MBINU ZA KUSHINDA JOB INTERVIEW
Pamoja na maandalizi mazuri ya usaili unayopaswa kuyafanya unahitaji kujua mbinu zinazoweza kukusaidia kufanya vizuri kwenye usaili wa kazi. Video hii ni mahususi kwa ajili ya kuanisha mbinu za kushinda job interview. Karibu.
__________________________________________________________________________
The HR Tanzania Kelvin Mwita Job interview
Пікірлер: 19
kaka umeeleweka sanaaaa
Acha kujidanganya... mbinu ni Moja tu tumia Hela upate Hela kama una D mbili ushaelewa
Appreciated
much thanks
Umetisha broh
Kaka mkubwa nipe mbinu za kufaulu utumishi maana nishafanya sana usaili sitoboi
Nimependa
Ahsante kwa darasa mkuu, ubarikiwe sana Ndg.
@TheHRChannel
3 жыл бұрын
Karibu sana Aimo
@aimoandrew975
3 жыл бұрын
@@TheHRChannel Ahsante sana kaka ngoja nijinoe
Thanks bro🙏🙏
@TheHRChannel
3 жыл бұрын
Pamoja
Nimejifunza kitu
Sorry mfano swali linasema unataka tukulipe sh ngap unajibuje apo 😳
😒apo kwny tabasamu 😑co kote jmn 🌚nilienda kufanya usahili CRDB bank ☹️tabasamu lilinikosesha kazi
@reginaedward4645
Жыл бұрын
😀😀😀😀😀pole dear
@FarajaMapepele
4 ай бұрын
Polee
@abouswaleh7375
4 ай бұрын
😂😂😂
@peterkaili9343
23 күн бұрын
kaka inategemea umetabasamu vipi😂😂