Kijana Wa MAGUFULI Chato Achana Mistari kwa Rais Samia, Apewa Bahasha Akionesha Umahili wake
Жүктеу.....
Пікірлер: 16
@djvigoji3617 Жыл бұрын
Unyamaaaa Mwingiiiiiiiiiii Unajua kazi
@husseinally5550 Жыл бұрын
safi siyo vile visanii vinatuimbia uchi
@paschalpaul3862 Жыл бұрын
Huyu kijana ni zaidi ya akina diamond na harmonize huyu ndiye anafaa siyo wasanii maarufu na ujanja ujanja
@mckiboevents Жыл бұрын
MC kaniboa. Kakatisha ujumbe mzuri.
@josephmasuma888 Жыл бұрын
Gamboshi kwenye nyumba zaupigwe lipu za nyama
@leahsamson9354 Жыл бұрын
Bonge la mwimbaji
@News6Tz Жыл бұрын
Huyo sio wa chato niwa ushirombo
@Directorjax55 Жыл бұрын
Hahhaah magambo nmekubal kijana
@mankacharles4559 Жыл бұрын
Soda ikulu ila sijapenda wamekatisha mwimbo afu mtangazaji heshimu kila mmoja kwa nafasi yake chumvi gani na raisi kaongea na wengine wamesikia
@RahelMakungu-ti4bb Жыл бұрын
Dood
@niyomwendemazala938511 ай бұрын
Very very magambo machimu
@julianapatrick7911 Жыл бұрын
🙄
@user-tn4rz8dr6m8 ай бұрын
Huyu kijana ni mtu wa muhimu sana akiendelezwa ,apewe nafasi
@mungoseme87757 ай бұрын
Huyu kijana taifa limtambue wampe nafasi huyu ndiye msanii kiooo Cha jamii achana na hawa waimba matusi na nyimbo za mapenzi hao Ni kioo Cha ngono na uchafu tu na kuporomosha maadili ya jamii. Huyu kijana inafaa apromotiwe nyimbo zake zinajumbe muhimu Sana kwa taifa.
Пікірлер: 16
Unyamaaaa Mwingiiiiiiiiiii Unajua kazi
safi siyo vile visanii vinatuimbia uchi
Huyu kijana ni zaidi ya akina diamond na harmonize huyu ndiye anafaa siyo wasanii maarufu na ujanja ujanja
MC kaniboa. Kakatisha ujumbe mzuri.
Gamboshi kwenye nyumba zaupigwe lipu za nyama
Bonge la mwimbaji
Huyo sio wa chato niwa ushirombo
Hahhaah magambo nmekubal kijana
Soda ikulu ila sijapenda wamekatisha mwimbo afu mtangazaji heshimu kila mmoja kwa nafasi yake chumvi gani na raisi kaongea na wengine wamesikia
Dood
Very very magambo machimu
🙄
Huyu kijana ni mtu wa muhimu sana akiendelezwa ,apewe nafasi
Huyu kijana taifa limtambue wampe nafasi huyu ndiye msanii kiooo Cha jamii achana na hawa waimba matusi na nyimbo za mapenzi hao Ni kioo Cha ngono na uchafu tu na kuporomosha maadili ya jamii. Huyu kijana inafaa apromotiwe nyimbo zake zinajumbe muhimu Sana kwa taifa.
Leo unazichota magambo
🔋🔋🔋🔋🔋🔋🔋🔋🔋🔋🔋🔋🔋🔈🔕🔈🎼🔈🔊🔔🎤☎☎🎻🎹📠🎧☎📟☎🎻🎹📟🎹🎻🎹🎹📠📟☎📠📞📟📞📟☎📟📞📟🖨💻🖨💻📟📟💽📠💽🖨💻📲🎷💻🔋🎷🎙📠🎹📠☎📠☎📠🎹🎷