MARIOO ATOA ONYO KALI KWA ABIGAIL CHAMS "NAJUTA KUMSAIDIA,NITAMFANYA KITU KIBAYA AKIENDELEA"

Ойын-сауық

www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 354

  • @chantalmwavita7402
    @chantalmwavita740211 ай бұрын

    Mario TZ Kamati roho chafu Nawapenda 💪 Alooooooooh na Paula ❤️

  • @glorylema
    @glorylema11 ай бұрын

    yule mtoto amekosa management yule mama yake ni fala sana anampa kichwa na ujeuri usio kua na maana she’s not humble at all

  • @nunuuali5316
    @nunuuali531611 ай бұрын

    Tunakupenda Mario ila tangu ujiunge na hio familia ya mazowezi kwa kweli mambo yako yanaenda ndivyo sivyo, usikufuru kwamba ukishusha huo wimbo utammaliza Abby kumbuka kipaji chake ndo kimekufanya umshirikishe huo wimbo kwa hio hata ukiushusha bado hujashusha kipaji chake rikiki hutowi wewe bro so come down usijisahau. Huyo girl friend tulimuona kwa Ray Nchi ikasimama kiko wapi? Mama yake amefanyuwa mangapi na Konde? Usimalize maneno bro bado tunahitaji mziki wako mzuri nenda taratibu

  • @mariamnchimbi3324

    @mariamnchimbi3324

    10 ай бұрын

    Fact

  • @smarty1064

    @smarty1064

    5 ай бұрын

    Uliongea sana facts ila huyu atakuwa mgeni na nyuchi ... 😀😀😀

  • @EliudKeivoo-md1vw

    @EliudKeivoo-md1vw

    11 сағат бұрын

    Umeongea poiti

  • @bensonangelo
    @bensonangelo11 ай бұрын

    Huna sababu ya kukasirika, hasira Huwa zinachochea kuendelea Kwa ugomvi, ambao kibiashara wewe ndio utaathirika zaidi

  • @heriethmichael6138
    @heriethmichael613811 ай бұрын

    Abby chams keep it up ueshimiwe ww ni mungu mariooo hata yy ana side yake ya kuongea km mpka alienda studio yy pia mjingaa uonevu tu na mabavu

  • @chany9950
    @chany995011 ай бұрын

    Mario love you 😘😘😘

  • @janetdundul3858
    @janetdundul385811 ай бұрын

    ABIGAIL NI BINTI MZR SN MAMBO MENGINE MUWE MUNAYAACHA MARIOO WEWE NI MWANAUME UMEUBWA NA KOO SIYO VZR,,,,NA MIMI NIMEMPENDA ABIGAIL KATUKIA KMY 😘😘😘😘😘😘HII NI HISHALA MZR ABIGAIL 💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💘

  • @LovenessElias-fm4up

    @LovenessElias-fm4up

    10 ай бұрын

    Me too love you chams

  • @valeriaally6584
    @valeriaally658411 ай бұрын

    Hapo studio mbana mmepamba kama chrismass au chumba cha birthday ya mtoto,shda nn wana refresh

  • @lababyciantaasia7261

    @lababyciantaasia7261

    11 ай бұрын

    Jamaniii 😂😂😂😂

  • @valeriaally6584

    @valeriaally6584

    11 ай бұрын

    @@lababyciantaasia7261 sasa wanapambaje hvyo kama studio za miaka ya 90,wamatuaibisha au Diamond hajaona😂🤣🤣🤣🤣

  • @Monica-254
    @Monica-25410 ай бұрын

    Much love marioo kenya tunakupenda sana❤❤❤m mwanamke na ni ukweli hatusaidiki

  • @nuubaby
    @nuubaby11 ай бұрын

    Refresh imekuwa mbaya muonekano hpo studio

  • @josephsimba3007
    @josephsimba300711 ай бұрын

    Marioo kiukweliiii uyo dogo wa kike amekukosea sana Kaka nakuomba umusameh bure

  • @saidamusinya4350
    @saidamusinya435011 ай бұрын

    Akuheshimu sana kwani we ni MUNGU MSCHEEEEEWW

  • @mariamhussein6059
    @mariamhussein605911 ай бұрын

    BAAAAAAAADDDDD 👏👏 huna baya achana nao piga kazi 👏👏 hawakuwezii kwenye kuimbaaa Hadi kuandika🔥🔥 tunakupenda sana 🥰🥰🥰

  • @RazakiMmalinda-rl3ej
    @RazakiMmalinda-rl3ej11 ай бұрын

    Ucjar bad endelea kusaidia mungu atazid kukujalia👏👏

  • @marleshjimmy1972
    @marleshjimmy197211 ай бұрын

    Kwa ucungu anao ongeanao Marioo najifkiri diamond huwa yeye unakuaga kwenye wakati gani kwasababu anakutana nahaya mara kwa mara🤔😂

  • @josephmorris8194

    @josephmorris8194

    11 ай бұрын

    Simba ni msanii mkubwa ndugu yangu ndomana hata atukanwe vp huwa ajibu ila uyu dgo marioo ni jau xna xema raia wanampa ubora asiokuwanao me nilimkataa kw ile ishu yake na mboso

  • @LovenessElias-fm4up

    @LovenessElias-fm4up

    10 ай бұрын

    @@josephmorris8194 Acha upampa

  • @aishaibrahim5607
    @aishaibrahim560711 ай бұрын

    Yn ww marioo ww toka uwe nauyo paula unajikuta keki kweli yn

  • @nellyrobi6
    @nellyrobi611 ай бұрын

    Abby is so talented. PERIOD.

  • @joesimba

    @joesimba

    10 ай бұрын

    Ongea kiswahili Acha u marekani, ushamba huo

  • @Lifelessons911

    @Lifelessons911

    10 ай бұрын

    @@joesimbaWe kuma tu, kama Vipi GO SCHOOL

  • @nellyrobi6

    @nellyrobi6

    10 ай бұрын

    @@joesimba I repeat, SHE'S A TELENTED QUEEN 👸

  • @JoyAgbiano-wr5cz
    @JoyAgbiano-wr5cz11 ай бұрын

    Ila Mario anasura mbovu 😅kutok n Paula anajikuta breezy 😂😂😂😂😂

  • @user-px1nz6fg1e

    @user-px1nz6fg1e

    11 ай бұрын

    😂

  • @sarahedwin9841

    @sarahedwin9841

    11 ай бұрын

    Yaani ww acha tu 🤣🤣🤣🤣 anajiona jayz

  • @carlosn_tz

    @carlosn_tz

    11 ай бұрын

    Mwanaume asifiwi uzuri...uzuri ni kwa mwanamke

  • @bellogregory7175

    @bellogregory7175

    11 ай бұрын

    Khaaaaaaa 😂😂😂

  • @BriannaBernard-ip2vd

    @BriannaBernard-ip2vd

    10 ай бұрын

    Nimecheka

  • @ayshahussen7452
    @ayshahussen745211 ай бұрын

    Marioo, marioo, marioo nimekuita mara 3 achana na io familia ya jimu waulize Harmonize, na Rayvany alafu acha kumtishia mtoto paka wa bluu ww😂😂😂😂😂

  • @nuubaby
    @nuubaby11 ай бұрын

    Hilo litangazaji hapo studio kam mwanamke yaan kam shoga mxuuuew, hata hupendezi muonekano hapo umekuwa mbaya studio khaaaaa

  • @pendothomas7258
    @pendothomas725811 ай бұрын

    Abby anapenda kiki? Sio Kweli aisee 😢.

  • @josephmassawe1211

    @josephmassawe1211

    11 ай бұрын

    Anampenda ndyo tena siyo pekeyake n mama yke pia anapenda angekuwa hapendi asingemuwish rayvany birthday yake kwa style ile😏

  • @pendothomas7258

    @pendothomas7258

    11 ай бұрын

    @@josephmassawe1211 duuh! Alimu wish vipi? Mm nilikuwa namuona Abby mtulivu kumbe sio? Au shida ipo Kwa mama yake?

  • @emmanueljuma7823
    @emmanueljuma782311 ай бұрын

    Ili marioo afike mbali ni vyema aachane na hiyo familia ya paula

  • @nesymichael4286

    @nesymichael4286

    11 ай бұрын

    Familia inawahusu nini

  • @zainaburashid7737

    @zainaburashid7737

    11 ай бұрын

    Acha ungese, mafanikio hayajabebwa na mahusiano kat yake ye na Paula, Bc na ww Ili ufanikiwe achana na huyo Mpenzi wako Dadeki

  • @fifibashige6644

    @fifibashige6644

    11 ай бұрын

    Familia ya Paula inawafanyaje? Mchiwi wewe. N wakiachana Utasema ohh umesema awawezi Kukaa pamoja

  • @sherry1531

    @sherry1531

    11 ай бұрын

    Aachane na familia kwa sababu gani..

  • @PauloMbwilo

    @PauloMbwilo

    10 ай бұрын

    Ndio

  • @yusrairakoze3966
    @yusrairakoze396611 ай бұрын

    Duuuuu umekwazika sana kaka ndo ubinadamu hatunaga Zuri kabisa

  • @worldhappiness1181
    @worldhappiness118111 ай бұрын

    Marioo anajichanganya tu, by the way kumuandikia mtu sio ndio mpaka umtangaze, na katka maisha don wait to be appreciated kisa kumsaidia mtu, cause hata yeye Mbosso alsema anamambo ya kimama, so angejchukulia yeye kama mfano ilvomtokea kwa mmboso, auchubie tu.

  • @mozoupcommingartist7779

    @mozoupcommingartist7779

    11 ай бұрын

    Dem nd kazingua kasema hawezi kupita ko akae pembeni

  • @calvinzenna4624

    @calvinzenna4624

    11 ай бұрын

    Mmmh kwan maishan akufunzwa tenda wema uende zako……. Ukion seem upati your appriciation unayo taka, pita na zako kafanye vingine

  • @makanjicharles9860

    @makanjicharles9860

    11 ай бұрын

    so kwel fuatilia cku iz nyimbo znamajna ya mwimbaji, mwandishi wa wimbo n.k. ko kujipromote kua yy ndo kaandka n haki yake na haimzalilish msanii. msipende sifa zisikuwavzenu kil m2 ale shav lake

  • @babynahiya6640
    @babynahiya664011 ай бұрын

    Ila hii re fresh siku Uzi mbaya yule dada wa mwanzo ilikuwa inanoga

  • @happygervas7489

    @happygervas7489

    11 ай бұрын

    Exactly yan saivi imepooza mno

  • @davidwalalason7630
    @davidwalalason763011 ай бұрын

    @marioo if you deleted Abby's verse without her knowledge thus disrespect, period..!!

  • @Faridah23

    @Faridah23

    11 ай бұрын

    Have you not understood what he said

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna205811 ай бұрын

    Hivi huyu anajikuta nani kusema ntamfanya mtu kitu kibaya kwani huyo binti ndiyo hana msemaji ama tukae kitako tungoje mambo yachemke vizuri

  • @nancyg8664

    @nancyg8664

    11 ай бұрын

    Lakini umekielewa kitu kibaya alichomaanisha?

  • @officialleonia1234

    @officialleonia1234

    11 ай бұрын

    First day namuona marioo kakasirika

  • @cheiknamouna2058

    @cheiknamouna2058

    11 ай бұрын

    @@nancyg8664 Kwa Dunia ya sasa hata akilala akaamka na shida yoyote wakuulizwa ni huyu aliyeotesha tuvitunguu twake hapo kichwani😂

  • @einsteinmboje4730
    @einsteinmboje473011 ай бұрын

    Kwa Mara Ya Kwanza Namuona Marioo Amekasirika 😅😅😅😂😂😂😂😂...

  • @nancyg8664

    @nancyg8664

    11 ай бұрын

    😆😆

  • @PatrickMkunyi-zn4op
    @PatrickMkunyi-zn4op11 ай бұрын

    Vya bure sio vzur sasa.. Mmemuona bad anavyokatishia haka katoto!! 😷

  • @kassimussimachanoh6971
    @kassimussimachanoh697111 ай бұрын

    🎉Livingston bahresa....

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani548111 ай бұрын

    Marioo usikasilike,,izo ndo kiki og,,tembea na iyo kiki ikunufaishe,,usikasilike,,nausizungumzie tena unawapa faida mahetas,,

  • @henrysangiwa1731
    @henrysangiwa173110 ай бұрын

    😂😂😂 hujajibu hoja unatetea. Mama mkwe na mtoto😊😊😊

  • @user-yp6pj2xf5q
    @user-yp6pj2xf5q10 ай бұрын

    Love u marioo

  • @fadhiliosiah8226
    @fadhiliosiah822611 ай бұрын

    Shiiiiiii baaaad 🙌🙌🙌

  • @wizzy3037
    @wizzy303711 ай бұрын

    like zangu jmn wa kwanza

  • @CatherineGodfrey-qo4rf
    @CatherineGodfrey-qo4rf11 ай бұрын

    🔥🔥

  • @arafamkuchika7172
    @arafamkuchika717211 ай бұрын

    🔥🔥🔥

  • @STAYHAPPY0906
    @STAYHAPPY090611 ай бұрын

    TU/NIMEM MISS ALIIYA😔💔🙌

  • @user-oe6qe3qh9f
    @user-oe6qe3qh9f10 ай бұрын

    hata mimi hapa Congo nakukubali🇨🇩🇨🇩💪

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani548111 ай бұрын

    Inaonekana Mario anampenda Sana Paula na anamuheshim mkwewe kajala

  • @joesimba

    @joesimba

    10 ай бұрын

    Naomba kukisia Wewe ni demu 😆

  • @katandalaonlinetv7946
    @katandalaonlinetv794611 ай бұрын

    Abby is the best female artist in Tanzania

  • @shighadiomar7691

    @shighadiomar7691

    11 ай бұрын

    The best female is zuchu and nandy

  • @annalweganwa483

    @annalweganwa483

    11 ай бұрын

    Dumb

  • @fatoucece8693

    @fatoucece8693

    10 ай бұрын

    Best female? 😂😂😂🤣

  • @annalweganwa483

    @annalweganwa483

    10 ай бұрын

    Lol

  • @himworkss

    @himworkss

    10 ай бұрын

    Zuchu is typing

  • @Asamtz360
    @Asamtz36011 ай бұрын

    Good ila ongezeni ubunifu location na mpunguze madoido katika kuongea

  • @saidmchome
    @saidmchome11 ай бұрын

    MARIOO ni MBWA TUU HANA LOLOTE WALE KINA PAULA NA MAMA YAKE WANAMDANGANYA😂😂

  • @shighadiomar7691

    @shighadiomar7691

    11 ай бұрын

    Ww ndo umbwaaa shenzii sana

  • @LatifaLazaro

    @LatifaLazaro

    11 ай бұрын

    Mbwa sana

  • @chantalmwavita7402

    @chantalmwavita7402

    11 ай бұрын

    Yaaaaaazegeee 😏😏😏😏😏😏 tokaaaaaaa

  • @innocenthaulee

    @innocenthaulee

    11 ай бұрын

    Umbwa na nusu

  • @Blakybraun_3

    @Blakybraun_3

    11 ай бұрын

    Mnoooo watampoteza sana huyu kijana konde amenyooka sembuse yeye

  • @sabrinabache5201
    @sabrinabache520111 ай бұрын

    Acha ujinga Paula mama yake watakupoteza bro chunga badae usije ukaanza kusustwa na hao unaowatete

  • @fifibashige6644

    @fifibashige6644

    11 ай бұрын

    Paula na mama ake wamewa fanya nini. Acheni ku potosha watu. Mwakome kabisa

  • @aneciakatenenga606
    @aneciakatenenga60611 ай бұрын

    Marioo familia ya masanja inakupa kburi 2lizana this is life

  • @zuwenazuwena7764
    @zuwenazuwena776411 ай бұрын

    Hapana chezea utelezi wewe Marioo alivyokuwa mpole kipindi kile na asaiv ni tofauti asaiv kaambiwa aende akaongee kwa media

  • @sarahedwin9841

    @sarahedwin9841

    11 ай бұрын

    Tena alikuwaga Ata sio mtu wa media saiz anajiona jayz

  • @hermanyouze6791
    @hermanyouze679111 ай бұрын

    Marioo nakukubali ila nahisi kunakitu ulikitaka kwa Abby ukanyimwa!!

  • @ruthkasumba7739

    @ruthkasumba7739

    11 ай бұрын

    alishaliwa kitambo sanaaa before ht hajawa na paul😅

  • @nancyg8664

    @nancyg8664

    11 ай бұрын

    Ndo mawazo yako

  • @jackywambua917
    @jackywambua91711 ай бұрын

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @cattovan_tz228
    @cattovan_tz22811 ай бұрын

    WATU WAKIMLAUMU HARMONIZE MNASEMA VIBAYA, HAYYA MARIOO KAMSAPORT MARA MOJA TUH ABBYGAIL ANATAKA HESHIMA😂😂

  • @lareineminah1353

    @lareineminah1353

    11 ай бұрын

    😅😅😅😅😅😅

  • @khadidjaabdi-hd8py
    @khadidjaabdi-hd8py11 ай бұрын

    Kwanin unamtaja paulaa nasio mimi 😅😅 kunakituu hapo

  • @ayamfaith4134
    @ayamfaith413411 ай бұрын

    Marioo to the world, ❤❤

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania974311 ай бұрын

    Marioo kumbe ni mtoto bahati mbaya dahhh hili ni bwege kabisa

  • @MaulidNdunda-cl3gz
    @MaulidNdunda-cl3gz11 ай бұрын

    Mim nishaur Cham dada yangu bado mdogo asiangaike na mitandao kwanza awashike mikono wakubwa zake apite kicking baadae huko now bado na asijibu akar kimya adichukue kesho aende Kwa kaka yake kazi iendelee akisikiliza maneno ya watu hutaganya kazi hii matioo ni mtinzizir sana

  • @LovenessElias-fm4up

    @LovenessElias-fm4up

    10 ай бұрын

    Love you chams

  • @alicedusabe7510
    @alicedusabe751011 ай бұрын

    Du hela eitatupeleka pabaya ona sula eti halafu wenye sula ngumu hawakosi maringo domo zege paula umepotea nawewe hive Kweri kwani ujieshumu wangalau pate dume lenye muvuto bola nakae peke yangu

  • @hassansammy1076
    @hassansammy107611 ай бұрын

    Huna baya marioo Respect bro✌️

  • @vitrahbongz9420
    @vitrahbongz942011 ай бұрын

    Marioo kakua dadek 😂😅

  • @homesaickofficial7407
    @homesaickofficial740711 ай бұрын

    Ili ata alijielewi apo usikute kanyimwa uroda na Paul kisa ameisiwa katembea na Abigail 😂😂

  • @dansonnjile6010
    @dansonnjile601010 ай бұрын

    Time Will tell.

  • @badmanno.1650
    @badmanno.165011 ай бұрын

    This is not you marioo.. hao kina kajala wanakupelekesha.. kubali kataa wamekuteka akili

  • @BakariMtomae
    @BakariMtomae11 ай бұрын

    Kak kua makin me nakuuubale ila angalia kajapaul hao kak😂😂😂

  • @zainaburashid7737
    @zainaburashid773711 ай бұрын

    Sizan kama n sawa kujumlisha familia na mambo ya kazi, Muachen Toto Badd na familia. Kifupi paula hawahusu na hausian kwenye Jambo hl

  • @salmaalimusa6809
    @salmaalimusa680911 ай бұрын

    Kiukwel Abby aliimba vzr zaidi aisee natamani niickie tu

  • @ashrafsibandekeye-ft5ks
    @ashrafsibandekeye-ft5ks11 ай бұрын

    Oy bad msamehe Abby chaims

  • @Sunshine0222
    @Sunshine022211 ай бұрын

    @mario na pau ❤❤

  • @bisharaharoub753
    @bisharaharoub75311 ай бұрын

    Kwa sauti alivyoimba abby loooh ni bora alivyoimba alikiba

  • @glorymtinangi8002

    @glorymtinangi8002

    11 ай бұрын

    Kwa kweliii

  • @user-sf4sf5hr4u

    @user-sf4sf5hr4u

    11 ай бұрын

    Apa tuseme ukweli uyu dem hajaimba poa alikiba ndo ameniambia vizur,,ila watu wanamtetea

  • @user-ds8je7cs7b
    @user-ds8je7cs7b11 ай бұрын

    Sasa huyu surely😂😂 kanyimbo kamojaa yuwatoa povuuu 😢yuwajionaa kekii etiii na hanaa lolotee

  • @shighadiomar7691

    @shighadiomar7691

    11 ай бұрын

    Hio ingekua nyimbo ya pili🙄🙄si amesema nani pia ni yake,ama huelewi

  • @simondogtrainer7498
    @simondogtrainer749811 ай бұрын

    Huyu si Mario kuna MTU mwingne nyuma yake😅😅 yote kisa demu wako katukanwa na alikuwa dem wa rayvanny ngoja tukupe miezi michache

  • @adambless654

    @adambless654

    10 ай бұрын

    Hana mtu yeyote bali Abby ni kama anaforce vitu

  • @glorymlowe1163
    @glorymlowe116311 ай бұрын

    Kwaiyo marioo kamuunda abby?😮😅😅 uyu kachanganyikiwa

  • @sanurasagutti5544
    @sanurasagutti554411 ай бұрын

    Yaaan nlikuwa nakuona wa maan san we kaka lakin kwa hii interview cjui nakuonaje,sa unamtisha nini abby,kwan ukifuta hio nyimbo umeambiwa hatofanikiwa tena?kwendra bwanaaaa,na tuone kana huyo abby hatofanikiwa bila wewe

  • @sjaykigomatz

    @sjaykigomatz

    11 ай бұрын

    Kwan kakosea nini Mario kasema hatomsaidia Tena inatosha

  • @florianscarion5085

    @florianscarion5085

    11 ай бұрын

    Kwasababu kaongea ukweli ee?? ni kweli nyie hamsaidikiii

  • @fatumandabala541

    @fatumandabala541

    11 ай бұрын

    Abby anasikia uchungu Mario kamkataa kimapenzi eti bikra🤣🤣🤣 useless

  • @debramsanga8379

    @debramsanga8379

    11 ай бұрын

    Kwani wewe upendi ukweli

  • @nahlahassan-fd6le

    @nahlahassan-fd6le

    11 ай бұрын

    ​@@fatumandabala541na mm pia bikra

  • @user-uo6bo3ph6g
    @user-uo6bo3ph6g11 ай бұрын

    Hyu dogo anavimba Sasa hv,,et aniheshimu ww Mungu kenge weeee

  • @kirajlovely8115
    @kirajlovely811511 ай бұрын

    😅sasa si bad kwa kiswahili ni mbaua😂😂

  • @najmasalim-rg6ow
    @najmasalim-rg6ow11 ай бұрын

    Hahahah! Manake ncheke kwanza kumsaidia mtu ndo mpeleke utakavyo jichunguze na ujipeleleze

  • @JohnMarley062

    @JohnMarley062

    11 ай бұрын

    Dada kaa kimya hujui watu watu wametoka kwa mimi ninaemjua mario akizungumza yupo sahihi wanawake masaidiki nyinyi kuandika nyimbo ni kazi mpaka watu waielewe hits song alafu mtu anakuja kuongea pumba lazima ukasilike aise inatia uchungu Abby azingua

  • @najmasalim-rg6ow

    @najmasalim-rg6ow

    11 ай бұрын

    Fanya wema nenda zako

  • @WinnieUmanzi
    @WinnieUmanzi11 ай бұрын

    Remove the song where is diamond to help Abi 😂😂😂

  • @erickmuli1030
    @erickmuli103011 ай бұрын

    Neno 1,Marioo piga kazi.

  • @walizanasiri4963
    @walizanasiri496311 ай бұрын

    ❤❤tutakuja

  • @AbdullatifAkram
    @AbdullatifAkram11 ай бұрын

    Mchaga oj na huyo dem hawaiwezi refresh mrudisheni aliyah ndio anaweza kupeana update vizuri

  • @Officalnaph
    @Officalnaph11 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂Safi mzee changamka MUSIC SIO KUIMBA TU

  • @seerdoreen8005
    @seerdoreen800511 ай бұрын

    Honestly one of low mentality of speaking🤮education is needed kaiii abby go girl you good❤

  • @FemaleDirector

    @FemaleDirector

    11 ай бұрын

    Exactly

  • @joesimba

    @joesimba

    10 ай бұрын

    Nyie mademu bwana

  • @FemaleDirector

    @FemaleDirector

    10 ай бұрын

    @@joesimba tumefanyaje

  • @joesimba

    @joesimba

    10 ай бұрын

    @@FemaleDirector nawapendaaa 😉 😜

  • @FemaleDirector

    @FemaleDirector

    10 ай бұрын

    @@joesimba 🤣🫡

  • @chops63entertainment
    @chops63entertainment11 ай бұрын

    Kusamehee kupo hata kama amekosea coz sisi c milima kama ulivyoimba so jaribu kutulia marioo you never know...Na epuka vitisho coz hata ww ulisaidiwa na ukakosea kwa waliokusaidia pia so tambua sisi ni binadamu

  • @eliudimfilima8064
    @eliudimfilima806411 ай бұрын

    Bad Umezingua Sana History Nyingi Zamabifu Kufutana Kwenyimbo #Kiba Na #Mond Ugovimkubwa Kufatana Kwenye Ngoma Muache Dada Etu Ajitafute

  • @shafiiwajad457
    @shafiiwajad45711 ай бұрын

    Sema marioo saiv amekua anajisifia sana, 😂 ngoja tuone

  • @Faridah23

    @Faridah23

    11 ай бұрын

    Sawa mungu

  • @shafiiwajad457

    @shafiiwajad457

    11 ай бұрын

    @@Faridah23 Fala sana, kwannkuona lazima iwe mabaya mbwa we

  • @nyandamisana3630
    @nyandamisana363010 ай бұрын

    Kwani wew Mungu

  • @evanswekesa4006
    @evanswekesa40069 ай бұрын

    Respect Marioo

  • @zuenampandeni3347
    @zuenampandeni334711 ай бұрын

    Saf marioooo

  • @chibudangote0126
    @chibudangote012611 ай бұрын

    I MISS AALIYAH KWENYE REFRESH😢

  • @mungajuma362

    @mungajuma362

    11 ай бұрын

    She also miss u too

  • @chibudangote0126

    @chibudangote0126

    11 ай бұрын

    @@mungajuma362 HOPE SO

  • @mungajuma362

    @mungajuma362

    11 ай бұрын

    Saw ntamkol

  • @stannslousmusau8099
    @stannslousmusau809911 ай бұрын

    Marioo usijifanye mungu mtu bana ,,,si juzi uliongelelea mboso vibaya,,,,, style up bro

  • @HalimaJuma-de5gc
    @HalimaJuma-de5gc11 ай бұрын

    Marioo ni fala tu anajiona yeye mkubwa wa kutoa mziki kuliko chibu

  • @vinny.morales

    @vinny.morales

    11 ай бұрын

    Halafu anapambana na mwanamke, imagine.. ilibidi akaushe tu kiume zaidi

  • @innocenthaulee

    @innocenthaulee

    11 ай бұрын

    Limeniudhi liomary

  • @Killer_wayne227
    @Killer_wayne22711 ай бұрын

    PAulah anakupelek wrong way

  • @josephmatto7793
    @josephmatto779311 ай бұрын

    Badddd

  • @bigirumanalululouise4540
    @bigirumanalululouise454011 ай бұрын

    Baaad❤❤❤❤❤

  • @fatumandabala541
    @fatumandabala54111 ай бұрын

    Mario na Paula nawapena, karibuni show254 Baddy

  • @mwezzireen17
    @mwezzireen1711 ай бұрын

    Mario ww ni mbwa unatishiaje mtoto wa mtu kwa public na hakona wazazi jinga ww jidanganye na matapeli ty

  • @fifibashige6644

    @fifibashige6644

    11 ай бұрын

    Mbwa ni baba ako mama ako na wewe mtoto wao. We fara. Kamtoa kwenye nyimbo yake then nenda ukainginze kidole Chako cha Kati katikati ya matako ya babaaako

  • @user-sd2kx2iv1v

    @user-sd2kx2iv1v

    11 ай бұрын

    ​@@fifibashige6644😅😅😅😅

  • @innocenthaulee

    @innocenthaulee

    11 ай бұрын

    Ni fala sana anamvimbia toto la kishua

  • @shighadiomar7691

    @shighadiomar7691

    11 ай бұрын

    Mshenzi sana ngoma ya mario lakn wanataka aonekane mbaya,

  • @juanajuan3198
    @juanajuan319811 ай бұрын

    Mchagga kafanana saiv na dogo janja jmn hzo nyueeleee😂😂❤

  • @papamukulu1045
    @papamukulu104511 ай бұрын

    Ulimuomba k toto bad huezi sema ukweli 😂

  • @husseinhussein9971
    @husseinhussein997111 ай бұрын

    Doh, tushampoteza kijana.

  • @nicewatson6264

    @nicewatson6264

    11 ай бұрын

    Kabisa kwa ile familia ya mashanging 😂😂😂😂

  • @albertbombo1148
    @albertbombo11489 ай бұрын

    Mapenzi yanakupagawisha,,,,af utatupoteza mashabiki,Abigl ni mkubwa vile vile,Mario acha kujikweza,ata kama umeingia kwenye game na umefanikiwa,usijikute,,,,USHAMBA

  • @FrancisSwai
    @FrancisSwai11 ай бұрын

    Alaf mbn aliimba fresh

  • @salmaalimusa6809

    @salmaalimusa6809

    11 ай бұрын

    Saana iko vzr zaidi

  • @bablojamal638
    @bablojamal63811 ай бұрын

    Mchaga og angalia camera ucmuhdthie uyo mtangazaj mwenzako twambie ce hadhira unatuangusha km co professional

  • @juniorsonofgod5675
    @juniorsonofgod567511 ай бұрын

    Sema Marioo anajua kucontrol kigugumizi chake😂. Anavyoongea utasema hana kigugumizi

  • @florangido202

    @florangido202

    11 ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @LovenessElias-fm4up

    @LovenessElias-fm4up

    10 ай бұрын

    Kambe anakigugumiz sikujua

  • @juniorsonofgod5675

    @juniorsonofgod5675

    10 ай бұрын

    @@LovenessElias-fm4up ndo umeshajua Sasa

  • @user-yv3qb5tz5x
    @user-yv3qb5tz5x10 ай бұрын

    Mmmmmmh! Baddd , Hallowwww oyah ankal nakukubal kinoma🙋🙋🙋🙋🙋🙋🙋

Келесі