CCT yatoa Msaada wa blanketi kwa wagonjwa- Mtwara na Upandaji wa miti

Kuelekea maadhimisho ya kilele cha Siku ya CCT ( CCT Day ) kesho tarehe 26, Mei. CCT ikiongozwa na mwenyekiti, Ask. Dkt. Fredrick Shoo wamegawa mashuka kwa wagonjwa katika kituo cha afya cha Likombe kilichoko Mtwara. Zoezi hili limeambatana na upandaji wa miti katika kituo hicho na katika Kanisa Kuu la KKKT.

Пікірлер: 1

  • @TeddyAnga
    @TeddyAngaАй бұрын

    God bless 🙏

Келесі