Joramu Nkumbi = HATARI YA BONGO FLEVA, Fikra Tunduizi za Mlumbi, AWATIA MOYO VIJANA
Ujana Maji ya Moto, Hatari ya Muziki wa Bongo Fleva
Жүктеу.....
Пікірлер: 25
@user-ip3wx6zn8g6 ай бұрын
Plo lumumba wa Tanzania ,, kama ulivoomba baraka kwa proffessor lumumba akubariki naakakubariki kwa kusema " be greater than I " naona unaenda kuwa greater hongera sana
@roviykamage54238 ай бұрын
Hongera sna joramu mkimbi ww ni shujaaa na marifa makubwa sna taifa likikutumia ipasavyo tutayavuna mema ya tanzania na africa
@joramunkumbi
8 ай бұрын
Asante Sana Ndugu yangu
@shenamtukufu12248 ай бұрын
Si kumuona huyu kulia mwenye kofia, uyu kdg kama amezingatia. Big up sana mwanangu chukua madini ayo Achana na lile punga kule linashangaa rangi nyekundu studio😢😂
@albertlucaskoisha73536 ай бұрын
Baadhi ya nyimbo za Bongo flaver zinaharibu sana watoto
@dr.ibrahimtirimbaondabu201426 ай бұрын
Hongera Joram, na vijana wacha tuwe na fikira tunduizi na hekima kem kem.
@philipomushi47666 ай бұрын
Hongera sana Joram Mungu akupe Neema zake zaid
@joramunkumbi8 ай бұрын
Ima fa Ima
@machaelghumpi9198
8 ай бұрын
Jamaa yupo vizuri sana nimepata somo kubwa sana
@Mpakauseme6 ай бұрын
Elimu dunia wimbo mzuri sana
@shenamtukufu12248 ай бұрын
Vtuo uchwala kama iv huwa siangaliag mm ila kwa sababu Yupo mtu ninayempenda kabisa ndio maana nmejikuta natulia kumchek mkatabau. Kina lala lala kifour tupa kule hasara ya taifa iyo.
@shenamtukufu12248 ай бұрын
Nakupenda sana kaka joram Huna mangungumabro.
@cylousjeremiah37688 ай бұрын
Kaka nakukubari sana kila nikikutizama ninamuona Mwl nyerere ndani yako ww utakuja kuwa raisi wa kizazi chetu
@mosesmwasanga76618 ай бұрын
Yule ndugu hapo pemben anahitaji msaada sana😢
@Mpakauseme
6 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@user-yh4xs4sg7b7 ай бұрын
Big thinker
@user-ni1mc1hc3d8 ай бұрын
Message sent & delivered💯
@philemonmwakanyamale38568 ай бұрын
so insightful🙏
@FrancesMngoya8 ай бұрын
Kizazi chenye vichwa Tanzania but serkal inajifanya haioni, Nataman one day uende mbugen ukawape somo kdg ya (How to know a good leadership)
@Mpakauseme
6 ай бұрын
Wachache sana , vijana waliowengi mapunguani
@shenamtukufu12248 ай бұрын
Mchek uyo dogo uko sjui Yupo apo kufanya nn, jamaa anaongea madini ye Yupo bz na simu dah adi roho inauma kweli Vijana hatuoni mambo mazuri fursa. Mtu muhimu kama huyu amekuja ulipo unakuwa bz na ushenz. Uyo dogo hafai Fala kbs. Au alitaka Bongo flava wawepo appo ndo awe amakinike
@cylousjeremiah37688 ай бұрын
Kama itakupendeza nipate cm namba yako nipate namna ya kupata vitabu vyako kwa njia rahisi
Пікірлер: 25
Plo lumumba wa Tanzania ,, kama ulivoomba baraka kwa proffessor lumumba akubariki naakakubariki kwa kusema " be greater than I " naona unaenda kuwa greater hongera sana
Hongera sna joramu mkimbi ww ni shujaaa na marifa makubwa sna taifa likikutumia ipasavyo tutayavuna mema ya tanzania na africa
@joramunkumbi
8 ай бұрын
Asante Sana Ndugu yangu
Si kumuona huyu kulia mwenye kofia, uyu kdg kama amezingatia. Big up sana mwanangu chukua madini ayo Achana na lile punga kule linashangaa rangi nyekundu studio😢😂
Baadhi ya nyimbo za Bongo flaver zinaharibu sana watoto
Hongera Joram, na vijana wacha tuwe na fikira tunduizi na hekima kem kem.
Hongera sana Joram Mungu akupe Neema zake zaid
Ima fa Ima
@machaelghumpi9198
8 ай бұрын
Jamaa yupo vizuri sana nimepata somo kubwa sana
Elimu dunia wimbo mzuri sana
Vtuo uchwala kama iv huwa siangaliag mm ila kwa sababu Yupo mtu ninayempenda kabisa ndio maana nmejikuta natulia kumchek mkatabau. Kina lala lala kifour tupa kule hasara ya taifa iyo.
Nakupenda sana kaka joram Huna mangungumabro.
Kaka nakukubari sana kila nikikutizama ninamuona Mwl nyerere ndani yako ww utakuja kuwa raisi wa kizazi chetu
Yule ndugu hapo pemben anahitaji msaada sana😢
@Mpakauseme
6 ай бұрын
😂😂😂😂😂
Big thinker
Message sent & delivered💯
so insightful🙏
Kizazi chenye vichwa Tanzania but serkal inajifanya haioni, Nataman one day uende mbugen ukawape somo kdg ya (How to know a good leadership)
@Mpakauseme
6 ай бұрын
Wachache sana , vijana waliowengi mapunguani
Mchek uyo dogo uko sjui Yupo apo kufanya nn, jamaa anaongea madini ye Yupo bz na simu dah adi roho inauma kweli Vijana hatuoni mambo mazuri fursa. Mtu muhimu kama huyu amekuja ulipo unakuwa bz na ushenz. Uyo dogo hafai Fala kbs. Au alitaka Bongo flava wawepo appo ndo awe amakinike
Kama itakupendeza nipate cm namba yako nipate namna ya kupata vitabu vyako kwa njia rahisi
@joramunkumbi
8 ай бұрын
0757464874
@ANNAJOSEPH-oz8vd
3 ай бұрын
Big up bro..keep it up@@joramunkumbi
Busara na kiswahili sadifu kabisa