MSIZWA Avunja Ukimya "ESMA Alinilazimisha NIMUOE ili Atoe AIBU/Ikabidi Nimsaidie ajistiri na yeye"

Ойын-сауық

Exclusive interview na aliyekuwa mume wa dada wa Diamond Platnumz ESMA jamaa anaitwa Msizwa. Msizwa amefunguka mambo mengi ususani kuhusu ndoa yake na Esma
...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram rickmediatz...
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------
#Msizwa #EsmaPlatnumz

Пікірлер: 41

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 Жыл бұрын

    Jamani nimeogopaa wanaume uwiiiiii tuishi kwa akiba ya maneno kwa ajili ya kesho yetu

  • @najuf8021
    @najuf8021 Жыл бұрын

    Jitu Zima hovyo 😄🤣😂😆😄et wao wametoka kijinin

  • @syliviakente9460
    @syliviakente9460 Жыл бұрын

    Compatation.or competion

  • @jan6703

    @jan6703

    Жыл бұрын

    Mtu wa Dar bwana. Anaruhusa ya kutamka atakavyo

  • @shakilaburhan9552
    @shakilaburhan9552 Жыл бұрын

    Umekonda

  • @valeriaally6584
    @valeriaally6584 Жыл бұрын

    mmmhhhh bora alikuacha kwa kweli,mi mwanaume mropokaji simuwez,ulimtaka esma ili ujulikane maana mpaka sasa hatukukujui japo umezaliwa dar,maana bila esma nan alikujua kaka

  • @zaitunishabani9265
    @zaitunishabani9265 Жыл бұрын

    Sijapenda maneno ya huyu msizwa!! Mtu mzima unatakiwa uwe na busara ya kuongea

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 Жыл бұрын

    Juma na dida na wambea akina maimartha ni hili mliongeee

  • @tabuomary1016
    @tabuomary1016 Жыл бұрын

    Hovyoooo

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Жыл бұрын

    Recardo Vs Malaika Msizwa Vs Esma Manara Vs Rushayna Mwaka Vs Queen Harmonize Vs Kajala Wote wamepigana chini,,,,,,!!!!!!

  • @minanitheophile3583
    @minanitheophile3583 Жыл бұрын

    😉😉😉

  • @wilsonchishomi1083
    @wilsonchishomi1083 Жыл бұрын

    Competition au kompatisheni 😂

  • @zainabhussein5542
    @zainabhussein5542 Жыл бұрын

    Juma lokole na hili pia ukiseme sio kusema ya kina harmonise na mengine ukayafumbia uyatangaze pia haya yanayo Jiri uyatangaze kama kweli wewe ni mbea

  • @barakaramadhan8971
    @barakaramadhan8971 Жыл бұрын

    Ongea

  • @Marjeby
    @Marjeby Жыл бұрын

    Daah huyu jamaa kumbe naye fala sanaa aiseee!?hata kuongea vizuri hajui.Nyie ndio wenye mji...!?Mji gani huo Mbagala?!Ungekuwa mji wako ungeishia la Saba B?mnanyumba kila sehemu mama yako angekaa Kongowe kama Nyani?acha ushamba uliza watu wakwambie kina nani wenye mji huu.

  • @tatotato506

    @tatotato506

    Жыл бұрын

    Kwaiyo wanaokaakongoe nyani kah upo kamili kweli wewe au

  • @darajalakidatukilomgi2362

    @darajalakidatukilomgi2362

    Жыл бұрын

    Mtoto wa mjini Mbagala Moja, ndani ya kizuiani, 😊 😊 😊 😊😊😊 hapo kwa Mama kuishi Kongowe jamani ungeminya ehh nacheka huku nasikia aibu kucheka Mama

  • @valeriaally6584

    @valeriaally6584

    Жыл бұрын

    Daraja la Kidatu Kilomgi 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @peterrulagora7403
    @peterrulagora7403 Жыл бұрын

    Jinga sana

  • @margaretbirenge4081
    @margaretbirenge4081 Жыл бұрын

    Ivi uyu bado yupo 😂😂😂

  • @jan6703

    @jan6703

    Жыл бұрын

    Usijali yeye ni wa Daressalaam hapa hapa kwa hiyo anaruhusiwa kutamka vyovyote vile.🙄🙄😄😄😄😄

  • @deogratiussangawe5861
    @deogratiussangawe5861 Жыл бұрын

    huyu ni bwege ana jina gan sanaa,,,,c tuliotoka bush tunawakimbiza hawa ngedere

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 Жыл бұрын

    Juma upo?

  • @ashuramhando4933
    @ashuramhando4933 Жыл бұрын

    Sijaona mwanaume bwege kama huyu bado anampenda Esma usimkubali tena huyu fala

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @mariamalongo8803
    @mariamalongo8803 Жыл бұрын

    Huo Sasa hui ni uongo

  • @jeyshillyjack4470
    @jeyshillyjack4470 Жыл бұрын

    Mmmmmm,msizwa dar we MTU mzima jamani ebu Acha izo mbona unaongea vibaya Esma akakulazimisha ukamwaga hio pesa yote

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 Жыл бұрын

    Mwijaku sema na hili, sio unaongea ya Harmo mfwe.

  • @nasrakambimton9522
    @nasrakambimton95224 ай бұрын

    Kwani ajawai kuolewa mpaka afany ivyi muhongo mkubwa ww anashada ya ndoa acha uhong na unafiki ww

  • @finahnjovu7372
    @finahnjovu7372 Жыл бұрын

    Huyu kaka ni mpumbavu sana mbona hukusema haya mapema kwenda kule ach upuuz

  • @witnesswitty9199
    @witnesswitty9199 Жыл бұрын

    We nae kajambe huko,

  • @abuuzahirkiroti7862

    @abuuzahirkiroti7862

    Жыл бұрын

    Muongo mkubwa wewe mpuuuuuzi saaaaaaaaaaaaaana weww

  • @zena6203
    @zena6203 Жыл бұрын

    Kumaninazako utongozwe unamajabu gani sura imekakama zombi nyooooo

  • @sharmilaoman6389

    @sharmilaoman6389

    Жыл бұрын

    Msizwa mzuri bannaa kwani uongo nani sasa mwingine alie toka na esma kamzidi msizwa

  • @zena6203

    @zena6203

    Жыл бұрын

    @@sharmilaoman6389 uchebe 😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄

  • @singidaone5628
    @singidaone5628 Жыл бұрын

    Tunatongozwa Sana na Wanawake ila tunaficha tu

  • @sharmilaoman6389

    @sharmilaoman6389

    Жыл бұрын

    Uuh kwani shida iko wapi akati mkishaungana hakuna tofauti na mwanaume alie muaproch mwanamke

  • @hadijageorge2863
    @hadijageorge2863 Жыл бұрын

    Mmmmmmmmmmmmmh

  • @ngollomashalah8134

    @ngollomashalah8134

    Жыл бұрын

    Compatesheni😂

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 Жыл бұрын

    Juma upo?

Келесі