Huyu ndiye Hayati Ask. Teofilo Kisanji ambaye alitamani sana Kanisa lijitegemee kiuchumi

Katika historia mfahamu Hayati Baba Askofu Teofilo Kisanji ambaye ni miongoni mwa waasisi wa Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT). Tumebahatika kufanya mahojiano na mtoto wake Oscar Kisanji ambaye kwa sasa ni mzee (Babu) mwenye makazi yake Tabora.
SIKU YA CCT (CCT DAY) kilele chake ni Tarehe 26 Mei 2024 na Kitaifa maadhimisho yatafanyikia Mkoani Mtwara katika Kanisa Kuu la Kiinjili la Kilutheri Tanzania .

Пікірлер: 1

  • @Wamisangi
    @WamisangiАй бұрын

    Askofu Kweka ndiye alimzika. Aliongoza ibada ya mazishi.