A - Z KUHUSU MANARA KUMFUKUZA NYUMBANI MKE MKUBWA, MWENYEWE AFUNGUKA!
Ойын-сауық
A - Z KUHUSU MANARA KUMFUKUZA NYUMBANI MKE MKUBWA, MWENYEWE AFUNGUKA!
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #Refresh #Manara
Пікірлер: 105
I like his response in regards of his first wife… its called respect. 🙏🏽
Haji manara. Umefanya vzr kuwajibu Ufidhuli juu watangazaji w Bongo wanapenda sana udaku.
Manala nakupenda huongei mambo ya familia nakupenda
Very good manara usitoe siri ya maisha yako.keep your heart
Msemaji mmoja kwenye nch hii, namkubali sana uyu mwamba
@salomewandya7257
2 жыл бұрын
Kabisaaaa
Lazima ujue diamond anaitwa Simba,.acha ufala kuelekea darb.
@celinekenedy870
2 жыл бұрын
Bora hata ulikuepo maana huyu boya anadhani Diamond anayumbishwa na upepo,,, ❤❤❤ yule ni simbaaaaa.
Asante saana kaka hongera pwent sahihi good
Hongera sana mungu akudumishe na ndoa zako.
God bless you my brother #Sunday Haji manara👏🏾
Dereva anacheka kumpeleka mke mkumbwa akaishi mbinguni 😂
@wilsonmpega8225
2 жыл бұрын
Manara fala sana 😂😀
Safi saana brother
Mbingun jmn🥰✊✊
Manara kazungumza kikubwa na kwa utulivu! Nampongeza japo simpendi
We ni mtu wa mbwinde huko kigoma eti mtu wa Pwani kwa kua ulikuja kama manamba
Sasa manara ndio uongee km bwakila😁
@zaydelabay9776
2 жыл бұрын
Anafoka
Wape hao Bugatti 🤣🤣🤣
Kiukweli nilikua spendi ki time tu ila kwa hili nakupenda sanaumejibu vizuri sana
Na ni kweli kama kuwala kawala sana hadi inatia kichefuchefu kwanza mastaa wote wa bongo movie kapiga sana tena sana kwani kambakisha nani hawawezi hata kumuita shemeji maana wote kachapa daah shikamo pesa
@jackyluns8224
2 жыл бұрын
Hiv ni kweli au
Nakajala kweli
Me Simba ila naumia sana kuwepo yanga ila bado nitaendelee kukukubali tu mwamba
Manara buana et sisi watu wapwan tunamaadil tafauti nanyie makenge hahhhh
Manara
huyu ramadhani yote kishalewa....laabuka
Mbona unazungumza maisha ya diomond...suala la kuoa atabyeye hapendi zungimzia ktk media mbona unamzungumzia
Mbona huyo mzungu anazungumza kiswahili jamani ao nimzungu coco
Mwehuu
@wilsonmpega8225
2 жыл бұрын
Kampiga jamaa na kitu kizito
🤣🤣🤣Nimecheke kwa sauti eti mbinguni mmekomeswa
El BUGATY
😂😂😂😂😂mtangazaji amepigwa nakitu kizito😀😀😀😀😀
🤣🤣🤣🤣🤣kifuziiiiiiiii
Diamond kwenye kila interview dah
@mdta8161
2 жыл бұрын
😂😂😂
@LindaLinda-lj6gt
2 жыл бұрын
🙄🙄🙄🙄
manara mbona unazeeka mapema?au sababu ya roho mbaya uliyo nayp
Manyenze hahahaha
Eti mbinguni
kipindi nakipenda sana ila manara swala la chibu kuimba nyimbo ya yanga hpo manara kaenda choo cha kike
jesh yupo wp kwani
hilo ni jambo Jema kumshauri.diamond Kua na mke wa halali
🤣🤣🤣
Haji kalewa leo 🤣🤣
@evakiwia1052
2 жыл бұрын
Ha haaa kumbe na wewe umenote
@magrethmbangama1199
2 жыл бұрын
Yaan yupo bwiii jmn akilewa huyu utamuona tuuu,hayo majibu yake Sasa😂😂😂
Mtangazaji leo kapibwa na kitu kizito kichwani
Ety mbinguni
Manara ni chizi uyo
😁😁😁😁😅😅😅😅
haaaaaa mbinguuu wakome kwa maswali ya kitoto.
Nasib huyu huyu Simba Basi atakuwa sio Simba atakuwa sungura
Jeuri ya fedha za bure. Ni kutukana Simba kila siku. Amejaa chuki, wivu fitina etc
eti mbiinguni🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mnakosea huyo sio msemaji wa yanga ni mhamasishaji
🤣🤣🤣🤣🤣
Hao wanataka waje wapige chabo
Manara kumbe muhuni unamwambia kawala sana sasa basi
😜😜😜😂😂😂
Huyu anajeurii sijui kwanini ? Ndio maana mungu akamfanya hivyo
@shukranitv2971
2 жыл бұрын
Mpira ni mpira hayo ya kuww hivyo ulitaka awaje Sasa au akufuate wewe kisa ni Simba au
@ummySheikh72
2 жыл бұрын
@@shukranitv2971 tu hishimiane mimi sio simba wala yanga!
@fatmafaki6163
2 жыл бұрын
@@ummySheikh72 tunakujua wewe ni kibri Cha Bure tu @heshimu uheshimiwe
@ummySheikh72
2 жыл бұрын
@@fatmafaki6163 sasa kukuambia mimi sio yanga wala simba ndio KIBRI?? Jiheshimu wewe unae andika ndio uitafute heshima. Narudia tuheshimiane bure
Hhhh
Azam tv
@mwitjoseph9597
2 жыл бұрын
Azam spot
Daimond utajiharibia umaarufu wako wewe ni msanii mkubwa endelea nabheshima yako
KAKUSTUKIA HAKUTAKIIIII
M
Mbona mwishoni unapanic
KWANI HAUNA MBINU NYINGINE NI ZILEZILE ZA SIMBA TU ? WEWE MLEVI OMBAOMBA
Ina maana mke mkubwa amekufa
Mbinguni🤣🤣🤣🤣
Hahahahaha Mbinguni
Mbinguni 😂😂😂😂😂😂
Diamond Platnumz🔥🔥🔥🔥👉🏼👉🏼👉🏼👉🏼👉🏼👉🏼👉🏼👉🏼👉🏼👉🏼 kzread.info/dash/bejne/ZKZ_1smjqNfKm9I.html
MNAFIC HUYO
Bugat
@kiehbhzh7044
2 жыл бұрын
manara ana sura mbaya😂😂
Mbinguni 😂😂🤣
Usimlazimishe kachagua Simba na jina lake Ni Simba Sasa unalazimisha Nini pumbavu
PETE ZA MAJINI ZENYE MVUTO MKUBWA UTAJIRI*# ttps://m.kzread.info/dash/bejne/qaaYzLCLqry7qMo.html
Not in a bad way but he needs to work on his oral health kwa sababu weeee🤮🤮🤮🤮🤮🤮. I can smell his bad breath from miles away! I respect his ' both wives '
MTU kishaitwa Simba wewe unataka aende yanga mmmmmmmm umerogwa weee
Unadhalilisha watu ukiguswa wewe unalia Sasa kusema ana ft 2 Steven nyerere Inahusu Nini ulishamwita pia mwakalebela kilo 800
@fatmafaki6163
2 жыл бұрын
Utani tu usipanik
@bahiyalumelezy3016
Жыл бұрын
Hivi watu wasojuwa utani wamelelewa vipi?unajuwa km stieve na hajji ni marafiki wakubwa na watani muda wote wakionana?acheni ushamba
Mbinguni😆😆😆
Kama kuwala amesha wala sana nani kasikia
@yahayamuna3679
2 жыл бұрын
Baba mkwe kamsikia
@sonicaghendewa9886
2 жыл бұрын
😂😂😂
Mbinguni
HAHA ETI UTAKUWA NA SHIDA NA MTU ANA FUTI MBILI HAHA
Mmmh make apo kwanza nivunje mbavu,hivi kumbe huyu ni tahira maandaz nan kasikia sisi watu wa pwani tuna maadili,huyu jamaa si muha wa nguruka,rabishiiiiiiii
@mwandegetechs8026
2 жыл бұрын
Mmanyema sio muha ila mama yake ndio wa pwan
HIYI NI BARAKA SAAANA ❤❤🔥🔥🔥👉🏼👉🏼👉🏼👉🏼👉🏼👉🏼👉🏼 kzread.info/dash/bejne/dYh_p9hwhrjWgsY.html
😂😂😂😂
Mbinguni🤣🤣🤣
PETE ZA MAJINI ZENYE MVUTO MKUBWA UTAJIRI*# ttps://m.kzread.info/dash/bejne/qaaYzLCLqry7qMo.html