JE MUNGU ANAZAA NA YESU NI MWANA WA MUNGU | SHK SHAFII NA MAZINGE WAACHWA PEKEYAO UWANJANI

#AdilTV
• JE MUNGU ANAZAA NA YES...

Пікірлер: 72

  • @emmanuelmatiko7307
    @emmanuelmatiko7307Ай бұрын

    Pastor you're the best of the bests

  • @emmanuelmatiko7307
    @emmanuelmatiko7307Ай бұрын

    Ndacha you're a genius ukweli upo wazi kabisa sema kwasababu tu ya ugumu wa mioyo ya watu kutopenda mafundisho ya kweli

  • @fredrickgitonga1972
    @fredrickgitonga1972 Жыл бұрын

    Ndacha kiboko yao MUNGU na amjalie maisha marefu

  • @ericmanirakiza6419
    @ericmanirakiza6419 Жыл бұрын

    Basheihe bote Allah abajalie na hakunadini iliosahi ya mungu bila weslam mungu baongoze bakristo bameshapoteya

  • @silvesterrichardhelenya1319

    @silvesterrichardhelenya1319

    11 ай бұрын

    Hadithi Halali na haramu Katika uislam 223 nanukuu muislamu wa kweli anaamini kuwa DINI ya ukristo na DINI ya UYAHUDI Ni Dini mbili za mwenyezi mungu wewe ndiyo ulipotea

  • @hamisimuhammad3656
    @hamisimuhammad3656 Жыл бұрын

    SubhaanaAllah Ametakasika mwenyezi mungu

  • @kiragufrankjoram4060
    @kiragufrankjoram4060 Жыл бұрын

    Ndasha you are the best

  • @bellasi349

    @bellasi349

    Жыл бұрын

    Ndacha omba mada ya kilo cha Muhammad ndo wajue hawajui wasikalie yesu yesu

  • @user-pw2cn1qs7o
    @user-pw2cn1qs7o Жыл бұрын

    Duuh

  • @KhalfanAlharthy
    @KhalfanAlharthy Жыл бұрын

    MashaAhlah Ahlah Awaifadhi wahubiri wetu wa kislam Ahlah awape kheri hapa duniani na kesho Akhera Amin

  • @user-ul1uz8sj8g
    @user-ul1uz8sj8g Жыл бұрын

    Ndacha nimekuelewa sana Mungu ana Mwana Mungu aliyekataa ni wa mchongo

  • @ismailyussuf1805
    @ismailyussuf1805 Жыл бұрын

    masikini WAKIRISITU kila mdahalo wsnashindwaga..

  • @hilalsalum1833
    @hilalsalum1833 Жыл бұрын

    Wewe mungu hana mwana

  • @adanabdi5249
    @adanabdi5249Ай бұрын

    Yohana ni Mungu?

  • @fredysiwale5413
    @fredysiwale5413 Жыл бұрын

    Laiti mungu angegawa lziki kufuata dini zetu tungenyanyasana sana bora mwenyezi anatoa liziki ya afya na uhai wala haangali unamuabudu AAU laaa

  • @rodgerssimaku9717
    @rodgerssimaku9717 Жыл бұрын

    Waa kimeumana

  • @user-sm9xs6jg4u
    @user-sm9xs6jg4u11 ай бұрын

    Namuonea huruma pasta Kwa asema kuwa waislam watachomwa kwani amesahau kuwa usimuhukumu mtu pasipo na kujuwa

  • @ALIHASSAN-rn8yq
    @ALIHASSAN-rn8yq2 ай бұрын

    Heee

  • @ericmanirakiza6419
    @ericmanirakiza6419 Жыл бұрын

    Ndacha achakupoteza batu tumesha kujuwa kasilimu tu

  • @user-sr7dv3mu6g
    @user-sr7dv3mu6gАй бұрын

    Ndacha huwa ajielewi alafu anakwepakwepa Sana namjuwa

  • @barakampunga8121
    @barakampunga8121 Жыл бұрын

    Yaan katika walimu huyu jamáa anajua maandiko huspomuelewa huyu bac ni ubishi wako tu

  • @IssaSaid-vf3lg
    @IssaSaid-vf3lg Жыл бұрын

    Waislamu... Kwann hamuokokiiiii tatzo nn

  • @sawetito22

    @sawetito22

    Жыл бұрын

    We kafiri tuokoke vipi

  • @khadijayusuf7968

    @khadijayusuf7968

    Жыл бұрын

    Unaweza okokaje hapa duniani nyie makafir musio elewa

  • @user-eb5ml3km2x

    @user-eb5ml3km2x

    Жыл бұрын

    @@sawetito22 Kafir ni muislamu asiye mjua Mungu

  • @user-eb5ml3km2x

    @user-eb5ml3km2x

    Жыл бұрын

    @@khadijayusuf7968 Kafir ni muislamu asiye mjua Mungu

  • @khadijayusuf7968

    @khadijayusuf7968

    Жыл бұрын

    Makafir ni nyie munaosema mungu bab mungu mam na mungu mtot musio jua mungu mmoja pekee

  • @user-th2ks9et2m
    @user-th2ks9et2m5 ай бұрын

    Wakristo hawana vitabu ilo sahihi sababu yesu daudi musa wote hawajui biblia sijui wame toa wapi icho kitabu angalia quran yaan tokea kufa mtume makristo yana tumia kila mbinu ili kuiharibu lakin wanashindwa maana allah alisha ahidi kua atailinda ila cha kushangaza biblia mpaka nyerere ana yake biblia aliyo create tena iko mpaka biblia ya africa ila katik quran hukuti hata siku 1 iyo kitu

  • @benjaminsika1782

    @benjaminsika1782

    2 ай бұрын

    Tumeharibu Kwan kitabu cha qoran ni kitabu chetu?

  • @mwesi527
    @mwesi527 Жыл бұрын

    Is a ya sauti I to kayo ekaluni hiyo Sio ya mungu da kwann wahisialam Amikubali ukwel

  • @SalmaAbdul-zz7dy

    @SalmaAbdul-zz7dy

    Жыл бұрын

    Ukweli.mungu wa kufa na kufufuka tunamkataa

  • @IssaSaid-vf3lg
    @IssaSaid-vf3lg Жыл бұрын

    Weee ndasha aaa ni nowmah.... Mungu akuajaalie mwish mwema

  • @bellasi349

    @bellasi349

    Жыл бұрын

    Acheni ujinga apo sio Mungu anasema ni Muhammad

  • @LOGOSNew
    @LOGOSNew Жыл бұрын

    QURAN 53:19 3 daughters of Allah: - Al-Lat - Al-Uzzah - Manat 1)Mbona Allah ana mabinti? 2) Mbona mwapuuza vile Biblia inaeleza kwamba Mungu alisababisha Bikira Maria kupata mimba kupotia Roho Mtakatifu? Ni lipi Mungu asiloweza? 3) Kwani waislamu hawajiiti watoto au Wana wa Mungu? Ni kumaanisha kuwa Mungu aliwazaa? * Wakristo someni Quran Iko kwa mtandao katika lugha ya Kiingereza. These Muslim apologists are taking advantage of your lack of knowledge regarding the Quran!😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @user-qe2ot3ci3v
    @user-qe2ot3ci3v11 ай бұрын

    Wee wee ni mjingsa yessu alifunzs nn

  • @user-eb5ml3km2x
    @user-eb5ml3km2x Жыл бұрын

    Mungu ni wengi....na ni cheo kama rais..... Yehovah Mungu wa Biblia anao uwezo wa kila jambo....hata kuzaa kwa kutamka tu....Na ako na Mwana na anamwita Mwana....na Mwana ana mwita Baba...ushahidi kwa Biblia upo. Miaka 700 baadaye shetani akiwa amevalia sura ya "jibril" akam'bana muhammad pangoni na akamuamuru anzishe uislam kupinga Baba na Mwana!!

  • @AhmedMwaipopomazinge

    @AhmedMwaipopomazinge

    Жыл бұрын

    Ukweli mtupu. usilamu msibaa mkubwa

  • @ArmanKassim-nc5gi

    @ArmanKassim-nc5gi

    Жыл бұрын

    Pole yako

  • @user-eb5ml3km2x

    @user-eb5ml3km2x

    Жыл бұрын

    @@ArmanKassim-nc5gi Pole ni kwako unaemfwata kipofu (Q.46:9) ilhali wewe mwenyewe ni kipofu....

  • @SalmaAbdul-zz7dy

    @SalmaAbdul-zz7dy

    Жыл бұрын

    ​@@AhmedMwaipopomazingeMsiba kwenu nyie munaemuabudu mwanamme mwenzenu alotahiriwa kama nyinyi

  • @AhmedMwaipopomazinge

    @AhmedMwaipopomazinge

    Жыл бұрын

    Pole kwa x5 @@SalmaAbdul-zz7dy Nilidanganyika kama wewe nikiwa muislamu kabla sijamjua Mungu dadangu. Ukiabudu Mungu na umuache Yesu Kristo basi unajidanganya!! "ili kila mtu amheshimu Mwana kama amheshimuvyo Baba. Yeyote anayekataa kumheshimu Mwana, anakataa kumheshimu Baba aliyemtuma." - Yohana 5:23

  • @jumamnyonge2148
    @jumamnyonge2148 Жыл бұрын

    Wewe ndacha una shida gani na Muhammad mbona una chuki naye na ndiyo Mtume wako

  • @kiragufrankjoram4060

    @kiragufrankjoram4060

    Жыл бұрын

    sio chuki wanasoma vitabu tuu

  • @bellasi349
    @bellasi349 Жыл бұрын

    Ndacha achana nayo hayo ni majinga yanafata eti mtume mwenye amri za kukata nywele za kwapani n'a kukata kucha n'a kukata mavuzi

  • @alingurudu

    @alingurudu

    Жыл бұрын

    Wewe endelea kufuga hayo makucha namanywele navuzi inaonekana iyo dinienu alieitengeneza alikua hulala chooni nandomaana wacristo wengi wachafu hata wakienda kutoa hajakubwa eti tishu ndompango

  • @bellasi349

    @bellasi349

    Жыл бұрын

    @@alingurudu wewe hujui kitu kukata kucha iyo ni sheria ya Mungu wenu badala ya hata asema usiue au kuiba eti kukata kucha n'a kupiga mswaki ujinga mtupu

  • @alingurudu

    @alingurudu

    Жыл бұрын

    Sawa usipige mswaki uone utaishi vip nausikate kucha uone, mungu akisemakitu ndoamesema namtume nae hasemi ila niwahai kutoka kwamungu sasa ww yapinge aliokukataza ukaone balaa lake

  • @geoffreyembasa8483
    @geoffreyembasa8483 Жыл бұрын

    Mbona Muhammad Abu kabshi alikuwa na tabia ya kupapasa vitoto vya kike vidogo?

  • @alouisejohn7752
    @alouisejohn7752 Жыл бұрын

    He muhamand aliluwa na nguruwe??? Kafanya miujiza ngapi

  • @SakinaMuhsin-nc4zq

    @SakinaMuhsin-nc4zq

    Жыл бұрын

    Eti aliliwa na nguruwe,huna haya we nyau,mhammadi atabaki kuwa mhammadi mpaka dunia itanduke

  • @FrankNzombo-ps8gw
    @FrankNzombo-ps8gw Жыл бұрын

    Wewe jembe

  • @mwoso
    @mwoso Жыл бұрын

    Mbogo hapo alidanganya kana kwamba hatuna masikio. Mwalimu ndanya alidhibitisha vizuri kwamba yesu ni mwana wa Mungu tena vile vile ana Wana. Akasoma Johana, petro n.k

  • @AllyAthumai-bj4sj
    @AllyAthumai-bj4sj Жыл бұрын

    P000

  • @bellasi349
    @bellasi349 Жыл бұрын

    Hii mijamaa ni kukalia Yesu Yesu mbona hamusemi Muhammad aliezaliwa n'a kafili alafu eti ni mtume mtume gani anazaliwa n'a kafili alafu yatima pumbavu zenu

  • @mussashaha-iv7gg
    @mussashaha-iv7gg Жыл бұрын

    tatizo la wakristo hawana kitabu ndo shida inawasumbua ni tatizo ni hilo maana uislamu una qur-an & injili & zuburi & torati ni vitabu vya waislam wao wana bibilia nawakati biibilia sio kitabu ni mkusanyiko wa vitabu vya Mungu ilijue kweli kwamba sio kitabu vitabu vyote vina manabii injili kapewa yesu & zaburi kapewa daudi na torati kapewa mussa je bibilia kapewa na bii gani ilikikufikie wewe naona hapo labda utapata mwanga!

  • @riziki6136

    @riziki6136

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @user-eb5ml3km2x

    @user-eb5ml3km2x

    Жыл бұрын

    Hauna akili....injili & zuburi & torati ziko ndani ya biblia muhammad kazi yake ilikuwa copy and paste. Taurati ni Deutronomy Zaburi ni Psalms na injili ni Gospels - Marko, luka, Yohana na Matayo elimu ya bure

  • @edwardntamaboko3414

    @edwardntamaboko3414

    Жыл бұрын

    Waislamu ndiyo hawana kitabu kwa sababu Quran waliteremshiwa maadui wa malaika,siyo Waislamu,au waislamu ndiyo maadui wa malaika?

  • @user-ul1uz8sj8g
    @user-ul1uz8sj8g Жыл бұрын

    HAKIKA YESU NI MWEMA

  • @Mightysauced

    @Mightysauced

    Жыл бұрын

    Marko 10:18 Yesu akamwambia, Kwa nini kuniita mwema? Hakuna aliye mwema ila mmoja, ndiye Mungu.

  • @FrankNzombo-ps8gw
    @FrankNzombo-ps8gw Жыл бұрын

    Ndacha ww mungu akubariki ila sasa unawafundisha watu wasioelewa wenzio wamejaa ushetani wanapigana hata na quruani yao ? duh kweli shetani anawapuliza

  • @slimanshaz7311

    @slimanshaz7311

    Жыл бұрын

    Nazani wey akili yako haiko sawa ivi kweli umefata kweli mafundisho awo wewe ni shabiki tu

  • @FrankNzombo-ps8gw

    @FrankNzombo-ps8gw

    Жыл бұрын

    @@slimanshaz7311 mm nishabiki mkubwa wa ndacha snacho wafundishe ndacha ndo sahihi ila mnapingana na ukweli

Келесі