Ngowi TV. "KILIMO KINANIPA JEURI, HATA UNIPE AJIRA NA MSHAHARA WA MILIONI MBILI, SITAIKUBALI"

Tazama Makala hiya mjasiriamali na ujionee jinsi ambavyo mjasiriamali na mkulima wa Strwaberry Hasani Yakubu anavyotumia fursa ya ardhi yenye rutuba iliyopo katika milima ya uruguru kulima kilimo cha strwaberry na hatimae kutengeza fedha nyingi.

Пікірлер: 107

  • @goodluckmachangu5941
    @goodluckmachangu59415 жыл бұрын

    Ngowi TV Hongera sana. Channel yako ni ya tofauti kabisa inaelimisha umma wa Watanzania. Channel nyingi za KZread ni udaku tuu ambao haubadilishi maisha yetu

  • @samueljeremiah1176
    @samueljeremiah11765 жыл бұрын

    Mie ni mkenya na nimenufaika na mawaidha yako ya ukuzaji stroberi,hongera kaka

  • @alltanzania
    @alltanzania5 жыл бұрын

    Hongera Ngowi TV. hivi ndio vitu vinavohitajika kwa Tanzania yetu mpya. Tumebarikiwa kuwa na nchi nzuri. Tuilime na kuijenga.

  • @omarjeylani9144
    @omarjeylani91445 жыл бұрын

    Tanzania pana amani na wala sio kama Somalia. Watanzania mumshukuru Mola na hiyo neema ya amani.

  • @samateryussuf5938
    @samateryussuf59385 жыл бұрын

    fresh food , hongera sana , ujuzi wa mali asili ni kipaji cha wengi TZ hasa wakulima

  • @ngowitv2169
    @ngowitv21695 жыл бұрын

    Watazamaji wetu mnaweza kuwasiliana na mjasiriamali huyu Hasani Yakubu, kwa namba za simu +255716508848

  • @rubberbandman1213

    @rubberbandman1213

    5 жыл бұрын

    Shukran sana

  • @khamissnassor1462

    @khamissnassor1462

    4 жыл бұрын

    big up brother naona ume target kwenye mazao yasiotiiliwa maanani na watu

  • @jamesmichael5799

    @jamesmichael5799

    4 жыл бұрын

    Habari !! Hongera kwa kilimo cha kisasa ninaitaji mawasiliano yako . 0767279194

  • @planethakunamatata5254

    @planethakunamatata5254

    3 жыл бұрын

    Ahsante kwa namba... Ntakutafuta

  • @festongonyani152
    @festongonyani1525 жыл бұрын

    Hongera Kwa uthubutu kaka.. Naomba nijifunze mengi toka kwako

  • @noelngowi2700
    @noelngowi27005 жыл бұрын

    Hongera Sana Hassan Yakub

  • @bibukaelias2722
    @bibukaelias27225 жыл бұрын

    You are soo creative brother congratulations brother

  • @eliahmwingwa8839
    @eliahmwingwa88395 жыл бұрын

    Hongera sana jamaa, nimependa uthubutu wako.

  • @SaidiBakari-ms5fp
    @SaidiBakari-ms5fp2 ай бұрын

    Hongera sana

  • @raphaelbruno2743
    @raphaelbruno27434 жыл бұрын

    Braza ur so briliant

  • @mangalamlala3516
    @mangalamlala35165 жыл бұрын

    Asante sana hizi ndizo habari nzuri

  • @fredrickmgongolwa7958
    @fredrickmgongolwa79585 жыл бұрын

    watu wengi wanaongelea faida bila gharama zake!!!je gharama ya heka moja kuanzia mwanzo mpaka unavuna ni kiasi gani?kilo moja ni Tshs 10,000/= je gharama ya hii Tshs 10,000/= ni shilingi ngapi?au faida kwa kilo moja baada ya gharama zote ni shilingi ngapi?

  • @amanistephano5208

    @amanistephano5208

    5 жыл бұрын

    Fredrick Mgongolwa ukipiga mahesab ni kama mil 7 mpaka 8 kwa heka 1

  • @abuusally4792

    @abuusally4792

    5 жыл бұрын

    Fredrick Mgongolwa

  • @msetyntorah804

    @msetyntorah804

    5 жыл бұрын

    😂 😂 hicho kinaitwa KILIMO CHA MAANDISHI bro... Ukiskia makadirio ya faida unaweza ukatamani uanze kesho kwenda shambani kulima.😂😂😂

  • @abdulrazakgwotta5561

    @abdulrazakgwotta5561

    5 жыл бұрын

    @@msetyntorah804 katishaneni tamaa tuu.

  • @mezani782
    @mezani7825 жыл бұрын

    Huyu jamaa hakukurupuka, alifanya utafiti kabla ya kuingia kwenye strawberries..mfano kuigwa. Vijana tuige hili.

  • @monamzonge1398
    @monamzonge13984 жыл бұрын

    Nimekuelewa kaka naanza sasa hivi. Nimejifunza sana barikiwa na mungu

  • @michaelkolima1180
    @michaelkolima11805 жыл бұрын

    safi

  • @njeshkaris8957
    @njeshkaris89575 жыл бұрын

    Wow hongera sana kutuelimisha kazi ni kazi bora uwe una heshimu kazi hongera Hasan mungu akubariki na kazi ya mikono yako mtu anaeza pata shamba huko ya kukodisha nikuje huku tulime from 254

  • @dastanfussy4898

    @dastanfussy4898

    3 жыл бұрын

    Unataka Tanzania sehem gan?mkoa au wilaya gan?

  • @neemakalumatwa9781
    @neemakalumatwa97815 жыл бұрын

    Asanteni sana kwa kuanzisha channel hii mbarikiwe zaido

  • @faustatesha6333
    @faustatesha63335 жыл бұрын

    Big up umekuja na vitu very productive

  • @amanistephano5208
    @amanistephano52085 жыл бұрын

    kuna mazao mengine kama vanila yenye pesa nyingi sana zaid ya strowbeey vanila 1kg ni dola $400 mpaka $600. ni sisi 2 vijana tuache kujieka mjini akat utajir upo shambani. kubali kuonekana mchafu lkn unajua unacho kifanya. big up sana bro me next year ntaekeza kweny strowbery.

  • @abdulrazakgwotta5561

    @abdulrazakgwotta5561

    5 жыл бұрын

    Acha utani ww

  • @abdulrazakgwotta5561

    @abdulrazakgwotta5561

    5 жыл бұрын

    Ni serious?

  • @jojolee382

    @jojolee382

    4 жыл бұрын

    @amanistephano umeanza kulima? Uliahidi kuanza mwaka huu.

  • @joniajohn4716

    @joniajohn4716

    3 жыл бұрын

    Ahsante kaka Aman

  • @abdulrazakgwotta5561
    @abdulrazakgwotta55614 жыл бұрын

    Nakubali @hassanyakub

  • @frankmagukuba2102
    @frankmagukuba21025 жыл бұрын

    Bro uko vizur sana vijana atutaki kujishuulishaa na kilimo

  • @frankmagukuba2102

    @frankmagukuba2102

    5 жыл бұрын

    Wakat kilimo ndio kina tutoa

  • @mwitadevid7369
    @mwitadevid73693 жыл бұрын

    Nimekubali bro!

  • @raphaelbruno2743
    @raphaelbruno27434 жыл бұрын

    Braza ulishawahi kufikilia zile gar znapita kwenye kamba kutoka milimani

  • @cosmaslunyembeleka251
    @cosmaslunyembeleka251 Жыл бұрын

    Mawasiliano bro

  • @user-qs9rn2je4c
    @user-qs9rn2je4c5 жыл бұрын

    nin kwel kaka watu tunasema maisha magumu kilimo kinalipa

  • @shebbyelphonce8514
    @shebbyelphonce85143 жыл бұрын

    Brother umenipa motisha sanaaaaaaaa kwel umeamua nko Arusha natafta mtaji ntakuja morogoro kulima maybe mwakani brother yanii

  • @mussajuma9044
    @mussajuma90445 жыл бұрын

    Namba zako kaka

  • @ramafrica9016
    @ramafrica90165 жыл бұрын

    Vizuri kiongozi

  • @emmyjohn3970
    @emmyjohn39703 жыл бұрын

    🔥🔥🔥🔥

  • @yaqoubsalim99
    @yaqoubsalim995 жыл бұрын

    Ukitaka mali, utaipata shambani.

  • @alexchungu8823
    @alexchungu88235 жыл бұрын

    Daah hizo mbegu za strawberry zinapatikana wap Kwa DSM?

  • @abdulrazakgwotta5561
    @abdulrazakgwotta55614 жыл бұрын

    Huyu kijana ni mpambanaji akaze zaidi

  • @jossecharles2810
    @jossecharles28105 жыл бұрын

    mafuta ya mchaichai yanakuaje, naomba mnisaidie

  • @brotherjab7773
    @brotherjab77735 жыл бұрын

    Naomba mawasiliano ya hasaan yakubu

  • @sumayabakar4848
    @sumayabakar48485 жыл бұрын

    mashallah kaka mwenyezi mungu akubalikiye kazi zako mimi naitaji kilimo npo nje ya nchi narud nijiajili nakilimo umesema kilimo cha mchaichai nami naitaji kilimo kwa mawasiano no yg +968 97745907

  • @abdulrazakgwotta5561

    @abdulrazakgwotta5561

    5 жыл бұрын

    1.Upo China sumaiya????. 2. Ulisomaga algebra islamic?

  • @deniskaiza4306
    @deniskaiza43065 жыл бұрын

    safii

  • @jeniferjohn6083

    @jeniferjohn6083

    5 жыл бұрын

    Brother umenigusa kwenye michaimichai naomba namba yako

  • @daudiaidani3860

    @daudiaidani3860

    5 жыл бұрын

    0716508848 namba ya muhusika wa strwaberry

  • @saidutoto7619
    @saidutoto76195 жыл бұрын

    Hasan naomba namba ya cm pls

  • @franklinkessy586
    @franklinkessy5864 жыл бұрын

    Tuongee kuhusu soko la mchai chai

  • @lulushambazuri4861
    @lulushambazuri48615 жыл бұрын

    Hongera hasani

  • @hendrylema5640

    @hendrylema5640

    5 жыл бұрын

    hongera kaka unachapa kaz vijana mjini kuna tudanganya

  • @jicholafursa7058

    @jicholafursa7058

    5 жыл бұрын

    safi

  • @dorsandollah3384
    @dorsandollah33845 жыл бұрын

    Ndoto nimejifunza

  • @LUCKDRE
    @LUCKDRE5 жыл бұрын

    Me nataka namba ya huyo kaka anielekeze na dawa za kuwatibu kuku

  • @princehenry4196
    @princehenry41965 жыл бұрын

    samahani kaka napenda kupata mawasiliano yako

  • @emmanuelluela9632
    @emmanuelluela96324 жыл бұрын

    Nmekubali na nmeshawishik nitaktafta bro unipe mwangaza katka hali y hewa ya huku kwetu

  • @nasrimchopa678
    @nasrimchopa6785 жыл бұрын

    Kwani hakuna wadada wanaotazama maana namskia brother tyu Kila akiongea

  • @Theprincipalmboya

    @Theprincipalmboya

    4 жыл бұрын

    Mwandishi ndo alikuwa brother

  • @davidedison4450

    @davidedison4450

    3 жыл бұрын

    Watanzania bhna

  • @tatyemmanuel1695
    @tatyemmanuel16955 жыл бұрын

    Mkuu Hassan hongera saana. Mapambano yaendelee....

  • @jiongezehotnewstv7770
    @jiongezehotnewstv77705 жыл бұрын

    Big up

  • @shanyfarham9062
    @shanyfarham90625 жыл бұрын

    Mawasiliano yako kaka

  • @allysultan5255
    @allysultan52553 жыл бұрын

    Naombeni mawasiliano na huyu hassani

  • @hassanbinally7127
    @hassanbinally71274 жыл бұрын

    Insha allah utafika wajina hata mi natamani sana kuingia huko namba namba yako wajina

  • @mhogomchungu7168
    @mhogomchungu71685 жыл бұрын

    fuga punda au ngombe wakusaidie kubeba hio mizigo

  • @mwitadevid7369
    @mwitadevid73693 жыл бұрын

    Kiukweli nilikuwa sifikirii kujisajili na na hii channel! Ila baada ya kusikiliza kwa kina nimejikuta na subscribe,Ni zaidi

  • @mathiasbuyobe3512
    @mathiasbuyobe35125 жыл бұрын

    Hahaaaaha!!! Utafanikiwa kwa zali la mentali. Duuuuuuuh

  • @kassimali1943
    @kassimali19435 жыл бұрын

    Me naitaji shamba uko naomba namba zako

  • @kassimali1943
    @kassimali19435 жыл бұрын

    Tuwasiane me nipo mbagala

  • @alexmakunga4484
    @alexmakunga44844 жыл бұрын

    Tuna mpataje

  • @twahirmjeda4580
    @twahirmjeda45805 жыл бұрын

    mimi Natak kulima mchaichai nipo zanzibar soko lipo wapi?

  • @davidedison4450

    @davidedison4450

    3 жыл бұрын

    Darajani

  • @sumayabakar4848
    @sumayabakar48485 жыл бұрын

    no yg +96897745907 yoyote anaye mjuwa huyu kaka aniuganishe nae

  • @rahmakulwaguchibakulwaguch3313

    @rahmakulwaguchibakulwaguch3313

    5 жыл бұрын

    Sumaya Bakar +255716508848Hassan Yakubu

  • @rahmakulwaguchibakulwaguch3313

    @rahmakulwaguchibakulwaguch3313

    5 жыл бұрын

    Sumaya Bakar hujambo?

  • @sumayabakar4848

    @sumayabakar4848

    5 жыл бұрын

    @@rahmakulwaguchibakulwaguch3313 sijambo

  • @Bensonfrank25
    @Bensonfrank255 жыл бұрын

    JAMAAA ANA AKILI SANA YA MAISHA 🙌 RESPECT

  • @maryammaram2612
    @maryammaram26125 жыл бұрын

    Black berry 🍇🍓 nazipenda jomon kumbe zinalimwa hapo moro tu tunazipataje wa mkoan broo tupen namba zake

  • @daudiaidani3860

    @daudiaidani3860

    5 жыл бұрын

    0716508884

  • @daudiaidani3860

    @daudiaidani3860

    5 жыл бұрын

    0716508848

  • @maryammaram2612

    @maryammaram2612

    5 жыл бұрын

    Sante sana ndugu Daud

  • @daudiaidani3860

    @daudiaidani3860

    5 жыл бұрын

    Karibu Mariam usijali

  • @juliusndalaba5636
    @juliusndalaba56364 жыл бұрын

    Mm Niko kigoma kasulu nilitaka kujiunga na ukulima wa mchai chai mawasiliano yangu ni 0764790265 naomba tuwasiliane ili niweze kuanza kilimo hicho Mara moja

  • @martinjulius3737
    @martinjulius37374 жыл бұрын

    heshima kaka nitakupataja na mm niingie kwenye kilimo hicho make kweme eneolangu ninalolima mahindi nikalibu na maji nilitaka nianze kulima ilozao nisaidie ushauli 0754336328

  • @magdalenayunia9102

    @magdalenayunia9102

    4 жыл бұрын

    Naomba unitafute inbox tuongelee kilimo plz

  • @dastanfussy4898

    @dastanfussy4898

    3 жыл бұрын

    @@magdalenayunia9102 namim 0713327782

  • @jofreymligo888
    @jofreymligo8883 жыл бұрын

    Niombe namba yake 0713691929 nimejifunza kitu

  • @Salioization
    @Salioization5 жыл бұрын

    mbona sijaona hilo shamba la kusema aitwe king ,

  • @abdulrazakgwotta5561

    @abdulrazakgwotta5561

    5 жыл бұрын

    Endelea kutoliona

  • @fatmaabdilahi1007

    @fatmaabdilahi1007

    5 жыл бұрын

    Abdulrazak Gwotta 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @abdulrazakgwotta5561

    @abdulrazakgwotta5561

    5 жыл бұрын

    @@fatmaabdilahi1007 Hellow mambow.

  • @abdulrazakgwotta5561

    @abdulrazakgwotta5561

    5 жыл бұрын

    @@fatmaabdilahi1007 wanazingua wabongo.

  • @abdulrazakgwotta5561

    @abdulrazakgwotta5561

    5 жыл бұрын

    @@fatmaabdilahi1007 Naomba namba yako.

  • @innovationecosystemmapofta5516
    @innovationecosystemmapofta55164 жыл бұрын

    Je wewe ni mjasiliamali na ungependa upate soko kirahisi? Fungua link hiyo chini ...fursa hii ni bure kabisa kwa Watanzania wote docs.google.com/document/d/1ZMoFqxg8yhFD5Hn0-QKW3v2MeJvREu2i9PPFbjWQX7Y/edit