EXCLUSIVE: BENJAMIN AFUNGUKA SH. BILIONI 23 ALIZOPATA, HAJUTII KUKATAA KAZI GOOGLE, NALA YAINGIA U.S
Жүктеу.....
Пікірлер: 531
@innocentmlingi19112 жыл бұрын
Too inspiring, costless education, eyes talk,ukimtazama jamaa usoni na kusikiliza maneno yake unaona jinsi jamaa ana upendo kwa nchi yake na Bara la Afrika pia,umenipa mengi sana ya kujifunza na kujitafakari binafsi.Mungu azidi kukutunza sana Benjamin. Bravo bravo bravo!
@hamoudcreator63432 жыл бұрын
Benja, Kiukweli Leo Nimepata Muamko Mkubwa Sanaaaa 🔥🔥 Mungu Akubariki... Nakukubali since day one Mpaka Leo ...
@philosophyalen2 жыл бұрын
Naishi Uingereza nilikuwa natumia World Remit wanakata, baada ya kuona hii interview nimejaribu kutuma no hidden fees nimepata exchange nzur Sana, kaka nadhani ujikite kwenye marketing watu hawajui
@lissamsalu12345
2 жыл бұрын
Kweli jaman
@christinen8291
Жыл бұрын
Nipatiye namie nitumiye kutuma pesa
@user-lt8id9lv4x
3 ай бұрын
How about security
@user-lt8id9lv4x
3 ай бұрын
How about security
@saidseif7469
10 күн бұрын
@@user-lt8id9lv4xthey have bank grade security
@karthala66762 жыл бұрын
Well done Kenya for supporting your brother
@pacdaud68482 жыл бұрын
Jamaa anajua jamani,, mi binafsi naisi muhemuko mkubwa sana ukiskiliza vizuri hii interview you get alot of life summary 🧡
@magreth79812 жыл бұрын
I saw him when he was 5 or 6 yrs old ATN church, his Father&mother are Pastors personal they teached me alot about Jesus- God has bless him im sure for the good work the parents do for the body of christ, i hope to meet you someday, Big up and congratulations Benjamin, for this step and all the best !👏🙏
@mokiridaniel6795
2 жыл бұрын
Haswaaaa
@jumannemagashi4303
2 жыл бұрын
Qq
@jumannemagashi4303
2 жыл бұрын
Q
@jumannemagashi4303
2 жыл бұрын
Q
@jumannemagashi4303
2 жыл бұрын
Q
@superwarema23092 жыл бұрын
Great. Mungu ambariki Benjamin na ndoto yake na upendo wake kwa nchi yake Tanzania.
@asnaryissack25822 жыл бұрын
MashaaAllah. Wishing You The Best Brother Benja. Big Up Br. Millard💪
@emmymatigula48702 жыл бұрын
Ben,funguwa chuo chako hapo nyumbani usaidie vijana wenzio Utafanikiwa pls.🙏🏾🙏🏾❤
@alexfrank53422 жыл бұрын
Maneno kama haya wanaongeaga ma genius Thank you so much
@kelvinminja2 жыл бұрын
So inspired by him. Big up Benjamin. Kila la heri.
@vicentkamwaya35422 жыл бұрын
Inasikitisha sana.Uganda, kenya Tanzania ya mwisho kumpa ushirikiano.Duh!
@peterjanuary7972
2 жыл бұрын
Haya mambo viongozi wetu wamwkuwa ni wahuni kila mahara ni migando kupita kiasi mtanzania anaamua kujitoa na kuwekeza kwenye sekta ya ya teknlojia lakini ubabaishaji unakuwa mwingi tunahitaji kujichunguz sana kunaanzia kwenye elimu madarasani ukweli mfumo huu ni mkubwa sana viongozi wetu wamekuwa wakihusika kuchelewesha maendeleo ya vijana kwa mazoea yao et vijana hawaaminiki ukweli uhuni ni mwingi sana.. tanzania jamani tuamke kwa kutafakari mda wote.
@nth35122 жыл бұрын
MASHA ALLAH, hongera sana kaka, Tanzania kuna dharau ambazo zinaturudisha nyuma. Mfano huyo profesa aliekuuliza una phd gani... Tanzania mnaangalia vyeti sana zaidi ya output
@noorbazaar9063
2 жыл бұрын
Ndio maana uteuzi unazingatia Doctorate but output is poor!!!
@xamael1989
2 жыл бұрын
Ma profesa mafala sana hamna kitu zaidi ya makaratasi yao
@xamael1989
2 жыл бұрын
@@noorbazaar9063 tuna taka out put sio upuuzi wa makaratasi
@xamael1989
2 жыл бұрын
@@noorbazaar9063 Phd zime kuwa kama title zaidi meaningless in the grand scheme of things kama una jua una jua
@josephrichard5372
2 жыл бұрын
Aisee hzi elimu sizielewi hata ,hawana invetion wala hawaangaiki kutatua matatizo zaidi ni kukosoa watu wanaoumiza vichwa ,honestly wanafanya vibaya
@alfredshukuru70572 жыл бұрын
This man deserves award from Tanzania government
@abelg2488
2 жыл бұрын
Sure he need a recognition to encourage more Tanzanins to become the best for the country
@mercyzephania5507
Жыл бұрын
kabisaa,ila sio bongo yetu hii..kwanza ukiwa ivo wanakuona threat kuliko kukuona kama asset..soo sad
@josephatjoctan32782 жыл бұрын
Two inspiring youths in one video💪🏽 May God Bless You two for us🙏🏽
@samsgilman01
2 жыл бұрын
🔥🔥🔥
@lucasmsuka8252
2 жыл бұрын
Kabisa. Ni Vijana wawili wenye weledi katika video moja
@ombenimollel68422 жыл бұрын
Big up sana Benjamin,,, Very inspiring.... Government Kuna vitu vya kuchukua hapo lazima kubadilika tuende na kasi ya Dunia
@madirishasimon96922 жыл бұрын
Nimewaza Mambo mengi Sana kuhusu kipaji Cha huyu jamaa abarikiwe
@enockwinston71972 жыл бұрын
kiukweli TZ kuna mapungufu makubwa sana kwenye sheria zetu, watunga sera wetu hawajui/kutambua mambo mengi sana, kuna hitajika sana kufanya mabadiriko kwenye sheria hizi kandamizi zinatukwamisha sana vijana especially kwenye ulimwengu wa technologia. Big-up benjamin
@godfreyfrance972 жыл бұрын
Usipojituma utatumikishwa ! Naishi nayo hii Brother. Mungu akufanyie wepes ufikie ndoto
@fadhilysalum36612 жыл бұрын
Great work. Keep up the good work Mr Benj 💪
@abdulkarimahmed31832 жыл бұрын
Mashallah milad ayo mwambie Benjamin aje Oman afungue pia app ya NALA tupo watanazania wengi sana huku
@joharishabani2893
2 жыл бұрын
Kwer. Kabisa
@kilimotikiti92942 жыл бұрын
Ni kweli watanzania tunatakiwa kum-support Mtanzania mwenzetu kwa kutumia App yake kufanya transaction(s) kutuma pesa nyumbani. Huyu kijana ana maono, itapendeza tukimnyanyua. Kweli wakenya wanatuzidi kutumia huduma hii ambaye founder wake ni Mtanzania. Good job, Ben
@EliahParpulisEvalyneMkulati2 жыл бұрын
Wow!! Kazi nzuri sana Benjamin. Juhudi zako zinatia moyo kwa sisi vijana ambao tunapambana!! I can't wait to use your app here in US to send money to my sweet home TZ, count me as one of users to #NALA!! Big up sana Mtanzania mwenzangu and be blessed!! Ushauri kwa Mr. #MillardAyo inabidi mfungue online session about tech na bwana Benj hapo bila shaka watanzania na wengine wangependa kujifunza masuala hayo!!
@ramadhanimsuya22502 жыл бұрын
All the best benj TANZANIA we proud of you
@NyengolismTV2 жыл бұрын
Mimi nipo chuo cha Dodoma, college ya Informatics and Virtual Education, nkiwa nachukua course ya Computer Science. Katika swala la kuita maprofessional kuja kufundisha chuoni hyo inasaidia sana! kwa7bu tunavyosoma kuna mda vinakua vigumu mpaka unakata tamaa, hila unapo muona mtu ambaye kafanikiwa kupitia field hii, hata kidogo inatia moyo! Pia kuna watu wanasoma but hawajui hata wancho kisoma wataenda kuki apply wapi! Watu kama hawa ndio ambao wanaweza kufanya majibu ya maswali mengi kujibiwa!!! Aiseeee afanye hata siku moja kuja kufanya seminer hapa, naona kama Harvard wanawaita wakina Mark zuckerberg, kwanin sisi tusiwatumie watu hawa!
@highzacknnko9685
2 жыл бұрын
Wanachuo huwa wanayo dharau sana ukija kuwashauri watakuambia mbona wewe hujafanikiwa,nikiwa chuo alikuja Joel nanauka lakini watu walikuwa kazi ni kubeza tuu....kama anafundisha hvi mbona hatajiriki
@cbegram6161
Жыл бұрын
@@highzacknnko9685 ukweli😅😅😅😅 lakini siyo wote😅😅😅 na kuna ambao watanufaika😅😅😅
@samniza17632 жыл бұрын
I am going to try Benjamin, you are from my home town Tanga, I know your dad, Rev. Vernon Fernández, I am definitely going to upload the app.
@zuweinaally24132 жыл бұрын
I hv learned alot from this interview welldone ..Mungu akusimamie Inshaallah
@Philemon24112 жыл бұрын
NALA listed in NASDAQ agreat dream Benji keep up the good work man.
@xamael1989
2 жыл бұрын
Nala haipo nasdaq ila soon in 2 years it enda public refer kwenye time line 9:19
@paulinacherement2534
2 жыл бұрын
God towerds efforts for all big up brother
@paulinacherement2534
2 жыл бұрын
Nala soon.wiil toproud inshallah
@Truly_Afrikan2 жыл бұрын
I am impressed. Congratulations Benj
@edisonkashaija40672 жыл бұрын
Big up wewe ni kidume wa nguvu sana hakika mungu atakucmamia na utatimiza ndoto yako ya kweli 💪👏
@samwelimoshi5614
2 жыл бұрын
Atimize ndoto gn wakat tayar ana 23bilion
@kisakim5660
2 жыл бұрын
Mungu / MUNGU sio mungu hii inamaanisha mungu wa Dunia hii yaan shetani
@Winstonfying2 жыл бұрын
Tanzania government and leaders, please wake up. Investing in Tanzania its really hard especially when it comes to technology things.
@GEORGEOSWARD-uc7sr3 ай бұрын
Kwa kweli ukimsikiliza mr Benjamin, unajifunza mengi sana. Natamani sana vijana tujifunze sana kupitia huyu jamaa. Mungu ambariki, naamini atafanikiwa sana kwa mawazo aliyonayo.
@TAMay-vf5xt2 жыл бұрын
Benjamin you are really a Tanzanian with Tanzania at your conscious. Keep it up. I am really touched with your commitment.
@brunompolle14042 жыл бұрын
Mungu akusaidie ufike mbali zaidi na ubarikiwe kwaupendo wako kwa nchi yangu
@dansonkasala17842 жыл бұрын
Hii ni akili kubwa sana na yenye uzalendo mwingi sana.....Serikali ni muhimu sana kufinance watu kama hawa kwa manufaa ya Taifa.
@ramadhanimtozeni80302 жыл бұрын
Benjamin, you are doing great, may God bless you!
@aliabdullah88192 жыл бұрын
Hongera Benjamin kwa jitihada zako Allah akuzidishie ujuzi. Hongera pia Milad kwa masuali mazuri kwa kijana wetu nadhani Serikali itayafanyia kazi kwa haraka.
@zachmaselle66352 жыл бұрын
Technology tukiishiks, itaajili vijana wengi sana. Tatizo letu ni uelewa wa viongozi wetu.
@muhsinmwamkunja97022 жыл бұрын
yaah you are the best one mr Benjamin
@callmekingty25322 жыл бұрын
Very inspiring 🙏🏿
@ismailmatari9162 жыл бұрын
Hongera sana benjamin nimepata kitu kwako hongera pia milard ayo kwamaana hassle ring zako pia tunazijua vjana ni lazima tuchangamkie fursa ni lazima tuendane na speed ya dunia ilivo kwa sasa bila kisahau kumuweka mungu mbele na kumuabudu....🤝
@stationxplore54192 жыл бұрын
mm kama kijana nimefurahi nimekuwa inspired kutimiza ndoto na kuijenga nchu yangu nimegundua kuwa sio lazma kuhamia nchi nyingine ili kutimiza ndoto God bless you benj na kaka Ayo
@barryjeremiah10992 жыл бұрын
Allah akuongezee unafanya kaz kubwa sana brother
@rankdave53342 жыл бұрын
This is an amazing story. There is no reason for Tanzanians to hate on Kenyans. We are all brothers. Matusi kwa social media tuache. Wakenya na Watanzania ni mandugu.
@jenipherjames5475
2 жыл бұрын
Yes that point...karibu TANZANIA
@rankdave5334
2 жыл бұрын
@@jenipherjames5475 Asante. Pia wewe Karibu jiji kuu la Nairobi.
@miltonmachage2462
2 жыл бұрын
Lkn utani upo mfano sio mandugu ni ndugu
@bestmindcoolingrelaxationm1084 Жыл бұрын
My brother Millard ayo, nakushukuru kwa hii interview imenihamasisha sana Mimi kama software developer🙏
@bebiwayda24472 жыл бұрын
Ningekuwa na nafasi ya kumshauri Rais Samia, ningemshauri amteue Kuwa waziri wa wiźara flani hivi, Great Brain. Jameni watunzeni vijana vizuri wana potential ya kuinua uchumi wetu.
@mohamedhassani2179
2 жыл бұрын
Sio Lazima uwaziri awe mshsuri wa Rais inatosha
@bayokonelson6508
2 жыл бұрын
Kakataa kuajiriwa Marekani hapa bongo ndo atataka
@nhalekasmir478
2 жыл бұрын
Amekataa mshahara wa million 400 kwa mwaka kampuni ya Google awe wazir mshahara million 5 sijui 6
@noelngowitechnicalsolutionАй бұрын
Thanks a lot Millard Ayo and Benjamin Fernandes I am learning a lot from you
@yahyamkone56012 жыл бұрын
Hakika huyu benja ni mzalendo wa kweli kabisaa lazima watanzania tumsaport kwa nguvu zote
@samwellema56422 жыл бұрын
We proud of you brother 🙏
@gwakisamwakilema2 жыл бұрын
Ni app Nzuri Sana na Mungu akubariki Sana #Benjamin utafika mbali sana #Great_thinker
@lodrickkisanga86812 жыл бұрын
Brother Benjamin big up sana,,, wewe n mtanzania halisi vijana inabidi tukuunge mkono na kujifunza sana kwako
@georgekipunga11742 жыл бұрын
Hongera sana Benji. Mungu akutangulie ktk kaz na maono yako. NALA ije USA pia mkuu climb that mountain buddy
@kadirdhulfiqaar7820
2 жыл бұрын
Ipo George
@maujanjatv24h41
2 жыл бұрын
Ije mara ngapi?
@mohamedjeizan59292 жыл бұрын
Mashallah. Mungu akuzidishie
@alexchiwenda95402 жыл бұрын
Miaka kadhaa huko nyuma rafiki yangu mmoja alinieleza jinsi Tanzania tulivyokosa fursa ya kupatia vijana wetu ajira baada ya mwekezaji mmoja mzungu kuvunjwa moyo na kuhamishia uwekezaji wake nchini Uganda. Mwekezaji huyo alitaka kufungua kampuni ya ufugaji mbuni, lakini alipigwa danadana kwenye ofisi moja baada ya nyingine. Baada ya kuona miezi inapita na hapati ufumbuzi alienda Uganda na ndani ya wiki 2 (wakati huo) akafungua kampuni. Nashangaa hadi leo ukiritimba bado upo!!
@mercyzephania5507
Жыл бұрын
upo mnooo .. yani kwanza ata system ya makodi is soo unreasonable...wangeangalia i say...makampuni mengi yanafanya kona kona kisa tu ivo
@emmanuelgasper66092 жыл бұрын
Very inspiring!!!! Congratulations brw
@laurentmadafu69052 жыл бұрын
Hongera sn mr. Benjamini kwa kutuwakilisha vyema watanzania
@sperospera20232 жыл бұрын
Man ur the real patriot, more bless, more hard work, bless to our government Tanzania
@IBENGM2 жыл бұрын
Big up sana kwake..jamaa yupo very smart
@mackdonaldkainga40512 жыл бұрын
Brother Benji congratulations 🎊
@digitalworld55772 жыл бұрын
Sijui wenye mamlaka wanajisikiaje wanaposikia maneno kama haya kucheleweshwa! kucheleweshwa! Inasikitisha sana kuona kila mwekezaji analalamika ucheleweshwaji wa mambo ndani ya Tanzania.
@starspreandprimaryschools30752 жыл бұрын
Yes Benja, I appreciate your achievements, God lead you to achieve the desire of your heart. NALA hoyeee.
@muntathirsilima3351 Жыл бұрын
Mungu Ni mwema Sana na wa kushukuriwa , kijana anajambo kubwa la kujifunza mola amsaidie Sana, sio kwa vijana sio kwa serekali , ametupa funzo kubwa . Ni juu yetu kumpa support ya japo kupakua app yke
@viff5472 жыл бұрын
Mr Benjamin umenifurahisha pale uliposema "namjua Kila niliyemtumia maombi ya kuwekeza kwenye Nala akanikatalia😄 ninao kwenye Compyuta" 😂🤝
@jacksonjudicate93882 жыл бұрын
Our system is way too back... The government should accept changes to cope with the world.. or else will never be in the list of tech companies
@iddikibwana91852 жыл бұрын
Hongera Sanaa Benjamin una malengo makubwa . Umewaonyesha njia vijanaa
@bahi_bay242 жыл бұрын
Congratulations 👏 Benjamin. Hakika uko vizuri..
@brysonjohnlukumay2 жыл бұрын
Nimependa sana hii interview.Imenipa hamasa sana ya kupambana
@amanikingu5698 Жыл бұрын
Hongera sana Benjamin..... Keep going you are growing. Tanzania tunahitaji kuchukua hatua za vitendo zaidi kuliko maneno tu. Hongera pia Ayo unafanya kazi kubwa sana
@samwellucas90072 жыл бұрын
💪 be blessed brother
@iddikimia49512 жыл бұрын
Big up Home boy keep it up na Millard plz utupe updates kila anapotea bidhaa
@alimohammed85402 жыл бұрын
Mungu akuongezee kipaji na uwezo
@kevinoisso31742 жыл бұрын
Great interview with full of inspiration to us youths of Tanzania
@dakhu47402 жыл бұрын
Big up brother its a great thing Keep it up
@abdulwahabjambeni51062 жыл бұрын
Tanzania needs to automate their government services..... things will change big time.
@samsonbushasha72982 жыл бұрын
Ben, There is a big market here in US . Work with us( Burundians, Congolese and …)
@yusuphkapilimka2 жыл бұрын
Millard hizi ndo habari zinafaa kushinda kwenye maskio ya vijana na tupunguze udaku🙌
@samniza1763
2 жыл бұрын
You are so so right, sio kutuletea WCB lol!
@saimonijonas4356
2 жыл бұрын
Mimi huw nikimuona mwenyewe mwenye Milado Ayo huwa najua anakuja nakitu kitamu,ufunguo wa akili,afya ya kujielewa.
@josephinemeena2207
2 жыл бұрын
@hangatvonline Tz p1t
@hamenyagerald75332 жыл бұрын
We call it true inspiration
@rahmajuma68252 жыл бұрын
Allah barik mr #Benjamin
@egt78932 жыл бұрын
Patriotic Interview
@johnsonjohnson33652 жыл бұрын
Bro this man his on another level
@joycembago52132 жыл бұрын
Mungu akubariki mawazo yako yafike mbali nimependa sana
@saumusalimuhassan24992 жыл бұрын
Mashallah, hongera sana Benjamin
@patricknyiti53032 жыл бұрын
Serikali ikubali Uraia pacha kusaidia watu kama Hawa kina Benjamin 🔥🔥
@nguyekorajabu1592
2 жыл бұрын
huyu ni Mtanzania 100% , japo wazazi wake ni Makaburu waliotokea South Afrika ,ila Mshkaji kakulia Tanga
@patricknyiti5303
2 жыл бұрын
@@nguyekorajabu1592 nafahamu ni mtanzania ...Ila aruhusiwe kupata Uraia wa Uingereza au Marekani kurahisisha mambo yake
@kilapilokilapilo7712
Жыл бұрын
Umenena vyema sana ndugu yangu, Patrick Nyiti. {Nafikiri ni muda muafaka sana, kwa sasa kwa nchi yetu, Tanzania kuruhusu suala la uraia pacha}.
@sewandomkuchu92672 жыл бұрын
Hongera sana Benjamin...Tunaisubiri NALA USA...Hongera Millard..good interview.
@barakalusinde22 жыл бұрын
God bless People like Benjamin🙏🙏
@esterdonald54972 жыл бұрын
Hongera Sana, Bwana Yesu akutangulie.
@dayanakuboja39702 жыл бұрын
Hongera sana Benjamin,Mwenyezi Mungu akuongoze kubadilisha mitizamo ya vijana wa kitanzania.
@mohamedyange2222
2 жыл бұрын
❤❤❤
@shabanadam44762 жыл бұрын
Very good 👍 explanation and experience keep going bro wonderful move
@alexchiwenda95402 жыл бұрын
Big up sana Benjamin. And Millard keep the pot boiling. Very good job you are doing.
@kassimmatanka47802 жыл бұрын
Mashaallah. Ubarikiwe inshaallah.
@yustejohn29772 жыл бұрын
Big up Benjamin May God full fill your purpose
@saraphinamsemwa6648
2 жыл бұрын
Yani kila interview ya benjamini nakuwa napata mambo mazuri.
@denisndaki1672 жыл бұрын
The sky will be your limit bro, you are the future mackzurgenberg
@paulinacherement25342 жыл бұрын
God with you brother
@nicolauswandao89882 жыл бұрын
Thank you Benj tutashinda
@godykilian Жыл бұрын
Very inspirational, may God bless you abundantly
@davidwillson48942 жыл бұрын
thank you for inspiring us
@goodluckysteven8262 жыл бұрын
Wow 🔥
@shininisoipano49732 жыл бұрын
Nimeipenda hii ila nipo south Africa 🇿🇦
@noelngowitechnicalsolutionАй бұрын
Hongera sana kijana. The Children of the righteous shall do exploits
Пікірлер: 531
Too inspiring, costless education, eyes talk,ukimtazama jamaa usoni na kusikiliza maneno yake unaona jinsi jamaa ana upendo kwa nchi yake na Bara la Afrika pia,umenipa mengi sana ya kujifunza na kujitafakari binafsi.Mungu azidi kukutunza sana Benjamin. Bravo bravo bravo!
Benja, Kiukweli Leo Nimepata Muamko Mkubwa Sanaaaa 🔥🔥 Mungu Akubariki... Nakukubali since day one Mpaka Leo ...
Naishi Uingereza nilikuwa natumia World Remit wanakata, baada ya kuona hii interview nimejaribu kutuma no hidden fees nimepata exchange nzur Sana, kaka nadhani ujikite kwenye marketing watu hawajui
@lissamsalu12345
2 жыл бұрын
Kweli jaman
@christinen8291
Жыл бұрын
Nipatiye namie nitumiye kutuma pesa
@user-lt8id9lv4x
3 ай бұрын
How about security
@user-lt8id9lv4x
3 ай бұрын
How about security
@saidseif7469
10 күн бұрын
@@user-lt8id9lv4xthey have bank grade security
Well done Kenya for supporting your brother
Jamaa anajua jamani,, mi binafsi naisi muhemuko mkubwa sana ukiskiliza vizuri hii interview you get alot of life summary 🧡
I saw him when he was 5 or 6 yrs old ATN church, his Father&mother are Pastors personal they teached me alot about Jesus- God has bless him im sure for the good work the parents do for the body of christ, i hope to meet you someday, Big up and congratulations Benjamin, for this step and all the best !👏🙏
@mokiridaniel6795
2 жыл бұрын
Haswaaaa
@jumannemagashi4303
2 жыл бұрын
Qq
@jumannemagashi4303
2 жыл бұрын
Q
@jumannemagashi4303
2 жыл бұрын
Q
@jumannemagashi4303
2 жыл бұрын
Q
Great. Mungu ambariki Benjamin na ndoto yake na upendo wake kwa nchi yake Tanzania.
MashaaAllah. Wishing You The Best Brother Benja. Big Up Br. Millard💪
Ben,funguwa chuo chako hapo nyumbani usaidie vijana wenzio Utafanikiwa pls.🙏🏾🙏🏾❤
Maneno kama haya wanaongeaga ma genius Thank you so much
So inspired by him. Big up Benjamin. Kila la heri.
Inasikitisha sana.Uganda, kenya Tanzania ya mwisho kumpa ushirikiano.Duh!
@peterjanuary7972
2 жыл бұрын
Haya mambo viongozi wetu wamwkuwa ni wahuni kila mahara ni migando kupita kiasi mtanzania anaamua kujitoa na kuwekeza kwenye sekta ya ya teknlojia lakini ubabaishaji unakuwa mwingi tunahitaji kujichunguz sana kunaanzia kwenye elimu madarasani ukweli mfumo huu ni mkubwa sana viongozi wetu wamekuwa wakihusika kuchelewesha maendeleo ya vijana kwa mazoea yao et vijana hawaaminiki ukweli uhuni ni mwingi sana.. tanzania jamani tuamke kwa kutafakari mda wote.
MASHA ALLAH, hongera sana kaka, Tanzania kuna dharau ambazo zinaturudisha nyuma. Mfano huyo profesa aliekuuliza una phd gani... Tanzania mnaangalia vyeti sana zaidi ya output
@noorbazaar9063
2 жыл бұрын
Ndio maana uteuzi unazingatia Doctorate but output is poor!!!
@xamael1989
2 жыл бұрын
Ma profesa mafala sana hamna kitu zaidi ya makaratasi yao
@xamael1989
2 жыл бұрын
@@noorbazaar9063 tuna taka out put sio upuuzi wa makaratasi
@xamael1989
2 жыл бұрын
@@noorbazaar9063 Phd zime kuwa kama title zaidi meaningless in the grand scheme of things kama una jua una jua
@josephrichard5372
2 жыл бұрын
Aisee hzi elimu sizielewi hata ,hawana invetion wala hawaangaiki kutatua matatizo zaidi ni kukosoa watu wanaoumiza vichwa ,honestly wanafanya vibaya
This man deserves award from Tanzania government
@abelg2488
2 жыл бұрын
Sure he need a recognition to encourage more Tanzanins to become the best for the country
@mercyzephania5507
Жыл бұрын
kabisaa,ila sio bongo yetu hii..kwanza ukiwa ivo wanakuona threat kuliko kukuona kama asset..soo sad
Two inspiring youths in one video💪🏽 May God Bless You two for us🙏🏽
@samsgilman01
2 жыл бұрын
🔥🔥🔥
@lucasmsuka8252
2 жыл бұрын
Kabisa. Ni Vijana wawili wenye weledi katika video moja
Big up sana Benjamin,,, Very inspiring.... Government Kuna vitu vya kuchukua hapo lazima kubadilika tuende na kasi ya Dunia
Nimewaza Mambo mengi Sana kuhusu kipaji Cha huyu jamaa abarikiwe
kiukweli TZ kuna mapungufu makubwa sana kwenye sheria zetu, watunga sera wetu hawajui/kutambua mambo mengi sana, kuna hitajika sana kufanya mabadiriko kwenye sheria hizi kandamizi zinatukwamisha sana vijana especially kwenye ulimwengu wa technologia. Big-up benjamin
Usipojituma utatumikishwa ! Naishi nayo hii Brother. Mungu akufanyie wepes ufikie ndoto
Great work. Keep up the good work Mr Benj 💪
Mashallah milad ayo mwambie Benjamin aje Oman afungue pia app ya NALA tupo watanazania wengi sana huku
@joharishabani2893
2 жыл бұрын
Kwer. Kabisa
Ni kweli watanzania tunatakiwa kum-support Mtanzania mwenzetu kwa kutumia App yake kufanya transaction(s) kutuma pesa nyumbani. Huyu kijana ana maono, itapendeza tukimnyanyua. Kweli wakenya wanatuzidi kutumia huduma hii ambaye founder wake ni Mtanzania. Good job, Ben
Wow!! Kazi nzuri sana Benjamin. Juhudi zako zinatia moyo kwa sisi vijana ambao tunapambana!! I can't wait to use your app here in US to send money to my sweet home TZ, count me as one of users to #NALA!! Big up sana Mtanzania mwenzangu and be blessed!! Ushauri kwa Mr. #MillardAyo inabidi mfungue online session about tech na bwana Benj hapo bila shaka watanzania na wengine wangependa kujifunza masuala hayo!!
All the best benj TANZANIA we proud of you
Mimi nipo chuo cha Dodoma, college ya Informatics and Virtual Education, nkiwa nachukua course ya Computer Science. Katika swala la kuita maprofessional kuja kufundisha chuoni hyo inasaidia sana! kwa7bu tunavyosoma kuna mda vinakua vigumu mpaka unakata tamaa, hila unapo muona mtu ambaye kafanikiwa kupitia field hii, hata kidogo inatia moyo! Pia kuna watu wanasoma but hawajui hata wancho kisoma wataenda kuki apply wapi! Watu kama hawa ndio ambao wanaweza kufanya majibu ya maswali mengi kujibiwa!!! Aiseeee afanye hata siku moja kuja kufanya seminer hapa, naona kama Harvard wanawaita wakina Mark zuckerberg, kwanin sisi tusiwatumie watu hawa!
@highzacknnko9685
2 жыл бұрын
Wanachuo huwa wanayo dharau sana ukija kuwashauri watakuambia mbona wewe hujafanikiwa,nikiwa chuo alikuja Joel nanauka lakini watu walikuwa kazi ni kubeza tuu....kama anafundisha hvi mbona hatajiriki
@cbegram6161
Жыл бұрын
@@highzacknnko9685 ukweli😅😅😅😅 lakini siyo wote😅😅😅 na kuna ambao watanufaika😅😅😅
I am going to try Benjamin, you are from my home town Tanga, I know your dad, Rev. Vernon Fernández, I am definitely going to upload the app.
I hv learned alot from this interview welldone ..Mungu akusimamie Inshaallah
NALA listed in NASDAQ agreat dream Benji keep up the good work man.
@xamael1989
2 жыл бұрын
Nala haipo nasdaq ila soon in 2 years it enda public refer kwenye time line 9:19
@paulinacherement2534
2 жыл бұрын
God towerds efforts for all big up brother
@paulinacherement2534
2 жыл бұрын
Nala soon.wiil toproud inshallah
I am impressed. Congratulations Benj
Big up wewe ni kidume wa nguvu sana hakika mungu atakucmamia na utatimiza ndoto yako ya kweli 💪👏
@samwelimoshi5614
2 жыл бұрын
Atimize ndoto gn wakat tayar ana 23bilion
@kisakim5660
2 жыл бұрын
Mungu / MUNGU sio mungu hii inamaanisha mungu wa Dunia hii yaan shetani
Tanzania government and leaders, please wake up. Investing in Tanzania its really hard especially when it comes to technology things.
Kwa kweli ukimsikiliza mr Benjamin, unajifunza mengi sana. Natamani sana vijana tujifunze sana kupitia huyu jamaa. Mungu ambariki, naamini atafanikiwa sana kwa mawazo aliyonayo.
Benjamin you are really a Tanzanian with Tanzania at your conscious. Keep it up. I am really touched with your commitment.
Mungu akusaidie ufike mbali zaidi na ubarikiwe kwaupendo wako kwa nchi yangu
Hii ni akili kubwa sana na yenye uzalendo mwingi sana.....Serikali ni muhimu sana kufinance watu kama hawa kwa manufaa ya Taifa.
Benjamin, you are doing great, may God bless you!
Hongera Benjamin kwa jitihada zako Allah akuzidishie ujuzi. Hongera pia Milad kwa masuali mazuri kwa kijana wetu nadhani Serikali itayafanyia kazi kwa haraka.
Technology tukiishiks, itaajili vijana wengi sana. Tatizo letu ni uelewa wa viongozi wetu.
yaah you are the best one mr Benjamin
Very inspiring 🙏🏿
Hongera sana benjamin nimepata kitu kwako hongera pia milard ayo kwamaana hassle ring zako pia tunazijua vjana ni lazima tuchangamkie fursa ni lazima tuendane na speed ya dunia ilivo kwa sasa bila kisahau kumuweka mungu mbele na kumuabudu....🤝
mm kama kijana nimefurahi nimekuwa inspired kutimiza ndoto na kuijenga nchu yangu nimegundua kuwa sio lazma kuhamia nchi nyingine ili kutimiza ndoto God bless you benj na kaka Ayo
Allah akuongezee unafanya kaz kubwa sana brother
This is an amazing story. There is no reason for Tanzanians to hate on Kenyans. We are all brothers. Matusi kwa social media tuache. Wakenya na Watanzania ni mandugu.
@jenipherjames5475
2 жыл бұрын
Yes that point...karibu TANZANIA
@rankdave5334
2 жыл бұрын
@@jenipherjames5475 Asante. Pia wewe Karibu jiji kuu la Nairobi.
@miltonmachage2462
2 жыл бұрын
Lkn utani upo mfano sio mandugu ni ndugu
My brother Millard ayo, nakushukuru kwa hii interview imenihamasisha sana Mimi kama software developer🙏
Ningekuwa na nafasi ya kumshauri Rais Samia, ningemshauri amteue Kuwa waziri wa wiźara flani hivi, Great Brain. Jameni watunzeni vijana vizuri wana potential ya kuinua uchumi wetu.
@mohamedhassani2179
2 жыл бұрын
Sio Lazima uwaziri awe mshsuri wa Rais inatosha
@bayokonelson6508
2 жыл бұрын
Kakataa kuajiriwa Marekani hapa bongo ndo atataka
@nhalekasmir478
2 жыл бұрын
Amekataa mshahara wa million 400 kwa mwaka kampuni ya Google awe wazir mshahara million 5 sijui 6
Thanks a lot Millard Ayo and Benjamin Fernandes I am learning a lot from you
Hakika huyu benja ni mzalendo wa kweli kabisaa lazima watanzania tumsaport kwa nguvu zote
We proud of you brother 🙏
Ni app Nzuri Sana na Mungu akubariki Sana #Benjamin utafika mbali sana #Great_thinker
Brother Benjamin big up sana,,, wewe n mtanzania halisi vijana inabidi tukuunge mkono na kujifunza sana kwako
Hongera sana Benji. Mungu akutangulie ktk kaz na maono yako. NALA ije USA pia mkuu climb that mountain buddy
@kadirdhulfiqaar7820
2 жыл бұрын
Ipo George
@maujanjatv24h41
2 жыл бұрын
Ije mara ngapi?
Mashallah. Mungu akuzidishie
Miaka kadhaa huko nyuma rafiki yangu mmoja alinieleza jinsi Tanzania tulivyokosa fursa ya kupatia vijana wetu ajira baada ya mwekezaji mmoja mzungu kuvunjwa moyo na kuhamishia uwekezaji wake nchini Uganda. Mwekezaji huyo alitaka kufungua kampuni ya ufugaji mbuni, lakini alipigwa danadana kwenye ofisi moja baada ya nyingine. Baada ya kuona miezi inapita na hapati ufumbuzi alienda Uganda na ndani ya wiki 2 (wakati huo) akafungua kampuni. Nashangaa hadi leo ukiritimba bado upo!!
@mercyzephania5507
Жыл бұрын
upo mnooo .. yani kwanza ata system ya makodi is soo unreasonable...wangeangalia i say...makampuni mengi yanafanya kona kona kisa tu ivo
Very inspiring!!!! Congratulations brw
Hongera sn mr. Benjamini kwa kutuwakilisha vyema watanzania
Man ur the real patriot, more bless, more hard work, bless to our government Tanzania
Big up sana kwake..jamaa yupo very smart
Brother Benji congratulations 🎊
Sijui wenye mamlaka wanajisikiaje wanaposikia maneno kama haya kucheleweshwa! kucheleweshwa! Inasikitisha sana kuona kila mwekezaji analalamika ucheleweshwaji wa mambo ndani ya Tanzania.
Yes Benja, I appreciate your achievements, God lead you to achieve the desire of your heart. NALA hoyeee.
Mungu Ni mwema Sana na wa kushukuriwa , kijana anajambo kubwa la kujifunza mola amsaidie Sana, sio kwa vijana sio kwa serekali , ametupa funzo kubwa . Ni juu yetu kumpa support ya japo kupakua app yke
Mr Benjamin umenifurahisha pale uliposema "namjua Kila niliyemtumia maombi ya kuwekeza kwenye Nala akanikatalia😄 ninao kwenye Compyuta" 😂🤝
Our system is way too back... The government should accept changes to cope with the world.. or else will never be in the list of tech companies
Hongera Sanaa Benjamin una malengo makubwa . Umewaonyesha njia vijanaa
Congratulations 👏 Benjamin. Hakika uko vizuri..
Nimependa sana hii interview.Imenipa hamasa sana ya kupambana
Hongera sana Benjamin..... Keep going you are growing. Tanzania tunahitaji kuchukua hatua za vitendo zaidi kuliko maneno tu. Hongera pia Ayo unafanya kazi kubwa sana
💪 be blessed brother
Big up Home boy keep it up na Millard plz utupe updates kila anapotea bidhaa
Mungu akuongezee kipaji na uwezo
Great interview with full of inspiration to us youths of Tanzania
Big up brother its a great thing Keep it up
Tanzania needs to automate their government services..... things will change big time.
Ben, There is a big market here in US . Work with us( Burundians, Congolese and …)
Millard hizi ndo habari zinafaa kushinda kwenye maskio ya vijana na tupunguze udaku🙌
@samniza1763
2 жыл бұрын
You are so so right, sio kutuletea WCB lol!
@saimonijonas4356
2 жыл бұрын
Mimi huw nikimuona mwenyewe mwenye Milado Ayo huwa najua anakuja nakitu kitamu,ufunguo wa akili,afya ya kujielewa.
@josephinemeena2207
2 жыл бұрын
@hangatvonline Tz p1t
We call it true inspiration
Allah barik mr #Benjamin
Patriotic Interview
Bro this man his on another level
Mungu akubariki mawazo yako yafike mbali nimependa sana
Mashallah, hongera sana Benjamin
Serikali ikubali Uraia pacha kusaidia watu kama Hawa kina Benjamin 🔥🔥
@nguyekorajabu1592
2 жыл бұрын
huyu ni Mtanzania 100% , japo wazazi wake ni Makaburu waliotokea South Afrika ,ila Mshkaji kakulia Tanga
@patricknyiti5303
2 жыл бұрын
@@nguyekorajabu1592 nafahamu ni mtanzania ...Ila aruhusiwe kupata Uraia wa Uingereza au Marekani kurahisisha mambo yake
@kilapilokilapilo7712
Жыл бұрын
Umenena vyema sana ndugu yangu, Patrick Nyiti. {Nafikiri ni muda muafaka sana, kwa sasa kwa nchi yetu, Tanzania kuruhusu suala la uraia pacha}.
Hongera sana Benjamin...Tunaisubiri NALA USA...Hongera Millard..good interview.
God bless People like Benjamin🙏🙏
Hongera Sana, Bwana Yesu akutangulie.
Hongera sana Benjamin,Mwenyezi Mungu akuongoze kubadilisha mitizamo ya vijana wa kitanzania.
@mohamedyange2222
2 жыл бұрын
❤❤❤
Very good 👍 explanation and experience keep going bro wonderful move
Big up sana Benjamin. And Millard keep the pot boiling. Very good job you are doing.
Mashaallah. Ubarikiwe inshaallah.
Big up Benjamin May God full fill your purpose
@saraphinamsemwa6648
2 жыл бұрын
Yani kila interview ya benjamini nakuwa napata mambo mazuri.
The sky will be your limit bro, you are the future mackzurgenberg
God with you brother
Thank you Benj tutashinda
Very inspirational, may God bless you abundantly
thank you for inspiring us
Wow 🔥
Nimeipenda hii ila nipo south Africa 🇿🇦
Hongera sana kijana. The Children of the righteous shall do exploits
Barka Za Allah ziwe juu yko Brow