kisomo cha kuangamiza majini na uchawi (yaasin mubiyn)
Hiki ni kisomo cha kinga dhidi ya uchawi majini hasad, utasikiliza kwa muda wa siku saba biidhnillah Allah atakufanyia wepesi #kisomochawiki #kingauchawimajinihassad #sheikhsharifyussuf
Жүктеу.....
Пікірлер: 821
@FIRDAUSAWADH2 ай бұрын
Allah atuondoshee matatizo mawazo hassad majini na masheitwan atufungulie milango ya barka na mafanikio Soote jamii ummat mohd yaraaby mpe sheikh wetu umri mrefu azidi kutukomboa kwa visomo..Allah akulipe kher kwa barka yahiki kisomo
@macho_autosound1accessorie126 Жыл бұрын
Kwa Kupitia Dua hii Allah Atusaidie Ummat Muhammad Pamoja Na Ndugu zetu walio Tutangulia🙏
@AishaSauko-sn3wn
5 ай бұрын
😘
@fatmafarijalayusuph5338 Жыл бұрын
Mwenyezi mungu kupitia dua hii naomba uondoe husda zote mwilini mwangu na uwavunje moyo wote wanaonikusudia kwa ubaya na unilinde dhini ya nguvu za mashetwani na unipe heri katika maisha yangu unifanyie wepesi katika kazi zangu unipe watoto wema
@rehemafeysali4444
Жыл бұрын
Amin inshallah kwa uwezo wake Allah
@MariamSaid-kl1mi10 ай бұрын
Yallab nikubalie dua yng km kuna mkono wa mtu katika ndoa yng kukataliwa kwa wanangu kupitia kisomo hiki mwenyezimungu kanifungulie kila palipofungwa 😭😭🙏🙏🙏😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@aishamunga30563 жыл бұрын
Eweee muumba wangu naomba ukaniponye maradhi niliyo nayo na ukanifungulie milango ya kheri. Aamin Aamin
@gmwanaabc74923 жыл бұрын
Mashallah shekhe allah azidi kukuweka maana wengi umetukomboa kwenye matatizo mazito sana mimi nilikua silali kabisa sio mchana wala usiku ndani ya miezi sita au saba nahangaika tu baada ya kusikiliza hiki kisomo alhamdullah kirakitu kikakaa sawa nalala kama kawaida allah azid kukuweka shekhe wentu amiina rambi amina
@iddyramadhani7202
Жыл бұрын
9
@rukiaomary
Жыл бұрын
Mie kuna siku nilikuwa nakabwa na ata anaenikab simuoni ila kwa uwez wa Allah akanipa ufahamu wakuingia KZread nikakuta kitson iko nikasikiliz bas uwez amin kunakit kilikuwa kinanivuka milini mwan adi nikaa saw na sijaacha kusikiliz dua za uyo shekhe mungu ape ujila wake
@user-xn6hs1qk3y
2 ай бұрын
Kwa hakika na mm leo nitalala inshallah Mungu yupo nami
@MauaMbaraka5 күн бұрын
Amina yarab naanza kisomo hiki nina amini nakwenda kupona nimeteseka mpka nakata tamaa basi leo naenda kupta upya wa mwili wangu amina alhamdulillah yarab❤
@swahibuomari1763 жыл бұрын
Ya Allah kwa kupitia kisomo hiki naomba unijaalie nikisikilize cku zte7 ili unifungulie milango ya heri na uniondoshee ziki katika familia yangu na umati Muhammad na unijaalie mm na familia yangu tuwe miongoni mwa wenye kufuata muongozo wa laa ilaa hailakahu;
@islamislife2556
Ай бұрын
Amin yaraab
@emmygabriel24693 жыл бұрын
Inshaallah Mwenyezi Mungu naomba ukaniponye maradhi nilonayo na ukanifungulie milango ya kheri, Inshaallah
@salumali5298
3 жыл бұрын
P⁰
@islamislife2556
Ай бұрын
Amin yaraab
@seliidrashio69683 жыл бұрын
Wasalamalykum twawapongeza masheikh wote mutatusaudia sana mana ubaya upo sana hapa duniani nahata uko wazi ambae hajafaninyiwa uhadui ashukuru mwenyezi."
@idrisaali5618
3 жыл бұрын
Allah awaweke mashehe wetu
@lucygasper55473 жыл бұрын
Mashallah Molla anijalie nami niwe muislam ...
@habibujamali5746
3 жыл бұрын
Amin!! Inshallah!!
@bakariomari24omar21
3 жыл бұрын
Usichelewe mungu kesha kuchagua uwe muislamu
@esmahnguzo8448
3 жыл бұрын
Karibu mpenz
@lucygasper5547
3 жыл бұрын
Asanteee
@lucygasper5547
3 жыл бұрын
Inshallah afanye wepes
@hirman2k033 жыл бұрын
Bismillah mashallah nitasikiliza dua hii kwa uwezo wa m.mungu na malaika wote aniondoshe majin na maradhi makubwa na hasada mim na family yangu na wengine wote inshallah 🙏👐😍
@musamgonda3910
2 жыл бұрын
Aamin
@timamahmud942
2 жыл бұрын
@@musamgonda3910 she
@musamgonda3910
2 жыл бұрын
@@timamahmud942 ?
@rahmaibrahim4794
2 жыл бұрын
Amiin
@hawaamohammed6687
2 жыл бұрын
Amina
@tabumussa67053 жыл бұрын
Yarabi M/MUNGU tuepushe na husda za walimwengu kupitia dua hiii nakuomba ya allah mpatie shekhe uyu kila kilicho chema hapa duniani kesho aelah
@mwanajinacayemite2336
3 жыл бұрын
Alhamdulillahi rabbil a'alamina. Mwenyezi Mungu akusimamie Innshaallwah. Wengi tuna matatizo makubwa sana lakini hatujui jinsi ya kujikwamua. Mwenyezi Mungu ukujaalie kwa kila ulitakalo lenye kheri na wewe
@abdifatah9129
3 жыл бұрын
Inshaallah
@pilimusa3217
2 жыл бұрын
Amiin
@islamislife2556
Ай бұрын
Amin yaraab
@rukiammangammanga11663 жыл бұрын
Mungu asaidiee yarabi❤️❤️❤️❤️❤️❤️😭😭😭
@user-xk1xw5qo5v Жыл бұрын
Inshallah sheh duana takhabballii ❤
@annakasada14543 жыл бұрын
Kwa kupitia dua hii mungu aniepushie mabaya yote na aniepushie na husuda za walimwengu maisha ni mwangu
@khadijaahmed64113 жыл бұрын
Asalam aleikum warhamtillahi wabarakat,shukran sheikh,inshallwa mungu akujaze kila la kheri,na Allah atukinge na wachawi na mahasid yarab..
@annethmhina57312 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu naomba unifungulie vifungo na husda zote nilizowekewa katika Ndoa yangu na shughuli zangu kwa ujumla. Malaika wa Mbingu naomba mnisimamienkatika kisomo hiki. Ameen
@MwanahawaRamadhan-sx5pe
6 ай бұрын
Sacr@v😅😅😅😅
@hafidhimakele54893 жыл бұрын
Jazacka Llahu lkhair
@Lulu-wt9dd7 күн бұрын
Ya Allah naomba 🤲hii dua iwe tiba kwangu nipone malazi yote yanayo niandama amin🤲
@abbyits11783 жыл бұрын
A.aleykum....Namshukuru Allah kwa Dua hii kupitia Sheikh Shar Yusuf nasema asante kwani nimeteseka sana na ndoto za kuzaa kila baada ya muda zinanirudia,Mara Niko sehem za bahari, nakuwa MTU wa hasira Mara kwa Mara ugomvi kwangu hauishi muda mwingine kuhish nyakat za usiku kuingiliwa,,,,Namshukur Allah toka nimesikiliza Dua hii sijapata tena na Hata zile hali za maumivu maumiv ya mwili hakuna tena Shukran sana Shekhe Allah akuzidishie kheri ikadumu zaidi na zaidi.... Kupitia kisomo cha kinga zidi ya majini na wachawi nimepata kheri...Mwenyezi Mungu akupe mwisho mwema!!!! ISHA ALLAH ^( Habibt'y Said)~from Rwanda Kigali
@sweetmeena5970
3 жыл бұрын
Mashallah
@zenaahmedi8857
3 жыл бұрын
Mashaallah
@user-sv9mo5dt1t
11 күн бұрын
Mashallah shekhe sharif mungu akupe umri mrefu na siha kwa dua yako nzuri mashallah
@ElizabethLizzy-pk3zjАй бұрын
Ewe mwenye Mungu mponye bwanangu anamaumivu makala ya oparesheni 🤲nami uniondolee maumivu
@empress23613 күн бұрын
Assalam Alaikum Namwamba ALLAH kupitia dua hii iniondelee majini mashetwani wote ambao wamwsukumwa kstika maisha yangu wadudu kutambaa kwa mwili kuuumwa kwa kichwa Yaa Allah kupitia dua ikaondoe kila baya kwa maisha yangu wanangu jamii yangu inshaallah Mwenyezi mungu akufanyie wepesi kws kila jambo waitaji Sheikh sharif🤲🤲🤲🤲 Amiin
@Niyiturinda3 жыл бұрын
Allahuma amiini.....kwa kisumu hiki kinisaidie.....kwa maisha yangu...na kizazi changu...
@rehemafeysali4444
Жыл бұрын
Amin inshallah kwa sote kipenz
@aishasaid57024 жыл бұрын
Maa shaa Allah shukraan sana tuko pamoja in shaa Allah
@user-by9uv6nf1o9 күн бұрын
Ya Allah nijalie mema na uniondolee kila kilichopo ndani ya mwili wangu kilichoingia kwa ubaya inshallah
@zynbtnzanya987026 күн бұрын
Mwenyez Mungu kupitia kisomo hiki niondoshee shida zote zinazonisumbua zinazoniumiza nafs yangu ukanifungue kila kilichobak fungwa ktk maisha yangu amin
@asyaabas10373 жыл бұрын
yarrab baraka zako na utukufu wako nijalie kisomo kiwe dawa kwang kiwe ndo kisomo cha kuniondolea mattz yot nilonayo na kiwe ufunguzi wa kheri kwang amin yarrab yaan nakiskiliz machozi yananitoka
@ahmedthabit6935
3 жыл бұрын
tatizo pengine ni nini dadangu?
@user-xn6hs1qk3yАй бұрын
Kiukweli nashukuru can shekhe SHARIF dua zako zimenisaidia can wallah Allah akupe mwisho mwema inshallah 🙏🙏
@user-ws1he4ev9n2 ай бұрын
Inshallah mwenyezi mungu naomba ukaniponye maradhi nilonayo milango ya kheri na umuondolee matatizo mumea wangu na akapate kazi.lnshallah
@magrethhillary5449Ай бұрын
Naomba munguu anijalie kupitia kusomo hiki nitoke nakila uchawi kwenye mwili wanguu unitoke .najini maaba linatokea amina🤲🙏
@hadijajohn74342 жыл бұрын
Shekhe unatupa duwaa nzuri mungu akujaalie afya njema shekhe yussuf
@wombozipashua63 Жыл бұрын
Alhamdulilah Allah akulipe kila la kheri shekhe kisomo leo siku ya pili lakini majini wanatoka wenyewe, namshuku sana Allah kwani Quran ndio ponyo ya kweli. Amiin
@malak-lz6kx
Жыл бұрын
Quran ni ponyo la majanga yote ya dunia maana mm nimemfutilia uyu shekhe allah amzidishie maana nilikua niko kma sipo wasiwasi ulinitawala sna nimeskiliza kisomo chake alhmdullah.
@salimajuma55303 жыл бұрын
Jazakalahu heri Allah akupe pepo yadunia nakesho ahera ameeen
@mgeniali9413 жыл бұрын
Allah atufanyie wepes mashallah nimeianza leo na mm
@nasramiraji7716 Жыл бұрын
Ya Allah kupitia kisomo hiki niondoshee matatizo na unafungulie kizazi changu unipe watoto wenye kher na mimi, yarabbi najua hushindwi na lolote niepushie dhati zote na unipe kila lenye kher na mimi
@ashaamina
9 ай бұрын
Amina
@user-rn6rr8cw5v
6 ай бұрын
Allahumma ameen
@AminaIbrahim-mn9wg
6 ай бұрын
Amiin ❤
@user-gi5ut4fw4b
6 ай бұрын
@mariamsaid4167
4 ай бұрын
Amiin
@rizikihaji8002 жыл бұрын
Allah akupe kheri za dunia na Akhera na akuepushie kila mabalaa inshallah ,naamin Allah atanisaidia kupitia kisomo hiki inshallah
@michatv2393 жыл бұрын
Namuomba mungu anifanyie kila wepesi kopitia kisomo hiki changamoto zote mbaya ninazopitia mungu aniponye nakunibarik aaamin. Ubarkiwe Sheikh
@muhammadsalim44852 жыл бұрын
Allhamdullillahi Allah atuondoshe matatizo mi na family yangu nawaislam wote amiin
@delaizermsafi14422 жыл бұрын
Yallabi kwadua hii niondolee khofu katika nyoyo yangu niwe yakuwa nawasiwas sn naomba uniondoree maradhi niliyokuwa nayo yalabi mimi simkamirifu nisamehe pale nilipokosea wewe ndio mjuzi wayote na mtekerezaj niwew amiin
@malak-lz6kx
Жыл бұрын
Assalam alaykum mm nilikua zaid yko alhmdullah naskiliza nikiwa nipo tohara natulia kwenye msala alhmdullah nipo swa leo ya tatu.
@salmaally2252
5 ай бұрын
Hii shida hata mm naipitia
@blemisheclat49693 жыл бұрын
Shukran Sana shekh walai nimeumwa na mkono miaka miwili nimefatilia duwa hii kwa siku mbili naendelea vzr Mola akulipe inshallah
@abubakarkassim63693 жыл бұрын
Mashallah Allah hafidh kulu amin
@aminakassim4093 жыл бұрын
Mashaallah allah akubarik..
@sleifikhajjir2623 жыл бұрын
Masha allahh najifunza kitu katika maisha yangu jazaq wahu kheir Allah atakulipa kwa jambo jema
@user-bh6rt7xm6w7 ай бұрын
Yarab kupitia Dua hii niondoshea hasad zote katika mwili wangu na u ipe Nuru nameangaza unijalie ridhiki unitinizie hitaji LA moyo wangu unisamehe nilipo teleza nikakukosea mola wangu amin😢😢😢😢
Allah awaongoze duniani na akhera awakinge na shari ya mahasd wa kijini na kibinadam inshallaah.
@bidallahamadi40763 жыл бұрын
MashaAllah Allahuma Barik🤲🤲🤲 JazakaAllahu kheir
@adamluwambo14943 жыл бұрын
Kupitia kisomo hiki mungu anijalie aniepushe na wachaw na majin na anipe kheri na hitaji lamoyo wang yarabby
@reemyaswaleh8333 жыл бұрын
Aslm.alkm my brother shukran.ilayka allaaah. Ebarik.feeky sheik.sharif.yusuf
@aminahamis93434 жыл бұрын
Masha Allah jazaka Allahu kheyran sheikh wetu Allah ajalie umri
@janetmutua427518 күн бұрын
Naomba mungu aniodolee mamjini yanayo nipa mangonjwa ata Sina amani Amen
@aairraahseif56483 жыл бұрын
Allah kwa kisomo hiki tulinde Yarrabi waja wako na utuepushe na husda na shari za sheitan,na wachawi na viumbe wote walio wabaya,tunajikinga kwako subukhannah wataalah pokea dua hizi yarrabb
@judymwangi90273 жыл бұрын
Shukran sheikh Allah akupe umri Mrefu, duniani uzindi kulingania ummah.
@aairraahseif56483 жыл бұрын
Ameena Yarrabi ' allameen Shukrran sheikh Yussuf Allah akupe kheri na barka na afya na umuri i'nsha Allah
@hassanidaki60293 жыл бұрын
Naomba mahombi sheikh kwa majina ni Hassan idaki kutoka kenya
@sheikhmussa44212 жыл бұрын
Mungu mkubwa pia mwingi Wa huluma Atuhulumie Tupate Rehema Zake IIshallah
@thuwaidamaulid39153 жыл бұрын
Maashaallah shekh Allah akufanyie wepesi Kila Jambo na akulinde na Shari zote🙏
@ashamohamed8248
3 жыл бұрын
A.alykum sheikh Masha allah mungu a tupe wepesi kwa kilajambo
@allynassor8853
2 жыл бұрын
Shekh nataka kujuwa duwa ya kusomea maji kwa ajili ya mtu anaesumbuliwa na shetan
@umfarid2473 жыл бұрын
Asalaam aleykum shekh tunashukuru mungu akulinde na maadui na hasada akupe umri mrefu yaaraab shukraan
@bishakadhi33583 жыл бұрын
MashaAllah wal alhamdulilah kwa kisomo hiki Allah akujalie kla lenye kheir nawe InshaAllah👌👌👌💕❤💓💞
@zakialean38643 жыл бұрын
Mashallah mwenyenzimungu akufanyie wepesi ktk mtihani ya dunia
Yah Allah nifanyie wepesi katika kisomo iki kiwe mwisho wa matatizo yangu niponye hii Hali nilikua nayo ewe mungu nisaidie
@ebrubed60403 ай бұрын
بِسْمِ اللّهِ الرَّحْمَنِ الرَّحِيمِ Bismillahir rahmanir rahim. وَقُل رَّبِّ أَعُوذُ بِكَ مِنْ هَمَزَاتِ الشَّيَاطِينِ Ve kul rabbi euzu bike min hemezatiş şeyatin. وَأَعُوذُ بِكَ رَبِّ أَن يَحْضُرُونِ Ve euzu bike rabbi en yahdurun.
@bebisheni43804 жыл бұрын
asante Shekhe mwenyezi mungu akubarik
@user-sm2un4jt1d2 ай бұрын
Mwenyezi mungu naomba kwenye kisomo hiki niingoshe roho zote za kichawi
@user-sq8pq1xj7m2 жыл бұрын
Laaila haila Mohammed rousolu Allah atuondoshee mitihan na awe kinga bora kwetu Ameeen ameeen inshaaAllah
Amn amn🤲 mashukura jazakaheri Mungu akubark Inshallah 🤲🙏
@safiyaalrawahi75263 жыл бұрын
Ahsante sana kwa kisomo chenye nguvu sana. Jazaka llahu khair
@shamshamy74333 жыл бұрын
Mashallah mashallah tabaraq Allah
@naimamohammed25343 жыл бұрын
Allh anitatulie dhiki nilizo nazo na hasad za waja amiiiin thumma amiiin
@tabassamhemed10273 жыл бұрын
Shukran sana usdhadh.Allah akulipe mazuri hapa duniani na akhera
@mamawa3mamawa321
3 жыл бұрын
AMIIN AMIIN
@husnadjuma25253 жыл бұрын
Manshaallah Tabarak'Rahman shukran jazzillah sheikh wetu kwa visomo mbal mbal Allah akujaze kheir na baraka?
@khadijaidd90322 жыл бұрын
Mashallah sheikh yusuf.mimi nilikua naumwa na sikia kitu kinatambaa mwilini.na.gas.nyinyi.nateuka Sana mpaka nashuka.kama.mshipa waja mbele yakifua na nyumba mgogoni.leo.ni.siku.ya.tatu.na.zikiliza kisomo .naona chanisadia Sana nimekula.dawa.sikupata.nafuu.lakini.dua..ni.dawa.mashalllah.mungu.akupe.umri..ameeen
@bittybitty27124 жыл бұрын
Masha Allah tabaraka Allah Allah akupe kila la kheri shukurani sheikh
@aliamar44224 жыл бұрын
Shukraan sn sheikh Sharif yussuf
@mariamnassib56713 жыл бұрын
Ma Shaa Allah tabaraka Allah
@marinamooh40553 жыл бұрын
MashaAllah,Shukran Jazeeran Sheikh🤲🏿
@user-lz3vk5yb4d2 ай бұрын
❤❤❤❤inshaallaah ostaz mungu akuzidishie kherii na umuri mrefu uwaombe navizazi vyetu inshaallah
@amyna20243 жыл бұрын
Yaa rabbi tuhifadhi na Kila baya la dunia kupitia dua hii...aaamiin
@habibujamali5746
3 жыл бұрын
amin.. mungu akubariki inshallah!!!
@mamunote35073 жыл бұрын
Mashallah Mashallah 11
@munaabdullahi67963 жыл бұрын
masha allah my allah s.w garnt u in janatul firdows amiiiin allahuma amiiin jazakalahu qeyran jazaa m.a
@aminamohamed61413 жыл бұрын
Shukrn Allah akujaze najaza mema inshaallah
@zuenamsunga59803 жыл бұрын
Jazakallah Allah akulipe
@AgnessDotto-nz8tm3 ай бұрын
Yallab nifungulie kila kilicho fungwa kwangu maisha yangu kizazi ndoa yangu
@samirasadasalum59742 жыл бұрын
Allah akulinde na akuzidishie elimu zaidi uzidi kutusaidia,Shukrani sana sheikh
@ndayizeyehafsa34733 жыл бұрын
Mashallah na muomba allah akujaze heri inshallah
@mamsmariam66703 жыл бұрын
Ishallah Allah akujalie mwishp mwema
@user-ne9uw9pp7i5 ай бұрын
Waaleykumslm,shukran shekh wetu Allah akulinde na akuepushe na mabalaa Allah akupe maisha marefu yakupendeza apa duniani nakesho Akhera ameen Rabby❤❤❤
@mzeemagwira77274 ай бұрын
Kwakupitia duha hii yalabi niwekee wepesi nipunguzie azabu yamimba nipate usingizi niwe namani uniepushie namabalaa yausiku na mchana amina
@samiaasalamalykumshukranmo94892 жыл бұрын
Allah akupe afyah ameen yarrab
@hamishamis9222 жыл бұрын
Allah atufanyie wepesi kila la kheri shekhe wetu amiin akuulinde na fitna na husda za walimwengu amiin amijna
@mariamsaid6173 жыл бұрын
Kupitia kisomo hiki yallab niondolee kila aina ya shari juu yng na familia yng
@maryamlmaryamwanje43343 жыл бұрын
ASANRE JAZAKALLAH KAIRUH
@nasranasra97812 жыл бұрын
Mashallah mashallah mashallah mashallah Allah akuzidishie kher dunia wafiri akhera
@khasimgange42133 жыл бұрын
Ya Allah nakuomba inifanyie wepesi
@anuwar61133 жыл бұрын
Jazakallah kherr S S yussuf
@ktggtvgvtghadijaalifanichi13013 жыл бұрын
MashaAllah Allah akuzidishie dua nizuri sana jaza yako iko kwa Allah
Пікірлер: 821
Allah atuondoshee matatizo mawazo hassad majini na masheitwan atufungulie milango ya barka na mafanikio Soote jamii ummat mohd yaraaby mpe sheikh wetu umri mrefu azidi kutukomboa kwa visomo..Allah akulipe kher kwa barka yahiki kisomo
Kwa Kupitia Dua hii Allah Atusaidie Ummat Muhammad Pamoja Na Ndugu zetu walio Tutangulia🙏
@AishaSauko-sn3wn
5 ай бұрын
😘
Mwenyezi mungu kupitia dua hii naomba uondoe husda zote mwilini mwangu na uwavunje moyo wote wanaonikusudia kwa ubaya na unilinde dhini ya nguvu za mashetwani na unipe heri katika maisha yangu unifanyie wepesi katika kazi zangu unipe watoto wema
@rehemafeysali4444
Жыл бұрын
Amin inshallah kwa uwezo wake Allah
Yallab nikubalie dua yng km kuna mkono wa mtu katika ndoa yng kukataliwa kwa wanangu kupitia kisomo hiki mwenyezimungu kanifungulie kila palipofungwa 😭😭🙏🙏🙏😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Eweee muumba wangu naomba ukaniponye maradhi niliyo nayo na ukanifungulie milango ya kheri. Aamin Aamin
Mashallah shekhe allah azidi kukuweka maana wengi umetukomboa kwenye matatizo mazito sana mimi nilikua silali kabisa sio mchana wala usiku ndani ya miezi sita au saba nahangaika tu baada ya kusikiliza hiki kisomo alhamdullah kirakitu kikakaa sawa nalala kama kawaida allah azid kukuweka shekhe wentu amiina rambi amina
@iddyramadhani7202
Жыл бұрын
9
@rukiaomary
Жыл бұрын
Mie kuna siku nilikuwa nakabwa na ata anaenikab simuoni ila kwa uwez wa Allah akanipa ufahamu wakuingia KZread nikakuta kitson iko nikasikiliz bas uwez amin kunakit kilikuwa kinanivuka milini mwan adi nikaa saw na sijaacha kusikiliz dua za uyo shekhe mungu ape ujila wake
@user-xn6hs1qk3y
2 ай бұрын
Kwa hakika na mm leo nitalala inshallah Mungu yupo nami
Amina yarab naanza kisomo hiki nina amini nakwenda kupona nimeteseka mpka nakata tamaa basi leo naenda kupta upya wa mwili wangu amina alhamdulillah yarab❤
Ya Allah kwa kupitia kisomo hiki naomba unijaalie nikisikilize cku zte7 ili unifungulie milango ya heri na uniondoshee ziki katika familia yangu na umati Muhammad na unijaalie mm na familia yangu tuwe miongoni mwa wenye kufuata muongozo wa laa ilaa hailakahu;
@islamislife2556
Ай бұрын
Amin yaraab
Inshaallah Mwenyezi Mungu naomba ukaniponye maradhi nilonayo na ukanifungulie milango ya kheri, Inshaallah
@salumali5298
3 жыл бұрын
P⁰
@islamislife2556
Ай бұрын
Amin yaraab
Wasalamalykum twawapongeza masheikh wote mutatusaudia sana mana ubaya upo sana hapa duniani nahata uko wazi ambae hajafaninyiwa uhadui ashukuru mwenyezi."
@idrisaali5618
3 жыл бұрын
Allah awaweke mashehe wetu
Mashallah Molla anijalie nami niwe muislam ...
@habibujamali5746
3 жыл бұрын
Amin!! Inshallah!!
@bakariomari24omar21
3 жыл бұрын
Usichelewe mungu kesha kuchagua uwe muislamu
@esmahnguzo8448
3 жыл бұрын
Karibu mpenz
@lucygasper5547
3 жыл бұрын
Asanteee
@lucygasper5547
3 жыл бұрын
Inshallah afanye wepes
Bismillah mashallah nitasikiliza dua hii kwa uwezo wa m.mungu na malaika wote aniondoshe majin na maradhi makubwa na hasada mim na family yangu na wengine wote inshallah 🙏👐😍
@musamgonda3910
2 жыл бұрын
Aamin
@timamahmud942
2 жыл бұрын
@@musamgonda3910 she
@musamgonda3910
2 жыл бұрын
@@timamahmud942 ?
@rahmaibrahim4794
2 жыл бұрын
Amiin
@hawaamohammed6687
2 жыл бұрын
Amina
Yarabi M/MUNGU tuepushe na husda za walimwengu kupitia dua hiii nakuomba ya allah mpatie shekhe uyu kila kilicho chema hapa duniani kesho aelah
@mwanajinacayemite2336
3 жыл бұрын
Alhamdulillahi rabbil a'alamina. Mwenyezi Mungu akusimamie Innshaallwah. Wengi tuna matatizo makubwa sana lakini hatujui jinsi ya kujikwamua. Mwenyezi Mungu ukujaalie kwa kila ulitakalo lenye kheri na wewe
@abdifatah9129
3 жыл бұрын
Inshaallah
@pilimusa3217
2 жыл бұрын
Amiin
@islamislife2556
Ай бұрын
Amin yaraab
Mungu asaidiee yarabi❤️❤️❤️❤️❤️❤️😭😭😭
Inshallah sheh duana takhabballii ❤
Kwa kupitia dua hii mungu aniepushie mabaya yote na aniepushie na husuda za walimwengu maisha ni mwangu
Asalam aleikum warhamtillahi wabarakat,shukran sheikh,inshallwa mungu akujaze kila la kheri,na Allah atukinge na wachawi na mahasid yarab..
Mwenyezi Mungu naomba unifungulie vifungo na husda zote nilizowekewa katika Ndoa yangu na shughuli zangu kwa ujumla. Malaika wa Mbingu naomba mnisimamienkatika kisomo hiki. Ameen
@MwanahawaRamadhan-sx5pe
6 ай бұрын
Sacr@v😅😅😅😅
Jazacka Llahu lkhair
Ya Allah naomba 🤲hii dua iwe tiba kwangu nipone malazi yote yanayo niandama amin🤲
A.aleykum....Namshukuru Allah kwa Dua hii kupitia Sheikh Shar Yusuf nasema asante kwani nimeteseka sana na ndoto za kuzaa kila baada ya muda zinanirudia,Mara Niko sehem za bahari, nakuwa MTU wa hasira Mara kwa Mara ugomvi kwangu hauishi muda mwingine kuhish nyakat za usiku kuingiliwa,,,,Namshukur Allah toka nimesikiliza Dua hii sijapata tena na Hata zile hali za maumivu maumiv ya mwili hakuna tena Shukran sana Shekhe Allah akuzidishie kheri ikadumu zaidi na zaidi.... Kupitia kisomo cha kinga zidi ya majini na wachawi nimepata kheri...Mwenyezi Mungu akupe mwisho mwema!!!! ISHA ALLAH ^( Habibt'y Said)~from Rwanda Kigali
@sweetmeena5970
3 жыл бұрын
Mashallah
@zenaahmedi8857
3 жыл бұрын
Mashaallah
@user-sv9mo5dt1t
11 күн бұрын
Mashallah shekhe sharif mungu akupe umri mrefu na siha kwa dua yako nzuri mashallah
Ewe mwenye Mungu mponye bwanangu anamaumivu makala ya oparesheni 🤲nami uniondolee maumivu
Assalam Alaikum Namwamba ALLAH kupitia dua hii iniondelee majini mashetwani wote ambao wamwsukumwa kstika maisha yangu wadudu kutambaa kwa mwili kuuumwa kwa kichwa Yaa Allah kupitia dua ikaondoe kila baya kwa maisha yangu wanangu jamii yangu inshaallah Mwenyezi mungu akufanyie wepesi kws kila jambo waitaji Sheikh sharif🤲🤲🤲🤲 Amiin
Allahuma amiini.....kwa kisumu hiki kinisaidie.....kwa maisha yangu...na kizazi changu...
@rehemafeysali4444
Жыл бұрын
Amin inshallah kwa sote kipenz
Maa shaa Allah shukraan sana tuko pamoja in shaa Allah
Ya Allah nijalie mema na uniondolee kila kilichopo ndani ya mwili wangu kilichoingia kwa ubaya inshallah
Mwenyez Mungu kupitia kisomo hiki niondoshee shida zote zinazonisumbua zinazoniumiza nafs yangu ukanifungue kila kilichobak fungwa ktk maisha yangu amin
yarrab baraka zako na utukufu wako nijalie kisomo kiwe dawa kwang kiwe ndo kisomo cha kuniondolea mattz yot nilonayo na kiwe ufunguzi wa kheri kwang amin yarrab yaan nakiskiliz machozi yananitoka
@ahmedthabit6935
3 жыл бұрын
tatizo pengine ni nini dadangu?
Kiukweli nashukuru can shekhe SHARIF dua zako zimenisaidia can wallah Allah akupe mwisho mwema inshallah 🙏🙏
Inshallah mwenyezi mungu naomba ukaniponye maradhi nilonayo milango ya kheri na umuondolee matatizo mumea wangu na akapate kazi.lnshallah
Naomba munguu anijalie kupitia kusomo hiki nitoke nakila uchawi kwenye mwili wanguu unitoke .najini maaba linatokea amina🤲🙏
Shekhe unatupa duwaa nzuri mungu akujaalie afya njema shekhe yussuf
Alhamdulilah Allah akulipe kila la kheri shekhe kisomo leo siku ya pili lakini majini wanatoka wenyewe, namshuku sana Allah kwani Quran ndio ponyo ya kweli. Amiin
@malak-lz6kx
Жыл бұрын
Quran ni ponyo la majanga yote ya dunia maana mm nimemfutilia uyu shekhe allah amzidishie maana nilikua niko kma sipo wasiwasi ulinitawala sna nimeskiliza kisomo chake alhmdullah.
Jazakalahu heri Allah akupe pepo yadunia nakesho ahera ameeen
Allah atufanyie wepes mashallah nimeianza leo na mm
Ya Allah kupitia kisomo hiki niondoshee matatizo na unafungulie kizazi changu unipe watoto wenye kher na mimi, yarabbi najua hushindwi na lolote niepushie dhati zote na unipe kila lenye kher na mimi
@ashaamina
9 ай бұрын
Amina
@user-rn6rr8cw5v
6 ай бұрын
Allahumma ameen
@AminaIbrahim-mn9wg
6 ай бұрын
Amiin ❤
@user-gi5ut4fw4b
6 ай бұрын
@mariamsaid4167
4 ай бұрын
Amiin
Allah akupe kheri za dunia na Akhera na akuepushie kila mabalaa inshallah ,naamin Allah atanisaidia kupitia kisomo hiki inshallah
Namuomba mungu anifanyie kila wepesi kopitia kisomo hiki changamoto zote mbaya ninazopitia mungu aniponye nakunibarik aaamin. Ubarkiwe Sheikh
Allhamdullillahi Allah atuondoshe matatizo mi na family yangu nawaislam wote amiin
Yallabi kwadua hii niondolee khofu katika nyoyo yangu niwe yakuwa nawasiwas sn naomba uniondoree maradhi niliyokuwa nayo yalabi mimi simkamirifu nisamehe pale nilipokosea wewe ndio mjuzi wayote na mtekerezaj niwew amiin
@malak-lz6kx
Жыл бұрын
Assalam alaykum mm nilikua zaid yko alhmdullah naskiliza nikiwa nipo tohara natulia kwenye msala alhmdullah nipo swa leo ya tatu.
@salmaally2252
5 ай бұрын
Hii shida hata mm naipitia
Shukran Sana shekh walai nimeumwa na mkono miaka miwili nimefatilia duwa hii kwa siku mbili naendelea vzr Mola akulipe inshallah
Mashallah Allah hafidh kulu amin
Mashaallah allah akubarik..
Masha allahh najifunza kitu katika maisha yangu jazaq wahu kheir Allah atakulipa kwa jambo jema
Yarab kupitia Dua hii niondoshea hasad zote katika mwili wangu na u ipe Nuru nameangaza unijalie ridhiki unitinizie hitaji LA moyo wangu unisamehe nilipo teleza nikakukosea mola wangu amin😢😢😢😢
Mashaallah shukran sana..Allah akuzidishie..kheri.
Allah awaongoze duniani na akhera awakinge na shari ya mahasd wa kijini na kibinadam inshallaah.
MashaAllah Allahuma Barik🤲🤲🤲 JazakaAllahu kheir
Kupitia kisomo hiki mungu anijalie aniepushe na wachaw na majin na anipe kheri na hitaji lamoyo wang yarabby
Aslm.alkm my brother shukran.ilayka allaaah. Ebarik.feeky sheik.sharif.yusuf
Masha Allah jazaka Allahu kheyran sheikh wetu Allah ajalie umri
Naomba mungu aniodolee mamjini yanayo nipa mangonjwa ata Sina amani Amen
Allah kwa kisomo hiki tulinde Yarrabi waja wako na utuepushe na husda na shari za sheitan,na wachawi na viumbe wote walio wabaya,tunajikinga kwako subukhannah wataalah pokea dua hizi yarrabb
Shukran sheikh Allah akupe umri Mrefu, duniani uzindi kulingania ummah.
Ameena Yarrabi ' allameen Shukrran sheikh Yussuf Allah akupe kheri na barka na afya na umuri i'nsha Allah
Naomba mahombi sheikh kwa majina ni Hassan idaki kutoka kenya
Mungu mkubwa pia mwingi Wa huluma Atuhulumie Tupate Rehema Zake IIshallah
Maashaallah shekh Allah akufanyie wepesi Kila Jambo na akulinde na Shari zote🙏
@ashamohamed8248
3 жыл бұрын
A.alykum sheikh Masha allah mungu a tupe wepesi kwa kilajambo
@allynassor8853
2 жыл бұрын
Shekh nataka kujuwa duwa ya kusomea maji kwa ajili ya mtu anaesumbuliwa na shetan
Asalaam aleykum shekh tunashukuru mungu akulinde na maadui na hasada akupe umri mrefu yaaraab shukraan
MashaAllah wal alhamdulilah kwa kisomo hiki Allah akujalie kla lenye kheir nawe InshaAllah👌👌👌💕❤💓💞
Mashallah mwenyenzimungu akufanyie wepesi ktk mtihani ya dunia
Subkhallakh subkhallakh yarrab yarrab mzidishie elim sheikh wetu ameen
Allahumma Baraka llahu fihy.. Jazzakallahu khair
Yah Allah nifanyie wepesi katika kisomo iki kiwe mwisho wa matatizo yangu niponye hii Hali nilikua nayo ewe mungu nisaidie
بِسْمِ اللّهِ الرَّحْمَنِ الرَّحِيمِ Bismillahir rahmanir rahim. وَقُل رَّبِّ أَعُوذُ بِكَ مِنْ هَمَزَاتِ الشَّيَاطِينِ Ve kul rabbi euzu bike min hemezatiş şeyatin. وَأَعُوذُ بِكَ رَبِّ أَن يَحْضُرُونِ Ve euzu bike rabbi en yahdurun.
asante Shekhe mwenyezi mungu akubarik
Mwenyezi mungu naomba kwenye kisomo hiki niingoshe roho zote za kichawi
Laaila haila Mohammed rousolu Allah atuondoshee mitihan na awe kinga bora kwetu Ameeen ameeen inshaaAllah
Jazalallahu khairy. Inshaallah Rabby zidinan Elman Warzuquna fahama
Amn amn🤲 mashukura jazakaheri Mungu akubark Inshallah 🤲🙏
Ahsante sana kwa kisomo chenye nguvu sana. Jazaka llahu khair
Mashallah mashallah tabaraq Allah
Allh anitatulie dhiki nilizo nazo na hasad za waja amiiiin thumma amiiin
Shukran sana usdhadh.Allah akulipe mazuri hapa duniani na akhera
@mamawa3mamawa321
3 жыл бұрын
AMIIN AMIIN
Manshaallah Tabarak'Rahman shukran jazzillah sheikh wetu kwa visomo mbal mbal Allah akujaze kheir na baraka?
Mashallah sheikh yusuf.mimi nilikua naumwa na sikia kitu kinatambaa mwilini.na.gas.nyinyi.nateuka Sana mpaka nashuka.kama.mshipa waja mbele yakifua na nyumba mgogoni.leo.ni.siku.ya.tatu.na.zikiliza kisomo .naona chanisadia Sana nimekula.dawa.sikupata.nafuu.lakini.dua..ni.dawa.mashalllah.mungu.akupe.umri..ameeen
Masha Allah tabaraka Allah Allah akupe kila la kheri shukurani sheikh
Shukraan sn sheikh Sharif yussuf
Ma Shaa Allah tabaraka Allah
MashaAllah,Shukran Jazeeran Sheikh🤲🏿
❤❤❤❤inshaallaah ostaz mungu akuzidishie kherii na umuri mrefu uwaombe navizazi vyetu inshaallah
Yaa rabbi tuhifadhi na Kila baya la dunia kupitia dua hii...aaamiin
@habibujamali5746
3 жыл бұрын
amin.. mungu akubariki inshallah!!!
Mashallah Mashallah 11
masha allah my allah s.w garnt u in janatul firdows amiiiin allahuma amiiin jazakalahu qeyran jazaa m.a
Shukrn Allah akujaze najaza mema inshaallah
Jazakallah Allah akulipe
Yallab nifungulie kila kilicho fungwa kwangu maisha yangu kizazi ndoa yangu
Allah akulinde na akuzidishie elimu zaidi uzidi kutusaidia,Shukrani sana sheikh
Mashallah na muomba allah akujaze heri inshallah
Ishallah Allah akujalie mwishp mwema
Waaleykumslm,shukran shekh wetu Allah akulinde na akuepushe na mabalaa Allah akupe maisha marefu yakupendeza apa duniani nakesho Akhera ameen Rabby❤❤❤
Kwakupitia duha hii yalabi niwekee wepesi nipunguzie azabu yamimba nipate usingizi niwe namani uniepushie namabalaa yausiku na mchana amina
Allah akupe afyah ameen yarrab
Allah atufanyie wepesi kila la kheri shekhe wetu amiin akuulinde na fitna na husda za walimwengu amiin amijna
Kupitia kisomo hiki yallab niondolee kila aina ya shari juu yng na familia yng
ASANRE JAZAKALLAH KAIRUH
Mashallah mashallah mashallah mashallah Allah akuzidishie kher dunia wafiri akhera
Ya Allah nakuomba inifanyie wepesi
Jazakallah kherr S S yussuf
MashaAllah Allah akuzidishie dua nizuri sana jaza yako iko kwa Allah