JAMAA ALIYE-TREND KWA KUIMBA WIMBO WENYE UJUMBE WA UKIMWI GEITA, AFIKA DAR NA KUFUNGUKA HAYA...

Пікірлер: 51

  • @rozina2161
    @rozina2161 Жыл бұрын

    Ma shaa Allah wimbo mzuri wenye maadili mungu azidi kumulika nyota yako

  • @rosesenzia1351
    @rosesenzia1351 Жыл бұрын

    Umetisha Mwambaaa keep it up

  • @stellah3844
    @stellah3844 Жыл бұрын

    Waoooow bora hata wameliona hili basata maana wimbo wake unafundisha balaaa,,,,Mungu amsimamie kipaji chake🙏

  • @josephezekielmasolwa8283
    @josephezekielmasolwa82839 ай бұрын

    Huyu jamaa kama unajua kisukuma uta enjoy sana

  • @BrightSanaaTabora
    @BrightSanaaTabora Жыл бұрын

    Nice Brother Good Job

  • @humphreyvidonyi253
    @humphreyvidonyi253 Жыл бұрын

    Ahsante sana mallard ayo

  • @priscamlyuka5531
    @priscamlyuka5531 Жыл бұрын

    Sawa jirani yangu urudi mana mlango umevunjwa 😆😆😆

  • @yasiniselemani8672
    @yasiniselemani8672 Жыл бұрын

    jamaa anaweza sana

  • @juliusdonard933
    @juliusdonard933 Жыл бұрын

    Basata vzur sanaa mnafanya vzur sanaaa

  • @salamakombo3257
    @salamakombo3257 Жыл бұрын

    Ujumbe mzuri mnoo wa wimboo

  • @donaldtadeodontado9991
    @donaldtadeodontado9991 Жыл бұрын

    Home boy bana etii bankoko ya nokooo uwiiiiiii fala sana we mzee

  • @stephenemganga3604
    @stephenemganga3604 Жыл бұрын

    Mamae😃😃

  • @RahelMakungu-ti4bb
    @RahelMakungu-ti4bb Жыл бұрын

    Kaka angu ulitisha Sana endelea kutuheshimisha wasukuma Mungu akubaliki sana

  • @elidiustudoy2640
    @elidiustudoy2640 Жыл бұрын

    Msukuma. Na Oooooo daaah. Ukazani ni epple 😃😃😃

  • @julianapatrick7911
    @julianapatrick7911 Жыл бұрын

    Uwii Mungu tuepushe😢😢😢

  • @juliusdonard933
    @juliusdonard933 Жыл бұрын

    Magambo anajulikana mbonaa

  • @gibsonjosephat6352

    @gibsonjosephat6352

    Жыл бұрын

    Unamjua wewe na ndugu zako. Mimi niko Kigoma mjini sijamsikia popote. Redioni au kwenye TV.

  • @joyce55727

    @joyce55727

    Жыл бұрын

    Anajulikana miaka mingi tangu ben pool ametoa ule wimbo unaosema acha maneno weka mzik

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri8114 Жыл бұрын

    Jamaa anajia kiukweli hata ule wa mama samia

  • @redtrueeyes2683
    @redtrueeyes2683 Жыл бұрын

    namkubali

  • @fransismange1091
    @fransismange1091 Жыл бұрын

    Mwamba ni mchekeshaji kitambo sana nimemfahamu kama miaka 10 iliyopita

  • @barakamanga5502
    @barakamanga5502 Жыл бұрын

    Hizo ndo nyimbo

  • @user-nn5sq8ol4g
    @user-nn5sq8ol4g Жыл бұрын

    Safi

  • @dastopadady2402
    @dastopadady2402 Жыл бұрын

    Mila jama ana kipaji magambo machimu

  • @mrpullover3991
    @mrpullover3991 Жыл бұрын

    #Magambomachimulenga jamaa anajua asee

  • @BlackPanther-xx8dn
    @BlackPanther-xx8dn Жыл бұрын

    Millard kwa connection Ulizonazo Hope Utanisaidia Hili Kama Utasoma Comment Hii Nina Ardhi Kias Kikubwa sana nahitaji Vijana au Muwekezaji Tushirikiane Kufanya kitu kwenye Ardhi hiz nimekuwa nikiwatafuta wenye Kujitoa kuwekeza Kwenye Hili lakin wengi wamekuwa Wazito.

  • @binhussain3445

    @binhussain3445

    Жыл бұрын

    Upo wapi???

  • @BlackPanther-xx8dn

    @BlackPanther-xx8dn

    Жыл бұрын

    Napatikana,Vikindu

  • @binhussain3445

    @binhussain3445

    Жыл бұрын

    @@BlackPanther-xx8dn Weka Mawasiliano yako ili maswali yasiwe mengi..🙏🙏🙏🙏

  • @edinakyaruzi9226
    @edinakyaruzi9226 Жыл бұрын

    😁😁😁😁😁✌️

  • @juliusdonard933
    @juliusdonard933 Жыл бұрын

    Haaaaa😀😀😀

  • @breymbasa3451
    @breymbasa3451 Жыл бұрын

    Bankoko bankoko ya Noko😂

  • @saimonijonas1471

    @saimonijonas1471

    Жыл бұрын

    😁😁😁😁🤣

  • @samsonsamwel8782
    @samsonsamwel8782 Жыл бұрын

    #MACHIMU_LENGA

  • @Thebeast_tz
    @Thebeast_tz Жыл бұрын

    Nikisema wasukuma wanashidaaa kuna mtu atanifokeaa😁😁😁sasa hoooo na apple wapi na wapii

  • @julianapatrick7911

    @julianapatrick7911

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @officialsayvent648

    @officialsayvent648

    Жыл бұрын

    Wasukuma wanajua afu wengi wao ni rapa hawa jamaa ni shida

  • @officialsayvent648

    @officialsayvent648

    Жыл бұрын

    Siyo kwel huyu ni mwanacomedian amesema hoo ili wa2 wacheke

  • @nicholausjoseph3716

    @nicholausjoseph3716

    Жыл бұрын

    Comedian

  • @GeorgeMichael13
    @GeorgeMichael13 Жыл бұрын

    Mwambie arudi huko Geita , dar sio kuzuri

  • @MTUWATV
    @MTUWATV Жыл бұрын

    Akikuombq nanili hio ndio ukatae😂😂😂😂

  • @officialsayvent648
    @officialsayvent648 Жыл бұрын

    Wasukuma watujengee sanamu zetu pale Nyegez maana kila sekta tupo , ufugaji, uchimbaji madin kulima, sanaa, na siasa serikali ilione hili😂

  • @damarygaratulu9135
    @damarygaratulu9135 Жыл бұрын

    Ngosha wa mbasa

  • @badymedia9648
    @badymedia9648 Жыл бұрын

    Mwamba anajisikia kama yesu 😀😀😀

  • @gabrielmdem4271

    @gabrielmdem4271

    Жыл бұрын

    Hukaerewek anajisikiaje kama yesu maana na yafsiri non (:anajiskia kama yesu

  • @donaldtadeodontado9991
    @donaldtadeodontado9991 Жыл бұрын

    Magambo machimu

  • @julianapatrick7911
    @julianapatrick7911 Жыл бұрын

    Hoho🤣🤣🤣🤣

  • @ismailchibonda5005
    @ismailchibonda5005 Жыл бұрын

    Mbona hajapewa mpunga?

  • @mwitamalwa2773
    @mwitamalwa2773 Жыл бұрын

    Magambo nakukubal sana mwamba

  • @doctarhanda
    @doctarhanda Жыл бұрын

    Leo ndio nimejua Kaz ya basata ni nini

  • @emmanuel800
    @emmanuel800 Жыл бұрын

    Huyu jamaa anayehoji anahoji kama hataki hivi,hajafanya fair kwa mwamba,kafanya hata interview ipoe. Waandishi kama hawa hawafai.shame on him

Келесі