Nilikuwa na tatizo la kimahakana nimekesha na Dua hii Wallah nimefika tu mahakamani kesi yangu ikaisha bila mie kuhusishwa na chochote. Tumuamini Allah kwa Kila jambo
@JamilaMponda-ro5pb
4 ай бұрын
Hakika mwenyezimungu ni mkubwa
@user-xl5zd6dz5c Жыл бұрын
Ya Allah kupitia dua hii naomba unifanyie wepesi katika utafutaji wangu na unifungulie riziki zangu amen
@alphoncymatara5108
7 ай бұрын
Amiin 🤲🏽
@MerryRenatus-ck4lz
2 ай бұрын
Àmin
@gggsaaa5826 Жыл бұрын
YAARRAB tujaalie mwisho mwema na utufanyie wepesi kwa kila palipo na uzito amiin YAARRAB 🤲
@alphoncymatara51087 ай бұрын
Ya Allah nakuomba rehema zako juu ya maisha yangu na na familia yangu ,pia wapunguzie adhabu ya kaburi wazazi wangu na kunijalia mwisho mwema juu ya maisha yangu na kazi yangu ya Allah nakugemea kwa kila Jambo juu ya maisha yangu ya Allah 🤲🏽 nakuomba unisikie
@yusufmarutt6081 Жыл бұрын
Kutokana na uzito wa Dua hii ewe Allah naomba uniepushe na Kila naina na mitihani na misuko suko inayo niandama kwenye maisha yangu na kwenye mwili wangu Amiiiin, niondoshee magonjwa yote yanayonisumbua kwenye mwili wangu na kwenye tumbo langu Amiiin Amiiiin Amiiin
@naimarasheed58572 жыл бұрын
Allah Kareem Mungu atuepushe na mitihani ya kila siku Amiina yarabi 🙏😘
@khamzamgandi9523 жыл бұрын
Ya Allah tusamehe makosa ya siri na dhahiri. Amiin tujalie maisha mema. Mpaka mwisho. Utakapo chukuwa mja wako awe n mwenye kumjuwa mungu amiin
@mahmoodalghefeili5370
3 жыл бұрын
AMIINAAA🙏🙏🙏
@sheikhasalimhilali7228
3 жыл бұрын
Ameeeen 👏👏
@nirrahtyseiph4774
2 жыл бұрын
Ameen
@nuruyusuph556210 ай бұрын
Yaa ALLAH kupitia dua hii nakuomba uniondolee maradhi yote yanayo nisumbua mimi na mama yangu utujahalie heri na salama utuepushe na kila aina ya mabalaa 🤲
@cpasalma15323 жыл бұрын
yarrab jaalia kwa dua hii hasad zote ziwe mbali nasi amin yarrab
@bellbell92943 жыл бұрын
Aamiin yaraab Aamiin ya Allah tujaalie nakila lenye kher nautuepushe nakila lenye Shari ss waja wako dhaifu nautujaalie mwisho mwema sote Aamiin jazaka Allahu khair
@IMRANSTORIES136
3 жыл бұрын
Aamiin
@mk-ed5py
3 жыл бұрын
Amiiin
@adelinejuma1692
3 жыл бұрын
Amiin
@loveneselia3070
3 жыл бұрын
Amina
@salmatanzanya1900
2 жыл бұрын
Allahumma amin
@tausihasheem50513 жыл бұрын
Yarabi ninusur na maradhi yawe madogo madogo na ata makubwa makubwa... Inshallah 🤲🤲🤲
Nakuomba mwenyez mungu uniwekee wepesi katika yote yenye uzito insha'Allah 🙏
@paulinacherement2534
2 жыл бұрын
AMIIIN ya RABBI AMIIIN
@AlhajiAmiri-us1tw
Жыл бұрын
Ya Allah tufanyie wepesi kwa dua hii kila lililo zito Inshalla tufanyie wepesi tuweze kufanikuwa
@marthaedsoni4395
Жыл бұрын
Allah nikinge na adui zangu niondolee mabaya yote ambayo apo juu yangu Kila jambo baya liniepuke unipe afya nje mim na familia yang watoto na mme wang anae niombea mabaya yamludie yeye amin inshallah
@MerryRenatus-ck4lz
2 ай бұрын
Inshaalah amini🙏
@liylahahmed8299 ай бұрын
Yaa Allah kupitia hii dua naomba uniondole kila matatizo moyoni mwangu InshAllah nipe kila la kheri la la furaha Amiin amiin InshAllah
@shamimujumanne52673 жыл бұрын
Ya Allah tujalie kheri duniani na mwisho mwema amiiin 🙏
@amirdani9776
3 жыл бұрын
Allaahumma Aamiin
@yusraswalah4734
3 жыл бұрын
Amin
@loveneselia3070
3 жыл бұрын
Amin
@khairatsaleh2582
2 жыл бұрын
Thuma amin
@sophiahasani8915
Жыл бұрын
amiin
@jasminmsafiri3053 Жыл бұрын
Ya rabbi niponye na niondolee kila shida ktk mwili wangu nipe afya njema nilinde me na watoto wng familia yng ndoa yng 2pe amani na furaha amiiin
@nadiaharimenshi9075 Жыл бұрын
Yaa Allaah yifanye Dua hiyi kuwa ni suluhisho kwa Kila mitihani tulio nayo ya maradhi na utuondoley ugumu wa maisha utupe afya njema sisi nawanetu na familia zetu tufunguwe vifungo tulivyo fungwa natusio wafahamu ya Allaah Kila kwenye zito tuwekey wepesi Allaah,Amin amini amin
@zachamohamed9389
Жыл бұрын
Allahuma amin 🙏
@madamepink7
Жыл бұрын
Ameen Yah Allah pokea dua zetu na utu jahalie kila penye ugumu inshallah 🙏❤
@omarysaidi55474 жыл бұрын
Amina Allah atujaalie wote tunoisikiliza dua hii
@amirdani9776
3 жыл бұрын
Allaahumma Aamiin
@yri99hrjrjiii74
3 жыл бұрын
Ameen thuma Ameen 🙏
@mwajumaantony4628
3 жыл бұрын
Amiin
@IMRANSTORIES136
3 жыл бұрын
Aamin ya rabb aamiin
@aniaseif8782
3 жыл бұрын
Aamin yarabby
@nasrybinahmad42456 ай бұрын
Allah(sw) naomba kupitia dua hii iniponye maradhi yangu nisimame na kutembea tena Ameen
@mwajumaantony46283 жыл бұрын
Ya Allah tujlie mwisho mwema
@user-hr6hp8rr4u10 ай бұрын
Yaaah ALLaH nakuomba kwa uzito wa dua hii niondolee Lila mitihani kwenye maisha yangu Amiin
@moshiraelqady95133 жыл бұрын
Ameen yaa allah tusamehe makosa yetu
@mwanaamir93553 жыл бұрын
Kutokana na mitihani tuyapitia eeh Allah kwa uzito wa dua hii naomba utupanyie wepesi ...Amiin
@mk-ed5py
3 жыл бұрын
Amin Kwa sote
@yusraswalah4734
3 жыл бұрын
Amin
@muumchina7679
3 жыл бұрын
Amin
@shukranechimale2722
3 жыл бұрын
Amin
@kamisiabdul4833
3 жыл бұрын
@@shukranechimale2722 amin
@zubedaangomwile974 Жыл бұрын
Yaaah ALLAH nakuomba unisaidie katika tabu anayopitia mdogo wangu atuna msaada zaidi yako ALLAH 😢😢
@Lulu-wt9ddАй бұрын
Yarrab jaalia Kwa Dua hii hasad zote ziwe mbali na Mimi nifungulie milango ya her na unipe mwisho mwema ya hallah Amin🤲
@rahmahussein128211 ай бұрын
Amini mwenyez mungu atupe afya njema kwa binadam wote aniondolee haya matatiz nilokua nayo anijaalie nipone kichwa na nikifika kzn nisiumwe na kitu chochote kile nifanye kaz zang vizur🤲
@natashasaidy. Жыл бұрын
Allah nijaalie mema mja wako niondolee maradhi nipe hitaji la moyp wangu kupitia dua hii yarabby🙏
@user-mo3jg1ru4e Жыл бұрын
Allah atufanyie wepesi kwa kila jambo ,amen🙏
@ukhtyhalimaismailbakari49313 жыл бұрын
Amiin Yarrab Allah atujaalie mwisho mwema yarrab 🙏 🙏
@MerryRenatus-ck4lz2 ай бұрын
Kupitia dua hii Ee Mwenyezi Mungu nakuomba tufanyie wepesi katika kila zito tufungulie milango ya rizki na baraka Amini🙏
@mwanakhatibu37223 жыл бұрын
Amiin yarrabi kila penye uzito kwangu nifanyie wepes mja wako
@alisanze9682
3 жыл бұрын
Allahumma amiin
@marryleganga878712 күн бұрын
Kupitia Dua hii naomba Mwenyezi Mungu anifanyie wepesi
@ommydizzo9025 Жыл бұрын
Ya allah naomba unijaalie afya njema mimi na kizazi chetu inshallah amiini🙏
@@amirdani9776 asalam alaikum I need prayers my brother
@amirdani9776
3 жыл бұрын
@@mariamsfamily482 Wa'aleykum Salaam Warahmatullahi Wabarakatuh. Tunamuomba Allaah Akuondolee kila aina ya maradhi na kila aina ya uchawi unaofanyiwa na kila aina ya mazito ulionao na Akupe kila ulitakalo lenye Kheir na wewe. Ameen
@loveneselia3070
3 жыл бұрын
@@amirdani9776 amin
@loveneselia3070
3 жыл бұрын
Amin
@TabuMangaАй бұрын
Ewe mwezi mungu kwa uzito wa dua hii naomba unichungie watoto wangu mahali popote na iwalinde kwa kila lililo baya napia naomba uwainue amin
@jasminhassan7226 Жыл бұрын
Ya Allah nifanyie wepesi kwa Kila gumu ninalopitia namitihani yote ya kidunia nijalie afya Mimi pamoja na familia yangu amiin
@hijatyseleman59684 жыл бұрын
Amin ya allah utuponye wajawako
@amirdani9776
4 жыл бұрын
Allaahumma Amiin
@mk-ed5py
3 жыл бұрын
Amiin
@mesaidisuleimaninyemia6333
3 жыл бұрын
Ewe mola tupe furaha hapa duniani na kesho ahera inshallah 🙏🙏🙏🙏🙏
@saidmasika87383 жыл бұрын
ya Allah nipe mema duniani na kesho haera na kizazi changu
@ibrahimtuwa86032 жыл бұрын
Ya Allah Niponye na Nikinge na Kila Aina ya Ubaya Kutoka Kwa Kiumbe Cha Aina Yoyoye, Ya Allah Nijaalie Afya Njema Mimi na Watoto Wangu na Familia Yangu Yote Kwa Ujumla, Ya Allah Nijaalie Rizki Ya Halali itakayoweza Kuendesha Maisha Yangu Mimi na Familia Yangu, Ya Allah Nijaalie Mafanikio Katika Maisha Yangu, Ya Allah Ninasue Katika Kila Aina Ya Vifungo na Mitego Mibaya, Ya Allah Niondoshee Nuksi na Mikosi Mbali Mbali inayoniandama Katika Maisha Yangu, Ya Allah Niepushe na Magonjwa Mbalimbali Mimi na Watoto Wangu na Familia Yangu.
@aminarashidi54
2 жыл бұрын
In shaalah
@paulinacherement2534
2 жыл бұрын
AMIIIN ya RABBI AMIIIN
@shamimwabuke5379
2 жыл бұрын
Amiin ya Allah amiin
@ummimohamed2148
Жыл бұрын
Ameen yarrabilalamin
@sirajiabdulichaneli310
Жыл бұрын
Amin
@user-zi9dl9iw3y3 күн бұрын
Yarab niondolee wasiwasi niwe na Amani kwenye utaftaji pamoja na family yangu yote na maisha yangu pia maana nko na maadui kilakona inshaa Alaah nautujalie mwisho mwema amin thuma amina 🤲🤲🙏🙏🙏
@ShabaniKondo-wr1xhАй бұрын
Allahumma niponeshe na nibaliki mafanikio yangu yote uliyenipangia yawe kwa uwezo wako kupitia Dua hii🙏
@Captainkiss10003 ай бұрын
Ya allah unajua yanayo nisumbua na ninayo yahitaji unajua yatakayo nikakwaza na kunikwamisha unajua wabaya wangu na unajua shida zangu ya llah unajua magonjwa yangu na ugumu wa maisha yangu kwa ujumla bas nakuomba kwa dua hii nnayo isikiliza inavyo soma usiku huu ikawe dawa kwa kila baya nililonalo na litakalo kuja na unijaalie yote yalomema na unipe kinga ya kila kitu mpaka mwisho wa maisha yangu unijaalie mwisho mwema mimi na kizazi changu na wazazi wangu na ndugu zangu Hakuna kinacho kushindana upo juu ya kila kitu ndomana tunakuomba wewe ya allah jaalia Allahumma aamiin kwa baraka zatume wetu muhammad swalallahu aleihi wa alihi wa salaam
@nasraamour59192 жыл бұрын
Amiin yarab namuomba uniondoshe katika haya matatizo naomba unipe Amani ya nafsi yarrab naomba niongoze katika njia sahihi ya kukutukuza ww
@user-tr8on1yf5s2 ай бұрын
Kupitia Dua hii yarab Naomba uniondoshee Vifungo nuksi mikosi na Madeni yote , Na pia Yule Nisie mtaka Niweke Mbali nae Ameena
@asminasmin43273 жыл бұрын
Amiin....InshaaAllah Allah atujalie mwisho mwema
@user-cj3rt7eb1c2 ай бұрын
Ya rabbi tunaomb mwisho mwema utusameh zambi zetuu utupony maradhi yote amiin
@mohamedmack54503 жыл бұрын
Allah humma ri hamnii irahmatka yaa arhama rrahmii
@MaryumAbdul-ub4ip9 ай бұрын
Yaa Allah nijaalie mimi na familia yngu ktk uongofu,ns utukinge na mabalaa yote,tulinde na shari za viumbe vyako kwa dua hii,allahumma amiin
@saidsuleiman74734 жыл бұрын
Ya Allah tujaalie mwisho mwema
@amirdani9776
4 жыл бұрын
Amin
@esmahnguzo8448
3 жыл бұрын
Inshaallah
@sameeranassir3127
3 жыл бұрын
Inshaallah 🙏
@ZainaChida17 күн бұрын
ya Allah naomba nifungulie milango ya rizki na biashara yangu ipate wateja kupndwa na kuthaminiwa,niondolee nafsi ya uchungu ndani yangu Amiin
@mk-ed5py3 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu tuondoshee maradh tupe afya njema,Amin
@user-le2qc2qv1l6 ай бұрын
Allah kupitia dua hii Naomba nifanyie wepesi kwa kila jambo nikinge na maradhi na husda Amen inshallah 🙏🙏🥹🥹🥹
@isalushadia45344 жыл бұрын
Mashaallah mashaallah mwenyezi mungu atuepushe na matatizo
@amirdani9776
4 жыл бұрын
Amin
@jamalhamad2132
3 жыл бұрын
Amin
@ghalibseiban
3 жыл бұрын
Ameen
@cpasalma1532
3 жыл бұрын
amin thuma amin
@paulinacherement25342 жыл бұрын
AMIIIN ya alltujaalie istighfaari na shahada mwisho wa umauti inshallah AMIIIN
@salmaally22522 жыл бұрын
Yarabi kupitia dua hii tunusuru nakilashari na hasad yaraby, tujaalie afya njema utujaalie umri wenye manufaa sisi na vizazi vyetu ya Allh ,utuondoshee uzito katika nafsizetu navifua vyetu yarabi ,utujaalie husnul hatima yarabi.
@BakariMussa-to2me16 күн бұрын
Nakuomba Allah kwadua hi mkewangu Alie nikimbia basi aludi mwenyewe kwa baraka zako allah
@takyatupu68395 жыл бұрын
Allahumma ameen 🤲
@malikichamalama3903
4 жыл бұрын
Takya Takiya mambo Takiya Nakuomba nitumie Namba zako za Simu
@iddyramadhani2512
3 жыл бұрын
Mambo
@mesaidikazungu42993 ай бұрын
Ya Allah nakuomba dua hii iwe ndio mwisho wa matitizo yetu tunayo yapitia na ituondolee changa moto za maisha yetu ktk dunia hii na kesho akhera. 🤲🤲
@mohamedally71002 жыл бұрын
Ameen Nakuomba mwenyezi mungu unifanyie wepesi kila ninalo kuomba la khery unijalie uzidi kuniongoza ktk ibada na yenye mema
@ramadhanjuma9450 Жыл бұрын
We mwenyezi mungu nifanyie wepesi katika kazi yamikono yangu nauwalinde wazaziwangu wotewamili 🤲🤲
@nuriatintandu2542 жыл бұрын
Eewe mola wetu twakuomba utuondolee viging vya hapa na pale na utuepushe na mabaya yote na utujaalie maisha mema na mwisho mwema yaallha twakuomba utujaalie yalomema🙏🤲🤲
@mwantumjaff25892 жыл бұрын
Amiin ya RABBY, nakuomba niondoshee huzuni, husda na maradhi ktk mwili wngu 🤲🏼🙏🏻
@sophiahasani8915
Жыл бұрын
amiin inshaallha
@user-sw6uo6rv6jАй бұрын
Yaa rabi nifanyie wepec ktka mwili wngu imani yangu uhai wangu rizki yangu na maisha yngu
@sultanmgaya1419 Жыл бұрын
Yarabih nakuomba ni nusuru na kila aina ya matatzo yanayonikumba 🙏🏼
@sabrinaibrahim5064 Жыл бұрын
Ya allah nikinge na maradhi niondelee matatizo yote niepushe na shari za walimwengu inshaallah
@jacklinsalim26543 жыл бұрын
Hee mwenyez mungu naomba unisamehe maovu yangu yote naomba unifungulie milango yangu yote Allah nifanyie wepes kwa maitaj yangu 🙏
@BakariMussa-to2me16 күн бұрын
Yaa Allah nakuomba kwabaraka zako na kwa Dua hi mludishe mpe mkewangu ufahamu anipende kwa kila haliyangu
@ramadhanochaya974 жыл бұрын
Allah atujalie sote walimwengu
@amirdani9776
4 жыл бұрын
Amiin
@mk-ed5py
3 жыл бұрын
Amin
@zakiahole6871 Жыл бұрын
Namuomba Mwenyezi Mungu amufanyie wepesi baba angu apone haraka tumbo linalomsumbua pamoja na kumuwekea ulinzi wa hali ya juu dhidi ya adui
@bahatikiwayi88086 ай бұрын
Yaarrab tujaalie mwisho mwema na utufanyie wepesi Kwa Kila palipo na uzito amin yaarrab
@zainabusaidy36143 жыл бұрын
Allahumma amin🙏
@NeemaMpelengana-ws9rn8 ай бұрын
hee mwenyezi mungu niepushe na kira baya nipe maisha marefu niwaree wanangu ameen
Ee mwenyezi mungu niondolee husida nifanyie wepesi katika kilahakatizangu Amina
@abeydalsheraw20163 жыл бұрын
Amiin amiin Allah tusamehe makosa yetu na tuondoshee na mazilla yote ya dunia na tupe mwisho mwema
@aishaally4632 жыл бұрын
Mwenyezi mungu naomba unifanyie wepesi kwenye kila jambo Zito liwe jepesi inshallah
@ashurafundi28732 жыл бұрын
Nakuomba mwenyez mungu niondolee matatizo yote yanayoumiza moyo wangu🙏
@meresiarwekaza60423 жыл бұрын
Amin ya ALLAH...hakuna mbora kuliko wewe YA RAABI
@SamiraSuleimani-yl6noАй бұрын
Allah kutokana Na mitihani tunayopitia kwa dua hii Allah tunaomba utufanyie wepesi
@nazminshiraz4579 Жыл бұрын
ya allah niponye naunikinge naubaya wa aina yoyote kutoka kwa waja mimi nawatoto wangu nafamilia yangu yarabby
@rashdamsuya7792 Жыл бұрын
Allah nifanyie wepec kwa Kila zito kwangu nipe afya njema Mimi pamoja na familia yangu nikinge na husda na Kila sharii eeeeeh mola wangu nifanye niwe wakukushukuru kwa Kila ninalopitia.aamin see
@muniraahmedawadhАй бұрын
Kutokana na dua hii ewe Mwenyezi Mungu niepushe na mambo mabaya yanayotaka kunifika
@idrisaabdallah29493 жыл бұрын
Amin Allah utuondolee mitihan na utujaalie tuwe waja wema kwako amiin
@ChidiTz2 ай бұрын
Ya Allah naomba uniondolee kila haina ya nuksi iliopo mwilini mwangu naomba unijalie kheri🤲
@tchale2662 жыл бұрын
Heee mwenyezi mungu akuna alie Juu ya kila Kitu duniani au muamuzi zaidiako ya allah tusameee makosa yatu kweli Sisi tuwakosefukwa mwenyezi mungu nakuomba Kwa wakati huu mugumu nijalie uhuru Wa roho na nafsi yangu baba angalia familia uliyo nipa mungu nakuomba wanusuru nauwafari katika matatizo ayaa ambayo solution ni kwakotu yarabii tunakuomba natuna imanikuwa utatusikia mungu Wetu ameen🙏🙏🙏😭😭😭
@egmegm62022 жыл бұрын
Yaa allah nifanyie wepesi katika masomo yangu niepushe nakupata matokeo mabaya nijaalie niweze kufaulu na kuntolea kipingazi chochote katika masomo yangu
@sameeranassir31273 жыл бұрын
Nakuomb mungu unfanyie wepes kwny kila Zito inshaallah 🙏
@ismailysaidy45733 жыл бұрын
Allah tusaudie kutuondolea balaa na nuks msongo wa mawazo na vifanyie upes viumbe vyote ulivyo viumb
@user-eq3mb3rp8h4 ай бұрын
Ya Allah kupita dua hii unifanyie wepesi kwenye maisha yang
@mudymbarouk82792 жыл бұрын
Ameen Tunamuomba M/mungu atujalie afya njema na atuondolee maradhi
@teddyoscarkasubi59273 жыл бұрын
Ya Allah nisameheme makosa yangu, Ya Allah mzindue mwanangu ajitambue aachane na mambo yake yasiokupendeza wewe mola wetu, mtoe kiumbe wako kwenye kiza kama ulivyomtoa Nabii AYUB KUTOKA KWENYE TUMBO LA PAPA YARAABY, KWA UFALME WAKO NA REHMA ZAKO KILA KITU KINAWEZEKANA AMEEN, TUJAALIE KHERI, TUONDESHEE MARADHI NA HUSDA NA UTUFUNGULIE YALIO NA KHERI KWETU AMEEN, YA ALLAH NIJAALIE MWISHO MWEMA NA UNIFANYIE WEPESI KWENYE YOTE YENYE UZITO AMEEN INSHAALLAH.
@jeanbb13853 жыл бұрын
Ameen Ameen Ee Mwenyezi Mungu nisaidie mimi mkosaji
@user-sq8pq1xj7m2 жыл бұрын
Yaraabi nakuomba niondoshee hii homa unjalie nipate nafuu kwa haraka maana naumwa sana Ewe Yaraabi nisaidie maana wewe ndiwe unae ona mimi sioni nakuomba kwa imani yangu yote Ameeen insha'Allah
@athumankassim78013 жыл бұрын
Allahumma Eee! M/mungu niondolee maladhi yang kwa dua hii
@amirdani9776
3 жыл бұрын
Allaahumma Aamiin
@fadinaabdul36272 жыл бұрын
Allah nakuomba utujalie afya njema Mimi na family yangu ewe Allah nakuomba utuepushe na kila fedhea za duniani ewe Allah nakuomba utufungulie milango ya ridhiki utuondeshee ufukala ewe Allah nakuomba utujaalie amani na upendo Mimi na family yangu ewe Allah nakuomba utuondeshee chuki baina yetu ewe Allah nakuomba utujaalie mwisho mema inshallah amiiina
@ashuraduguda99932 жыл бұрын
Amini ewe mwenyezi mungu nisamehe Mimi mkosefu nikinge na kilabaya nijaalie mwisho mwema amin
@saidkingazi12892 жыл бұрын
Inshaallah, Ya Allah tusamehe makosa yetu, tujalie neema na tuepushe na mabaya. Amein
@AminaYahaya-l4z8 күн бұрын
ewee mola wang muepushe baba angu maladh alionayo kunzia kichwan had kweye unyao🙏
@muddymuddy450110 ай бұрын
Kwa Dua hii ya Allah naomba unisaidie nipate kazi huku ni endako unifungulie milango yenye baraka na uniondolee nuksi na mikosi na unikinge na ubaya wowote utakao jitokeza mbele yang naomba unikinge mm pamoja na familia yang naomba pia ninapotoka hapa kwenda kutafuta kazi naomba nifanikiwe na uniongoze kakta njia ilio sa hihi ya alla naomba nipate rizki isiokuwa na mtihan ya Allah nina Iman hii dua mpaka sasa imeshajibiwa na nnapokwenda ntakutana na baraka zako ya allah na dua hii nna Iman imefka.inshaallah.
Пікірлер: 565
Nilikuwa na tatizo la kimahakana nimekesha na Dua hii Wallah nimefika tu mahakamani kesi yangu ikaisha bila mie kuhusishwa na chochote. Tumuamini Allah kwa Kila jambo
@JamilaMponda-ro5pb
4 ай бұрын
Hakika mwenyezimungu ni mkubwa
Ya Allah kupitia dua hii naomba unifanyie wepesi katika utafutaji wangu na unifungulie riziki zangu amen
@alphoncymatara5108
7 ай бұрын
Amiin 🤲🏽
@MerryRenatus-ck4lz
2 ай бұрын
Àmin
YAARRAB tujaalie mwisho mwema na utufanyie wepesi kwa kila palipo na uzito amiin YAARRAB 🤲
Ya Allah nakuomba rehema zako juu ya maisha yangu na na familia yangu ,pia wapunguzie adhabu ya kaburi wazazi wangu na kunijalia mwisho mwema juu ya maisha yangu na kazi yangu ya Allah nakugemea kwa kila Jambo juu ya maisha yangu ya Allah 🤲🏽 nakuomba unisikie
Kutokana na uzito wa Dua hii ewe Allah naomba uniepushe na Kila naina na mitihani na misuko suko inayo niandama kwenye maisha yangu na kwenye mwili wangu Amiiiin, niondoshee magonjwa yote yanayonisumbua kwenye mwili wangu na kwenye tumbo langu Amiiin Amiiiin Amiiin
Allah Kareem Mungu atuepushe na mitihani ya kila siku Amiina yarabi 🙏😘
Ya Allah tusamehe makosa ya siri na dhahiri. Amiin tujalie maisha mema. Mpaka mwisho. Utakapo chukuwa mja wako awe n mwenye kumjuwa mungu amiin
@mahmoodalghefeili5370
3 жыл бұрын
AMIINAAA🙏🙏🙏
@sheikhasalimhilali7228
3 жыл бұрын
Ameeeen 👏👏
@nirrahtyseiph4774
2 жыл бұрын
Ameen
Yaa ALLAH kupitia dua hii nakuomba uniondolee maradhi yote yanayo nisumbua mimi na mama yangu utujahalie heri na salama utuepushe na kila aina ya mabalaa 🤲
yarrab jaalia kwa dua hii hasad zote ziwe mbali nasi amin yarrab
Aamiin yaraab Aamiin ya Allah tujaalie nakila lenye kher nautuepushe nakila lenye Shari ss waja wako dhaifu nautujaalie mwisho mwema sote Aamiin jazaka Allahu khair
@IMRANSTORIES136
3 жыл бұрын
Aamiin
@mk-ed5py
3 жыл бұрын
Amiiin
@adelinejuma1692
3 жыл бұрын
Amiin
@loveneselia3070
3 жыл бұрын
Amina
@salmatanzanya1900
2 жыл бұрын
Allahumma amin
Yarabi ninusur na maradhi yawe madogo madogo na ata makubwa makubwa... Inshallah 🤲🤲🤲
Nakuomba yaa rabbi niondolee maradhi yanayonikabili naamini hakuna kubwa kwk... Amin😪
@saumuhassan3796
3 жыл бұрын
Ammina
@samahamin7787
3 жыл бұрын
Ameen yarab
@loveneselia3070
3 жыл бұрын
Amiin
Nakuomba mwenyez mungu uniwekee wepesi katika yote yenye uzito insha'Allah 🙏
@paulinacherement2534
2 жыл бұрын
AMIIIN ya RABBI AMIIIN
@AlhajiAmiri-us1tw
Жыл бұрын
Ya Allah tufanyie wepesi kwa dua hii kila lililo zito Inshalla tufanyie wepesi tuweze kufanikuwa
@marthaedsoni4395
Жыл бұрын
Allah nikinge na adui zangu niondolee mabaya yote ambayo apo juu yangu Kila jambo baya liniepuke unipe afya nje mim na familia yang watoto na mme wang anae niombea mabaya yamludie yeye amin inshallah
@MerryRenatus-ck4lz
2 ай бұрын
Inshaalah amini🙏
Yaa Allah kupitia hii dua naomba uniondole kila matatizo moyoni mwangu InshAllah nipe kila la kheri la la furaha Amiin amiin InshAllah
Ya Allah tujalie kheri duniani na mwisho mwema amiiin 🙏
@amirdani9776
3 жыл бұрын
Allaahumma Aamiin
@yusraswalah4734
3 жыл бұрын
Amin
@loveneselia3070
3 жыл бұрын
Amin
@khairatsaleh2582
2 жыл бұрын
Thuma amin
@sophiahasani8915
Жыл бұрын
amiin
Ya rabbi niponye na niondolee kila shida ktk mwili wangu nipe afya njema nilinde me na watoto wng familia yng ndoa yng 2pe amani na furaha amiiin
Yaa Allaah yifanye Dua hiyi kuwa ni suluhisho kwa Kila mitihani tulio nayo ya maradhi na utuondoley ugumu wa maisha utupe afya njema sisi nawanetu na familia zetu tufunguwe vifungo tulivyo fungwa natusio wafahamu ya Allaah Kila kwenye zito tuwekey wepesi Allaah,Amin amini amin
@zachamohamed9389
Жыл бұрын
Allahuma amin 🙏
@madamepink7
Жыл бұрын
Ameen Yah Allah pokea dua zetu na utu jahalie kila penye ugumu inshallah 🙏❤
Amina Allah atujaalie wote tunoisikiliza dua hii
@amirdani9776
3 жыл бұрын
Allaahumma Aamiin
@yri99hrjrjiii74
3 жыл бұрын
Ameen thuma Ameen 🙏
@mwajumaantony4628
3 жыл бұрын
Amiin
@IMRANSTORIES136
3 жыл бұрын
Aamin ya rabb aamiin
@aniaseif8782
3 жыл бұрын
Aamin yarabby
Allah(sw) naomba kupitia dua hii iniponye maradhi yangu nisimame na kutembea tena Ameen
Ya Allah tujlie mwisho mwema
Yaaah ALLaH nakuomba kwa uzito wa dua hii niondolee Lila mitihani kwenye maisha yangu Amiin
Ameen yaa allah tusamehe makosa yetu
Kutokana na mitihani tuyapitia eeh Allah kwa uzito wa dua hii naomba utupanyie wepesi ...Amiin
@mk-ed5py
3 жыл бұрын
Amin Kwa sote
@yusraswalah4734
3 жыл бұрын
Amin
@muumchina7679
3 жыл бұрын
Amin
@shukranechimale2722
3 жыл бұрын
Amin
@kamisiabdul4833
3 жыл бұрын
@@shukranechimale2722 amin
Yaaah ALLAH nakuomba unisaidie katika tabu anayopitia mdogo wangu atuna msaada zaidi yako ALLAH 😢😢
Yarrab jaalia Kwa Dua hii hasad zote ziwe mbali na Mimi nifungulie milango ya her na unipe mwisho mwema ya hallah Amin🤲
Amini mwenyez mungu atupe afya njema kwa binadam wote aniondolee haya matatiz nilokua nayo anijaalie nipone kichwa na nikifika kzn nisiumwe na kitu chochote kile nifanye kaz zang vizur🤲
Allah nijaalie mema mja wako niondolee maradhi nipe hitaji la moyp wangu kupitia dua hii yarabby🙏
Allah atufanyie wepesi kwa kila jambo ,amen🙏
Amiin Yarrab Allah atujaalie mwisho mwema yarrab 🙏 🙏
Kupitia dua hii Ee Mwenyezi Mungu nakuomba tufanyie wepesi katika kila zito tufungulie milango ya rizki na baraka Amini🙏
Amiin yarrabi kila penye uzito kwangu nifanyie wepes mja wako
@alisanze9682
3 жыл бұрын
Allahumma amiin
Kupitia Dua hii naomba Mwenyezi Mungu anifanyie wepesi
Ya allah naomba unijaalie afya njema mimi na kizazi chetu inshallah amiini🙏
Amina yarabi Eeeh m/mungu naomba utulinde waja wako
@amirdani9776
4 жыл бұрын
Amina yaa Rabb
@mariamsfamily482
3 жыл бұрын
@@amirdani9776 asalam alaikum I need prayers my brother
@amirdani9776
3 жыл бұрын
@@mariamsfamily482 Wa'aleykum Salaam Warahmatullahi Wabarakatuh. Tunamuomba Allaah Akuondolee kila aina ya maradhi na kila aina ya uchawi unaofanyiwa na kila aina ya mazito ulionao na Akupe kila ulitakalo lenye Kheir na wewe. Ameen
@loveneselia3070
3 жыл бұрын
@@amirdani9776 amin
@loveneselia3070
3 жыл бұрын
Amin
Ewe mwezi mungu kwa uzito wa dua hii naomba unichungie watoto wangu mahali popote na iwalinde kwa kila lililo baya napia naomba uwainue amin
Ya Allah nifanyie wepesi kwa Kila gumu ninalopitia namitihani yote ya kidunia nijalie afya Mimi pamoja na familia yangu amiin
Amin ya allah utuponye wajawako
@amirdani9776
4 жыл бұрын
Allaahumma Amiin
@mk-ed5py
3 жыл бұрын
Amiin
@mesaidisuleimaninyemia6333
3 жыл бұрын
Ewe mola tupe furaha hapa duniani na kesho ahera inshallah 🙏🙏🙏🙏🙏
ya Allah nipe mema duniani na kesho haera na kizazi changu
Ya Allah Niponye na Nikinge na Kila Aina ya Ubaya Kutoka Kwa Kiumbe Cha Aina Yoyoye, Ya Allah Nijaalie Afya Njema Mimi na Watoto Wangu na Familia Yangu Yote Kwa Ujumla, Ya Allah Nijaalie Rizki Ya Halali itakayoweza Kuendesha Maisha Yangu Mimi na Familia Yangu, Ya Allah Nijaalie Mafanikio Katika Maisha Yangu, Ya Allah Ninasue Katika Kila Aina Ya Vifungo na Mitego Mibaya, Ya Allah Niondoshee Nuksi na Mikosi Mbali Mbali inayoniandama Katika Maisha Yangu, Ya Allah Niepushe na Magonjwa Mbalimbali Mimi na Watoto Wangu na Familia Yangu.
@aminarashidi54
2 жыл бұрын
In shaalah
@paulinacherement2534
2 жыл бұрын
AMIIIN ya RABBI AMIIIN
@shamimwabuke5379
2 жыл бұрын
Amiin ya Allah amiin
@ummimohamed2148
Жыл бұрын
Ameen yarrabilalamin
@sirajiabdulichaneli310
Жыл бұрын
Amin
Yarab niondolee wasiwasi niwe na Amani kwenye utaftaji pamoja na family yangu yote na maisha yangu pia maana nko na maadui kilakona inshaa Alaah nautujalie mwisho mwema amin thuma amina 🤲🤲🙏🙏🙏
Allahumma niponeshe na nibaliki mafanikio yangu yote uliyenipangia yawe kwa uwezo wako kupitia Dua hii🙏
Ya allah unajua yanayo nisumbua na ninayo yahitaji unajua yatakayo nikakwaza na kunikwamisha unajua wabaya wangu na unajua shida zangu ya llah unajua magonjwa yangu na ugumu wa maisha yangu kwa ujumla bas nakuomba kwa dua hii nnayo isikiliza inavyo soma usiku huu ikawe dawa kwa kila baya nililonalo na litakalo kuja na unijaalie yote yalomema na unipe kinga ya kila kitu mpaka mwisho wa maisha yangu unijaalie mwisho mwema mimi na kizazi changu na wazazi wangu na ndugu zangu Hakuna kinacho kushindana upo juu ya kila kitu ndomana tunakuomba wewe ya allah jaalia Allahumma aamiin kwa baraka zatume wetu muhammad swalallahu aleihi wa alihi wa salaam
Amiin yarab namuomba uniondoshe katika haya matatizo naomba unipe Amani ya nafsi yarrab naomba niongoze katika njia sahihi ya kukutukuza ww
Kupitia Dua hii yarab Naomba uniondoshee Vifungo nuksi mikosi na Madeni yote , Na pia Yule Nisie mtaka Niweke Mbali nae Ameena
Amiin....InshaaAllah Allah atujalie mwisho mwema
Ya rabbi tunaomb mwisho mwema utusameh zambi zetuu utupony maradhi yote amiin
Allah humma ri hamnii irahmatka yaa arhama rrahmii
Yaa Allah nijaalie mimi na familia yngu ktk uongofu,ns utukinge na mabalaa yote,tulinde na shari za viumbe vyako kwa dua hii,allahumma amiin
Ya Allah tujaalie mwisho mwema
@amirdani9776
4 жыл бұрын
Amin
@esmahnguzo8448
3 жыл бұрын
Inshaallah
@sameeranassir3127
3 жыл бұрын
Inshaallah 🙏
ya Allah naomba nifungulie milango ya rizki na biashara yangu ipate wateja kupndwa na kuthaminiwa,niondolee nafsi ya uchungu ndani yangu Amiin
Mwenyezi Mungu tuondoshee maradh tupe afya njema,Amin
Allah kupitia dua hii Naomba nifanyie wepesi kwa kila jambo nikinge na maradhi na husda Amen inshallah 🙏🙏🥹🥹🥹
Mashaallah mashaallah mwenyezi mungu atuepushe na matatizo
@amirdani9776
4 жыл бұрын
Amin
@jamalhamad2132
3 жыл бұрын
Amin
@ghalibseiban
3 жыл бұрын
Ameen
@cpasalma1532
3 жыл бұрын
amin thuma amin
AMIIIN ya alltujaalie istighfaari na shahada mwisho wa umauti inshallah AMIIIN
Yarabi kupitia dua hii tunusuru nakilashari na hasad yaraby, tujaalie afya njema utujaalie umri wenye manufaa sisi na vizazi vyetu ya Allh ,utuondoshee uzito katika nafsizetu navifua vyetu yarabi ,utujaalie husnul hatima yarabi.
Nakuomba Allah kwadua hi mkewangu Alie nikimbia basi aludi mwenyewe kwa baraka zako allah
Allahumma ameen 🤲
@malikichamalama3903
4 жыл бұрын
Takya Takiya mambo Takiya Nakuomba nitumie Namba zako za Simu
@iddyramadhani2512
3 жыл бұрын
Mambo
Ya Allah nakuomba dua hii iwe ndio mwisho wa matitizo yetu tunayo yapitia na ituondolee changa moto za maisha yetu ktk dunia hii na kesho akhera. 🤲🤲
Ameen Nakuomba mwenyezi mungu unifanyie wepesi kila ninalo kuomba la khery unijalie uzidi kuniongoza ktk ibada na yenye mema
We mwenyezi mungu nifanyie wepesi katika kazi yamikono yangu nauwalinde wazaziwangu wotewamili 🤲🤲
Eewe mola wetu twakuomba utuondolee viging vya hapa na pale na utuepushe na mabaya yote na utujaalie maisha mema na mwisho mwema yaallha twakuomba utujaalie yalomema🙏🤲🤲
Amiin ya RABBY, nakuomba niondoshee huzuni, husda na maradhi ktk mwili wngu 🤲🏼🙏🏻
@sophiahasani8915
Жыл бұрын
amiin inshaallha
Yaa rabi nifanyie wepec ktka mwili wngu imani yangu uhai wangu rizki yangu na maisha yngu
Yarabih nakuomba ni nusuru na kila aina ya matatzo yanayonikumba 🙏🏼
Ya allah nikinge na maradhi niondelee matatizo yote niepushe na shari za walimwengu inshaallah
Hee mwenyez mungu naomba unisamehe maovu yangu yote naomba unifungulie milango yangu yote Allah nifanyie wepes kwa maitaj yangu 🙏
Yaa Allah nakuomba kwabaraka zako na kwa Dua hi mludishe mpe mkewangu ufahamu anipende kwa kila haliyangu
Allah atujalie sote walimwengu
@amirdani9776
4 жыл бұрын
Amiin
@mk-ed5py
3 жыл бұрын
Amin
Namuomba Mwenyezi Mungu amufanyie wepesi baba angu apone haraka tumbo linalomsumbua pamoja na kumuwekea ulinzi wa hali ya juu dhidi ya adui
Yaarrab tujaalie mwisho mwema na utufanyie wepesi Kwa Kila palipo na uzito amin yaarrab
Allahumma amin🙏
hee mwenyezi mungu niepushe na kira baya nipe maisha marefu niwaree wanangu ameen
Ameen yarabi yarabi tusameh makohsa yetu yasiri nayadhahiri nachujaliye mwisho mwema
Ee mwenyezi mungu niondolee husida nifanyie wepesi katika kilahakatizangu Amina
Amiin amiin Allah tusamehe makosa yetu na tuondoshee na mazilla yote ya dunia na tupe mwisho mwema
Mwenyezi mungu naomba unifanyie wepesi kwenye kila jambo Zito liwe jepesi inshallah
Nakuomba mwenyez mungu niondolee matatizo yote yanayoumiza moyo wangu🙏
Amin ya ALLAH...hakuna mbora kuliko wewe YA RAABI
Allah kutokana Na mitihani tunayopitia kwa dua hii Allah tunaomba utufanyie wepesi
ya allah niponye naunikinge naubaya wa aina yoyote kutoka kwa waja mimi nawatoto wangu nafamilia yangu yarabby
Allah nifanyie wepec kwa Kila zito kwangu nipe afya njema Mimi pamoja na familia yangu nikinge na husda na Kila sharii eeeeeh mola wangu nifanye niwe wakukushukuru kwa Kila ninalopitia.aamin see
Kutokana na dua hii ewe Mwenyezi Mungu niepushe na mambo mabaya yanayotaka kunifika
Amin Allah utuondolee mitihan na utujaalie tuwe waja wema kwako amiin
Ya Allah naomba uniondolee kila haina ya nuksi iliopo mwilini mwangu naomba unijalie kheri🤲
Heee mwenyezi mungu akuna alie Juu ya kila Kitu duniani au muamuzi zaidiako ya allah tusameee makosa yatu kweli Sisi tuwakosefukwa mwenyezi mungu nakuomba Kwa wakati huu mugumu nijalie uhuru Wa roho na nafsi yangu baba angalia familia uliyo nipa mungu nakuomba wanusuru nauwafari katika matatizo ayaa ambayo solution ni kwakotu yarabii tunakuomba natuna imanikuwa utatusikia mungu Wetu ameen🙏🙏🙏😭😭😭
Yaa allah nifanyie wepesi katika masomo yangu niepushe nakupata matokeo mabaya nijaalie niweze kufaulu na kuntolea kipingazi chochote katika masomo yangu
Nakuomb mungu unfanyie wepes kwny kila Zito inshaallah 🙏
Allah tusaudie kutuondolea balaa na nuks msongo wa mawazo na vifanyie upes viumbe vyote ulivyo viumb
Ya Allah kupita dua hii unifanyie wepesi kwenye maisha yang
Ameen Tunamuomba M/mungu atujalie afya njema na atuondolee maradhi
Ya Allah nisameheme makosa yangu, Ya Allah mzindue mwanangu ajitambue aachane na mambo yake yasiokupendeza wewe mola wetu, mtoe kiumbe wako kwenye kiza kama ulivyomtoa Nabii AYUB KUTOKA KWENYE TUMBO LA PAPA YARAABY, KWA UFALME WAKO NA REHMA ZAKO KILA KITU KINAWEZEKANA AMEEN, TUJAALIE KHERI, TUONDESHEE MARADHI NA HUSDA NA UTUFUNGULIE YALIO NA KHERI KWETU AMEEN, YA ALLAH NIJAALIE MWISHO MWEMA NA UNIFANYIE WEPESI KWENYE YOTE YENYE UZITO AMEEN INSHAALLAH.
Ameen Ameen Ee Mwenyezi Mungu nisaidie mimi mkosaji
Yaraabi nakuomba niondoshee hii homa unjalie nipate nafuu kwa haraka maana naumwa sana Ewe Yaraabi nisaidie maana wewe ndiwe unae ona mimi sioni nakuomba kwa imani yangu yote Ameeen insha'Allah
Allahumma Eee! M/mungu niondolee maladhi yang kwa dua hii
@amirdani9776
3 жыл бұрын
Allaahumma Aamiin
Allah nakuomba utujalie afya njema Mimi na family yangu ewe Allah nakuomba utuepushe na kila fedhea za duniani ewe Allah nakuomba utufungulie milango ya ridhiki utuondeshee ufukala ewe Allah nakuomba utujaalie amani na upendo Mimi na family yangu ewe Allah nakuomba utuondeshee chuki baina yetu ewe Allah nakuomba utujaalie mwisho mema inshallah amiiina
Amini ewe mwenyezi mungu nisamehe Mimi mkosefu nikinge na kilabaya nijaalie mwisho mwema amin
Inshaallah, Ya Allah tusamehe makosa yetu, tujalie neema na tuepushe na mabaya. Amein
ewee mola wang muepushe baba angu maladh alionayo kunzia kichwan had kweye unyao🙏
Kwa Dua hii ya Allah naomba unisaidie nipate kazi huku ni endako unifungulie milango yenye baraka na uniondolee nuksi na mikosi na unikinge na ubaya wowote utakao jitokeza mbele yang naomba unikinge mm pamoja na familia yang naomba pia ninapotoka hapa kwenda kutafuta kazi naomba nifanikiwe na uniongoze kakta njia ilio sa hihi ya alla naomba nipate rizki isiokuwa na mtihan ya Allah nina Iman hii dua mpaka sasa imeshajibiwa na nnapokwenda ntakutana na baraka zako ya allah na dua hii nna Iman imefka.inshaallah.
Allah Naomba nifanyie wepesi ,Asante kwa Dua