Ngowi TV. "KILIMO KINANIPA JEURI, HATA UNIPE AJIRA NA MSHAHARA WA MILIONI MBILI, SITAIKUBALI"
Tazama Makala hiya mjasiriamali na ujionee jinsi ambavyo mjasiriamali na mkulima wa Strwaberry Hasani Yakubu anavyotumia fursa ya ardhi yenye rutuba iliyopo katika milima ya uruguru kulima kilimo cha strwaberry na hatimae kutengeza fedha nyingi.
Пікірлер: 107
Ngowi TV Hongera sana. Channel yako ni ya tofauti kabisa inaelimisha umma wa Watanzania. Channel nyingi za KZread ni udaku tuu ambao haubadilishi maisha yetu
Mie ni mkenya na nimenufaika na mawaidha yako ya ukuzaji stroberi,hongera kaka
Hongera Ngowi TV. hivi ndio vitu vinavohitajika kwa Tanzania yetu mpya. Tumebarikiwa kuwa na nchi nzuri. Tuilime na kuijenga.
Tanzania pana amani na wala sio kama Somalia. Watanzania mumshukuru Mola na hiyo neema ya amani.
fresh food , hongera sana , ujuzi wa mali asili ni kipaji cha wengi TZ hasa wakulima
Watazamaji wetu mnaweza kuwasiliana na mjasiriamali huyu Hasani Yakubu, kwa namba za simu +255716508848
@rubberbandman1213
5 жыл бұрын
Shukran sana
@khamissnassor1462
4 жыл бұрын
big up brother naona ume target kwenye mazao yasiotiiliwa maanani na watu
@jamesmichael5799
4 жыл бұрын
Habari !! Hongera kwa kilimo cha kisasa ninaitaji mawasiliano yako . 0767279194
@planethakunamatata5254
3 жыл бұрын
Ahsante kwa namba... Ntakutafuta
Hongera Kwa uthubutu kaka.. Naomba nijifunze mengi toka kwako
Hongera Sana Hassan Yakub
You are soo creative brother congratulations brother
Hongera sana jamaa, nimependa uthubutu wako.
Hongera sana
Braza ur so briliant
Asante sana hizi ndizo habari nzuri
watu wengi wanaongelea faida bila gharama zake!!!je gharama ya heka moja kuanzia mwanzo mpaka unavuna ni kiasi gani?kilo moja ni Tshs 10,000/= je gharama ya hii Tshs 10,000/= ni shilingi ngapi?au faida kwa kilo moja baada ya gharama zote ni shilingi ngapi?
@amanistephano5208
5 жыл бұрын
Fredrick Mgongolwa ukipiga mahesab ni kama mil 7 mpaka 8 kwa heka 1
@abuusally4792
5 жыл бұрын
Fredrick Mgongolwa
@msetyntorah804
5 жыл бұрын
😂 😂 hicho kinaitwa KILIMO CHA MAANDISHI bro... Ukiskia makadirio ya faida unaweza ukatamani uanze kesho kwenda shambani kulima.😂😂😂
@abdulrazakgwotta5561
5 жыл бұрын
@@msetyntorah804 katishaneni tamaa tuu.
Huyu jamaa hakukurupuka, alifanya utafiti kabla ya kuingia kwenye strawberries..mfano kuigwa. Vijana tuige hili.
Nimekuelewa kaka naanza sasa hivi. Nimejifunza sana barikiwa na mungu
safi
Wow hongera sana kutuelimisha kazi ni kazi bora uwe una heshimu kazi hongera Hasan mungu akubariki na kazi ya mikono yako mtu anaeza pata shamba huko ya kukodisha nikuje huku tulime from 254
@dastanfussy4898
3 жыл бұрын
Unataka Tanzania sehem gan?mkoa au wilaya gan?
Asanteni sana kwa kuanzisha channel hii mbarikiwe zaido
Big up umekuja na vitu very productive
kuna mazao mengine kama vanila yenye pesa nyingi sana zaid ya strowbeey vanila 1kg ni dola $400 mpaka $600. ni sisi 2 vijana tuache kujieka mjini akat utajir upo shambani. kubali kuonekana mchafu lkn unajua unacho kifanya. big up sana bro me next year ntaekeza kweny strowbery.
@abdulrazakgwotta5561
5 жыл бұрын
Acha utani ww
@abdulrazakgwotta5561
5 жыл бұрын
Ni serious?
@jojolee382
4 жыл бұрын
@amanistephano umeanza kulima? Uliahidi kuanza mwaka huu.
@joniajohn4716
3 жыл бұрын
Ahsante kaka Aman
Nakubali @hassanyakub
Bro uko vizur sana vijana atutaki kujishuulishaa na kilimo
@frankmagukuba2102
5 жыл бұрын
Wakat kilimo ndio kina tutoa
Nimekubali bro!
Braza ulishawahi kufikilia zile gar znapita kwenye kamba kutoka milimani
Mawasiliano bro
nin kwel kaka watu tunasema maisha magumu kilimo kinalipa
Brother umenipa motisha sanaaaaaaaa kwel umeamua nko Arusha natafta mtaji ntakuja morogoro kulima maybe mwakani brother yanii
Namba zako kaka
Vizuri kiongozi
🔥🔥🔥🔥
Ukitaka mali, utaipata shambani.
Daah hizo mbegu za strawberry zinapatikana wap Kwa DSM?
Huyu kijana ni mpambanaji akaze zaidi
mafuta ya mchaichai yanakuaje, naomba mnisaidie
Naomba mawasiliano ya hasaan yakubu
mashallah kaka mwenyezi mungu akubalikiye kazi zako mimi naitaji kilimo npo nje ya nchi narud nijiajili nakilimo umesema kilimo cha mchaichai nami naitaji kilimo kwa mawasiano no yg +968 97745907
@abdulrazakgwotta5561
5 жыл бұрын
1.Upo China sumaiya????. 2. Ulisomaga algebra islamic?
safii
@jeniferjohn6083
5 жыл бұрын
Brother umenigusa kwenye michaimichai naomba namba yako
@daudiaidani3860
5 жыл бұрын
0716508848 namba ya muhusika wa strwaberry
Hasan naomba namba ya cm pls
Tuongee kuhusu soko la mchai chai
Hongera hasani
@hendrylema5640
5 жыл бұрын
hongera kaka unachapa kaz vijana mjini kuna tudanganya
@jicholafursa7058
5 жыл бұрын
safi
Ndoto nimejifunza
Me nataka namba ya huyo kaka anielekeze na dawa za kuwatibu kuku
samahani kaka napenda kupata mawasiliano yako
Nmekubali na nmeshawishik nitaktafta bro unipe mwangaza katka hali y hewa ya huku kwetu
Kwani hakuna wadada wanaotazama maana namskia brother tyu Kila akiongea
@Theprincipalmboya
4 жыл бұрын
Mwandishi ndo alikuwa brother
@davidedison4450
3 жыл бұрын
Watanzania bhna
Mkuu Hassan hongera saana. Mapambano yaendelee....
Big up
Mawasiliano yako kaka
Naombeni mawasiliano na huyu hassani
Insha allah utafika wajina hata mi natamani sana kuingia huko namba namba yako wajina
fuga punda au ngombe wakusaidie kubeba hio mizigo
Kiukweli nilikuwa sifikirii kujisajili na na hii channel! Ila baada ya kusikiliza kwa kina nimejikuta na subscribe,Ni zaidi
Hahaaaaha!!! Utafanikiwa kwa zali la mentali. Duuuuuuuh
Me naitaji shamba uko naomba namba zako
Tuwasiane me nipo mbagala
Tuna mpataje
mimi Natak kulima mchaichai nipo zanzibar soko lipo wapi?
@davidedison4450
3 жыл бұрын
Darajani
no yg +96897745907 yoyote anaye mjuwa huyu kaka aniuganishe nae
@rahmakulwaguchibakulwaguch3313
5 жыл бұрын
Sumaya Bakar +255716508848Hassan Yakubu
@rahmakulwaguchibakulwaguch3313
5 жыл бұрын
Sumaya Bakar hujambo?
@sumayabakar4848
5 жыл бұрын
@@rahmakulwaguchibakulwaguch3313 sijambo
JAMAAA ANA AKILI SANA YA MAISHA 🙌 RESPECT
Black berry 🍇🍓 nazipenda jomon kumbe zinalimwa hapo moro tu tunazipataje wa mkoan broo tupen namba zake
@daudiaidani3860
5 жыл бұрын
0716508884
@daudiaidani3860
5 жыл бұрын
0716508848
@maryammaram2612
5 жыл бұрын
Sante sana ndugu Daud
@daudiaidani3860
5 жыл бұрын
Karibu Mariam usijali
Mm Niko kigoma kasulu nilitaka kujiunga na ukulima wa mchai chai mawasiliano yangu ni 0764790265 naomba tuwasiliane ili niweze kuanza kilimo hicho Mara moja
heshima kaka nitakupataja na mm niingie kwenye kilimo hicho make kweme eneolangu ninalolima mahindi nikalibu na maji nilitaka nianze kulima ilozao nisaidie ushauli 0754336328
@magdalenayunia9102
4 жыл бұрын
Naomba unitafute inbox tuongelee kilimo plz
@dastanfussy4898
3 жыл бұрын
@@magdalenayunia9102 namim 0713327782
Niombe namba yake 0713691929 nimejifunza kitu
mbona sijaona hilo shamba la kusema aitwe king ,
@abdulrazakgwotta5561
5 жыл бұрын
Endelea kutoliona
@fatmaabdilahi1007
5 жыл бұрын
Abdulrazak Gwotta 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@abdulrazakgwotta5561
5 жыл бұрын
@@fatmaabdilahi1007 Hellow mambow.
@abdulrazakgwotta5561
5 жыл бұрын
@@fatmaabdilahi1007 wanazingua wabongo.
@abdulrazakgwotta5561
5 жыл бұрын
@@fatmaabdilahi1007 Naomba namba yako.
Je wewe ni mjasiliamali na ungependa upate soko kirahisi? Fungua link hiyo chini ...fursa hii ni bure kabisa kwa Watanzania wote docs.google.com/document/d/1ZMoFqxg8yhFD5Hn0-QKW3v2MeJvREu2i9PPFbjWQX7Y/edit