Kiboko ya wachawi nilishamwona sio mtumishi wa Mungu
@tungurilegemwakasege97826 күн бұрын
Hongera mtumishi wa Yesu Damu ya Yesu ikufunike
@joshuasamson-lc8mr3 күн бұрын
hubiri neno la Mungu sio kuponda wenzako,mwacheni mwamba afanye kazi aliyopewa
@DezChazКүн бұрын
Mtumishi ubarikiwe Mana neno linasema kweli ndo itakayotuweka huru amen
@mussamathayomadole84016 күн бұрын
Mungu akubariki, tuko pamoja kuisema kweli kumwaibisha Shetani.
@Ushindiemmanuelushindi6 күн бұрын
Amen mtumishi wa MUNGU Ushavuka viwango vya kurogwa❤🎉
@geitandelwa299
6 күн бұрын
Na MUNGU amulinde huyu kasiani
@johanamwita11615 күн бұрын
Napenda watumishi wa mungu wanao ambia watu ukweli usifiche dhambi baba kwaku tetea mikate 5:48 5:48
@user-xr4cd3ki4iКүн бұрын
Huyo kiboko ashindwe kw jina la Yesu siyo mtumishi wa Mungu
@user-el8rp6pd5q3 күн бұрын
Mmmmmh 😂😂😂😂😂 ni Bora ungehubiri aliyokuitia Mungu kuliko kusema wenzako vibaya kila mtu ameitwa kwa aina yake. Cpendag mtumishi wa Mungu kumdisi mwengine lol
@ImaniMaguru4 күн бұрын
Mungu wa BWANA wetu YESU KRISTO akurinde
@JessyWilson-f6iКүн бұрын
Amen ameni mungu akulinde mtumishi wa mungu
@kulwaathanas96492 күн бұрын
brather Kama yesu aliwatabili watakuwepo wewe utafanya nini uwaondoe, mungu ndie atamalizana nao
@eppiemodest5 күн бұрын
Mungu ni mwema. Mpaka hapa Madhabahu imeanza vizuri. Mungu awashike mkono vifaa vyote vipatikane.
@reganwillbard24734 күн бұрын
Natamani ungetumia nguvu hii kuwaambia watu Habari za Yesu kwa kufanya hivyo watu watajua ni wapi pa kwenda kwasababu watakuwa na Yesu ila hapa ni kama unaacha watu njiapanda WAAMBIE WATU WAOKOKE WAJAZWE NA ROHO WA MUNGU ILI WAONGOZWE NA MUNGU WAWE WATAKATIFU
@LucyKapinga-fg4dk
2 күн бұрын
@@reganwillbard2473 unaijua Kazi ya Uinjilisti Na Pia Kila Mtumishi Anawito wake soo ndugu Niheri Tutulie
@user-xr4cd3ki4iКүн бұрын
Huyo kiboko wa uchawi siyo mtumishi wa Mungu mm nilshaenda huko kutoka Moshi yaliyonifika nilishangaayesu wangu alikufasalabani l akatoa damu yake Leo kiboko ya chawi kumwona eti laki tano
@angolina17683 күн бұрын
Mti wa Matunda ndio hupigwa Mawe songa Mbele kiboko ya Wachawi hadi waseme maana bado hawajasema na huyu mtumishi anaenda na kiki ameshajua ili na yy ajulikane lazima amtaje kiboko ya Wachawi Muacheni jaman aliyebarikiwa amebarikiwa I love you KIBOKO YA WACHAWI ❤❤❤❤❤❤
Kwa sasa ninaitaji kujiunganisha na uyu mtumishi kusema ukweli mafundisho yako yananibaliki sana kwa nzia sasa nimeamua kujiunganisha na mazabau ii
@joshuaandrew3865 күн бұрын
Barikiwa Zaidi MTU wa MUNGU
@abelmbata373 күн бұрын
Hii injili ya kuhubur watu hata kama hao watu ni kweli kabisa si wstumishi wa Mungu haisaidii kitu. Hubiri neno la Mungu maana kama watu hawatakuwa na neno ndani ya mioyo yao wataenda tu kwa hao watu na hata tasipornda kwao wataenda kwa waganga. Watu Wansoenda kwa hao watumishi ni wachache kwa nn msiyie uzito kwa wengine? Maana kama hao watu ni wachawi hakuna atakaetoka hapo
@ChikondiMadaliso5 күн бұрын
Vumirieni watu wa mungu kama yesu arika na yuda nyie mnashindwaje KUKA na waongo ira tukae nao kwa akiri
@user-es4jv6pb8x3 күн бұрын
Pole Mtumwa wa BWANA Ubarikiweee
@jacklinemtalo83242 күн бұрын
Uwe unapost na mazuri yao pia
@user-gm4qi3nn9n2 күн бұрын
Ila kusema kweli tufuate watumishi wanaokuhimiza kuacha uovu maana hakuna matatizo yanakuja bila sababu
@jorambranchofmud62996 күн бұрын
Barikiwa mtumishi
@DAVIDMAGHANGA3 күн бұрын
Asante hiyo ni ukweli
@upendokiza60616 күн бұрын
MUNGU akubariki sana mtumishi wa MUNGU.
@geitandelwa299
6 күн бұрын
Ameni
@RickDm6 күн бұрын
Amen ❤
@gahungubertin12147 күн бұрын
Nakupenda paschal cassian, mafundisho yako yamesha nivusha mahali
@geitandelwa299
6 күн бұрын
Ameni
@user-es4jv6pb8x3 күн бұрын
KWELI
@navycute-lh5heКүн бұрын
Jitafutie umaarufu mwenyew usitumie mgongo wa mtumishi mwenzio
@user-es4jv6pb8x3 күн бұрын
AMINA
@GodfreyMakala5 күн бұрын
Amen mtumish
@user-el8rp6pd5q3 күн бұрын
Mimi nataka kusali kwa kiboko ya wachawi kama kuomba nimeomba sana sioni majibu ili mradi anahubiri kwa jina la yesu mimi nitasali tu. Siku hizi kila mtu anavutia kwake
@Pendopasilika
3 күн бұрын
Nenda madamu uko timamu wewe unachagua kwa kwenda Wala hulazimishwi pengine huko utakwenda kuzaa matunda yakupasayo
@RoseRose-bk2tf
Күн бұрын
Kumbukumbu la torati 30 :19 Nazishuhudiza bingu na inchi juu yenu hivi leo kua nimekuwekea mbele yako nime kuwekea uzima na mauti laana na baraka basi chagua uzima ili uwe hai wewe na uzao wako
@pastoreliya6636 күн бұрын
Mimi nilimjua Siku Moja Alipo Kuwa na Ombea watu ,Kwengnye Redio ,Nikajua tu Huyu Ni Lusifa ,Nilipo Taka kujua zaidi Ukienda kwake pale Unatoa pesa za Kuombea ,Usipo kua na Milion ,Tano Au milioni Kumi Uombewi sasa anaanza kujiziilisha wazi ,yeye ni Shetani
@geitandelwa299
6 күн бұрын
Shetani yupo kazini
@StevenMutale-xt9yj5 күн бұрын
Kweli Mungu awabariki sana
@RehemaGodfrey5 күн бұрын
Aminaa 🙏🙏🙏🧡 so
@costofamily48615 күн бұрын
Lakin album ya Makanisa ya Kuzimu lini unatuletea Mtumishi wa Bwana
@ruthmuja77926 күн бұрын
Amen Amen
@karimmveyange25584 күн бұрын
ACHA KUONGELEA WENZIIO NA KUWAITA WAONGO, BASI NAWEWE NI MUONGO. FANYA HUDUMA YAKIROHO NA MWILI WATU WAZIONE KWA VITENDO. HIYO NI FUJO NA NIUCHOKOZI
@LOSERIANSABULAKI3 күн бұрын
Uko sahihi mm mwenyewe nilikwenda kanisani kwake pale hakuna MUNGU
@silassaitoti76896 күн бұрын
Huyo ni pepo kabisa😅
@AbbahCostaabbahCostaabbah6 күн бұрын
🎉🎉
@user-sz6ht5wm2g6 күн бұрын
Cassian nakupa big up na Mungu wangu akulinde dakika zote
@geitandelwa299
6 күн бұрын
Na MUNGU amulinde zaidi
@Edimond-sw9ce6 күн бұрын
Amina twende,n'gambo"pamoja
@costofamily4861
5 күн бұрын
Sema sema ukweli mtumishi wewe ni Nuru katka Giza☀☀☀☀💥💥💥💥
@amosnnko77926 күн бұрын
Kwel baba mwambie apone
@Edimond-sw9ce6 күн бұрын
🎉
@user-dz8qh6yb2x6 күн бұрын
Amen
@furahadayson26646 күн бұрын
Emeni
@user-id1cg8ik1d5 күн бұрын
Uwiii na leo nilienda pale kwa kweli Mungu anitehem 🙌🙌🙌🙌
@gloriaaugustino8031
5 күн бұрын
😂😂😂😂
@LucyKapinga-fg4dk
4 күн бұрын
Mmmh!Pole Omba Toba sana Upate amani Then Muulize MUNGU WAPI PAKWENDA Damu ya YESU IKUKOMBOE NA KUKUTAKASA
@user-id1cg8ik1d
2 күн бұрын
@@LucyKapinga-fg4dk Ameen niombee san mtumish😭😭NAMI niomb rehema kwa Mungu wa mbinguni anirehem
@ruthmuja77926 күн бұрын
🙏🏽
@nolimittvonline68223 күн бұрын
MUNGU AKUTUNZE maana wanatafutwa watumishi wa MUNGU wakweli ili waangushwe MUNGU wa Ev.Paschal Cassian unikumbuke
@shadrackmapamba26015 күн бұрын
✍️ Inasemekana kafukuzwa Rwanda kaja Tz.
@user-gm4qi3nn9n2 күн бұрын
Kiboko ya wachawi no comment ni ghost spirit kwani si waafrica tumerogwa na nani si aende congo kwao aponye nchi yake itoke kwa machafuko na mkorogo wake
@pastormkingandegekubwa13906 күн бұрын
Nasikia alikimbizwa uganda Huyu Ndugu anaibia watu kwakweli Alafu bila woga
@noelmtumishi7895
6 күн бұрын
Aliwaibia kwa njia gan
@josephbonday8510
5 күн бұрын
@@noelmtumishi7895😂😂😂😂😂...Hata Mimi nashangaa
@benjamenshepa1000
4 күн бұрын
Huyo kiboko ya wachawi@@josephbonday8510
@askarwayesu5 күн бұрын
Hiyo madhabahu inaitwaje
@user-gf9pb5jz9j4 күн бұрын
Hii sasa ndio injili ya kweli, sio huyo kiboko haramu
@victormkello95755 күн бұрын
1 Yohana 4:1-2. ukisoma hapo utaelewa.
@gloriaaugustino80315 күн бұрын
Sina ushahidi mie
@laodikiagiantsingers10276 күн бұрын
Kiboko ya wachawi ni mtumishi wa shetani asilimia Mia.
@Mahershalalhashbazi-kf6xi
4 күн бұрын
Ushahidi weka mezani
@silassaitoti76896 күн бұрын
PASCHAL USIKATETAMAA MUNGU AKUTIE NGUVU KUKEMEA UOVU KUKEMEA NDIO MAKUSUDI YA MUNGU KWA WATUMISHI
@geitandelwa299
6 күн бұрын
Ameni
@user-lb9sl5nd9r6 күн бұрын
Kiboko ya wachawi hatumii maombi kuponya watu anatumia maneno yake mwenyewe haombi najivuna yeye mwenyewe anjisifia yeye mwenyewe yani sio mutu wa mungu huo ndo ukweli
@geitandelwa299
6 күн бұрын
Ni shida
@user-gr9wc7bc2m6 күн бұрын
Watanzania nawaambia ninyi mnaowafuwata hawa wachawi mtaangamia motoni shika hili nakuambia
Sio akuombee OKOKA ILI UPATE KIBALI CHA KUMUENDEA MWENYE HUO UPONYAJI
@EdwardJohn-xz5oi
2 күн бұрын
Amina😅😅@@brianshomi722
@EmmyJerremiah-jy2lz5 күн бұрын
Pascal Cassian mm nakufatiliaga sana kwa sababu unasema kweliiii yaan hakuna mtumish uliyemsema kwa hila mwamposa,suguye,kuhan musa,johdavie,kiboko ya wachawi, na wengine weeeengi ni kweli ni mawakala wa shetani......Yaan naomba nikutie moyo HATA WAKUSEME VIPI USIACHE KUSEMA KWELIII ...NA MUNGU AKUBARIKI
@gloriaaugustino8031
5 күн бұрын
Nitajie mtumishi WA Mungu sahihi tukasali
@EmmyJerremiah-jy2lz
5 күн бұрын
@@gloriaaugustino8031 Muulize MUNGU wako mm niliwajua ni mawakala wa shetani sio kwasababu Cassian amesema ila nilifunuliwa kabisa maana nlikua nawaamini na kuwapenda hata watu walikua wakiongea naona waongo ila MUNGU alinithibitishia kwahyo nakushauri OMBA!.... Barikiwa
@rosemarymwanitega7926
5 күн бұрын
@@gloriaaugustino8031kama unasubiri ndugu utajiwe ndo uende bac utapata hasara ya nafsi yako piga goti omba au ingia kwenye mfungo muombe Roho Mtakatifu akuongoze upate mtumishi sahihi la sivyo umekwisha na muombe Mungu akufunulie akili na macho ya rohoni yakujua watumishi wa waongo
@benjamenshepa1000
4 күн бұрын
Tembea kwa watumishi kama Abiudi misholi , magembe ,chirstofha mwakasege na wengine zaidi omba Mungu akupe roho matakatifu atakusaidia
@hamidashauri79316 сағат бұрын
Kumbe na wewe unaomba hela,ww ndio tapeli mkubwa,muache kiboko yuko vizuri sanaaa,ndio nyie wachawi tutawazika mwaka huuu,huna lolote,kiboko sio sahizi yako ww yule umuwezi
@costofamily48615 күн бұрын
Sasa watu wameanza kukuelewa cassian
@user-rs4vz2vt9z5 күн бұрын
Mafarisayo wamefanana na makaburi nnje yamepambwa kwa marumaru Ila ndani ni uozo mtupu,huwezi kua mtumishi wamungu umseme mtumishimwenzio.Wewe ni kaburi.
@benjamenshepa1000
4 күн бұрын
Anaemsema sio mtumishi ila ni agent wa shetani hivyo anaonya watu wawe makin
@masindemagee96036 күн бұрын
Uyo kiboko ya wachaw ni mwongo tapeli na anawashilikiana na wachaw na anawapeleka watu kuzimu
@geitandelwa299
6 күн бұрын
Ni kweli kabisa
@user-pl9fp1ul2m4 күн бұрын
Amekataa kukemea dhambi, Sasa huyo ni mtumishi gani
@benjamenshepa1000
4 күн бұрын
Wew huelew kitu Mungu akusaidie uelewe soma mathayo sura 3 yohana anawambia watu kutubu na kuacha dhambi
@Prophete_lutumba7 күн бұрын
God is in total control
@mariakibwana37005 күн бұрын
Casiani wewe,umeitwa na Mungu sawa,sikatai, njoo nyumbani nitalipa nauli,nateseka ukiniambia kujenga madhabahu, kununua camera hapo unanisaidiaje, nauli ninayopoteza kwenda hospitali ni kubwa.Hao wanaokwenda huko wanahitaji kupona.Sasa wengi mnapinga manabii ilihali nguvu zenu hatuzioni.Niombeeni nipone kifupi nina imani sana na Yesu. Kama sina karama ya kujiponya wewe nisaidie ili nitoe ushuhuda.
@FestoJemsi-lr8pw
5 күн бұрын
Mpigie sm namba zake zpo Hana shida yupo kwaajili Yako pengine hasomagi comment zawatu 🙏
@FestoJemsi-lr8pw
5 күн бұрын
Mpigie sm namba zake zpo Hana shida yupo kwaajili Yako pengine hasomagi comment zawatu 🙏
@brianshomi722
5 күн бұрын
Umeweka imani yako kwa YESU kwa sababu unataka kuponywa TU, Laiti ungekuwa mzima ungekuwa unatukana hivyo watumishi wa MUNGU Je,kipindi upo mzima uliweka imani YAKO kwa YESU? Apandacho mtu ndicho avunacho, hivyo Ukitaka kuja kwa YESU lazima ulipe gharama
@user-pf5zs6nm4n6 күн бұрын
Mtumishi nakuomba nambayako ya cm nahitaji maombezi nipo njombe makete
@user-gr9wc7bc2m
6 күн бұрын
Ninyi ndo anawahubiri maombezi huyu hataki mnapotosha wachungaji badala ya kujiombea mnatangatanga jiombee mwenyewe pona kwa jina la Yesu
Hatukan ila mtumish w Mungu kuweka vitu bayana watu wapone Hilo ndio neno la Mungu hasta kwenye vitabu imeandikwa karipiena mkemee kabisa , usiposema ukweli watu wataangamia why asiseme ukweli watu wapone
@joshuaandrew386
5 күн бұрын
Sindano imekuingia bila Shaka, vumilia ndo uponyaji huo
@zabibusaidi1404
Күн бұрын
Acha kumkandia mwenzako kama madhabau yako haina washirika tembeza vipeperushi maana ckuizi bibilia ni soko huria na upinzani kama vyama vya siasa abudu na kuhubiri unachokijua ondoa jina la mwamba kiboko ya wachawi
@WilondjaWitambi6 күн бұрын
UNA UBIRI VIZURI SANA LAKINI UNABAGUWA KABILA SISI HOTE NIWAMOJA HATA WATANZANIA WANA CHUBUWA NGONZI
@MussaMadulu-c4z
6 күн бұрын
Wakongo nikabila kumbee sikiliza mandiko Yana sema Nini kusikia mkongo ndokubagua sisi wote niwa mungu lakini uyo nimkongo naa anajichubua kujichubua nizambii soma mandiko mzee
@WilsonEmmanuel-bs6op
6 күн бұрын
Amina mtumishi
@RobartLukas6 күн бұрын
Mtumishi sema Tena baba huyo kiboko wawachawi nishawahi kwenda kusali pale mule hakuna mtu.
@johanamwita11615 күн бұрын
Napenda watumishi wa mungu wanao ambia watu ukweli usifiche dhambi baba kwaku tetea mikate 5:48 5:48
@barakabusima6 күн бұрын
Sasa mwenyewe anajiita kiboko 🤣 jamaa ni liongoo kweli cha ajabu anawafuasi
@pastoreliya6636 күн бұрын
Mimi nilimjua Siku Moja Alipo Kuwa na Ombea watu ,Kwengnye Redio ,Nikajua tu Huyu Ni Lusifa ,Nilipo Taka kujua zaidi Ukienda kwake pale Unatoa pesa za Kuombea ,Usipo kua na Milion ,Tano Au milioni Kumi Uombewi sasa anaanza kujiziilisha wazi ,yeye ni Shetani
@Pendopasilika
4 күн бұрын
Lakini bado watu hawaelewi
@Pendopasilika
3 күн бұрын
@@pastoreliya663 Sasa mtu ametenda ili asaidiwe afundishwe jinsi ya kupambana na shetani kumbe ndo anajichimbia shimo BWANA YESU alisema mmepewa bure toeni bure na kwa Alie maskini atatoa wapi hizo million Ila dunia Ina mambo
@user-gm4qi3nn9n
2 күн бұрын
Lakin ni sehem nyingi sasa kumuona kuhani lazima hela@@Pendopasilika
@MussaMadulu-c4z6 күн бұрын
🎉🎉
@johanamwita11615 күн бұрын
Napenda watumishi wa mungu wanao ambia watu ukweli usifiche dhambi baba kwaku tetea mikate 5:48 5:48
Пікірлер: 125
Kiboko ya wachawi nilishamwona sio mtumishi wa Mungu
Hongera mtumishi wa Yesu Damu ya Yesu ikufunike
hubiri neno la Mungu sio kuponda wenzako,mwacheni mwamba afanye kazi aliyopewa
Mtumishi ubarikiwe Mana neno linasema kweli ndo itakayotuweka huru amen
Mungu akubariki, tuko pamoja kuisema kweli kumwaibisha Shetani.
Amen mtumishi wa MUNGU Ushavuka viwango vya kurogwa❤🎉
@geitandelwa299
6 күн бұрын
Na MUNGU amulinde huyu kasiani
Napenda watumishi wa mungu wanao ambia watu ukweli usifiche dhambi baba kwaku tetea mikate 5:48 5:48
Huyo kiboko ashindwe kw jina la Yesu siyo mtumishi wa Mungu
Mmmmmh 😂😂😂😂😂 ni Bora ungehubiri aliyokuitia Mungu kuliko kusema wenzako vibaya kila mtu ameitwa kwa aina yake. Cpendag mtumishi wa Mungu kumdisi mwengine lol
Mungu wa BWANA wetu YESU KRISTO akurinde
Amen ameni mungu akulinde mtumishi wa mungu
brather Kama yesu aliwatabili watakuwepo wewe utafanya nini uwaondoe, mungu ndie atamalizana nao
Mungu ni mwema. Mpaka hapa Madhabahu imeanza vizuri. Mungu awashike mkono vifaa vyote vipatikane.
Natamani ungetumia nguvu hii kuwaambia watu Habari za Yesu kwa kufanya hivyo watu watajua ni wapi pa kwenda kwasababu watakuwa na Yesu ila hapa ni kama unaacha watu njiapanda WAAMBIE WATU WAOKOKE WAJAZWE NA ROHO WA MUNGU ILI WAONGOZWE NA MUNGU WAWE WATAKATIFU
@LucyKapinga-fg4dk
2 күн бұрын
@@reganwillbard2473 unaijua Kazi ya Uinjilisti Na Pia Kila Mtumishi Anawito wake soo ndugu Niheri Tutulie
Huyo kiboko wa uchawi siyo mtumishi wa Mungu mm nilshaenda huko kutoka Moshi yaliyonifika nilishangaayesu wangu alikufasalabani l akatoa damu yake Leo kiboko ya chawi kumwona eti laki tano
Mti wa Matunda ndio hupigwa Mawe songa Mbele kiboko ya Wachawi hadi waseme maana bado hawajasema na huyu mtumishi anaenda na kiki ameshajua ili na yy ajulikane lazima amtaje kiboko ya Wachawi Muacheni jaman aliyebarikiwa amebarikiwa I love you KIBOKO YA WACHAWI ❤❤❤❤❤❤
@SteveAvelinBuretter
Күн бұрын
Umelogwa maandiko yanasema watuwangu wanapotea kwakukosa maarifa
Kwa sasa ninaitaji kujiunganisha na uyu mtumishi kusema ukweli mafundisho yako yananibaliki sana kwa nzia sasa nimeamua kujiunganisha na mazabau ii
Barikiwa Zaidi MTU wa MUNGU
Hii injili ya kuhubur watu hata kama hao watu ni kweli kabisa si wstumishi wa Mungu haisaidii kitu. Hubiri neno la Mungu maana kama watu hawatakuwa na neno ndani ya mioyo yao wataenda tu kwa hao watu na hata tasipornda kwao wataenda kwa waganga. Watu Wansoenda kwa hao watumishi ni wachache kwa nn msiyie uzito kwa wengine? Maana kama hao watu ni wachawi hakuna atakaetoka hapo
Vumirieni watu wa mungu kama yesu arika na yuda nyie mnashindwaje KUKA na waongo ira tukae nao kwa akiri
Pole Mtumwa wa BWANA Ubarikiweee
Uwe unapost na mazuri yao pia
Ila kusema kweli tufuate watumishi wanaokuhimiza kuacha uovu maana hakuna matatizo yanakuja bila sababu
Barikiwa mtumishi
Asante hiyo ni ukweli
MUNGU akubariki sana mtumishi wa MUNGU.
@geitandelwa299
6 күн бұрын
Ameni
Amen ❤
Nakupenda paschal cassian, mafundisho yako yamesha nivusha mahali
@geitandelwa299
6 күн бұрын
Ameni
KWELI
Jitafutie umaarufu mwenyew usitumie mgongo wa mtumishi mwenzio
AMINA
Amen mtumish
Mimi nataka kusali kwa kiboko ya wachawi kama kuomba nimeomba sana sioni majibu ili mradi anahubiri kwa jina la yesu mimi nitasali tu. Siku hizi kila mtu anavutia kwake
@Pendopasilika
3 күн бұрын
Nenda madamu uko timamu wewe unachagua kwa kwenda Wala hulazimishwi pengine huko utakwenda kuzaa matunda yakupasayo
@RoseRose-bk2tf
Күн бұрын
Kumbukumbu la torati 30 :19 Nazishuhudiza bingu na inchi juu yenu hivi leo kua nimekuwekea mbele yako nime kuwekea uzima na mauti laana na baraka basi chagua uzima ili uwe hai wewe na uzao wako
Mimi nilimjua Siku Moja Alipo Kuwa na Ombea watu ,Kwengnye Redio ,Nikajua tu Huyu Ni Lusifa ,Nilipo Taka kujua zaidi Ukienda kwake pale Unatoa pesa za Kuombea ,Usipo kua na Milion ,Tano Au milioni Kumi Uombewi sasa anaanza kujiziilisha wazi ,yeye ni Shetani
@geitandelwa299
6 күн бұрын
Shetani yupo kazini
Kweli Mungu awabariki sana
Aminaa 🙏🙏🙏🧡 so
Lakin album ya Makanisa ya Kuzimu lini unatuletea Mtumishi wa Bwana
Amen Amen
ACHA KUONGELEA WENZIIO NA KUWAITA WAONGO, BASI NAWEWE NI MUONGO. FANYA HUDUMA YAKIROHO NA MWILI WATU WAZIONE KWA VITENDO. HIYO NI FUJO NA NIUCHOKOZI
Uko sahihi mm mwenyewe nilikwenda kanisani kwake pale hakuna MUNGU
Huyo ni pepo kabisa😅
🎉🎉
Cassian nakupa big up na Mungu wangu akulinde dakika zote
@geitandelwa299
6 күн бұрын
Na MUNGU amulinde zaidi
Amina twende,n'gambo"pamoja
@costofamily4861
5 күн бұрын
Sema sema ukweli mtumishi wewe ni Nuru katka Giza☀☀☀☀💥💥💥💥
Kwel baba mwambie apone
🎉
Amen
Emeni
Uwiii na leo nilienda pale kwa kweli Mungu anitehem 🙌🙌🙌🙌
@gloriaaugustino8031
5 күн бұрын
😂😂😂😂
@LucyKapinga-fg4dk
4 күн бұрын
Mmmh!Pole Omba Toba sana Upate amani Then Muulize MUNGU WAPI PAKWENDA Damu ya YESU IKUKOMBOE NA KUKUTAKASA
@user-id1cg8ik1d
2 күн бұрын
@@LucyKapinga-fg4dk Ameen niombee san mtumish😭😭NAMI niomb rehema kwa Mungu wa mbinguni anirehem
🙏🏽
MUNGU AKUTUNZE maana wanatafutwa watumishi wa MUNGU wakweli ili waangushwe MUNGU wa Ev.Paschal Cassian unikumbuke
✍️ Inasemekana kafukuzwa Rwanda kaja Tz.
Kiboko ya wachawi no comment ni ghost spirit kwani si waafrica tumerogwa na nani si aende congo kwao aponye nchi yake itoke kwa machafuko na mkorogo wake
Nasikia alikimbizwa uganda Huyu Ndugu anaibia watu kwakweli Alafu bila woga
@noelmtumishi7895
6 күн бұрын
Aliwaibia kwa njia gan
@josephbonday8510
5 күн бұрын
@@noelmtumishi7895😂😂😂😂😂...Hata Mimi nashangaa
@benjamenshepa1000
4 күн бұрын
Huyo kiboko ya wachawi@@josephbonday8510
Hiyo madhabahu inaitwaje
Hii sasa ndio injili ya kweli, sio huyo kiboko haramu
1 Yohana 4:1-2. ukisoma hapo utaelewa.
Sina ushahidi mie
Kiboko ya wachawi ni mtumishi wa shetani asilimia Mia.
@Mahershalalhashbazi-kf6xi
4 күн бұрын
Ushahidi weka mezani
PASCHAL USIKATETAMAA MUNGU AKUTIE NGUVU KUKEMEA UOVU KUKEMEA NDIO MAKUSUDI YA MUNGU KWA WATUMISHI
@geitandelwa299
6 күн бұрын
Ameni
Kiboko ya wachawi hatumii maombi kuponya watu anatumia maneno yake mwenyewe haombi najivuna yeye mwenyewe anjisifia yeye mwenyewe yani sio mutu wa mungu huo ndo ukweli
@geitandelwa299
6 күн бұрын
Ni shida
Watanzania nawaambia ninyi mnaowafuwata hawa wachawi mtaangamia motoni shika hili nakuambia
@JuliusMatiku-ux4ch
6 күн бұрын
Saw yesu
Atar
Jamani mimi naumwa,niombee nipone ukiniambia maneno mengi ilihali kuumwa kuko palepale hainisaidii.
@brianshomi722
5 күн бұрын
Sio akuombee OKOKA ILI UPATE KIBALI CHA KUMUENDEA MWENYE HUO UPONYAJI
@EdwardJohn-xz5oi
2 күн бұрын
Amina😅😅@@brianshomi722
Pascal Cassian mm nakufatiliaga sana kwa sababu unasema kweliiii yaan hakuna mtumish uliyemsema kwa hila mwamposa,suguye,kuhan musa,johdavie,kiboko ya wachawi, na wengine weeeengi ni kweli ni mawakala wa shetani......Yaan naomba nikutie moyo HATA WAKUSEME VIPI USIACHE KUSEMA KWELIII ...NA MUNGU AKUBARIKI
@gloriaaugustino8031
5 күн бұрын
Nitajie mtumishi WA Mungu sahihi tukasali
@EmmyJerremiah-jy2lz
5 күн бұрын
@@gloriaaugustino8031 Muulize MUNGU wako mm niliwajua ni mawakala wa shetani sio kwasababu Cassian amesema ila nilifunuliwa kabisa maana nlikua nawaamini na kuwapenda hata watu walikua wakiongea naona waongo ila MUNGU alinithibitishia kwahyo nakushauri OMBA!.... Barikiwa
@rosemarymwanitega7926
5 күн бұрын
@@gloriaaugustino8031kama unasubiri ndugu utajiwe ndo uende bac utapata hasara ya nafsi yako piga goti omba au ingia kwenye mfungo muombe Roho Mtakatifu akuongoze upate mtumishi sahihi la sivyo umekwisha na muombe Mungu akufunulie akili na macho ya rohoni yakujua watumishi wa waongo
@benjamenshepa1000
4 күн бұрын
Tembea kwa watumishi kama Abiudi misholi , magembe ,chirstofha mwakasege na wengine zaidi omba Mungu akupe roho matakatifu atakusaidia
Kumbe na wewe unaomba hela,ww ndio tapeli mkubwa,muache kiboko yuko vizuri sanaaa,ndio nyie wachawi tutawazika mwaka huuu,huna lolote,kiboko sio sahizi yako ww yule umuwezi
Sasa watu wameanza kukuelewa cassian
Mafarisayo wamefanana na makaburi nnje yamepambwa kwa marumaru Ila ndani ni uozo mtupu,huwezi kua mtumishi wamungu umseme mtumishimwenzio.Wewe ni kaburi.
@benjamenshepa1000
4 күн бұрын
Anaemsema sio mtumishi ila ni agent wa shetani hivyo anaonya watu wawe makin
Uyo kiboko ya wachaw ni mwongo tapeli na anawashilikiana na wachaw na anawapeleka watu kuzimu
@geitandelwa299
6 күн бұрын
Ni kweli kabisa
Amekataa kukemea dhambi, Sasa huyo ni mtumishi gani
@benjamenshepa1000
4 күн бұрын
Wew huelew kitu Mungu akusaidie uelewe soma mathayo sura 3 yohana anawambia watu kutubu na kuacha dhambi
God is in total control
Casiani wewe,umeitwa na Mungu sawa,sikatai, njoo nyumbani nitalipa nauli,nateseka ukiniambia kujenga madhabahu, kununua camera hapo unanisaidiaje, nauli ninayopoteza kwenda hospitali ni kubwa.Hao wanaokwenda huko wanahitaji kupona.Sasa wengi mnapinga manabii ilihali nguvu zenu hatuzioni.Niombeeni nipone kifupi nina imani sana na Yesu. Kama sina karama ya kujiponya wewe nisaidie ili nitoe ushuhuda.
@FestoJemsi-lr8pw
5 күн бұрын
Mpigie sm namba zake zpo Hana shida yupo kwaajili Yako pengine hasomagi comment zawatu 🙏
@FestoJemsi-lr8pw
5 күн бұрын
Mpigie sm namba zake zpo Hana shida yupo kwaajili Yako pengine hasomagi comment zawatu 🙏
@brianshomi722
5 күн бұрын
Umeweka imani yako kwa YESU kwa sababu unataka kuponywa TU, Laiti ungekuwa mzima ungekuwa unatukana hivyo watumishi wa MUNGU Je,kipindi upo mzima uliweka imani YAKO kwa YESU? Apandacho mtu ndicho avunacho, hivyo Ukitaka kuja kwa YESU lazima ulipe gharama
Mtumishi nakuomba nambayako ya cm nahitaji maombezi nipo njombe makete
@user-gr9wc7bc2m
6 күн бұрын
Ninyi ndo anawahubiri maombezi huyu hataki mnapotosha wachungaji badala ya kujiombea mnatangatanga jiombee mwenyewe pona kwa jina la Yesu
Usimtukane mwezio basiww siomtumishi achakumchafua mtu ww siomtumishi ilanimchawi vilevile fanya kilicho kuleta mjingaww
@KornelNyenzi
5 күн бұрын
Hatukan ila mtumish w Mungu kuweka vitu bayana watu wapone Hilo ndio neno la Mungu hasta kwenye vitabu imeandikwa karipiena mkemee kabisa , usiposema ukweli watu wataangamia why asiseme ukweli watu wapone
@joshuaandrew386
5 күн бұрын
Sindano imekuingia bila Shaka, vumilia ndo uponyaji huo
@zabibusaidi1404
Күн бұрын
Acha kumkandia mwenzako kama madhabau yako haina washirika tembeza vipeperushi maana ckuizi bibilia ni soko huria na upinzani kama vyama vya siasa abudu na kuhubiri unachokijua ondoa jina la mwamba kiboko ya wachawi
UNA UBIRI VIZURI SANA LAKINI UNABAGUWA KABILA SISI HOTE NIWAMOJA HATA WATANZANIA WANA CHUBUWA NGONZI
@MussaMadulu-c4z
6 күн бұрын
Wakongo nikabila kumbee sikiliza mandiko Yana sema Nini kusikia mkongo ndokubagua sisi wote niwa mungu lakini uyo nimkongo naa anajichubua kujichubua nizambii soma mandiko mzee
@WilsonEmmanuel-bs6op
6 күн бұрын
Amina mtumishi
Mtumishi sema Tena baba huyo kiboko wawachawi nishawahi kwenda kusali pale mule hakuna mtu.
Napenda watumishi wa mungu wanao ambia watu ukweli usifiche dhambi baba kwaku tetea mikate 5:48 5:48
Sasa mwenyewe anajiita kiboko 🤣 jamaa ni liongoo kweli cha ajabu anawafuasi
Mimi nilimjua Siku Moja Alipo Kuwa na Ombea watu ,Kwengnye Redio ,Nikajua tu Huyu Ni Lusifa ,Nilipo Taka kujua zaidi Ukienda kwake pale Unatoa pesa za Kuombea ,Usipo kua na Milion ,Tano Au milioni Kumi Uombewi sasa anaanza kujiziilisha wazi ,yeye ni Shetani
@Pendopasilika
4 күн бұрын
Lakini bado watu hawaelewi
@Pendopasilika
3 күн бұрын
@@pastoreliya663 Sasa mtu ametenda ili asaidiwe afundishwe jinsi ya kupambana na shetani kumbe ndo anajichimbia shimo BWANA YESU alisema mmepewa bure toeni bure na kwa Alie maskini atatoa wapi hizo million Ila dunia Ina mambo
@user-gm4qi3nn9n
2 күн бұрын
Lakin ni sehem nyingi sasa kumuona kuhani lazima hela@@Pendopasilika
🎉🎉
Napenda watumishi wa mungu wanao ambia watu ukweli usifiche dhambi baba kwaku tetea mikate 5:48 5:48