NATO kujadili mashambulio ya URUSI yaliyoua raia UKRAINE huku Zelensky akimuita PUTIN 'Gaidi'

Автокөліктер мен көлік құралдары

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 145

  • @KhamisOmar-kt4kz
    @KhamisOmar-kt4kz15 күн бұрын

    Hawa mbwa kila siku wanawauwa wapalestina lkn hawajadili wameuliwa wao wanaanza kubweka big up urusi

  • @josephwilliam5813

    @josephwilliam5813

    15 күн бұрын

    Kuitetea URUSI hakuifanyi Gaza kua na amani,,,usiwe mnafiq kama WAO simamia haki

  • @Fgldesigns

    @Fgldesigns

    15 күн бұрын

    ​@@josephwilliam5813Wapuuzi hao Ukraine

  • @abdul-qadirkhamis2518

    @abdul-qadirkhamis2518

    15 күн бұрын

    Huna akili, jaribu kufikiriakabla hujajibu​@@josephwilliam5813

  • @KAMTUPE

    @KAMTUPE

    14 күн бұрын

    Sasa haki n ipi?

  • @josephwilliam5813

    @josephwilliam5813

    14 күн бұрын

    @@KAMTUPE haki ni kuamini KILA mtu ana haki BILA kujali UPANDE wake kua tofauti na wako

  • @Mumewangu
    @Mumewangu15 күн бұрын

    Lakin palestina wanauliwa wapo kimya kumamazao nato

  • @Ufahamu-01
    @Ufahamu-0115 күн бұрын

    Safii mpo fasta sana kutupa Habari makini na sahihi.. Mbarikiwe sana katika kazi zenu.

  • @KulwaMatiku
    @KulwaMatiku15 күн бұрын

    urusi wapo vizuri 😂😂

  • @michaeljuma7764
    @michaeljuma776415 күн бұрын

    Ally Masubi kwenye ubora wake kwenye uchambuzi. Asante Kwa habari

  • @paschalfausitine7108
    @paschalfausitine710815 күн бұрын

    Gaza hawaoni Israel anachokifanya jamani

  • @aftapat5365

    @aftapat5365

    15 күн бұрын

    mbona unaenda huko kote angalia kongo na sudan

  • @user-pd5hl9di2q
    @user-pd5hl9di2q15 күн бұрын

    Wakae vikao walie urusi cha kumfanya hawana dawa wasalimu amri vinginevyo atawamaliza

  • @zachariakisweswe6034
    @zachariakisweswe603415 күн бұрын

    gaza vp hawa oni

  • @tahiyasaidi6532

    @tahiyasaidi6532

    15 күн бұрын

    kikao cha dharula lkn gaza watoto wanakufa hoefuly wajadili na hayo

  • @celestinlyimo
    @celestinlyimo15 күн бұрын

    ally masubi improvent Yako now ni kubwa sn ktk uchambuzi tofauti na awali.. big up!!

  • @mtulivu-ir1nq
    @mtulivu-ir1nq15 күн бұрын

    Kwaiyo lile kombora lililorushwa na ukrain kwa makombora ya mmarekani kwenda urusi na kuuwa watoto kwao sio tatizo ila wakifanyiwa wao ndo tatizo 😅😅😅 so sad😢😢

  • @user-pd5hl9di2q
    @user-pd5hl9di2q15 күн бұрын

    Hata wakikaa kwani mara yao ya kwanza kukaa wanapoteza muda ni aibu zinawatesa urusi ndiye mbabe wa dunia sasa wazungu wa nato sijui washitaki wapi maana hata Mungu wamemsusa

  • @zahorhemed1045
    @zahorhemed104515 күн бұрын

    Putin piga hao nyau wakiuwa warusi kimyaaaa waache undumilakuwili

  • @georgebataze6625
    @georgebataze662515 күн бұрын

    Ukraine wameua watu urusi siku kadhaa nyuma, hao Umoja wa mataifa hawakulaani, sasa Urusi imelipiza kelele nyingi wuh wuh wuh wuh kama mbwa koko😂

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw15 күн бұрын

    Marekani mwenyewe hamuwezi urusi marekani anayadanganya mataifa madogo kwamba yeye ni super power kumbe super power ni urusi ambae ndie mshindi wa vita zote kubwa za dunia marekani hajawahi shinda hata vita moja hata na makundi kama hamas marekani haijawahi kushinda

  • @ameirzapy1318
    @ameirzapy131815 күн бұрын

    Nato washenzi Sanaa, ni kikundi cha fitina

  • @vintz338
    @vintz33815 күн бұрын

    Gen z wakawasaidie Ukraine kumtoa zelensky

  • @boscow9380
    @boscow938015 күн бұрын

    Mko fasta kabisa kutupatia Habari kamili.kwa sasa mda wakufatilia bbc, rfi na media zao zimekwisha .hongereni sana tuna wapata inchi Canada ottawa 🙌🤝👍

  • @kwisa4899

    @kwisa4899

    15 күн бұрын

    Habari ya jana unasema wapo fasta nenda wion ndio unapata habari haraka sio media hizi za bongo

  • @Nyaki-rh5oi
    @Nyaki-rh5oi15 күн бұрын

    Wazungu watu wa ajabu sana yani wale wanao uliwa kule gaza siyo binadamu

  • @kherisalum6304
    @kherisalum630415 күн бұрын

    Russia🙌🙌🙌🙌

  • @khalidbelhasa2137
    @khalidbelhasa213715 күн бұрын

    Wanamzungusha tu Zelesky hawana solutions

  • @user-lv4cx1sc5d
    @user-lv4cx1sc5d15 күн бұрын

    Mbona urusi alivyoshambuliwa amukuweka kikao

  • @aboudasilver6541
    @aboudasilver654115 күн бұрын

    Ivi hao mashoga hawaoni watoto Gaza wanavyoangamia washenzi sana hao

  • @user-tq4lx9si1n

    @user-tq4lx9si1n

    15 күн бұрын

    Kilamtu hashinde mechzake kulegaza kulekuna watoto wanyoka wakibak watang,ata watu

  • @user-tq4lx9si1n

    @user-tq4lx9si1n

    15 күн бұрын

    Ushahanza kuleta udini hapo gaza inakujaje wakat mtu hanatafta magaid wanao uwalaia nihamas wanaojficha kwa watoto nakinamama kwann wasjtokeze kupambana

  • @Puppet666Master

    @Puppet666Master

    15 күн бұрын

    @@user-tq4lx9si1nNnjoo Umchukulie MAMA AKO CHUPI LAKE Kalisahau geto huku jana Nililila Mavii sana😋😋

  • @barakashaban9698

    @barakashaban9698

    14 күн бұрын

    ​@@user-tq4lx9si1nacha ushenze we kafiri ww inamaana wale watot wanaouliwa Gaza sio binaadam? Au kwasababu mmezowea kuchokolewa ndio mnaona kuwachukia watu wanaopinga uchoko acha ujinga kila mtu anahaki ya kuishi

  • @jkifutu7936
    @jkifutu793615 күн бұрын

    Absolutely 💯

  • @allysimu6856
    @allysimu685613 күн бұрын

    Awajamaa mashoga kweli mbona palestina awasemi auwaosio watu NATO nimagaidi

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw15 күн бұрын

    Mpumbavu ameshaikimbia nchi mwehu

  • @nizarrama225
    @nizarrama22515 күн бұрын

    Magaidi ni marekani na nato yake na wala si Urusi!

  • @STEVEN-f6g
    @STEVEN-f6g15 күн бұрын

    Russian technology...

  • @kobajumakuziwa9976
    @kobajumakuziwa997615 күн бұрын

    Baiden na hao mbwa wenzie mbona hawalaani makombora ya Israel kila saa yanauwa watoto wa palestinians laanatulah wote hao

  • @user-es7jn7cp5d
    @user-es7jn7cp5d15 күн бұрын

    Pamoja kaka mm nasuburi tarifa zako pare sns

  • @user-xc5mk4ro2z
    @user-xc5mk4ro2z15 күн бұрын

    Ata bado acha wauwawe mbwa wakubwa watu 30 tu wanabweka kile Gaza maelfu kwa maelfu kimyaa ata bado😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @matukutajuma156
    @matukutajuma15615 күн бұрын

    SNS super Sonic ❤

  • @abdullahnassor9433
    @abdullahnassor943315 күн бұрын

    Ni waongo makombora yote yaligonga lengo lao zelensky walikwenda Poland kujificha kutoka kwa makombora

  • @SmilingGamingHeadset-mh6cn
    @SmilingGamingHeadset-mh6cn3 күн бұрын

    Urusi,oye, 🇭🇹🇭🇹🇭🇹🇭🇹

  • @WazirBoy-fe5ew
    @WazirBoy-fe5ew15 күн бұрын

    Huyu sio rahisi tena kikatiba, sasa hivi kawa kibaka

  • @user-lv4cx1sc5d
    @user-lv4cx1sc5d15 күн бұрын

    Yani NATO ficheni siraha urusi hatapiga popoamna muda wa kumpangia apige wapi

  • @shukurmuha554
    @shukurmuha55415 күн бұрын

    Ukouwa kwa upanga utakufa kwa upanga wache waiting maumivu kama walivyowafanyia warusi

  • @thelonewolf4429
    @thelonewolf442915 күн бұрын

    Haha ndio mjuwe asa kama Urusi inapigana na nato. Waliua watu urusi wakajuwa wanamkomesha mrusi sasa wanajifanya wanajificha umo kumbe satellite zaurusi ziliwa nasa😂 wakafumuliwa sasa wana go frenzy

  • @jumaciza461
    @jumaciza46115 күн бұрын

    Wana fica silaha uko lazima pashambuliwe

  • @ziongate5464
    @ziongate546415 күн бұрын

    Ndugu wachambuzi tunaomba pia kwa matokeo ya mauaji ya Wa palestina yanayo endelea uko Gaza zidi ya Waisraili tupeni taarifa pia hizo kwa kila siku.

  • @gabapentin8070
    @gabapentin807015 күн бұрын

    Zelensk aliua wiki ilopita akashangilia saivi analia akipigwa

  • @AFRICA_D669

    @AFRICA_D669

    15 күн бұрын

    😂😂

  • @gabapentin8070

    @gabapentin8070

    15 күн бұрын

    @@AFRICA_D669 😂😂 kajamaa kalishangilia sana

  • @AFRICA_D669

    @AFRICA_D669

    14 күн бұрын

    @@gabapentin8070 nikwel nakumbuka ,kalivyo kahovyo et kanapiga nyumba za fukwen Hotel hakajui matajiri sku hyo hyo wanaamsha tena motel😂 mazish yanafanyikia otelin Vita inaendelea

  • @MohamediOmari-nz4vv
    @MohamediOmari-nz4vv15 күн бұрын

    Marekani ni mchochezi wa vita hii naona anachokitafta atakipata kwa ushauri wa bure Biden afai kuwa rais maana ni mshenzi tu

  • @hasanimkamba8377
    @hasanimkamba837714 күн бұрын

    tatizo marekani nawashilika wake niwanafiki tu

  • @boniphace1
    @boniphace115 күн бұрын

    Zelensky hataki jadili na Putin/Russia, anaenda kujadiliana na westerners.

  • @shubebunyesi542
    @shubebunyesi54214 күн бұрын

    kaaah wazungu wanafki hatali yaani Urusi akishambuliwa wanamwambia zeleksi apo safi ila wao aaah navikao mtiti kama wanataka vita iishe c aingie vitani moya kwa moya dunia iwake ndio watu wataheshimiana

  • @VeronicaMhapa
    @VeronicaMhapa15 күн бұрын

    Bro Russia hausiki kwenye shambulio ilo

  • @user-oh8ig2cy9q
    @user-oh8ig2cy9q15 күн бұрын

    Ukiwa mmbea uwe na kumbu kumbu

  • @AhmedAli-xk8cv
    @AhmedAli-xk8cv14 күн бұрын

    Nato mbona hawajadili mauwaji ya Palestina?

  • @isaacklazaro3780
    @isaacklazaro378015 күн бұрын

    Viva Masubi Viva sns

  • @user-tq4lx9si1n
    @user-tq4lx9si1n15 күн бұрын

    Urusi vta vimemshnda hanahanza kuuwa laia hashageuka Netanyahu .kumauyo

  • @rashidmaty7824

    @rashidmaty7824

    15 күн бұрын

    Hauna unachojua ww kaa kimyaa dawa iwaingia

  • @user-tq4lx9si1n

    @user-tq4lx9si1n

    15 күн бұрын

    @@rashidmaty7824 hamna ktupale yule ni Netanyahu saizi hanawinda raia

  • @abdullahchabukila6686
    @abdullahchabukila668614 күн бұрын

    Naona dunia inaamka kutoka gizan 🎉 Gaza awaoni wao wamegushwa kidogo milio Kama ya paka Putin ✌️ ura uraaaaa

  • @asyajey3479
    @asyajey347915 күн бұрын

    Ukraine akifanya sio gaidi na Israel anavofanya Gaza sahihi nato bana 😂

  • @suleimanabdallah9823

    @suleimanabdallah9823

    15 күн бұрын

    Hawa nato ni mambwa washenzi wakubwa

  • @abdulbonomali6548
    @abdulbonomali654813 күн бұрын

    Amelipiza kisasi putini alisema atajibu kwaukalisana mnalia mini sasa

  • @Pablolookman
    @Pablolookman14 күн бұрын

    Naitakia ushindi urusi Leo hii urusi wakuwa magaidi Kwa kujilinda ila Israel amaeuwa wazee na watoto sio magaidi

  • @ZuhuraNassoro
    @ZuhuraNassoro15 күн бұрын

    Ukraine wamepata wanacho sitahili

  • @chabrumachabruma
    @chabrumachabruma15 күн бұрын

    Kazi yao ni kukutana na kujadili kikichofanywa na Urusi....

  • @danielsostenes1640
    @danielsostenes164014 күн бұрын

    Kwan msaada wa dollar billion 60 umeisha?

  • @HassaniHassani-gb8oc
    @HassaniHassani-gb8oc15 күн бұрын

    Wanajadili mauaji yanayofanyika Ukraine lakini wnaipa Israel silaha kushambulia hospitals na shule

  • @nkeshimanayuda1115
    @nkeshimanayuda111514 күн бұрын

    Kwahiyo Ukraine pamoja na hao marekani wenyewe sio magaidi? Wakishambuliwa wenyewe wanasema Ugaidi. Watulize mshono!

  • @muharramhamisi5140
    @muharramhamisi514015 күн бұрын

    Wakwanz apa nipeni like zangu❤❤❤

  • @user-sn4iq6cu1f

    @user-sn4iq6cu1f

    15 күн бұрын

    Apa ata moja hupati😂😂😂

  • @issalyanali4119
    @issalyanali411915 күн бұрын

    Walipotuma magaidi urusi wakaua watu disco walifurahi makuma hawa,,,,sasa putin wacha aonesha panapovuja

  • @user-sd7li4qo6q
    @user-sd7li4qo6q14 күн бұрын

    Bona iziraeli awasemiii

  • @amonezekiel4893
    @amonezekiel489315 күн бұрын

    Mtaaramu piga mpaka hao mashoha waseme bac,

  • @user-bz5ti6op6z
    @user-bz5ti6op6z15 күн бұрын

    Yes Putin piga hao

  • @KAIPAAA3211
    @KAIPAAA321115 күн бұрын

    Hiyo Hosptal ilikuwa inahifadh sraha

  • @SAYMOEKARIM
    @SAYMOEKARIM15 күн бұрын

    angeliga wote hao mbwa Walichokifanya Afghanistan na Iraq Lybia Kwa Gaddafi vipi uko Gaza vipi wanachokifanya congo .???

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw15 күн бұрын

    Hao bwana zake siwamesema wanaweza kuizuia urusi kuichukua ukrein haya wamsaidie sasa

  • @jotafungo4622
    @jotafungo462215 күн бұрын

    Putin kamatia hapo hapo

  • @salehkhalfan7345
    @salehkhalfan734515 күн бұрын

    Juzi tu Ukrain wameshambulia Crimea na kuua watu kadhaa na wengn 150 kujeruhiw Kwny hili walikaa kimyaa km hawakuliona

  • @ziongate5464
    @ziongate546415 күн бұрын

    Napicha pia za mauaji ya Wapalestina huko Gaza kama mnavyo onyesha picha hizo za Waukraina zidi ya Mashambulizi ya Kirashia

  • @user-lv4cx1sc5d
    @user-lv4cx1sc5d15 күн бұрын

    Hao NATO Awana kazi ya kufanya

  • @saimongilala8938
    @saimongilala893815 күн бұрын

    Urus 🇷🇺 tupo pamoja

  • @mussajuma7460
    @mussajuma746014 күн бұрын

    Nato ni takataka tuu ipo siku afrika italipiza kisasi dhidi ya nato kwa kuuwa viongozi wetu

  • @alzawahirabdallah2299
    @alzawahirabdallah229915 күн бұрын

    Mbona hamlaani kwa anayo yafanya israile

  • @nemecykongolo5457
    @nemecykongolo545715 күн бұрын

    Urusi piga pimbi hao

  • @johnsonzuma4932
    @johnsonzuma493215 күн бұрын

    Mbona kipindi Ukraine hali uwa watu kwenye fukwe ya bahari hawa kuka chini?

  • @salymsuleiman2035
    @salymsuleiman203514 күн бұрын

    Putin piga mashoga haoooo

  • @nemecykongolo5457
    @nemecykongolo545715 күн бұрын

    Mashoga nyie

  • @AliKaroyo
    @AliKaroyo15 күн бұрын

    Russia Alisema Atalipiza Kisasi cha Ukraine Last week Ukraine Alifanya Shambulizi Kubwa na Kuuwa Watu 11 wasio Na hatia Creamea Na Putin Akasema Ukraine Atalipia Kisasi Icho Mbona Kelele Sasa Niza nin

  • @Kingo1410

    @Kingo1410

    15 күн бұрын

    Kweli kabisa akifanya Urusi wote wanapiga kelele waki piga Ukraine Wana kama kimya....wanapiga kelele tu

  • @omarymwaluko9765
    @omarymwaluko976515 күн бұрын

    Urusi piga mashoga hao

  • @josephwilliam5813
    @josephwilliam581315 күн бұрын

    Putin ni mbwa

  • @aminielkombe66
    @aminielkombe6615 күн бұрын

    West wamejipiga

  • @arafahhh5574
    @arafahhh557414 күн бұрын

    Ila palestina ni mbwa wanao uwawa yahudi sio gaidi

  • @MohammedBwanga
    @MohammedBwanga15 күн бұрын

    Putin mwanaume wa Karne Nato wanapiga Kelele lkn yeye kimyaa anaongea kw. Kuwatwanga tu.

  • @user-tq4lx9si1n

    @user-tq4lx9si1n

    15 күн бұрын

    Wanatwangana wekahaba hacha ufala

  • @MohammedBwanga

    @MohammedBwanga

    15 күн бұрын

    @@user-tq4lx9si1n VP nawewe upo ktk chama cha mashoga au

  • @MohammedBwanga

    @MohammedBwanga

    15 күн бұрын

    @@user-tq4lx9si1n nawewe unataka haki zako au

  • @barakashaban9698

    @barakashaban9698

    14 күн бұрын

    ​@@user-tq4lx9si1nanawatwanga bhana acha kujifariji😀😀

  • @mansoursiulapwa8624
    @mansoursiulapwa862414 күн бұрын

    Mbona wameuwa wachache, wangemaliza raia wote hapo.. Viva Russia, Viva Putin

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi223215 күн бұрын

    Vikao vingiiiiiii kama wachawi.. Mpeni silaha comedian... Ili mzozo uzidi!

  • @ElijahOwino-xe2cd
    @ElijahOwino-xe2cd15 күн бұрын

    Wanao isifia Urusi kwa shambulio hili ndio wao Hao Wanao lialia mitandaoni mashambulizi ya Gaza.... Halafu wengi wao ni waislamu... na ndio maana ninapenda anachokifanya Israel huko Middle East.. Kiboko cha waarabu ni Israel tu... Hakuna kucheka nao

  • @barakashaban9698

    @barakashaban9698

    14 күн бұрын

    Na kiboko cha Israel ni Hasbollah

  • @ElijahOwino-xe2cd

    @ElijahOwino-xe2cd

    14 күн бұрын

    @@barakashaban9698 Hezbollah ndo Bure kabisa... hata hawawezi mlinda kiongozi wao🤣.... Ngoja uwone kinachoikujia Lebanon

  • @barakashaban9698

    @barakashaban9698

    14 күн бұрын

    @@ElijahOwino-xe2cdhah una chekesha kweli mazayuni maoga ndio maana yanauwa viongoza kwa kuvizia kama wanauwezo waingie bato wakione cha moto

  • @ElijahOwino-xe2cd

    @ElijahOwino-xe2cd

    14 күн бұрын

    @@barakashaban9698 sasa Mbona Hao magaidi wanajificha kama panya... mtu aje akutandike kwenyu na amuue kiongozi wako kwa ardhi yenyu halafu bado unasema eti ni muoga...? 🤣🤣🤣🤣

  • @barakashaban9698

    @barakashaban9698

    14 күн бұрын

    @@ElijahOwino-xe2cd hah🤣 lini wameingia Lebanon wakauwa kiongozi kama sio kuvizia kwa drone lkn juz kati walipo muuwa kiongozi wa Hasbollah uliliona majibu Yao Israel ilivyo shambuliwa kwa makombora hd kuuwa makamanda w2 wa Israel au ndio mapenzi yamezidi hd huoni namna mazayuni yanavyo kufa?

  • @hamoudcreator6343
    @hamoudcreator634315 күн бұрын

    Wazungu Bhana, Wanafiki Sana, Gaza hawajawahi kukaa.. Ahaaa kwasababu ni Nchi ya Waislam... Nilisahau...

  • @user-jh9yv1zp1l

    @user-jh9yv1zp1l

    15 күн бұрын

    Hich nd kinawaponz unaendekez udini tu

  • @user-tq4lx9si1n

    @user-tq4lx9si1n

    15 күн бұрын

    ​@@user-jh9yv1zp1lmimwenye mamahangu ni mwislamu hanakesha kuiombea palestrina lakinimi kimoyon napenda sana hanachokfanya Netanyahu hawajama wabaguzi sana Netanyahu kazi nzuli baba mungu yuponawe

  • @user-jh9yv1zp1l

    @user-jh9yv1zp1l

    15 күн бұрын

    @@user-tq4lx9si1n hams walopoivamia Israel ,waislm wot walisifia lkn ss mamb yalipobdrk sahv wanalilia tu Allah awatangulie baad ya kipigo kikubw,na bado watapigw san

  • @athumanshaban

    @athumanshaban

    15 күн бұрын

    Mwafrika atabaki kuwa muafrika tu yani nyie wote mkiristo yupo Israel na muislamu yupo palestina wote dini mmeletewa mkose kuwa mnaongelea utu kazi dini yan sijuwi ni lini tutajitambua mlusi hapigani kwa sababu ya dini anapigania maslahi yake na wala hana lengo la kuisaidi Afrika na sisi nato inatuuwia viongozi ambao wanania ya kuleta mabadiliko Afrika ila bado tunawashabikia

  • @user-tq4lx9si1n

    @user-tq4lx9si1n

    15 күн бұрын

    @@athumanshaban nyikpndi mnaishabikia hamasi hamkujua kunautu hahu mnatakatu huruma

  • @alisalimo2861
    @alisalimo286115 күн бұрын

    nawao izirail mbona inaua gaza hawajadili wala hatuon kueka vikwazo

  • @MohamedRashid-py7ro
    @MohamedRashid-py7ro15 күн бұрын

    Kombora lilio dondoka hospitali Ukraine walidungua juu ndipo likashuka hapo hospitali Urusi walielekeza kambi ya jeshi Ukraine wamejiuwa wenyewe

  • @MwambaWarusaka
    @MwambaWarusaka15 күн бұрын

    Gaza wanao uwawa si binadam mbona kwa siku moja wameuwa mia moja acha wafe na wenyewe

  • @zakariaabdalla-uo3nk
    @zakariaabdalla-uo3nk14 күн бұрын

    Wenyewao wameua watoto iyo icc ianze na ukraine

  • @mlelwatv5831
    @mlelwatv583114 күн бұрын

    Walishaambiwa wasishambulie ndani ya russia sasa wao kushambulia tuu wakishambuliwa wao aaaaaah 😂😂 putin piga haoo 😂😂

  • @user-gh4mg2wn8y
    @user-gh4mg2wn8y15 күн бұрын

    Putin ponda ponda hao mashoga paka waishe mbona huko Gaza hawongelei

  • @Gulfnas1
    @Gulfnas115 күн бұрын

    Wakulaumiwa hata si mrusi ni hao wanaohifadhi salaha na ku base wanejeshi maeneo ya kiraia!!

  • @alphoncewilliam4325
    @alphoncewilliam432515 күн бұрын

    Ukreini wakiuwa watu wa urusi wanashangili wapuuzi sana .na kinacho tafutwa ni nato wangie mazima

  • @NdovuDentalClinic_
    @NdovuDentalClinic_15 күн бұрын

    Hahaha ila NATO kama watoto WA mtaani kwa kulialia. ICC ni ya kumshughulikia Ruto😂😂

Келесі