Madee: Nilitishiwa kuchinjwa sababu ya 'Hip Hop Haiuzi', Mama alilia nilivyomuonesha nyumba yangu

Madee anasimulia sababu iliyomfanya aandike wimbo wake uliosababisha utata mkubwa ‘Hip Hop Haiuzi.’ Anaeleza jinsi wimbo huo ulivyompa wakati mgumu kiasi cha kutishishwa kuuawa na kupigwa marufuku asiende Arusha na Mbeya.
Pia anakumbushia wimbo wake ‘Pombe Yangu’ ulivyopatikana na kuja kumpa mafanikio makubwa.
#ChillnaSky

Пікірлер: 10

  • @officialmrtop1018
    @officialmrtop10184 жыл бұрын

    Duuh nimependa sana interview hii

  • @tumeerewamiki7490
    @tumeerewamiki74904 жыл бұрын

    Nime enjoy na hii interview

  • @rodgersgregory7198
    @rodgersgregory71984 жыл бұрын

    Very interesting

  • @davidwalalason7630
    @davidwalalason76303 жыл бұрын

    I like this interview

  • @noelmarapachi1808
    @noelmarapachi18084 жыл бұрын

    Hizi Series Muwe mna andika ipi ni ya ngapi mf. 1, 2 etc sababu inachanganya kidogo ipi ilianza ipi inafuatia especially kama huku anza nazo tangu mwanzo

  • @eclatsadam95
    @eclatsadam954 жыл бұрын

    Wazee wagumu sana kuelewa

  • @susanruo8087
    @susanruo80874 жыл бұрын

    Alafu kiswahili cha dogo njaja kinafanana na chake

  • @josephinemollel2330
    @josephinemollel23304 жыл бұрын

    Hata wewe siulimdhulumu dogo janja

  • @officialmrtop1018

    @officialmrtop1018

    4 жыл бұрын

    Acha ufala wew funga mdomo wako

  • @MtuSafi

    @MtuSafi

    4 жыл бұрын

    @@officialmrtop1018 hajui dogo alikuwa anapata mahitaji gharama zilikuwa za Nani?