(RUQYAH) KISOMO CHA KUMVUNJA NA KUMTOA JINI MAHABBA NA MAJINI WENGINE ( sharif yussuf )
#kisomochawiki sharif yussuf
Жүктеу.....
Пікірлер: 214
@ayshazambia65098 ай бұрын
Yaraab niondoshe matatizo kwenye mwili wangu niwe kama wezangu maana sina hata amani ya maisha yangu kila ninarofanya linakua baya kwa wezangu🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭🤲🤲🤲🤲🤲
@luqmanmkwizu823
5 ай бұрын
AMINAH kuwa na Amani Allah yupp pamoja na wenye kuomba kwake
@tatusaid3934 Жыл бұрын
Mungu muondole mutoto wangu amal matatizo yanao msumbua 🤲🤲🤲🤲🤲🤲🙏🙏🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪
@ukhtymdee8557
8 ай бұрын
Alhumma Aaaamiin
@suheilahsuheilah49682 жыл бұрын
🤲ya rabby tutilie kabuli,hakika Allah uko karibu kwa waja wako nasi niwahitaji kwako ya raabby🤲 amin yarabby🤲
@user-pw7kf9yx6u6 ай бұрын
Inshallah mungu nimwema ntapona jini ataondoka ktk mwili wangu kupitia dua hii
@user-ws9ek8dj5n3 жыл бұрын
لا اله الا الله محمد رسول الله الرحمن الرحيم الله أكبر الله أكبر الله أكبر لا إله إلا أنت سبحانك إني كنت من الظالمين حسبنا الله ونعم الوكيل لا حول ولا قوة الا بالله العلي العظيم اللهم امين يارب العالمين
@user-lw6mg2he7b2 жыл бұрын
ماشاءالله تبارك الله الله أكبر، YAA ALLAH TAQABBAL DUA YETU Maradhi mwilini yanayisababisha na majinniINSHAALLAH NA TUONDOLEE
@salimmahfudh45342 жыл бұрын
Mashallah visomo vizuri sana.Naomba kisomo cha usri wa mambo yangu vifundo vifunguke maisha yarudi mazuri.Shukran Shariff Yusuf.
@mozanamata46283 жыл бұрын
Mungu niondolee na matatizo katika mwili wangu kwa uwezo wako Ameen🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@lilianneikania5805
Жыл бұрын
Mungu niondolee na mutation Katie mailing ya watoto wangu na yangu na mume.
@lilianneikania5805
Жыл бұрын
Mungu niondolee na matizo Mwilini wangu, watoto wangu na mume wangu.
@aminahamisi2837
Жыл бұрын
Ameen
@ukhtymdee8557
8 ай бұрын
Alhumma Aaaamiin thumma Aaaamiin yaarab allah min allah taqabalik duwaa
@mariammsangira33283 жыл бұрын
Mashaallah Mashaallah kila ninaposoma hiki kisomo napata utulivu Wa nafsi, shukran sana M/Mungu akuweke sheikh sharif
Masha Allah Mungu akueke sheikh wetu unaposkiza hicho kisomo nafsi ya pata utulivu😁
@AbdiKadirKanu27 күн бұрын
mungu niondolee majini na matatizo wanaonisumbua katika nyumba yangu na ndoa yangu inshaala waangamize waelekezee hii dua iwauwe yeyote ananifhanyia uadui ninayemjua na nisiye mjua mungu unamjua ameen ameen
@user-yl2ju4oc9cАй бұрын
Yarab mola wangu niondolee jini mahaba kwe Nye mwili wangu nakuomba kupitia hiki kisomo mm saumu ayub nipata kuolewa ndani ya siku kumi
Shekhe naomba kuuliza office yako inapatikana wap dua zako zinasaidia mashallah sasa natahij Kufaham nataka kuja , maana hao wa2 wanaofanya hvy BD wanaroga ukinifahamisha itakua vzr maana Nina shida
@khadijakarunzi24122 жыл бұрын
Ameen wateketeze kabisa Hao wachawi katika boma letu
@hamisisalim89872 жыл бұрын
Mashallah Allah hakupe umri na Afiya usthad sheriff
@MohammedyBakali-de7zj
Ай бұрын
Naomba. Namba yako nateseka nairo pepo
@tumaramadhani83473 жыл бұрын
MA SHAA ALLAH jazaka Allah kheir Allah atuondoshee maradhi Amiin
@yussufhussein93152 жыл бұрын
manshAllah may Almighty God grant you jannatul firdowsa
@fatimahahmadlamar12413 жыл бұрын
MANSHAA ALLAH TABARRAKALLAH ... JAZZAKALLAH KHEIR SHEIKH WETU SHARIFF 🙏🙏🙏
@user-qn8dj8hs6d2 ай бұрын
Mungu niondolee majin yote niliyo nayo kupitia kisomo hiki
@maryamanalisi1973 жыл бұрын
Mashaallah shukran sana Allah akuzidishie amiin amiin inshaallah
@FaridaKessyАй бұрын
Mungu nisaidie mm nitolee jini mahaba nimechoka sanaa mimi😥🤲🙏🙏
@MuniraYahaya-y9n
7 күн бұрын
Pole sana ,mungu amekusikia atakuondolea inshallah
@rehemalazaro59752 жыл бұрын
Mashaallah Allah akulipe kila la heri shekhe Sharif yussuf
@ummumoha26652 жыл бұрын
Mashallaha tabaraka Allah mungu akujalie kila LA kheri na akuhifadhi
@nazmakneya46422 жыл бұрын
Mashaallah tabarakaallah shukran sheikh, inshaallah Allah atuwesheshe kuskiza siku saba
@user-ws9ek8dj5n3 жыл бұрын
Wa alleykum salaam warahmatulah wabarakaatuh sheikh wetu #shariffyussuf maasha Allah tabaraka Allah Mwenyezi Mungu awashinde laanatullah shaitwan na majini wanao hangaisha waja wake Amiin ya Rabb 🤲🏽🤲🏽🤲🏽
@gladyshagana11073 жыл бұрын
Mashallah Mungu akueke sheikh ,Allah atujalie shifaa ,atuondolea matatizo yetu ya ndani na nje ya mwili
@samiaasalamalykumshukranmo94893 жыл бұрын
Allah akupe afyah na uzima inshallah
@jamillahpaul47352 жыл бұрын
Mwenyezimungu atakulipa inshaalah
@zubedarama99212 жыл бұрын
Masha allah......shukran sheikh yusuf jazakallah kheir
@fatmaathmani9406 Жыл бұрын
🤲🏽🤲🏽🤲🏽 amina yaraby mwenyezi mungu awepe Afya njema dua mashaa Allah
@mozanamata46283 жыл бұрын
Shukrani saaaana sharif yussuf mwenyezi mungu akupe maishaaaaaa marefu amen
@MariamAbdallah-if5es2 ай бұрын
Assalam aleikum tunashkuru kwa maomb yako yanasaidia....Allah akuzidishie
@shakilahaji8826 Жыл бұрын
Nimeskiza wiki sasa Allahu Akbar mini mahaba ameenda...Alhamdulilah
@aminaally5436
Жыл бұрын
Maaashalah mshukuru Allah
@reenaismael4310
Жыл бұрын
Masha'Allah Masha'Allah ❤ Allahu Akbar Mm bado tu😢 Matatizo tele,hataki kuenda kabisa Mambo yangu yote yamefungika walahi 😢 Allah na mm anipe shifa aniondolee matatizo haya Aameen
@sharonpaur96402 жыл бұрын
Mimi huota Sana hasa naumia kuingiliwa kinyume na maumbile 😢😢ndoto hii huntesa sana
@khairatsalum-nq9ne
Жыл бұрын
Allah atunusuru na akuondolee nawe mitihani inshallah
@user-xk1xw5qo5v Жыл бұрын
Shuukrannii kwa dua hiii mujhaaarabuu
@pillyomary61272 жыл бұрын
Mashallah Allah akupe khery nyingi sana
@ebrubed60402 ай бұрын
“Eş-hedu Ella İlahe İlla Allah.” وَجَعَلْنَا عَلَى قُلُوبِهِمْ أَكِنَّةً أَن يَفْقَهُوهُ وَفِي آذَانِهِمْ وَقْرًا وَإِذَا ذَكَرْتَ رَبَّكَ فِي الْقُرْآنِ وَحْدَهُ وَلَّوْاْ عَلَى أَدْبَارِهِمْ نُفُورًا Ve cealna ala kulubihim ekinneten en yefkahuhu ve fi azanihim vakra, ve iza zekerte rabbeke fil kur'ani vahdehu vellev ala edbarihim nufura.
@ZubedaKwandamu3 ай бұрын
Mwenyezi mungu niondishee marsdhi na uniondoshee chiri kwenye mwili wangu na mashetwani wabaya uwangamize wateketee kama kalatasi inavyo unguwa namoto ishaalwa
@ktggtvgvtghadijaalifanichi13012 жыл бұрын
MashaAllah tabarakaAllah
@swalehkikwesa6227
Жыл бұрын
Mashaallah shehe mungu akuzidishie shekhe mim nmefny leo kisomo kilichotokea allah ndo anaejuw
@munirahemedi43402 жыл бұрын
Jamani mkono wakushoto wanitetemeka na nimala ya kwanza tu kusikiliza jaa bless you shekhe
@batuliharun9690
Жыл бұрын
Jamani nasikia uoga
@atkerhamad9984 Жыл бұрын
Shukran sana Allah ibark
@wabengaheritier600211 ай бұрын
Mashaallah Mashaallah mungu akulipe kila la kheri shefh
@fayzaabdullah35763 жыл бұрын
masha Allah sheikh sharifu insha Allah mugu atubariye naa akupe afya inzima ahsante saanaa
@constancenyangeconstanceco6324
2 жыл бұрын
Nakupenda sana kwaduwazako
@constancenyangeconstanceco6324
2 жыл бұрын
🤲🤲🤲🤲🧎♀️🧎♀️🧎♀️
@khadijakarunzi24122 жыл бұрын
Mashallah shukuruni. Allah. Akupe hekim
@user-er4ph7ko9s11 ай бұрын
Asalam.alaykum ninashukuru sana sheykh duwa hizi zinanisaidia ninautofaut sanna kwasasa niseme tuu shukran allah akuking baya lolote
@susandama34783 жыл бұрын
MashaAllah
@ZuuhRaniya5 ай бұрын
Ewe mwenyezi mungu niondolee ubaya uliopo katika mwili wangu uchawi ushetwani ewe mungu nijalie
@amidakassim71832 жыл бұрын
Mashaa Allah jazaka Allah amiin amiin
@leilahassan67313 жыл бұрын
Shukran Jazeelan bro
@sefubin42703 жыл бұрын
Mansha Allah 🤲🤲🤲🤲🤲
@queenmorisho1331 Жыл бұрын
Mansh'Allah. Shukran sheikh
@nerjabumar55373 жыл бұрын
Mashallah Allah bareek feeq
@mariamumazi5242 Жыл бұрын
Waalikumu msalamu warahmatullah wabarakatu, mashaallah may Allah bless you
@nshimirimanadjamilla72702 жыл бұрын
Shukran allah akulipe kheri akupe mwisho mwema
@ktggtvgvtghadijaalifanichi13012 жыл бұрын
A.a shukran Allah akujaze kheri
@muminamohammed93572 жыл бұрын
Mungu akupe kila la Keri.
@hawadaud47442 жыл бұрын
Shukran shekh
@zaitonalali48323 жыл бұрын
Shukran sana
@ashrafyyousuf682111 ай бұрын
Shusha!ya sheikh Qura'an utu tetea tume teseka wengine toka tuna zaliwa nahisi...ya Allahu ya Rahman
@shakilahaji8826 Жыл бұрын
Asalam aleikum.nimerudi tena shukran sana sheikh Allah akuongeze umri mini mahaba aliondoka
Пікірлер: 214
Yaraab niondoshe matatizo kwenye mwili wangu niwe kama wezangu maana sina hata amani ya maisha yangu kila ninarofanya linakua baya kwa wezangu🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭🤲🤲🤲🤲🤲
@luqmanmkwizu823
5 ай бұрын
AMINAH kuwa na Amani Allah yupp pamoja na wenye kuomba kwake
Mungu muondole mutoto wangu amal matatizo yanao msumbua 🤲🤲🤲🤲🤲🤲🙏🙏🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪
@ukhtymdee8557
8 ай бұрын
Alhumma Aaaamiin
🤲ya rabby tutilie kabuli,hakika Allah uko karibu kwa waja wako nasi niwahitaji kwako ya raabby🤲 amin yarabby🤲
Inshallah mungu nimwema ntapona jini ataondoka ktk mwili wangu kupitia dua hii
لا اله الا الله محمد رسول الله الرحمن الرحيم الله أكبر الله أكبر الله أكبر لا إله إلا أنت سبحانك إني كنت من الظالمين حسبنا الله ونعم الوكيل لا حول ولا قوة الا بالله العلي العظيم اللهم امين يارب العالمين
ماشاءالله تبارك الله الله أكبر، YAA ALLAH TAQABBAL DUA YETU Maradhi mwilini yanayisababisha na majinniINSHAALLAH NA TUONDOLEE
Mashallah visomo vizuri sana.Naomba kisomo cha usri wa mambo yangu vifundo vifunguke maisha yarudi mazuri.Shukran Shariff Yusuf.
Mungu niondolee na matatizo katika mwili wangu kwa uwezo wako Ameen🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@lilianneikania5805
Жыл бұрын
Mungu niondolee na mutation Katie mailing ya watoto wangu na yangu na mume.
@lilianneikania5805
Жыл бұрын
Mungu niondolee na matizo Mwilini wangu, watoto wangu na mume wangu.
@aminahamisi2837
Жыл бұрын
Ameen
@ukhtymdee8557
8 ай бұрын
Alhumma Aaaamiin thumma Aaaamiin yaarab allah min allah taqabalik duwaa
Mashaallah Mashaallah kila ninaposoma hiki kisomo napata utulivu Wa nafsi, shukran sana M/Mungu akuweke sheikh sharif
Asalamalaikum sheikh nasema shukran tunasaidika Sana natutawashinda wale wabaya . inshaAllah
Masha Allah Mungu akueke sheikh wetu unaposkiza hicho kisomo nafsi ya pata utulivu😁
mungu niondolee majini na matatizo wanaonisumbua katika nyumba yangu na ndoa yangu inshaala waangamize waelekezee hii dua iwauwe yeyote ananifhanyia uadui ninayemjua na nisiye mjua mungu unamjua ameen ameen
Yarab mola wangu niondolee jini mahaba kwe Nye mwili wangu nakuomba kupitia hiki kisomo mm saumu ayub nipata kuolewa ndani ya siku kumi
Mashaallah, mashaallah Baarakallah fiyka, shukran wajazaakumullahu khayra
Mungu Wangu Niondolee majini mwilini
Mashallakh tabarak llakh khery kubwa kwetu
Shekhe naomba kuuliza office yako inapatikana wap dua zako zinasaidia mashallah sasa natahij Kufaham nataka kuja , maana hao wa2 wanaofanya hvy BD wanaroga ukinifahamisha itakua vzr maana Nina shida
Ameen wateketeze kabisa Hao wachawi katika boma letu
Mashallah Allah hakupe umri na Afiya usthad sheriff
@MohammedyBakali-de7zj
Ай бұрын
Naomba. Namba yako nateseka nairo pepo
MA SHAA ALLAH jazaka Allah kheir Allah atuondoshee maradhi Amiin
manshAllah may Almighty God grant you jannatul firdowsa
MANSHAA ALLAH TABARRAKALLAH ... JAZZAKALLAH KHEIR SHEIKH WETU SHARIFF 🙏🙏🙏
Mungu niondolee majin yote niliyo nayo kupitia kisomo hiki
Mashaallah shukran sana Allah akuzidishie amiin amiin inshaallah
Mungu nisaidie mm nitolee jini mahaba nimechoka sanaa mimi😥🤲🙏🙏
@MuniraYahaya-y9n
7 күн бұрын
Pole sana ,mungu amekusikia atakuondolea inshallah
Mashaallah Allah akulipe kila la heri shekhe Sharif yussuf
Mashallaha tabaraka Allah mungu akujalie kila LA kheri na akuhifadhi
Mashaallah tabarakaallah shukran sheikh, inshaallah Allah atuwesheshe kuskiza siku saba
Wa alleykum salaam warahmatulah wabarakaatuh sheikh wetu #shariffyussuf maasha Allah tabaraka Allah Mwenyezi Mungu awashinde laanatullah shaitwan na majini wanao hangaisha waja wake Amiin ya Rabb 🤲🏽🤲🏽🤲🏽
Mashallah Mungu akueke sheikh ,Allah atujalie shifaa ,atuondolea matatizo yetu ya ndani na nje ya mwili
Allah akupe afyah na uzima inshallah
Mwenyezimungu atakulipa inshaalah
Masha allah......shukran sheikh yusuf jazakallah kheir
🤲🏽🤲🏽🤲🏽 amina yaraby mwenyezi mungu awepe Afya njema dua mashaa Allah
Shukrani saaaana sharif yussuf mwenyezi mungu akupe maishaaaaaa marefu amen
Assalam aleikum tunashkuru kwa maomb yako yanasaidia....Allah akuzidishie
Nimeskiza wiki sasa Allahu Akbar mini mahaba ameenda...Alhamdulilah
@aminaally5436
Жыл бұрын
Maaashalah mshukuru Allah
@reenaismael4310
Жыл бұрын
Masha'Allah Masha'Allah ❤ Allahu Akbar Mm bado tu😢 Matatizo tele,hataki kuenda kabisa Mambo yangu yote yamefungika walahi 😢 Allah na mm anipe shifa aniondolee matatizo haya Aameen
Mimi huota Sana hasa naumia kuingiliwa kinyume na maumbile 😢😢ndoto hii huntesa sana
@khairatsalum-nq9ne
Жыл бұрын
Allah atunusuru na akuondolee nawe mitihani inshallah
Shuukrannii kwa dua hiii mujhaaarabuu
Mashallah Allah akupe khery nyingi sana
“Eş-hedu Ella İlahe İlla Allah.” وَجَعَلْنَا عَلَى قُلُوبِهِمْ أَكِنَّةً أَن يَفْقَهُوهُ وَفِي آذَانِهِمْ وَقْرًا وَإِذَا ذَكَرْتَ رَبَّكَ فِي الْقُرْآنِ وَحْدَهُ وَلَّوْاْ عَلَى أَدْبَارِهِمْ نُفُورًا Ve cealna ala kulubihim ekinneten en yefkahuhu ve fi azanihim vakra, ve iza zekerte rabbeke fil kur'ani vahdehu vellev ala edbarihim nufura.
Mwenyezi mungu niondishee marsdhi na uniondoshee chiri kwenye mwili wangu na mashetwani wabaya uwangamize wateketee kama kalatasi inavyo unguwa namoto ishaalwa
MashaAllah tabarakaAllah
@swalehkikwesa6227
Жыл бұрын
Mashaallah shehe mungu akuzidishie shekhe mim nmefny leo kisomo kilichotokea allah ndo anaejuw
Jamani mkono wakushoto wanitetemeka na nimala ya kwanza tu kusikiliza jaa bless you shekhe
@batuliharun9690
Жыл бұрын
Jamani nasikia uoga
Shukran sana Allah ibark
Mashaallah Mashaallah mungu akulipe kila la kheri shefh
masha Allah sheikh sharifu insha Allah mugu atubariye naa akupe afya inzima ahsante saanaa
@constancenyangeconstanceco6324
2 жыл бұрын
Nakupenda sana kwaduwazako
@constancenyangeconstanceco6324
2 жыл бұрын
🤲🤲🤲🤲🧎♀️🧎♀️🧎♀️
Mashallah shukuruni. Allah. Akupe hekim
Asalam.alaykum ninashukuru sana sheykh duwa hizi zinanisaidia ninautofaut sanna kwasasa niseme tuu shukran allah akuking baya lolote
MashaAllah
Ewe mwenyezi mungu niondolee ubaya uliopo katika mwili wangu uchawi ushetwani ewe mungu nijalie
Mashaa Allah jazaka Allah amiin amiin
Shukran Jazeelan bro
Mansha Allah 🤲🤲🤲🤲🤲
Mansh'Allah. Shukran sheikh
Mashallah Allah bareek feeq
Waalikumu msalamu warahmatullah wabarakatu, mashaallah may Allah bless you
Shukran allah akulipe kheri akupe mwisho mwema
A.a shukran Allah akujaze kheri
Mungu akupe kila la Keri.
Shukran shekh
Shukran sana
Shusha!ya sheikh Qura'an utu tetea tume teseka wengine toka tuna zaliwa nahisi...ya Allahu ya Rahman
Asalam aleikum.nimerudi tena shukran sana sheikh Allah akuongeze umri mini mahaba aliondoka
Jazakallau kheira 🤲
Mashaallah allah akulipe heri ya rab
Mungu niondolee jini mahaba niwekama wenzangu
Àsalam. Aleikum mashalah. Kiaomo. Mashalah. ❤❤❤mimi. Nimgonja. Lakini. Ninapo. Sikiza. Visomo. Vako. Napata. Shufaa❤
Ma sha allah
Amin. I'll forever listen this.
Shukran sheikh wango Ahsante sana....nakupenda kwa ajili yá Allah
Ewe mwenyezi mungu niondolee matatizo maladhi mwanangu inshallah🙏
Yarabi niondelee kila tatizo ambalo linaniuma mwilini wangu de ndio mulinzi wangu mujali n'a cheikh umup kheri hap dunia n'a fil akhera allahuma Amin
@ukhtymdee8557
8 ай бұрын
Yaarab taqabalik duwaa Alhumma Aaaamiin
Amin 🙏 🙏 🙏
Jazaakalllahu lkhair
Mungu niondelee maumivu ya kichwa
Mashaalhaaaa
Masha Allah shukran nakupenda ajili ya Allah akupe Afiya na umri
@hassanmasoud4425
2 жыл бұрын
Mashallah
@munirahemedi4340
2 жыл бұрын
Umri wenye manufaa
Inshallaah shukrani kaka mungu akuogoze kilasiku❤❤❤
Ameen
ewe Alla naomba unilinde mm nafamilia yangu naunioneshe wabaya wangu niweze kuwaepuka ewe alla
Kila nkisikilzaaa miguu yote inakufa nguvu au mwili unashikwa na ganzi
Сизге Аллахым ыраазы болсун!
@aminahamisi2837
2 жыл бұрын
B9i 9h u
@aminahamisi2837
2 жыл бұрын
Jjjjbi
@aminahamisi2837
2 жыл бұрын
Jjjjjji J&j j9j jhb
@aminahamisi2837
2 жыл бұрын
8ih8ii9i89u9i98iih
@halimamaliki
Жыл бұрын
Amiin
Mungu nitakabalie niondoshee kila matatizo na maradhi sihir na kila lilo zito nifanyiewepesi
Mashaallah mola akuzidishie.
mashallah Mashallah Kwa baraka Cha kisomo hiki Allah atuondolee kila aina ya mitihani na matatizo aamiiin
@zauratnjaji254
Жыл бұрын
Amiin
@hevenlightminja8032
Жыл бұрын
Mm natafuta shehe anayejua kusoma albadili ya mwili
Mashallah
ishallah mwenyenzi mungu niondolee jini huyu kwa jina lako
A.a shukran Allah akujaze kheri ameen ya rabb alamini 🤲
Ameeeen ya rabb alamini 🤲
Allah akuongeze mri wauhai
Nakupenda kwa ajili ya Allah nmesumbuliwa na hili tatizo kwa muda sasa.Jazakallah
@godiegodie1336
Жыл бұрын
Limetoka maana na mm nina tatizo hilo hilo
Mashallah Mashallah kheir inshallah
@AN-NAJMTVZANZIBAR
3 жыл бұрын
Shukran
@husnaabdarasuly4370
2 жыл бұрын
@@AN-NAJMTVZANZIBAR Asalamu alaikum warhamatullah wabarakatuh ustadh nimekutafta whastp nina shida nawe
@khairatsalum8621
2 жыл бұрын
Asalamu alaykum@@husnaabdarasuly4370 Namba zake izo chukuwa umpigie habibty
@husnaabdarasuly4370
2 жыл бұрын
@@khairatsalum8621 shukrn sana Hbbty
@shakilasueiman2056
Жыл бұрын
Aameen Ya Rabbi
Allah uwe pamoja nasi
Shukran Allah akulinde na mitihani amin yaarab
Amiiiiin amiiiiin ya rabbi 🤲
Isha Allah
Amiin🤲imrudiye meenyewr inshaAllah😭😭
In sha Allah Biidhinillah
AMINAAAH 🙏