Dua Ya Kutatua Matatizo Yote Kwa Haraka BI-IDHNILLAAH
Жүктеу.....
Пікірлер: 90
@biashaqtr-xd2mf4 ай бұрын
Ewe mola wangu mbingu na Ardhi mjuzi wa Kila kitu unayejuwa tusioyajuwa.yarabi mola wamalaika wote na mola wa Arshi tukufu.Tunanakuomba YA Allahu natunakuomba Ya Latif Ya Halim Ya Kabir tutakabaliye Dua zetu.utupe nguvyu zinazotoka kwako.Amin Tunakuomba msamaha Ya Rabbi Tunakupenda Mola Wetu Mola Mlezi waulimwengu Alhadulilahi waswalla llahu ala saidi Na Muhammad S.A.W.A Nakupenda Mola wangu Mlezi
@Tinatana-pq5rbАй бұрын
Mungu naomba nijaalie ndoa na mume mwenye iman lakin pia mjaalie mama angu maisha marefu na afya njema nipatie kipato cha alali iliniweze kumsaidia mama na familia yangu mtoto wangu fakhim akawe mtoto mwema na kuyapenda masomo yake ya dini na ya shule amin inshaallh🤲🙏
@egmegm62022 жыл бұрын
Yaa allah naomba unifanyie wepesi katika masomo yangu niweze kufaulu😭 nakutegemea ww tu yaa allah na kuomba🙏🙏
@user-hp6rx1gk2g2 ай бұрын
Yaa Allah tufanyie wepesi katika makazi yetu yaarabi Amiin yaarabi nawale ambao hawakazi wajalie nawao wawe namakazi yao yaarabi Amiin yaarabi ❤❤❤
@user-iq5dc3bj3w2 ай бұрын
Ya Allah nifanyie wepesi kwa Kila jambo langu,niondeshee dhiki na maradhi nipe furaha kwenye maisha yangu
@user-iq5dc3bj3w
2 ай бұрын
Kupitia dua hii uniondolee fikra mbovu mbovu yaraby niongeze kwa Kila jambo hapa Duniani
@abubakars.hussein40504 ай бұрын
Yaa allah naomba uniepushe na husda na hasad za walimwengu uniepushe me na familia yangu kwa mitihan yote mibaya.
@user-wk2uw9sm2n3 ай бұрын
Yarabbi nifanye wepesi kwa kila jambo langu niondoshe ndoto mbaya kila siku matatizo mm na familya yangu yarabbi niondoshe insha allah ❤😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@zainabhussen87453 жыл бұрын
Yani kwa miaka kadhaa nikisikia duwa yoyote nakuwa kawaida ila nilipata mtihani kila ninaposikia duwa huwa inaniingia nakujikuta nikitoka machozi huku nikitamani kulia sana sana kwa mola wangu
@irenekiraraheriyanga9053
2 жыл бұрын
Rama
@mussakhamisi-tn5ft
8 ай бұрын
pole sn
@Sagooood5 ай бұрын
Ya allha naomba unijalie afya njema na uniondolee matatizo utupe wepesi na mama angu umuondolee matatizo inshallha ❤❤
@zakiahole6871 Жыл бұрын
Eeh Mwenyezi Mungu naomba umponye Baba yangu mzazi apone haraka tumbo 🤲
@habibabarker1644Ай бұрын
Yarabi nashkuru kwa kila jambo Alhamdulilah naomba nipunguzie maumivu niliyonayo kupitia hii duwaa
Yaa Allah naomba nistiri jambo langu liwe jepesi inshallah
@mwanamisikoba3 ай бұрын
Ya raabii kupitia Dua hii nijalie nipate mumebora aje anioe Amiin
@zakiahole6871 Жыл бұрын
Yaarab naomba umfanyie wepesi baba apone haraka na umuwekee ulinzi dhidi ya adui na hasad 🤲
@user-uq6gr2tq3g4 ай бұрын
Ya allah nifanyie wepesi kwa kila zito ninalo pitia kwa kipindi hki kigumu kwangu
@anuarysiraji692 Жыл бұрын
Yarb niondolee kila Aina ya shida yarab nifanikiwe kila ninachofanya na unipe mwisho mwema yarab
@user-tr8on1yf5s2 ай бұрын
Yarab kupitia Dua hii nakuomba Mola wangu Niweze Kulipa Madeni yangu yote Ninayo Daiwa Kwani Yananiumiza Sqna Nakuomba Ewe Mola wangu na Siku ya leo
@MichaelKitakuru-dj1ky Жыл бұрын
Allah nifanyie wepesi katika biashara zangu nitakazo azisha mungu wangu nifanyie wepesi katika mangaiko yangu mungu wangu
@haseanatnsanya20793 жыл бұрын
Ewe allaah tujalie dunian na kesho akher shukran my
@fathiyahassan86284 ай бұрын
Ya Allah nakuomba mja wako uilinde familia yangu Kwa kila mitihan inayotufika 😢
@user-hf9fh6nk6h4 ай бұрын
Yarraby niondoshee maradh nilonayo na uniepushe na kila shary za walimwengu mimi na wanangu kupitia dua hii ikawe dawa inshaAllah
@fatmazaky87635 ай бұрын
ya Allah nakuomba nifanyiie tahafifu katika mazito ulonipa
@ruqyhkhames6446Ай бұрын
Yarabiiy nakuomba uniepushe nashari za ulimweng unijaalie baraka
@zohramariga667811 ай бұрын
Yaarbi nifanyie wepesi katika shida ninazo pitia yarab tupemwisho mwema
@AsiaNassoroMpili5 ай бұрын
Ya Allah kupitia duwa hii niepushe na kila shali za majini na wanadam za za hili na sihili univuwe na kila ubaya nnukis anifanyie wepes kila ninalolifanya Amiiiiiin yaratwif
@mwenieliasa6517 Жыл бұрын
Yaaah Allah nijaalie kheri na baraka niondoshee Kila aina ya matatizo na unipe mwisho mwema inshaallah 🙏
@shamimmbilinyi9440 Жыл бұрын
Ya Allah ya Allah ya Allah Leo nipo mbele yako naomba nsaidie ya Allah 😭😭 nipe Kila lenye kheri mbele yngu 🙏🙏🙏🙏
@ajiraramadhan10294 ай бұрын
Yaa Allah mjalie mama angu mpunfuzie mitihani ya dunian
Ya Allah nifanyie wepesi kwenye mambo yangu na biashara zangu niondolee mikosi, nuksi uniletee neema na riziki.
@Ostadhatnasma8 ай бұрын
Ya Allah nifanyie wepes kwa Kila jambo langu, Ya Allah niondolee matatizo yote yanayotukabili mm na familia yangu😭😭, tupndolee nuksi na mabala yote, Ya Allah tupe mwisho mwema mm na familia yangu ww ndio kimbilio langu hakuna mwingine ila ni wewe Allah 🤲
@habibabarker1644
6 ай бұрын
Yarabi nakuomba unisamehe makosa ninayoyajua na nisiyoyajua niliowakosea wanisemehe niondelee maradhi nifariji kwa yoote wasamehe wazazi wangu na ndugu waliotangulia wajalie watoto wangu rizki ya halali ndoa zenye kher
@aishamazige3559 Жыл бұрын
Ya Allah naomba unifanyie wepesi kwenye hii mitihani ninayopitia yarab
@tuniyjuma3100 Жыл бұрын
Mola wangu naskiliza dua hii niondolee kila wasiwas na mattz ndani ya moyo na mwili ww pekee ndo unjua tatz Lang Ya Allah (s.w)
@maulidimpoto-sc3lcАй бұрын
Ee mola wangu tujalie mwisho mwema
@user-cg8qp4cl7d3 ай бұрын
Ya Allah naomba utu jalie mm na familiar yang yangu iliyo mbali Allah ww ndiye unae juwa kesho naomba uni jalie ni pate passport yang ni were kurdish nyumbani ni kiwa mzima na króna na familia yang yote tukiwa wazima utupe shift na uwa wazazi wants umri na Marshall marefu
@user-yq8iz2hh9u5 ай бұрын
Yaarab tufanyie wepes kwenye mtihan tulioonao
@SansaNanenane4 ай бұрын
Ameen
@fatmazaky87635 ай бұрын
nisalishiie yarab maumivu ninao pitiia
@shaminhaas246 Жыл бұрын
mashallahmashallah mashallah
@sakinamsafiri8660 Жыл бұрын
Ya Allah nifanyie wepesi ktk hili ninalopitia Yarrab🙏
@jumamakunje2039Ай бұрын
Ewe moraha wang kupitia hii duwa naomba niponye magonjwa yangu yote nijaliye na neema mola wang
@user-ww8fp8yn1k11 ай бұрын
Molawangu nasikiliza duahii uniondolee magonjwa uni fungulie ridhki unipe Mwisho mwema
@neemadotto2381 Жыл бұрын
Ehe mwenyewe Mungu niondolee baraha zote mbaya
@shaminhaas246 Жыл бұрын
Alhamdullilah Alhamdullilahi alhadullilahAlhadullilah Allah atusitara naafya atutakabaliye kila tunalomuomba Ameeen najamii Muslima
@reyfatlubida3950
Жыл бұрын
Mungu naomba unihonganishe mama mkwe wangu name wangu naomba Aya matatizo yapote kama upepo
@mwanamisikoba3 ай бұрын
Yarabi tufanye wepesi waja wako kila penye uzito
@ashurafundi28732 жыл бұрын
Jazakallaah🙏🙏
@sukynerally3509 Жыл бұрын
Yarab nakuomba niondolee maradhi yangu
@OmanOman-ky2oo2 ай бұрын
❤❤❤
@user-jr2ij3bm3y4 ай бұрын
Mola wangu dua hii Uniondolee mitiani ninayo pitia
@fesalali43612 жыл бұрын
Yaa Allah atupe subrah kwa kila zito atuondolee mabalaa yaliopo mbele yetu🙏atupe furaha daima idumu😂😂
Пікірлер: 90
Ewe mola wangu mbingu na Ardhi mjuzi wa Kila kitu unayejuwa tusioyajuwa.yarabi mola wamalaika wote na mola wa Arshi tukufu.Tunanakuomba YA Allahu natunakuomba Ya Latif Ya Halim Ya Kabir tutakabaliye Dua zetu.utupe nguvyu zinazotoka kwako.Amin Tunakuomba msamaha Ya Rabbi Tunakupenda Mola Wetu Mola Mlezi waulimwengu Alhadulilahi waswalla llahu ala saidi Na Muhammad S.A.W.A Nakupenda Mola wangu Mlezi
Mungu naomba nijaalie ndoa na mume mwenye iman lakin pia mjaalie mama angu maisha marefu na afya njema nipatie kipato cha alali iliniweze kumsaidia mama na familia yangu mtoto wangu fakhim akawe mtoto mwema na kuyapenda masomo yake ya dini na ya shule amin inshaallh🤲🙏
Yaa allah naomba unifanyie wepesi katika masomo yangu niweze kufaulu😭 nakutegemea ww tu yaa allah na kuomba🙏🙏
Yaa Allah tufanyie wepesi katika makazi yetu yaarabi Amiin yaarabi nawale ambao hawakazi wajalie nawao wawe namakazi yao yaarabi Amiin yaarabi ❤❤❤
Ya Allah nifanyie wepesi kwa Kila jambo langu,niondeshee dhiki na maradhi nipe furaha kwenye maisha yangu
@user-iq5dc3bj3w
2 ай бұрын
Kupitia dua hii uniondolee fikra mbovu mbovu yaraby niongeze kwa Kila jambo hapa Duniani
Yaa allah naomba uniepushe na husda na hasad za walimwengu uniepushe me na familia yangu kwa mitihan yote mibaya.
Yarabbi nifanye wepesi kwa kila jambo langu niondoshe ndoto mbaya kila siku matatizo mm na familya yangu yarabbi niondoshe insha allah ❤😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Yani kwa miaka kadhaa nikisikia duwa yoyote nakuwa kawaida ila nilipata mtihani kila ninaposikia duwa huwa inaniingia nakujikuta nikitoka machozi huku nikitamani kulia sana sana kwa mola wangu
@irenekiraraheriyanga9053
2 жыл бұрын
Rama
@mussakhamisi-tn5ft
8 ай бұрын
pole sn
Ya allha naomba unijalie afya njema na uniondolee matatizo utupe wepesi na mama angu umuondolee matatizo inshallha ❤❤
Eeh Mwenyezi Mungu naomba umponye Baba yangu mzazi apone haraka tumbo 🤲
Yarabi nashkuru kwa kila jambo Alhamdulilah naomba nipunguzie maumivu niliyonayo kupitia hii duwaa
Yaarabi tufungulie milango Yabaraka yaarabi Amiin yaarabi ❤❤❤
Yaa Allah naomba nistiri jambo langu liwe jepesi inshallah
Ya raabii kupitia Dua hii nijalie nipate mumebora aje anioe Amiin
Yaarab naomba umfanyie wepesi baba apone haraka na umuwekee ulinzi dhidi ya adui na hasad 🤲
Ya allah nifanyie wepesi kwa kila zito ninalo pitia kwa kipindi hki kigumu kwangu
Yarb niondolee kila Aina ya shida yarab nifanikiwe kila ninachofanya na unipe mwisho mwema yarab
Yarab kupitia Dua hii nakuomba Mola wangu Niweze Kulipa Madeni yangu yote Ninayo Daiwa Kwani Yananiumiza Sqna Nakuomba Ewe Mola wangu na Siku ya leo
Allah nifanyie wepesi katika biashara zangu nitakazo azisha mungu wangu nifanyie wepesi katika mangaiko yangu mungu wangu
Ewe allaah tujalie dunian na kesho akher shukran my
Ya Allah nakuomba mja wako uilinde familia yangu Kwa kila mitihan inayotufika 😢
Yarraby niondoshee maradh nilonayo na uniepushe na kila shary za walimwengu mimi na wanangu kupitia dua hii ikawe dawa inshaAllah
ya Allah nakuomba nifanyiie tahafifu katika mazito ulonipa
Yarabiiy nakuomba uniepushe nashari za ulimweng unijaalie baraka
Yaarbi nifanyie wepesi katika shida ninazo pitia yarab tupemwisho mwema
Ya Allah kupitia duwa hii niepushe na kila shali za majini na wanadam za za hili na sihili univuwe na kila ubaya nnukis anifanyie wepes kila ninalolifanya Amiiiiiin yaratwif
Yaaah Allah nijaalie kheri na baraka niondoshee Kila aina ya matatizo na unipe mwisho mwema inshaallah 🙏
Ya Allah ya Allah ya Allah Leo nipo mbele yako naomba nsaidie ya Allah 😭😭 nipe Kila lenye kheri mbele yngu 🙏🙏🙏🙏
Yaa Allah mjalie mama angu mpunfuzie mitihani ya dunian
Ya Allah nipunguzie mtihan ya duniani
YAlAbi,niondoshe,matatuzo,nilionayo,Allah,wewe,ndio,unayajua,
Ya Allah nifanyie wepesi kwenye mambo yangu na biashara zangu niondolee mikosi, nuksi uniletee neema na riziki.
Ya Allah nifanyie wepes kwa Kila jambo langu, Ya Allah niondolee matatizo yote yanayotukabili mm na familia yangu😭😭, tupndolee nuksi na mabala yote, Ya Allah tupe mwisho mwema mm na familia yangu ww ndio kimbilio langu hakuna mwingine ila ni wewe Allah 🤲
@habibabarker1644
6 ай бұрын
Yarabi nakuomba unisamehe makosa ninayoyajua na nisiyoyajua niliowakosea wanisemehe niondelee maradhi nifariji kwa yoote wasamehe wazazi wangu na ndugu waliotangulia wajalie watoto wangu rizki ya halali ndoa zenye kher
Ya Allah naomba unifanyie wepesi kwenye hii mitihani ninayopitia yarab
Mola wangu naskiliza dua hii niondolee kila wasiwas na mattz ndani ya moyo na mwili ww pekee ndo unjua tatz Lang Ya Allah (s.w)
Ee mola wangu tujalie mwisho mwema
Ya Allah naomba utu jalie mm na familiar yang yangu iliyo mbali Allah ww ndiye unae juwa kesho naomba uni jalie ni pate passport yang ni were kurdish nyumbani ni kiwa mzima na króna na familia yang yote tukiwa wazima utupe shift na uwa wazazi wants umri na Marshall marefu
Yaarab tufanyie wepes kwenye mtihan tulioonao
Ameen
nisalishiie yarab maumivu ninao pitiia
mashallahmashallah mashallah
Ya Allah nifanyie wepesi ktk hili ninalopitia Yarrab🙏
Ewe moraha wang kupitia hii duwa naomba niponye magonjwa yangu yote nijaliye na neema mola wang
Molawangu nasikiliza duahii uniondolee magonjwa uni fungulie ridhki unipe Mwisho mwema
Ehe mwenyewe Mungu niondolee baraha zote mbaya
Alhamdullilah Alhamdullilahi alhadullilahAlhadullilah Allah atusitara naafya atutakabaliye kila tunalomuomba Ameeen najamii Muslima
@reyfatlubida3950
Жыл бұрын
Mungu naomba unihonganishe mama mkwe wangu name wangu naomba Aya matatizo yapote kama upepo
Yarabi tufanye wepesi waja wako kila penye uzito
Jazakallaah🙏🙏
Yarab nakuomba niondolee maradhi yangu
❤❤❤
Mola wangu dua hii Uniondolee mitiani ninayo pitia
Yaa Allah atupe subrah kwa kila zito atuondolee mabalaa yaliopo mbele yetu🙏atupe furaha daima idumu😂😂
Yaarb nifanyie wepes Katak matatiz ninayo pitia
Amin
MashaAllah
Allahuma Amin🤲
Maisha Allah
Mashaallah
Maashaallah🤲❤
Mashaalah
jazakallah
Allahumma amiin
Mashallah
Amiin
Mashallah 🙏😘
@hidayakhamis9423
2 жыл бұрын
Y
@rehema5110
Жыл бұрын
yarab Allah niondoleshe maradhi nilio Naya amin
Mashaallaah
Allah qadiru
Amina
@fatumaramadhani2577
Жыл бұрын
Alaah atujalie Kila tuombalo.lifanikiwa
AMEN
Ramadhani Mashaallah
@irenekiraraheriyanga9053
2 жыл бұрын
Kilalaheri
Yaallanaombaumfanyiewepesibabaangukwakilajamboinshaala
🙏🙏🙏
Eee mola wetu kupitia dua hii utuondolee matatizo yote yarab
@user-hf9fh6nk6h
4 ай бұрын
Ameen thuma Ameen
@user-jh5px2xl8u
4 ай бұрын
Amin
Ya Rahman nakuomba mponye mdogowangu anaumwa muda mrefu
ya allah nijaalie afya njema niepushe na matatizo makubwa na madogo na waisilam wenzangu wot inshallah,
Ya Allah naomba nijalie Kila lenye kheri mbele yngu niondolee mabalaa na nuksi Amina inshallah 🙏🙏🙏
@ummymlali8056
Жыл бұрын
Ya Allah nakuomba uniafu na. Haya maradhi makubwa ya TUMBO
Ya Allah unifanyie wepesi kweny utafutaji wangu niondolee nuksi namabalaa nipendwe nakla mtu nijaalie maisha yngu mahusiano yngu nipate mwnye heri namm alokua mbaya muondoe abaki mzuri eeh baba ww nimueza wakila ktu naekutegemea