KIJANA ALIEFELI MASOMO, ANAYO CARWASH INAYOTEMBEA, KAJENGA NYUMBA
Ibrahim John ni mtoto wa tatu kati ya sita, Elimu yake ni kidato cha nne na umri wake ni miaka 25, baada ya kufeli masomo yake akabuni wazo la kuosha magari kwa kuwafuata wateja majumbani au maofisini yaani mobile carwash.
Пікірлер: 432
mungu akusaidie kaka..kama umemkubali like hapa
@ibrahimjoel806
5 жыл бұрын
Asante sana 0762953671
Ukizungu mzia vijana wanao Leta ushawishi wa vijana kutokata tamaaa na kutufanya vijana tupambane ukosi kumtaja millad Ayo Thanks bro kwa motivation yako
Ibrahim anaonekana ni mnyenyekevu... God bless u
@mpondaserinahamisi8868
5 жыл бұрын
Juma Issa
hisi ndizo habari tunazopaswa kuangali sio zile nyinginee
@amourhasaan7242
5 жыл бұрын
Naa aminii kumbee wapo wengii wanaohitajii kuona vijana wanajituma na sio kuibaa
@streetview3045
5 жыл бұрын
@@amourhasaan7242 ni kweli kwasababu kitu kidogo hubadili maisha ya Mtu kuna waliokata tamaa weng wakiwa motivated kidogo tu maisha Yao hubadilika
@aisatahaisatah2612
5 жыл бұрын
Trust channel kbs
@chumanondochuma8012
3 жыл бұрын
🙏
Hongera mwanaume wa mwanza. Kama umemwaona dogo wa mwanza anaosha vyombo tujuane kwa like
@zainabzain3434
Жыл бұрын
Mbona tuko nao majumbani ni malezi tu
Hongera @Millayo kwa Kuwahoji watu wanaotupa hamasa YA kupambana NA kuona inawezekana. tupeni NA mwendelezo WA mpiga Debe anaemiliki shule seem YA 3
@rigobethkimbi9003
5 жыл бұрын
Jamaa anapambana asee
@namirihamisi3899
4 жыл бұрын
kwani yule mpiga debe anaemiliki shule?? sio yule aliekamatwa kwa mauwaji ya mtoto alieuwawa kwa kutataka utajiri??
@sadockchengula5542
Жыл бұрын
Kuna wakati unaweza pambana ukafika hatua fulani na kwa kukosa maarifa ya kutosha ukapokea ushauri usio faa na ukafanya jambo baya. So tusiangalie pale alipoangukia yule wa shule tutazame alipotokea.
he’s a true entrepreneur, he has identified an opportunity and worked towards fulfilling the need. My wish is he should move towards registering a company which should have a car wash facility and a mobile car wash system. Also he should have an app that customers should log in to pay and order a service. All this is just a suggestion as he improves. Praying for him for strength and wisdom. Kudos man. From KE +254
@athanazistraton185
Жыл бұрын
Very good from +254.. Good idea
vijana wachache sana wenye akili kama hii. m/Mungu amajalie afya na nguvu azid kupambana na kazi yake
@nAVIDtz
5 жыл бұрын
Amin
Mashallah Mashallah mwenyezi Mungu akuzidishe mwanangu Inshallah you will be milionea in the future Inshallah 🙏🏾 vijana kama nyie kwa Tanzania 🇹🇿 yetu mko 5% walio baki wote mandazi.
@ibrahimjoel806
5 жыл бұрын
Asante sana
@piuszororwa7161
5 жыл бұрын
@@ibrahimjoel806 safi sana
@ibrahimjoel806
5 жыл бұрын
@@piuszororwa7161 asante Sana Kaka
@kacherosimba5762
5 жыл бұрын
Haha haha dah yani mpaka Mimi mandazi ngoja namimi nikaze nisiitwe mandazi
@ibrahimjoel806
5 жыл бұрын
@@kacherosimba5762 komaa kaka
Am speechless jamani Sijui niongee nini Kumbe vijana wa aina hii bado wapo!!? Sisi tuko busy kuwapigia winja wadada Tunajiona wajanjaaaaa Tunapitwa mazeeee Machozi yamenitoka Libarikiwe tumbo lililokuzaa bro. Siku ukifanikiwa anatakaesema wewe ni Freemasons na alaaniweee
@normanmjomba1378
5 жыл бұрын
Make use of the opportunity that is around...
@mhozastephenkagoroba4661
4 жыл бұрын
Be blessed bro let our living God lift you
Wanasemaga kufail Elimu siyo Kufail kimaisha !! BIG UP BRO
@alfarsiali2779
5 жыл бұрын
Kwel My
@aminasanga7154
5 жыл бұрын
Hongela sana
@edmondjr17
5 жыл бұрын
@@aminasanga7154 Asante 🙏🙏🙏
@edmark1507
5 жыл бұрын
Kweli kbs
@aileenkayowola4230
5 жыл бұрын
Kabisa coz kupata ONE co kufaulu maisha
Am in love with you boy watu kam hawa ndo husband material 😍😍😍😍😍😍syo wale wanaojaza vifua kwa vyuma
@mwasitially2928
5 жыл бұрын
Kweli
@magrethgasper3179
5 жыл бұрын
yeah yeah
@glorysimon775
5 жыл бұрын
Ahahaaaaa
@twahirnasa1574
5 жыл бұрын
Sio kwa nyinyi wanawake wa kileo
@ashminhaabdullah4963
5 жыл бұрын
Mmmh kweli
Hawa ndio vijana wanaotakiwa hasa kujenga nchi ila viongozi huwatenga hasa hawa vijana na kuwageuka baada ya mafanikio yao nakuwapakiza mikesi ya ubaya nankuwapora walivyo navyo
Ayo TV namikubal sana mambo mazurii kama haya ni adimu channel nyingine 🙋🙋🙋 shukran.. kijana usichoke kupambana 💪💪💪
@musafirikasha2765
5 жыл бұрын
Mithali:chapter 10 verse 8🖕
Allah atakujaalie utapata zaidi ya hiko in shaa Allah pambana unawafunza vijana wengine 👏👏👏
Mungu akubariki kk Na akupe wepesi ktk kazi zako
@ibrahimmussa7095
5 жыл бұрын
Mdogo wangu mungu akubariki kwa kila hatua utashinda tu
Mwanza Tunapambana Asikuambie Mtu, Gonga Like Hapa Utupe Salute Wasukuma
Ayo ubarikiwe kwa habari kama hizi maan zinawafanya watu walokata tamaa kuwa natumaini Ibrahimu mungu aendelee kukubariki zaidi ya hapo
Wow congratulation n may dear God bless work of your hands
@ibrahimjoel806
5 жыл бұрын
Thanks 0762953671
Wow, He is a genius , he didn’t gave up despite the results of his education. Keep up young man. God will always bless the work of your hands.
@mudsonmnazi5269
5 жыл бұрын
Nifundshe kizungu
@yasminjuma9146
2 жыл бұрын
Amin
@juliaayieta2578
2 жыл бұрын
@@mudsonmnazi5269 🤣🤣🤣 mimi mwenyewe nakijaribu jaribu
@juliaayieta2578
2 жыл бұрын
@@yasminjuma9146 🙏🏾🙏🏾
Utafika mbali sana mdogo wangu hakikia Mungu hatakuacha, muhimu ni kuwa na nidhamu ya hiyo kazi unayoifanya
Hongera sana mdogo wangu. Mungu akutie nguvu na akupe kila hitaji la moyo wako
N kwl kabisa kufeli mtihad co kufeli maisha.
MUNGU akubariki Sana Ibrahim John umetufundisha na sisi tusiwe tunachagua kazi ilimladi ituingizie kipato Asante pia milard Ayo kwa kutuletea habari Kama hizi pia MWENYEZI MUNGU akuzidishie kheri na baraka nyingi maishani.
Daaaah mungu akusimamie katika kazi yako na akijalie ridhiki ya halali yani anajielewa sanaa na mpolee mungu akusimamie sanaaa sanaa
You inspire me dear. I need to do a bit more and make some sacrifices from now on.People like you deserve to be recognised.umejaribu Vingi na utafanikiwa sana.Nitakutumia Kama mfano ninapo vunjika moyo kwa lolote nitakalo kuwa ninafanya. I have a greater opportunity than you and so I will make the most of it.Nothing comes easy bro.Keep it up.utajivunia mwishoe.👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@vailethtitus6462
5 жыл бұрын
Me too yaan am speechless
@antoinekatembo8124
5 жыл бұрын
Very true
@ibrahimjoel806
5 жыл бұрын
Asante sana
Kuna watoto wazuri jamani ukiacha Ibrahim kuna mwngne anaosha vyombo pale nyuma hadi raha by the way hongera Ibrahim
@preciousdallei2001
4 жыл бұрын
Hahahahhahahahaahahha so poa kabisa
hongera sana kijana mwenzangu kwa kujituma mungu yu pamoja nawe
Penye nia pana njia mdogo wangu, Mungu yupo
Allah abariki kazi yako unajituma sana big up bro.
Huwa sinaga Shaka na millardayo.com🔥🔥🔥🔥
Mpole mwenyewe ibrah hongera sana kwa upambanaji mwenyez mungu akufanyie wepec ktk kila ukifanyacho inshaallah 🤲
Nime pata Inspiration nyingine kutoka kwake
@vickysamwely8196
5 жыл бұрын
Shabani Mussa
Mashallah kaka Allah akupe nguvu zaidi
Huyu ndio mwanaume,mungu akusaidie Kaka angu
Ma sha allah kijana mpembanaji hongera maisha ndio ivyo kujituma na kujitoa na sio kukata tamaha ukiferi shule sio ndio umeferi maisha vijana jitumeni kujiamin tunaweza allah hakufanyie wepsi kwenye kaz ya mikono yako my bro
Daaaahhhh.. Hamnaga Hela ndogo jmn kikubwa Kuishy kwamalengo nakuridhika nayo tu......... Tujitahidini Vijana wenzangu Huyu Allah kamjalia Sana... Hakika Kupitia Yy Weng hatuta Kata tamaaa
Muda huo mhitimu wa Chuo anatembea na ma vyeti yake anataka kuajiriwa anajua kwamba ana madini kichwani yeye ni kiyoyozi tu ...........
@merryn4891
5 жыл бұрын
😁😁😁
@issakabwende5083
5 жыл бұрын
Daah very touchable
@georgematahimba5242
5 жыл бұрын
Good idea
@vickysamwely8196
5 жыл бұрын
Seleman Class
@salimharrasy7047
5 жыл бұрын
Kwa kweli kijana ni asset huyu9 haya jamani tumsaidie afike lengo lake. No ya simu iko wapi?
nimekupenda bule mdogo wangu.
Hongera sana, your very creative ,may God bless you.
Hongera sana ndugu Ibrahim John kwa ubunifu mzuri na kuchapa kazi. Wewe ni mfano mzuri wa kuigwa na vijana wengi wasio na ajira. Kongole sana kwa kweli.
Daaaa hongera sana kijana kwa juhudi zako unazozifanya hakika Mungu hawezi kukunyika kila sehemu unafeli sehemu moja Mungu anakupa sehemu nyingine ya kutokea.Ni vijana wachache sana wenye akili kama ya huyu kijana Mungu akutie nguvu na moyo mkuu wa kuendelea kupambana akukinge na maadui watakaokukatisha tamaa.
Kila kazi nikuji Brand tu vizuri.
Mungu akubariki sanaaaa mtoto kwa kuwajali wazazi wako naamini mungu atakubariki na kukufungulia milango ya ridhiki
Advise yangu ni ume invest kwa nyumba na ku support family hiyo ni vizuri sasa, next anza ku weka pesa ku nunuwa vifaa zako za kazi, pressure washer, vacuum ... manayake itakusaidiya ku grow and kuongeza uitaji. Congratulation, wewe ni example ya youth ya Africa ... people who think it is not possible but you have proven that they are wrong.
Kijana una alikil mungu akuweke ulee ndungu zako na mama yako wanaume ndio kama hawa fanya bidii upate hata uweke wapangaji
Kwel woga wako ndio umasikkin wako ukijituma kwa malengo unapata hongera Sam kaka
@ibrahimjoel806
5 жыл бұрын
Asante sana 0762953671
Mungu aibariki kazi ya mikono yako Ukupe nguvu na akuinue zaidi ya Hapo Najua Utafika mbali. Vijana tupambane tuache kulia lia maisha Magumu.
Wow wow wow ...am also speechless. .Natamani.. partnership /small investor. ..big up..
More bless fighter
Young bro big up sana Allah atakuezesha Inshaallah
very nice.and I believe you will succeed more.
Kama umeona kijana kaambiwa Ni mtanashati akatabasamu gonga like hapo😋😍😍
Nimekupenda bureeeeee kazi kaziii😍😁
@ibrahimjoel806
5 жыл бұрын
Asante sana 0762953671
Mungu atakujalia utafika unapotaka inshaallah
Vizuri hongera sana ,vijana acheni kukuaavijiweni fanyeni kazi.
Inspiration sana .... thinking out of the box...#mobilecarwash
Wengine endeleeni kukuza uume na kuongeza nguvu za kiume tu
@amanimtasha9168
5 жыл бұрын
Cute love 🤣🤣🤣🤣🤣
@haimahaima9135
5 жыл бұрын
😅😅😅😅😅😅😅😅kichaa hki ww nmechek kwa nguv
@silviapumzikenikwaamanidam8436
5 жыл бұрын
Ahaaaaa
@amnemkubwa7353
5 жыл бұрын
😂😂🤣🤣😃😄 uuwwiihhh!!!!!!
@dicksonsheja9376
5 жыл бұрын
Tobaaa
Daaa! bro Mungu aendelee kukubariki sana tu
Safi sanaa kijana mungu akujalie katk kazi zako
Hongerasana kaka mungu atashughulika nawewe naautaamini maana utafanikiwa sanaaa
naamini Mungu atamfikisha alipo mpangia, kwenye maisha ni uaminifutuu unahitajika. Hongera ibrahim
Everything begins with a single step congratulations boy God is with you baraka zako Zinakungoja watanzania those blessed with cars support this boy mpigieni simu.... Mi nakupigia Kesho utakuja nipo canada?? 😁
Blessed brother
Natamani kumuunga mkono huyu kijana ,Mungu aendelee kukupa akili nyingi sana🙏
Hyu kijana Mungu ambariki sna,millard mboreshee kdgo
Hongera kaka,pia poleni walewote mnao chagua kazi.
Mungu akubariki mdogo wangu unafanya kazi nzuri sana.
@ibrahimjoel806
5 жыл бұрын
Asante sana 0762953671
God bless you👏🏽
Hongera Mungu mbinguni akufikishe juu zaidi!
Huyu kijana anahitaji kusaidiwa ili atimize ndoto zake ni hodari weka number yake ya simu ili wenye uwezo wamsaidie
@ibrahimjoel806
5 жыл бұрын
Namba yangu 0762953671
@rosestigeneriksson8387
3 жыл бұрын
Nimeshamchukua🙏🙏
Mungu akujaalie na akuzidishie mdogo wangu. Dah!
Kweli mwenyezi Mungu amujaliye 💪💪nahata wenye uwezo wamuone
God will bless you more
@ibrahimjoel806
5 жыл бұрын
Thanks 0762953671
Safi sna Mungu akupe afya na maarifa zaidi upate mafanikio zaidi
Mashaa ALLAH hongera saan kijana nimekupenda
Good job big up broo
Hongera sana sinauwezo ninge ku sapoti
Dah cjui nỉseme nn but let me say may God help you u!!
Habari nzuri sana hongereni sana kwa kuinua vijana
Kijana mungu akuwezeshe ,akubariki kwa hiyo kazi
daaaah huyu kijana ameni inspire sanaaaaa mungu ambariki kwa kweli
Hongera Allah akufanyie wepesi kwenye shughuli zako
goooood umezidi kuzi amsha hisia zangu na umezidi kuniongezea ujasiri ili nizidi kupambana
Allah akuongoze brother napenda vile umejiamin na hujawah kukata tamaa,, Allah akusimamie ww pamoja na familia yako
mad respect for you bro, stand up nigga i love seeing shit like that.god bless you man NEVER GIVE UP
Hongera saaana kijana mwenzangu vijana tunaweza
Ucjal mamen Mungu atakujaalia utaweka umeme na maji utakua nayo,,mwanzo ndo mgumu wakat apo umeweza naamin mwisho utaweza pia 👍🏻👍🏻👍🏻👏🏻👏🏻👏🏻
Congratulations bra u can not pass in school in order to make it in life continue pushing God will help you i wish if i was in tz i could have given you anything small.viva
Hongera mdgowangu mungu ni mwema atakulinda baba
Nice one, May God Bless you #KeepOnTheFight
Hongera sana hiyo mashine ni bei gani nikusaidie.
@pastor_mashimo
5 жыл бұрын
Lillian Lucas Urasa Mungu akubariki sana dada kwa utayali wako wa kumsaidia
@fredyg_tz
5 жыл бұрын
Mambo vp
Uyo kaka anajishuulisha sana mungu azidi kumbaliki afike mbali
hongera brooo mungu akubalikii
Hongera sana kijana mungu atakutetea kwa kila hatua sio wanaojiita tozi huku akili tope
mashallah mung akuzidishie kaka
Here we go 🙏 so proud
Mungu akubariki sana sana mdogo wangu
May God protect you. Good Boy
@ibrahimjoel806
5 жыл бұрын
Asante 0762953671
@tamaraeliz7114
5 жыл бұрын
@@ibrahimjoel806 woow Ibrahim ningekua MTz ningekupa kazi. Mungu Akubariki sana
@ibrahimjoel806
5 жыл бұрын
Asante sana
Hongera sana mwanangu Mungu azidi kukubariki sana
@ibrahimjoel806
5 жыл бұрын
Asante sana mama