This channel is dedicated to provide you with knowledge on human resource management, leadership, business and other life skills hacks. It intends to unleash your potential to the fullest :) Feel free to comment but remember to keep your comments respectfully.
Kindly subscribe so you won't miss any update from us.
_____________________________________________________________________________________________________
Chaneli hii imejikita katika kukupatia maarifa kwenye masuala ya menejiment ya rasilimali watu, uongozi, biashara na mbinu nyingine za maisha. Inalenga kukuwezesha kuutambua na kuungeza uwezo wako kwa kiwango cha juu kabisa. Kuwa huru kutoa maoni lakini kumbuka kutoa maoni yenye staha.
Tafadhali subscribe ili usikose kila taarifa kutoka kwetu.
Пікірлер
Acha kujidanganya... mbinu ni Moja tu tumia Hela upate Hela kama una D mbili ushaelewa
Kaka mkubwa nipe mbinu za kufaulu utumishi maana nishafanya sana usaili sitoboi
bwana HR TZ ur the best I can tell asante sana nime apply kazi kadhaa recentryndo mana niko hapa
kaka umeeleweka sanaaaa
Ubarikiwe
OK kiongoz tunashukuru kwa mwongozo huu.... 🙏🙏
🤲🤲
Umetisha broh
Sorry mfano swali linasema unataka tukulipe sh ngap unajibuje apo 😳
Interview haiwezi fanyika kwa kiswahili
Am excepting an interview few days ago but umenitoa uoga aseeee kumbe wao ndo wananihitaj so mm kuhtaj kaz kiviiiiiile safiiiii
Nakuelewa sana sema tu kujieleza in English😅achen2 Allah asimame
Watumishi wengi hatupendi kusikia habari za kustaafu utadhani hizo kazi ni zetu milele
Thank you
Asante
Thanks bro
Asante sana kaka nimejifinza vitu vingi kupitia video hii
Thanks sir
Barikiwa sana sana
😒apo kwny tabasamu 😑co kote jmn 🌚nilienda kufanya usahili CRDB bank ☹️tabasamu lilinikosesha kazi
😀😀😀😀😀pole dear
Polee
😂😂😂
kaka inategemea umetabasamu vipi😂😂
Well and good brooo...inspirational work be blessed
Thanks brother I wish you all the best
Ubarikiwe mkuu wa Kitengo
Thank you
Asante sanaaa kwa kuniongezea maarifa
Hii nzur
thanks
sawa Hr
Congratulations my blood brother from another mother
ukiwa na certificate ya coarse nyingine je unaweza kuendelea diploma coarse nyingine??
Thank you so much
Good Mr
Good mr
Asante Sana kaka🙏
Nimependa
Sure
Thank you
Vuo vya daktari
Ubarikiwe
💪👍👍
Thank you 💞
Ahsante sana bratha
Ok upo sawa endelea kuwajenga watu
Nice one
Nice brother
Katika usahiri unaruhusiwa kuchagua lugha ya kuhojiwa au wao huchagua yoyote kati ya hzi mbili kingereza na kiswahili
God bless you
Thanks much bro
Mashaallah beautiful day (kazi nzuri sana Allah bless you
Asanteeee sana mungu akubariki 🙏🙏🙏
much thanks