KARIBU MWANZA: Tazama kwa juu Daraja jipya la Furahisha

Kwenye pitapita zangu ndani ya Mwanza wakati naisubiria FIESTA 2017 Jumamosi ya September 23, nimeendelea kujionea vingine ambavyo sikuviona mara ya mwisho nimekuja Mwanza.... mojawapo ni hili daraja jipya la wavuka kwa miguu.

Пікірлер: 73

  • @damianocostantine9042
    @damianocostantine90422 жыл бұрын

    Najivunia kuwa msukuma wa mwanza

  • @anisiamedard3775
    @anisiamedard37756 жыл бұрын

    Waoo my home switi Mwanza oyee. Asante Millard Ayo mi ni mmoja wao wa miaka hiyo kweli pamependeza

  • @sabrinaali8810
    @sabrinaali88106 жыл бұрын

    Niko Nairobi Kenya lkn siwez pasahau nyumbani home swety one day nitarejea

  • @saidkaoneka2648
    @saidkaoneka26486 жыл бұрын

    Hakukosewa kuwekwa kwenye kiti mungu ibariki Tanzania na viongozi wa chapa kazi na watafuta kiki safari hii watapata tabu sana kufuli likisha funga

  • @emjay1016
    @emjay10166 жыл бұрын

    aki mwanza ni nzuri sana pia kwa usafi wako vzuri tz nzima

  • @kingkasuku9703
    @kingkasuku97036 жыл бұрын

    Wakuja wanapaita Rock city na wazawa tunapaita mwanza karibuni mwanza ❤

  • @aishaaisha4092
    @aishaaisha40926 жыл бұрын

    Safi sana mwanza naona mambandiliko muko juu San kama malekani vile

  • @FaaidaTVtz
    @FaaidaTVtz3 жыл бұрын

    Hiyo ndiyo Mwanza ninayoijua mimi, jiji tamu, jiji tulivu, jiji yenye ukarimu, ahahah hahaha. Mwaaaaanzaaaaaaaaaa, I love you so much. #SoShoTV #SoShoFitness

  • @marrykamome4185
    @marrykamome41856 жыл бұрын

    Karibu ni Mwanza kwetu#Mwanzaaaa oyeeee...!

  • @AbnerKuo
    @AbnerKuo6 жыл бұрын

    Volunteered in this beautiful and authentic African town 3 yrs ago and I’m missing life back there so much right now.

  • @weremakururya4646
    @weremakururya46466 жыл бұрын

    attractive city mwanza is shining! !

  • @godfreyhiza1075
    @godfreyhiza10756 жыл бұрын

    Proud to be in Mwanza

  • @mudathiralarakyamiyanji9092
    @mudathiralarakyamiyanji90926 жыл бұрын

    milard huko mwanzaa kuna nini maana naonaa kama leo umewasifiaaaa sana wa mwanza hit like bttn

  • @upendorobert7298

    @upendorobert7298

    6 жыл бұрын

    Mudathir alarakya miyanji acha wivu, ayo nimpasha habari tena exclusive, jua maana ya reporter siyo unakurupuka tu kudonoa

  • @yangoshatv5327

    @yangoshatv5327

    5 жыл бұрын

    Mwanza all star 🙌🙌🙌🙌

  • @gabrielibrahim5842

    @gabrielibrahim5842

    3 жыл бұрын

    Hakuna lolote tunaongea kisukumaa mpaka town wako benki wnachat kisukumaa wako stendi wanaongea kisukumaa wako mahamani wao wanaongea kisukumaa tutupo jembe Nini ire bahaa Basi utasikia lugha tu mwaveja Sanaa tupo kwenye Kosta Ni kisukumaa kwakwenda mbereee Sasa mgeni najiuliza ivi Hawa wanajitambuwa ama ukabila Sana au ndoo wanatambulisha lughaaaa huwa siwasomii uko the kiss unakura vyombo kisukumaa ukoo ile bas ya karibu vila packy yanagonga kisukumaa tu huwa wananikeraaa iraa mwalimu Alina mbali sanaaaa Yani kwamwanza hataa wasome vpi utamjuwa tu huyu was kiree ziwa Victoria

  • @kakapascal5090
    @kakapascal50906 жыл бұрын

    Rutubisha akili kwa kutumia sangara,utajiri wa nchi toka rock city Mwanza. Ni wapi kombolela ikachezwa na mtu mmoja, basi,umoja ni nguvu utengano ni udhaifu. Mwanza yangu jiji la utulivu,ustaarabu na ukarimu teule.go east go far west Mwanza "the stone forest city" is the best of all living dates arround the 🌍. asante ndugu Millad Ayo nafurahia ubora wa picha za video zako,na wakati natazama video hii nilikuwa mezani nikila wali na sangara mnono. naam Mwanza stay in devine blessing as you are.

  • @neemaissa4546

    @neemaissa4546

    6 жыл бұрын

    mwaza oeeee mkoa wangu naupenda

  • @aligmohammed3738

    @aligmohammed3738

    6 жыл бұрын

    even cmb prezo the farther is from mwanza. am proud from mwanza.rocky city

  • @ashminaabdullah5626
    @ashminaabdullah56266 жыл бұрын

    Mm nimezaliwa Znz ila nikenda Mwanza nafurahi usafi wako vzur sana

  • @iamzillahx6901

    @iamzillahx6901

    6 жыл бұрын

    karibu sana mda wwt!! kama vp tubadlshane we ubaki mwanza namm nibaki Fumba

  • @irenewile

    @irenewile

    3 жыл бұрын

    Rudi nyumbani kumenoga

  • @geofleyshiuga2487
    @geofleyshiuga24876 жыл бұрын

    Daah ulaya b Ipo Mwanza

  • @aligmohammed3738
    @aligmohammed37386 жыл бұрын

    ccm kirumba &furahisha is ma home town

  • @aligmohammed3738
    @aligmohammed37386 жыл бұрын

    cheas ayo nc job.big love mwanza

  • @user-ky1py1sg1e
    @user-ky1py1sg1e2 ай бұрын

    Mwanza yetu nipanzi san jaman kalibun

  • @elizabethcosmas2554
    @elizabethcosmas25546 жыл бұрын

    I love my home place Mwanza city

  • @saidayusuph1852
    @saidayusuph18526 жыл бұрын

    woow . mwanz kwanza rock city ndo hm

  • @millardayoTZA

    @millardayoTZA

    6 жыл бұрын

    Yeeees mtu wa nguvu, nyumbani kwenu Mwanza napakubali sana

  • @aligmohammed3738

    @aligmohammed3738

    6 жыл бұрын

    Saida Yusuph am also from mwanza

  • @jackyluns8224
    @jackyluns82244 жыл бұрын

    Home sweet home😍😍

  • @irenewile
    @irenewile3 жыл бұрын

    Me niliondoka 2011

  • @2nukhamis447
    @2nukhamis4474 жыл бұрын

    Mashaa Allah ❤

  • @razaqabdoul8342
    @razaqabdoul83426 жыл бұрын

    Aiseeeeee saf xanaaa

  • @gegomnete4199
    @gegomnete41996 жыл бұрын

    Rock city

  • @aligmohammed3738
    @aligmohammed37386 жыл бұрын

    MA CITY MA HOME

  • @hidayasomariomari4650
    @hidayasomariomari46506 жыл бұрын

    mwanza kwetuuuuu

  • @chiefkong8472
    @chiefkong84726 жыл бұрын

    Rocky city home city...

  • @mohammedsalim6398
    @mohammedsalim63986 жыл бұрын

    kazi ya Dr pombe hiyo

  • @Elijahkha
    @Elijahkha4 жыл бұрын

    Lingekuwa dar kigamboni lingeibiwa taa za kuwaka waka uck kama la kigamboni

  • @geofleyshiuga2487
    @geofleyshiuga24876 жыл бұрын

    Daah lazima ni rudi Mwanza

  • @johnmatambi6232
    @johnmatambi62326 жыл бұрын

    Kwanza home bana.

  • @asiaissa976
    @asiaissa9764 жыл бұрын

    Maahallah

  • @rollupfashion.
    @rollupfashion.6 жыл бұрын

    My home

  • @mkwandagaspar7098
    @mkwandagaspar70986 жыл бұрын

    Yap liko poa

  • @josephmorinho6573
    @josephmorinho65735 жыл бұрын

    Zuri xanaaa nimelikubal

  • @musaabubakary7711
    @musaabubakary77116 жыл бұрын

    Mwanza pazuri xn

  • @kayukayu6468
    @kayukayu64686 жыл бұрын

    Mwanza mwanzaa

  • @ipyananjiro2241

    @ipyananjiro2241

    6 жыл бұрын

    Sisi Mbeya wanatuonea sana kodi zetu zinajenga kwingine yaani mwanza ndo irivo daa tunaonewa Anna uiano kabisa

  • @kingswebe3251
    @kingswebe32515 жыл бұрын

    Lazima ibadilike mana si ndo katoka magufuli

  • @jaystar1004
    @jaystar10046 жыл бұрын

    Yan nimeenda mwaka Jana mwez wa 8 kulikua hakuna daraja....miez kadhaa tu imepta daraja tayar😳.....asee 🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️

  • @lastseen6815
    @lastseen68156 жыл бұрын

    Mambo ya kawaida huku kwetu

  • @kasimukipingu9433
    @kasimukipingu94336 жыл бұрын

    Kwakua maendeleo yanaongezeka hilo daraja wangeweka kila upande njia tano hata kama ni kipande cha daraja tuu

  • @mohammedsalim6398
    @mohammedsalim63986 жыл бұрын

    msigwa umesahau na daraja la furahisha? kesho lalamikia daraja kujengwa mwanza badala ya IRINGA kwenye muelekeo wa watalii?? 😂 😂 😂 😂 MWANZAaaaaa

  • @balysonemmanuel4527
    @balysonemmanuel45276 жыл бұрын

    #mwanzakwetu

  • @oswaldmrema8964
    @oswaldmrema89642 жыл бұрын

    7

  • @stanleynombwe4865
    @stanleynombwe4865 Жыл бұрын

    Siasa tu hizo ili wabaki madarakani

  • @saidayusuph1852
    @saidayusuph18526 жыл бұрын

    karb

  • @millardayoTZA

    @millardayoTZA

    6 жыл бұрын

    shukrani sana Saida

  • @davidkilolelo8212

    @davidkilolelo8212

    6 жыл бұрын

    Wazawa walisha likimbia jiji

  • @samiahazali2027

    @samiahazali2027

    5 жыл бұрын

    Kazi ya mweshimiwa magu wengine wangeenda ulaya kula stalehe

  • @meshackngereja4444
    @meshackngereja44446 жыл бұрын

    Hakika panacea deza

  • @adamfundikira742
    @adamfundikira7422 жыл бұрын

    Magufuli huyo

  • @d.a.nicholaus
    @d.a.nicholaus6 жыл бұрын

    Mwanza inapendeza sana 👍

  • @gabrielibrahim5842

    @gabrielibrahim5842

    3 жыл бұрын

    Sawaaaa Sasa wabadilike na was lughaa mpaka town ujuwe wasukuma wanabowa mji Ni bomba Sanaa iraa swaga zaoo Ni karaha kila mtu Ana kabira bana Sasa wanakuwa Kama wanatangaza biashara ya lughaa hata rais hawamuonei aibuu rais anafanya Mambo makubwAa bas nasisi tubadilishe kulingana jiogorafi na taswira ya mini yetuuu haipendezi banaaa ndan ya vira pack yanagonga lugha the kiss lugha jamani wageni tunakosa poooz na mji was mwanza na ikiwa tunapapendaa udaga na dagaaa pow Sanaa IRA mibadilike haaaaaaa sio pow Gaby magomeni bongo

  • @rashidichingabwakx2848
    @rashidichingabwakx28486 жыл бұрын

    njooni TANGA muone madhari yake

  • @bestinarajabu34
    @bestinarajabu343 жыл бұрын

    7

Келесі