GARI LIPO WAPI

Комедия

Vijana wa mjini acheni sifa unapewa gari uoshe wewe unafanyia matanuzi kwa wanawake ona kilichomkuta nishai...

Пікірлер: 566

  • @kelvinphinias2669
    @kelvinphinias2669 Жыл бұрын

    Mbona watu wanaomba Sana like Kuna Nini Kwan....embu nipeni na Mimi ata like tano tyu😂😂😂😂

  • @ishimwemurenziange7609

    @ishimwemurenziange7609

    Жыл бұрын

    Omba tu like acha kupitiya katika migongo ya watu kuomba like na wewe umesemeya Nini wakupe like Tano ingekuwa aupendi like sunge bakikimya

  • @shadyasalum192
    @shadyasalum192 Жыл бұрын

    Nimewahi jamani basi tukiomba like kuna vijitu vinaumia humu 🤣🤣🤣🤣🥰

  • @officialkamdudu

    @officialkamdudu

    Жыл бұрын

    like unazipekeleka wapi kenge wewe ? acha ushama idiot 😏

  • @ndiiyolazaro1125

    @ndiiyolazaro1125

    Жыл бұрын

    @@officialkamdudu 🤣🤣🤣🤣🤣mwambie

  • @khalidjafary1120

    @khalidjafary1120

    Жыл бұрын

    Toa maoni tukujue like umetengeneza wewe

  • @mulishidhamada861

    @mulishidhamada861

    Жыл бұрын

    Ukuda uo sasa

  • @officialkamdudu

    @officialkamdudu

    Жыл бұрын

    @@khalidjafary1120 acheni ushamba kenge nyie

  • @godfreyjulius5132
    @godfreyjulius5132 Жыл бұрын

    Naitwa nishai, kitombangile kitwango, mikazo , misuguano😂😂😂😂😂😂😂

  • @waziribakari6067

    @waziribakari6067

    Жыл бұрын

    Malizia "Miguno"😂😂

  • @fatmaally7252

    @fatmaally7252

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @zaliermuya2437

    @zaliermuya2437

    Жыл бұрын

    Hilo jina la kwanz nimerudia mara mbili ckuelewa ww ndo unanijuza 😅

  • @Mimy_keys
    @Mimy_keys Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂 Zuwena mkono wake kama ndizi ya kuchoma 🤣🤣🤣

  • @ivansixbert3602

    @ivansixbert3602

    Жыл бұрын

    😂😂

  • @robertmtaki6634
    @robertmtaki6634 Жыл бұрын

    Sio kama Zuwena, Zuwena anandizi ya kuchoma 😅

  • @frankmahatara

    @frankmahatara

    Жыл бұрын

    Water 😀😀😀

  • @hassansammy1076
    @hassansammy1076 Жыл бұрын

    Joti we wamoto sana🔥🔥🔥🔥 eti mkono siokama zuwena 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @mlewazitotv
    @mlewazitotv Жыл бұрын

    MASHABIKI ZETU WA JOTI TV TUNAWAPENDA SANA MUNGU AWABARIKI

  • @imanimwashilindi8615

    @imanimwashilindi8615

    Жыл бұрын

    Asnte

  • @shegheke
    @shegheke Жыл бұрын

    Waah ZUWENA Kawa Star Jamani.. Diamond Mwacheni Tu.

  • @mary2615
    @mary2615 Жыл бұрын

    Really amazing 👍🏻💕👍🏻

  • @joekabbz82kambo26
    @joekabbz82kambo26 Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣💯 kenya 🇰🇪 loves your humour nishai

  • @ishimwemurenziange7609
    @ishimwemurenziange7609 Жыл бұрын

    Hamujambo ndunguzangu anae kubali nishai naomba like zake tafazali 😂😂😂

  • @jumajoseph9353

    @jumajoseph9353

    Жыл бұрын

    Uzipeleke wap hizo like?

  • @nadyasalim7956

    @nadyasalim7956

    Жыл бұрын

    Tuko pamoja

  • @herrycom7440

    @herrycom7440

    Жыл бұрын

    Huyo ni hatari kwa hapa Tanzania king of the comedy Joti respect my brother

  • @robertdominiko2667

    @robertdominiko2667

    Жыл бұрын

    Hi

  • @officialkamdudu

    @officialkamdudu

    Жыл бұрын

    likes unezipekeleka wapi kenge wewe ? acha ushamba idiot 😏

  • @albertmalenge6742
    @albertmalenge6742 Жыл бұрын

    Et Sio Kama zuwena Nimecheka Sana 😂😂😂😂😂

  • @rehemasimba5731
    @rehemasimba5731 Жыл бұрын

    Hahahaha imenifurahisha kweli na Leo dakika zimekuwa nyingi za kutosha dakika 11 safi Sana nimefurahi. Ni nzurii Kama Ile ya kesi ya kuku.

  • @DatBoyKujo8656
    @DatBoyKujo8656 Жыл бұрын

    “Sio Kama Zuena”😂😂😂😂

  • @Gloria26799

    @Gloria26799

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @stanslauschatata3483

    @stanslauschatata3483

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣 joti miyeyusho

  • @chrismuganwa8634
    @chrismuganwa8634 Жыл бұрын

    Joti my man love from Burundi 🇧🇮🇧🇮

  • @alimanana7564

    @alimanana7564

    Жыл бұрын

    Wa Burundi tujuwane apa

  • @allahisone6386

    @allahisone6386

    Жыл бұрын

    @@alimanana7564 💝🇧🇮💝

  • @ferouzmasoud3104
    @ferouzmasoud3104 Жыл бұрын

    JOTI ni unajuwa Sanaaa 🤣

  • @mrkambale7356
    @mrkambale7356 Жыл бұрын

    Aliesikia chimbo ugali na wali wa makoko tutambulishane isee mana ni 🔥🔥🔥🔥

  • @PabloEscobar-wt1fq
    @PabloEscobar-wt1fq Жыл бұрын

    One of the best comedian in Tanzania he always break my ribs even before he starts talking 🤣🤣🤣

  • @haidarykufakunoga5973

    @haidarykufakunoga5973

    Жыл бұрын

    You're good in English Bro 👍👍

  • @gladnesskiwonde5975
    @gladnesskiwonde5975 Жыл бұрын

    Nimewahi leo gonga like km unamkubali joti 🥰🥰🤙🤙🤙🇲🇾

  • @nssamatenfaume2934
    @nssamatenfaume2934 Жыл бұрын

    Nakubari King off the comedi nakubari sana joti ila mpoki anaitajika kwenye kazizako 🇲🇿🙏

  • @lilianalmas5911
    @lilianalmas5911 Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Piga konzi piga konzi. Jotiii you are the best Bro 🙌🙌😂😂

  • @saumurashid4571

    @saumurashid4571

    Жыл бұрын

    Piga kozi

  • @mbogoidentity
    @mbogoidentity Жыл бұрын

    Ahm mimi naitwa nishai mtombangile kitwango mikazo miguno misuguano 😂😂😂

  • @rosemahenge9071

    @rosemahenge9071

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣

  • @swilutz7396

    @swilutz7396

    Жыл бұрын

    Mamae😂😂

  • @rahmahasan32

    @rahmahasan32

    4 ай бұрын

    Jina kali wee😂😂😂😂😂😂mbavu zangu

  • @ramadimbegu7996
    @ramadimbegu7996 Жыл бұрын

    Wow !kuna vyumba vyumba ajili ya wachumba

  • @adolphdamas3189
    @adolphdamas3189 Жыл бұрын

    Huyu ndio nishai... The great actor

  • @simonmdemu
    @simonmdemu Жыл бұрын

    Sehemu zetu za chimbo🤣 ugali na wali wa makoko😂

  • @Cambarada

    @Cambarada

    Жыл бұрын

    Hiv kumbe ndio kasema hivo😂😂😂

  • @geofreymajiwa9824

    @geofreymajiwa9824

    Жыл бұрын

    Nooma

  • @stanslauschatata3483

    @stanslauschatata3483

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣 noma sana

  • @fahmialhatmyonline6093
    @fahmialhatmyonline6093 Жыл бұрын

    MAUDHUI MAZURI SANA💥Nipe like zangu kama umefurahi na kupata funzo

  • @martinrahj8526
    @martinrahj8526 Жыл бұрын

    It's the way he approaches women for me.. He be like crawling..and goes " helooooo''' 😂😂😂😂 Dripping his huge wagging troza😂😂😂

  • @yohanatulito1182
    @yohanatulito1182 Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂🔥 Anae mkubali tukae humu Kwa Nishai tia like Zako humu 🔥🔥🔥🔥😂😂😂

  • @barakaelkaaya40
    @barakaelkaaya40 Жыл бұрын

    Kama wengi,tunajua Chui ni mkali lakini anazaa,gonga like kama zote kwa Nishai

  • @allymukhsin2962
    @allymukhsin2962 Жыл бұрын

    We must make this dude reaching atleast 1million subscribers it’s not fair for much efforts he put in his work to make us enjoying and till now didn’t got even million subscribers 😢

  • @ibrahimkapate7693
    @ibrahimkapate7693 Жыл бұрын

    🤣🙌🙌🙌 gari liko wap 😄 funzo tosha sana

  • @rukaka_jr4514
    @rukaka_jr4514 Жыл бұрын

    Jot mchekeshaji bora 🇹🇿 na Africa mashariki

  • @starlonejadamskp8224
    @starlonejadamskp8224 Жыл бұрын

    Never disappoint jotiiii 🤣

  • @malikimkwambe9650
    @malikimkwambe9650 Жыл бұрын

    Wa kwanza nipenii likes zangu😁😁😂

  • @odilomwemeziernest646

    @odilomwemeziernest646

    Жыл бұрын

    Zikusaidie nini ?

  • @dottodottovales4138

    @dottodottovales4138

    Жыл бұрын

    @@odilomwemeziernest646 😂😂😂😂

  • @odilomwemeziernest646

    @odilomwemeziernest646

    Жыл бұрын

    @@dottodottovales4138 🤗🤗🤗🤗🤗🤓😁

  • @k.o.n.g8925
    @k.o.n.g8925 Жыл бұрын

    Hi Joti. I'm a big fan and one day I want to grow up to become an air condition 🤣🤣🤣🤣

  • @bashirumakuka9750
    @bashirumakuka9750 Жыл бұрын

    King of comedy

  • @meshackinocent4053
    @meshackinocent4053 Жыл бұрын

    Joti on the 🔥 🔥 brother

  • @kilasibashari8931
    @kilasibashari8931 Жыл бұрын

    Master comedy ni ww peke yako joti🔥🔥🔥🔥

  • @liliansauwa8448
    @liliansauwa8448 Жыл бұрын

    😂😂😂😂joti anavyojitingisha kwenye hilo kochi sasa na kitambi chake😃

  • @emmanuellabronde4647
    @emmanuellabronde4647 Жыл бұрын

    Legend 🔥

  • @dullywa9973
    @dullywa9973 Жыл бұрын

    i lov when he say chombo😂😂😂😂😂

  • @ivansixbert3602

    @ivansixbert3602

    Жыл бұрын

    😂

  • @blackpanther4825
    @blackpanther4825 Жыл бұрын

    .msiishie kuomba like mbwa nyie muangalie matangazo na ku click ndio njia ya kumuungisha kama kweli mnapenda kazi zake

  • @lovenoor988
    @lovenoor988 Жыл бұрын

    Umetisha sana mr Joti 😁💥

  • @oceanlove6691
    @oceanlove6691 Жыл бұрын

    Joty wewe ni super comedian

  • @mihangwamasingija3754
    @mihangwamasingija37544 ай бұрын

    Mzee wa misala daah😅😅, Safi sana unaelimisha jamii🤝

  • @jumandabirorere3737
    @jumandabirorere3737 Жыл бұрын

    Huyu ndo king comedian, yani kwa bando lang la buku kila ijumaa nachekaga tu 😁

  • @albinusnyaiyo2614
    @albinusnyaiyo2614 Жыл бұрын

    Na wew unapkuja beba kwa pmja sio unaingilia mazunguzo

  • @iddysalim6331
    @iddysalim6331 Жыл бұрын

    Samia jina lako zitoo 😂😂😂

  • @ashnaom2270
    @ashnaom2270 Жыл бұрын

    Hahaha hii nibest yamwaka huu, muhudum naye huend mbinguni

  • @mlewazitotv

    @mlewazitotv

    Жыл бұрын

    Hhhhhhhhhhh

  • @emmastonydemocrateburundi9912
    @emmastonydemocrateburundi9912 Жыл бұрын

    Love❤️from Burundi🇧🇮😂😂😂🤣 Sio kama zuwena. Nishai lofa sana.😂

  • @hamisissa1115
    @hamisissa1115 Жыл бұрын

    Tumtoe kwanza jamaa aondoke 🤣🤣🤣🤣 joti bhana

  • @halimawendo8400
    @halimawendo8400 Жыл бұрын

    Gar anatafuta kwenye miti😅😅😅

  • @princeismailsnr291
    @princeismailsnr291 Жыл бұрын

    Ety sio kama zuwena mwenye ndizi za kuchoma🤣🤣🤣

  • @orestemanenomaneno7726
    @orestemanenomaneno7726 Жыл бұрын

    Fire 🔥 🇲🇿😂😂

  • @Revmosee

    @Revmosee

    Жыл бұрын

    😀😀😀

  • @japhetlust5050
    @japhetlust5050 Жыл бұрын

    Nimeanzia kwenye comet za Wana🤣🤣🙌🙌

  • @azizsaleh9402
    @azizsaleh9402 Жыл бұрын

    Nguvu ya chombo 😅

  • @mwombekimartin4761
    @mwombekimartin4761 Жыл бұрын

    Akiymungu 😂 zuweza

  • @thomaskhaemba3053
    @thomaskhaemba3053 Жыл бұрын

    One of the biggest comedian joti be blessed bro

  • @mdathiruadinani4161
    @mdathiruadinani4161 Жыл бұрын

    Nishai ndo hua balaa 🔥

  • @samsonchacha2343
    @samsonchacha2343 Жыл бұрын

    Noma sana nishai💯💯💯

  • @stinaismail846
    @stinaismail846 Жыл бұрын

    Hapo kwenye zuwena tuu 😂😂😂

  • @ernestelias7889
    @ernestelias7889 Жыл бұрын

    Mnapewa gari muoshe mnaenda kuuzia sura aya sasa yamemukuta jot leo hahahahahahaaa mbvu sina mimi

  • @officialvegas2998
    @officialvegas2998 Жыл бұрын

    Zuwena tena 😃😃😃😃

  • @lamwamilaztz-uk2hl
    @lamwamilaztz-uk2hl Жыл бұрын

    Apan chezea jot broo utawakimbiza kila siku mn unajua adikelo asebroo wenoma 🔥🔥🔥🔥

  • @m.l.b2066
    @m.l.b2066 Жыл бұрын

    "Sio kama Zuwena"!

  • @davoolongoz4947
    @davoolongoz4947 Жыл бұрын

    Hahahaha samia, jina lako zito

  • @allymagesa4431
    @allymagesa4431 Жыл бұрын

    Hivi kaagiza yeye Na anakula yeye😁😁😁😁

  • @alaminmodi2448
    @alaminmodi2448 Жыл бұрын

    Bregediaaa!!mwamba huyu hapa😅😅

  • @denismalya8379
    @denismalya8379 Жыл бұрын

    Chui nimkali lakini anaswa🤣🤣🤣

  • @mathiaslyamunda2526
    @mathiaslyamunda2526 Жыл бұрын

    Atalipa kweli hii bill Nishai 😂😂😂😂😂😂

  • @emmanuelingimba7381
    @emmanuelingimba7381 Жыл бұрын

    uk vzr bro

  • @starjay3052
    @starjay3052 Жыл бұрын

    sio kama zuena 😂😂zuena ujue ana nanii ndizi ya kuchoma 😅😅

  • @MkbinladenNikunetotoz
    @MkbinladenNikunetotoz Жыл бұрын

    Nishai unajuwa😂😂😂

  • @patricktegea1430
    @patricktegea1430 Жыл бұрын

    Jot 🙌 hahahaha et watel badala ya water umetishaaaa Sana💯

  • @salimkhamis3638

    @salimkhamis3638

    Жыл бұрын

    Ni wateri sio watel

  • @arsenemuhindo
    @arsenemuhindo Жыл бұрын

    Hapo kwa ZUWENA ilinibidi ni stop kidogo, sikutarajiya kwakweli 😂. Alafunilikua chooni nilicheka kwa sauti kubwa… Daah 😂😂

  • @marrylucass-ov2ol
    @marrylucass-ov2ol Жыл бұрын

    Nakukubali sana mwamba

  • @lyrics_forum
    @lyrics_forum Жыл бұрын

    Katika Session ambayo Naipenda Zaidi ni hii unayoigiza kama Nishai achana na zile nyingine za Uzee mara Mwanamke.. Aisee hii ni Moto huwa Naifuatilia sana na Nacheka kama Kenge. Hongera sana

  • @blackpanther4825

    @blackpanther4825

    Жыл бұрын

    Na ya uzee pia nzuri. Ile ya mwanamke hapana siipendi

  • @maryamconstantine2232
    @maryamconstantine2232 Жыл бұрын

    Nimemuona team YANGA mwenzangu

  • @johnyanda4366
    @johnyanda4366 Жыл бұрын

    Gari inatafutwa kwenye vichaka🤣🤣🤣🤣🤣😍😍

  • @collinsbella8360
    @collinsbella8360 Жыл бұрын

    Wateri ❤😂😂😂😂 dah ila joti.

  • @martamustini6946
    @martamustini6946 Жыл бұрын

    Gari kwenye majani😂😂😂😂😂😂

  • @kichbosanga2188
    @kichbosanga21883 ай бұрын

    Huyu muhudumu mbona anawaamasisha waende kupumzika 😂😂😂😂

  • @nemesapollo4846
    @nemesapollo4846 Жыл бұрын

    Niko kwenye process 😂😂😂

  • @shyfettymtunda4619
    @shyfettymtunda4619 Жыл бұрын

    Anatafuta gari hadi kwenye maua!!!🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @LovelyMountainLandscape-dd4xe
    @LovelyMountainLandscape-dd4xe28 күн бұрын

    Woter joti kasoma wateri nimeipenda iyo

  • @taifocuscompany9246
    @taifocuscompany9246 Жыл бұрын

    Mtombangile kitwango😄😄😄😄

  • @getrudakalinga3600
    @getrudakalinga3600 Жыл бұрын

    Ahahaha nishai nn lakini umeongeza jina ety nishai mtombangile kitwango mikazo miguno misuguano🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @abdillahsalim1623
    @abdillahsalim1623 Жыл бұрын

    Joti always on 🔥

  • @morrymorry2159
    @morrymorry2159 Жыл бұрын

    Mnafaa mpige moja na crazy kennar

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 Жыл бұрын

    Sijui kwann wanawake wana dhalau aspo kuona na gali sijui kwa nn yn

  • @simonandrew1489
    @simonandrew1489 Жыл бұрын

    Good Work Mr Joti

  • @remmynchamatwi-dx9hg
    @remmynchamatwi-dx9hg Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣 mkono soft Si kama zuena daaa joti umetisha babaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @markangelandemmanuelacomed3794
    @markangelandemmanuelacomed3794 Жыл бұрын

    Aliesikia zuwena Ana ndizi za kuchoma nipeni likes zanguu😂😂😂😂😅

  • @abbashussein-hz4dr
    @abbashussein-hz4dr Жыл бұрын

    Unakula vzr km kuku anaingia bandani mguu chaga mguu net😁😁😁

  • @vicentmlumba591
    @vicentmlumba591 Жыл бұрын

    Yaaan najikuta nacheka uku naendelea kutizama Ata sijui nacheka nn Ila Jotii🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @wainainaJeremy1
    @wainainaJeremy1 Жыл бұрын

    Top 10 kicheko from Kenya check out

  • @azizally5283
    @azizally5283 Жыл бұрын

    Unajua kuchekesha walionuna🤣🤣😂😂😂

  • @theophilwhiteheart1997
    @theophilwhiteheart1997 Жыл бұрын

    Zuwena wa watu mbona unamwonea et ndizi ya kochoma😂

  • @albefapapapy833
    @albefapapapy833 Жыл бұрын

    🤣 🤣 🤣 🤣 Yaaayayayayah big up bro

  • @innocentmakala6542
    @innocentmakala6542 Жыл бұрын

    Uo mrija unavyofutwa🤔😃

Келесі