PART 2:RAIS WA MATEJA ALIYEKIMBIA KIFO AKICHOMWA NA MOTO "MWASHAJI MOTO ALIKUWA MAPEPE, NIKO HOI"

Пікірлер: 252

  • @heyumi2340
    @heyumi23402 жыл бұрын

    maashaallah maashaallah unajua kabisa aya za Allah inshaallah mungu atakufanyia wepesi

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius95262 жыл бұрын

    Aisee pole kaka kwakweli Mungu anatulinda

  • @ahmadamigeyo3929
    @ahmadamigeyo39292 жыл бұрын

    Ova ova, ALLAH atulinde wote!

  • @mzeewakibegi5105
    @mzeewakibegi51052 жыл бұрын

    Huyu mtangazaji jau sana akili anazidiwa na teja😂😂😂😂Oya mirrad mpe kazi huyu teja

  • @sirksirk4821
    @sirksirk48212 жыл бұрын

    Mwenyezi Mungu Mtukufu mwingibwa Rehma akuoneshe njia njema ww na kizazi chako na wengine wote waliokuwa na nia ya kuingia na waliopo kwenye mambo mabaya awaondoe Inshallah.

  • @hawaamohammed6687
    @hawaamohammed66872 жыл бұрын

    MashaAllah MashaAllah Allah akuongoze njia njema naupate tooba kabla ya Umauti

  • @khadijacali8142
    @khadijacali81422 жыл бұрын

    Inshaallah mwenyezi mungu atakufanyia wepesi mazito akuondoleeni mepesi akumiminieni atakupa rizik halali zielemee mikononi mwako

  • @ignaspius
    @ignaspius2 жыл бұрын

    Dahhhh mungu mkubwa aisee ilikuwa kupoteaa mtuu aisee wananzengoo...wanagongaa🔥🔥🔥🔥

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert94892 жыл бұрын

    Mashekh wamshikilie huyu Mungu anaweza kumuonekania. Ni kijana mwerevu tu...sad

  • @hilalalhabsi2047

    @hilalalhabsi2047

    2 жыл бұрын

    Wapiga unga wana maneno matamu utafkiri kisha kuwa Mufti lkn wee😂

  • @aisharamadhani1948

    @aisharamadhani1948

    Жыл бұрын

    @@hilalalhabsi2047 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kumbe unawajuaee we mtizame kwenye interview ya 1 kavaa taiti ndani na taiti ni ya kike

  • @hilalalhabsi2047

    @hilalalhabsi2047

    Жыл бұрын

    @@aisharamadhani1948 🤣, nishakaa nao haswa. Wapo walonihusu. Ogopa wakikutongoza utatoa tu pesa, halafu watiifu kama wao hakuna. Pwesa tu uone dharuba yao, utajiuliza nguo uliovaa ndani walii vua vipi wakaiiba, 🤣

  • @Catherine-mh8sw

    @Catherine-mh8sw

    Жыл бұрын

    ​@@hilalalhabsi2047 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @zuwenasaleh9613
    @zuwenasaleh96132 жыл бұрын

    Mtangazaji kwenye Quran kuna aya co rakaa..... rakaa ni kwenye sala.... Allahuyaalam

  • @fahadfahmy

    @fahadfahmy

    2 жыл бұрын

    watu wengi hawajui Dini yao

  • @djcommxero9139

    @djcommxero9139

    2 жыл бұрын

    Sio dini yake maaana hata kama dini hajui vitu kama ivyo muhimu atakuwa anafahamu tu

  • @sophiakassim6784
    @sophiakassim67842 жыл бұрын

    Mtangazaji unazinguaaaaa umeganda tu kumuwekea mike huulizi maswali me nlitegema utauliza wakati anapigwa izo pesa na simu bado ulikua nazo lakn we umekaa tu mpaka ye mwenyewe ndo anatafsiri maana ya pauni ni elf 20,000 daaah kweli waandishi ma professional ni wachache sana Tanzania

  • @kevoooochagga392

    @kevoooochagga392

    2 жыл бұрын

    Kafanye wewe

  • @burhanimahmoud8985

    @burhanimahmoud8985

    2 жыл бұрын

    Ni ngumu kuwaza yaliyokichwani mwa mtu,yapo mengi ya kumuuliza sio lazima ya kwako.

  • @zachaamaster5378

    @zachaamaster5378

    Жыл бұрын

    #hao ndio watangazaji mavii

  • @khadjamhozya

    @khadjamhozya

    Жыл бұрын

    Miradi ndo mtangazaji mwenye kipaji pekee

  • @aishaidd3283
    @aishaidd3283 Жыл бұрын

    😪😪😪nilijiisi machozi ila mwenyezi mungu amsahe amruzukie shufaa insha'Allah

  • @albertpike6208
    @albertpike62082 жыл бұрын

    Huyu jamaa hatari sana na elimu Yarabi Mungu amtoe kwenye shimo la giza INSHAALLAH

  • @mayungamohamed4601
    @mayungamohamed46012 жыл бұрын

    Kaka ni mkweli hukwepeshi maneno mungu akucmamie daima na akupe kauli thabt duniani mpaka akhera amin

  • @youngtiger4116

    @youngtiger4116

    Жыл бұрын

    P

  • @vicentmlumba591
    @vicentmlumba5912 жыл бұрын

    Ety shonaaaa ivoivo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌

  • @rayaalhabsi1725
    @rayaalhabsi17252 жыл бұрын

    Masha Allah tabaraka Rahman Mwenye Enzi Mungu akuhidi wewe pamoja na sisi na jamii Islam ALLAHUMMA AMEEN YAARAB JAMIAN

  • @naimaally2040

    @naimaally2040

    2 жыл бұрын

    Allahumma amiin

  • @geoffreykayombo6524
    @geoffreykayombo65242 жыл бұрын

    Uchungu wa kuibiwa anaujua muibiwaji😂😂😂

  • @michaelsiweya4969
    @michaelsiweya49692 жыл бұрын

    Kufa hukufa... ILa kitimbo cha kunenepa mtu ulipata.... Acheni hizo tabia za ukwapuaji

  • @kassimmohammad3279

    @kassimmohammad3279

    2 жыл бұрын

    Do not say that bro 😒 muombee kwa mungu aepukane na hii ishu then kumbuka km si wewe bas kizaz chako kinapita njia aliyepita

  • @ramosfally2318
    @ramosfally23182 жыл бұрын

    inshallah allah akupe wepesi.

  • @itsmadelemo5378
    @itsmadelemo53782 жыл бұрын

    Nikaona kwel huyu mzee sio mtu mzur 😂😂😂😂😂😂🙌🖐️👆👆

  • @hilalalhabsi2047

    @hilalalhabsi2047

    2 жыл бұрын

    Kwani yeye alikuwa zuri😂😂😂

  • @makunja1985
    @makunja19852 жыл бұрын

    Kaka millard ayo muwezeshe huyo mfungulie madrasa

  • @AbuBakar-fu9ov
    @AbuBakar-fu9ov2 жыл бұрын

    Allah muweza na muokoz wa kila palipo shindkana

  • @zuwenasaleh9613
    @zuwenasaleh96132 жыл бұрын

    Allah akuongoze

  • @godfreyleka5839
    @godfreyleka58392 жыл бұрын

    Msimulizi mzuri, akili kubwa,. Bro kibe yupo vizuri

  • @skjjsj1889
    @skjjsj18892 жыл бұрын

    Mungu akuongoze wewe na sisi wengine allah atuongoze sote

  • @abdallahantony9524
    @abdallahantony95242 жыл бұрын

    Leo nimecheka sanaaa hahahahhaa ovaova

  • @linahsemindu4261
    @linahsemindu42612 жыл бұрын

    Kushonwa bila ganz umekoma🤣🤣

  • @halimajamaniamekuwamndeme9617
    @halimajamaniamekuwamndeme96172 жыл бұрын

    Ila huyu Kijana ni mkweli, ila nimecheka sana

  • @sadabkari5532
    @sadabkari55322 жыл бұрын

    Mashallah Allah atufikishe salama inshaallh uachane nayo

  • @mariamali1887
    @mariamali18872 жыл бұрын

    MashaAllah mashaAllah Allah barik. Dua ya mama jamani musajabu tuwaombee sana dua nzuri watoto wetu. Allah atakupa mwisho mwema .

  • @mohamedishomari2909

    @mohamedishomari2909

    2 жыл бұрын

    Gl

  • @halimasul6018
    @halimasul60182 жыл бұрын

    Masknii polee snaah usirudie tenaah

  • @martinsamatajr7972
    @martinsamatajr79722 жыл бұрын

    mtaalamu kibe master kibelela mzee wa triangle ilikua ukikuta dirisha limekatwa triangle ni yy

  • @yusuphwm

    @yusuphwm

    2 жыл бұрын

    😆😆😂

  • @skjjsj1889
    @skjjsj18892 жыл бұрын

    Allahu akbar Kk fanya toba Simamisha ibada ushukuru aliyekuumba amekuokoa ktk mtihani mzito

  • @reemareemo2698
    @reemareemo26982 жыл бұрын

    Nauki rudia wakikushika ume kwisha ubadiruke kama niwakubadirika maana nynyi sio rafiki kabisa

  • @remigiusrespicius1856
    @remigiusrespicius18562 жыл бұрын

    Pole Sana aisee.. Maskini eti hakupigwa hata ganzi wakati anashonwa

  • @azizayahyah1597

    @azizayahyah1597

    2 жыл бұрын

    Hadi huruma

  • @abubakarharuna6712
    @abubakarharuna67122 жыл бұрын

    Kweli bongo Raha kuna Rais wamateja🤣

  • @subiramussa1428

    @subiramussa1428

    2 жыл бұрын

    😄😄😄😄😄😄

  • @simbascdailysimbasctanzani2835

    @simbascdailysimbasctanzani2835

    2 жыл бұрын

    Ilala yupo Rais wa walala nje😂

  • @kibeginiblue7188
    @kibeginiblue71882 жыл бұрын

    Wapili huyu anaongopa kondakta

  • @mamazuu5224
    @mamazuu52242 жыл бұрын

    Allah akuxamehe hakuna dgamb isio xameheka

  • @rosemaryismaily001
    @rosemaryismaily0012 жыл бұрын

    Hahahaha et wanaroho mbay kushonwa bila ganz😂😂😂

  • @lameckkasuga9023

    @lameckkasuga9023

    2 жыл бұрын

    🤣🤣

  • @Myright888
    @Myright8882 жыл бұрын

    Mungu akulinde kaka, Yaani nimecheka sana eti akakurupukia kwenye defender 😃😃😃😃

  • @rennybrown-rt8sp
    @rennybrown-rt8sp Жыл бұрын

    Mashaallah Allah akujaalie nimefurahishw na wee kwa kur Ann uliyoisoma imenivutia mashaallah Allah akujaze kherii

  • @aliabdallah8908
    @aliabdallah89082 жыл бұрын

    Dah mwamba yupo vzr sana allah kakulinda

  • @sleyumomar3637
    @sleyumomar36372 жыл бұрын

    Kibe boy mwana

  • @aishaidd3283
    @aishaidd3283 Жыл бұрын

    Allah ukuruzukie shufaa naisi visha wishi ndiyo vilivyo mfanya aingie kwenye ilo dimbwi mwenyezi mungu atakuokoa insha'Allah

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 Жыл бұрын

    Masha'allah mungu akutoe ktk hizo pombe... Akuna mkamilifu isipokua Allah...pekee ..

  • @omarylukindo5306
    @omarylukindo53062 жыл бұрын

    Et over over kwa mbaaali,akaona usalama 😂😂wakt akiiba anawakimbia,ila siku hiyo aliona msaada huu hapa

  • @linuslaurent4316

    @linuslaurent4316

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣

  • @hanifaamani3363
    @hanifaamani33632 жыл бұрын

    ALLAH AKUNGOZE

  • @HalimaHalima-id2cb
    @HalimaHalima-id2cb Жыл бұрын

    Mashallah Allah akufanyie wepesi inshallah kwakila hitaji lako aameen yarabbi

  • @mecksondeoneclassic8635
    @mecksondeoneclassic86352 жыл бұрын

    Daaa hatari mbaya hilo janga hapo bro Kibe fanya kuokoka umjue Mungu tena ukashuhudie matendo makuu ya Mungu utawafany na wengine waokoke

  • @jaffary3357
    @jaffary33572 жыл бұрын

    Huyu Mwanetu Sana wa kitaa pale Magomeni Kagera njia panda maeneo ya popo bawa

  • @Myright888
    @Myright8882 жыл бұрын

    Hahaha eti mamaa nakufaaa, "KUFAA" 😃😃😃😃 washonaji hao sasa 😀😀

  • @MegaAlexison

    @MegaAlexison

    2 жыл бұрын

    Washonaji hawana huruma eti hapa unaima mama yako eti unakufa kufa

  • @simoncharles6475

    @simoncharles6475

    2 жыл бұрын

    eti shona lijizi hili

  • @mariamkanyungu3150
    @mariamkanyungu3150 Жыл бұрын

    Jaman ally kibelelo mtoto wa mama yangu mdogo khadija

  • @aisharamadan3620
    @aisharamadan36202 жыл бұрын

    Masha Allah mungu akupe mwisho mwema

  • @mayungamohamed4601

    @mayungamohamed4601

    2 жыл бұрын

    Amina rabbil alamina

  • @jillydezanzibar4435
    @jillydezanzibar44352 жыл бұрын

    Mpelelezi akupe hela tu ili akuchkue maelezo! Atakuwa hajitambui

  • @floramlowe7078
    @floramlowe70782 жыл бұрын

    Jamani Kuna watu wanamoyo.

  • @nimrodsigulu6249
    @nimrodsigulu62492 жыл бұрын

    Haya magazeti yetu haya kwa kuripoti wasichojua ..🤣

  • @johnbernad3990
    @johnbernad39902 жыл бұрын

    Majiz mnazingua sana

  • @michaelabraham8466
    @michaelabraham84662 жыл бұрын

    Mm nina wasawasi Sana Atarudia hiyo kazi yake maana hata hapo alipo Amesizi

  • @azizayahyah1597

    @azizayahyah1597

    2 жыл бұрын

    Kbsaaa

  • @heritier5119

    @heritier5119

    2 жыл бұрын

    Mwizi hawezi Acha wizi sababu hana nafsi, nafsi yake imechukuliwa na shetani

  • @hemedmtunguja9788

    @hemedmtunguja9788

    Жыл бұрын

    Huyu bado anakula unga ila inaonyesha anayachukia hayo maisha ya madawa

  • @topzenjymusic384
    @topzenjymusic3842 жыл бұрын

    Magomeni iyooooooooo so powa

  • @nyandajr
    @nyandajr2 жыл бұрын

    Kibe master 🔥🔥🔥🔥

  • @rashidahmed8071
    @rashidahmed80712 жыл бұрын

    Qur an ndio ilio kuokoa na kifo isome sana

  • @zubedarichard2311
    @zubedarichard2311 Жыл бұрын

    Ata Mm nilikuwa nikijiuza na Kila nlipo ambiwa sikuskia ila nilipata matatzo Mpk Nikamrudia mola Wangu 😭🙏

  • @chrispinurio1020

    @chrispinurio1020

    Жыл бұрын

    Pole sn yote mapito

  • @abdullahahmedi9586

    @abdullahahmedi9586

    Жыл бұрын

    Dah pole sana bect,bora umebadilika mwenyez akusimamie maisha yako

  • @fadhilirajabu2816
    @fadhilirajabu28162 жыл бұрын

    Allah akujalie kheri kaka

  • @user-fd8ce8ct2m
    @user-fd8ce8ct2m10 ай бұрын

    Tena mashaallah lakini mungu ndiye anaejuwa siri yake

  • @ommy_sborn
    @ommy_sborn2 жыл бұрын

    Masha Allah

  • @ShabanNgwaya
    @ShabanNgwaya Жыл бұрын

    Daaah inasikitisha sana

  • @marhaally4444
    @marhaally44442 жыл бұрын

    Masha'Allah alye'k

  • @tingbatuuka7278
    @tingbatuuka72782 жыл бұрын

    Huyu unga kaacha ila sijapenda anaswali huku kalewa bwi

  • @ibraton4071

    @ibraton4071

    2 жыл бұрын

    anatoa alosto kwanza wampongeze maana unga ameaxha mwenyewe na ameweza kubalanze bila pombe haez angeshindwa

  • @welcometoeat165

    @welcometoeat165

    2 жыл бұрын

    @@ibraton4071 kabsa yani

  • @adammtitu2206

    @adammtitu2206

    2 жыл бұрын

    Hajalewa uyo

  • @godfreyleka5839

    @godfreyleka5839

    2 жыл бұрын

    Hata usipopenda kwani we Nani?, Kikubwa kamkiri Muumba inatosha we penda familia yako

  • @hanifaalmasi5194

    @hanifaalmasi5194

    2 жыл бұрын

    Muombee dua so wasema hivyo muumba ndio anajua kikubwa tuombe mwisho mwema

  • @yessecharles3155
    @yessecharles31552 жыл бұрын

    King KIBE

  • @irenemacha5661
    @irenemacha56612 жыл бұрын

    Kibe..unastor

  • @kajorogang
    @kajorogang Жыл бұрын

    Watoa comment wote mnahurumia mwizi daah nahs hamjawahi kuibiwa

  • @Issa_negro
    @Issa_negro Жыл бұрын

    Mashaallah

  • @rahimukakozi4841
    @rahimukakozi48412 жыл бұрын

    Allah awe nawe

  • @mashmwed4955
    @mashmwed4955 Жыл бұрын

    Mash Allah

  • @salmamiranzi9075
    @salmamiranzi90752 жыл бұрын

    Mimi nimemsikiliza kwa makini ila nilichoona mm ni taiti ya kike au wenzangu amjaona

  • @Goch46
    @Goch46 Жыл бұрын

    Ukipatana na huyu kona mbaya Simu inapotea Pesa inapepea Roho yako mkononi

  • @pastorbaharia598
    @pastorbaharia5982 жыл бұрын

    Okoka ndiyo salama yako,Mkubari Yesu anabadirisha.

  • @azizayahyah1597

    @azizayahyah1597

    2 жыл бұрын

    Hahaha

  • @salammohammedy9316

    @salammohammedy9316

    2 жыл бұрын

    Uyu m uislam ataokokaj wakat allah anamjua awez mtu km uy allah kareem tup uamrish mwema ishaalah

  • @zainabmaulid9637

    @zainabmaulid9637

    Жыл бұрын

    Uyo yesu mwambie akubadilishe we huyu jamaa muislamu mungu yupo pamoja nae%

  • @Catherine-mh8sw

    @Catherine-mh8sw

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @nancolower_8032
    @nancolower_80322 жыл бұрын

    Hicho ulichovaa ndani ni nn broo 😂😂😂

  • @bigmzazee2961
    @bigmzazee2961 Жыл бұрын

    Kibelela triangle 🔺

  • @happynelson1136
    @happynelson11362 жыл бұрын

    Bila kunusurika kifo huyu angeendelea kuwaibia watu pia angeendelea na madawa

  • @azizayahyah1597

    @azizayahyah1597

    2 жыл бұрын

    Kbsaaa

  • @ezekielloylepayon5042
    @ezekielloylepayon50422 жыл бұрын

    Kweli chamoto ulikipata umeshatubu dhambi zako

  • @lovenessmjaka9754
    @lovenessmjaka9754 Жыл бұрын

    Mashaallah nimejikut nalia

  • @fatimahirakoze7311
    @fatimahirakoze7311 Жыл бұрын

    Mungu akuongoze

  • @abdumussa2047
    @abdumussa2047 Жыл бұрын

    Masereption, mngu akubadilishe shehe amen

  • @user-tk1em2qd4g
    @user-tk1em2qd4g9 ай бұрын

    Mbaba haikuwa petrol labda mafta taa petrol usogeze pemben

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 Жыл бұрын

    Mungu akubariki Sanaa.

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi73772 жыл бұрын

    Huyu jamaaaaaa endapo angedema nılsema YESU ...... nıkanusurıka bas wenzetu wangeshamchukua makanısan na kumfanya Ushuhuda yesu anaponya n.k Allah ukımuomba anakunusuru kabsaaa kabsaaa İbrahim alinusurka na moto !

  • @azizayahyah1597

    @azizayahyah1597

    2 жыл бұрын

    Umeona eeh 😄🤣

  • @hassanmassaga2476

    @hassanmassaga2476

    2 жыл бұрын

    Sasa kanisa hapo linaingiaje?!...inaonekana unachuki za kijinga sana 😶

  • @Catherine-mh8sw

    @Catherine-mh8sw

    Жыл бұрын

    Kabisaaa

  • @nadrahassan5241
    @nadrahassan52412 жыл бұрын

    Mpaka nimezimika😣 ya Rabi nafsi ya Rabi mauti 😂

  • @yusuphwm

    @yusuphwm

    2 жыл бұрын

    😆

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum71562 жыл бұрын

    Jizi,😀😀😀😀😀

  • @kbclassicbeat

    @kbclassicbeat

    2 жыл бұрын

    😂😅

  • @officialtaslima5409
    @officialtaslima54092 жыл бұрын

    🤣🤣hyo pauni mwenyewe uliniacha

  • @chrisbrezzy59
    @chrisbrezzy592 жыл бұрын

    Kaka atakuwa ameacha wizi ila mengine sidhani

  • @fazeelshomary2704
    @fazeelshomary27042 жыл бұрын

    Kiberelo 😁😁😁

  • @Kevjoseful
    @Kevjoseful Жыл бұрын

    Kwenye maponaji sio kwenye unga...😅😅

  • @feisalmwinyi2429
    @feisalmwinyi24292 жыл бұрын

    Hahahaha apo alipo yupo vzr bwiiila bwagsii kiainaa.. allah amsaidie kwa iman juu ya iman yke

  • @mwendabhamisi
    @mwendabhamisi2 жыл бұрын

    🤣🤣😂😂

  • @mwanyongamama4407
    @mwanyongamama4407 Жыл бұрын

    Okoka mpe Yesu Kristo Maisha Yako

  • @kbclassicbeat
    @kbclassicbeat2 жыл бұрын

    Limekufa kweli😅😂😂😂

  • @reemareemo2698
    @reemareemo26982 жыл бұрын

    Chamsingi aachane namarafiki zake wasimtembelee wana mshawiswi

  • @hamisishabani8864
    @hamisishabani88642 жыл бұрын

    Allah Akbar

  • @halimajamaniamekuwamndeme9617
    @halimajamaniamekuwamndeme96172 жыл бұрын

    Jamani na anajua kuruan vizur sana

Келесі