JORAM NKUMBI-Msikilize Mlumbi akiwapa madini mamia ya vijana walioshiriki katika

Katika #NJEYABOXYOUTHTALK iliyoandaliwa na Ufaulu Project Tanzania, Vijana zaidi ya elfu moja na mia tano walipata bahati ya kujifunza mengi kutoka kwa ndugu Joram Nkumbi ambaye ni moja ya vijana mahiri na machachari katika kukuza uzalendo na kuhamasisha matumizi sahihi ya lugha ya kiswahili sambamba na uongozi mahiri kwa vijana wa Tanzania na Afrika nzima. Katika hotuba yake Ndugu Joram alihimiza vijana kuwa na uthubutu, kujituma na kujijengea mazoea ya kuwaza NJE YA BOX, ili elimu wanayoipata darasani iweze kuwa na manufaa kwao na kwa jamii nzima ya Tanzania na bara la Africa kwa ujumla.

Пікірлер: 24

  • @Giliad-atsua1y
    @Giliad-atsua1yАй бұрын

    Nimelipenda somo hili❤❤🎉

  • @ibrahimjumanne3953
    @ibrahimjumanne3953Ай бұрын

    Hongera sana rafiki yangu Joramu Nkumbi na waliondaa hadhara hii kwa Wana chuo, Mungu awabariki. Mimi Mwl Ibrahim Jumanne Mbeya.

  • @benedictbuberwa3943
    @benedictbuberwa3943Ай бұрын

    Safi sana .. Umenifurahisha sana kwa hoja nzuri katika lugha yetu ya kiswahili..

  • @user-so9fo5tv3j
    @user-so9fo5tv3j2 ай бұрын

    Stay blessed Mr. Joram Nkumbi.

  • @hidayaismail-fk1js
    @hidayaismail-fk1jsАй бұрын

    all the glory comes from the perseverance of the beginners

  • @iddibaruani5615
    @iddibaruani5615Ай бұрын

    Great speech of all time

  • @user-so9fo5tv3j
    @user-so9fo5tv3j2 ай бұрын

    Stand up with justice being witnesses for God. And then even if it is against your own people. (Quran 4:135)

  • @FettyWaziri-yk2tv
    @FettyWaziri-yk2tvАй бұрын

    All glory comes from daring to Begin🔥🙏

  • @nicksonkajuna450
    @nicksonkajuna450Ай бұрын

    Nimemsikiliza mr Jorum kati ya maneno ya kingeleza alio ongea ni mawili t kwenye hotuba yake yote mathematical na excel

  • @chrismassawe2939
    @chrismassawe2939Ай бұрын

    Hongera sana mwalimu

  • @venancefredrick549
    @venancefredrick5492 ай бұрын

    Hongera brother Simon Chamy

  • @simonchamy9367

    @simonchamy9367

    2 ай бұрын

    Asante sana

  • @user-so9fo5tv3j
    @user-so9fo5tv3j2 ай бұрын

    Ma Shaa Allah

  • @amimuabdalatifu8542
    @amimuabdalatifu85422 ай бұрын

    A moment to remember

  • @simonchamy9367

    @simonchamy9367

    2 ай бұрын

    asante sana

  • @hassanlubola414
    @hassanlubola414Ай бұрын

    Big up brorher JN

  • @marcoemanuel6892
    @marcoemanuel6892Ай бұрын

    Good talk

  • @valyagraphicstz799
    @valyagraphicstz7992 ай бұрын

    𝑵𝒊𝒄𝒆 𝑻𝒂𝒍𝒆𝒏𝒕𝒆𝒅 𝒎𝒂𝒏

  • @sajidseleman6641
    @sajidseleman6641Ай бұрын

    Bro unavitu vingi sana kichwani

  • @anizethjoseph2914
    @anizethjoseph2914Ай бұрын

    Great speech indeed 🤝

  • @godichua4457
    @godichua4457Ай бұрын

    Huyu jamaa ana miaka mingapi?

  • @AlkhajidioufYambo

    @AlkhajidioufYambo

    Ай бұрын

    😅

  • @mzongekibwana838

    @mzongekibwana838

    Ай бұрын

    Mdogo sana😅😅😅

Келесі