@@KAMTUPE haki ni kuamini KILA mtu ana haki BILA kujali UPANDE wake kua tofauti na wako
@Mumewangu15 күн бұрын
Lakin palestina wanauliwa wapo kimya kumamazao nato
@Ufahamu-0115 күн бұрын
Safii mpo fasta sana kutupa Habari makini na sahihi.. Mbarikiwe sana katika kazi zenu.
@KulwaMatiku15 күн бұрын
urusi wapo vizuri 😂😂
@michaeljuma776415 күн бұрын
Ally Masubi kwenye ubora wake kwenye uchambuzi. Asante Kwa habari
@paschalfausitine710815 күн бұрын
Gaza hawaoni Israel anachokifanya jamani
@aftapat5365
15 күн бұрын
mbona unaenda huko kote angalia kongo na sudan
@user-pd5hl9di2q15 күн бұрын
Wakae vikao walie urusi cha kumfanya hawana dawa wasalimu amri vinginevyo atawamaliza
@zachariakisweswe603415 күн бұрын
gaza vp hawa oni
@tahiyasaidi6532
15 күн бұрын
kikao cha dharula lkn gaza watoto wanakufa hoefuly wajadili na hayo
@celestinlyimo15 күн бұрын
ally masubi improvent Yako now ni kubwa sn ktk uchambuzi tofauti na awali.. big up!!
@mtulivu-ir1nq15 күн бұрын
Kwaiyo lile kombora lililorushwa na ukrain kwa makombora ya mmarekani kwenda urusi na kuuwa watoto kwao sio tatizo ila wakifanyiwa wao ndo tatizo 😅😅😅 so sad😢😢
@user-pd5hl9di2q15 күн бұрын
Hata wakikaa kwani mara yao ya kwanza kukaa wanapoteza muda ni aibu zinawatesa urusi ndiye mbabe wa dunia sasa wazungu wa nato sijui washitaki wapi maana hata Mungu wamemsusa
Ukraine wameua watu urusi siku kadhaa nyuma, hao Umoja wa mataifa hawakulaani, sasa Urusi imelipiza kelele nyingi wuh wuh wuh wuh kama mbwa koko😂
@MasterOil-qm6vw15 күн бұрын
Marekani mwenyewe hamuwezi urusi marekani anayadanganya mataifa madogo kwamba yeye ni super power kumbe super power ni urusi ambae ndie mshindi wa vita zote kubwa za dunia marekani hajawahi shinda hata vita moja hata na makundi kama hamas marekani haijawahi kushinda
@ameirzapy131815 күн бұрын
Nato washenzi Sanaa, ni kikundi cha fitina
@vintz33815 күн бұрын
Gen z wakawasaidie Ukraine kumtoa zelensky
@boscow938015 күн бұрын
Mko fasta kabisa kutupatia Habari kamili.kwa sasa mda wakufatilia bbc, rfi na media zao zimekwisha .hongereni sana tuna wapata inchi Canada ottawa 🙌🤝👍
@kwisa4899
15 күн бұрын
Habari ya jana unasema wapo fasta nenda wion ndio unapata habari haraka sio media hizi za bongo
@Nyaki-rh5oi15 күн бұрын
Wazungu watu wa ajabu sana yani wale wanao uliwa kule gaza siyo binadamu
@kherisalum630415 күн бұрын
Russia🙌🙌🙌🙌
@khalidbelhasa213715 күн бұрын
Wanamzungusha tu Zelesky hawana solutions
@user-lv4cx1sc5d15 күн бұрын
Mbona urusi alivyoshambuliwa amukuweka kikao
@aboudasilver654115 күн бұрын
Ivi hao mashoga hawaoni watoto Gaza wanavyoangamia washenzi sana hao
@user-tq4lx9si1n
15 күн бұрын
Kilamtu hashinde mechzake kulegaza kulekuna watoto wanyoka wakibak watang,ata watu
@user-tq4lx9si1n
15 күн бұрын
Ushahanza kuleta udini hapo gaza inakujaje wakat mtu hanatafta magaid wanao uwalaia nihamas wanaojficha kwa watoto nakinamama kwann wasjtokeze kupambana
@Puppet666Master
15 күн бұрын
@@user-tq4lx9si1nNnjoo Umchukulie MAMA AKO CHUPI LAKE Kalisahau geto huku jana Nililila Mavii sana😋😋
@barakashaban9698
14 күн бұрын
@@user-tq4lx9si1nacha ushenze we kafiri ww inamaana wale watot wanaouliwa Gaza sio binaadam? Au kwasababu mmezowea kuchokolewa ndio mnaona kuwachukia watu wanaopinga uchoko acha ujinga kila mtu anahaki ya kuishi
@jkifutu793615 күн бұрын
Absolutely 💯
@allysimu685613 күн бұрын
Awajamaa mashoga kweli mbona palestina awasemi auwaosio watu NATO nimagaidi
@MasterOil-qm6vw15 күн бұрын
Mpumbavu ameshaikimbia nchi mwehu
@nizarrama22515 күн бұрын
Magaidi ni marekani na nato yake na wala si Urusi!
@STEVEN-f6g15 күн бұрын
Russian technology...
@kobajumakuziwa997615 күн бұрын
Baiden na hao mbwa wenzie mbona hawalaani makombora ya Israel kila saa yanauwa watoto wa palestinians laanatulah wote hao
@user-es7jn7cp5d15 күн бұрын
Pamoja kaka mm nasuburi tarifa zako pare sns
@user-xc5mk4ro2z15 күн бұрын
Ata bado acha wauwawe mbwa wakubwa watu 30 tu wanabweka kile Gaza maelfu kwa maelfu kimyaa ata bado😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@matukutajuma15615 күн бұрын
SNS super Sonic ❤
@abdullahnassor943315 күн бұрын
Ni waongo makombora yote yaligonga lengo lao zelensky walikwenda Poland kujificha kutoka kwa makombora
@SmilingGamingHeadset-mh6cn3 күн бұрын
Urusi,oye, 🇭🇹🇭🇹🇭🇹🇭🇹
@WazirBoy-fe5ew15 күн бұрын
Huyu sio rahisi tena kikatiba, sasa hivi kawa kibaka
@user-lv4cx1sc5d15 күн бұрын
Yani NATO ficheni siraha urusi hatapiga popoamna muda wa kumpangia apige wapi
@shukurmuha55415 күн бұрын
Ukouwa kwa upanga utakufa kwa upanga wache waiting maumivu kama walivyowafanyia warusi
@thelonewolf442915 күн бұрын
Haha ndio mjuwe asa kama Urusi inapigana na nato. Waliua watu urusi wakajuwa wanamkomesha mrusi sasa wanajifanya wanajificha umo kumbe satellite zaurusi ziliwa nasa😂 wakafumuliwa sasa wana go frenzy
@jumaciza46115 күн бұрын
Wana fica silaha uko lazima pashambuliwe
@ziongate546415 күн бұрын
Ndugu wachambuzi tunaomba pia kwa matokeo ya mauaji ya Wa palestina yanayo endelea uko Gaza zidi ya Waisraili tupeni taarifa pia hizo kwa kila siku.
@gabapentin807015 күн бұрын
Zelensk aliua wiki ilopita akashangilia saivi analia akipigwa
@AFRICA_D669
15 күн бұрын
😂😂
@gabapentin8070
15 күн бұрын
@@AFRICA_D669 😂😂 kajamaa kalishangilia sana
@AFRICA_D669
14 күн бұрын
@@gabapentin8070 nikwel nakumbuka ,kalivyo kahovyo et kanapiga nyumba za fukwen Hotel hakajui matajiri sku hyo hyo wanaamsha tena motel😂 mazish yanafanyikia otelin Vita inaendelea
@MohamediOmari-nz4vv15 күн бұрын
Marekani ni mchochezi wa vita hii naona anachokitafta atakipata kwa ushauri wa bure Biden afai kuwa rais maana ni mshenzi tu
@hasanimkamba837714 күн бұрын
tatizo marekani nawashilika wake niwanafiki tu
@boniphace115 күн бұрын
Zelensky hataki jadili na Putin/Russia, anaenda kujadiliana na westerners.
@shubebunyesi54214 күн бұрын
kaaah wazungu wanafki hatali yaani Urusi akishambuliwa wanamwambia zeleksi apo safi ila wao aaah navikao mtiti kama wanataka vita iishe c aingie vitani moya kwa moya dunia iwake ndio watu wataheshimiana
@VeronicaMhapa15 күн бұрын
Bro Russia hausiki kwenye shambulio ilo
@user-oh8ig2cy9q15 күн бұрын
Ukiwa mmbea uwe na kumbu kumbu
@AhmedAli-xk8cv14 күн бұрын
Nato mbona hawajadili mauwaji ya Palestina?
@isaacklazaro378015 күн бұрын
Viva Masubi Viva sns
@user-tq4lx9si1n15 күн бұрын
Urusi vta vimemshnda hanahanza kuuwa laia hashageuka Netanyahu .kumauyo
@rashidmaty7824
15 күн бұрын
Hauna unachojua ww kaa kimyaa dawa iwaingia
@user-tq4lx9si1n
15 күн бұрын
@@rashidmaty7824 hamna ktupale yule ni Netanyahu saizi hanawinda raia
@abdullahchabukila668614 күн бұрын
Naona dunia inaamka kutoka gizan 🎉 Gaza awaoni wao wamegushwa kidogo milio Kama ya paka Putin ✌️ ura uraaaaa
@asyajey347915 күн бұрын
Ukraine akifanya sio gaidi na Israel anavofanya Gaza sahihi nato bana 😂
@suleimanabdallah9823
15 күн бұрын
Hawa nato ni mambwa washenzi wakubwa
@abdulbonomali654813 күн бұрын
Amelipiza kisasi putini alisema atajibu kwaukalisana mnalia mini sasa
@Pablolookman14 күн бұрын
Naitakia ushindi urusi Leo hii urusi wakuwa magaidi Kwa kujilinda ila Israel amaeuwa wazee na watoto sio magaidi
@ZuhuraNassoro15 күн бұрын
Ukraine wamepata wanacho sitahili
@chabrumachabruma15 күн бұрын
Kazi yao ni kukutana na kujadili kikichofanywa na Urusi....
@danielsostenes164014 күн бұрын
Kwan msaada wa dollar billion 60 umeisha?
@HassaniHassani-gb8oc15 күн бұрын
Wanajadili mauaji yanayofanyika Ukraine lakini wnaipa Israel silaha kushambulia hospitals na shule
@nkeshimanayuda111514 күн бұрын
Kwahiyo Ukraine pamoja na hao marekani wenyewe sio magaidi? Wakishambuliwa wenyewe wanasema Ugaidi. Watulize mshono!
@muharramhamisi514015 күн бұрын
Wakwanz apa nipeni like zangu❤❤❤
@user-sn4iq6cu1f
15 күн бұрын
Apa ata moja hupati😂😂😂
@issalyanali411915 күн бұрын
Walipotuma magaidi urusi wakaua watu disco walifurahi makuma hawa,,,,sasa putin wacha aonesha panapovuja
@user-sd7li4qo6q14 күн бұрын
Bona iziraeli awasemiii
@amonezekiel489315 күн бұрын
Mtaaramu piga mpaka hao mashoha waseme bac,
@user-bz5ti6op6z15 күн бұрын
Yes Putin piga hao
@KAIPAAA321115 күн бұрын
Hiyo Hosptal ilikuwa inahifadh sraha
@SAYMOEKARIM15 күн бұрын
angeliga wote hao mbwa Walichokifanya Afghanistan na Iraq Lybia Kwa Gaddafi vipi uko Gaza vipi wanachokifanya congo .???
@MasterOil-qm6vw15 күн бұрын
Hao bwana zake siwamesema wanaweza kuizuia urusi kuichukua ukrein haya wamsaidie sasa
@jotafungo462215 күн бұрын
Putin kamatia hapo hapo
@salehkhalfan734515 күн бұрын
Juzi tu Ukrain wameshambulia Crimea na kuua watu kadhaa na wengn 150 kujeruhiw Kwny hili walikaa kimyaa km hawakuliona
@ziongate546415 күн бұрын
Napicha pia za mauaji ya Wapalestina huko Gaza kama mnavyo onyesha picha hizo za Waukraina zidi ya Mashambulizi ya Kirashia
@user-lv4cx1sc5d15 күн бұрын
Hao NATO Awana kazi ya kufanya
@saimongilala893815 күн бұрын
Urus 🇷🇺 tupo pamoja
@mussajuma746014 күн бұрын
Nato ni takataka tuu ipo siku afrika italipiza kisasi dhidi ya nato kwa kuuwa viongozi wetu
@alzawahirabdallah229915 күн бұрын
Mbona hamlaani kwa anayo yafanya israile
@nemecykongolo545715 күн бұрын
Urusi piga pimbi hao
@johnsonzuma493215 күн бұрын
Mbona kipindi Ukraine hali uwa watu kwenye fukwe ya bahari hawa kuka chini?
@salymsuleiman203514 күн бұрын
Putin piga mashoga haoooo
@nemecykongolo545715 күн бұрын
Mashoga nyie
@AliKaroyo15 күн бұрын
Russia Alisema Atalipiza Kisasi cha Ukraine Last week Ukraine Alifanya Shambulizi Kubwa na Kuuwa Watu 11 wasio Na hatia Creamea Na Putin Akasema Ukraine Atalipia Kisasi Icho Mbona Kelele Sasa Niza nin
@Kingo1410
15 күн бұрын
Kweli kabisa akifanya Urusi wote wanapiga kelele waki piga Ukraine Wana kama kimya....wanapiga kelele tu
@omarymwaluko976515 күн бұрын
Urusi piga mashoga hao
@josephwilliam581315 күн бұрын
Putin ni mbwa
@aminielkombe6615 күн бұрын
West wamejipiga
@arafahhh557414 күн бұрын
Ila palestina ni mbwa wanao uwawa yahudi sio gaidi
@MohammedBwanga15 күн бұрын
Putin mwanaume wa Karne Nato wanapiga Kelele lkn yeye kimyaa anaongea kw. Kuwatwanga tu.
@user-tq4lx9si1n
15 күн бұрын
Wanatwangana wekahaba hacha ufala
@MohammedBwanga
15 күн бұрын
@@user-tq4lx9si1n VP nawewe upo ktk chama cha mashoga au
Vikao vingiiiiiii kama wachawi.. Mpeni silaha comedian... Ili mzozo uzidi!
@ElijahOwino-xe2cd15 күн бұрын
Wanao isifia Urusi kwa shambulio hili ndio wao Hao Wanao lialia mitandaoni mashambulizi ya Gaza.... Halafu wengi wao ni waislamu... na ndio maana ninapenda anachokifanya Israel huko Middle East.. Kiboko cha waarabu ni Israel tu... Hakuna kucheka nao
@@ElijahOwino-xe2cdhah una chekesha kweli mazayuni maoga ndio maana yanauwa viongoza kwa kuvizia kama wanauwezo waingie bato wakione cha moto
@ElijahOwino-xe2cd
14 күн бұрын
@@barakashaban9698 sasa Mbona Hao magaidi wanajificha kama panya... mtu aje akutandike kwenyu na amuue kiongozi wako kwa ardhi yenyu halafu bado unasema eti ni muoga...? 🤣🤣🤣🤣
@barakashaban9698
14 күн бұрын
@@ElijahOwino-xe2cd hah🤣 lini wameingia Lebanon wakauwa kiongozi kama sio kuvizia kwa drone lkn juz kati walipo muuwa kiongozi wa Hasbollah uliliona majibu Yao Israel ilivyo shambuliwa kwa makombora hd kuuwa makamanda w2 wa Israel au ndio mapenzi yamezidi hd huoni namna mazayuni yanavyo kufa?
@hamoudcreator634315 күн бұрын
Wazungu Bhana, Wanafiki Sana, Gaza hawajawahi kukaa.. Ahaaa kwasababu ni Nchi ya Waislam... Nilisahau...
@user-jh9yv1zp1l
15 күн бұрын
Hich nd kinawaponz unaendekez udini tu
@user-tq4lx9si1n
15 күн бұрын
@@user-jh9yv1zp1lmimwenye mamahangu ni mwislamu hanakesha kuiombea palestrina lakinimi kimoyon napenda sana hanachokfanya Netanyahu hawajama wabaguzi sana Netanyahu kazi nzuli baba mungu yuponawe
@user-jh9yv1zp1l
15 күн бұрын
@@user-tq4lx9si1n hams walopoivamia Israel ,waislm wot walisifia lkn ss mamb yalipobdrk sahv wanalilia tu Allah awatangulie baad ya kipigo kikubw,na bado watapigw san
@athumanshaban
15 күн бұрын
Mwafrika atabaki kuwa muafrika tu yani nyie wote mkiristo yupo Israel na muislamu yupo palestina wote dini mmeletewa mkose kuwa mnaongelea utu kazi dini yan sijuwi ni lini tutajitambua mlusi hapigani kwa sababu ya dini anapigania maslahi yake na wala hana lengo la kuisaidi Afrika na sisi nato inatuuwia viongozi ambao wanania ya kuleta mabadiliko Afrika ila bado tunawashabikia
Пікірлер: 145
Hawa mbwa kila siku wanawauwa wapalestina lkn hawajadili wameuliwa wao wanaanza kubweka big up urusi
@josephwilliam5813
15 күн бұрын
Kuitetea URUSI hakuifanyi Gaza kua na amani,,,usiwe mnafiq kama WAO simamia haki
@Fgldesigns
15 күн бұрын
@@josephwilliam5813Wapuuzi hao Ukraine
@abdul-qadirkhamis2518
15 күн бұрын
Huna akili, jaribu kufikiriakabla hujajibu@@josephwilliam5813
@KAMTUPE
14 күн бұрын
Sasa haki n ipi?
@josephwilliam5813
14 күн бұрын
@@KAMTUPE haki ni kuamini KILA mtu ana haki BILA kujali UPANDE wake kua tofauti na wako
Lakin palestina wanauliwa wapo kimya kumamazao nato
Safii mpo fasta sana kutupa Habari makini na sahihi.. Mbarikiwe sana katika kazi zenu.
urusi wapo vizuri 😂😂
Ally Masubi kwenye ubora wake kwenye uchambuzi. Asante Kwa habari
Gaza hawaoni Israel anachokifanya jamani
@aftapat5365
15 күн бұрын
mbona unaenda huko kote angalia kongo na sudan
Wakae vikao walie urusi cha kumfanya hawana dawa wasalimu amri vinginevyo atawamaliza
gaza vp hawa oni
@tahiyasaidi6532
15 күн бұрын
kikao cha dharula lkn gaza watoto wanakufa hoefuly wajadili na hayo
ally masubi improvent Yako now ni kubwa sn ktk uchambuzi tofauti na awali.. big up!!
Kwaiyo lile kombora lililorushwa na ukrain kwa makombora ya mmarekani kwenda urusi na kuuwa watoto kwao sio tatizo ila wakifanyiwa wao ndo tatizo 😅😅😅 so sad😢😢
Hata wakikaa kwani mara yao ya kwanza kukaa wanapoteza muda ni aibu zinawatesa urusi ndiye mbabe wa dunia sasa wazungu wa nato sijui washitaki wapi maana hata Mungu wamemsusa
Putin piga hao nyau wakiuwa warusi kimyaaaa waache undumilakuwili
Ukraine wameua watu urusi siku kadhaa nyuma, hao Umoja wa mataifa hawakulaani, sasa Urusi imelipiza kelele nyingi wuh wuh wuh wuh kama mbwa koko😂
Marekani mwenyewe hamuwezi urusi marekani anayadanganya mataifa madogo kwamba yeye ni super power kumbe super power ni urusi ambae ndie mshindi wa vita zote kubwa za dunia marekani hajawahi shinda hata vita moja hata na makundi kama hamas marekani haijawahi kushinda
Nato washenzi Sanaa, ni kikundi cha fitina
Gen z wakawasaidie Ukraine kumtoa zelensky
Mko fasta kabisa kutupatia Habari kamili.kwa sasa mda wakufatilia bbc, rfi na media zao zimekwisha .hongereni sana tuna wapata inchi Canada ottawa 🙌🤝👍
@kwisa4899
15 күн бұрын
Habari ya jana unasema wapo fasta nenda wion ndio unapata habari haraka sio media hizi za bongo
Wazungu watu wa ajabu sana yani wale wanao uliwa kule gaza siyo binadamu
Russia🙌🙌🙌🙌
Wanamzungusha tu Zelesky hawana solutions
Mbona urusi alivyoshambuliwa amukuweka kikao
Ivi hao mashoga hawaoni watoto Gaza wanavyoangamia washenzi sana hao
@user-tq4lx9si1n
15 күн бұрын
Kilamtu hashinde mechzake kulegaza kulekuna watoto wanyoka wakibak watang,ata watu
@user-tq4lx9si1n
15 күн бұрын
Ushahanza kuleta udini hapo gaza inakujaje wakat mtu hanatafta magaid wanao uwalaia nihamas wanaojficha kwa watoto nakinamama kwann wasjtokeze kupambana
@Puppet666Master
15 күн бұрын
@@user-tq4lx9si1nNnjoo Umchukulie MAMA AKO CHUPI LAKE Kalisahau geto huku jana Nililila Mavii sana😋😋
@barakashaban9698
14 күн бұрын
@@user-tq4lx9si1nacha ushenze we kafiri ww inamaana wale watot wanaouliwa Gaza sio binaadam? Au kwasababu mmezowea kuchokolewa ndio mnaona kuwachukia watu wanaopinga uchoko acha ujinga kila mtu anahaki ya kuishi
Absolutely 💯
Awajamaa mashoga kweli mbona palestina awasemi auwaosio watu NATO nimagaidi
Mpumbavu ameshaikimbia nchi mwehu
Magaidi ni marekani na nato yake na wala si Urusi!
Russian technology...
Baiden na hao mbwa wenzie mbona hawalaani makombora ya Israel kila saa yanauwa watoto wa palestinians laanatulah wote hao
Pamoja kaka mm nasuburi tarifa zako pare sns
Ata bado acha wauwawe mbwa wakubwa watu 30 tu wanabweka kile Gaza maelfu kwa maelfu kimyaa ata bado😅😅😅😅😅😅😅😅😅
SNS super Sonic ❤
Ni waongo makombora yote yaligonga lengo lao zelensky walikwenda Poland kujificha kutoka kwa makombora
Urusi,oye, 🇭🇹🇭🇹🇭🇹🇭🇹
Huyu sio rahisi tena kikatiba, sasa hivi kawa kibaka
Yani NATO ficheni siraha urusi hatapiga popoamna muda wa kumpangia apige wapi
Ukouwa kwa upanga utakufa kwa upanga wache waiting maumivu kama walivyowafanyia warusi
Haha ndio mjuwe asa kama Urusi inapigana na nato. Waliua watu urusi wakajuwa wanamkomesha mrusi sasa wanajifanya wanajificha umo kumbe satellite zaurusi ziliwa nasa😂 wakafumuliwa sasa wana go frenzy
Wana fica silaha uko lazima pashambuliwe
Ndugu wachambuzi tunaomba pia kwa matokeo ya mauaji ya Wa palestina yanayo endelea uko Gaza zidi ya Waisraili tupeni taarifa pia hizo kwa kila siku.
Zelensk aliua wiki ilopita akashangilia saivi analia akipigwa
@AFRICA_D669
15 күн бұрын
😂😂
@gabapentin8070
15 күн бұрын
@@AFRICA_D669 😂😂 kajamaa kalishangilia sana
@AFRICA_D669
14 күн бұрын
@@gabapentin8070 nikwel nakumbuka ,kalivyo kahovyo et kanapiga nyumba za fukwen Hotel hakajui matajiri sku hyo hyo wanaamsha tena motel😂 mazish yanafanyikia otelin Vita inaendelea
Marekani ni mchochezi wa vita hii naona anachokitafta atakipata kwa ushauri wa bure Biden afai kuwa rais maana ni mshenzi tu
tatizo marekani nawashilika wake niwanafiki tu
Zelensky hataki jadili na Putin/Russia, anaenda kujadiliana na westerners.
kaaah wazungu wanafki hatali yaani Urusi akishambuliwa wanamwambia zeleksi apo safi ila wao aaah navikao mtiti kama wanataka vita iishe c aingie vitani moya kwa moya dunia iwake ndio watu wataheshimiana
Bro Russia hausiki kwenye shambulio ilo
Ukiwa mmbea uwe na kumbu kumbu
Nato mbona hawajadili mauwaji ya Palestina?
Viva Masubi Viva sns
Urusi vta vimemshnda hanahanza kuuwa laia hashageuka Netanyahu .kumauyo
@rashidmaty7824
15 күн бұрын
Hauna unachojua ww kaa kimyaa dawa iwaingia
@user-tq4lx9si1n
15 күн бұрын
@@rashidmaty7824 hamna ktupale yule ni Netanyahu saizi hanawinda raia
Naona dunia inaamka kutoka gizan 🎉 Gaza awaoni wao wamegushwa kidogo milio Kama ya paka Putin ✌️ ura uraaaaa
Ukraine akifanya sio gaidi na Israel anavofanya Gaza sahihi nato bana 😂
@suleimanabdallah9823
15 күн бұрын
Hawa nato ni mambwa washenzi wakubwa
Amelipiza kisasi putini alisema atajibu kwaukalisana mnalia mini sasa
Naitakia ushindi urusi Leo hii urusi wakuwa magaidi Kwa kujilinda ila Israel amaeuwa wazee na watoto sio magaidi
Ukraine wamepata wanacho sitahili
Kazi yao ni kukutana na kujadili kikichofanywa na Urusi....
Kwan msaada wa dollar billion 60 umeisha?
Wanajadili mauaji yanayofanyika Ukraine lakini wnaipa Israel silaha kushambulia hospitals na shule
Kwahiyo Ukraine pamoja na hao marekani wenyewe sio magaidi? Wakishambuliwa wenyewe wanasema Ugaidi. Watulize mshono!
Wakwanz apa nipeni like zangu❤❤❤
@user-sn4iq6cu1f
15 күн бұрын
Apa ata moja hupati😂😂😂
Walipotuma magaidi urusi wakaua watu disco walifurahi makuma hawa,,,,sasa putin wacha aonesha panapovuja
Bona iziraeli awasemiii
Mtaaramu piga mpaka hao mashoha waseme bac,
Yes Putin piga hao
Hiyo Hosptal ilikuwa inahifadh sraha
angeliga wote hao mbwa Walichokifanya Afghanistan na Iraq Lybia Kwa Gaddafi vipi uko Gaza vipi wanachokifanya congo .???
Hao bwana zake siwamesema wanaweza kuizuia urusi kuichukua ukrein haya wamsaidie sasa
Putin kamatia hapo hapo
Juzi tu Ukrain wameshambulia Crimea na kuua watu kadhaa na wengn 150 kujeruhiw Kwny hili walikaa kimyaa km hawakuliona
Napicha pia za mauaji ya Wapalestina huko Gaza kama mnavyo onyesha picha hizo za Waukraina zidi ya Mashambulizi ya Kirashia
Hao NATO Awana kazi ya kufanya
Urus 🇷🇺 tupo pamoja
Nato ni takataka tuu ipo siku afrika italipiza kisasi dhidi ya nato kwa kuuwa viongozi wetu
Mbona hamlaani kwa anayo yafanya israile
Urusi piga pimbi hao
Mbona kipindi Ukraine hali uwa watu kwenye fukwe ya bahari hawa kuka chini?
Putin piga mashoga haoooo
Mashoga nyie
Russia Alisema Atalipiza Kisasi cha Ukraine Last week Ukraine Alifanya Shambulizi Kubwa na Kuuwa Watu 11 wasio Na hatia Creamea Na Putin Akasema Ukraine Atalipia Kisasi Icho Mbona Kelele Sasa Niza nin
@Kingo1410
15 күн бұрын
Kweli kabisa akifanya Urusi wote wanapiga kelele waki piga Ukraine Wana kama kimya....wanapiga kelele tu
Urusi piga mashoga hao
Putin ni mbwa
West wamejipiga
Ila palestina ni mbwa wanao uwawa yahudi sio gaidi
Putin mwanaume wa Karne Nato wanapiga Kelele lkn yeye kimyaa anaongea kw. Kuwatwanga tu.
@user-tq4lx9si1n
15 күн бұрын
Wanatwangana wekahaba hacha ufala
@MohammedBwanga
15 күн бұрын
@@user-tq4lx9si1n VP nawewe upo ktk chama cha mashoga au
@MohammedBwanga
15 күн бұрын
@@user-tq4lx9si1n nawewe unataka haki zako au
@barakashaban9698
14 күн бұрын
@@user-tq4lx9si1nanawatwanga bhana acha kujifariji😀😀
Mbona wameuwa wachache, wangemaliza raia wote hapo.. Viva Russia, Viva Putin
Vikao vingiiiiiii kama wachawi.. Mpeni silaha comedian... Ili mzozo uzidi!
Wanao isifia Urusi kwa shambulio hili ndio wao Hao Wanao lialia mitandaoni mashambulizi ya Gaza.... Halafu wengi wao ni waislamu... na ndio maana ninapenda anachokifanya Israel huko Middle East.. Kiboko cha waarabu ni Israel tu... Hakuna kucheka nao
@barakashaban9698
14 күн бұрын
Na kiboko cha Israel ni Hasbollah
@ElijahOwino-xe2cd
14 күн бұрын
@@barakashaban9698 Hezbollah ndo Bure kabisa... hata hawawezi mlinda kiongozi wao🤣.... Ngoja uwone kinachoikujia Lebanon
@barakashaban9698
14 күн бұрын
@@ElijahOwino-xe2cdhah una chekesha kweli mazayuni maoga ndio maana yanauwa viongoza kwa kuvizia kama wanauwezo waingie bato wakione cha moto
@ElijahOwino-xe2cd
14 күн бұрын
@@barakashaban9698 sasa Mbona Hao magaidi wanajificha kama panya... mtu aje akutandike kwenyu na amuue kiongozi wako kwa ardhi yenyu halafu bado unasema eti ni muoga...? 🤣🤣🤣🤣
@barakashaban9698
14 күн бұрын
@@ElijahOwino-xe2cd hah🤣 lini wameingia Lebanon wakauwa kiongozi kama sio kuvizia kwa drone lkn juz kati walipo muuwa kiongozi wa Hasbollah uliliona majibu Yao Israel ilivyo shambuliwa kwa makombora hd kuuwa makamanda w2 wa Israel au ndio mapenzi yamezidi hd huoni namna mazayuni yanavyo kufa?
Wazungu Bhana, Wanafiki Sana, Gaza hawajawahi kukaa.. Ahaaa kwasababu ni Nchi ya Waislam... Nilisahau...
@user-jh9yv1zp1l
15 күн бұрын
Hich nd kinawaponz unaendekez udini tu
@user-tq4lx9si1n
15 күн бұрын
@@user-jh9yv1zp1lmimwenye mamahangu ni mwislamu hanakesha kuiombea palestrina lakinimi kimoyon napenda sana hanachokfanya Netanyahu hawajama wabaguzi sana Netanyahu kazi nzuli baba mungu yuponawe
@user-jh9yv1zp1l
15 күн бұрын
@@user-tq4lx9si1n hams walopoivamia Israel ,waislm wot walisifia lkn ss mamb yalipobdrk sahv wanalilia tu Allah awatangulie baad ya kipigo kikubw,na bado watapigw san
@athumanshaban
15 күн бұрын
Mwafrika atabaki kuwa muafrika tu yani nyie wote mkiristo yupo Israel na muislamu yupo palestina wote dini mmeletewa mkose kuwa mnaongelea utu kazi dini yan sijuwi ni lini tutajitambua mlusi hapigani kwa sababu ya dini anapigania maslahi yake na wala hana lengo la kuisaidi Afrika na sisi nato inatuuwia viongozi ambao wanania ya kuleta mabadiliko Afrika ila bado tunawashabikia
@user-tq4lx9si1n
15 күн бұрын
@@athumanshaban nyikpndi mnaishabikia hamasi hamkujua kunautu hahu mnatakatu huruma
nawao izirail mbona inaua gaza hawajadili wala hatuon kueka vikwazo
Kombora lilio dondoka hospitali Ukraine walidungua juu ndipo likashuka hapo hospitali Urusi walielekeza kambi ya jeshi Ukraine wamejiuwa wenyewe
Gaza wanao uwawa si binadam mbona kwa siku moja wameuwa mia moja acha wafe na wenyewe
Wenyewao wameua watoto iyo icc ianze na ukraine
Walishaambiwa wasishambulie ndani ya russia sasa wao kushambulia tuu wakishambuliwa wao aaaaaah 😂😂 putin piga haoo 😂😂
Putin ponda ponda hao mashoga paka waishe mbona huko Gaza hawongelei
Wakulaumiwa hata si mrusi ni hao wanaohifadhi salaha na ku base wanejeshi maeneo ya kiraia!!
Ukreini wakiuwa watu wa urusi wanashangili wapuuzi sana .na kinacho tafutwa ni nato wangie mazima
Hahaha ila NATO kama watoto WA mtaani kwa kulialia. ICC ni ya kumshughulikia Ruto😂😂