ABIGAIL CHAMS - "MIMI SIO MDANGAJI, SINA MPENZI, NIMESHAJIFUNZA KUSONGA UGALI"
Ойын-сауық
ABIGAIL CHAMS - "MIMI SIO MDANGAJI, SINA MPENZI, NIMESHAJIFUNZA KUSONGA UGALI"
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #AbigailChams #Closer
Пікірлер: 195
Wasafi mrudisheni Alya katika utangazaji. Mnakosea sana kunuweka benchi
You present Tanzanians artists around the globe 🌎🌍 big up Abbigail
yaan amenifurahisha sana reaction yake alipoulizwa habari za cjui kikuku kuhusishwa na udangaji, this is a perfect and clear mindset ya kwamba yupo busy na kufanya mambo yake yanayomwingizia kipato kiasi kwamba hana muda wa kujua upumbavu wanaowaza watu mitaani.
@ahz6907
Жыл бұрын
Angekuwa gigi najua asingeulizwa maana ni mambo yake.....🤣
@Paplick9
10 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 kama vile havimshtui
lov u abby na ni kwl dada
Napenda kanvyoongea🥰🥰🥰🥰😘😘
this girl is 🔥🔥🔥🔥🔥
she is remarkable. I'm officially her first kenyan fan
@sheeba8334
Жыл бұрын
I have been looking for this song and the artist .. finally...I have never heard of her but am here for it..so mature eloquent...love her. And her vocals.. love love her
Nakakubali sanaa love u more mummy❤❤
Uko vizuri sana, ila tatizo ni moja tu kuvaa uchi na kushikwashikwa na wanaume hadharani dunia nzima inakuona. amua moja kubaki na yesu tu au kubaki na dunia.mama ABY unaonekana hutaki mwana adhalilike , vipi hayo mavazi ya ambayo hayamsitiri mwili wake?
19 ans petite fille 😍😍😍 vizuri zaidi umshukuru mzazi wako alokuweka shule mapema👍🤲🤲🤲
She is very impressive
sure i salute you ukipata mtu wa ku vibe nae just vibe tuuu 💕💕
UnaOngea harakaaaaa duhhh
@noeljudith7555
Жыл бұрын
yani humuelewi..aw😂😂
New Vanessa in Town 🤗🥰
@andromedagalaxy8627
Жыл бұрын
Hell nooooo ..... Vanessa was never this dumb.
@mercynnko3416
Жыл бұрын
She is nowhere near being Vanessa, hold your horses
@Azaleasky-dn3kb
10 ай бұрын
@@mercynnko3416 you bitter AF
Abby i love you so much don't listen to people do your life and follow your dreams always stay true to your self bcz watu wataongea lakn ukwel unaujua mwenyew
Daaaaaah kweny mia nasikia moja anaongea uyu duuuuh😀😀😀😀😀😀
Niliyategemea hayo 🥺 wokovu sio lele mama (yesu n mzito wa pendwa habebeki Ovyo ovyo
@giftgodson5603
Жыл бұрын
Hakika
@sheckycobb5240
Жыл бұрын
Acha dharau, Kama unaona Yuko dhaifu muombee sio kumsimanga
@sheckycobb5240
Жыл бұрын
Wewe Kama Nani? Watabiri wachawi Kama wewe, eti ulitegemea😳
@estermathias8354
Жыл бұрын
@@sheckycobb5240 mimi kama mm.ulitaka niwe vp.alafu mchaw mwenyewe
@estermathias8354
Жыл бұрын
@@sheckycobb5240 hata wewe unaweza kumuombea huna imani au.kuwa na hakili wewe mazingira yanachangia Sana kuleta vishawishi.umeokoka halafu inaenda baa utadanga tu 😒
She is very smart
Huyu dada ana ishi maisha tofauti na sisi wengi😂😂😂 hajui neno kudanga
She has a colonial mind. Being a community member of a certain people, language is identifying factor. But yes, you have to disown who you are for you to be a little bit fashionable or uniquely accepted in certain society. On the other side, watanzania ni watu flani wanaojudge watu sana, mwonekano wa mtu, maisha ya mtu, maamuzi ya mtu kwenye maisha etc. Watanzania tuna ushamba mwingi sana wa kutaka mtu aishi vile tunavyoona ni sahihi machoni petu. Kitu ambacho sio nzuri. Tuna tamaduni zetu hapa Afrika za kuvaa mikufu, ushanga na haina maana hiyo hasi ambayo hii jamii hasi imejiaminisha nyakati za sasa. Anyway all in all kama asemavyo babalevo, yote ni maisha na kila la kheri
@samiraabdimahamed4449
Жыл бұрын
Yaani mpaka mi ndio naona aibu yaani wanakataa tamaduni zao mpaka lugha zao . Kuna wakati waziri wa uvivu alikuja TZ yaani alikuwa akiongea kichana chake nyie wenywewe mlete mkalimani wa kiswahili , yaani hiyo inaonyesha vile lugha zao, majina yao vyakula vyao kwamba ni muhimu sana
@sirialemmy37
Жыл бұрын
@@samiraabdimahamed4449 Huwezi kukataa asili. Kusoma ni kustarabika na kutafuta namna ya kujiunga na jamii yako zaidi. Sisemi kingereza ni kibaya hapana ila kuwa mtanzania inajumuishwa na tamaduni zake, kanuni zake na mila pamoja na desturi zake. Ila utumwa na ukoloni umemwadhiri zaidi mtu mweusi kisakolojia katika kiwango cha yeye kujikataa zaidi. MalcomX alilalamikia chuki iliyoko kwenye Black Community wanaolimana marisasi na kukataa asili yao ya uweusi. Fratoz Fanon aliandika kitabu kinachoitwa Black Skin White Mask, hii kitabu kimemwonesha msichana mmoja aitwa Mayote Kapsia anayejidai kuwa yeye hatataka kumdate mtu mweusi, hatawahi mkumbatia wala kumbusu mtu mweusi lakini yeye msungumzaji ni MWEUSI KAMA MKAA! Ndio maana Walter Rodney aliandika pia, wimbo unaimbwa London, Paris na Newyork ila mtu aliyeko Legos, Kampala, Nairobi na Dar wako busy wakiicheza balaa! Fikria logic in it. Mungu aione tuu Afrika kwa jicho la huruma. Ndio maana Ngungi wa Thiong'o aliandika kitabu kiitwacho REMEMBERING AFRICA, na kingine DECOLONIZING THE MIND! Tuna ujinga mwingi sana!
@gracekenan4665
Жыл бұрын
@@samiraabdimahamed4449 sio kweli Hawa watoto wanaanza kujifunza kingereza watoto wadogo sana anakua ni kama lugha yake hawezi kuongea sentensi bila kuongea kingereza.mimi mwanangu anamiaka nane lakini kiswahili anaongea na kumix na kingereza Sababu ameanza mdogo sana so akifika umri huo nadhani atakuwa Ivo
@Silvia-su2vg
3 ай бұрын
True
I think media is putting too much pressure on her to an extent she's been exposed to things she actually never cared. Imagine sasa anklet/kikukuu it's a just a body make up or accessory lakini watu kila mara ooh uko na mahusiano ooh uko na mdangaji that's not profession guys yaani interview yoote umbea tu . why not supporting her na kuuliza kuhusu kazi zake watu wapate wapi kumsapoti and all kinder stuffs, gladly she's having a very strong foundation on what she believes, hope media spotlights won't confuse her in anyway. God protect her 🤍🫶🏾
No one should judge her, unless u are God, however, she's just a young girl who wants to experience the world she is a lost Christian but God still loves her. And we pray that she goes back to Jesus.
@johnmichaellukindo21
Жыл бұрын
You judged her already said she is a lost Christian!
@shau78
Жыл бұрын
@@johnmichaellukindo21 saying the status of someone's Christianity is not judging. it is like when you are driving. if you are not on the right lane that is quite clearly visible.
@unclepwechnov1381
Жыл бұрын
@@shau78 Whichever way you're trying to twist it, it's still judging.
@willygraphics360
Жыл бұрын
@@unclepwechnov1381 So tell us how you will say then!
@ndimubhanziteze5842
Жыл бұрын
Eimen
napenda sana mwana music msomi kama wwe😘😘
Kwaiyo ww ujawahi kudangaa Dada acha uongo mungu anakuona
Very impressive young girl
Kanajua kujieleza Sana🥰
Brava cute girl
Tunahitaji mwana music msomi kama wewe. Dada mzuri sana
@bekatv1009
Жыл бұрын
Kuongea kizungu haimaanishi ni msomi mamaa
@FatmaMwinyi-jt2rr
Жыл бұрын
@@bekatv1009Ongea na ww bila kusoma mbona kama imekukera Kingereza mchezo
@aminakipande5645
Жыл бұрын
@@FatmaMwinyi-jt2rr 😂😂😂😂😂fatima umeuwa unamauwa yako mbinguni mama kizungu mchezo 😂😂😂😂😂
You are my strong woman I love what you do
Kila kitu Kiko sawa Ila hiyo speed ya kuongea ni kutoka sayari ya Mars...
@salomeraymond2051
Жыл бұрын
😂😂😂
Kazuri kajanja sana
@rayanndizeyes3161
Жыл бұрын
Iyo ni watoto waleo wakisoma izo luga wanaujaja sana ,walimu wanawafuza mambo yote bila kuwafisha, iyo nikawaida nikurukaruka tu.utudu tuko naho ulaya wegi
Kama kuna wadada mchaga anawazimia hapa Tanzania huyu hapa number1
@husnamusa3178
Жыл бұрын
Sio mchaga n mbondei wa muheza huyu hnanaa
@nelsonproches3682
Жыл бұрын
@@husnamusa3178 mchaga huyo wew
hamna noma.
Dada kameza CD
@DABBIE
Жыл бұрын
😂😂😂
@claramboya2018
Жыл бұрын
Tena cd mbili
Very smart
Ongea taratibu kidogo.....!!!!
Wakenya wanasema watanzania 😂❤hatujui kingereza hiki ni nini
Katoto kanaongea kiswahili kwa tabu sana.
@ramayonline2281
Жыл бұрын
😂😂😂😂
MAMA USIWASIKILIZE TAFUTA PESA KWANI UKIWAAMBIA WAKUPE PESA HAWATAKUPA? JIBU NI HAPA.. PIA USIPANGIWE NAMNA YA KUISHI
Kikuku!?kichiken!?😂 Interview ya huyu mtoto kila wakati inaradha mpya.Nakupenda little sis
@remarkable_reene
Жыл бұрын
Ikr hahahaaaaaaa
@Kalssambabo-gv6uh
Жыл бұрын
😅😅
@Kalssambabo-gv6uh
Жыл бұрын
Mkuku
Sema umechangamkaa
You know kikuku😀😀😀😀
@biancashamra1761
Жыл бұрын
Chicken 😹😹😹😹😹😹
@reganshao
Жыл бұрын
@@biancashamra1761 yan nimecheka mno😀
Unamuacha Yesu .......pole sana
@clausemsemwa297
Жыл бұрын
We unaye????
Interview ya kimbea sana😢
😍😍🥰🥰🥰🥰🥰🥰😍😍
nakapenda ila kwa jinsi ulivyojichanganya mambo yako sikubali na maono yako
Ila Abbay alisema anataka kuwa pediatric cardiac surgeon what happened mpaka amebadilisha kusoma businesses and finance can she please tell us
Huyu mtt mstaarabu mana interview za kwetu hata maji huekewi utapaliwa mpaka ujambe hakuna maji wala juice juu ya meza
Anaongea speed sana but smart
Unaonea kama wafaransa . Mbiyo mbiyo kama mwenye kachelewa gari
kwakwer kanaongea point tu
Interesting people to be clear 😅
Abigail Wewe sio mwimbaji wa bongo Wewe Ni mwimbaji wa dini
Demu anaongea kwa kiingereza kwa jazbaaa hadi mtangazaji mchaga OG anatoka jasho anajifutaaa
Tunakupenda sana .tunapenda mziki wako . Tatizo katika kuongea uwe unaongea umetuliya apana kurapuwa 👈 ongea umetuliya kama mtoto wakike .usiwe kama HAMISSA MOBETO 😋😋😋
@karimchindema9823
Жыл бұрын
Hahaha shida Yako sasa
@hilynedist6891
Жыл бұрын
This is nature
@rayanndizeyes3161
Жыл бұрын
Mutamusame kiukweli siyo yeye nishuleni wanawafuza ivo
@poloinnocent9923
Жыл бұрын
Kwan kabila gan mbon anaongea harakaharak
@aminakipande5645
Жыл бұрын
@@poloinnocent9923 msukuma😂😂😂😂
Closer video is coming soon x harmonize
Jamani kiswahili sihiko unaongea wasanii mma mbwembwe duuh
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️✌️
Wewe mishgaa
hata kama
MUNGU anajitegemea na hajachanganywa na stuffs nyingine zozote. Kama ukiamua kuwa moto kuwa moto kweli kweli na kama unakuwa baridi uwe baridi kweli kweli. 😂😂😂😂
Jmn yani kwenye mia nime elewa moja 2 , khaa ongea kama mtoto wakike Aby
Uyu ni mkenya au tz?..
nauliza kipindi kilikuwa chakiswahili ao kingereza naomba kutafsiriwa
Nakipenda hiki
@mmn7480
Жыл бұрын
😁😁😁sijependa
😂😂😂😂😂 Kina itwajae kwa kingereza 😂😂😂 Kikukuuuuuuu 😂💦😂💦
@albinemilly5382
Жыл бұрын
an iglet
Unasema huna mpenzi unavyoshikwa kwenye video huko upati nyege
Huyu ni muongo anajua kikuku vzr na mdangaji. Lazima amekutana na hayo maneno mtandaoni.
@millymilly7244
Жыл бұрын
😂😂
@isunga1964
Жыл бұрын
Kikuku ni urembo tu mpendwa nilikuwa naogopa kuvaa lakini sasa hivi navipenda sana
@FatmaMwinyi-jt2rr
Жыл бұрын
unamjua kumbe hatar yaan kuna watu bwana
Hii nayo kenge tu kama kina Paula UTOFAUTI ni elimu...hii imesoma Paula kichwa maji( mbumbumbu)
@yvesmasirika3839
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@africrowd4559
Жыл бұрын
😅😅😅
@godfreysudi7264
Жыл бұрын
Duuuuh tu heshimu watu jmn
@shaibunankuva298
Жыл бұрын
Hiii jmn ety mbumbumbu😂😂😂😂
Sidhani kama ni sawa kupost vile na unaongoza worshiping unapokuwa na kanisani. Wakristo tusifanye ukristo kuwa mwepesi sana. Ina maana utembee uchi halafu useme mi sina boy friend?
@remarkable_reene
Жыл бұрын
jamani sasa kutembea uchi kuna husiana nn na kuwa na boyfriend?? Mtu akiamua kukaa uchi hata awe na boyfriend au la atakaa tu uchi muwege mnajitahidi kufikiri kabla ya kutoa hoja hahahahaaaaaa
@willygraphics360
Жыл бұрын
In other side I can support you, Iam not perfect either so I can not judge anyone. Lakini kuwa mkristo halisi inahitaji kujitoa asilimia 100%. Wakristo wengi now tunakuwa vuguvugu (warm) not hot or cold. Hili kweli sio jambo zuri, ila ndo hivyo Kila mtu na maamuzi yake, Ndo maana hata Abby ukimsikia anasema "Mbinguni nitaenda Peke yangu" kwa hiyo Kila mtu anajua anachokifanya.
Huyu naye atupishe
Anatuchoshaaa na kizunguuu
Married to work
Tatizo ngeli nyingi
bwana kingeleza kingi sana yani sijaelewa k2 utazan umetusomesha wewe kwan wewe sio mtanzania
@fatmaabdul2712
Жыл бұрын
, 👍😂😂😂😂👆umeonaee
@ramboiddrambo3056
Жыл бұрын
anazingua
@lelaiddy6856
Жыл бұрын
Hahaaaaa nimechekaaa saana..unavituko
@ramboiddrambo3056
Жыл бұрын
@@lelaiddy6856 amezingua
@hildamkini2493
Жыл бұрын
🤣🤣🤣
Ndio anakuwa 19 yrs akionja boloconsss atao na utam atakuwa kama Gigy
Mkuku😃😀😃😀what is mkuku???
@cyrilchamungwana6718
Жыл бұрын
Hahahaha
😂😂
Tutafute hela tuu.
Kwani hajui kiswahili,nahisi kuumizwa maskio hivo anavoongea
@cyrilchamungwana6718
Жыл бұрын
Hahahaha hahahaha
Kama bintiye Christina shusho 😊
@RechoMsuya-fq1yp
Жыл бұрын
Umeona eee wamefanana
@wairimu9113
Жыл бұрын
@@RechoMsuya-fq1yp sana
Akikuwa ataacha!!! Atamrudia mungu.. bado teenager…
Yani mtangazaji adi akumbuki maswali mengne kwa kuchanganywa na hii cheleani ya English
Mwanamke anastahili heshima kzread.info/dash/bejne/m42ey8yfhpC_gto.html
Kininda iki anaongea kma mashine
@zenadaudzena2849
Жыл бұрын
Hamezi mate
Unaongea kama mzaramo😂😂😂au ume share ndugu uzaramoni lakini unaongea umechangamka mpaka raha
Mbona wa masai wanavaa vikuku na hawaitwi wadangaji ndo kwanza mnawataka wavae kama sehemu ya kupresent tamaduni also wahindi wanavaa vikuku pia people are ignorant.
@AnnKillian-nt3wj
Жыл бұрын
Hajui hata maana ya udangaji
😂😂😂😂
😅😅😅😅😅😆😇🥰
Hv huyu ni mtanzania au
Kwani dini ya kikristo inaruhusu mtu kuvaa nusu uchi na kushare na watu picha kama hizo?….naomba kufahamu hili tafadhali
Unaongea sna mbk una boa akiii duuu
Anaongea duh
Unaongea haraka
Huyu anatoa Paula nje mara ishirini
@ellenkamanzi3505
Жыл бұрын
Sana dogo ana vibe sana
Mezaga mate na wewe utakuja kupaliwa !
@tausiphiona3711
Жыл бұрын
😂😂😂
ni mzur lkn mavaz yko na unavyojiweka inavunja ile utu wako unakaa uchi mm sion km umejistir yani unaonekana muhun kweli mungu hakupi vyote waswahili wamesema hvo
Kenge maji wewe
Mtangazaj kaishiwa had pozi..dada anaongea kama upepo
Anaongea englesh mtangazaji anashindwa kuhoji make aelewi