwokoАй бұрын
Chadema na sauti ya wanaichi wako poa
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@clemenceparokolaАй бұрын
Shida ni pale unapokalibia UCHAGUZI watu wakapaa
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@user-lt1bi5nr1xАй бұрын
Huyu nae anapewaga hela anasepa. Hakuna upinzani tz. Mazingaombwe tu
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@fidelfidel-jz4iwАй бұрын
Nchi in vyanzo vingi lakini utadhani ni jangwani kusipokuwa na kitu kabisa kila siku mikopo hivi hao wasomi WA uchumi vipi ni wamchongo au !!!!?? Tuna madini utalii biashara bandari bahari kilimo viwanda nk lakini utadhani vyooote hivyo ni hasara Tu .
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@exaverysimon1064Ай бұрын
kwan hawa nao si tawi la ccm au
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@mohdsaid8744Ай бұрын
Kwani hichi chama cha cuf kipo bado kabaki Libumba peke yake
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@ElibarikiEliudАй бұрын
Kuna kibaraka ameweka comment Kwa kumwambia mjinga nina uhakika huyo ni chawa na ni kibaraka asiyejitambua. Lipumba ni kama baba yake hivyo kumtukana ni kujilaani. Pamoja uchawa wako angalia mipaka
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@geraldleger5793Ай бұрын
Kwa Nchi yetu CCM kuiondoa ni ndoto za mchana. Tuliowategemea kama nguli wa Demokrasia nao yamewashinda.
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@RoseKimishabhalemi-oz9bnАй бұрын
Bunge limeoza linaweza kupitisha mikopo hiyo yote? Ndiyo maana wananchi walio wengi hatumtaki samia maana ameshindwa kudhibiti thamani ya fedha deni nikubwa mno. Maoni ya wananchi mambo mengine tutumie maliasili zetu mama yuko tayali kukopa usiku na mchana. Huyu mwanamke ihiiiiiii sisi wahari ya chini ni shida mno
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@YussufPandu-es7ouАй бұрын
Kwani cuf IPO? Mumefanya lini mikutano? Ili kujuwa uhai wa chama chenu
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@user-jl5un4wf3uАй бұрын
Watanzaniatunataka nani atuongoze? Kamahatawazurikwenye urais tuliwaitakwamakusuditu.hawafai etinimadictater huku kwamataifa waliwahitaji hatawangetawala nchizao auhata Afrika Afrika wanatushangaasana watanzania isipokuwa wale kupe ambaohata ngozi ikikauka Hawatoki hadi nawao wakauke maana damuyakunyonya nayo imeisha.
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@MusaOgwokoАй бұрын
Wewe ni kigeugeu
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@shukuruzoumashukuru8572Ай бұрын
Hakika ni mchumi wa dunia
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@AllyMandunda-tj9jcАй бұрын
Kwa hiyo mtafanyake? Ninyi wanasiasa, unganeni muwe nagombea mmoja kwa upande wa upinzani
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@stewartdyamvunye-wz6rn
Ай бұрын
Naam. Ndiyo moja ya fimbo pekee na chache zilizobaki. Lakini CHADEMA na wanaharakati kadhaa waliyaona haya mapema, na viongozi wa serikali ya ccm yenyewe kuwa ni wabishi na wa tamaa madaraka hivyo wapuuzwe!
@AllyMandunda-tj9jcАй бұрын
Mtachezaje ngoma hiyo wakati hna raslimali fedha, hiyo mi mizaa jifunzeni kwa wenzenu wa cdm na Act wanafanya kazi mxuri na wanaxurula nchi nzima
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@clemencemarcelli3365Ай бұрын
Hivi wanaomshauri rais hawaoni kwamba nchi hii ni yetu wote?
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@marthadominick2212Ай бұрын
Anakopa halafu anatoa holela watu wanajaza mifuko yao
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@simonsadala2386Ай бұрын
Ww muzee c ulianza kugombea tangu uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi 1995 na hayati B W Mkapa bado upo tu?
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@NdebileMathiasАй бұрын
Si huyu alikuwaga anasifia?
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@RoseKimishabhalemi-oz9bnАй бұрын
Elimu imetawaliwa na siasa mfano mzazi wa mwanafunzi mtoro hashuguliliwi ati tusisumbue wananchi tunauchaguzi 2025 na2024 n. K.
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@sebastiansalamba313Ай бұрын
Uzeni Kila kitu mmetuchosha
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@infodigtechforcommunityemp4103Ай бұрын
Kigeugeu
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@pavillioncry5241Ай бұрын
Kalale uko huna chama we
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@mwambaimara1950Ай бұрын
Foundation yako ni haram,,,
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@AmaniMathodАй бұрын
Lipumba snitch
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@clemencemarcelli3365Ай бұрын
Nchi ikivurugika hakutakuwa na CCM wala kikundi chochote
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@othmanali5362Ай бұрын
Hakuna kitu hapo ni usanii.....
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@phchouseprintmwanza8123Ай бұрын
Huna cha kutuambia. Wewe una tabia ya kusaliti. Umepoteza credibility
@hemedmwipopo780
Ай бұрын
Shida ya Watanzania hupenda kitu kwa mhemko na si kwauhalisia hii ndivyo kwa siasa za Tanzania. Kwa taarifa Katika nchi ya Tanzania ni vyama vichache tu vya Upinzani ambavyo vinaendesha Siasa za kweli na si Siasa za kutafuta madaraka tu. Na Cuf ni Moja ya Chama makini sana Chini ya Mw/kitu Mhe. Prof Ibrahimu Haruna Lipumba hakiendeshwi kwa sera za Chuki, visasi na ukanda bali kinasimamia sera za haki na Usawa kwa watu wote.
@phchouseprintmwanza8123
Ай бұрын
@@hemedmwipopo780 pengine CUF hawana kumbukumbu ya alichofanya Lupumba na Slaa mwaka 2015. Lipumba alilipwa fedha akaenda Burundi na Slaa alilipwa akaenda South Africa. Watu makini huwa hawa potezi kumbukumbu Huyu Lipumba kapoteza sifa za ukweli. Zaidi anatafuta fedha nyingine za kwenda Burundi
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@hemedmwipopo780
Ай бұрын
@@ICONTVTZ Pamoja sana
@user-bs2nr7gz5pАй бұрын
Professor mjinga
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@user-cg4gi3no7r
Ай бұрын
Kama mtu una akili timamu unajitambua kaongea point,ila kama una akili timamu unaweza kumbeza wachache sana nchi hii wanajitambua acha ushabiki angalia hualisia mzee
Пікірлер: 104
Wazanzibari wenyewe ndio wanaleta ubaguzi,Lisu anasherehesha tu.
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
Unatwanga maji mzee! Mama mbona kajigeuza chura. Hukusikia? Chura tangu lini anawasiliana na binadamu!
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
Press bora ya mwaka hii
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
Msiwachoshe watu walati hakuna chama
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
Waandishii acheni uvivu hangaikeni mtafute habari
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
Ni kweli kabisa baba.
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
Kuna kikundi cha watu kiko juu ya katiba na hakuna cha kufanya, hii kitu kinaweza fanya watu kutafuta demokrasia kwa njia nyingine tusipojifunza
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
Duuu
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
Lipimbq jamani inamaana huna macho wala maskio? Rejea kauli ya mbuge wa zanzibar alichosema bungeni.
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
Tatizo lako lipumba nimoja wewe ni msaliti mkubwa wa mageuzi namungu anakuona tamaaa unayo na njaa kubwa unayo ndio maana ccm wanawatumia sana wewe na zito,na tuvyama twa.uchochoroni
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
Bila katiba mpya bila tume hulu uchaguzi usfanyike. Wachaguane kama walivyo chaguana 2020
@williamsenkoro2210
Ай бұрын
Vyama vya. CCM B vinaenda kwenye uchaguzi ndio shida
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
Sasa chadema mtawaelewa 😂
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
Una jipya wote ndiyo walewale
@PrincePrinceDanielmsafiri
Ай бұрын
Wewe mkinga Sana ujuwi siasa kaa pembeni subilia kofia na tisheti za ccm na dela nyoko wewe
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
Viongozi hamna tz, mabogasi tu,
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
Chadema na sauti ya wanaichi wako poa
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
Shida ni pale unapokalibia UCHAGUZI watu wakapaa
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
Huyu nae anapewaga hela anasepa. Hakuna upinzani tz. Mazingaombwe tu
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
Nchi in vyanzo vingi lakini utadhani ni jangwani kusipokuwa na kitu kabisa kila siku mikopo hivi hao wasomi WA uchumi vipi ni wamchongo au !!!!?? Tuna madini utalii biashara bandari bahari kilimo viwanda nk lakini utadhani vyooote hivyo ni hasara Tu .
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
kwan hawa nao si tawi la ccm au
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
Kwani hichi chama cha cuf kipo bado kabaki Libumba peke yake
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
Kuna kibaraka ameweka comment Kwa kumwambia mjinga nina uhakika huyo ni chawa na ni kibaraka asiyejitambua. Lipumba ni kama baba yake hivyo kumtukana ni kujilaani. Pamoja uchawa wako angalia mipaka
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
Kwa Nchi yetu CCM kuiondoa ni ndoto za mchana. Tuliowategemea kama nguli wa Demokrasia nao yamewashinda.
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
Bunge limeoza linaweza kupitisha mikopo hiyo yote? Ndiyo maana wananchi walio wengi hatumtaki samia maana ameshindwa kudhibiti thamani ya fedha deni nikubwa mno. Maoni ya wananchi mambo mengine tutumie maliasili zetu mama yuko tayali kukopa usiku na mchana. Huyu mwanamke ihiiiiiii sisi wahari ya chini ni shida mno
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
Kwani cuf IPO? Mumefanya lini mikutano? Ili kujuwa uhai wa chama chenu
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
Watanzaniatunataka nani atuongoze? Kamahatawazurikwenye urais tuliwaitakwamakusuditu.hawafai etinimadictater huku kwamataifa waliwahitaji hatawangetawala nchizao auhata Afrika Afrika wanatushangaasana watanzania isipokuwa wale kupe ambaohata ngozi ikikauka Hawatoki hadi nawao wakauke maana damuyakunyonya nayo imeisha.
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
Wewe ni kigeugeu
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
Hakika ni mchumi wa dunia
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
Kwa hiyo mtafanyake? Ninyi wanasiasa, unganeni muwe nagombea mmoja kwa upande wa upinzani
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@stewartdyamvunye-wz6rn
Ай бұрын
Naam. Ndiyo moja ya fimbo pekee na chache zilizobaki. Lakini CHADEMA na wanaharakati kadhaa waliyaona haya mapema, na viongozi wa serikali ya ccm yenyewe kuwa ni wabishi na wa tamaa madaraka hivyo wapuuzwe!
Mtachezaje ngoma hiyo wakati hna raslimali fedha, hiyo mi mizaa jifunzeni kwa wenzenu wa cdm na Act wanafanya kazi mxuri na wanaxurula nchi nzima
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
Hivi wanaomshauri rais hawaoni kwamba nchi hii ni yetu wote?
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
Anakopa halafu anatoa holela watu wanajaza mifuko yao
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
Ww muzee c ulianza kugombea tangu uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi 1995 na hayati B W Mkapa bado upo tu?
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
Si huyu alikuwaga anasifia?
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
Elimu imetawaliwa na siasa mfano mzazi wa mwanafunzi mtoro hashuguliliwi ati tusisumbue wananchi tunauchaguzi 2025 na2024 n. K.
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
Uzeni Kila kitu mmetuchosha
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
Kigeugeu
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
Kalale uko huna chama we
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
Foundation yako ni haram,,,
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
Lipumba snitch
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
Nchi ikivurugika hakutakuwa na CCM wala kikundi chochote
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
Hakuna kitu hapo ni usanii.....
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
Huna cha kutuambia. Wewe una tabia ya kusaliti. Umepoteza credibility
@hemedmwipopo780
Ай бұрын
Shida ya Watanzania hupenda kitu kwa mhemko na si kwauhalisia hii ndivyo kwa siasa za Tanzania. Kwa taarifa Katika nchi ya Tanzania ni vyama vichache tu vya Upinzani ambavyo vinaendesha Siasa za kweli na si Siasa za kutafuta madaraka tu. Na Cuf ni Moja ya Chama makini sana Chini ya Mw/kitu Mhe. Prof Ibrahimu Haruna Lipumba hakiendeshwi kwa sera za Chuki, visasi na ukanda bali kinasimamia sera za haki na Usawa kwa watu wote.
@phchouseprintmwanza8123
Ай бұрын
@@hemedmwipopo780 pengine CUF hawana kumbukumbu ya alichofanya Lupumba na Slaa mwaka 2015. Lipumba alilipwa fedha akaenda Burundi na Slaa alilipwa akaenda South Africa. Watu makini huwa hawa potezi kumbukumbu Huyu Lipumba kapoteza sifa za ukweli. Zaidi anatafuta fedha nyingine za kwenda Burundi
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@hemedmwipopo780
Ай бұрын
@@ICONTVTZ Pamoja sana
Professor mjinga
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@user-cg4gi3no7r
Ай бұрын
Kama mtu una akili timamu unajitambua kaongea point,ila kama una akili timamu unaweza kumbeza wachache sana nchi hii wanajitambua acha ushabiki angalia hualisia mzee
Sijui wanasheria wako wapi mpaka sheria inakiukwa
@ICONTVTZ
Ай бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia