Jinsi girlfriend kipenzi wa Madee, PENDO alivyofariki kwa ajali 'Nilioneshwa maiti yake nikazimia'
Kwenye sehemu hii ya #ChillnaSky, Madee anamzungumzia binti yake kipenzi Chonge na jinsi alivyo karibu naye na pia anasimulia kisa cha aliyewahi kuwa mpenzi wake, Pendo aliyefariki kwa ajali ya gari mwaka 2009 akielekea chuoni Dodoma
Пікірлер: 20
Yaah tunakumbuka "madee na pendo" R.I.P beautiful!
Madee is so diplomatic, he's a cool dude
Much respect madee
vip leo amuizungumzii show ya jana
waooo
Rais wa manzese👌❤❤❤😍😍😍❤❤❤😙😙😙
moja ya wasanii wanaotabasamu saaana muda wote akihojiwa.
VIP mbona hamjazipangilia hizi crips hatujui ip ni ya kwanza na ipi ni ya mwisho
@jackson4977
4 жыл бұрын
hili ni tatizo sugu
Anafanana na jarule
Pole sana madee ntausikiza wimbo wako wa pendo allah amlaze pema peponi aameen
Sns🔥🔥🔥
wa
Nampenda madee ana busara sana
Madee anaongea vzuri... mlete na gigy money sky
Rais wa manzese brother madee
Sky uwe unapangilia crp yako
Hakuna kama wewe sky
Rais wa manzese👌❤❤❤😍😍😍❤❤❤😙😙😙