Ehh Mola Wangu nakuomba uniondole Matatizo yangu mwililini eeh mwenye zimunguinshallah Amin uliopo kichwani mwanngu
@GloriaMillinga7 күн бұрын
Mwenyezi Mungu naomba uniepushe na majini wote na uniondolee vifungo vya aina zote
@SwaumuShirima-ye7qr11 күн бұрын
Yarabi aniondishee maradhi yalikuwa kwenye mwili wangu milango ya baraka na mafanikio ukanifankishe yarabi yarabi yarabi
@user-hn6tz2mx5v11 күн бұрын
Maa sha allah
@user-yb6wh1bk9d11 күн бұрын
Mashallah mungu akuzidishie
@erca11111 күн бұрын
Amiin🙏🏾Ya Allah naomba unijalie maisha yenye nuru na mafanikio siku zote za maisha yangu hapa duniani Inshallah 🙏🏾
@user-hn6tz2mx5v15 күн бұрын
Swali nauliza. He jinni mahaba anasababisha maradhi?
@nickshawn130515 күн бұрын
Mimi niko na majinn tafuati Kuna wataka walikuwa wataka nimaliza. Mpaka leo bado niko na shida. Jua ya hio yote niko na jinn mvujifu ndoa siwezi owa. Kila mtu hunikata. Lakini Mungu anipenda amenipa mtuhani huu.
@najimali788815 күн бұрын
0:45
@MobileCare-iq1mw16 күн бұрын
Amina inshallah 🙏🙏
@MejumaaMwazuzu18 күн бұрын
Mashalllh🎉 jazakallh kheiry
@MejumaaMwazuzu18 күн бұрын
Mashalllh🎉 jazakallh kheiry
@abdulomarfatah28918 күн бұрын
Mashaa Allah Sheikh iko wapi dua ya Al hazbunnawawi..?
@NabilaAbdulkadir-w4o19 күн бұрын
MashaAllah tabarakaAllah
@KhadijahSalamy20 күн бұрын
Mashaallah
@MauaMbaraka20 күн бұрын
Amina yarab naanza kisomo hiki nina amini nakwenda kupona nimeteseka mpka nakata tamaa basi leo naenda kupta upya wa mwili wangu amina alhamdulillah yarab❤
@user-fr6kt7ow2q22 күн бұрын
Shekh Yusuf anachagua simu za kujibu ndio nini wengine hatupati faida hatujibu maa zen
@Lulu-wt9dd22 күн бұрын
Ya Allah naomba 🤲hii dua iwe tiba kwangu nipone malazi yote yanayo niandama amin🤲
@zenaibrahim43724 күн бұрын
Mashallah sheikh Ameen inshallah
@user-by9uv6nf1o24 күн бұрын
Ya Allah nijalie mema na uniondolee kila kilichopo ndani ya mwili wangu kilichoingia kwa ubaya inshallah
@FaidhathKhamis-ml7ok26 күн бұрын
Eee Allah naminisaidie
@AbdiKadirKanu27 күн бұрын
mungu niondolee majini na matatizo wanaonisumbua katika nyumba yangu na ndoa yangu inshaala waangamize waelekezee hii dua iwauwe yeyote ananifhanyia uadui ninayemjua na nisiye mjua mungu unamjua ameen ameen
@MwanaMone28 күн бұрын
Ya Allah nakuomba uniondolee matatizo yaliyo mailing mwangu ya rabbinaalamini unilinde na kila usda za wa waja 🙏🙏
@empress23628 күн бұрын
Assalam Alaikum Namwamba ALLAH kupitia dua hii iniondelee majini mashetwani wote ambao wamwsukumwa kstika maisha yangu wadudu kutambaa kwa mwili kuuumwa kwa kichwa Yaa Allah kupitia dua ikaondoe kila baya kwa maisha yangu wanangu jamii yangu inshaallah Mwenyezi mungu akufanyie wepesi kws kila jambo waitaji Sheikh sharif🤲🤲🤲🤲 Amiin
@hawayusuphАй бұрын
Ya Allah nifungue vifungo nilivo fungwa na wachawi wa kike na wakiume, niftungulie Rizik zangu zote nifungue ufahamu.Wangu
@HalimaHassan-el2emАй бұрын
Asalam aleykm sheikh naitwa binti naitaji dua nko n shida
@FatumaJillo-sp9ubАй бұрын
Pogezi sna shekh mugu akubariki.
@janetmutua4275Ай бұрын
Naomba mungu aniodolee mamjini yanayo nipa mangonjwa ata Sina amani Amen
@nasrihussein4293Ай бұрын
Mashaallah
@alexmashamwangoma8369Ай бұрын
Shukuran
@zynbtnzanya9870Ай бұрын
Mwenyez Mungu kupitia kisomo hiki niondoshee shida zote zinazonisumbua zinazoniumiza nafs yangu ukanifungue kila kilichobak fungwa ktk maisha yangu amin
@user-iu2jj4pu4xАй бұрын
ishalla🤲🤲🤲🤲
@user-oj6st8xf9bАй бұрын
Alhamdulillah
@user-yl2ju4oc9cАй бұрын
Napata mume lakini jini mahaba hataki niolewe nakuomba aniondekee kwenye mwili wangu
@user-yl2ju4oc9cАй бұрын
Yarab mola wangu niondolee jini mahaba kwe Nye mwili wangu nakuomba kupitia hiki kisomo mm saumu ayub nipata kuolewa ndani ya siku kumi
@user-yl2ju4oc9cАй бұрын
Ya Arab amini mola ajalie niweze kupata mume nandoa Amin yarab Amin
@user-yl2ju4oc9cАй бұрын
Ya Allah nakuomba kupitia hiki kisomo mwondole maradhi Joel maradhi yote yanaemsibu nakuomba mola wangu naunijalie mm mja wako saumu ayub nakuomba kupitia hiki kisomo nipata kuolewa ndani yahuu mwezi ewe mola wangu yarab Amin yarab Amin naomba
@user-yl2ju4oc9cАй бұрын
Ya Allah please help me up ineed ahusband afamiiy marrige life partner please ya Allah remove all sickness from mr joel in the hospital please bring him at home know please help may olord please make him better now please isaumu ayub ipraying for him now please 😂 please help yarab Amin yarab Amin yarab Amin yarab 😂😂😂
@user-cv2iz3zk1hАй бұрын
Ya Allah kupitiya kisomo hiki kiniondole lana za majin na zamasheni na zakichawi na kisomo hiki kinishushie baraka na kinifungulie milango ya mafanikio nipate utajiri mkubwa
@NsabimanaZabibuАй бұрын
Ya Allah kuputiya iyi duwa uniondoleye matatizo kwenye familiar yangu nakizazi cangu na utuondoleye Marazi mazitomazito
@FaridaKessyАй бұрын
Mungu nisaidie mm nitolee jini mahaba nimechoka sanaa mimi😥🤲🙏🙏
@MuniraYahaya-y9n7 күн бұрын
Pole sana ,mungu amekusikia atakuondolea inshallah
@phillipinawaleghwa7357Ай бұрын
Kila nikipata mpenzi huniondokea bila sababu
@ElizabethLizzy-pk3zjАй бұрын
Ewe mwenye Mungu mponye bwanangu anamaumivu makala ya oparesheni 🤲nami uniondolee maumivu
Пікірлер
Mungu niondolee jini mahaba niwekama wenzangu
Shukurani kakaangu kwa duwa
ameeeeeeen
Allah tulinde na wachaw, majini,ndoto mbaya, husda na hasad... amin
Mm namuombea nay eye sheghewetu munguampe umlimlefu tuzidikujifunzanakupata faidana visomovyake mwenyezimungu akujaliemwishomwema
Ehh Mola Wangu nakuomba uniondole Matatizo yangu mwililini eeh mwenye zimunguinshallah Amin uliopo kichwani mwanngu
Mwenyezi Mungu naomba uniepushe na majini wote na uniondolee vifungo vya aina zote
Yarabi aniondishee maradhi yalikuwa kwenye mwili wangu milango ya baraka na mafanikio ukanifankishe yarabi yarabi yarabi
Maa sha allah
Mashallah mungu akuzidishie
Amiin🙏🏾Ya Allah naomba unijalie maisha yenye nuru na mafanikio siku zote za maisha yangu hapa duniani Inshallah 🙏🏾
Swali nauliza. He jinni mahaba anasababisha maradhi?
Mimi niko na majinn tafuati Kuna wataka walikuwa wataka nimaliza. Mpaka leo bado niko na shida. Jua ya hio yote niko na jinn mvujifu ndoa siwezi owa. Kila mtu hunikata. Lakini Mungu anipenda amenipa mtuhani huu.
0:45
Amina inshallah 🙏🙏
Mashalllh🎉 jazakallh kheiry
Mashalllh🎉 jazakallh kheiry
Mashaa Allah Sheikh iko wapi dua ya Al hazbunnawawi..?
MashaAllah tabarakaAllah
Mashaallah
Amina yarab naanza kisomo hiki nina amini nakwenda kupona nimeteseka mpka nakata tamaa basi leo naenda kupta upya wa mwili wangu amina alhamdulillah yarab❤
Shekh Yusuf anachagua simu za kujibu ndio nini wengine hatupati faida hatujibu maa zen
Ya Allah naomba 🤲hii dua iwe tiba kwangu nipone malazi yote yanayo niandama amin🤲
Mashallah sheikh Ameen inshallah
Ya Allah nijalie mema na uniondolee kila kilichopo ndani ya mwili wangu kilichoingia kwa ubaya inshallah
Eee Allah naminisaidie
mungu niondolee majini na matatizo wanaonisumbua katika nyumba yangu na ndoa yangu inshaala waangamize waelekezee hii dua iwauwe yeyote ananifhanyia uadui ninayemjua na nisiye mjua mungu unamjua ameen ameen
Ya Allah nakuomba uniondolee matatizo yaliyo mailing mwangu ya rabbinaalamini unilinde na kila usda za wa waja 🙏🙏
Assalam Alaikum Namwamba ALLAH kupitia dua hii iniondelee majini mashetwani wote ambao wamwsukumwa kstika maisha yangu wadudu kutambaa kwa mwili kuuumwa kwa kichwa Yaa Allah kupitia dua ikaondoe kila baya kwa maisha yangu wanangu jamii yangu inshaallah Mwenyezi mungu akufanyie wepesi kws kila jambo waitaji Sheikh sharif🤲🤲🤲🤲 Amiin
Ya Allah nifungue vifungo nilivo fungwa na wachawi wa kike na wakiume, niftungulie Rizik zangu zote nifungue ufahamu.Wangu
Asalam aleykm sheikh naitwa binti naitaji dua nko n shida
Pogezi sna shekh mugu akubariki.
Naomba mungu aniodolee mamjini yanayo nipa mangonjwa ata Sina amani Amen
Mashaallah
Shukuran
Mwenyez Mungu kupitia kisomo hiki niondoshee shida zote zinazonisumbua zinazoniumiza nafs yangu ukanifungue kila kilichobak fungwa ktk maisha yangu amin
ishalla🤲🤲🤲🤲
Alhamdulillah
Napata mume lakini jini mahaba hataki niolewe nakuomba aniondekee kwenye mwili wangu
Yarab mola wangu niondolee jini mahaba kwe Nye mwili wangu nakuomba kupitia hiki kisomo mm saumu ayub nipata kuolewa ndani ya siku kumi
Ya Arab amini mola ajalie niweze kupata mume nandoa Amin yarab Amin
Ya Allah nakuomba kupitia hiki kisomo mwondole maradhi Joel maradhi yote yanaemsibu nakuomba mola wangu naunijalie mm mja wako saumu ayub nakuomba kupitia hiki kisomo nipata kuolewa ndani yahuu mwezi ewe mola wangu yarab Amin yarab Amin naomba
Ya Allah please help me up ineed ahusband afamiiy marrige life partner please ya Allah remove all sickness from mr joel in the hospital please bring him at home know please help may olord please make him better now please isaumu ayub ipraying for him now please 😂 please help yarab Amin yarab Amin yarab Amin yarab 😂😂😂
Ya Allah kupitiya kisomo hiki kiniondole lana za majin na zamasheni na zakichawi na kisomo hiki kinishushie baraka na kinifungulie milango ya mafanikio nipate utajiri mkubwa
Ya Allah kuputiya iyi duwa uniondoleye matatizo kwenye familiar yangu nakizazi cangu na utuondoleye Marazi mazitomazito
Mungu nisaidie mm nitolee jini mahaba nimechoka sanaa mimi😥🤲🙏🙏
Pole sana ,mungu amekusikia atakuondolea inshallah
Kila nikipata mpenzi huniondokea bila sababu
Ewe mwenye Mungu mponye bwanangu anamaumivu makala ya oparesheni 🤲nami uniondolee maumivu
Amiin
Mwenyezi mungu atukinge