Huyu zuchu kwani hafundishwi how to behave Mwenyekiti sehemu Muhimu? Huwezi Tafuna hivyo Kwenye sehemu za maana. Love from Canada
@mimifineliving2022
Жыл бұрын
Hata Mimi Huwa linanikera sana sijui kwa Nini haambiwi Kuhusu kutafuna hivyo kama ng'ombe
@Naked-eye3D
Жыл бұрын
Mimi ananifurahisha kishenzi yan
@Elsah-ee4ec
Жыл бұрын
She lacks proper etiquette.. mimi pia I always wonder and hopefully someone will tell her about it .
@Naked-eye3D
Жыл бұрын
@@Elsah-ee4ec you can help me your WhatsApp number
@manuelgonzalezz2431
Жыл бұрын
Tafuna Jiwe kama hupend… maskin wa kubwa nyie… tafuta pesa kahaba waki Nyaturu ww
@margaretnyamwilahila292 Жыл бұрын
Jamani!! Kwa nini kutafunatafuna kwenye matukio ambayo ni ya muhimu????? Shame!!!!
@hellenngwilla550 Жыл бұрын
Duh jaman mtatudanganya mpaka lini hahahaa
@reekadodamian2533 Жыл бұрын
Unyama sana
@mozasalum9715 Жыл бұрын
Zuchu ujue wenye shingo fusion hawavai mihereni mirefu banaa unatuangusha
@greyson67 Жыл бұрын
🥰🥰🥰🥰
@edyboymtotomtulivuboy4207 Жыл бұрын
wasafiiii
@ibrahimfarha3853 Жыл бұрын
Mwijaku anaingiza unités AO vaucher
@yusuphchimwala4126
Жыл бұрын
learn
@hamzamwisho2364 Жыл бұрын
How many planes does wasafi airline have
@namhassafyakwanza6630 Жыл бұрын
Nice
@mtetezimbeki7539 Жыл бұрын
Uyo ndiye simba wcb ndiyo abari ya mjini
@halimash2546 Жыл бұрын
Mm nko busy na zuchu....kanapenda kutafuna..
@fatmaabdul2712
Жыл бұрын
Hana adabu huyu zuchu kila sehemu yeye nikutafuna kama chizi
@halimash2546
Жыл бұрын
@@fatmaabdul2712 leo kamgawa na shemeji watafune wote🤣🤣🤣
@lulually5209 Жыл бұрын
Hili bblevo kaa senge au dai analipakua mm silielewi
@badenbensoni7516 Жыл бұрын
Machawa hivi wakirudi home wanawaambia wake zao wanafanya kazi gani??
@cittaboy
Жыл бұрын
🤣
@lucynyawira6933 Жыл бұрын
Zuchu wacha kutafuna na nguvu 😂😂
@tonygee5680 Жыл бұрын
Nildhaani niko America niliposikia nyimbo hizi yaani ni ushenzi gani huuu
@fatmaabdallah7709 Жыл бұрын
Shughuli ya maana anawaleta comedian baba levo na mwijaku wanabishana na kushushuana jukwaani wanadharaulisha shughuli nzima na kuonekana kama ni ya uongo utapeli mtupu
@luciennedukuze2213 Жыл бұрын
Lakini mbone munamutenga H mama
@Mina.15
Жыл бұрын
Because bado hawa muamini yet 🤣
@lulually5209 Жыл бұрын
H.mama katupwa kudadadeki maushauzi mengi kiko wapi 😆😆😆 tupa kule mondi kamshtukia anakaa nae mbali
@Mina.15
Жыл бұрын
Nobody trust his A$$
@lulually5209 Жыл бұрын
Michawa imekutana inahaha
@yama_virginhairthequeen1065
Жыл бұрын
😂😂😂🤣
@lulually5209 Жыл бұрын
Mijitu mizima inaadhirika mbele ya mtt mondi ni sawa na mtt wao kina Salam hata mda hawana wameyaacha machizi yahangaike
@frankngoloka2589
Жыл бұрын
Njaa mbaya na hivi vitu vinapanda bei walazima wajikombe kwa mtt mdogo
Alishindwa kufunguwa ndege yake atafunguw ndege zakusafirisha watu aje wa bongo nyiye waongo kbs uyo ana pesa 😆
@asiashaban5809
Жыл бұрын
Helicopter ilienda wapi 😃😀😀ageweza samia na majaliwa sio msanii wa bongo flevar jmn acheni kudaganywa hilo ni dili tu apewa pesa
@rashidyally8715
Жыл бұрын
Shida la wabongo elimu zilo iko Kama mikuku Ile mibloila ukiidanganya kitu inakubali tu 😄😄😄 hiyo ni wasafi beti na watambue wasafi beti sio ya mondi Sasa hapo Kuna kipengele za ukibeti unashinda tiketi ya kwenda katari ndio hiyo wanayoifanyia plomo
@idarousyussuf7512
Жыл бұрын
@aggy george 2 ss hutaki watu waseme ukwel
@bahiyalumelezy3016
Жыл бұрын
Msitafune mabig kwenye matukio ya maana jamani.mmh
@rashidyally8715
Жыл бұрын
@aggy george 2 mbongo bola ulidanganye litakukubali kuliko uliambie ukweli halita kukubali kabisa na hii yote tatizo shule kichwani hakuna 😄😄😄 mbongo hata ukimuambia kesho nanunu dunia atakuambia hongera broo 😄😄😄
Пікірлер: 69
Looking cuteee Zuchuu👌🏾❤️🎉
Huyu zuchu kwani hafundishwi how to behave Mwenyekiti sehemu Muhimu? Huwezi Tafuna hivyo Kwenye sehemu za maana. Love from Canada
@mimifineliving2022
Жыл бұрын
Hata Mimi Huwa linanikera sana sijui kwa Nini haambiwi Kuhusu kutafuna hivyo kama ng'ombe
@Naked-eye3D
Жыл бұрын
Mimi ananifurahisha kishenzi yan
@Elsah-ee4ec
Жыл бұрын
She lacks proper etiquette.. mimi pia I always wonder and hopefully someone will tell her about it .
@Naked-eye3D
Жыл бұрын
@@Elsah-ee4ec you can help me your WhatsApp number
@manuelgonzalezz2431
Жыл бұрын
Tafuna Jiwe kama hupend… maskin wa kubwa nyie… tafuta pesa kahaba waki Nyaturu ww
Jamani!! Kwa nini kutafunatafuna kwenye matukio ambayo ni ya muhimu????? Shame!!!!
Duh jaman mtatudanganya mpaka lini hahahaa
Unyama sana
Zuchu ujue wenye shingo fusion hawavai mihereni mirefu banaa unatuangusha
🥰🥰🥰🥰
wasafiiii
Mwijaku anaingiza unités AO vaucher
@yusuphchimwala4126
Жыл бұрын
learn
How many planes does wasafi airline have
Nice
Uyo ndiye simba wcb ndiyo abari ya mjini
Mm nko busy na zuchu....kanapenda kutafuna..
@fatmaabdul2712
Жыл бұрын
Hana adabu huyu zuchu kila sehemu yeye nikutafuna kama chizi
@halimash2546
Жыл бұрын
@@fatmaabdul2712 leo kamgawa na shemeji watafune wote🤣🤣🤣
Hili bblevo kaa senge au dai analipakua mm silielewi
Machawa hivi wakirudi home wanawaambia wake zao wanafanya kazi gani??
@cittaboy
Жыл бұрын
🤣
Zuchu wacha kutafuna na nguvu 😂😂
Nildhaani niko America niliposikia nyimbo hizi yaani ni ushenzi gani huuu
Shughuli ya maana anawaleta comedian baba levo na mwijaku wanabishana na kushushuana jukwaani wanadharaulisha shughuli nzima na kuonekana kama ni ya uongo utapeli mtupu
Lakini mbone munamutenga H mama
@Mina.15
Жыл бұрын
Because bado hawa muamini yet 🤣
H.mama katupwa kudadadeki maushauzi mengi kiko wapi 😆😆😆 tupa kule mondi kamshtukia anakaa nae mbali
@Mina.15
Жыл бұрын
Nobody trust his A$$
Michawa imekutana inahaha
@yama_virginhairthequeen1065
Жыл бұрын
😂😂😂🤣
Mijitu mizima inaadhirika mbele ya mtt mondi ni sawa na mtt wao kina Salam hata mda hawana wameyaacha machizi yahangaike
@frankngoloka2589
Жыл бұрын
Njaa mbaya na hivi vitu vinapanda bei walazima wajikombe kwa mtt mdogo
@lulually5209
Жыл бұрын
@@frankngoloka2589 kabisa ni hatari na nusu
P
kujitekenya.. hahahaha-hahahahahahahahahaaaaaaaaaaaa
Alishindwa kufunguwa ndege yake atafunguw ndege zakusafirisha watu aje wa bongo nyiye waongo kbs uyo ana pesa 😆
@asiashaban5809
Жыл бұрын
Helicopter ilienda wapi 😃😀😀ageweza samia na majaliwa sio msanii wa bongo flevar jmn acheni kudaganywa hilo ni dili tu apewa pesa
@rashidyally8715
Жыл бұрын
Shida la wabongo elimu zilo iko Kama mikuku Ile mibloila ukiidanganya kitu inakubali tu 😄😄😄 hiyo ni wasafi beti na watambue wasafi beti sio ya mondi Sasa hapo Kuna kipengele za ukibeti unashinda tiketi ya kwenda katari ndio hiyo wanayoifanyia plomo
@idarousyussuf7512
Жыл бұрын
@aggy george 2 ss hutaki watu waseme ukwel
@bahiyalumelezy3016
Жыл бұрын
Msitafune mabig kwenye matukio ya maana jamani.mmh
@rashidyally8715
Жыл бұрын
@aggy george 2 mbongo bola ulidanganye litakukubali kuliko uliambie ukweli halita kukubali kabisa na hii yote tatizo shule kichwani hakuna 😄😄😄 mbongo hata ukimuambia kesho nanunu dunia atakuambia hongera broo 😄😄😄