KAMA UMEDHULUMIWA SHAMBA, NYUMBA, PESA NK OMBA DUA HII

kama umedhulumiwa shamba nyumba pesa na kadhaalika tafadhali soma dua hii Allah atakurudishia haqi yako

Пікірлер: 9

  • @Halimasikudhani
    @Halimasikudhani17 күн бұрын

    Naomba mwalim uniandikie

  • @Catherine-mh8sw
    @Catherine-mh8swАй бұрын

    Asalaam alaykum shekh. Mbona surah Ibrahim inaishia aya 52, na wewe umesema tusome mpaka aya ya 55

  • @mpondamedia2416

    @mpondamedia2416

    Ай бұрын

    kweli nimekosea ki bin adam mpaka 52 nilikua sijaona

  • @Catherine-mh8sw

    @Catherine-mh8sw

    Ай бұрын

    @@mpondamedia2416 Asante shekh

  • @Catherine-mh8sw
    @Catherine-mh8swАй бұрын

    Je hizo siku 7, hilo dua unakuwa unaswali hizo rakaa mbili , na kuomba dua ndani ya siku saba, au hiyo siku 7 ni dua peke yake bila kuswali hizo rakaa mbili? Asante

  • @mpondamedia2416

    @mpondamedia2416

    Ай бұрын

    kila siku unaswali ukishatoa salamu ndio unaomba hiyo dua

  • @Catherine-mh8sw
    @Catherine-mh8swАй бұрын

    Je ni mda gani mzuri wa kusoma hilo dua?

  • @mpondamedia2416

    @mpondamedia2416

    Ай бұрын

    saa nane usiku au tisa

  • @Catherine-mh8sw

    @Catherine-mh8sw

    Ай бұрын

    @@mpondamedia2416 Asante