ABIGAIL CHAMS - "MIMI SIO MDANGAJI, SINA MPENZI, NIMESHAJIFUNZA KUSONGA UGALI"

Ойын-сауық

ABIGAIL CHAMS - "MIMI SIO MDANGAJI, SINA MPENZI, NIMESHAJIFUNZA KUSONGA UGALI"
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #AbigailChams #Closer

Пікірлер: 195

  • @antarsangali4456
    @antarsangali44569 ай бұрын

    Wasafi mrudisheni Alya katika utangazaji. Mnakosea sana kunuweka benchi

  • @silasmarandu1485
    @silasmarandu14854 ай бұрын

    You present Tanzanians artists around the globe 🌎🌍 big up Abbigail

  • @remarkable_reene
    @remarkable_reene Жыл бұрын

    yaan amenifurahisha sana reaction yake alipoulizwa habari za cjui kikuku kuhusishwa na udangaji, this is a perfect and clear mindset ya kwamba yupo busy na kufanya mambo yake yanayomwingizia kipato kiasi kwamba hana muda wa kujua upumbavu wanaowaza watu mitaani.

  • @ahz6907

    @ahz6907

    Жыл бұрын

    Angekuwa gigi najua asingeulizwa maana ni mambo yake.....🤣

  • @Paplick9

    @Paplick9

    10 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂 kama vile havimshtui

  • @FatmaMikidadi-uw6pq
    @FatmaMikidadi-uw6pq Жыл бұрын

    lov u abby na ni kwl dada

  • @msatibongonyuzi14
    @msatibongonyuzi146 ай бұрын

    Napenda kanvyoongea🥰🥰🥰🥰😘😘

  • @blandinamyinga9489
    @blandinamyinga9489 Жыл бұрын

    this girl is 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @kevinmugambi9914
    @kevinmugambi9914 Жыл бұрын

    she is remarkable. I'm officially her first kenyan fan

  • @sheeba8334

    @sheeba8334

    Жыл бұрын

    I have been looking for this song and the artist .. finally...I have never heard of her but am here for it..so mature eloquent...love her. And her vocals.. love love her

  • @user-fn6sw3ey5r
    @user-fn6sw3ey5r Жыл бұрын

    Nakakubali sanaa love u more mummy❤❤

  • @user-kn5ep9ek6c
    @user-kn5ep9ek6c11 ай бұрын

    Uko vizuri sana, ila tatizo ni moja tu kuvaa uchi na kushikwashikwa na wanaume hadharani dunia nzima inakuona. amua moja kubaki na yesu tu au kubaki na dunia.mama ABY unaonekana hutaki mwana adhalilike , vipi hayo mavazi ya ambayo hayamsitiri mwili wake?

  • @ndayisabaemile2219
    @ndayisabaemile2219 Жыл бұрын

    19 ans petite fille 😍😍😍 vizuri zaidi umshukuru mzazi wako alokuweka shule mapema👍🤲🤲🤲

  • @josephswai921
    @josephswai921 Жыл бұрын

    She is very impressive

  • @harymo-by8gh
    @harymo-by8gh Жыл бұрын

    sure i salute you ukipata mtu wa ku vibe nae just vibe tuuu 💕💕

  • @adinasii
    @adinasii Жыл бұрын

    UnaOngea harakaaaaa duhhh

  • @noeljudith7555

    @noeljudith7555

    Жыл бұрын

    yani humuelewi..aw😂😂

  • @beautifulafrika
    @beautifulafrika Жыл бұрын

    New Vanessa in Town 🤗🥰

  • @andromedagalaxy8627

    @andromedagalaxy8627

    Жыл бұрын

    Hell nooooo ..... Vanessa was never this dumb.

  • @mercynnko3416

    @mercynnko3416

    Жыл бұрын

    She is nowhere near being Vanessa, hold your horses

  • @Azaleasky-dn3kb

    @Azaleasky-dn3kb

    10 ай бұрын

    @@mercynnko3416 you bitter AF

  • @ngwacahnyagwaswa9979
    @ngwacahnyagwaswa9979 Жыл бұрын

    Abby i love you so much don't listen to people do your life and follow your dreams always stay true to your self bcz watu wataongea lakn ukwel unaujua mwenyew

  • @nassoropigauwa2503
    @nassoropigauwa2503 Жыл бұрын

    Daaaaaah kweny mia nasikia moja anaongea uyu duuuuh😀😀😀😀😀😀

  • @estermathias8354
    @estermathias8354 Жыл бұрын

    Niliyategemea hayo 🥺 wokovu sio lele mama (yesu n mzito wa pendwa habebeki Ovyo ovyo

  • @giftgodson5603

    @giftgodson5603

    Жыл бұрын

    Hakika

  • @sheckycobb5240

    @sheckycobb5240

    Жыл бұрын

    Acha dharau, Kama unaona Yuko dhaifu muombee sio kumsimanga

  • @sheckycobb5240

    @sheckycobb5240

    Жыл бұрын

    Wewe Kama Nani? Watabiri wachawi Kama wewe, eti ulitegemea😳

  • @estermathias8354

    @estermathias8354

    Жыл бұрын

    @@sheckycobb5240 mimi kama mm.ulitaka niwe vp.alafu mchaw mwenyewe

  • @estermathias8354

    @estermathias8354

    Жыл бұрын

    @@sheckycobb5240 hata wewe unaweza kumuombea huna imani au.kuwa na hakili wewe mazingira yanachangia Sana kuleta vishawishi.umeokoka halafu inaenda baa utadanga tu 😒

  • @veronicamgeni9414
    @veronicamgeni94149 ай бұрын

    She is very smart

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Жыл бұрын

    Huyu dada ana ishi maisha tofauti na sisi wengi😂😂😂 hajui neno kudanga

  • @sirialemmy37
    @sirialemmy37 Жыл бұрын

    She has a colonial mind. Being a community member of a certain people, language is identifying factor. But yes, you have to disown who you are for you to be a little bit fashionable or uniquely accepted in certain society. On the other side, watanzania ni watu flani wanaojudge watu sana, mwonekano wa mtu, maisha ya mtu, maamuzi ya mtu kwenye maisha etc. Watanzania tuna ushamba mwingi sana wa kutaka mtu aishi vile tunavyoona ni sahihi machoni petu. Kitu ambacho sio nzuri. Tuna tamaduni zetu hapa Afrika za kuvaa mikufu, ushanga na haina maana hiyo hasi ambayo hii jamii hasi imejiaminisha nyakati za sasa. Anyway all in all kama asemavyo babalevo, yote ni maisha na kila la kheri

  • @samiraabdimahamed4449

    @samiraabdimahamed4449

    Жыл бұрын

    Yaani mpaka mi ndio naona aibu yaani wanakataa tamaduni zao mpaka lugha zao . Kuna wakati waziri wa uvivu alikuja TZ yaani alikuwa akiongea kichana chake nyie wenywewe mlete mkalimani wa kiswahili , yaani hiyo inaonyesha vile lugha zao, majina yao vyakula vyao kwamba ni muhimu sana

  • @sirialemmy37

    @sirialemmy37

    Жыл бұрын

    @@samiraabdimahamed4449 Huwezi kukataa asili. Kusoma ni kustarabika na kutafuta namna ya kujiunga na jamii yako zaidi. Sisemi kingereza ni kibaya hapana ila kuwa mtanzania inajumuishwa na tamaduni zake, kanuni zake na mila pamoja na desturi zake. Ila utumwa na ukoloni umemwadhiri zaidi mtu mweusi kisakolojia katika kiwango cha yeye kujikataa zaidi. MalcomX alilalamikia chuki iliyoko kwenye Black Community wanaolimana marisasi na kukataa asili yao ya uweusi. Fratoz Fanon aliandika kitabu kinachoitwa Black Skin White Mask, hii kitabu kimemwonesha msichana mmoja aitwa Mayote Kapsia anayejidai kuwa yeye hatataka kumdate mtu mweusi, hatawahi mkumbatia wala kumbusu mtu mweusi lakini yeye msungumzaji ni MWEUSI KAMA MKAA! Ndio maana Walter Rodney aliandika pia, wimbo unaimbwa London, Paris na Newyork ila mtu aliyeko Legos, Kampala, Nairobi na Dar wako busy wakiicheza balaa! Fikria logic in it. Mungu aione tuu Afrika kwa jicho la huruma. Ndio maana Ngungi wa Thiong'o aliandika kitabu kiitwacho REMEMBERING AFRICA, na kingine DECOLONIZING THE MIND! Tuna ujinga mwingi sana!

  • @gracekenan4665

    @gracekenan4665

    Жыл бұрын

    @@samiraabdimahamed4449 sio kweli Hawa watoto wanaanza kujifunza kingereza watoto wadogo sana anakua ni kama lugha yake hawezi kuongea sentensi bila kuongea kingereza.mimi mwanangu anamiaka nane lakini kiswahili anaongea na kumix na kingereza Sababu ameanza mdogo sana so akifika umri huo nadhani atakuwa Ivo

  • @Silvia-su2vg

    @Silvia-su2vg

    3 ай бұрын

    True

  • @jlove5238
    @jlove5238 Жыл бұрын

    I think media is putting too much pressure on her to an extent she's been exposed to things she actually never cared. Imagine sasa anklet/kikukuu it's a just a body make up or accessory lakini watu kila mara ooh uko na mahusiano ooh uko na mdangaji that's not profession guys yaani interview yoote umbea tu . why not supporting her na kuuliza kuhusu kazi zake watu wapate wapi kumsapoti and all kinder stuffs, gladly she's having a very strong foundation on what she believes, hope media spotlights won't confuse her in anyway. God protect her 🤍🫶🏾

  • @thierrybisimwa3312
    @thierrybisimwa3312 Жыл бұрын

    No one should judge her, unless u are God, however, she's just a young girl who wants to experience the world she is a lost Christian but God still loves her. And we pray that she goes back to Jesus.

  • @johnmichaellukindo21

    @johnmichaellukindo21

    Жыл бұрын

    You judged her already said she is a lost Christian!

  • @shau78

    @shau78

    Жыл бұрын

    @@johnmichaellukindo21 saying the status of someone's Christianity is not judging. it is like when you are driving. if you are not on the right lane that is quite clearly visible.

  • @unclepwechnov1381

    @unclepwechnov1381

    Жыл бұрын

    @@shau78 Whichever way you're trying to twist it, it's still judging.

  • @willygraphics360

    @willygraphics360

    Жыл бұрын

    @@unclepwechnov1381 So tell us how you will say then!

  • @ndimubhanziteze5842

    @ndimubhanziteze5842

    Жыл бұрын

    Eimen

  • @RukaiyaShaban-zk8pg
    @RukaiyaShaban-zk8pg10 ай бұрын

    napenda sana mwana music msomi kama wwe😘😘

  • @NaphyMacmillan-jh3vc
    @NaphyMacmillan-jh3vc Жыл бұрын

    Kwaiyo ww ujawahi kudangaa Dada acha uongo mungu anakuona

  • @rebeccalyimo4707
    @rebeccalyimo4707 Жыл бұрын

    Very impressive young girl

  • @taitadollnicky273
    @taitadollnicky273 Жыл бұрын

    Kanajua kujieleza Sana🥰

  • @angelalyimo2862
    @angelalyimo2862 Жыл бұрын

    Brava cute girl

  • @ndayisabaemile2219
    @ndayisabaemile2219 Жыл бұрын

    Tunahitaji mwana music msomi kama wewe. Dada mzuri sana

  • @bekatv1009

    @bekatv1009

    Жыл бұрын

    Kuongea kizungu haimaanishi ni msomi mamaa

  • @FatmaMwinyi-jt2rr

    @FatmaMwinyi-jt2rr

    Жыл бұрын

    ​@@bekatv1009Ongea na ww bila kusoma mbona kama imekukera Kingereza mchezo

  • @aminakipande5645

    @aminakipande5645

    Жыл бұрын

    @@FatmaMwinyi-jt2rr 😂😂😂😂😂fatima umeuwa unamauwa yako mbinguni mama kizungu mchezo 😂😂😂😂😂

  • @princekagame8203
    @princekagame8203 Жыл бұрын

    You are my strong woman I love what you do

  • @vincentmushi1247
    @vincentmushi1247 Жыл бұрын

    Kila kitu Kiko sawa Ila hiyo speed ya kuongea ni kutoka sayari ya Mars...

  • @salomeraymond2051

    @salomeraymond2051

    Жыл бұрын

    😂😂😂

  • @yousramutwale2463
    @yousramutwale2463 Жыл бұрын

    Kazuri kajanja sana

  • @rayanndizeyes3161

    @rayanndizeyes3161

    Жыл бұрын

    Iyo ni watoto waleo wakisoma izo luga wanaujaja sana ,walimu wanawafuza mambo yote bila kuwafisha, iyo nikawaida nikurukaruka tu.utudu tuko naho ulaya wegi

  • @abdulazizsharif2984
    @abdulazizsharif2984 Жыл бұрын

    Kama kuna wadada mchaga anawazimia hapa Tanzania huyu hapa number1

  • @husnamusa3178

    @husnamusa3178

    Жыл бұрын

    Sio mchaga n mbondei wa muheza huyu hnanaa

  • @nelsonproches3682

    @nelsonproches3682

    Жыл бұрын

    @@husnamusa3178 mchaga huyo wew

  • @starmakervideos1984
    @starmakervideos1984 Жыл бұрын

    hamna noma.

  • @johngerald4677
    @johngerald4677 Жыл бұрын

    Dada kameza CD

  • @DABBIE

    @DABBIE

    Жыл бұрын

    😂😂😂

  • @claramboya2018

    @claramboya2018

    Жыл бұрын

    Tena cd mbili

  • @thepurpleonlinetv8630
    @thepurpleonlinetv8630 Жыл бұрын

    Very smart

  • @neemazee1864
    @neemazee1864 Жыл бұрын

    Ongea taratibu kidogo.....!!!!

  • @rehemambedule7531
    @rehemambedule75317 ай бұрын

    Wakenya wanasema watanzania 😂❤hatujui kingereza hiki ni nini

  • @nameless533
    @nameless533 Жыл бұрын

    Katoto kanaongea kiswahili kwa tabu sana.

  • @ramayonline2281

    @ramayonline2281

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @kakorejrboyz6447
    @kakorejrboyz6447 Жыл бұрын

    MAMA USIWASIKILIZE TAFUTA PESA KWANI UKIWAAMBIA WAKUPE PESA HAWATAKUPA? JIBU NI HAPA.. PIA USIPANGIWE NAMNA YA KUISHI

  • @juliethfrancis7799
    @juliethfrancis7799 Жыл бұрын

    Kikuku!?kichiken!?😂 Interview ya huyu mtoto kila wakati inaradha mpya.Nakupenda little sis

  • @remarkable_reene

    @remarkable_reene

    Жыл бұрын

    Ikr hahahaaaaaaa

  • @Kalssambabo-gv6uh

    @Kalssambabo-gv6uh

    Жыл бұрын

    😅😅

  • @Kalssambabo-gv6uh

    @Kalssambabo-gv6uh

    Жыл бұрын

    Mkuku

  • @adinasii
    @adinasii Жыл бұрын

    Sema umechangamkaa

  • @reganshao
    @reganshao Жыл бұрын

    You know kikuku😀😀😀😀

  • @biancashamra1761

    @biancashamra1761

    Жыл бұрын

    Chicken 😹😹😹😹😹😹

  • @reganshao

    @reganshao

    Жыл бұрын

    @@biancashamra1761 yan nimecheka mno😀

  • @ellyitete938
    @ellyitete938 Жыл бұрын

    Unamuacha Yesu .......pole sana

  • @clausemsemwa297

    @clausemsemwa297

    Жыл бұрын

    We unaye????

  • @praxedamzena3712
    @praxedamzena37124 ай бұрын

    Interview ya kimbea sana😢

  • @enjobw5682
    @enjobw5682 Жыл бұрын

    😍😍🥰🥰🥰🥰🥰🥰😍😍

  • @elizaeliza4369
    @elizaeliza4369 Жыл бұрын

    nakapenda ila kwa jinsi ulivyojichanganya mambo yako sikubali na maono yako

  • @rithamabdulrahman2648
    @rithamabdulrahman264810 ай бұрын

    Ila Abbay alisema anataka kuwa pediatric cardiac surgeon what happened mpaka amebadilisha kusoma businesses and finance can she please tell us

  • @nailaomar4810
    @nailaomar4810 Жыл бұрын

    Huyu mtt mstaarabu mana interview za kwetu hata maji huekewi utapaliwa mpaka ujambe hakuna maji wala juice juu ya meza

  • @sassboy9360
    @sassboy9360 Жыл бұрын

    Anaongea speed sana but smart

  • @ndayisabaemile2219
    @ndayisabaemile2219 Жыл бұрын

    Unaonea kama wafaransa . Mbiyo mbiyo kama mwenye kachelewa gari

  • @zuberiabdalah5056
    @zuberiabdalah5056 Жыл бұрын

    kwakwer kanaongea point tu

  • @Cariz90
    @Cariz9010 ай бұрын

    Interesting people to be clear 😅

  • @lisaulimali-be9dd
    @lisaulimali-be9dd Жыл бұрын

    Abigail Wewe sio mwimbaji wa bongo Wewe Ni mwimbaji wa dini

  • @fredrickmatiku7783
    @fredrickmatiku7783 Жыл бұрын

    Demu anaongea kwa kiingereza kwa jazbaaa hadi mtangazaji mchaga OG anatoka jasho anajifutaaa

  • @ndayisabaemile2219
    @ndayisabaemile2219 Жыл бұрын

    Tunakupenda sana .tunapenda mziki wako . Tatizo katika kuongea uwe unaongea umetuliya apana kurapuwa 👈 ongea umetuliya kama mtoto wakike .usiwe kama HAMISSA MOBETO 😋😋😋

  • @karimchindema9823

    @karimchindema9823

    Жыл бұрын

    Hahaha shida Yako sasa

  • @hilynedist6891

    @hilynedist6891

    Жыл бұрын

    This is nature

  • @rayanndizeyes3161

    @rayanndizeyes3161

    Жыл бұрын

    Mutamusame kiukweli siyo yeye nishuleni wanawafuza ivo

  • @poloinnocent9923

    @poloinnocent9923

    Жыл бұрын

    Kwan kabila gan mbon anaongea harakaharak

  • @aminakipande5645

    @aminakipande5645

    Жыл бұрын

    @@poloinnocent9923 msukuma😂😂😂😂

  • @bestonmambo2623
    @bestonmambo2623 Жыл бұрын

    Closer video is coming soon x harmonize

  • @EmanuelNicholaus-ru6bt
    @EmanuelNicholaus-ru6bt3 ай бұрын

    Jamani kiswahili sihiko unaongea wasanii mma mbwembwe duuh

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Жыл бұрын

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️✌️

  • @hanifaa1487
    @hanifaa1487 Жыл бұрын

    Wewe mishgaa

  • @kulway4669
    @kulway4669 Жыл бұрын

    hata kama

  • @athanasjoseph9529
    @athanasjoseph9529 Жыл бұрын

    MUNGU anajitegemea na hajachanganywa na stuffs nyingine zozote. Kama ukiamua kuwa moto kuwa moto kweli kweli na kama unakuwa baridi uwe baridi kweli kweli. 😂😂😂😂

  • @naomiqueenelizabeth5069
    @naomiqueenelizabeth5069 Жыл бұрын

    Jmn yani kwenye mia nime elewa moja 2 , khaa ongea kama mtoto wakike Aby

  • @markwafula2282
    @markwafula228211 ай бұрын

    Uyu ni mkenya au tz?..

  • @patrickndayishimiye9451
    @patrickndayishimiye9451 Жыл бұрын

    nauliza kipindi kilikuwa chakiswahili ao kingereza naomba kutafsiriwa

  • @josephchiluka9357
    @josephchiluka9357 Жыл бұрын

    Nakipenda hiki

  • @mmn7480

    @mmn7480

    Жыл бұрын

    😁😁😁sijependa

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂 Kina itwajae kwa kingereza 😂😂😂 Kikukuuuuuuu 😂💦😂💦

  • @albinemilly5382

    @albinemilly5382

    Жыл бұрын

    an iglet

  • @wing9762
    @wing9762 Жыл бұрын

    Unasema huna mpenzi unavyoshikwa kwenye video huko upati nyege

  • @hellendaniel3809
    @hellendaniel3809 Жыл бұрын

    Huyu ni muongo anajua kikuku vzr na mdangaji. Lazima amekutana na hayo maneno mtandaoni.

  • @millymilly7244

    @millymilly7244

    Жыл бұрын

    😂😂

  • @isunga1964

    @isunga1964

    Жыл бұрын

    Kikuku ni urembo tu mpendwa nilikuwa naogopa kuvaa lakini sasa hivi navipenda sana

  • @FatmaMwinyi-jt2rr

    @FatmaMwinyi-jt2rr

    Жыл бұрын

    unamjua kumbe hatar yaan kuna watu bwana

  • @abinelikagezi9217
    @abinelikagezi9217 Жыл бұрын

    Hii nayo kenge tu kama kina Paula UTOFAUTI ni elimu...hii imesoma Paula kichwa maji( mbumbumbu)

  • @yvesmasirika3839

    @yvesmasirika3839

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @africrowd4559

    @africrowd4559

    Жыл бұрын

    😅😅😅

  • @godfreysudi7264

    @godfreysudi7264

    Жыл бұрын

    Duuuuh tu heshimu watu jmn

  • @shaibunankuva298

    @shaibunankuva298

    Жыл бұрын

    Hiii jmn ety mbumbumbu😂😂😂😂

  • @sarahgaula2220
    @sarahgaula2220 Жыл бұрын

    Sidhani kama ni sawa kupost vile na unaongoza worshiping unapokuwa na kanisani. Wakristo tusifanye ukristo kuwa mwepesi sana. Ina maana utembee uchi halafu useme mi sina boy friend?

  • @remarkable_reene

    @remarkable_reene

    Жыл бұрын

    jamani sasa kutembea uchi kuna husiana nn na kuwa na boyfriend?? Mtu akiamua kukaa uchi hata awe na boyfriend au la atakaa tu uchi muwege mnajitahidi kufikiri kabla ya kutoa hoja hahahahaaaaaa

  • @willygraphics360

    @willygraphics360

    Жыл бұрын

    In other side I can support you, Iam not perfect either so I can not judge anyone. Lakini kuwa mkristo halisi inahitaji kujitoa asilimia 100%. Wakristo wengi now tunakuwa vuguvugu (warm) not hot or cold. Hili kweli sio jambo zuri, ila ndo hivyo Kila mtu na maamuzi yake, Ndo maana hata Abby ukimsikia anasema "Mbinguni nitaenda Peke yangu" kwa hiyo Kila mtu anajua anachokifanya.

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Жыл бұрын

    Huyu naye atupishe

  • @fredrickmatiku7783
    @fredrickmatiku7783 Жыл бұрын

    Anatuchoshaaa na kizunguuu

  • @Jameskaguo
    @Jameskaguo Жыл бұрын

    Married to work

  • @johngerald4677
    @johngerald4677 Жыл бұрын

    Tatizo ngeli nyingi

  • @ramboiddrambo3056
    @ramboiddrambo3056 Жыл бұрын

    bwana kingeleza kingi sana yani sijaelewa k2 utazan umetusomesha wewe kwan wewe sio mtanzania

  • @fatmaabdul2712

    @fatmaabdul2712

    Жыл бұрын

    , 👍😂😂😂😂👆umeonaee

  • @ramboiddrambo3056

    @ramboiddrambo3056

    Жыл бұрын

    anazingua

  • @lelaiddy6856

    @lelaiddy6856

    Жыл бұрын

    Hahaaaaa nimechekaaa saana..unavituko

  • @ramboiddrambo3056

    @ramboiddrambo3056

    Жыл бұрын

    @@lelaiddy6856 amezingua

  • @hildamkini2493

    @hildamkini2493

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣

  • @fredrickmatiku7783
    @fredrickmatiku7783 Жыл бұрын

    Ndio anakuwa 19 yrs akionja boloconsss atao na utam atakuwa kama Gigy

  • @pendokileo7882
    @pendokileo7882 Жыл бұрын

    Mkuku😃😀😃😀what is mkuku???

  • @cyrilchamungwana6718

    @cyrilchamungwana6718

    Жыл бұрын

    Hahahaha

  • @neemasamwel8968
    @neemasamwel8968 Жыл бұрын

    😂😂

  • @emmanuelenock6310
    @emmanuelenock6310 Жыл бұрын

    Tutafute hela tuu.

  • @saudamayowela7636
    @saudamayowela7636 Жыл бұрын

    Kwani hajui kiswahili,nahisi kuumizwa maskio hivo anavoongea

  • @cyrilchamungwana6718

    @cyrilchamungwana6718

    Жыл бұрын

    Hahahaha hahahaha

  • @wairimu9113
    @wairimu9113 Жыл бұрын

    Kama bintiye Christina shusho 😊

  • @RechoMsuya-fq1yp

    @RechoMsuya-fq1yp

    Жыл бұрын

    Umeona eee wamefanana

  • @wairimu9113

    @wairimu9113

    Жыл бұрын

    @@RechoMsuya-fq1yp sana

  • @Binti-wakinyakyusa
    @Binti-wakinyakyusa Жыл бұрын

    Akikuwa ataacha!!! Atamrudia mungu.. bado teenager…

  • @homesaickofficial7407
    @homesaickofficial7407 Жыл бұрын

    Yani mtangazaji adi akumbuki maswali mengne kwa kuchanganywa na hii cheleani ya English

  • @johnnytravo
    @johnnytravo Жыл бұрын

    Mwanamke anastahili heshima kzread.info/dash/bejne/m42ey8yfhpC_gto.html

  • @omarymhina6268
    @omarymhina6268 Жыл бұрын

    Kininda iki anaongea kma mashine

  • @zenadaudzena2849

    @zenadaudzena2849

    Жыл бұрын

    Hamezi mate

  • @irenedamas4806
    @irenedamas4806 Жыл бұрын

    Unaongea kama mzaramo😂😂😂au ume share ndugu uzaramoni lakini unaongea umechangamka mpaka raha

  • @magrethmhando5966
    @magrethmhando5966 Жыл бұрын

    Mbona wa masai wanavaa vikuku na hawaitwi wadangaji ndo kwanza mnawataka wavae kama sehemu ya kupresent tamaduni also wahindi wanavaa vikuku pia people are ignorant.

  • @AnnKillian-nt3wj

    @AnnKillian-nt3wj

    Жыл бұрын

    Hajui hata maana ya udangaji

  • @Danyota18
    @Danyota18 Жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @hanifaa1487
    @hanifaa1487 Жыл бұрын

    😅😅😅😅😅😆😇🥰

  • @RechoMsuya-fq1yp
    @RechoMsuya-fq1yp Жыл бұрын

    Hv huyu ni mtanzania au

  • @bakthirian
    @bakthirian Жыл бұрын

    Kwani dini ya kikristo inaruhusu mtu kuvaa nusu uchi na kushare na watu picha kama hizo?….naomba kufahamu hili tafadhali

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 Жыл бұрын

    Unaongea sna mbk una boa akiii duuu

  • @scolakalindu8077
    @scolakalindu8077 Жыл бұрын

    Anaongea duh

  • @lesusi7872
    @lesusi7872 Жыл бұрын

    Unaongea haraka

  • @danreborn8231
    @danreborn8231 Жыл бұрын

    Huyu anatoa Paula nje mara ishirini

  • @ellenkamanzi3505

    @ellenkamanzi3505

    Жыл бұрын

    Sana dogo ana vibe sana

  • @iambaizo
    @iambaizo Жыл бұрын

    Mezaga mate na wewe utakuja kupaliwa !

  • @tausiphiona3711

    @tausiphiona3711

    Жыл бұрын

    😂😂😂

  • @seinabelimi2296
    @seinabelimi2296 Жыл бұрын

    ni mzur lkn mavaz yko na unavyojiweka inavunja ile utu wako unakaa uchi mm sion km umejistir yani unaonekana muhun kweli mungu hakupi vyote waswahili wamesema hvo

  • @irenemlay9769
    @irenemlay9769 Жыл бұрын

    Kenge maji wewe

  • @januarykasongo9298
    @januarykasongo9298 Жыл бұрын

    Mtangazaj kaishiwa had pozi..dada anaongea kama upepo

  • @user-uc8ei8kn3l
    @user-uc8ei8kn3l Жыл бұрын

    Anaongea englesh mtangazaji anashindwa kuhoji make aelewi

Келесі