JENERALI ULIMWENGU ANENA HAYA MBELE YA VIONGOZI WA DINI KUHUSU HAKI ZA BINADAMU

Karibuni sana katika Channeli hii inayomilikiwa na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania {TEC}ikiwa ni moja ya chombo cha Uinjilishaji kwa njia ya Sauti na Video.Pia unaweza kutufuatilia kupitia mitandao yetu ya kijamii kama ifuatavyo.
INSTAGRAM: / kanisa_katolikitz
FACEBOOK: / barazamaaskofukatolikitz
Whatsup: 0738 916 628...KANISA KATOLIKI TANZANIA
Usisahau Kusubscribe,like na kushare maudhui yetu...

Пікірлер: 23

  • @user-dk9iw7fb1h
    @user-dk9iw7fb1h7 ай бұрын

    Hongera kwa hotuba hivyo.inaumiza moyo wangu.

  • @MosesSurwejo-gj8sp
    @MosesSurwejo-gj8sp5 ай бұрын

    Mzee general naomba mawasiliano umenikuna Sana unavyo ongelea haki kwa Kila mtu nami ni mwana harakati hizo

  • @samwelkavwanga4491
    @samwelkavwanga44917 ай бұрын

    Jenerali siku zote umekuwa unaongea fact sana. Huo ni ukweli mchungu😢😢ambao watu ni lazima waukubali😮

  • @philibertsimon
    @philibertsimon7 ай бұрын

    You are very correct

  • @brightmsalya
    @brightmsalya7 ай бұрын

    Haki Guru of all times

  • @farhatfatma12
    @farhatfatma127 ай бұрын

    Kitu kimoja siku hizi nimegundua wasikizaji katika midahala , mikutano na hata kwenye harusi utakuta watu wameinamia Simu zao na laptop wakionekana wako na shughuli muhimu zaidi katika simu zao na laptop kuliko kile walichoitiwa. Hakika kwa maoni yangu naona kama ni kutokua na heshima juu ya mzungumzaji.

  • @nkwazigatsha
    @nkwazigatsha7 ай бұрын

    Hizi haki za binadamu si za kusherehekea. Kwani, zilipotangazwa, binadamu walikuwa ni wanaume weupe wenye kumilki mali na si wanawake au watu wengine ambao hawakuwa weupe wenye kumilki mali. Ndiyo maana waafrika waliendelea kukaa chini ya ukoloni kwa sababu hizi haki za 'binadamu' hazikuwahusu

  • @kahemachowdry7346
    @kahemachowdry73467 ай бұрын

    Alternator 24 to DC Brashness Motor

  • @user-dk9iw7fb1h
    @user-dk9iw7fb1h7 ай бұрын

    Alikuwa mtu was Tabora Kijiji Ipole wilaya sikonge kwa sasa

  • @csato9415
    @csato94157 ай бұрын

    Kama huna nguvu ya kupambana na anayeonea wengine basi, kemea karipia, onya, na nuna @jenerali ulimwengu voice.

  • @mfwimiekayuki8692
    @mfwimiekayuki86927 ай бұрын

    Waliopo madarakani wasikie sauti hizi.Kiburi mara nyingi hakina mwisho mwema.

  • @estermpagama9664
    @estermpagama96647 ай бұрын

    Generali mwl ?Nyerere ni kiongozi na alikuwa binadamu alifanya kazi zake ndivyo Mungu alivyo muongoza sisi tunamuombea tunamkumbuka hatutamsahau vizazi vitajifunza kwake mapungufu yake yaacheni mnatukera

  • @deven.oauditx7547

    @deven.oauditx7547

    7 ай бұрын

    Sema anakukera wewe siyo anawakera.

  • @samsonkatigiri2344

    @samsonkatigiri2344

    7 ай бұрын

    Anawakera na nani? watu wengine kwa nini mnapenda kuzima mawazo ya mtu? kwa nini mnapenda chanya tu hasi hamtaki? kwa nini ukereke kwa mawazo huru na yanayotolewa sehem huru? huu ni upuuzi mkubwa sana,

  • @br.samwelmparange4986
    @br.samwelmparange49867 ай бұрын

    Nakubaliana nawe General kuwa kabla ya kumtangaza kuwa Mwenyeheri tumtafute Kati ya wanasiasa waliomtangulia Kama kuna aliye au waliyekuwa wenyeheri. Lakini ikumbukwe pia hakuna lisilokuwa na mwanzo wake. Basi Kama ndivo hivo iwe huyo ndiyo Mwenyeheri WA kwanza mwanasisisa. Kabisa lisiogope wala lisione aibu kuchukiaaamuzi hayo Kwa vigezo vya kuwa ni mwanasisisa aliyesimama kidete kwenye WEMA. ( Kutokuwa mwizi muuaji n.k) pamoja na madhaifu yakutokuwa mwanademokrasia Kama wengi wanavyomstanabaisha. Vigezo vya kikatoliki vinavyoweza kumfikisha hapo kwenye Uenyeheri vitumike Kama vilivyo. Na Kama Niaminivyo mm Mungu atadhihirisha bila Shaka yo yote kuwa Mtumishi wake ana hadhi gani! Ee Mwenyezi Mungu mwingiwa Rehema utudhihirishie Kwa Hilo liloko kwenye mawazo yetu sisi watoto wako tunaloliwaza juu ya Mwanao Julius Nyerere . Amina.

  • @LukingaMakanda-pz6xd

    @LukingaMakanda-pz6xd

    7 ай бұрын

    😂😂😂

  • @egdldm4981
    @egdldm49817 ай бұрын

    Kiuhalisia bado nchi hii haijapata uhuru. Uhuru tunaojivunia kuwa tuliupata mwaka 1961 kimsingi tulibadilisha rangi tu ya watawala maana mkoloni mweusi anafanya yale yale aliyoyaasisi mkoloni mweupe. Kwa nini tusiwaondoe hawa wakoloni tulionao sasa yaani Serikali na mihimili yake yote pamoja na chama kikongwe CCM ili tuanze upya? Swali kwako Jenerali Ulimwengu!.

  • @peemoneybags410
    @peemoneybags4107 ай бұрын

    Archana na Israel wee ongea ya kwako Palestina wanastahili kushughulikiwa na Israeli Go read the BIBLE

  • @seifalzakwan5663

    @seifalzakwan5663

    7 ай бұрын

    Nonsense

  • @user-dk9iw7fb1h
    @user-dk9iw7fb1h7 ай бұрын

    Hongera kwa hotuba hivyo.inaumiza moyo wangu.

  • @user-dk9iw7fb1h
    @user-dk9iw7fb1h7 ай бұрын

    Hongera kwa hotuba hivyo.inaumiza moyo wangu.

  • @user-dk9iw7fb1h
    @user-dk9iw7fb1h7 ай бұрын

    Hongera kwa hotuba hivyo.inaumiza moyo wangu.

Келесі