HAMISA MOBETTO - "NALEA WATOTO PEKE YANGU / KUHUSU MAHITAJI..."
Ойын-сауық
HAMISA MOBETTO - "NALEA WATOTO PEKE YANGU / KUHUSU MAHITAJI..."
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 39
Hamisa hauko pekee yako dada tuko wengi mahitaji hatupati ila tunatunza watoto wetu mungu mkuuuu
Mobetto nakupendaga bureee💋♥️💥
Mashallah jawabu zuri nimeipenda sanaaaaa ulivyojibu
@nedymusic7980
2 жыл бұрын
Yani mtoto uko vizuri, kiukweli
My love Mobetto 😘❤️
Thank you for showing power of women nakupenda kwa Kweli
Ndomahana mungu hana mfunguliya milangi
Misa pole sana diamond pesa zote hataki kumsaidia mtoto dah
Umenichekesha hamisa
Wee mobetto lit💥
Mungu ashiriki uzinzii
@modrinmaufi9142
2 жыл бұрын
Roho mbaya
Diamond platnumz the king of Africa
Huyu Hamisa ,kama amelelewa ktk madili vile ,ukiangalia ongea yake na alivyo,unaweza sema kabiti kenye hofu ya MUNGU na mfanya Ibada,
@fathmaibrahim1843
2 жыл бұрын
Kweli kabisa kaka
@blancheneigedeliles
2 жыл бұрын
Hulu dada iko verry intelligent 👌
@esthermoraa6648
2 жыл бұрын
Saaaaana, amelelewa vizuri sana
@zariadunia6328
2 жыл бұрын
Mbona anatoa kotekote mcha mungu yupi
@akidajulius8397
2 жыл бұрын
@@zariadunia6328 duu,🙄🙄
Diamond platnumz simba baba Lao africa
hayo ni malipo
Roel model
Yaani huwa napata tabu Sana juu ya maswali wanayo uliza waandishi wetu WA Habari au waendesha vipindi hapa tz yaani unaweza kujiuliza huyu yuko Sawa kweli?
Hli jibu jamani ni very open, ndio ama hapana😂
So no Man has ever told you anataka kuzaa na wewe? So what exactly do they want from you? Good time then they go back to their women? Ok🤣🤣
Unalea na ricrose mbwa wee..
@pracxedismathias5555
2 жыл бұрын
mbwa umemjua mbwa mwenzio🤣🤣
@dianajoseph6673
2 жыл бұрын
Kha mbwa katoka wap tena naongelea yake maisha hajaongelea yako lkn ushamtukana😂😂😂😂 na wakwako analelewa na nani?
@Beingme2024
2 жыл бұрын
Matusi ya nini tena be kind
@MaaneML
2 жыл бұрын
Mbwa mwenyewe. Tena mbwa Koko kabisa. Yaani unamtukanaje binti wa watu mpambanaji? Ulishampa hata thumni wewe? Nyau wewe.
@jeniphermsaki2627
2 жыл бұрын
Mmmmmh kazi ipo hapo sasa akilea na rickrose we unateseka msaidie ww basi kulea