LIPUMBA APASUKA AMJIA JUU RAIS SAMIA/ADAI ANAONGOZA KWA KUKOPA/AYAANIKA MAZITO/ATANGAZA BALAA HILI

Пікірлер: 104

  • @AllyMandunda-tj9jc
    @AllyMandunda-tj9jcАй бұрын

    Wazanzibari wenyewe ndio wanaleta ubaguzi,Lisu anasherehesha tu.

  • @ICONTVTZ

    @ICONTVTZ

    Ай бұрын

    Asante Kwa Kutufuatilia

  • @ezekielmabwai482
    @ezekielmabwai482Ай бұрын

    Unatwanga maji mzee! Mama mbona kajigeuza chura. Hukusikia? Chura tangu lini anawasiliana na binadamu!

  • @ICONTVTZ

    @ICONTVTZ

    Ай бұрын

    Asante Kwa Kutufuatilia

  • @shukuruzoumashukuru8572
    @shukuruzoumashukuru8572Ай бұрын

    Press bora ya mwaka hii

  • @ICONTVTZ

    @ICONTVTZ

    Ай бұрын

    Asante Kwa Kutufuatilia

  • @AllyMandunda-tj9jc
    @AllyMandunda-tj9jcАй бұрын

    Msiwachoshe watu walati hakuna chama

  • @ICONTVTZ

    @ICONTVTZ

    Ай бұрын

    Asante Kwa Kutufuatilia

  • @SuleimanAli-ub9fd
    @SuleimanAli-ub9fdАй бұрын

    Waandishii acheni uvivu hangaikeni mtafute habari

  • @ICONTVTZ

    @ICONTVTZ

    Ай бұрын

    Asante Kwa Kutufuatilia

  • @maryhando227
    @maryhando227Ай бұрын

    Ni kweli kabisa baba.

  • @ICONTVTZ

    @ICONTVTZ

    Ай бұрын

    Asante Kwa Kutufuatilia

  • @clemencemarcelli3365
    @clemencemarcelli3365Ай бұрын

    Kuna kikundi cha watu kiko juu ya katiba na hakuna cha kufanya, hii kitu kinaweza fanya watu kutafuta demokrasia kwa njia nyingine tusipojifunza

  • @ICONTVTZ

    @ICONTVTZ

    Ай бұрын

    Asante Kwa Kutufuatilia

  • @isackcharukula-wy2hn
    @isackcharukula-wy2hnАй бұрын

    Duuu

  • @ICONTVTZ

    @ICONTVTZ

    Ай бұрын

    Asante Kwa Kutufuatilia

  • @helencyprian8745
    @helencyprian8745Ай бұрын

    Lipimbq jamani inamaana huna macho wala maskio? Rejea kauli ya mbuge wa zanzibar alichosema bungeni.

  • @ICONTVTZ

    @ICONTVTZ

    Ай бұрын

    Asante Kwa Kutufuatilia

  • @user-my5yp6xx5s
    @user-my5yp6xx5sАй бұрын

    Tatizo lako lipumba nimoja wewe ni msaliti mkubwa wa mageuzi namungu anakuona tamaaa unayo na njaa kubwa unayo ndio maana ccm wanawatumia sana wewe na zito,na tuvyama twa.uchochoroni

  • @ICONTVTZ

    @ICONTVTZ

    Ай бұрын

    Asante Kwa Kutufuatilia

  • @ICONTVTZ

    @ICONTVTZ

    Ай бұрын

    Asante Kwa Kutufuatilia

  • @PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp
    @PasicalAmbokileMwakilas-ms2jpАй бұрын

    Bila katiba mpya bila tume hulu uchaguzi usfanyike. Wachaguane kama walivyo chaguana 2020

  • @williamsenkoro2210

    @williamsenkoro2210

    Ай бұрын

    Vyama vya. CCM B vinaenda kwenye uchaguzi ndio shida

  • @ICONTVTZ

    @ICONTVTZ

    Ай бұрын

    Asante Kwa Kutufuatilia

  • @festofute58
    @festofute58Ай бұрын

    Sasa chadema mtawaelewa 😂

  • @ICONTVTZ

    @ICONTVTZ

    Ай бұрын

    Asante Kwa Kutufuatilia

  • @user-fx6zr6ij5y
    @user-fx6zr6ij5yАй бұрын

    Una jipya wote ndiyo walewale

  • @PrincePrinceDanielmsafiri

    @PrincePrinceDanielmsafiri

    Ай бұрын

    Wewe mkinga Sana ujuwi siasa kaa pembeni subilia kofia na tisheti za ccm na dela nyoko wewe

  • @ICONTVTZ

    @ICONTVTZ

    Ай бұрын

    Asante Kwa Kutufuatilia

  • @yayananajota5838
    @yayananajota5838Ай бұрын

    Viongozi hamna tz, mabogasi tu,

  • @ICONTVTZ

    @ICONTVTZ

    Ай бұрын

    Asante Kwa Kutufuatilia

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwokoАй бұрын

    Chadema na sauti ya wanaichi wako poa

  • @ICONTVTZ

    @ICONTVTZ

    Ай бұрын

    Asante Kwa Kutufuatilia

  • @clemenceparokola
    @clemenceparokolaАй бұрын

    Shida ni pale unapokalibia UCHAGUZI watu wakapaa

  • @ICONTVTZ

    @ICONTVTZ

    Ай бұрын

    Asante Kwa Kutufuatilia

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1xАй бұрын

    Huyu nae anapewaga hela anasepa. Hakuna upinzani tz. Mazingaombwe tu

  • @ICONTVTZ

    @ICONTVTZ

    Ай бұрын

    Asante Kwa Kutufuatilia

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iwАй бұрын

    Nchi in vyanzo vingi lakini utadhani ni jangwani kusipokuwa na kitu kabisa kila siku mikopo hivi hao wasomi WA uchumi vipi ni wamchongo au !!!!?? Tuna madini utalii biashara bandari bahari kilimo viwanda nk lakini utadhani vyooote hivyo ni hasara Tu .

  • @ICONTVTZ

    @ICONTVTZ

    Ай бұрын

    Asante Kwa Kutufuatilia

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064Ай бұрын

    kwan hawa nao si tawi la ccm au

  • @ICONTVTZ

    @ICONTVTZ

    Ай бұрын

    Asante Kwa Kutufuatilia

  • @mohdsaid8744
    @mohdsaid8744Ай бұрын

    Kwani hichi chama cha cuf kipo bado kabaki Libumba peke yake

  • @ICONTVTZ

    @ICONTVTZ

    Ай бұрын

    Asante Kwa Kutufuatilia

  • @ElibarikiEliud
    @ElibarikiEliudАй бұрын

    Kuna kibaraka ameweka comment Kwa kumwambia mjinga nina uhakika huyo ni chawa na ni kibaraka asiyejitambua. Lipumba ni kama baba yake hivyo kumtukana ni kujilaani. Pamoja uchawa wako angalia mipaka

  • @ICONTVTZ

    @ICONTVTZ

    Ай бұрын

    Asante Kwa Kutufuatilia

  • @geraldleger5793
    @geraldleger5793Ай бұрын

    Kwa Nchi yetu CCM kuiondoa ni ndoto za mchana. Tuliowategemea kama nguli wa Demokrasia nao yamewashinda.

  • @ICONTVTZ

    @ICONTVTZ

    Ай бұрын

    Asante Kwa Kutufuatilia

  • @RoseKimishabhalemi-oz9bn
    @RoseKimishabhalemi-oz9bnАй бұрын

    Bunge limeoza linaweza kupitisha mikopo hiyo yote? Ndiyo maana wananchi walio wengi hatumtaki samia maana ameshindwa kudhibiti thamani ya fedha deni nikubwa mno. Maoni ya wananchi mambo mengine tutumie maliasili zetu mama yuko tayali kukopa usiku na mchana. Huyu mwanamke ihiiiiiii sisi wahari ya chini ni shida mno

  • @ICONTVTZ

    @ICONTVTZ

    Ай бұрын

    Asante Kwa Kutufuatilia

  • @YussufPandu-es7ou
    @YussufPandu-es7ouАй бұрын

    Kwani cuf IPO? Mumefanya lini mikutano? Ili kujuwa uhai wa chama chenu

  • @ICONTVTZ

    @ICONTVTZ

    Ай бұрын

    Asante Kwa Kutufuatilia

  • @user-jl5un4wf3u
    @user-jl5un4wf3uАй бұрын

    Watanzaniatunataka nani atuongoze? Kamahatawazurikwenye urais tuliwaitakwamakusuditu.hawafai etinimadictater huku kwamataifa waliwahitaji hatawangetawala nchizao auhata Afrika Afrika wanatushangaasana watanzania isipokuwa wale kupe ambaohata ngozi ikikauka Hawatoki hadi nawao wakauke maana damuyakunyonya nayo imeisha.

  • @ICONTVTZ

    @ICONTVTZ

    Ай бұрын

    Asante Kwa Kutufuatilia

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwokoАй бұрын

    Wewe ni kigeugeu

  • @ICONTVTZ

    @ICONTVTZ

    Ай бұрын

    Asante Kwa Kutufuatilia

  • @shukuruzoumashukuru8572
    @shukuruzoumashukuru8572Ай бұрын

    Hakika ni mchumi wa dunia

  • @ICONTVTZ

    @ICONTVTZ

    Ай бұрын

    Asante Kwa Kutufuatilia

  • @AllyMandunda-tj9jc
    @AllyMandunda-tj9jcАй бұрын

    Kwa hiyo mtafanyake? Ninyi wanasiasa, unganeni muwe nagombea mmoja kwa upande wa upinzani

  • @ICONTVTZ

    @ICONTVTZ

    Ай бұрын

    Asante Kwa Kutufuatilia

  • @stewartdyamvunye-wz6rn

    @stewartdyamvunye-wz6rn

    Ай бұрын

    Naam. Ndiyo moja ya fimbo pekee na chache zilizobaki. Lakini CHADEMA na wanaharakati kadhaa waliyaona haya mapema, na viongozi wa serikali ya ccm yenyewe kuwa ni wabishi na wa tamaa madaraka hivyo wapuuzwe!

  • @AllyMandunda-tj9jc
    @AllyMandunda-tj9jcАй бұрын

    Mtachezaje ngoma hiyo wakati hna raslimali fedha, hiyo mi mizaa jifunzeni kwa wenzenu wa cdm na Act wanafanya kazi mxuri na wanaxurula nchi nzima

  • @ICONTVTZ

    @ICONTVTZ

    Ай бұрын

    Asante Kwa Kutufuatilia

  • @clemencemarcelli3365
    @clemencemarcelli3365Ай бұрын

    Hivi wanaomshauri rais hawaoni kwamba nchi hii ni yetu wote?

  • @ICONTVTZ

    @ICONTVTZ

    Ай бұрын

    Asante Kwa Kutufuatilia

  • @marthadominick2212
    @marthadominick2212Ай бұрын

    Anakopa halafu anatoa holela watu wanajaza mifuko yao

  • @ICONTVTZ

    @ICONTVTZ

    Ай бұрын

    Asante Kwa Kutufuatilia

  • @simonsadala2386
    @simonsadala2386Ай бұрын

    Ww muzee c ulianza kugombea tangu uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi 1995 na hayati B W Mkapa bado upo tu?

  • @ICONTVTZ

    @ICONTVTZ

    Ай бұрын

    Asante Kwa Kutufuatilia

  • @ICONTVTZ

    @ICONTVTZ

    Ай бұрын

    Asante Kwa Kutufuatilia

  • @NdebileMathias
    @NdebileMathiasАй бұрын

    Si huyu alikuwaga anasifia?

  • @ICONTVTZ

    @ICONTVTZ

    Ай бұрын

    Asante Kwa Kutufuatilia

  • @RoseKimishabhalemi-oz9bn
    @RoseKimishabhalemi-oz9bnАй бұрын

    Elimu imetawaliwa na siasa mfano mzazi wa mwanafunzi mtoro hashuguliliwi ati tusisumbue wananchi tunauchaguzi 2025 na2024 n. K.

  • @ICONTVTZ

    @ICONTVTZ

    Ай бұрын

    Asante Kwa Kutufuatilia

  • @ICONTVTZ

    @ICONTVTZ

    Ай бұрын

    Asante Kwa Kutufuatilia

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313Ай бұрын

    Uzeni Kila kitu mmetuchosha

  • @ICONTVTZ

    @ICONTVTZ

    Ай бұрын

    Asante Kwa Kutufuatilia

  • @infodigtechforcommunityemp4103
    @infodigtechforcommunityemp4103Ай бұрын

    Kigeugeu

  • @ICONTVTZ

    @ICONTVTZ

    Ай бұрын

    Asante Kwa Kutufuatilia

  • @ICONTVTZ

    @ICONTVTZ

    Ай бұрын

    Asante Kwa Kutufuatilia

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241Ай бұрын

    Kalale uko huna chama we

  • @ICONTVTZ

    @ICONTVTZ

    Ай бұрын

    Asante Kwa Kutufuatilia

  • @ICONTVTZ

    @ICONTVTZ

    Ай бұрын

    Asante Kwa Kutufuatilia

  • @mwambaimara1950
    @mwambaimara1950Ай бұрын

    Foundation yako ni haram,,,

  • @ICONTVTZ

    @ICONTVTZ

    Ай бұрын

    Asante Kwa Kutufuatilia

  • @AmaniMathod
    @AmaniMathodАй бұрын

    Lipumba snitch

  • @ICONTVTZ

    @ICONTVTZ

    Ай бұрын

    Asante Kwa Kutufuatilia

  • @clemencemarcelli3365
    @clemencemarcelli3365Ай бұрын

    Nchi ikivurugika hakutakuwa na CCM wala kikundi chochote

  • @ICONTVTZ

    @ICONTVTZ

    Ай бұрын

    Asante Kwa Kutufuatilia

  • @othmanali5362
    @othmanali5362Ай бұрын

    Hakuna kitu hapo ni usanii.....

  • @ICONTVTZ

    @ICONTVTZ

    Ай бұрын

    Asante Kwa Kutufuatilia

  • @phchouseprintmwanza8123
    @phchouseprintmwanza8123Ай бұрын

    Huna cha kutuambia. Wewe una tabia ya kusaliti. Umepoteza credibility

  • @hemedmwipopo780

    @hemedmwipopo780

    Ай бұрын

    Shida ya Watanzania hupenda kitu kwa mhemko na si kwauhalisia hii ndivyo kwa siasa za Tanzania. Kwa taarifa Katika nchi ya Tanzania ni vyama vichache tu vya Upinzani ambavyo vinaendesha Siasa za kweli na si Siasa za kutafuta madaraka tu. Na Cuf ni Moja ya Chama makini sana Chini ya Mw/kitu Mhe. Prof Ibrahimu Haruna Lipumba hakiendeshwi kwa sera za Chuki, visasi na ukanda bali kinasimamia sera za haki na Usawa kwa watu wote.

  • @phchouseprintmwanza8123

    @phchouseprintmwanza8123

    Ай бұрын

    @@hemedmwipopo780 pengine CUF hawana kumbukumbu ya alichofanya Lupumba na Slaa mwaka 2015. Lipumba alilipwa fedha akaenda Burundi na Slaa alilipwa akaenda South Africa. Watu makini huwa hawa potezi kumbukumbu Huyu Lipumba kapoteza sifa za ukweli. Zaidi anatafuta fedha nyingine za kwenda Burundi

  • @ICONTVTZ

    @ICONTVTZ

    Ай бұрын

    Asante Kwa Kutufuatilia

  • @hemedmwipopo780

    @hemedmwipopo780

    Ай бұрын

    @@ICONTVTZ Pamoja sana

  • @user-bs2nr7gz5p
    @user-bs2nr7gz5pАй бұрын

    Professor mjinga

  • @ICONTVTZ

    @ICONTVTZ

    Ай бұрын

    Asante Kwa Kutufuatilia

  • @user-cg4gi3no7r

    @user-cg4gi3no7r

    Ай бұрын

    Kama mtu una akili timamu unajitambua kaongea point,ila kama una akili timamu unaweza kumbeza wachache sana nchi hii wanajitambua acha ushabiki angalia hualisia mzee

  • @RoseKimishabhalemi-oz9bn
    @RoseKimishabhalemi-oz9bnАй бұрын

    Sijui wanasheria wako wapi mpaka sheria inakiukwa

  • @ICONTVTZ

    @ICONTVTZ

    Ай бұрын

    Asante Kwa Kutufuatilia

Келесі