THE JUNCTION S1:E19 | JORAM NKUMBI & LYDIA CHARLES
Ойын-сауық
#iRoctv#iRocNetworks#fashion#taifastars#ulumbi#joramnkumbi#afcon#Yanga#lydiacharles#climate#Simba,#Zuchu#Podcast#PodcastTanzania#DiamondPlatnumz#Alikiba#Harmonize#Afyayaakili#Usawawakijinsia#SamiaSuluhu#babalevo #mwijaku#magufuli5tena#tanzanianshow#connection#mamakizimkazii#afyayaakili
Пікірлер: 62
Kama chuo ningekua na makinika hivi katika kusikiliza mada kama leo nlivyotega sikio kumsikiliza Mlumbi ningekua mbalii sanaaa,,,Matukio umeweza kipindi kizuri sana
@lokokontent
4 ай бұрын
😅😅😅
@Smart_package
4 ай бұрын
Mlumbi sio😂😂😂
@Boaz22
4 ай бұрын
Tatizo ulikua unawazaga mapenz😂
@iRocNetworks
4 ай бұрын
😂😂
@davideliakim2167
3 ай бұрын
Ukimakinika kutega sikio kwa mlumbi utarg’amua kuwa rahaja katika kila abra anapata. Usanifu katika kutohoa hoja haikuchoshi hata kidogo
sema huyu mwamba JORAM NKUMBI dahhhh... nafkiri kiswahili kingekuwa kinafundishwa na kutiwa latha namna hii, ingekuwa poa sana.
😂😂😂😂, 1:03:00 nakuendelea, nmecheeeekaa sana, WAJUMBE NI WATU SERIOUS SANA, KWANZA HAWAKUANGALII KWA MACHO BALI WANAKUANGALIA KWA MDOMO🤣🤣🤣🤣🙌🙌
@elmilson8052
3 ай бұрын
😂😂😂
When I saw joram I had to tune in …incredible Swahili speaker . Big up the host 🇬🇧🇬🇧🇬🇧💯💯💯👌
Joram akiongea kiswahili una enjoy sana😂😂😂😂😂😂it feels like comedy
Charles hamna rangi utaacha ona leo I love joram nimefurahi sana akiongea kiswahili
@iRocNetworks
4 ай бұрын
😂😂
Leo Matukio ume cheka Sana, kiukwel ni ipenda Sana show, Asante Sana Nkumbi Nina vingi vya kujifunza kuusu kiswahili mufuti🤣🤣🤣 love this show
@iRocNetworks
4 ай бұрын
😂😂
Joram namkubali sana .. intellectual mind .. huyo dada mwenyewe kakaa kitako anaskiza madini.
🔥🔥 Ulumbi kila pahalaa
Big up
Jamaa anajua sana, Apewe tuzo yake 2
@mosesobunde
20 күн бұрын
That is Character, hiyo ndo chachu ya yeye coz ndo kinachomtofautisha na wengine. Tumpongeze
Mbeja mwenye umbeja
Huyu Joram 🔥🔥🔥🔥🔥
Wabaadu wakatabahuu fakhiiir nami nayeyuka huku nikiweweseka kiwendawazimu, naam Ulumbi kila pahala
Big show watu makini sana,nitafurahi nikimuona fid q kwenye junction
@iRocNetworks
4 ай бұрын
Thank you for watching❤
Bwana Matukio anaonekana ni mwenye papara. Hadi anataka kuharibu usimulizi wa Mtaalamu. kushaangaa shangaa kila kitu bila sababu muhimu
I feel so sorry to that other guest .. you should have brought this dude alone the host .. she is sitting so lonely 🥲🇬🇧💯🙏 … great show though
@bayzoempire5984
4 ай бұрын
😂😂😂😂
Nimependa sana haya mahojiano👍🏽🔥..big brains
kaka matukio this videos is so HD but voice inakuwa ina mikwaruzo
Bora kabisaaaa 2024
Mmenena vyema
Huyu presenter ninamfananisha na mtu imara 😊
@dankhany3385
4 ай бұрын
hatari sana kaka❤❤❤❤ maana ilibidi nimuangalie mara mbili mbili
Kaka kwa show niseme tu Tunashukuru sana.
@iRocNetworks
4 ай бұрын
Keep watching, mazuri mengi yanakuja😊
😂😂😂😂 noma na nusu
Namfurahia Mlumbi nikiweweseka kiwendawazimu😍😂🔥
The Junction @🥂
Mlumbi anavyocheka na enjoy sana naweweseka kimwenda wazimu😂😂
WAZO: Kuna haja ya kuleta mtu kama Joram mwengine na wote wakae Pamoja... tusikie Kiswahili
Very insightful conversations 😊
The Best.
Hii comment please aijibu joe,Joe ukimuangalia huyu dada mbele yako unaona nini kinaweza kutokea endapo wadada wote wakiwa mfano wake
An Leo tukae na madaftar pemben😅😅
@abdulrahmankhatib8595
4 ай бұрын
Kuna fikra tundwizi
@user-rd7td8yf9o
4 ай бұрын
@@abdulrahmankhatib8595 kwa kwelii😅
dah huyu mwamba
Natamani Abby Cham angefuatilia hiki kipindi kingemsaidia sana.
AHAHAH JORUM NKUMBI
😂😂😂mlumbi
😂😂😂
Sichekigi podcast hila hii kiboko ... sikumbuki last time nimekaa youtube 2 hours watching the same thing
@Chillverse1312
4 ай бұрын
Keep up the good work!
@dankhany3385
4 ай бұрын
true true
@iRocNetworks
4 ай бұрын
Keep tuning in, mengi mazuri yanakuja😊
Kiswahili chake kitamu sana sana akiongea napata raha
Host unayumba.... Host ujatulia kabisa
@badmanno.1650
4 ай бұрын
Nivile aliowaalika ni wasomi .. na mada zilizokuwa zikizungumzwa ni nzito.
Kipindi chenu ni kizuri namimi ni mtazamaji mzuri wa hiki kipindi, ila ni kirefu mno kama movie la kihindi yaani, hivyo ushauri wangu at least mkate katika vipande vichache vichache vikiwa na heading ya kuvutia hapo itapendeza zaidi
@issataslima9846
3 ай бұрын
Acha uvivu
host acha mapepe jomba