hii ni dua ya majina 99 ya allah baada ya kusikiliza dua hii ndugu yangu omba unachotaka kwa sharti kiwe cha kheri
Жүктеу.....
Пікірлер: 792
@ZawadyKilumeАй бұрын
Allah Ww Ni Mwingi Wa Rehema Naomba Unisamehe Makosa yng Mola Wng Usinifichie nuru Ya Uso Wako Allah Najua Mm ni Mkosaji Mbele zako Nisamehe Mola Wng Ww Ndo Mwingi Wa Huruma Allah Nihurumie Mja Wako Niokoe Ktk Mitihani Hii ninayopitia Allah Wng Niponye Maradhi Ya Ganzii Ktk Mwili Wng Nipone Kbs Nijaze Imani Juu yako Allah Wng Mm Ni Mkosaji mbele Zako niponye Kupitia Dua Hii niponye Kwa Dua iliyomponya Ayubu Allah Nifanye Vile Ikupendezavyo Ww Mungu Wng Allah Nisaidie mja Wako
@khadijaZuberi-wo4eg11 ай бұрын
Amiina yaarab nisamehe makosa yangu pia naomba unipe mwisho mwema na naomba nifanye yale yenye kukupendeza, niepushe na maasi ya dunia niwe mja mwema, naomba uniepushe na watu wabaya na wale wasopenda kuona mafanikio yangu wasiwe na nafasi kwangu, nakuomba ya Allah niondoshe na nuksi, mikosi, mapepo, na maradhi sababishi yasinikute, nifungue kila nilipogungwa kwa nguvu za giza, mfanyie wepesi bosi wangu asahau yote yalotokea anirudishe kazini kwa nguvu zako Allah. Naiombea familia yangu, wadogo zangu na wazazi wangu waepushwe na kila Shari na kila baya lisiwakute kila atuombeae ubaya kwetu ugeuke na kuwa uzuri, ❤️🙏
@mpondamedia2416
11 ай бұрын
😭😭😭🤲
@zozosabra2176
9 ай бұрын
mwenyezi mungu nakuomba uniepushe na mitihani mm na familia yangu niongezee watoto wangu na uniepushe na maradhi makubwa na madogo nakuomba ewe mwenyezi mungu nifungulie milango ya ridhiki mm na kizazi changu . na uwasamehe wazazi wangu makosa ya kaburi Amina
@nooralhadidi6420
3 ай бұрын
[@@zozosabra2176
@user-dc1zn9ry5s
3 ай бұрын
Mungu atufungulie riziki za halal yarabi atupe wepesi wake
@user-dc1zn9ry5s
3 ай бұрын
Yarabi ndoa iwe ya kheri kwangu
@ShaniRadjab11 күн бұрын
Ya Allah nipokeleye swalha dhangu n'a dua zangu ya Allah unisamehe dhambi dhangu unijalie mwisho mwema Ya Allah uniweke katika kundi ambalo litakalo ingia katika jannatu fidrau yaAllah warehemu wazazi wangu😢uwasamehe dhambi Zao kupitia dua hiyo ya Allah utunusuri Sisi viumbe vyako dhahifu ya Allah🙏🙏
@habibabarker16447 ай бұрын
Ya Allah Ya Allah naomba unisamehe ninayoyajua na nisoyoyajua makosa yangu niondolee maradhi nijalie uhai mrefu afya amani nikuabudu nipe rizki ya halali na mwisho mwema
@user-wt5di4hl2o7 ай бұрын
Amiin 🙏🏼🙏🏼🙏🏼ewe mwenyezimungu naomba unifunglie mwanganz katik maisha yangu Unifungulie rizk zngu kila zito allah unifamyie wpesi kila ninapoingia nuru inimwilik unajalie mwisho mwem 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼😭😭😭
@NaimaKaka-yo4hb
3 ай бұрын
Amin
@user-on7cq7cz5t8 ай бұрын
Aamiiin🤲🤲🤲🤲yaarabilialamina mwenyezimungu niondolee matatizo yangu ya ALLAH we ndio mtoaji ya rabb takabali dua🤲🤲🤲
Ya Allah nakuomba uwapunguzie adhabu ya kaburi wazazi wote wawili , ya Allah nakugemea kwa kila Jambo liwe kubwa liwe dogo ya Allah ukanifanyie wepesi na kuniondolea mabalaa na chuki juu ya kazi yangu na familia yangu Amin🤲🏽😔
@alphoncymatara5108
4 ай бұрын
❤
@tatumbaraka26587 ай бұрын
Nataman niandike mengi kuhus hii Dua😭 nilipitia matatizo nimeisikiliz San hii Dua bi idhin llah naamin imeniondoshea matatizo yang alhamdulillah😭🤲 allahu akbar 😭
@gloriaeliys7589
5 ай бұрын
Hapan iyo dua itakua n insababu t ila Allaah ndio alio kuondoshea .
@tatumbaraka2658
4 ай бұрын
@@gloriaeliys7589 Kwa kwel ni Allah🤲
@HalimaismailySaid
Ай бұрын
Kwa kweli hii dua imedanya mambo yangu mengi. Yakafunguka sana
@FIRDAUSAWADH
Ай бұрын
Allahu Akbarr
@ummuasmahan5193
Ай бұрын
Allah nifungue kutokana na madeni, nifungue milango yangu ya rzk, nikifungua nipate pesa za kulipa madeni na kurudi Hali yangu ya kawaida😭🤲
@user-ng4ko6pz9s7 ай бұрын
Amin yarab nisameh makosa yangu Na uniondoshe matatizo YA nyumba yangu
@aishaothman123510 күн бұрын
Ya allah nakuomba unisafisha niwe safi kwa kila mja niwe mwenyekupendwa n kila mtu nifungulie milango ya rizk niweze kuisaidia familia yangu naomba nipate na kazi ninayoiitaji Amin Inshaalah
@user-dh7zv8ke8o8 ай бұрын
Ya Allah unifanyie wepes kwenye mamb yangu na ridhik yang uniepushie na mabaraa,vijicho,husna,uchawi na mashetwani maisha yangu yanakutegemea ww Allah 😢😢Amin 🙏
@FatumaMwaliko15 күн бұрын
Amina mungu anifanyie wepesi katika kazi zangu inshallah
@hanifaahmad50183 ай бұрын
Ameena yarabi niondeleeee hasada na husda na matatizo yaliombele yangu ninayoyajua na sisiyojua tupe iman ya kukuabudu ww na kuyafata mamrisho yako uwarehemu wote walotangulia mbele ya hakiiiii ameena ya rabbi
@rosewangui8316Күн бұрын
Ya Allah unayajua vyema matatizo yangu nikumbuke nibarike nisamehee dhambi zangu ....Muepushe mpenzi wangu Na adhabu kubwa ya kaburi🤲📿
@user-fd1vw9fc9r7 ай бұрын
Ya Allah unifanyie wepesi katika mambo yangu, unikinge Na hasad, husda Na wabaya wote walonizunguka pamoja Na familiar yangu amiin
Amin ewe mwenyezimungu niondolee chuki,husda, choyo, hasada, shari na mambo mengine yote mabaya
@mishysaidy980217 күн бұрын
Yarabih naomba uniongoze katika njia iliyo nyooka naomba uwape afya njema watoto wangu uwape ufahamu Mungu wangu wewe ndie kila kitu binadamu si chochote mbele yako nakuomba Mungu wangu huyu binti yangu apate usingizi mzuri na kama kuna mtu ana7babisha vimludie mwenyewe 😢😢🙏🏼🙏🏼🙏🙏 Amina🙏
@alphoncymatara51086 ай бұрын
Amiin Yarab al-amin nakuomba rehema zako na afya na kutimiza malengo yangu Yarab al-amin,hekima juu yako Allah pia nakuomba utulivu juu ya familia na Maisha yangu kwa ujumla.
@saadahassan14373 ай бұрын
Yarabi naomba niondolee mitihani kazini na unifanye nidumu kazini naomba unioe ridhki ya halal na yenye kheri naomba umpe pepo ya firdaus baba angu alotangulia mbele za khaki na umat MUHAMMAD s.w.s
@nurdinomary44327 ай бұрын
Amini yarab Al Amin niondolee maradh husda za waja uwape afya njema family yangu watoto wangu wazazi wangu yarab nifungulie nakuongezea rizk nifanyie wepes Kaz yangu yarab Kika nifanyalo liwe jepesi Amin Amin
@ambelekhan65483 ай бұрын
Ya ALLAH niongoze yaliyo mema 🤲Nipe mwisho mwema nope rizki🤲 ya halali nakuomba mola wangu pekeyangu siwezi 😭🤲 Nakuomba Mola wangu niongoze nipe rizki niondolee hofu niondolee maradhi mimi na watoto wangu Ya ALLAH ya ALLAH nakuomba🤲🤲
@MariamuOmary-m5p17 сағат бұрын
Amin 🤲
@habibaamiri9786 Жыл бұрын
Amiin yaarab ewe mola wangu nijaalie kila lenye kheri na Mimi niepushie kila lenye mitihani na Mimi nifungulie riziki zahalali kila kilicho fungwa kifungulie mollah wangu niondoshee kila penye ugumu kiwe kimefungwa namajini au wachawi Allah wewe ndio kinga yangu yaaraby takabar dua
@rehemamisele-jt1xj7 ай бұрын
Ya Allah naomba uniepushe na kila lililo baya mjn uchw husd za watu mahsd ulinde familia yng uzd kutup uzma na pumz kila kukicha
@Joharibakari-cv3oq3 ай бұрын
Ya -Allah Kila zitoo Naomba liwe jepesiii ya Allah Nipe umri mrefu mimi pamoja familia yangu naomba umuondolee mitihan H kila zito kwake liwe jepesi akika Allah wew ndio tumaini letu la mwishoo🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@NayBakari12 күн бұрын
Yarab nifungulie ‘ nifungue funguko vyote vilivyokuwepo ,mwilini Kwangu viwe vya binadamu au majini au wachawi Naomba Allha nifungulie ridhiki yangu nipe umri mlefu na mama angu,muondolee,malazi na umpe umri mlefu inshallah. 👏👏👏
@mpondamedia2416
12 күн бұрын
Aamin
@user-zf5hd9jc3l24 күн бұрын
Allah niondolee magonjwa kwa familia yangu
@AlphonceJoseph-gv3lm20 күн бұрын
Amina allaah niondoshee vifungo vya uchawi 😢 hii Dua imenifanya nisiwe na hofu Imani kwa allaah ni kitu kikubwa
@mpondamedia2416
20 күн бұрын
maa shaa llah
@Atb300 Жыл бұрын
Amin Yarab Al-Amin niondolee na mitiani husda na kila lilokua Baya mbele yngu nifungulie rizki ndogo ndogo na kubwa kwani wewe ndo kimbilio lngu Hakuna wa kuabudiwa zaid yko yaah Allah🙏❤️
@mpondamedia2416
Жыл бұрын
Allahumma Aamin
@juweiriyaomar6128
Жыл бұрын
Amin ya Rabbal aalamin
@firstlady9848
Жыл бұрын
Ameen 🤲
@deborakasambula7431
Жыл бұрын
Amiiin
@umsaidhamed2710
Жыл бұрын
So we ⁹sssssssssssssß 9th ⁸sssssßsßsssssß to see
@mwamvuaathumani4182 Жыл бұрын
Ya Allah taqabari Duaa ya Rabi nipe subira Kwa kila jambo mola wangu nipe kizazi chema nifanye niwe mwenye kusimamisha swala mie na kizazi changu nipe Mme Bora na mwenye hofu juu yako ya Allah😢😢 niepushie maradhi husda na kila baya litakalo nijia ya ALLAH😢😢🤲
@user-qc8pu2kz2l Жыл бұрын
😮eemungu wangu usie shindwa na jambo lolote naomba mungu wangu uniodoleshe maradhi katoka mwili wangu nipate mumeo mwenye hekima napia wape wazazi wangu mwisho mwema amin
@ChineduIdedia
2 ай бұрын
Mimi nipo
@user-iq5dc3bj3w2 ай бұрын
Ya Allahi niondeshee mitihani na unipe Kila hitaji la moyo wangu, niondeshee maradhi na unipe furaha kwenye maisha yangu
@rukiamohammad9773Ай бұрын
Amiin thumma Amiin Yaarab tuondoshee matatizo utufanyie wepesi hapa duniani na kesho Akhera . Amiin
@ZainabuMsangi-gx1fe28 күн бұрын
Yalaah naomba ninapoisikiliza dua hii uniepushe na maradhi pia unijaalie mwisho mwema na uyape nuru maisha yangu na familia yangu...inshaalah utukubalie dua zenu
@bintifikirini-wy3kc Жыл бұрын
Eeeh mola wangu naomba unifungulie mwangaza katika maisha yangu, uniepushe na kila shari lolote baya lisinifikie unifungulie kizazi changu, ee mola wangu naomba ulinde familia yangu popote pale uwaepushe na kila shari eeeh mola wangu, amiin ya rabby.
@mpondamedia2416
10 ай бұрын
Aamin
@mudybashiry1751
6 ай бұрын
Naomba riziki ya mali zangu familia yanu
@shumatagirl276710 күн бұрын
eeeeh mwenyezi Mungu, mwingi wa Rehema ambaye hufananishi na kitu chochote, naomba nisamehe makosa yangu naomba nimurike katika nuru yako na uyapokee maombi yangu na kuyajibu mollah wangu sina pa kukimbilia zaidi ya kwako. Amina🙏
@jamilakimaro9993Ай бұрын
Yaarab nakuomba kupitia dua hii unisamehe makosa yangu yote imma kwa kukusudia au kwa kutokukusudia naomba utuepushie maradhi naomba uwape tahfif marehemu wetu waliotutanguli na uzidi kunipa wepesi ktk kufanya ibada zako yaarab. Aaamin
@mpondamedia2416
Ай бұрын
Aaamin
@rehema5110 Жыл бұрын
amin yarab nipe wepesi kwenye maradhi yangu niweze kupona 🙏
@tatusaidy966128 күн бұрын
Ya ALLAH wewe ndie mtoaji wa yote basi nakuomba ya rabby niponye katika kila matatizo ninayo ya pitia nipe nuru ndan ya paji langu lauso naniokoe katika kila zito ninalo pitia mimi pamoja na familya yangu ya rabby😭😭
@fatumakyengya45
18 күн бұрын
YA Allah Nijalie Yaliyo Mema Na Uniepushe Na Mitihan ,,,Unijalie Afya Njema Na Umri Mrefu ,,,Unijalie Watoto Walio Wema Na Uwajalie Wazazi Wangu Afya Njema ,,Aman Katika Nyoyo Zayo Amiiin
@simonkatunzi17769 күн бұрын
Ewe mwenyenzi mungu niondole dhiki na fungulie riziki Mimi na watoto zangu niondole maradhi magumu
@Lulu-wt9ddАй бұрын
Ya Allah naomba nitoe malaz niepushe na mabalaa ya kidunia nijaalie lizki nawombea wazazi wangu uwa jaalie her na lizki uwatoe malazi yalabi wajaalie watoto wangu tabia njema na wenye Imani amina 🤲🤲
@bintshariffmuhammad620 Жыл бұрын
Yaa Allaah naomba unifanyie wepesi mambo yangu uniondolee dhiki nilio nazo unipe furaha na raha za dunia na akhera unitie peponi pamoja mtume SalaAllahu Alayhi wa Salam
@fadhirajuma1240 Жыл бұрын
Eeeee Mwenyezi Mungu nifanyie wepesi niweze jifungua salama inshahalah🙏🙏
@mpondamedia2416
Жыл бұрын
🙏🏽
@SebastianMahund10 күн бұрын
Amin,ee mora wangu nakuomba niepushe na kila lililo baya katika safari yangu ya hapa Duniani, maana wewe u mwingi wa rehema
@user-ob2hk3jx7i2 ай бұрын
Ya Allah naomba shifaa.nagonjwa sana ya Rabbi🤲kishwa kinaniuma na ninasikia kizunguzungu Kila siku.nakuomba ya Rabiii🤲
Ya allah naomba unisamee mabaya yangu yote na uniondole matatizo nlio nayo.unilinde na hasad za waja ya rabina halameen🙏🙏
@mpondamedia2416
9 күн бұрын
Aamina yaa rabbi kwa sote Aamin
@Ukhtyfii1220 күн бұрын
Ya Allah nakuomba unisameh hakika mim sio mkamilifu nina kuomba radhi yarasulallah nisameh na uniondoe kwenye hii mitihani napitia kupitia dua hii kila zito liwe jepesi yarasulallah 😭hakika wewe ni mwengi wa Rehema na amani nisameh mola wangu
@MwajumaSalim-vj5osАй бұрын
Mwenyezi mungu niondolee mitihani unifungulie rizk
@user-bk5zx8jb3c22 күн бұрын
Amina ya rabbii naomba niondelee mitihani hapakazini katika hiifamilia naomba niongezewe mshahara
@aishadaffa225914 күн бұрын
Amin🙏
@zuwenasalim2794 Жыл бұрын
Eee Mola wangu naomba ninapocniliza Dua hii maradhi yamgongo yanayonisumbua nipone kwa rehma zako,Mwanangu masikio yake umfanyie wepesi ya Allah apate kusikia Amiin
@malak-lz6kx
Жыл бұрын
Hta mm mgongo vle pia kunyonyesha allah atupe afya njema inshaallah
@SubiraMussa-ik2mh
10 ай бұрын
Ya rabi nakuomba niondoshee kila lililofungwa unifungulie
@malak-lz6kx
10 ай бұрын
@@SubiraMussa-ik2mh allahumma amiin.
@habibaramadhani-xv2ed7 ай бұрын
Alhamndulillah Alhamndulillah Alhamndulillah
@user-qv4oz2sq4f3 күн бұрын
Yarabi naomba uniondoshee matatizo na huu wakat mgumu nnaopitia atakukataliwa na kukosakazi Amiin 🤲🙏
@MayasaOmar3 ай бұрын
Ya allah nakuomba uniondoshe husda chuki fitna za waja unifungulie milango y riski unifungulie mlango wangu wa ndoa inshallaah uniondoshe maradhi mabaya ynayotawala mwili nnayoyajua n ni siyoo yajua inshallaah ni ww t tunaekuomba n kukutegemea n kuitaji msaada kwako allahumma amina
@mpondamedia2416
Ай бұрын
Aamina 😂
@FashionHekima-wq9fl
14 күн бұрын
Nikihitajiduaa nakupataje shekhewangu
@mpondamedia2416
14 күн бұрын
@@FashionHekima-wq9fl nipigie kwa 0652286323
@KwizerimanaDinarizadi3 ай бұрын
Aamiin ya Allah niondoleye matatizo uniepushe n'a shari
@jasminmsafiri3053 Жыл бұрын
Amin yarab niondoshee maradh Katika mwili na niepushe husda za waja na unifungulie milango y liziki yarab
@mwanakomboom16433 ай бұрын
Amiin ,yaa allah niondlee kila asdi yarab nilinde kwa kila bmbo zito unipe moyo wenye sbra n ujasiri uniswameehe dhambi zangu za siri na za dhairi ,uniondlee roho kwenda mbio kila wakti ,amiim yarab
@elizabethgitau-xl3mxАй бұрын
Naomba YaAllah aniepushe na haya machungu nimepitia sana mangumu
@shakirajuma-ro9fh Жыл бұрын
Yarabiy nakuomba unifanyie wepesi Kwa kila ninalo pitia yarabiy 🤲 nakuomba uwasamehe wazazi wangu zambi zao yarabiy 🤲 nakuomba unifanyie wepesi kwakila jambo 🙏 Amiin 🤲🙏
@raiyaomary19882 ай бұрын
Amin
@user-fd7wj6wd1f3 ай бұрын
Yaa allaah nakuomba kupitia dua hii unisamehe dhambi zangu unifungulie milango ya rizki hakika wewe ndo muweza wa kila jambo allha mimi nikiumbe chako mnyonge kwako yaa allaah yaa allaah naomba msaada wako ee mwenyeezi mungu nisaidie
@user-su6vt8ev8d2 ай бұрын
Ya Allah tujaalie kheri za Dunia na kesho Akhera .
@FauziahNambaka-bn2ln26 күн бұрын
Mwenyezi mungu anitakabalie dua zangu,swala zangu,funga zangu na anisamehe madhambi zangu zote na waislamu wote duniani
@mpondamedia2416
25 күн бұрын
Aamin
@asiakibali1253 Жыл бұрын
Amiin 🙏🤲🤲nakuomba nipe kibali katika maisha yangu na Familia yangu
@ismailkuyugu3070 Жыл бұрын
Amen 🤲🤲 yallabi nakuomba nifanikiwe katika hili ninalosubilia ww ndo muweza wa kilakitu
@rehemasalim6923Ай бұрын
Yaalah niwekee mama angu aje kuwaona watoto wngu inshallah 🙏🙏🙏ameen🤝
@mpondamedia2416
Ай бұрын
Aamin
@AminaAmina-up8ce Жыл бұрын
Aamin Yarabii, Ya Allah nikinge na hasad mitihan mm na family yangu isiyo na kheir na ss nibarikie kazi ya mikono yangu nifuguwe riziki za halali inshaallah na unifanyie weps kila jambo lenye kheir na mm Aamin Yarabii
@user-gl9cv7iy2w6 ай бұрын
Amin mwenyenzi mungu niondole niepush na mabara nausuda navijicho nausuda unijarie riziki dogo dogo na kubwa kubwa
@rizikisalim4212 Жыл бұрын
Yaa ALLAH tusamehe dhambi zetu n utuwanye wapesi wenye kufanya swalah
@rechomwamedimfamahrechom-ep8sh Жыл бұрын
Amina Allah atuepushe na asali za kidunia atupe ujasir Ahifunguwe Family yang yumba yang kazi yang mashamba yang watot wang mweny kuwalahan alaaniwe mwenye Amin
@MariaGoreth-es9ii24 күн бұрын
Ee mungu nilinde uniepeshe Na maovu unikinge mm nagamilia yangu jutukinge na madui unipatie ridhiki Amin unitimizie ndot zang kupitia Dua hii Amin
@user-kw4wn7rj1h Жыл бұрын
Amiina yaarab ewe mola wangu nijaalie kila lenye mitigan na mm niepushe kila lenye mitigan na mm nifungulie lidhik za halal na kila kilichofungwa nifungulie
@mpondamedia2416
Жыл бұрын
Aamin yaa Rabbi
@user-vl8om4nq7p3 ай бұрын
Amin amiin🤲
@user-rd2jj5fm9j Жыл бұрын
Amina yarabi niondole matatizo mm na familia yangu na mpeuzima mamangu muondolee maratha lnshaallah 🤲
@user-tr8on1yf5s2 ай бұрын
Ameen Yarab Nijalie rikzi kwa siku ya leo nilipe madeni Yangu yote Kwani Yananiumiza sana Zaidi ya sana Yarab Nisikie Mimi Mjawako na Siku Ya leo.
@monarm9363 Жыл бұрын
Amin amin amin eee yarrabi wetu tujalie dua hii ituondoshee husda zote tulizotegewa na utuponye sisi waja wako🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@faudhiammary12572 ай бұрын
Ya Allah niondoshee kilalililo baya kwenye moyo wangu niandoshee hofu wasiwasi ramadhari na uzidi kunijalia ridhiki kuwa na ndogo niondoshee kila lilobaya
@aminachilindima-cr6fv Жыл бұрын
Yarabbi nakuomba nijarie upendo ndani ya familia yangu ,nijarie ridhiki na mjalie mwanangu apate ridhiki kwenye maangaiko yake wajalie mama na Baba yangu afya njema ,yarabbi ww ndo unajua mapito yangu amiin
Amiiin ya rabbal Allamiin Naomba kupitia Dua hii Allah Aniweke wepeesi kweny safari yangu Itimie kwa uwezo wake
@user-hp6rx1gk2g2 ай бұрын
❤❤❤❤Amiin yaarabi Amiin yaarabi
@MURSALICHAUNGU2 ай бұрын
Amiiin amiiin amiiin ehee mwenyezi mungu naomba duwaa hii iwe ni tiba ya malazi yangu na ufumguo wa vifungo vya kisheitwan amiiin amiiin
@user-mk8ph8qc9k2 ай бұрын
AMIIN YAA RABII MLAZE PEMA PEPONI BABA ANGU na waislamu wote waliotangulia na ss utupe mwisho mwema Amiin yaa rabii
@user-py8hm7jr7l11 ай бұрын
Amin nifunulie njia zangu emwenyezi mungu kila lenye shari niepushe nalo yarabbi
@zainabuhassan66032 ай бұрын
Ameeeen. Eeeh M/Mungu niondolee matatizo kkt familia nijalie hekma ktk moyo wng uwalinde watoto dhid ya husda na maradhi. Unifanyie wepc ktk biashara yangu nipate rizk ya halali. Waajalie wazazi wng Afya njema.
@habibaramadhani-xv2ed7 ай бұрын
Alhamndulillah ALHAMNDULILLAH Shukrani Kwa Duaa.
@BranMaynАй бұрын
Ameen
@MwanaBale-qx9ln Жыл бұрын
Amiin 🙏 Yaa rabbil Alamiin🙏 ,,,ya Allah tujaalie yaliyo mema kuliko fikra zetu
@subiraasadi65362 ай бұрын
Yaa Allah niondolee maradh ninayoyajua nanisiyoyajua wakinge wanangu na familiar yangu nakila mabalaa nahusda na Mambo yote mabaya
@Captainkiss10002 ай бұрын
Kuanzia leo kupitia dua hii ewe molla wangu naomba ikawe ndo mwisho wa mitihan yangu yoote yalabby nijaalie yote ya liomema na uniepushe na yote yaliomabaya kuanzia leo mpaka siku naingia kaburini iwe hivyo pia kwa wazazi wangu na mke wangu na wanangu mpe kivuli na pepo baba yangu hatibu ally msamehe makosa yake yallabby😢 nifungulie rizki na ziwe zenyekudumu Allahumma aamiin
@mpondamedia2416
2 ай бұрын
😭😭😭 Allahu mma Aamin
@ummuasmahan5193
Ай бұрын
Aamiin
@gracekalama693511 ай бұрын
Amiin thumma Amiin yarabbi ninusuru na husda za waja nipe riziq za halal kila nifanyalo liwe la kheir🤲🤲
@mpondamedia2416
11 ай бұрын
Aamina yaa Allah
@nuruyusuph5562 Жыл бұрын
Amiin yarab 🤲 ewe mwenyezi MUNGU mwingi wa huruma nakuomba unihurumie nakuomba unisamehe madhambi yangu nakuomba uniondolee maradhi Yanao nisumbua unijahalie nipone maradhi haya nakuomba umuondoshee maradhi mama yangu yanayo mkabili utujahalie maisha mareefu yenye Amani upendo na furaha mimi pamoja na familia yangu mama yangu mume wangu watoto wangu na wote wanao tupenda na kunitumia mama Mimi na familia yangu🤲
@fatmakassim6726 Жыл бұрын
Ya Allah naomba ujijalie mume mwenye hofu y’a mungu na anipende kwa dhat 📿🤲🏻
@nuruddin5074 Жыл бұрын
NA UMSAMEHE MZAZI WANGU MAKOSA YAKE NA UMJAALIE KATIKA WAJA WA PEPON INSHALLAH NA MAMA YANGU UMJAALIE MWISHO MWEMA NA KIZAZI CHANGU KIWE NI CHENYE HOFU YA ALLAH NA FAMIRIAY YANGU NA UWASAMEHE MALEHEMU WOTE UWAJAALIE KATIKA WAJA WEMA UWAEPUSHE NA ADHABU YA MOTO NA ADHABU YA KABR
@mpondamedia2416
Жыл бұрын
Allahumma Aamin
@user-nu4bl8ds1sАй бұрын
Yaah Allah! Kupitia dua hii iwe sababu ya kusimama kwa dola ya kiislamu duniani dhidi ya wasiokuwa waislamu.
Пікірлер: 792
Allah Ww Ni Mwingi Wa Rehema Naomba Unisamehe Makosa yng Mola Wng Usinifichie nuru Ya Uso Wako Allah Najua Mm ni Mkosaji Mbele zako Nisamehe Mola Wng Ww Ndo Mwingi Wa Huruma Allah Nihurumie Mja Wako Niokoe Ktk Mitihani Hii ninayopitia Allah Wng Niponye Maradhi Ya Ganzii Ktk Mwili Wng Nipone Kbs Nijaze Imani Juu yako Allah Wng Mm Ni Mkosaji mbele Zako niponye Kupitia Dua Hii niponye Kwa Dua iliyomponya Ayubu Allah Nifanye Vile Ikupendezavyo Ww Mungu Wng Allah Nisaidie mja Wako
Amiina yaarab nisamehe makosa yangu pia naomba unipe mwisho mwema na naomba nifanye yale yenye kukupendeza, niepushe na maasi ya dunia niwe mja mwema, naomba uniepushe na watu wabaya na wale wasopenda kuona mafanikio yangu wasiwe na nafasi kwangu, nakuomba ya Allah niondoshe na nuksi, mikosi, mapepo, na maradhi sababishi yasinikute, nifungue kila nilipogungwa kwa nguvu za giza, mfanyie wepesi bosi wangu asahau yote yalotokea anirudishe kazini kwa nguvu zako Allah. Naiombea familia yangu, wadogo zangu na wazazi wangu waepushwe na kila Shari na kila baya lisiwakute kila atuombeae ubaya kwetu ugeuke na kuwa uzuri, ❤️🙏
@mpondamedia2416
11 ай бұрын
😭😭😭🤲
@zozosabra2176
9 ай бұрын
mwenyezi mungu nakuomba uniepushe na mitihani mm na familia yangu niongezee watoto wangu na uniepushe na maradhi makubwa na madogo nakuomba ewe mwenyezi mungu nifungulie milango ya ridhiki mm na kizazi changu . na uwasamehe wazazi wangu makosa ya kaburi Amina
@nooralhadidi6420
3 ай бұрын
[@@zozosabra2176
@user-dc1zn9ry5s
3 ай бұрын
Mungu atufungulie riziki za halal yarabi atupe wepesi wake
@user-dc1zn9ry5s
3 ай бұрын
Yarabi ndoa iwe ya kheri kwangu
Ya Allah nipokeleye swalha dhangu n'a dua zangu ya Allah unisamehe dhambi dhangu unijalie mwisho mwema Ya Allah uniweke katika kundi ambalo litakalo ingia katika jannatu fidrau yaAllah warehemu wazazi wangu😢uwasamehe dhambi Zao kupitia dua hiyo ya Allah utunusuri Sisi viumbe vyako dhahifu ya Allah🙏🙏
Ya Allah Ya Allah naomba unisamehe ninayoyajua na nisoyoyajua makosa yangu niondolee maradhi nijalie uhai mrefu afya amani nikuabudu nipe rizki ya halali na mwisho mwema
Amiin 🙏🏼🙏🏼🙏🏼ewe mwenyezimungu naomba unifunglie mwanganz katik maisha yangu Unifungulie rizk zngu kila zito allah unifamyie wpesi kila ninapoingia nuru inimwilik unajalie mwisho mwem 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼😭😭😭
@NaimaKaka-yo4hb
3 ай бұрын
Amin
Aamiiin🤲🤲🤲🤲yaarabilialamina mwenyezimungu niondolee matatizo yangu ya ALLAH we ndio mtoaji ya rabb takabali dua🤲🤲🤲
Yarabi niondoshee matizokatika maishayangu nafamiliya yangu na uondoshee husdakatika utaftaji warzki yarabi nakuomba kwani wewetu ndie mjuzi wakilajambo Amen
Ya Allah nakuomba uwapunguzie adhabu ya kaburi wazazi wote wawili , ya Allah nakugemea kwa kila Jambo liwe kubwa liwe dogo ya Allah ukanifanyie wepesi na kuniondolea mabalaa na chuki juu ya kazi yangu na familia yangu Amin🤲🏽😔
@alphoncymatara5108
4 ай бұрын
❤
Nataman niandike mengi kuhus hii Dua😭 nilipitia matatizo nimeisikiliz San hii Dua bi idhin llah naamin imeniondoshea matatizo yang alhamdulillah😭🤲 allahu akbar 😭
@gloriaeliys7589
5 ай бұрын
Hapan iyo dua itakua n insababu t ila Allaah ndio alio kuondoshea .
@tatumbaraka2658
4 ай бұрын
@@gloriaeliys7589 Kwa kwel ni Allah🤲
@HalimaismailySaid
Ай бұрын
Kwa kweli hii dua imedanya mambo yangu mengi. Yakafunguka sana
@FIRDAUSAWADH
Ай бұрын
Allahu Akbarr
@ummuasmahan5193
Ай бұрын
Allah nifungue kutokana na madeni, nifungue milango yangu ya rzk, nikifungua nipate pesa za kulipa madeni na kurudi Hali yangu ya kawaida😭🤲
Amin yarab nisameh makosa yangu Na uniondoshe matatizo YA nyumba yangu
Ya allah nakuomba unisafisha niwe safi kwa kila mja niwe mwenyekupendwa n kila mtu nifungulie milango ya rizk niweze kuisaidia familia yangu naomba nipate na kazi ninayoiitaji Amin Inshaalah
Ya Allah unifanyie wepes kwenye mamb yangu na ridhik yang uniepushie na mabaraa,vijicho,husna,uchawi na mashetwani maisha yangu yanakutegemea ww Allah 😢😢Amin 🙏
Amina mungu anifanyie wepesi katika kazi zangu inshallah
Ameena yarabi niondeleeee hasada na husda na matatizo yaliombele yangu ninayoyajua na sisiyojua tupe iman ya kukuabudu ww na kuyafata mamrisho yako uwarehemu wote walotangulia mbele ya hakiiiii ameena ya rabbi
Ya Allah unayajua vyema matatizo yangu nikumbuke nibarike nisamehee dhambi zangu ....Muepushe mpenzi wangu Na adhabu kubwa ya kaburi🤲📿
Ya Allah unifanyie wepesi katika mambo yangu, unikinge Na hasad, husda Na wabaya wote walonizunguka pamoja Na familiar yangu amiin
Yarab nisamee makosa yangu na unisamee zambizang unipe riziki zangu zaharari kizazichang kiwe miongoni yawaja wema ishaarr❤
Amin ewe mwenyezimungu niondolee chuki,husda, choyo, hasada, shari na mambo mengine yote mabaya
Yarabih naomba uniongoze katika njia iliyo nyooka naomba uwape afya njema watoto wangu uwape ufahamu Mungu wangu wewe ndie kila kitu binadamu si chochote mbele yako nakuomba Mungu wangu huyu binti yangu apate usingizi mzuri na kama kuna mtu ana7babisha vimludie mwenyewe 😢😢🙏🏼🙏🏼🙏🙏 Amina🙏
Amiin Yarab al-amin nakuomba rehema zako na afya na kutimiza malengo yangu Yarab al-amin,hekima juu yako Allah pia nakuomba utulivu juu ya familia na Maisha yangu kwa ujumla.
Yarabi naomba niondolee mitihani kazini na unifanye nidumu kazini naomba unioe ridhki ya halal na yenye kheri naomba umpe pepo ya firdaus baba angu alotangulia mbele za khaki na umat MUHAMMAD s.w.s
Amini yarab Al Amin niondolee maradh husda za waja uwape afya njema family yangu watoto wangu wazazi wangu yarab nifungulie nakuongezea rizk nifanyie wepes Kaz yangu yarab Kika nifanyalo liwe jepesi Amin Amin
Ya ALLAH niongoze yaliyo mema 🤲Nipe mwisho mwema nope rizki🤲 ya halali nakuomba mola wangu pekeyangu siwezi 😭🤲 Nakuomba Mola wangu niongoze nipe rizki niondolee hofu niondolee maradhi mimi na watoto wangu Ya ALLAH ya ALLAH nakuomba🤲🤲
Amin 🤲
Amiin yaarab ewe mola wangu nijaalie kila lenye kheri na Mimi niepushie kila lenye mitihani na Mimi nifungulie riziki zahalali kila kilicho fungwa kifungulie mollah wangu niondoshee kila penye ugumu kiwe kimefungwa namajini au wachawi Allah wewe ndio kinga yangu yaaraby takabar dua
Ya Allah naomba uniepushe na kila lililo baya mjn uchw husd za watu mahsd ulinde familia yng uzd kutup uzma na pumz kila kukicha
Ya -Allah Kila zitoo Naomba liwe jepesiii ya Allah Nipe umri mrefu mimi pamoja familia yangu naomba umuondolee mitihan H kila zito kwake liwe jepesi akika Allah wew ndio tumaini letu la mwishoo🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Yarab nifungulie ‘ nifungue funguko vyote vilivyokuwepo ,mwilini Kwangu viwe vya binadamu au majini au wachawi Naomba Allha nifungulie ridhiki yangu nipe umri mlefu na mama angu,muondolee,malazi na umpe umri mlefu inshallah. 👏👏👏
@mpondamedia2416
12 күн бұрын
Aamin
Allah niondolee magonjwa kwa familia yangu
Amina allaah niondoshee vifungo vya uchawi 😢 hii Dua imenifanya nisiwe na hofu Imani kwa allaah ni kitu kikubwa
@mpondamedia2416
20 күн бұрын
maa shaa llah
Amin Yarab Al-Amin niondolee na mitiani husda na kila lilokua Baya mbele yngu nifungulie rizki ndogo ndogo na kubwa kwani wewe ndo kimbilio lngu Hakuna wa kuabudiwa zaid yko yaah Allah🙏❤️
@mpondamedia2416
Жыл бұрын
Allahumma Aamin
@juweiriyaomar6128
Жыл бұрын
Amin ya Rabbal aalamin
@firstlady9848
Жыл бұрын
Ameen 🤲
@deborakasambula7431
Жыл бұрын
Amiiin
@umsaidhamed2710
Жыл бұрын
So we ⁹sssssssssssssß 9th ⁸sssssßsßsssssß to see
Ya Allah taqabari Duaa ya Rabi nipe subira Kwa kila jambo mola wangu nipe kizazi chema nifanye niwe mwenye kusimamisha swala mie na kizazi changu nipe Mme Bora na mwenye hofu juu yako ya Allah😢😢 niepushie maradhi husda na kila baya litakalo nijia ya ALLAH😢😢🤲
😮eemungu wangu usie shindwa na jambo lolote naomba mungu wangu uniodoleshe maradhi katoka mwili wangu nipate mumeo mwenye hekima napia wape wazazi wangu mwisho mwema amin
@ChineduIdedia
2 ай бұрын
Mimi nipo
Ya Allahi niondeshee mitihani na unipe Kila hitaji la moyo wangu, niondeshee maradhi na unipe furaha kwenye maisha yangu
Amiin thumma Amiin Yaarab tuondoshee matatizo utufanyie wepesi hapa duniani na kesho Akhera . Amiin
Yalaah naomba ninapoisikiliza dua hii uniepushe na maradhi pia unijaalie mwisho mwema na uyape nuru maisha yangu na familia yangu...inshaalah utukubalie dua zenu
Eeeh mola wangu naomba unifungulie mwangaza katika maisha yangu, uniepushe na kila shari lolote baya lisinifikie unifungulie kizazi changu, ee mola wangu naomba ulinde familia yangu popote pale uwaepushe na kila shari eeeh mola wangu, amiin ya rabby.
@mpondamedia2416
10 ай бұрын
Aamin
@mudybashiry1751
6 ай бұрын
Naomba riziki ya mali zangu familia yanu
eeeeh mwenyezi Mungu, mwingi wa Rehema ambaye hufananishi na kitu chochote, naomba nisamehe makosa yangu naomba nimurike katika nuru yako na uyapokee maombi yangu na kuyajibu mollah wangu sina pa kukimbilia zaidi ya kwako. Amina🙏
Yaarab nakuomba kupitia dua hii unisamehe makosa yangu yote imma kwa kukusudia au kwa kutokukusudia naomba utuepushie maradhi naomba uwape tahfif marehemu wetu waliotutanguli na uzidi kunipa wepesi ktk kufanya ibada zako yaarab. Aaamin
@mpondamedia2416
Ай бұрын
Aaamin
amin yarab nipe wepesi kwenye maradhi yangu niweze kupona 🙏
Ya ALLAH wewe ndie mtoaji wa yote basi nakuomba ya rabby niponye katika kila matatizo ninayo ya pitia nipe nuru ndan ya paji langu lauso naniokoe katika kila zito ninalo pitia mimi pamoja na familya yangu ya rabby😭😭
@fatumakyengya45
18 күн бұрын
YA Allah Nijalie Yaliyo Mema Na Uniepushe Na Mitihan ,,,Unijalie Afya Njema Na Umri Mrefu ,,,Unijalie Watoto Walio Wema Na Uwajalie Wazazi Wangu Afya Njema ,,Aman Katika Nyoyo Zayo Amiiin
Ewe mwenyenzi mungu niondole dhiki na fungulie riziki Mimi na watoto zangu niondole maradhi magumu
Ya Allah naomba nitoe malaz niepushe na mabalaa ya kidunia nijaalie lizki nawombea wazazi wangu uwa jaalie her na lizki uwatoe malazi yalabi wajaalie watoto wangu tabia njema na wenye Imani amina 🤲🤲
Yaa Allaah naomba unifanyie wepesi mambo yangu uniondolee dhiki nilio nazo unipe furaha na raha za dunia na akhera unitie peponi pamoja mtume SalaAllahu Alayhi wa Salam
Eeeee Mwenyezi Mungu nifanyie wepesi niweze jifungua salama inshahalah🙏🙏
@mpondamedia2416
Жыл бұрын
🙏🏽
Amin,ee mora wangu nakuomba niepushe na kila lililo baya katika safari yangu ya hapa Duniani, maana wewe u mwingi wa rehema
Ya Allah naomba shifaa.nagonjwa sana ya Rabbi🤲kishwa kinaniuma na ninasikia kizunguzungu Kila siku.nakuomba ya Rabiii🤲
@mpondamedia2416
Ай бұрын
Aamina yaa rabbi 😭😭
Yarabi nijalie lakheri unijalie ndoa uniepushe nazinaa Amiina Amiina 🤲🤲
Ya allah naomba unisamee mabaya yangu yote na uniondole matatizo nlio nayo.unilinde na hasad za waja ya rabina halameen🙏🙏
@mpondamedia2416
9 күн бұрын
Aamina yaa rabbi kwa sote Aamin
Ya Allah nakuomba unisameh hakika mim sio mkamilifu nina kuomba radhi yarasulallah nisameh na uniondoe kwenye hii mitihani napitia kupitia dua hii kila zito liwe jepesi yarasulallah 😭hakika wewe ni mwengi wa Rehema na amani nisameh mola wangu
Mwenyezi mungu niondolee mitihani unifungulie rizk
Amina ya rabbii naomba niondelee mitihani hapakazini katika hiifamilia naomba niongezewe mshahara
Amin🙏
Eee Mola wangu naomba ninapocniliza Dua hii maradhi yamgongo yanayonisumbua nipone kwa rehma zako,Mwanangu masikio yake umfanyie wepesi ya Allah apate kusikia Amiin
@malak-lz6kx
Жыл бұрын
Hta mm mgongo vle pia kunyonyesha allah atupe afya njema inshaallah
@SubiraMussa-ik2mh
10 ай бұрын
Ya rabi nakuomba niondoshee kila lililofungwa unifungulie
@malak-lz6kx
10 ай бұрын
@@SubiraMussa-ik2mh allahumma amiin.
Alhamndulillah Alhamndulillah Alhamndulillah
Yarabi naomba uniondoshee matatizo na huu wakat mgumu nnaopitia atakukataliwa na kukosakazi Amiin 🤲🙏
Ya allah nakuomba uniondoshe husda chuki fitna za waja unifungulie milango y riski unifungulie mlango wangu wa ndoa inshallaah uniondoshe maradhi mabaya ynayotawala mwili nnayoyajua n ni siyoo yajua inshallaah ni ww t tunaekuomba n kukutegemea n kuitaji msaada kwako allahumma amina
@mpondamedia2416
Ай бұрын
Aamina 😂
@FashionHekima-wq9fl
14 күн бұрын
Nikihitajiduaa nakupataje shekhewangu
@mpondamedia2416
14 күн бұрын
@@FashionHekima-wq9fl nipigie kwa 0652286323
Aamiin ya Allah niondoleye matatizo uniepushe n'a shari
Amin yarab niondoshee maradh Katika mwili na niepushe husda za waja na unifungulie milango y liziki yarab
Amiin ,yaa allah niondlee kila asdi yarab nilinde kwa kila bmbo zito unipe moyo wenye sbra n ujasiri uniswameehe dhambi zangu za siri na za dhairi ,uniondlee roho kwenda mbio kila wakti ,amiim yarab
Naomba YaAllah aniepushe na haya machungu nimepitia sana mangumu
Yarabiy nakuomba unifanyie wepesi Kwa kila ninalo pitia yarabiy 🤲 nakuomba uwasamehe wazazi wangu zambi zao yarabiy 🤲 nakuomba unifanyie wepesi kwakila jambo 🙏 Amiin 🤲🙏
Amin
Yaa allaah nakuomba kupitia dua hii unisamehe dhambi zangu unifungulie milango ya rizki hakika wewe ndo muweza wa kila jambo allha mimi nikiumbe chako mnyonge kwako yaa allaah yaa allaah naomba msaada wako ee mwenyeezi mungu nisaidie
Ya Allah tujaalie kheri za Dunia na kesho Akhera .
Mwenyezi mungu anitakabalie dua zangu,swala zangu,funga zangu na anisamehe madhambi zangu zote na waislamu wote duniani
@mpondamedia2416
25 күн бұрын
Aamin
Amiin 🙏🤲🤲nakuomba nipe kibali katika maisha yangu na Familia yangu
Amen 🤲🤲 yallabi nakuomba nifanikiwe katika hili ninalosubilia ww ndo muweza wa kilakitu
Yaalah niwekee mama angu aje kuwaona watoto wngu inshallah 🙏🙏🙏ameen🤝
@mpondamedia2416
Ай бұрын
Aamin
Aamin Yarabii, Ya Allah nikinge na hasad mitihan mm na family yangu isiyo na kheir na ss nibarikie kazi ya mikono yangu nifuguwe riziki za halali inshaallah na unifanyie weps kila jambo lenye kheir na mm Aamin Yarabii
Amin mwenyenzi mungu niondole niepush na mabara nausuda navijicho nausuda unijarie riziki dogo dogo na kubwa kubwa
Yaa ALLAH tusamehe dhambi zetu n utuwanye wapesi wenye kufanya swalah
Amina Allah atuepushe na asali za kidunia atupe ujasir Ahifunguwe Family yang yumba yang kazi yang mashamba yang watot wang mweny kuwalahan alaaniwe mwenye Amin
Ee mungu nilinde uniepeshe Na maovu unikinge mm nagamilia yangu jutukinge na madui unipatie ridhiki Amin unitimizie ndot zang kupitia Dua hii Amin
Amiina yaarab ewe mola wangu nijaalie kila lenye mitigan na mm niepushe kila lenye mitigan na mm nifungulie lidhik za halal na kila kilichofungwa nifungulie
@mpondamedia2416
Жыл бұрын
Aamin yaa Rabbi
Amin amiin🤲
Amina yarabi niondole matatizo mm na familia yangu na mpeuzima mamangu muondolee maratha lnshaallah 🤲
Ameen Yarab Nijalie rikzi kwa siku ya leo nilipe madeni Yangu yote Kwani Yananiumiza sana Zaidi ya sana Yarab Nisikie Mimi Mjawako na Siku Ya leo.
Amin amin amin eee yarrabi wetu tujalie dua hii ituondoshee husda zote tulizotegewa na utuponye sisi waja wako🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Ya Allah niondoshee kilalililo baya kwenye moyo wangu niandoshee hofu wasiwasi ramadhari na uzidi kunijalia ridhiki kuwa na ndogo niondoshee kila lilobaya
Yarabbi nakuomba nijarie upendo ndani ya familia yangu ,nijarie ridhiki na mjalie mwanangu apate ridhiki kwenye maangaiko yake wajalie mama na Baba yangu afya njema ,yarabbi ww ndo unajua mapito yangu amiin
Amiin amiin amiin 🙏 nakuomba unipe afya njema nitimize ndoto zangu niondolee na huzuni😥
Amiiin ya rabbal Allamiin Naomba kupitia Dua hii Allah Aniweke wepeesi kweny safari yangu Itimie kwa uwezo wake
❤❤❤❤Amiin yaarabi Amiin yaarabi
Amiiin amiiin amiiin ehee mwenyezi mungu naomba duwaa hii iwe ni tiba ya malazi yangu na ufumguo wa vifungo vya kisheitwan amiiin amiiin
AMIIN YAA RABII MLAZE PEMA PEPONI BABA ANGU na waislamu wote waliotangulia na ss utupe mwisho mwema Amiin yaa rabii
Amin nifunulie njia zangu emwenyezi mungu kila lenye shari niepushe nalo yarabbi
Ameeeen. Eeeh M/Mungu niondolee matatizo kkt familia nijalie hekma ktk moyo wng uwalinde watoto dhid ya husda na maradhi. Unifanyie wepc ktk biashara yangu nipate rizk ya halali. Waajalie wazazi wng Afya njema.
Alhamndulillah ALHAMNDULILLAH Shukrani Kwa Duaa.
Ameen
Amiin 🙏 Yaa rabbil Alamiin🙏 ,,,ya Allah tujaalie yaliyo mema kuliko fikra zetu
Yaa Allah niondolee maradh ninayoyajua nanisiyoyajua wakinge wanangu na familiar yangu nakila mabalaa nahusda na Mambo yote mabaya
Kuanzia leo kupitia dua hii ewe molla wangu naomba ikawe ndo mwisho wa mitihan yangu yoote yalabby nijaalie yote ya liomema na uniepushe na yote yaliomabaya kuanzia leo mpaka siku naingia kaburini iwe hivyo pia kwa wazazi wangu na mke wangu na wanangu mpe kivuli na pepo baba yangu hatibu ally msamehe makosa yake yallabby😢 nifungulie rizki na ziwe zenyekudumu Allahumma aamiin
@mpondamedia2416
2 ай бұрын
😭😭😭 Allahu mma Aamin
@ummuasmahan5193
Ай бұрын
Aamiin
Amiin thumma Amiin yarabbi ninusuru na husda za waja nipe riziq za halal kila nifanyalo liwe la kheir🤲🤲
@mpondamedia2416
11 ай бұрын
Aamina yaa Allah
Amiin yarab 🤲 ewe mwenyezi MUNGU mwingi wa huruma nakuomba unihurumie nakuomba unisamehe madhambi yangu nakuomba uniondolee maradhi Yanao nisumbua unijahalie nipone maradhi haya nakuomba umuondoshee maradhi mama yangu yanayo mkabili utujahalie maisha mareefu yenye Amani upendo na furaha mimi pamoja na familia yangu mama yangu mume wangu watoto wangu na wote wanao tupenda na kunitumia mama Mimi na familia yangu🤲
Ya Allah naomba ujijalie mume mwenye hofu y’a mungu na anipende kwa dhat 📿🤲🏻
NA UMSAMEHE MZAZI WANGU MAKOSA YAKE NA UMJAALIE KATIKA WAJA WA PEPON INSHALLAH NA MAMA YANGU UMJAALIE MWISHO MWEMA NA KIZAZI CHANGU KIWE NI CHENYE HOFU YA ALLAH NA FAMIRIAY YANGU NA UWASAMEHE MALEHEMU WOTE UWAJAALIE KATIKA WAJA WEMA UWAEPUSHE NA ADHABU YA MOTO NA ADHABU YA KABR
@mpondamedia2416
Жыл бұрын
Allahumma Aamin
Yaah Allah! Kupitia dua hii iwe sababu ya kusimama kwa dola ya kiislamu duniani dhidi ya wasiokuwa waislamu.
Amiina yarabilialamiin
Amin yaa rabbi 😭😭😭😭👏