ABBY CHAMS amvuruga HEMEDY PHD, ashindwa kabisa kuchagua mwengine ''Love is Everything''

#abbychams #hemedyphd
Tembelea www.sns.co.tz kwa habari nyingi zaidi
Subscribe kwenye channel yetu ya WhatsApp
whatsapp.com/channel/0029Va84...
Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii:
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti

Пікірлер: 111

  • @ndrwdotts4347
    @ndrwdotts43477 ай бұрын

    Hemedi alikuaga mzuri enz za tusker project fame....saiz amekua mbaba kama wababa wengine tu

  • @fatumadjumbe2551
    @fatumadjumbe25518 ай бұрын

    Hata mimi milele ndo mziki Ninao usikiliza sana❤ it's my favorite song 🎵

  • @EliyaUhaula-ck3pu
    @EliyaUhaula-ck3pu8 ай бұрын

    Nice

  • @xxxl-jf2ji
    @xxxl-jf2ji5 ай бұрын

    Kaaa thengeee

  • @giztony2009
    @giztony20098 ай бұрын

    Ww umefuata nn humu labda ww ndo umepitwa na hii kitu, cku nyingine usiingie kwenye link ambazo huendani nazo kiumri!

  • @officialsheby9034
    @officialsheby90347 ай бұрын

    #Ududu mzee

  • @NemaAli-zh6hr
    @NemaAli-zh6hr8 ай бұрын

    Limwili likubwa hakili kisoda

  • @inearclassictz1233
    @inearclassictz12337 ай бұрын

    😢😢😢

  • @huldamichael4445
    @huldamichael44458 ай бұрын

    Bangi

  • @Ram_1893
    @Ram_18938 ай бұрын

    Ududu 🥊

  • @breezywhity1462
    @breezywhity14628 ай бұрын

    Aghaaaaaahhhh

  • @alexandrucarmen3185
    @alexandrucarmen31858 ай бұрын

    Hiking kichwa kina akili sana sema anajichetua tu fatilieni jinsi alivyo dadavua simu IQ kubwa sana❤😄😄😄😄😄

  • @jumakassim5484
    @jumakassim54848 ай бұрын

    Ududu mwingi Hd nakubali sana sana nyimbo zako tuletee burudani

  • @stanslauschatata3483
    @stanslauschatata34838 ай бұрын

    😂😂😂😂😂 daah aisee! wanakuita PHD

  • @kiatu
    @kiatu8 ай бұрын

    Kuna comments zinamtambulisha Kama under-exposed

  • @ManzabaySalim
    @ManzabaySalim8 ай бұрын

    Ushamba mwingi tembea dunia uone

  • @jonathankazaking2033
    @jonathankazaking20338 ай бұрын

    Kwan mwamba ndo kawa Pumbunyo Purnyeto😂

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari45258 ай бұрын

    BANGI SIO NZUR

  • @salumungassa9217
    @salumungassa92178 ай бұрын

    Mmmh ilo jina mbn ududu xana

  • @user-qq6mv6vh3e
    @user-qq6mv6vh3e8 ай бұрын

    😂😂😂heeee kumekucha

  • @khamisrajabu1107
    @khamisrajabu11078 ай бұрын

    Ududu ni mwingi

  • @user-zr4vs3vw8h
    @user-zr4vs3vw8h8 ай бұрын

    kioo cha jamii AMA NI UPUUZI TU ANAFANYA

  • @user-fx2gx6fo1e
    @user-fx2gx6fo1e8 ай бұрын

    Bs ududu

  • @peterkichochi7510
    @peterkichochi75108 ай бұрын

    Leta upopo pia

  • @Farajahelene23031
    @Farajahelene230318 ай бұрын

    Sir who are you

  • @happystephano2307
    @happystephano23078 ай бұрын

    Ila hemedi hahahahhahaha. Ududu n mwingi😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @musason1680
    @musason16807 ай бұрын

    Jamaa mdudu kabisa

  • @Lassana755
    @Lassana7558 ай бұрын

    Ududu mwingi mzee

  • @rogerslwitiko3915
    @rogerslwitiko39158 ай бұрын

    Hemed PHD A.K.A Mwafilombe A.K.A Mwamposa🔥🔥🔥🔥😂😂😂😂😂😂

  • @AbcD-bn1nz

    @AbcD-bn1nz

    8 ай бұрын

    😂😂

  • @rogerslwitiko3915

    @rogerslwitiko3915

    8 ай бұрын

    @@AbcD-bn1nz 😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🔥🔥🔥🔥🔥

  • @user-td3ss6nk2d

    @user-td3ss6nk2d

    8 ай бұрын

    Aka....PUMBUNYOOOO😂😂😂😂😂😂

  • @rogerslwitiko3915

    @rogerslwitiko3915

    8 ай бұрын

    @@user-td3ss6nk2d Jamaa anaonyesha anawakubali Wanyakyusa,Wareno,Wabrazil na Wahispaniola

  • @davidkifua8465

    @davidkifua8465

    8 ай бұрын

    ​@@rogerslwitiko3915hahah wanyakyusa si wanamizigo na ndo ugonjwa wake

  • @queenmollel6739
    @queenmollel67398 ай бұрын

    Mmm jamani hii ni nini jamani infinix please please mpaka (pumbu)Duuu !!!!!!!

  • @matopacomedian

    @matopacomedian

    7 ай бұрын

    Njoo nikupe ududu

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr8 ай бұрын

    😅😅😅😅

  • @majestyjames6499
    @majestyjames64998 ай бұрын

    Nonsense

  • @zisisiisskksksks2424
    @zisisiisskksksks24244 ай бұрын

    😂😂😂

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly8 ай бұрын

    Washatumika wameisha ,sasa wataka kuharibu watoto wa watu na masalo. Watu wazima wafanye kujiheshimu,

  • @agnesjohn9382
    @agnesjohn93828 ай бұрын

    😂😂😂😂 esco umekutana na mdudu

  • @chainbre275
    @chainbre2758 ай бұрын

    Esco Leo kapstikana lol😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @user-ii2qk1un9x
    @user-ii2qk1un9x3 ай бұрын

    🤣🤣🤣 ILALEEE

  • @Zuulito
    @Zuulito8 ай бұрын

    Chapa ilale aaiiiiiiiiiiii

  • @khadijasalum2302
    @khadijasalum23028 ай бұрын

    Jamaa kafujika ubishoo wote umeisha

  • @ussiussi3413
    @ussiussi34138 ай бұрын

    Hebu kuwa Mzee, eti ududu!!! Be positive and sense matured talk.

  • @zuwenazuwena7764

    @zuwenazuwena7764

    7 ай бұрын

    He's public figure he can do whatever he want

  • @Farajahelene23031
    @Farajahelene230318 ай бұрын

    You can be like Chris youare much more stop

  • @abuushomari7533
    @abuushomari75338 ай бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @user-ph6sn2fz4q
    @user-ph6sn2fz4q7 ай бұрын

    Ududu ni kama unasema unyama Ududu nikama simba nyoka

  • @profs.a5412
    @profs.a54123 ай бұрын

    😂eti purunyeto

  • @mdedsm5522
    @mdedsm55227 ай бұрын

    Kwenye unyama hatujatoka uo ududu akuna kitu

  • @yassirgiya6743
    @yassirgiya67438 ай бұрын

    Jina ma2si matupu

  • @Dantaata
    @Dantaata8 ай бұрын

    ujinga huo

  • @mpik0boy659
    @mpik0boy6598 ай бұрын

    Ole Sabaya

  • @cityhuntermkali2468
    @cityhuntermkali24687 ай бұрын

    Dah huyu jamaa akili yake ya kijinga sana,,kwa jamii ya sasa neno kama hilo ukisema tu ata kwa mtoto anajua ni ujinga 😅

  • @user-gf8gm4hp5e
    @user-gf8gm4hp5e8 ай бұрын

    Anapenda kujisifia uyu kheeee😂😂😂

  • @juma8976

    @juma8976

    8 ай бұрын

    Lazima ujisifie na kujikubali Dunia ya sasa unataka nani akusifia 😂😂

  • @Saidiebengotv-gf7nu

    @Saidiebengotv-gf7nu

    8 ай бұрын

    Ujinga tu mwingi ,,

  • @NR-ll4sr

    @NR-ll4sr

    8 ай бұрын

    Mtu wa kufurahi

  • @NR-ll4sr

    @NR-ll4sr

    8 ай бұрын

    ​@@Saidiebengotv-gf7nukwa nini ujinga

  • @criminalminds7723

    @criminalminds7723

    8 ай бұрын

    Ok ok kuanzia kesho ataanza kukusifu wewe usijali

  • @zabibuamissi1141
    @zabibuamissi11418 ай бұрын

    Uyu akili zake anazijuwa mwenyew 🤣🤣

  • @LengajiOmbeni-ri5ox
    @LengajiOmbeni-ri5ox8 ай бұрын

    Papinyo papunyo panyeto, papusi

  • @chrisbertrandnyamusa9549
    @chrisbertrandnyamusa95497 ай бұрын

    kzread.info/dash/bejne/o6h62aVygpnLd9I.htmlsi=VhnnP98L_3qiQqWd Yani haya mambo yamekua kama mchezo hivi, Yani mtu arudiya nakosa Yale yale, alafu anasema nafanya kwa ajili ya mwanangu 🙊

  • @dorisfabian4776
    @dorisfabian47768 ай бұрын

    Mkaka mzuri akili ndo hana😀

  • @mcrramon4649

    @mcrramon4649

    8 ай бұрын

    Kweli kabisa nimeanza kufatilia tangu enzi zile za project fame lakini Hadi Leo Bado akili hazijakua 😅 sema tu sura inambeba

  • @Saidiebengotv-gf7nu

    @Saidiebengotv-gf7nu

    8 ай бұрын

    Eti vijana wenzake wanamkimbiaga sababu ya kupendeza, yaani star muzima bado anajisifia kupendeza kwenye media, umesha feli broo

  • @joejackson9282

    @joejackson9282

    8 ай бұрын

    Pengine bwana Ako hamzidi looote maskini muwe mnaangalia .....

  • @dorisfabian4776

    @dorisfabian4776

    8 ай бұрын

    @@joejackson9282 usimfananishe mume wangu na vitu vya kipumbavu

  • @hellendaniel3809
    @hellendaniel38098 ай бұрын

    Aje Arusha awaone hao wadudu😂😂😂😂😂. Maana jina kacopy

  • @djpassovertz..tunaishimaramoja

    @djpassovertz..tunaishimaramoja

    8 ай бұрын

    Sio tuu wadudu..wadudu wa dampo na watamfyonza Uyu mrembo hawezkaa na wajuba

  • @misanamohamedi8438

    @misanamohamedi8438

    8 ай бұрын

    Arusha waoga tu mikwara mingii mtu mmoja tu dangote kawatoa dam😂😂😂

  • @djpassovertz..tunaishimaramoja

    @djpassovertz..tunaishimaramoja

    8 ай бұрын

    @@misanamohamedi8438 Dangote ni Moja ya wadudu Sasa uyu mdudu mrembo atajikuta Kawa kivutio Cha watalii

  • @salimhassan3369
    @salimhassan33698 ай бұрын

    Kukosa kaz pia ni kaz 😂😅😅 Bro angalia issue nyengine kulingana na Umri

  • @ambroceharouna1612

    @ambroceharouna1612

    8 ай бұрын

    We yako ipi

  • @salimhassan3369

    @salimhassan3369

    8 ай бұрын

    @@ambroceharouna1612 Lukamba iyo tabia Uta acha lini maoni ya watu kuingilia...

  • @rajabmsinzia1715
    @rajabmsinzia17158 ай бұрын

    Non Sense muhojaji na muhojiwa pumba tupu

  • @jooepaullas791

    @jooepaullas791

    8 ай бұрын

    😂😂😂

  • @godsson5954
    @godsson59548 ай бұрын

    wanaume kusema ududu mwingi ni USHOGA

  • @Fgldesigns

    @Fgldesigns

    8 ай бұрын

    Umesema wewe kama nani?

  • @maimunaulotu2075
    @maimunaulotu20758 ай бұрын

    Tumeipitisha UDUDU........

  • @shangwefisima3993
    @shangwefisima39938 ай бұрын

    Pumbunyo???

  • @Emiliana97
    @Emiliana978 ай бұрын

    Ole sabaya 😂😂😂😂😂 Hemed ni chizi

  • @ManzabaySalim
    @ManzabaySalim8 ай бұрын

    Shoga huyu

  • @onetake2292

    @onetake2292

    8 ай бұрын

    Pumbunyo😅

  • @nahlahassan-fd6le
    @nahlahassan-fd6le8 ай бұрын

    Mtu mzima ovyo unatukana tuu apo!!

  • @NemaAli-zh6hr
    @NemaAli-zh6hr8 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂kapumbu

  • @ammysaido4655

    @ammysaido4655

    8 ай бұрын

    Hapo ndio umeshika jina lote...🤣🤣🤣

  • @NemaAli-zh6hr

    @NemaAli-zh6hr

    8 ай бұрын

    @@ammysaido4655 😂😂😂😂

  • @Ibrahim-ne3in
    @Ibrahim-ne3in8 ай бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @debbiethomas9825
    @debbiethomas98258 ай бұрын

    RUBISH

  • @Mundi-oz7os
    @Mundi-oz7os8 ай бұрын

    Limezeeka halijioni lipo lipo tu. Ati ududu. Nonsensical crap!!!

  • @rosemilingi7860

    @rosemilingi7860

    8 ай бұрын

    Hiyo ni roho mbaya tu kazeeka wapi sasa jamani

  • @nahlahassan-fd6le

    @nahlahassan-fd6le

    8 ай бұрын

    Kazeeka kweli hakuna roho mbaya

  • @ambroceharouna1612

    @ambroceharouna1612

    8 ай бұрын

    We utakua kijana mbk lini

  • @agnesjohn9382

    @agnesjohn9382

    8 ай бұрын

    ​@@ambroceharouna1612😂😂😂 hapo sasa

  • @user-lr8ti4qc4o

    @user-lr8ti4qc4o

    8 ай бұрын

    ​@@nahlahassan-fd6lewe utabaki hivohivo milele

  • @hadley_davidson4734
    @hadley_davidson47348 ай бұрын

    😂😂😂

  • @bennamush4616
    @bennamush46168 ай бұрын

    Haileti maana upuzi mtupu

  • @ambroceharouna1612

    @ambroceharouna1612

    8 ай бұрын

    Toa yako yenye maana

  • @godsson5954

    @godsson5954

    8 ай бұрын

    wanaume kusema ududu mwingi kwa wanaume wenzio ni kama USHOGA

  • @barakaekuro
    @barakaekuro8 ай бұрын

    😂😂

  • @elizabethadabu4670
    @elizabethadabu46707 ай бұрын

    😂😂😂

Келесі