MARIOO ATOA ONYO KALI KWA ABIGAIL CHAMS "NAJUTA KUMSAIDIA,NITAMFANYA KITU KIBAYA AKIENDELEA"
Ойын-сауық
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 354
Mario TZ Kamati roho chafu Nawapenda 💪 Alooooooooh na Paula ❤️
yule mtoto amekosa management yule mama yake ni fala sana anampa kichwa na ujeuri usio kua na maana she’s not humble at all
Tunakupenda Mario ila tangu ujiunge na hio familia ya mazowezi kwa kweli mambo yako yanaenda ndivyo sivyo, usikufuru kwamba ukishusha huo wimbo utammaliza Abby kumbuka kipaji chake ndo kimekufanya umshirikishe huo wimbo kwa hio hata ukiushusha bado hujashusha kipaji chake rikiki hutowi wewe bro so come down usijisahau. Huyo girl friend tulimuona kwa Ray Nchi ikasimama kiko wapi? Mama yake amefanyuwa mangapi na Konde? Usimalize maneno bro bado tunahitaji mziki wako mzuri nenda taratibu
@mariamnchimbi3324
10 ай бұрын
Fact
@smarty1064
5 ай бұрын
Uliongea sana facts ila huyu atakuwa mgeni na nyuchi ... 😀😀😀
@EliudKeivoo-md1vw
11 сағат бұрын
Umeongea poiti
Huna sababu ya kukasirika, hasira Huwa zinachochea kuendelea Kwa ugomvi, ambao kibiashara wewe ndio utaathirika zaidi
Abby chams keep it up ueshimiwe ww ni mungu mariooo hata yy ana side yake ya kuongea km mpka alienda studio yy pia mjingaa uonevu tu na mabavu
Mario love you 😘😘😘
ABIGAIL NI BINTI MZR SN MAMBO MENGINE MUWE MUNAYAACHA MARIOO WEWE NI MWANAUME UMEUBWA NA KOO SIYO VZR,,,,NA MIMI NIMEMPENDA ABIGAIL KATUKIA KMY 😘😘😘😘😘😘HII NI HISHALA MZR ABIGAIL 💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💘
@LovenessElias-fm4up
10 ай бұрын
Me too love you chams
Hapo studio mbana mmepamba kama chrismass au chumba cha birthday ya mtoto,shda nn wana refresh
@lababyciantaasia7261
11 ай бұрын
Jamaniii 😂😂😂😂
@valeriaally6584
11 ай бұрын
@@lababyciantaasia7261 sasa wanapambaje hvyo kama studio za miaka ya 90,wamatuaibisha au Diamond hajaona😂🤣🤣🤣🤣
Much love marioo kenya tunakupenda sana❤❤❤m mwanamke na ni ukweli hatusaidiki
Refresh imekuwa mbaya muonekano hpo studio
Marioo kiukweliiii uyo dogo wa kike amekukosea sana Kaka nakuomba umusameh bure
Akuheshimu sana kwani we ni MUNGU MSCHEEEEEWW
BAAAAAAAADDDDD 👏👏 huna baya achana nao piga kazi 👏👏 hawakuwezii kwenye kuimbaaa Hadi kuandika🔥🔥 tunakupenda sana 🥰🥰🥰
Ucjar bad endelea kusaidia mungu atazid kukujalia👏👏
Kwa ucungu anao ongeanao Marioo najifkiri diamond huwa yeye unakuaga kwenye wakati gani kwasababu anakutana nahaya mara kwa mara🤔😂
@josephmorris8194
11 ай бұрын
Simba ni msanii mkubwa ndugu yangu ndomana hata atukanwe vp huwa ajibu ila uyu dgo marioo ni jau xna xema raia wanampa ubora asiokuwanao me nilimkataa kw ile ishu yake na mboso
@LovenessElias-fm4up
10 ай бұрын
@@josephmorris8194 Acha upampa
Yn ww marioo ww toka uwe nauyo paula unajikuta keki kweli yn
Abby is so talented. PERIOD.
@joesimba
10 ай бұрын
Ongea kiswahili Acha u marekani, ushamba huo
@Lifelessons911
10 ай бұрын
@@joesimbaWe kuma tu, kama Vipi GO SCHOOL
@nellyrobi6
10 ай бұрын
@@joesimba I repeat, SHE'S A TELENTED QUEEN 👸
Ila Mario anasura mbovu 😅kutok n Paula anajikuta breezy 😂😂😂😂😂
@user-px1nz6fg1e
11 ай бұрын
😂
@sarahedwin9841
11 ай бұрын
Yaani ww acha tu 🤣🤣🤣🤣 anajiona jayz
@carlosn_tz
11 ай бұрын
Mwanaume asifiwi uzuri...uzuri ni kwa mwanamke
@bellogregory7175
11 ай бұрын
Khaaaaaaa 😂😂😂
@BriannaBernard-ip2vd
10 ай бұрын
Nimecheka
Marioo, marioo, marioo nimekuita mara 3 achana na io familia ya jimu waulize Harmonize, na Rayvany alafu acha kumtishia mtoto paka wa bluu ww😂😂😂😂😂
Hilo litangazaji hapo studio kam mwanamke yaan kam shoga mxuuuew, hata hupendezi muonekano hapo umekuwa mbaya studio khaaaaa
Abby anapenda kiki? Sio Kweli aisee 😢.
@josephmassawe1211
11 ай бұрын
Anampenda ndyo tena siyo pekeyake n mama yke pia anapenda angekuwa hapendi asingemuwish rayvany birthday yake kwa style ile😏
@pendothomas7258
11 ай бұрын
@@josephmassawe1211 duuh! Alimu wish vipi? Mm nilikuwa namuona Abby mtulivu kumbe sio? Au shida ipo Kwa mama yake?
Ili marioo afike mbali ni vyema aachane na hiyo familia ya paula
@nesymichael4286
11 ай бұрын
Familia inawahusu nini
@zainaburashid7737
11 ай бұрын
Acha ungese, mafanikio hayajabebwa na mahusiano kat yake ye na Paula, Bc na ww Ili ufanikiwe achana na huyo Mpenzi wako Dadeki
@fifibashige6644
11 ай бұрын
Familia ya Paula inawafanyaje? Mchiwi wewe. N wakiachana Utasema ohh umesema awawezi Kukaa pamoja
@sherry1531
11 ай бұрын
Aachane na familia kwa sababu gani..
@PauloMbwilo
10 ай бұрын
Ndio
Duuuuu umekwazika sana kaka ndo ubinadamu hatunaga Zuri kabisa
Marioo anajichanganya tu, by the way kumuandikia mtu sio ndio mpaka umtangaze, na katka maisha don wait to be appreciated kisa kumsaidia mtu, cause hata yeye Mbosso alsema anamambo ya kimama, so angejchukulia yeye kama mfano ilvomtokea kwa mmboso, auchubie tu.
@mozoupcommingartist7779
11 ай бұрын
Dem nd kazingua kasema hawezi kupita ko akae pembeni
@calvinzenna4624
11 ай бұрын
Mmmh kwan maishan akufunzwa tenda wema uende zako……. Ukion seem upati your appriciation unayo taka, pita na zako kafanye vingine
@makanjicharles9860
11 ай бұрын
so kwel fuatilia cku iz nyimbo znamajna ya mwimbaji, mwandishi wa wimbo n.k. ko kujipromote kua yy ndo kaandka n haki yake na haimzalilish msanii. msipende sifa zisikuwavzenu kil m2 ale shav lake
Ila hii re fresh siku Uzi mbaya yule dada wa mwanzo ilikuwa inanoga
@happygervas7489
11 ай бұрын
Exactly yan saivi imepooza mno
@marioo if you deleted Abby's verse without her knowledge thus disrespect, period..!!
@Faridah23
11 ай бұрын
Have you not understood what he said
Hivi huyu anajikuta nani kusema ntamfanya mtu kitu kibaya kwani huyo binti ndiyo hana msemaji ama tukae kitako tungoje mambo yachemke vizuri
@nancyg8664
11 ай бұрын
Lakini umekielewa kitu kibaya alichomaanisha?
@officialleonia1234
11 ай бұрын
First day namuona marioo kakasirika
@cheiknamouna2058
11 ай бұрын
@@nancyg8664 Kwa Dunia ya sasa hata akilala akaamka na shida yoyote wakuulizwa ni huyu aliyeotesha tuvitunguu twake hapo kichwani😂
Kwa Mara Ya Kwanza Namuona Marioo Amekasirika 😅😅😅😂😂😂😂😂...
@nancyg8664
11 ай бұрын
😆😆
Vya bure sio vzur sasa.. Mmemuona bad anavyokatishia haka katoto!! 😷
🎉Livingston bahresa....
Marioo usikasilike,,izo ndo kiki og,,tembea na iyo kiki ikunufaishe,,usikasilike,,nausizungumzie tena unawapa faida mahetas,,
😂😂😂 hujajibu hoja unatetea. Mama mkwe na mtoto😊😊😊
Love u marioo
Shiiiiiii baaaad 🙌🙌🙌
like zangu jmn wa kwanza
🔥🔥
🔥🔥🔥
TU/NIMEM MISS ALIIYA😔💔🙌
hata mimi hapa Congo nakukubali🇨🇩🇨🇩💪
Inaonekana Mario anampenda Sana Paula na anamuheshim mkwewe kajala
@joesimba
10 ай бұрын
Naomba kukisia Wewe ni demu 😆
Abby is the best female artist in Tanzania
@shighadiomar7691
11 ай бұрын
The best female is zuchu and nandy
@annalweganwa483
11 ай бұрын
Dumb
@fatoucece8693
10 ай бұрын
Best female? 😂😂😂🤣
@annalweganwa483
10 ай бұрын
Lol
@himworkss
10 ай бұрын
Zuchu is typing
Good ila ongezeni ubunifu location na mpunguze madoido katika kuongea
MARIOO ni MBWA TUU HANA LOLOTE WALE KINA PAULA NA MAMA YAKE WANAMDANGANYA😂😂
@shighadiomar7691
11 ай бұрын
Ww ndo umbwaaa shenzii sana
@LatifaLazaro
11 ай бұрын
Mbwa sana
@chantalmwavita7402
11 ай бұрын
Yaaaaaazegeee 😏😏😏😏😏😏 tokaaaaaaa
@innocenthaulee
11 ай бұрын
Umbwa na nusu
@Blakybraun_3
11 ай бұрын
Mnoooo watampoteza sana huyu kijana konde amenyooka sembuse yeye
Acha ujinga Paula mama yake watakupoteza bro chunga badae usije ukaanza kusustwa na hao unaowatete
@fifibashige6644
11 ай бұрын
Paula na mama ake wamewa fanya nini. Acheni ku potosha watu. Mwakome kabisa
Marioo familia ya masanja inakupa kburi 2lizana this is life
Hapana chezea utelezi wewe Marioo alivyokuwa mpole kipindi kile na asaiv ni tofauti asaiv kaambiwa aende akaongee kwa media
@sarahedwin9841
11 ай бұрын
Tena alikuwaga Ata sio mtu wa media saiz anajiona jayz
Marioo nakukubali ila nahisi kunakitu ulikitaka kwa Abby ukanyimwa!!
@ruthkasumba7739
11 ай бұрын
alishaliwa kitambo sanaaa before ht hajawa na paul😅
@nancyg8664
11 ай бұрын
Ndo mawazo yako
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
WATU WAKIMLAUMU HARMONIZE MNASEMA VIBAYA, HAYYA MARIOO KAMSAPORT MARA MOJA TUH ABBYGAIL ANATAKA HESHIMA😂😂
@lareineminah1353
11 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅
Kwanin unamtaja paulaa nasio mimi 😅😅 kunakituu hapo
Marioo to the world, ❤❤
Marioo kumbe ni mtoto bahati mbaya dahhh hili ni bwege kabisa
Mim nishaur Cham dada yangu bado mdogo asiangaike na mitandao kwanza awashike mikono wakubwa zake apite kicking baadae huko now bado na asijibu akar kimya adichukue kesho aende Kwa kaka yake kazi iendelee akisikiliza maneno ya watu hutaganya kazi hii matioo ni mtinzizir sana
@LovenessElias-fm4up
10 ай бұрын
Love you chams
Du hela eitatupeleka pabaya ona sula eti halafu wenye sula ngumu hawakosi maringo domo zege paula umepotea nawewe hive Kweri kwani ujieshumu wangalau pate dume lenye muvuto bola nakae peke yangu
Huna baya marioo Respect bro✌️
Marioo kakua dadek 😂😅
Ili ata alijielewi apo usikute kanyimwa uroda na Paul kisa ameisiwa katembea na Abigail 😂😂
Time Will tell.
This is not you marioo.. hao kina kajala wanakupelekesha.. kubali kataa wamekuteka akili
Kak kua makin me nakuuubale ila angalia kajapaul hao kak😂😂😂
Sizan kama n sawa kujumlisha familia na mambo ya kazi, Muachen Toto Badd na familia. Kifupi paula hawahusu na hausian kwenye Jambo hl
Kiukwel Abby aliimba vzr zaidi aisee natamani niickie tu
Oy bad msamehe Abby chaims
@mario na pau ❤❤
Kwa sauti alivyoimba abby loooh ni bora alivyoimba alikiba
@glorymtinangi8002
11 ай бұрын
Kwa kweliii
@user-sf4sf5hr4u
11 ай бұрын
Apa tuseme ukweli uyu dem hajaimba poa alikiba ndo ameniambia vizur,,ila watu wanamtetea
Sasa huyu surely😂😂 kanyimbo kamojaa yuwatoa povuuu 😢yuwajionaa kekii etiii na hanaa lolotee
@shighadiomar7691
11 ай бұрын
Hio ingekua nyimbo ya pili🙄🙄si amesema nani pia ni yake,ama huelewi
Huyu si Mario kuna MTU mwingne nyuma yake😅😅 yote kisa demu wako katukanwa na alikuwa dem wa rayvanny ngoja tukupe miezi michache
@adambless654
10 ай бұрын
Hana mtu yeyote bali Abby ni kama anaforce vitu
Kwaiyo marioo kamuunda abby?😮😅😅 uyu kachanganyikiwa
Yaaan nlikuwa nakuona wa maan san we kaka lakin kwa hii interview cjui nakuonaje,sa unamtisha nini abby,kwan ukifuta hio nyimbo umeambiwa hatofanikiwa tena?kwendra bwanaaaa,na tuone kana huyo abby hatofanikiwa bila wewe
@sjaykigomatz
11 ай бұрын
Kwan kakosea nini Mario kasema hatomsaidia Tena inatosha
@florianscarion5085
11 ай бұрын
Kwasababu kaongea ukweli ee?? ni kweli nyie hamsaidikiii
@fatumandabala541
11 ай бұрын
Abby anasikia uchungu Mario kamkataa kimapenzi eti bikra🤣🤣🤣 useless
@debramsanga8379
11 ай бұрын
Kwani wewe upendi ukweli
@nahlahassan-fd6le
11 ай бұрын
@@fatumandabala541na mm pia bikra
Hyu dogo anavimba Sasa hv,,et aniheshimu ww Mungu kenge weeee
😅sasa si bad kwa kiswahili ni mbaua😂😂
Hahahah! Manake ncheke kwanza kumsaidia mtu ndo mpeleke utakavyo jichunguze na ujipeleleze
@JohnMarley062
11 ай бұрын
Dada kaa kimya hujui watu watu wametoka kwa mimi ninaemjua mario akizungumza yupo sahihi wanawake masaidiki nyinyi kuandika nyimbo ni kazi mpaka watu waielewe hits song alafu mtu anakuja kuongea pumba lazima ukasilike aise inatia uchungu Abby azingua
@najmasalim-rg6ow
11 ай бұрын
Fanya wema nenda zako
Remove the song where is diamond to help Abi 😂😂😂
Neno 1,Marioo piga kazi.
❤❤tutakuja
Mchaga oj na huyo dem hawaiwezi refresh mrudisheni aliyah ndio anaweza kupeana update vizuri
😂😂😂😂😂😂Safi mzee changamka MUSIC SIO KUIMBA TU
Honestly one of low mentality of speaking🤮education is needed kaiii abby go girl you good❤
@FemaleDirector
11 ай бұрын
Exactly
@joesimba
10 ай бұрын
Nyie mademu bwana
@FemaleDirector
10 ай бұрын
@@joesimba tumefanyaje
@joesimba
10 ай бұрын
@@FemaleDirector nawapendaaa 😉 😜
@FemaleDirector
10 ай бұрын
@@joesimba 🤣🫡
Kusamehee kupo hata kama amekosea coz sisi c milima kama ulivyoimba so jaribu kutulia marioo you never know...Na epuka vitisho coz hata ww ulisaidiwa na ukakosea kwa waliokusaidia pia so tambua sisi ni binadamu
Bad Umezingua Sana History Nyingi Zamabifu Kufutana Kwenyimbo #Kiba Na #Mond Ugovimkubwa Kufatana Kwenye Ngoma Muache Dada Etu Ajitafute
Sema marioo saiv amekua anajisifia sana, 😂 ngoja tuone
@Faridah23
11 ай бұрын
Sawa mungu
@shafiiwajad457
11 ай бұрын
@@Faridah23 Fala sana, kwannkuona lazima iwe mabaya mbwa we
Kwani wew Mungu
Respect Marioo
Saf marioooo
I MISS AALIYAH KWENYE REFRESH😢
@mungajuma362
11 ай бұрын
She also miss u too
@chibudangote0126
11 ай бұрын
@@mungajuma362 HOPE SO
@mungajuma362
11 ай бұрын
Saw ntamkol
Marioo usijifanye mungu mtu bana ,,,si juzi uliongelelea mboso vibaya,,,,, style up bro
Marioo ni fala tu anajiona yeye mkubwa wa kutoa mziki kuliko chibu
@vinny.morales
11 ай бұрын
Halafu anapambana na mwanamke, imagine.. ilibidi akaushe tu kiume zaidi
@innocenthaulee
11 ай бұрын
Limeniudhi liomary
PAulah anakupelek wrong way
Badddd
Baaad❤❤❤❤❤
Mario na Paula nawapena, karibuni show254 Baddy
Mario ww ni mbwa unatishiaje mtoto wa mtu kwa public na hakona wazazi jinga ww jidanganye na matapeli ty
@fifibashige6644
11 ай бұрын
Mbwa ni baba ako mama ako na wewe mtoto wao. We fara. Kamtoa kwenye nyimbo yake then nenda ukainginze kidole Chako cha Kati katikati ya matako ya babaaako
@user-sd2kx2iv1v
11 ай бұрын
@@fifibashige6644😅😅😅😅
@innocenthaulee
11 ай бұрын
Ni fala sana anamvimbia toto la kishua
@shighadiomar7691
11 ай бұрын
Mshenzi sana ngoma ya mario lakn wanataka aonekane mbaya,
Mchagga kafanana saiv na dogo janja jmn hzo nyueeleee😂😂❤
Ulimuomba k toto bad huezi sema ukweli 😂
Doh, tushampoteza kijana.
@nicewatson6264
11 ай бұрын
Kabisa kwa ile familia ya mashanging 😂😂😂😂
Mapenzi yanakupagawisha,,,,af utatupoteza mashabiki,Abigl ni mkubwa vile vile,Mario acha kujikweza,ata kama umeingia kwenye game na umefanikiwa,usijikute,,,,USHAMBA
Alaf mbn aliimba fresh
@salmaalimusa6809
11 ай бұрын
Saana iko vzr zaidi
Mchaga og angalia camera ucmuhdthie uyo mtangazaj mwenzako twambie ce hadhira unatuangusha km co professional
Sema Marioo anajua kucontrol kigugumizi chake😂. Anavyoongea utasema hana kigugumizi
@florangido202
11 ай бұрын
😂😂😂😂
@LovenessElias-fm4up
10 ай бұрын
Kambe anakigugumiz sikujua
@juniorsonofgod5675
10 ай бұрын
@@LovenessElias-fm4up ndo umeshajua Sasa
Mmmmmmh! Baddd , Hallowwww oyah ankal nakukubal kinoma🙋🙋🙋🙋🙋🙋🙋