Mponda media ni channel maalum inayozungumzia tiba na mawaidha usisahau ku subscribe ili ujifunze mambo mengi kutoka kwangu Imamu Shabani Mponda niliyejitolea kutoa elmu yangu kwa ajili ya allah karibuni ndugu zangu katika iman na adam nyote nakupendeni kwa ajili ya Allah pia nakuombeni msinisahau katika dua zenu za kheri
Пікірлер
ya allah tusamehe dhambi zetu waislam tupe mazuri duniani na akhera ya matin ya allah 🤲
Allahumma amiin
Amiin yaarabi
Amin yarabi
Ya Allah Unifaniye wepesi katka maisha Yangu unisamehe Dhambizangu Za dhairi nazasiri
Sheikh shukrani kwa ndoto nzuri
Nimeota mchumba angu ananisaliti hii ni ishara ya nini shekhe
Naomba mwalim uniandikie
Mashaaallah❤❤❤❤❤
Allah akupe mwsho mwema
Aamina kwa sote Aamina
Asante shehe amin allah akubariki
Jazakhaheir Khairan
Allwahu Akbar ❤
Amin 🤲
Mara 99 au vip
naam 99
Jazakallah khair
Jmn Mara 99 ndo aliokusudia au vip?
Amin ewe mwenyezimungu niondolee chuki,husda, choyo, hasada, shari na mambo mengine yote mabaya
Ya Allah unayajua vyema matatizo yangu nikumbuke nibarike nisamehee dhambi zangu ....Muepushe mpenzi wangu Na adhabu kubwa ya kaburi🤲📿
Asante Sana sheikh
ya Allah Nijaalie Me na Familia zgu mbili kwa Naam zako Allah
Jazakallah khair nilishika mguu nikasomea niliona mguu ukivutwa shukrani sana shekh
Shukran shekh
Ukiota unakula muwa
Yarabi naomba uniondoshee matatizo na huu wakat mgumu nnaopitia atakukataliwa na kukosakazi Amiin 🤲🙏
A/alaykum, sheikh na kinyume cha kuota alokufa anakuonya kitu, ambaye c bb wala mama. Kwa mfano mwalimu au mjomba n.k.
Shee nimeota mzabibu una zabibu nyingi mbichi lakini taji1tu ndo limeiva na zabibu zilikuwa zinadondoka naokota nakura.Sijaerewa mahana ake
Insha'Allah 🙏🙏🙏
Shukran shekh ❤️ ♥️❤❤❤❤❤
Inshaallah shekhe Allah atatia wepesi
Walaikum msalamu warahmatullah wabarakatuh ustadh shukran sana kwa darasa
Mara 99 au 69
99
Aamiin thuma aamiin
Salaam aleykum warahmatullah wabarakatuh mm nineota migomba mingi sana na imepandw.a kwa militari na yote imezaa nduzi za kijani zinependaza sana nn masna yake
Na mama yangu mdogo alikùa ananionyesha hiyo migomba
Nimeota nakula tende
❤❤❤😢🎉
🕋🕋🕋🕋🕋🕋🕋🕋🕋🕋🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲 Aliya sayyed May family 🤲🕋 aameen summa
Sheikh ukiota basi unakhutubu wala unaswalisha Wati inaashiria nini
Masha Allahou akufungulie
Shukran shekh
Tutandike
Asante shekh 🎉🎉🎉🎉
Allah aendelee kukulipa ujira wako Ustadh kwa unayonisaidia
Aamin kwa sote atulipe
@@mpondamedia2416asalam alaykum shekh. Je hili dua tunasoma ya wahhaabu au al wahhaabu?
@@Catherine-mh8sw Yaa wahhaabu
@mpondamedia2416 Asante sana sheikh
Inshaallah allah akulide tuendelee kujua dini vizuri
Aamin
Eee mung nofungulie milango ya baraka niondolee matatizo naomba unisamee
Ewe mwenyenzi mungu niondole dhiki na fungulie riziki Mimi na watoto zangu niondole maradhi magumu
Ya allah naomba unisamee mabaya yangu yote na uniondole matatizo nlio nayo.unilinde na hasad za waja ya rabina halameen🙏🙏
Aamina yaa rabbi kwa sote Aamin
❤❤
Mashallah amini mmungu akuzidishie kheri nabaraka inshallah
Shukran jazakaAllah kher
Aamin kwa sote
Shukran sana sheikh