Yarab niondolee wasiwasi niwe na Amani kwenye utaftaji pamoja na family yangu yote na maisha yangu pia maana nko na maadui kilakona inshaa Alaah nautujalie mwisho mwema amin thuma amina 🤲🤲🙏🙏🙏
Ya Allah nifungue riziki zangu nijinasue kwenye madeni
@jumamakunje2039Ай бұрын
Ewe moraha wang kupitia hii duwa naomba niponye magonjwa yangu yote nijaliye na neema mola wang
@TatuSaidy-rr2zhАй бұрын
Mwenyezimungu atufanyie wepesim na familia yamgu
@SamiraSuleimani-yl6noАй бұрын
Allah kutokana Na mitihani tunayopitia kwa dua hii Allah tunaomba utufanyie wepesi
@muniraahmedawadhАй бұрын
Kutokana na dua hii ewe Mwenyezi Mungu niepushe na mambo mabaya yanayotaka kunifika
@HabibuDistanАй бұрын
Eeee mwenyezi Mungu niondolee mitihani inayonizunguka
@ShabaniKondo-wr1xhАй бұрын
Mwenyezimungu naomba kupitia Dua hii kuanzia asaivi mafanikio yangu yote yanifuate na niwe Salama unipe ulinzi zidi ya maadui zangu
@ShabaniKondo-wr1xhАй бұрын
Allahumma niponeshe na nibaliki mafanikio yangu yote uliyenipangia yawe kwa uwezo wako kupitia Dua hii🙏
@Tinatana-pq5rbАй бұрын
Mungu naomba nijaalie ndoa na mume mwenye iman lakin pia mjaalie mama angu maisha marefu na afya njema nipatie kipato cha alali iliniweze kumsaidia mama na familia yangu mtoto wangu fakhim akawe mtoto mwema na kuyapenda masomo yake ya dini na ya shule amin inshaallh🤲🙏
@TabuMangaАй бұрын
Ewe mwezi mungu kwa uzito wa dua hii naomba unichungie watoto wangu mahali popote na iwalinde kwa kila lililo baya napia naomba uwainue amin
@Lulu-wt9ddАй бұрын
Yarrab jaalia Kwa Dua hii hasad zote ziwe mbali na Mimi nifungulie milango ya her na unipe mwisho mwema ya hallah Amin🤲
@MwanamkuuMumbeАй бұрын
Maashaallar Alhamdullillah❤
@user-sw6uo6rv6jАй бұрын
Na afya ya na familia yngu
@user-sw6uo6rv6jАй бұрын
Yaa rabi nifanyie wepec ktka mwili wngu imani yangu uhai wangu rizki yangu na maisha yngu
@user-ws1he4ev9n2 ай бұрын
Inshallah kupitia Dua hii mwenyezi mungu naomba uniondoshe matatizo yote Amen
@maulidimpoto-sc3lc2 ай бұрын
Ee mola wangu tujalie mwisho mwema
@maulidimpoto-sc3lc2 ай бұрын
Yaallah nakuomba unionyeshe njia sahihi
@ChidiTz2 ай бұрын
Ya Allah naomba uniondolee kila haina ya nuksi iliopo mwilini mwangu naomba unijalie kheri🤲
Пікірлер
Yarab niondolee wasiwasi niwe na Amani kwenye utaftaji pamoja na family yangu yote na maisha yangu pia maana nko na maadui kilakona inshaa Alaah nautujalie mwisho mwema amin thuma amina 🤲🤲🙏🙏🙏
Allahummamiin
Ameen.
ʸᵃʳᵃᵇⁱ ⁿⁱᶠᵃⁿʸⁱʸᵉ ʷᵉᵖᵉˢⁱ ᵏʷᵃ ᵏⁱˡᵃ ʲᵃᵐᵇᵒ ˡᵃⁿᵍᵘ ⁿⁱᵒⁿᵈᵒˡᵉʸᵉ ᵐᵃʳᵃᵈʰⁱ ᵉᵉʰ ᵐᵘⁿᵍᵘ 😭😭😭😭ⁿⁱᶠᵘⁿᵍᵘˡⁱʸᵉ ⁿʲⁱᵃ ᶻᵃⁿᵍᵘ
ewee mola wang muepushe baba angu maladh alionayo kunzia kichwan had kweye unyao🙏
Allahmdhulilai Allah atujalie mwisho mwema yarabi ww ndiwe ngao yetu ya leo paka akhera
Mola wangu nijalie mume alie sahihi katika maisha pia mpe uhai na maisha marefu mama yangu na baba yngu wape afya njema watt wngu
Kupitia Dua hii naomba Mwenyezi Mungu anifanyie wepesi
Yaa Allah nakuomba kwabaraka zako na kwa Dua hi mludishe mpe mkewangu ufahamu anipende kwa kila haliyangu
Nakuomba Allah kwadua hi mkewangu Alie nikimbia basi aludi mwenyewe kwa baraka zako allah
ya Allah naomba nifungulie milango ya rizki na biashara yangu ipate wateja kupndwa na kuthaminiwa,niondolee nafsi ya uchungu ndani yangu Amiin
Allah kupitia hii dua nitimizie malengo yangu Allahumma amin
Amiin mungu atujalie atuondoshee mikosi nuks hasada kupitia dua hii tunayoosikiliza kwa sote ishalla na msomaji kila la kheri
Namxhukuru Allah tangu niskize dua hii nalala sioti ndoto mbya mungu akuzishie ❤❤❤❤❤❤❤
Amiin
Ya Allah,kupitia dua hii naomba unifanyie wepesi masuala yangu ya kazini yapate suluhisho,kwani kwa hakika lkwako hakuna linaloshindikana 4:26
Eeeeh yarab niepushie mitihan😭😭😭🤲
Amini,amini,yalabi
Allah,nami,naomba,unitendee,yanayonisibu
YAlAbi,niondoshe,matatuzo,nilionayo,Allah,wewe,ndio,unayajua,
Ya Allah nifungue riziki zangu nijinasue kwenye madeni
Ewe moraha wang kupitia hii duwa naomba niponye magonjwa yangu yote nijaliye na neema mola wang
Mwenyezimungu atufanyie wepesim na familia yamgu
Allah kutokana Na mitihani tunayopitia kwa dua hii Allah tunaomba utufanyie wepesi
Kutokana na dua hii ewe Mwenyezi Mungu niepushe na mambo mabaya yanayotaka kunifika
Eeee mwenyezi Mungu niondolee mitihani inayonizunguka
Mwenyezimungu naomba kupitia Dua hii kuanzia asaivi mafanikio yangu yote yanifuate na niwe Salama unipe ulinzi zidi ya maadui zangu
Allahumma niponeshe na nibaliki mafanikio yangu yote uliyenipangia yawe kwa uwezo wako kupitia Dua hii🙏
Mungu naomba nijaalie ndoa na mume mwenye iman lakin pia mjaalie mama angu maisha marefu na afya njema nipatie kipato cha alali iliniweze kumsaidia mama na familia yangu mtoto wangu fakhim akawe mtoto mwema na kuyapenda masomo yake ya dini na ya shule amin inshaallh🤲🙏
Ewe mwezi mungu kwa uzito wa dua hii naomba unichungie watoto wangu mahali popote na iwalinde kwa kila lililo baya napia naomba uwainue amin
Yarrab jaalia Kwa Dua hii hasad zote ziwe mbali na Mimi nifungulie milango ya her na unipe mwisho mwema ya hallah Amin🤲
Maashaallar Alhamdullillah❤
Na afya ya na familia yngu
Yaa rabi nifanyie wepec ktka mwili wngu imani yangu uhai wangu rizki yangu na maisha yngu
Inshallah kupitia Dua hii mwenyezi mungu naomba uniondoshe matatizo yote Amen
Ee mola wangu tujalie mwisho mwema
Yaallah nakuomba unionyeshe njia sahihi
Ya Allah naomba uniondolee kila haina ya nuksi iliopo mwilini mwangu naomba unijalie kheri🤲
Mashallah allahuma ameen 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Yaallah,kupitiadua,hi,naomba,uniondoshee,matatuzo,nilionayo
Amina
Yarabiiy nakuomba uniepushe nashari za ulimweng unijaalie baraka
Maashaallar
Yarabi nashkuru kwa kila jambo Alhamdulilah naomba nipunguzie maumivu niliyonayo kupitia hii duwaa
Ya Allah ndio ngao yangu na watoto wangu ndugu zangu utulinde kama unavolinda usiku na mchana husda uchawi
Ya rabbi tunaomb mwisho mwema utusameh zambi zetuu utupony maradhi yote amiin
Yarab kupitia Dua hii nakuomba Mola wangu Niweze Kulipa Madeni yangu yote Ninayo Daiwa Kwani Yananiumiza Sqna Nakuomba Ewe Mola wangu na Siku ya leo
Kupitia Dua hii yarab Naomba nifanyie Wepesi madeni Yangu yote niyalipe na nipate faraja Katika Maisha Yangu Yaliyo baki
TUKUBALIE 😔😔😔🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲
AAMIIN AAMIIN YAARABBIL AALAMIIN TUKUNALIE WAJA WAKO DHAIFU KWAKO