JAMAA ALIYE-TREND KWA KUIMBA WIMBO WENYE UJUMBE WA UKIMWI GEITA, AFIKA DAR NA KUFUNGUKA HAYA...
Жүктеу.....
Пікірлер: 51
@rozina2161 Жыл бұрын
Ma shaa Allah wimbo mzuri wenye maadili mungu azidi kumulika nyota yako
@rosesenzia1351 Жыл бұрын
Umetisha Mwambaaa keep it up
@stellah3844 Жыл бұрын
Waoooow bora hata wameliona hili basata maana wimbo wake unafundisha balaaa,,,,Mungu amsimamie kipaji chake🙏
@josephezekielmasolwa82839 ай бұрын
Huyu jamaa kama unajua kisukuma uta enjoy sana
@BrightSanaaTabora Жыл бұрын
Nice Brother Good Job
@humphreyvidonyi253 Жыл бұрын
Ahsante sana mallard ayo
@priscamlyuka5531 Жыл бұрын
Sawa jirani yangu urudi mana mlango umevunjwa 😆😆😆
@yasiniselemani8672 Жыл бұрын
jamaa anaweza sana
@juliusdonard933 Жыл бұрын
Basata vzur sanaa mnafanya vzur sanaaa
@salamakombo3257 Жыл бұрын
Ujumbe mzuri mnoo wa wimboo
@donaldtadeodontado9991 Жыл бұрын
Home boy bana etii bankoko ya nokooo uwiiiiiii fala sana we mzee
@stephenemganga3604 Жыл бұрын
Mamae😃😃
@RahelMakungu-ti4bb Жыл бұрын
Kaka angu ulitisha Sana endelea kutuheshimisha wasukuma Mungu akubaliki sana
@elidiustudoy2640 Жыл бұрын
Msukuma. Na Oooooo daaah. Ukazani ni epple 😃😃😃
@julianapatrick7911 Жыл бұрын
Uwii Mungu tuepushe😢😢😢
@juliusdonard933 Жыл бұрын
Magambo anajulikana mbonaa
@gibsonjosephat6352
Жыл бұрын
Unamjua wewe na ndugu zako. Mimi niko Kigoma mjini sijamsikia popote. Redioni au kwenye TV.
@joyce55727
Жыл бұрын
Anajulikana miaka mingi tangu ben pool ametoa ule wimbo unaosema acha maneno weka mzik
@zumbeshauri8114 Жыл бұрын
Jamaa anajia kiukweli hata ule wa mama samia
@redtrueeyes2683 Жыл бұрын
namkubali
@fransismange1091 Жыл бұрын
Mwamba ni mchekeshaji kitambo sana nimemfahamu kama miaka 10 iliyopita
@barakamanga5502 Жыл бұрын
Hizo ndo nyimbo
@user-nn5sq8ol4g Жыл бұрын
Safi
@dastopadady2402 Жыл бұрын
Mila jama ana kipaji magambo machimu
@mrpullover3991 Жыл бұрын
#Magambomachimulenga jamaa anajua asee
@BlackPanther-xx8dn Жыл бұрын
Millard kwa connection Ulizonazo Hope Utanisaidia Hili Kama Utasoma Comment Hii Nina Ardhi Kias Kikubwa sana nahitaji Vijana au Muwekezaji Tushirikiane Kufanya kitu kwenye Ardhi hiz nimekuwa nikiwatafuta wenye Kujitoa kuwekeza Kwenye Hili lakin wengi wamekuwa Wazito.
@binhussain3445
Жыл бұрын
Upo wapi???
@BlackPanther-xx8dn
Жыл бұрын
Napatikana,Vikindu
@binhussain3445
Жыл бұрын
@@BlackPanther-xx8dn Weka Mawasiliano yako ili maswali yasiwe mengi..🙏🙏🙏🙏
@edinakyaruzi9226 Жыл бұрын
😁😁😁😁😁✌️
@juliusdonard933 Жыл бұрын
Haaaaa😀😀😀
@breymbasa3451 Жыл бұрын
Bankoko bankoko ya Noko😂
@saimonijonas1471
Жыл бұрын
😁😁😁😁🤣
@samsonsamwel8782 Жыл бұрын
#MACHIMU_LENGA
@Thebeast_tz Жыл бұрын
Nikisema wasukuma wanashidaaa kuna mtu atanifokeaa😁😁😁sasa hoooo na apple wapi na wapii
@julianapatrick7911
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@officialsayvent648
Жыл бұрын
Wasukuma wanajua afu wengi wao ni rapa hawa jamaa ni shida
@officialsayvent648
Жыл бұрын
Siyo kwel huyu ni mwanacomedian amesema hoo ili wa2 wacheke
@nicholausjoseph3716
Жыл бұрын
Comedian
@GeorgeMichael13 Жыл бұрын
Mwambie arudi huko Geita , dar sio kuzuri
@MTUWATV Жыл бұрын
Akikuombq nanili hio ndio ukatae😂😂😂😂
@officialsayvent648 Жыл бұрын
Wasukuma watujengee sanamu zetu pale Nyegez maana kila sekta tupo , ufugaji, uchimbaji madin kulima, sanaa, na siasa serikali ilione hili😂
@damarygaratulu9135 Жыл бұрын
Ngosha wa mbasa
@badymedia9648 Жыл бұрын
Mwamba anajisikia kama yesu 😀😀😀
@gabrielmdem4271
Жыл бұрын
Hukaerewek anajisikiaje kama yesu maana na yafsiri non (:anajiskia kama yesu
@donaldtadeodontado9991 Жыл бұрын
Magambo machimu
@julianapatrick7911 Жыл бұрын
Hoho🤣🤣🤣🤣
@ismailchibonda5005 Жыл бұрын
Mbona hajapewa mpunga?
@mwitamalwa2773 Жыл бұрын
Magambo nakukubal sana mwamba
@doctarhanda Жыл бұрын
Leo ndio nimejua Kaz ya basata ni nini
@emmanuel800 Жыл бұрын
Huyu jamaa anayehoji anahoji kama hataki hivi,hajafanya fair kwa mwamba,kafanya hata interview ipoe. Waandishi kama hawa hawafai.shame on him
Пікірлер: 51
Ma shaa Allah wimbo mzuri wenye maadili mungu azidi kumulika nyota yako
Umetisha Mwambaaa keep it up
Waoooow bora hata wameliona hili basata maana wimbo wake unafundisha balaaa,,,,Mungu amsimamie kipaji chake🙏
Huyu jamaa kama unajua kisukuma uta enjoy sana
Nice Brother Good Job
Ahsante sana mallard ayo
Sawa jirani yangu urudi mana mlango umevunjwa 😆😆😆
jamaa anaweza sana
Basata vzur sanaa mnafanya vzur sanaaa
Ujumbe mzuri mnoo wa wimboo
Home boy bana etii bankoko ya nokooo uwiiiiiii fala sana we mzee
Mamae😃😃
Kaka angu ulitisha Sana endelea kutuheshimisha wasukuma Mungu akubaliki sana
Msukuma. Na Oooooo daaah. Ukazani ni epple 😃😃😃
Uwii Mungu tuepushe😢😢😢
Magambo anajulikana mbonaa
@gibsonjosephat6352
Жыл бұрын
Unamjua wewe na ndugu zako. Mimi niko Kigoma mjini sijamsikia popote. Redioni au kwenye TV.
@joyce55727
Жыл бұрын
Anajulikana miaka mingi tangu ben pool ametoa ule wimbo unaosema acha maneno weka mzik
Jamaa anajia kiukweli hata ule wa mama samia
namkubali
Mwamba ni mchekeshaji kitambo sana nimemfahamu kama miaka 10 iliyopita
Hizo ndo nyimbo
Safi
Mila jama ana kipaji magambo machimu
#Magambomachimulenga jamaa anajua asee
Millard kwa connection Ulizonazo Hope Utanisaidia Hili Kama Utasoma Comment Hii Nina Ardhi Kias Kikubwa sana nahitaji Vijana au Muwekezaji Tushirikiane Kufanya kitu kwenye Ardhi hiz nimekuwa nikiwatafuta wenye Kujitoa kuwekeza Kwenye Hili lakin wengi wamekuwa Wazito.
@binhussain3445
Жыл бұрын
Upo wapi???
@BlackPanther-xx8dn
Жыл бұрын
Napatikana,Vikindu
@binhussain3445
Жыл бұрын
@@BlackPanther-xx8dn Weka Mawasiliano yako ili maswali yasiwe mengi..🙏🙏🙏🙏
😁😁😁😁😁✌️
Haaaaa😀😀😀
Bankoko bankoko ya Noko😂
@saimonijonas1471
Жыл бұрын
😁😁😁😁🤣
#MACHIMU_LENGA
Nikisema wasukuma wanashidaaa kuna mtu atanifokeaa😁😁😁sasa hoooo na apple wapi na wapii
@julianapatrick7911
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@officialsayvent648
Жыл бұрын
Wasukuma wanajua afu wengi wao ni rapa hawa jamaa ni shida
@officialsayvent648
Жыл бұрын
Siyo kwel huyu ni mwanacomedian amesema hoo ili wa2 wacheke
@nicholausjoseph3716
Жыл бұрын
Comedian
Mwambie arudi huko Geita , dar sio kuzuri
Akikuombq nanili hio ndio ukatae😂😂😂😂
Wasukuma watujengee sanamu zetu pale Nyegez maana kila sekta tupo , ufugaji, uchimbaji madin kulima, sanaa, na siasa serikali ilione hili😂
Ngosha wa mbasa
Mwamba anajisikia kama yesu 😀😀😀
@gabrielmdem4271
Жыл бұрын
Hukaerewek anajisikiaje kama yesu maana na yafsiri non (:anajiskia kama yesu
Magambo machimu
Hoho🤣🤣🤣🤣
Mbona hajapewa mpunga?
Magambo nakukubal sana mwamba
Leo ndio nimejua Kaz ya basata ni nini
Huyu jamaa anayehoji anahoji kama hataki hivi,hajafanya fair kwa mwamba,kafanya hata interview ipoe. Waandishi kama hawa hawafai.shame on him