EXCLUSIVE: HAMISA MOBETTO AKIRI DIAMOND & MAJIZZO KUMNUNULIA MAGARI
Ойын-сауық
EXCLUSIVE: HAMISA MOBETTO AFUNGUKA DIAMOND & MAJIZZO KUMNUNULIA MAGARI
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 225
Hamisa wewe ni mrembo mdogo wangu..Maneno hayo hata kwenye kanga yapo..Tatizo ni wivu tu na wanataka sana wakutoe kwenye mstari ..Songa mbele..Tingisha tingisha mama..Wanakufa midomo wazi..💪🏾
This lady has something special aki mtu mwenye akili timamu huchoki kumsikiliza🙌Ana akili, anajitambua na anajiamini ndo maana anazidi kupiga hatua kila siku May God protect u🙏
Go baby missa kila mabaya wanayokuombea walimwengu na yawarudie kwa jina la Yesu...Tuliopo nyuma yako ni wengi na huwa hatukusahau kwenye maombi yetu 🙏
Hamisa mobeto , she’s very beautiful and gorgeous too.. talk of her inner beauty.. girl got a very good heart.. she’s so young but very mature in how she answers questions! If Diamond wanna treat some of his kids like they are less humans, that’s on him. Good thing is, Hamisa is a very good mom!
@Faith_joseph
Жыл бұрын
❤️😍📌
Wabongo tujifunze kumpongeza mtu ambaye katuzidi okay let's say kanunua mwenyew bei ya range ni 50M je, wanaoponda uwezo wenu unawaruhusu kununua nini wengne hata baiskel hawawez nunua😂😂😂😂Hongera mobetto nyota kaliii🔥
@barakaamani8657
Жыл бұрын
Hovyo
She's very beautiful✨❤️
Ooow...she talks so sweets and cutiie🥰🥰
Nakupenda tu Mobetto wangu, Mungu akuweke inshallah 🙏
I love this woman so much,Hamise
This lady is something else 😍😍. Always humble and lovely.. keep minding your own business.. you'll make it 🥂
Mobetto me nakupenda Sanaa yaan❤️❤️
Sihabba hamisa kua unajua kua hiyo unayoifanya nizinaa Allah akuongoe ishaAllah
I love this lady,she is brilliant 😘
@Nikita_8017
Жыл бұрын
Super brilliant
@tausikoko8671
Жыл бұрын
Very!
I am your fan from today...Unaongea vizuri dadangu.
I just love her
Hamisa mcute girl friend you rock mama. We love you!
Kiukweli unapendeza Sana maana unarudi utoto. Thanks 👍 Hamisa
Beauty with brain 🥰
Nakupenda hupendi unafiki 🥰🥰🥰
Nampenda hamisa huwa hakosi kumtaja mungu kwa maongezi yake
I love her 💕
I just love this gal🥰
I love this lady
That’s a good girl
Moral of the story "Danga kwa Faida"
Yani hamisa nakupenda sana yani ninge kua na uwezo ninge ua madui wako wate..nakuombea mungu wamalize wote na husda yao
@rahmamollely5296
Жыл бұрын
Ungeanza kuuwa maadui zako kwanza ungekua unaakili cn
@aminaanab1071
Жыл бұрын
Sina ma adui Labda ukue wewe adui wa hamisa
@noorynmohammedy6063
Жыл бұрын
@@rahmamollely5296 🤣🤣🤣🤣
@miriamwinston9908
Жыл бұрын
😂😂😂
@adejoahjoah9155
Жыл бұрын
Hata mimi aiseee
HII IKUFIKIE HAMISA. SASA PENDEZA PIA KWA MOLA WAKO UTAKUA MWANAMKE MWEMA , FANYA IBADA NA WATOTO WAKO WAFUNDISHE MILA YA MTUME MUHAMMAD. SAW. HAMISA MTOTO WA KIISILAMU. ALLAH AKULINDE NA AKUONGOE UTETE DINI YAKO UVAE STARA USIVAE UTUPU. UTAJIRI WA DUNIA HAUDUMU. UFUNGE NDOA USITEMBEE NA WANAUME . NAKUPENDA MUISILAMU MWENZANGU NAKUKUMBUSHA .
@sheckycobb5240
Жыл бұрын
Mi mkristo, yote sibishani na wewe, lakini mwanamke anatafuta wa kumuoa? Naskia unamwambia aolewe
Love you so much
Naka penda ❣️❣️❣️❣️💖💖💖🌹
Atuliyeee tu kwenye mitindoooo Uko kungineee badooo sanaaa🥱🥱🥱
Wanaosema amejinunulia na nyie jinunulieni kama rahisi na wale vishikwambi wengine wanaosema la kurushia watu roho na nyie kakodisheni muwarushe watu wengine roho kama rahisi😂😂😂
@dianajoseph6673
Жыл бұрын
Watu hawataki kukubali matokeo
@mayrose9772
Жыл бұрын
Tatzo watu walimzarau sana hamisa kwhy saiv haaawamini wanachokiona
She's very beautiful 😍🥰😍
Lov u mobetto 🥰🥰
🔥
We love you❤❤❤❤❤
Talk of super woman, she's the one, why lie
♥️♥️♥️♥️🔥🔥🔥🔥 penda sana dada
❤❤❤
Rick Ross thanks 😊
Yaani nakupenda sana
Nimependa leo ulivyoongea Misa❤️
Congratulations babes missa
Masha Allha ww nzuri sana ❤️
Shabiki wa harmonize wakwanza kumpenda hamissa
Super women congrat
🥰🥰
Mimi nakupenda sana Hamisa ❤️
Huyu dada anapenda Sana wanaume wenye mafanikio ,, Yawezekana hana mapenz ya kweli, Ukanjanja wake anaufany ki international 😄😄
@salmamkota2882
Жыл бұрын
Kanagawa kwa future 🤣
@roselynngallo1872
Жыл бұрын
Ndio vizuri sasa aichoshe papuchi yake bure? 😅
@salmamkota2882
Жыл бұрын
@@roselynngallo1872 atuinspire kwakweli
@josephstephen1079
Жыл бұрын
hahahah we jamaa umejua kunichekesha
Mmmh sio kubadilik kwaivy bhnaa wee
Binafsi nakupenda ti
Misa
Misa 💕💕
Mrembo sanaa
Amisa nampenda kwanza anapambana na watoto wako
Kuna kitu katika haya matako ya kutengeneza. Yanakuwa kama mzigo mzito kwenye mwili wa binadamu.
@tabithajohn8254
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣umenichekesha sana
@miriamwinston9908
Жыл бұрын
😂😂😂😂
@miriamwinston9908
Жыл бұрын
Niko njian Nada mm😁😁😂
@alhabsi6430
Жыл бұрын
Kweli kweli
@nellymatalanga5033
Жыл бұрын
Yamakalio sema butt augmentation #implants ,ya maziwa ni breast implants na silicone . Sasa Kuna Dada zetu wengine huwekwa size kubwa mpaka inaudhi.
💪🔥🔥🔥❤️❤️❤️❤️❤️
🤣🥰🥰🥰anaekulaa hapoo ana rahaa sanaa
@hono1232
Жыл бұрын
Ni wewe basi una raha
Ninge kuwa mm ndo hamisa nisinge thubut Kuwapa airtime yangu wasafi abadan hasiran kwa roho mbaya wanayokufanyia noooo nooooooo
Hamisa anakuwa na tako jamani
Mwanaume sio wa kumlia amin
Diamond
I really hate women who intentionally help heartless men to cheat on women in their relationships. Why not tell the man to leave the woman she's with and be with you alone if you are so special? No matter how hard I try all I see is a cleaned up loose woman with loose Morals. But as long as her conscience is clear her generation is safe.
@kammie8174
Жыл бұрын
Heal......there is always 3 sides to a story why would you think you know the whole truth???
@didam1884
Жыл бұрын
sasa unataka kulia??😂😂😂😂😂, jaji mwenyewe, We hujui the whole story na uko hapa passing judgement left right centre, abeg, please rest.
@sammaisak7503
Жыл бұрын
I think you missed the part where Hamisa was with Diamond way before Zari 🤷♀️ just that their relationship was on the down low.. Diamond years back was known to date more than 1 woman at the same time
@J.G7088
Жыл бұрын
@@didam1884 I know what she said herself on air. How she had miscarriages while being hidden kama Bangi yet she still stayed with the guy. By the way Only fools use that kulia statements because they have been cornered and can’t think anymore, be better.
@J.G7088
Жыл бұрын
@@kammie8174 Actually you and everyone who thinks a woman who is hidden while a man shows another woman and keeps sleeping with the guy and miscarries but doesn’t demand more is the one who needs healing and divine intervention. By the way this were her words on air so yes I know enough. To make it worse you are hidden by every one you date and the only one who could atleast accept you for a few months is a man who parades himself with naked women in clubs. Ah naah. Be better then maybe you will be treated better.
Yeees kuadvite zinaa ni sawa kabisa
Hv huyu binti ameishia 4m 4 tuu mbn anaongea kingereza kizuri hv❤️
@edwinekatundu6844
Жыл бұрын
😀😀Kwan waliomaliza 4 hwajui kingereza,,
@remmyg252
Жыл бұрын
Aiseee huwez amini anaongea vizur sana nmependa
@Faith_joseph
Жыл бұрын
@@edwinekatundu6844 Wanaongea ila cha kuunga unga sana😂
@Faith_joseph
Жыл бұрын
@@remmyg252 Mtu kama humjui unawez dhani ana elimu kubwa kumbe kamaliz pale tandika😂
@mcback4384
Жыл бұрын
Mimi nikiwa form 4 naongea kama muingereza, mdogo wangu wa darasa la 5 Anaongea fluent English
Yee baba mobeto hoyee
Ayo magar yote uliokuwa unapewa,yako wp kwa Sasa,misa kwel una nyota,ngoja na mm nijitoe BBY wng nimnunulie hata IST
Huyu mwanamke ndie ninae mpenda baada ya Beyonce wa Marekani dah
@mayrose9772
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
Demu wa kawaidaa sanaaaaa! Ila wa bongo kwa ushambaa mmh
@diamondplatnumz9250
Жыл бұрын
Ts not about ushamba tunazungumzia confidence na self esteem aliyonayo atafika mbali sana
@barakaamani8657
Жыл бұрын
Kweli kabisa ndoooo,najiuliza diamond anaujua uchi wake na majuto pia anaujua uchi wake kwa hiyo anaona fahari kufanywa kwenye uchi wake na wanaume wawili tofauti(USHAURI WANGU WADADA WA KITANZANIA VIPO VITU VERY POSITIVE VYA KUJISIFIA Ila sio """"""KUTOMBWA hovyohovyohata kama unataka I kuwa cerebrity,,,,,,narudia ni aibuuuuu huyu MOBETO ni malaya sema anaufunika na umitindo wake hana kitu"""""anayoyafanya siyo MILA ZETU DADA ZANGU
@josephinenyangi9484
Жыл бұрын
Ana uzuri gani tako la kubumba
@christinemangaza6303
Жыл бұрын
Wallh
@minjesha
Жыл бұрын
@@josephinenyangi9484 hao unaowaona wazuri kina beyonce, Kardashians, jlo na wengine wengi wote wametengeneza shape mara mia zaidi kina zari wote hao lakini unawaona wazuri..japo hamisa hajatengeneza...ni kitu wivu tu hakuna kingine..au labda useme tu una sababu zako za kumchukia ila uzuri anao sana tu
Ila mm nakupenda mzuri sifa yko nakupa lkn Shepu kubwa mm nakumbuka kipindi kile ni hyo wema na ww ulikuwa nayo lkn ndogo ya kawaida tu
Umetulia sana my acha ucharuko tulia my
Kabla ya majiz na dai ahaaaa
Hahaaaa et nilikua na Shep kubwa😄😄😄misa bana .ulilitoa wap tako wewe dada mbona ulikua flat scrn
@zahratahmad7990
Жыл бұрын
Mwenzangu
@Blckurban
Жыл бұрын
The internet never forgets huyu mdada jamani she lies with a straight face daaaah hata hana aibu
Inner beauty en outer beauty one in million
Yaani Misa anajega gorofa kubwa lakini yuko kimya mpaka akamilishe
@irenechris5418
Жыл бұрын
Vzr penda maendeleo Kwa hamisa
Tunaokaa nje tunajua, operesheni huwekwi more than 3 days its very expensive, only one day second day usharuhusiwa hardy 3 days.
Uwongo 😂😂😂😂
Jamani make up zinafica mengi sana huyo bibi bila make up nicura
@masika.zubeda.430
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🏃🏾♀️🏃🏾♀️
Ukiwa independent baby daddy hatakubali kukusaidia. Lazima ujipendekeze tu 😀 sie wengine tunakula jeuri zetu 😀
@faiththawe4371
Жыл бұрын
Pugiii mitayaaaa
@faiththawe4371
Жыл бұрын
Mabox
@anniehamza225
Жыл бұрын
😂😂😂Ndo hvyo sijui wapoje na wanavyomuona anazid kupiga hatua hv hawapend
oyaa mchaga wajua hamissa ni boss wako uyo
@faiththawe4371
Жыл бұрын
Wizard
07:24 kama kangaroo au chura??
Na wale wengine ahaaa
❤❤❤❤😂😂
Mh mm hupenda kusema ukweli shepu kubwa ww hukuwa nayo ht hpo ulipokua unaigiza mtu mwenye shepu kubwa Alie kuwa anaonekan ni wema sepeto n.k
@elipendoseth4412
Жыл бұрын
Ahaaaahaaa acha bwana amisa shepu kubwa wapi mdada ila wewe ni mrembo tu unajiharibiaga tu kubebelea aume za watu tafuta wako u enjoy usiishi kwa kuumia umia bila 7babu
Heeeeyyyy dadaaa, WTF Kumbe ulikuwa unamshapeeee kubwaaa wakati unaanzaa modelling wenzako walikuwa wembambaa, Acha uongoooo 😂🤣🤣 Liaaaar Liaaaarrr, Na shape umeongeza umekuwaa mbayaaaaaa jamanii kama Nickminaj vileee umekuwaa wa ajabuuu 😁😁😁 Tako haliendani na Pajaaa Kabisaa... UNAPENDA MASHINDANO WEWE... You are cute on your way ila you're too much acting
@josephstephen1079
Жыл бұрын
Bora na wewe umwambie
Subutuuuu hio shape sio yako wadanganye vipofu wema peke yake na masongange ndio mizigo yao original
@shikoshania953
Жыл бұрын
Wema alijaliwa kiuno yule Dada💕hata kajala shepu yake natural
mtangazaji ukiwa unawaoji awa wasani waoji kwa kizungu sasa akisema lugha yake atapigwa usha ukiwa mwingi tabu yani mtu unakua kama kizungu ndo anaona ndo kila kitu alafu wasani wa tz wakishaonekana kwenye tz basi wananza kujifanya uzungu Aya sasa kama kweli unanunua gar alafu nyumba badae yani😂😂😂😂😂😂
Kwan lazim uongee kingerez
Hapo kwenye shepu kubwa hapooo😂😂😂 hebu tuoneshe picha za zamani basi bebi🤭
hata akinunua mwenyew si mlisemaga ela hana
Hamisa ulikua na mahips yako kweli ama hilo shepu limekuja kuja tu
Kumbe mnajuwa kama mnazini na kuzaa watoto wa zinaa🫢
Anatumia mafuta ya kupaka yanaongeza matako.
kzread.info/dash/bejne/aKidw49uhauafaw.html DAWA YA KUMUWEKA MPENZI KIGANJANI*#* kzread.info/dash/bejne/aKidw49uhauafaw.html
Nikweli kajinunulia hawezi kumrusha roho mondi , mondi yuko busy hatari😄😄😄😄😄😄😄
Range Rover bongo ni kama watu wamechelewa saana kuijua hizi gari mbona nchi jirani zimekua karibu 30 yrs ago 👏
@shwaibukhatibu2838
Жыл бұрын
I among of luxurious car in the world
Mmmmm Mmmmm Mmmmm
Huyu dada ni manipulator na anataka kushindana na baby mamas wenzie bila kuonyesha kuwa anataka kuwaumiza. Kuna haja gani aongelee jinsi ambavo wote alozaa nao walimnunulia magari? ni kutaka tu kuwaumiza Lulu na Zari pamoja na wanawake wengine waliozaa na Majizo na Mondi. Kinamama huwa wana vimbinu fulani vya kuwaumiza wenzie bila watu kugundua
@tausikoko8671
Жыл бұрын
Please stop, she was asked and she answered. She praised the fathers of her children cause she’s not bitter!
@Salma_malkia
Жыл бұрын
@@tausikoko8671 true babe
@vailethpaschal5846
Жыл бұрын
@@tausikoko8671 Thank you for this
@khamysamursally5932
Жыл бұрын
Kanye soda naanapenda toka zamani wanaomjua nimtu wa namnagani mungu atusamehe
Ngoja na mimi ni zae tako langu liwe kubwa kama lako
@allysalim8478
Жыл бұрын
Yaani nA mimi
Acha wongo kama weye Hamida iyo siyo chape Yako yangu zamani
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣