Madee: Nilitishiwa kuchinjwa sababu ya 'Hip Hop Haiuzi', Mama alilia nilivyomuonesha nyumba yangu
Madee anasimulia sababu iliyomfanya aandike wimbo wake uliosababisha utata mkubwa ‘Hip Hop Haiuzi.’ Anaeleza jinsi wimbo huo ulivyompa wakati mgumu kiasi cha kutishishwa kuuawa na kupigwa marufuku asiende Arusha na Mbeya.
Pia anakumbushia wimbo wake ‘Pombe Yangu’ ulivyopatikana na kuja kumpa mafanikio makubwa.
#ChillnaSky
Пікірлер: 10
Duuh nimependa sana interview hii
Nime enjoy na hii interview
Very interesting
I like this interview
Hizi Series Muwe mna andika ipi ni ya ngapi mf. 1, 2 etc sababu inachanganya kidogo ipi ilianza ipi inafuatia especially kama huku anza nazo tangu mwanzo
Wazee wagumu sana kuelewa
Alafu kiswahili cha dogo njaja kinafanana na chake
Hata wewe siulimdhulumu dogo janja
@officialmrtop1018
4 жыл бұрын
Acha ufala wew funga mdomo wako
@MtuSafi
4 жыл бұрын
@@officialmrtop1018 hajui dogo alikuwa anapata mahitaji gharama zilikuwa za Nani?