KIPINDI MAALUM CHA RAIS DKT MAGUFULI KUFANYA ZIARA BANDARINI MARCH 23,2017
KIPINDI MAALUM CHA RAIS DKT MAGUFULI KUFANYA ZIARA BANDARINI MARCH 23,2017
Жүктеу.....
Пікірлер: 42
@Manumbu7 жыл бұрын
love you Mr president. twakuombe wewe na nchi yetu, Mungu akubariki sana
@tanzania25592 жыл бұрын
Tunakukumbuka baba 🙏🏾
@innocentmleli1196 Жыл бұрын
Umefanya wajibu wako baba, Mungu akupe pumziko la milele.
@kalokola Жыл бұрын
Magufuli was a MAN. Mungu tunaomba utupatie mwingine kama huyu.
@tanzaniakwanza95647 жыл бұрын
Kazi nzuri Mh. Raisi hongera sana Mungu awe nawe daima
@7ndasir3237 жыл бұрын
Good work. . Mr President. ..
@williamemmanuel77863 жыл бұрын
Mr President John Joseph pombe Magufuli, binafsi nakupongeza sana kwa kazi nzuri sana ya kutumikia watanzania, najua siyo kazi rahisi, ila Mungu anakulinda na anakuongoza
@princerwamugira644
6 ай бұрын
Mwamba alikuwa amesoma kweli chemestry,,macompaund usingelimdanganya jembe letu kweli mungu alilaze mahari pema
@ezeckielsyantata1295 Жыл бұрын
Magufuli Mkemia, kiongoz Bora ba baba Bora upumzike kwa amani
@fidelislugusi5361 Жыл бұрын
😭😭😭😭😭
@twahamtumbi65277 жыл бұрын
mh pombe unahitaji Team kwanza youth wapewe elimu ya kujijua. hicho kitu muhimu sana. Wape fulsa marasta wakupe msaada wa elimu kwa youth
@kenethfanuel40153 жыл бұрын
Mungu ibariki tanzania, mungu mbariki raisi wetu mpendwa magufuli.
@mcdonaldkazungu2052 жыл бұрын
Mungu akubariki popote ulipo. Mfalme wetu
@jamshidihabibu5764 Жыл бұрын
Lilikuwa jembe la maana mnooo.😭😭
@abousalehahmed5612 жыл бұрын
Hayo magari yangechukuliwa bure na serikali maana hayamo.katika Orodha au list wangepewa mitumba iliyoandikwa kwenye list tu
@saidabdalla89964 жыл бұрын
Safi sana mzee bb
@idrisashelimo3077 жыл бұрын
safi
@pharesdismas8876 Жыл бұрын
We miss you mr president
@ibrahimusanga1269 Жыл бұрын
Raisi kipenzi tutakukeumbuka sana kwa kazi yako
@ndeshukurwakaaya43852 жыл бұрын
HOFU YA MUNGU NI CHANZO CHA UZALENDO. UZALENDO HUINUA UHAI WA NCHI NA UTAJIRI WA NCHI KWA MAANA ZOTE . MZALENDO: MH HAYATI J P MAGUFULI, HAKIKA HUJAONDKA. UTAISHI DAIMA NA DUNIA IMESHATAMBUA HILO. MUNGU IBARIKI TANZANIA 🇹🇿 .
Пікірлер: 42
love you Mr president. twakuombe wewe na nchi yetu, Mungu akubariki sana
Tunakukumbuka baba 🙏🏾
Umefanya wajibu wako baba, Mungu akupe pumziko la milele.
Magufuli was a MAN. Mungu tunaomba utupatie mwingine kama huyu.
Kazi nzuri Mh. Raisi hongera sana Mungu awe nawe daima
Good work. . Mr President. ..
Mr President John Joseph pombe Magufuli, binafsi nakupongeza sana kwa kazi nzuri sana ya kutumikia watanzania, najua siyo kazi rahisi, ila Mungu anakulinda na anakuongoza
@princerwamugira644
6 ай бұрын
Mwamba alikuwa amesoma kweli chemestry,,macompaund usingelimdanganya jembe letu kweli mungu alilaze mahari pema
Magufuli Mkemia, kiongoz Bora ba baba Bora upumzike kwa amani
😭😭😭😭😭
mh pombe unahitaji Team kwanza youth wapewe elimu ya kujijua. hicho kitu muhimu sana. Wape fulsa marasta wakupe msaada wa elimu kwa youth
Mungu ibariki tanzania, mungu mbariki raisi wetu mpendwa magufuli.
Mungu akubariki popote ulipo. Mfalme wetu
Lilikuwa jembe la maana mnooo.😭😭
Hayo magari yangechukuliwa bure na serikali maana hayamo.katika Orodha au list wangepewa mitumba iliyoandikwa kwenye list tu
Safi sana mzee bb
safi
We miss you mr president
Raisi kipenzi tutakukeumbuka sana kwa kazi yako
HOFU YA MUNGU NI CHANZO CHA UZALENDO. UZALENDO HUINUA UHAI WA NCHI NA UTAJIRI WA NCHI KWA MAANA ZOTE . MZALENDO: MH HAYATI J P MAGUFULI, HAKIKA HUJAONDKA. UTAISHI DAIMA NA DUNIA IMESHATAMBUA HILO. MUNGU IBARIKI TANZANIA 🇹🇿 .
Ur were the only one in the world
Mzishiyamagufuri
🇹🇿
Ndomaana walikuuwa kwakweli uliipenda TZ.wakaamuwa kukuwahsha iliwasjulkane dhahabu ilyokuwa imefichwa kwenye makontena hayo.
My Own President
Bulldozer or JPM💪💪💪👍👍👍👍
Magufuli was the one of the president Never happen
Dah ningekuwa mlinzi wa huyu jamaa ningeua hadi nzi (🇹🇿❤️magufuli)
Ninakukumbuka daima JPM
Nice speech my last President JPM, rest in pic Jembe la kazi
Duu
Sai mzigo unasafirishwa kama kawa
Huyu Baba watu walimchukia bure tu. Alipiga kazi hasa.
Huyu raisi alitumwa na mungu kuja kutuongoza
chuma hiki hatari
Huyu Baba alikuwa na nia njema sio kwa Tanzania tu hata na Africa!
watuachie changa wetu....kama ingekuwa haunakitu wangewezaje kukubali cost ya kuusafirisha makontena na makontena?Wanatutia umaskini hawa
Hapa tuli poteza Rais kweli walio baki ni vilaza tu Leo ni bure tu
Walimuua washenzi
😂😂😂😂may rest in peace my soul
Fantastic!!!
Magufuli was the one of the president Never happen