sasa huuu wakimuona anapenya sasa waanze maneno watu wanavipaji duuuh mungu akuongoze mamy ❤❤❤❤
@bramwelambei25363 жыл бұрын
When you thought zuchu is the best in tz until you meet abby cham nice voice🥰
@keivgerrard7597
3 жыл бұрын
🙄🙄🙄
@bramwelambei2536
3 жыл бұрын
@@keivgerrard7597I just love how she controls the music
@AlekyzTheGreat55
3 жыл бұрын
Yessss
@ayubumanyelo
3 жыл бұрын
Jaman sitaki zuchu wangu kumpoteza 😭😭😇
@elizabethlengeju4851
2 жыл бұрын
Hahahaahh🤣
@danielezekiel17183 жыл бұрын
Daaaa moja ya wadada wanaweza kumfanya nyoka akatoka kabisaa kwenye shimo na kulisusa kabisaa shimo lake 🙌🙌
@officiallugano8991
3 жыл бұрын
HAHAHAAAAAAA
@janethpallangyo2633
3 жыл бұрын
☺
@edsoniminani6055
3 жыл бұрын
Haahaaa we jamaa umenichekesha
@doricemichelle3614
3 жыл бұрын
Bado mtoto huyu
@mabulakwitega6308
2 жыл бұрын
😃😃😃😂😂😂utaua
@ellieellie14693 жыл бұрын
Abby! I like her voice sooo much 😍😍😍
@jescanicolaus5490
2 жыл бұрын
O.
@jescanicolaus5490
2 жыл бұрын
Nok
@saidrajabu9589 Жыл бұрын
Nakubali sana Chams uko humble and she's very beautiful ❤
@butwaandulile42313 жыл бұрын
Nice interview young girl👍🙏
@afterfull-time13483 жыл бұрын
Welcome NLM my youngest sister, you're in the right and safe place,Where success is Available 🎵🎶
@nurdin.mndeme3447
3 жыл бұрын
NLM wamepata kweli mkuu
@ezekiel_mazune35632 жыл бұрын
I'm just smiling when she is talking
@zantayerogordon40363 жыл бұрын
her voice is so beautiful
@jallyjonster40063 жыл бұрын
Uyu Dada anapiga ngeli tamu sana
@snapwizzy45093 жыл бұрын
The one thats i love ...abby cham am #1 fan since i was know yo..
@oscarmatanatv6190
2 жыл бұрын
Speak swahili if you cant articulate words well in your writing. Puga
@tumainimosha56853 жыл бұрын
She’s soo sweet ❤️
@krenzmobilegraphics34952 жыл бұрын
I think am in love with everything out of that lady😋😋big up abby 👊👊
@chamillairakoze64652 жыл бұрын
God be with u good girl❤️❤️❤️
@liveupdates4452 жыл бұрын
She is ze best💥💥💥
@hadijamasanja77712 жыл бұрын
Her voice is so sweet.
@symphonymoid3352 жыл бұрын
Jaman ad raha she’s such a storyteller 😍
@fbr51133 жыл бұрын
VIPAJI VIZURI VYOTE VINAENDA WCB NA HUYU NAONA ATAKUWA WA WASAFI HUYU WAZIDI KUTUPA BURUDANI ZA KILA LADHA😘😘😘😘😘🔥🔥🔥🔥🔥
@lamecknkini1041
3 жыл бұрын
Kama uliota huenda akawa wa next level music
@ahmedibrahim2127
2 жыл бұрын
Huyu si msanii wa kuwa label yoyote Tanzania hakuna anaemuweza kwa kipaj TANZANIA NZIMA
@sarahaluka4636
Жыл бұрын
Ulitabiri kweli,, uliona mbali, kipaji chake si ya mjini bali globally.. Now in Sony wonderful
@safariadrien53483 жыл бұрын
Baba ya maman yangu.mtoto mungese sana kieehh
@alainsypamuhindo14503 жыл бұрын
Vizuri sana from Congo
@mussaharun72572 жыл бұрын
She is blessed
@giftmtemi10493 жыл бұрын
Nakapenda haka kabint💕💕💕
@ibrahimabdallah95183 жыл бұрын
Duh Leo na mm nmewah Kwan mkinipa like Kuna ubya 😰
@johnson20176
3 жыл бұрын
Hakuna😅
@wilsonstephen1668
3 жыл бұрын
Nkiangalia uwezo wa mtoto huyo ulivo mkubwa alaf nashuka comment section nakutana na mtu mzima yeye anaomba likes za comment tu😂
@ommytheone
Жыл бұрын
@@wilsonstephen1668 😂😂😂😂
@ommytheone
Жыл бұрын
@@johnson20176 😁😁😁😁😁
@brokenigga28423 жыл бұрын
Dogo mrembo sana 😍😍🔥🔥🔥🔥
@hadiazahor68743 жыл бұрын
Mashllh nimepnd bure unvyongea 🌹🌹
@gertrudefadhli4082 жыл бұрын
Very interesting
@ntirampebaodila52373 жыл бұрын
Huyu mutoto namupenda sana anajuwa 💖
@naisafiimediashow9371
3 жыл бұрын
😞😂😂😂😂😂
@elinamwanjela364 Жыл бұрын
I love you Abby
@_sivodesi3 жыл бұрын
She speaks too good
@farajibuteta62583 жыл бұрын
Mtoto napenda aendelee kuongea
@judithsalvatory28923 жыл бұрын
Woww
@emmanuelnyawile26643 жыл бұрын
Hahah Abby tell em that... It is jst a good way to say... "He passed on "
@awadhijumaa9393 жыл бұрын
Anajua sanaaaaaaa🙌
@mariamanyika7153
2 жыл бұрын
Sana
@KingGeoffreyMoviesReview3 жыл бұрын
Wasafi FM nawakubali sana ila nakipaji cha utangazaji naombeni support
@ramaamusic21483 жыл бұрын
Ramaa music ft Da wizzy-KISA WEWE search KZread now
@anitakamene50733 жыл бұрын
Nice
@Soccer_Life23 жыл бұрын
team wasafi like zenu
@ramahassan91713 жыл бұрын
Mzuriii
@ukhutfatumah11542 жыл бұрын
Abby shams wangu
@grolyqueen58333 жыл бұрын
Ila aka katoto nikazuri pamoj na kiswahili chake hicho
@DARAJANI_TV3 жыл бұрын
Mungu anatoa karama na ajamaliza kugawa vipawa ila pible imesema watu wasasa watskua namaarifa mengi haijalishi kama wataenda shule au hawatasoma neno linatimia
@imafricanandafricaisourbus52282 жыл бұрын
THE AD😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹
@mohamedyally96732 жыл бұрын
HUYU DADA NI WAKAWAIDA SANA ILA NILICHO KUNDUA WATANZANIA TUNA SHOBO DUNDO SANA.
@lingardmichael20473 жыл бұрын
Yeah
@semenitheclassic3 жыл бұрын
Me na yeye uko future! Itakua hatarii! Watch!!
@imafricanandafricaisourbus52282 жыл бұрын
SAUTIIIIIIIIIIII MAMAAAA
@jordanblack45363 жыл бұрын
Mshana iyo umepga ngumu ya msanii gani ungependa ampost
@ommygoldene36363 жыл бұрын
NAOMBA NIKUALIKE Habari naitwa HERO ni mwanamziki naomba nikualike kutizama video mpya ya mziki wangu mpya naouzindua muda hii GUSA HAPA KUONA kzread.info/dash/bejne/nXykj5uwe5y6qdo.html
@ceciliabuger86133 жыл бұрын
Wowoo
@peterjohn76132 жыл бұрын
Nyie Waandishi maandazi mnaua sana Kiswahili, huyo msanii anaongea kiswahili kizuri sana, kiswahili cha Kenya, msijifanye mnajua kiswahili wakati hamjui chochote
@maryamsaid1307
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@maryamsaid1307
2 жыл бұрын
Kweli kabsa
@maryamsaid1307
2 жыл бұрын
Umepata kama mm ninavyo fikiria
@mariamsaidi1252
2 жыл бұрын
@@maryamsaid1307 oooh tunashare names 😍😍
@alfamale_tz3 жыл бұрын
💪💪💪
@salhamamake67962 жыл бұрын
Kizungu 👌👌👌
@safariadrien53483 жыл бұрын
Uyo kuna siku atasainiwa wcb yuko ki wasafi sana
@praxedadominic51933 жыл бұрын
❤️❤️❤️❤️❤️
@pendonoor88692 жыл бұрын
Slow down you will be there don't rush fame!
@lilianestephanie7881
Жыл бұрын
We nae
@peterphilipo41522 жыл бұрын
Aliposema anampenda diamond ni wap duh
@salmonluambano69812 жыл бұрын
@abby Chams I wish......
@heri_bway24783 жыл бұрын
Naon presenters wanapigwa gepu la ngeli na uyu teen
@leonardagnatio67793 жыл бұрын
1st
@piuswilson2502
3 жыл бұрын
Be blesse
@piuswilson2502
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/i5yI1ZiBiMWyiLA.html
@mishiwamunyu70633 жыл бұрын
vile hao ma presenters wana pronounce some words wakiweng vi mwiru lol makes me think out loud na vile the humble teen anaongea kiasi tu with no strain jaman don't force it
@saumuhassan63653 жыл бұрын
Hii ya kizazi sana *Abby chams*
@josephkaale6472 Жыл бұрын
Omy i heard you like "payaino"
@sandramuganga483 жыл бұрын
Love u girrl
@balapesatvc.balama35653 жыл бұрын
anaongea vizur kulik mimi mtz pure
@mrzuhura23003 жыл бұрын
We ni mzuri
@emilydominick31233 жыл бұрын
Huyu so mtanzania bana watanzania Tunajiona sana
@happyjohn5882
3 жыл бұрын
Mtanzania kutoka Tanga mbondei
@nahyialetomia9284
3 жыл бұрын
Anasomea international school
@jumannemfaume
3 жыл бұрын
Mtanzania bana sema anasoma international school zile za Cambridge
@hellenshayo3454
3 жыл бұрын
Ni mtanzania halisi mchaga +msambaa
@YTZBOY3 жыл бұрын
Kwa wale wapenzi wanao penda kutazama the story hii ndio account mpya ya the story book video zitakuwa zina postiwa kila siku fanya kusubscribe ili usipitwe
@estersamweli142910 ай бұрын
❤❤❤❤
@mwinjanavil3 жыл бұрын
nani kaona kwny caption na maelezo ya dogo ni tofauti? dogo kasema anampenda burna boy yaan kamtaja wa kwanza kabisa.. lkn kwny kichwa cha habari mmeandika kasema nampenda diamond duh..
@audaxlaban1701
3 жыл бұрын
Washenz sana hawa
@lidyamassawe1084
3 жыл бұрын
haaaaaahaaaa
@collinmhema5443
2 жыл бұрын
Wanalazimisha si machawa hawa kwani huwajui
@tedngowa54873 жыл бұрын
She sound like a Kenyan from Nairobi city....
@doricemichelle3614
3 жыл бұрын
She studied there
@abdulrahmanmandandu85196 ай бұрын
Anajikubali sana huyu dada hadi raha
@alphonceskapu94163 жыл бұрын
Ipigike kolabo moja ya uyu Dada na Zuchu naisi nchi itasimama kwa balaa lao
@justinefrancis3390
3 жыл бұрын
Super woman yumo huyu
@leeldavid3712
3 жыл бұрын
Iwezekani ju Abby anaimba gospel,na zuchu anaimba bongflava ya kaswida pliz!
@farajibuteta62583 жыл бұрын
Duuuh dogo ana akili ya kizungu kabisa
@jessicabrown5885
3 жыл бұрын
Akili ya kizungu ndo ikoje
@farajibuteta6258
3 жыл бұрын
@@jessicabrown5885 kujiamini na uwezo mkubwa wa kufikiri
@jessicabrown5885
3 жыл бұрын
@@farajibuteta6258 kwahiyo wewe hujiamini nahuna uwezo mkumbwa wa kufikiri
@farajibuteta6258
3 жыл бұрын
Watoto wengi wa kiswahili hatujajengwa kujiamini mtu anajiamini mpaka akiwa mtu mzima pia wengine hata wakiwa watu wazima bado hawajiamini
@farajibuteta6258
3 жыл бұрын
Leo ni ngumu mtoto wa kiswahili kumwambia baba umekosea hata kama ni kweli pia baba wa kiswahili ni bora afe kuliko kukubali kwa mwanae kama kweli amekosea kujiamini ni tamaduni ambayo kwa kiwango flani waswahili hatuna
@westcijosh Жыл бұрын
Hv huyu dogo kwann anaongea kiswahili hv ananichekesha sana 😂😂
@kyambarungwematv68283 жыл бұрын
Waoooooh
@musarichard29343 жыл бұрын
Kanajikombaga Sana kwa Mond...hakata achwa salama haka,,,
@annkabbz85443 жыл бұрын
Ommy wishing he'd talk like her.. lol!
@imafricanandafricaisourbus5228
2 жыл бұрын
😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹
@sulleymnhamad35223 жыл бұрын
Mtt anaongea vzr mno
@gervaismbunda37183 жыл бұрын
Sisi🔥
@shameelashameela98572 жыл бұрын
Huy mkenya au
@antybabybintrashid23332 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣katles
@lilianjerome41923 жыл бұрын
Kidogo anafanana n dokii
@dennismrutu7824
3 жыл бұрын
Yar
@hamisimapalala7709
3 жыл бұрын
Kweli kabisa paka sauti
@vinnahjasson5546
2 жыл бұрын
Yeah
@mosessisine65933 жыл бұрын
Mrembo
@emmanueljaphetjr11163 жыл бұрын
Udaktari chaliiiii
@zhuninggadgets13443 жыл бұрын
sisi wa buza tunacomment wap
@davidsesoa667
3 жыл бұрын
😝😝😝😝
@shangwekamando2599
3 жыл бұрын
Kwa mama kibonge
@khadijandendeu6395
3 жыл бұрын
@@shangwekamando2599 nmechka kifala😂😂😂 et kwa mam kibonge
@radhiasalum7156
3 жыл бұрын
🤣🤣Nimecheka kisenge
@uncleapten23783 жыл бұрын
Saf
@gdggghh20522 жыл бұрын
Sasaaa mbon anaongeyaa kikenyaaaa kwanii viip😁😁😁
@maryamsaid1307
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@peteveprosper71863 жыл бұрын
Utazani sio mswahili
@ngarathecomedian57433 жыл бұрын
Like jamaaani
@kabamedestrong39173 жыл бұрын
Habari yako ndugu mm ni msanii chipukizi naomba support yako kutazama video yangu ya pineapple na Ku subscribe kwa kugusa picha yangu hapo juu Ahsanteni Sana🙏🙏
@charlescosmas7823
3 жыл бұрын
Huhuhu unataka kuw kam cham
@wakishuakutokatz4737
3 жыл бұрын
Bro tafuta management humu apasaidii kabisa
@rehemamasheck9165
3 жыл бұрын
@@wakishuakutokatz4737 hahahahhhh bora umemwambya
@Bayothomusic3 жыл бұрын
kalii ya mwaka hii 👇 kzread.info/dash/bejne/mqmmm7ythc68kaQ.html
@kiruidias55803 жыл бұрын
Huyu msichana though 😍🙈
@ashyenzo97743 жыл бұрын
Nakukaribisha kuiskiliza nyimbo yangu mpya kzread.info/dash/bejne/iJeC2ZNslZycdtY.html
@abiudmachungwa45493 жыл бұрын
Fahamu maana ya tunda la eden...alilopewa Adam na Eva.....👇🏾 kzread.info/dash/bejne/n3qf0bunYqvaaZc.html
@mindsetwithdr.robertlumbukeni3 жыл бұрын
Nifwate pale IG Kama Bullbull003
@linah98923 жыл бұрын
100%
@masagadaud54483 жыл бұрын
Mtanzania au mkenya😁😁 xielew
@RioIpo
3 жыл бұрын
Mtz tena mtanga uyo Mbondei
@masagadaud5448
3 жыл бұрын
@@RioIpo duh ametixha
@charlescosmas7823
3 жыл бұрын
Mmakonde
@happyjohn5882
3 жыл бұрын
@@RioIpo bora brother umetuambia maana kuna watu hapa walianza kusema ni mkenya maana wakenya duuh kila kitu chao hahaaaa
@mannabu9333
3 жыл бұрын
Mmmh nilijua tu kenya watasema
@mrishomasudi71033 жыл бұрын
Like zangu jmn kam unampenda huyu dada
@chrismukiri3963 жыл бұрын
English speaking in Tanzania inakuwanga big deal.
@abbyadams8691
3 жыл бұрын
Ilikuwa zamani sio siku hizi. Kwa sasa kuzungumza kiingereza ni km ushamba na kihele hele tu. English doesn't bring you food on the table.
@shangwekamando2599
3 жыл бұрын
Hebu zungumza wewe tukusikie ila usitukane tu Kuna sheria
Пікірлер: 249
sasa huuu wakimuona anapenya sasa waanze maneno watu wanavipaji duuuh mungu akuongoze mamy ❤❤❤❤
When you thought zuchu is the best in tz until you meet abby cham nice voice🥰
@keivgerrard7597
3 жыл бұрын
🙄🙄🙄
@bramwelambei2536
3 жыл бұрын
@@keivgerrard7597I just love how she controls the music
@AlekyzTheGreat55
3 жыл бұрын
Yessss
@ayubumanyelo
3 жыл бұрын
Jaman sitaki zuchu wangu kumpoteza 😭😭😇
@elizabethlengeju4851
2 жыл бұрын
Hahahaahh🤣
Daaaa moja ya wadada wanaweza kumfanya nyoka akatoka kabisaa kwenye shimo na kulisusa kabisaa shimo lake 🙌🙌
@officiallugano8991
3 жыл бұрын
HAHAHAAAAAAA
@janethpallangyo2633
3 жыл бұрын
☺
@edsoniminani6055
3 жыл бұрын
Haahaaa we jamaa umenichekesha
@doricemichelle3614
3 жыл бұрын
Bado mtoto huyu
@mabulakwitega6308
2 жыл бұрын
😃😃😃😂😂😂utaua
Abby! I like her voice sooo much 😍😍😍
@jescanicolaus5490
2 жыл бұрын
O.
@jescanicolaus5490
2 жыл бұрын
Nok
Nakubali sana Chams uko humble and she's very beautiful ❤
Nice interview young girl👍🙏
Welcome NLM my youngest sister, you're in the right and safe place,Where success is Available 🎵🎶
@nurdin.mndeme3447
3 жыл бұрын
NLM wamepata kweli mkuu
I'm just smiling when she is talking
her voice is so beautiful
Uyu Dada anapiga ngeli tamu sana
The one thats i love ...abby cham am #1 fan since i was know yo..
@oscarmatanatv6190
2 жыл бұрын
Speak swahili if you cant articulate words well in your writing. Puga
She’s soo sweet ❤️
I think am in love with everything out of that lady😋😋big up abby 👊👊
God be with u good girl❤️❤️❤️
She is ze best💥💥💥
Her voice is so sweet.
Jaman ad raha she’s such a storyteller 😍
VIPAJI VIZURI VYOTE VINAENDA WCB NA HUYU NAONA ATAKUWA WA WASAFI HUYU WAZIDI KUTUPA BURUDANI ZA KILA LADHA😘😘😘😘😘🔥🔥🔥🔥🔥
@lamecknkini1041
3 жыл бұрын
Kama uliota huenda akawa wa next level music
@ahmedibrahim2127
2 жыл бұрын
Huyu si msanii wa kuwa label yoyote Tanzania hakuna anaemuweza kwa kipaj TANZANIA NZIMA
@sarahaluka4636
Жыл бұрын
Ulitabiri kweli,, uliona mbali, kipaji chake si ya mjini bali globally.. Now in Sony wonderful
Baba ya maman yangu.mtoto mungese sana kieehh
Vizuri sana from Congo
She is blessed
Nakapenda haka kabint💕💕💕
Duh Leo na mm nmewah Kwan mkinipa like Kuna ubya 😰
@johnson20176
3 жыл бұрын
Hakuna😅
@wilsonstephen1668
3 жыл бұрын
Nkiangalia uwezo wa mtoto huyo ulivo mkubwa alaf nashuka comment section nakutana na mtu mzima yeye anaomba likes za comment tu😂
@ommytheone
Жыл бұрын
@@wilsonstephen1668 😂😂😂😂
@ommytheone
Жыл бұрын
@@johnson20176 😁😁😁😁😁
Dogo mrembo sana 😍😍🔥🔥🔥🔥
Mashllh nimepnd bure unvyongea 🌹🌹
Very interesting
Huyu mutoto namupenda sana anajuwa 💖
@naisafiimediashow9371
3 жыл бұрын
😞😂😂😂😂😂
I love you Abby
She speaks too good
Mtoto napenda aendelee kuongea
Woww
Hahah Abby tell em that... It is jst a good way to say... "He passed on "
Anajua sanaaaaaaa🙌
@mariamanyika7153
2 жыл бұрын
Sana
Wasafi FM nawakubali sana ila nakipaji cha utangazaji naombeni support
Ramaa music ft Da wizzy-KISA WEWE search KZread now
Nice
team wasafi like zenu
Mzuriii
Abby shams wangu
Ila aka katoto nikazuri pamoj na kiswahili chake hicho
Mungu anatoa karama na ajamaliza kugawa vipawa ila pible imesema watu wasasa watskua namaarifa mengi haijalishi kama wataenda shule au hawatasoma neno linatimia
THE AD😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹
HUYU DADA NI WAKAWAIDA SANA ILA NILICHO KUNDUA WATANZANIA TUNA SHOBO DUNDO SANA.
Yeah
Me na yeye uko future! Itakua hatarii! Watch!!
SAUTIIIIIIIIIIII MAMAAAA
Mshana iyo umepga ngumu ya msanii gani ungependa ampost
NAOMBA NIKUALIKE Habari naitwa HERO ni mwanamziki naomba nikualike kutizama video mpya ya mziki wangu mpya naouzindua muda hii GUSA HAPA KUONA kzread.info/dash/bejne/nXykj5uwe5y6qdo.html
Wowoo
Nyie Waandishi maandazi mnaua sana Kiswahili, huyo msanii anaongea kiswahili kizuri sana, kiswahili cha Kenya, msijifanye mnajua kiswahili wakati hamjui chochote
@maryamsaid1307
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@maryamsaid1307
2 жыл бұрын
Kweli kabsa
@maryamsaid1307
2 жыл бұрын
Umepata kama mm ninavyo fikiria
@mariamsaidi1252
2 жыл бұрын
@@maryamsaid1307 oooh tunashare names 😍😍
💪💪💪
Kizungu 👌👌👌
Uyo kuna siku atasainiwa wcb yuko ki wasafi sana
❤️❤️❤️❤️❤️
Slow down you will be there don't rush fame!
@lilianestephanie7881
Жыл бұрын
We nae
Aliposema anampenda diamond ni wap duh
@abby Chams I wish......
Naon presenters wanapigwa gepu la ngeli na uyu teen
1st
@piuswilson2502
3 жыл бұрын
Be blesse
@piuswilson2502
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/i5yI1ZiBiMWyiLA.html
vile hao ma presenters wana pronounce some words wakiweng vi mwiru lol makes me think out loud na vile the humble teen anaongea kiasi tu with no strain jaman don't force it
Hii ya kizazi sana *Abby chams*
Omy i heard you like "payaino"
Love u girrl
anaongea vizur kulik mimi mtz pure
We ni mzuri
Huyu so mtanzania bana watanzania Tunajiona sana
@happyjohn5882
3 жыл бұрын
Mtanzania kutoka Tanga mbondei
@nahyialetomia9284
3 жыл бұрын
Anasomea international school
@jumannemfaume
3 жыл бұрын
Mtanzania bana sema anasoma international school zile za Cambridge
@hellenshayo3454
3 жыл бұрын
Ni mtanzania halisi mchaga +msambaa
Kwa wale wapenzi wanao penda kutazama the story hii ndio account mpya ya the story book video zitakuwa zina postiwa kila siku fanya kusubscribe ili usipitwe
❤❤❤❤
nani kaona kwny caption na maelezo ya dogo ni tofauti? dogo kasema anampenda burna boy yaan kamtaja wa kwanza kabisa.. lkn kwny kichwa cha habari mmeandika kasema nampenda diamond duh..
@audaxlaban1701
3 жыл бұрын
Washenz sana hawa
@lidyamassawe1084
3 жыл бұрын
haaaaaahaaaa
@collinmhema5443
2 жыл бұрын
Wanalazimisha si machawa hawa kwani huwajui
She sound like a Kenyan from Nairobi city....
@doricemichelle3614
3 жыл бұрын
She studied there
Anajikubali sana huyu dada hadi raha
Ipigike kolabo moja ya uyu Dada na Zuchu naisi nchi itasimama kwa balaa lao
@justinefrancis3390
3 жыл бұрын
Super woman yumo huyu
@leeldavid3712
3 жыл бұрын
Iwezekani ju Abby anaimba gospel,na zuchu anaimba bongflava ya kaswida pliz!
Duuuh dogo ana akili ya kizungu kabisa
@jessicabrown5885
3 жыл бұрын
Akili ya kizungu ndo ikoje
@farajibuteta6258
3 жыл бұрын
@@jessicabrown5885 kujiamini na uwezo mkubwa wa kufikiri
@jessicabrown5885
3 жыл бұрын
@@farajibuteta6258 kwahiyo wewe hujiamini nahuna uwezo mkumbwa wa kufikiri
@farajibuteta6258
3 жыл бұрын
Watoto wengi wa kiswahili hatujajengwa kujiamini mtu anajiamini mpaka akiwa mtu mzima pia wengine hata wakiwa watu wazima bado hawajiamini
@farajibuteta6258
3 жыл бұрын
Leo ni ngumu mtoto wa kiswahili kumwambia baba umekosea hata kama ni kweli pia baba wa kiswahili ni bora afe kuliko kukubali kwa mwanae kama kweli amekosea kujiamini ni tamaduni ambayo kwa kiwango flani waswahili hatuna
Hv huyu dogo kwann anaongea kiswahili hv ananichekesha sana 😂😂
Waoooooh
Kanajikombaga Sana kwa Mond...hakata achwa salama haka,,,
Ommy wishing he'd talk like her.. lol!
@imafricanandafricaisourbus5228
2 жыл бұрын
😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹
Mtt anaongea vzr mno
Sisi🔥
Huy mkenya au
🤣🤣🤣🤣katles
Kidogo anafanana n dokii
@dennismrutu7824
3 жыл бұрын
Yar
@hamisimapalala7709
3 жыл бұрын
Kweli kabisa paka sauti
@vinnahjasson5546
2 жыл бұрын
Yeah
Mrembo
Udaktari chaliiiii
sisi wa buza tunacomment wap
@davidsesoa667
3 жыл бұрын
😝😝😝😝
@shangwekamando2599
3 жыл бұрын
Kwa mama kibonge
@khadijandendeu6395
3 жыл бұрын
@@shangwekamando2599 nmechka kifala😂😂😂 et kwa mam kibonge
@radhiasalum7156
3 жыл бұрын
🤣🤣Nimecheka kisenge
Saf
Sasaaa mbon anaongeyaa kikenyaaaa kwanii viip😁😁😁
@maryamsaid1307
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
Utazani sio mswahili
Like jamaaani
Habari yako ndugu mm ni msanii chipukizi naomba support yako kutazama video yangu ya pineapple na Ku subscribe kwa kugusa picha yangu hapo juu Ahsanteni Sana🙏🙏
@charlescosmas7823
3 жыл бұрын
Huhuhu unataka kuw kam cham
@wakishuakutokatz4737
3 жыл бұрын
Bro tafuta management humu apasaidii kabisa
@rehemamasheck9165
3 жыл бұрын
@@wakishuakutokatz4737 hahahahhhh bora umemwambya
kalii ya mwaka hii 👇 kzread.info/dash/bejne/mqmmm7ythc68kaQ.html
Huyu msichana though 😍🙈
Nakukaribisha kuiskiliza nyimbo yangu mpya kzread.info/dash/bejne/iJeC2ZNslZycdtY.html
Fahamu maana ya tunda la eden...alilopewa Adam na Eva.....👇🏾 kzread.info/dash/bejne/n3qf0bunYqvaaZc.html
Nifwate pale IG Kama Bullbull003
100%
Mtanzania au mkenya😁😁 xielew
@RioIpo
3 жыл бұрын
Mtz tena mtanga uyo Mbondei
@masagadaud5448
3 жыл бұрын
@@RioIpo duh ametixha
@charlescosmas7823
3 жыл бұрын
Mmakonde
@happyjohn5882
3 жыл бұрын
@@RioIpo bora brother umetuambia maana kuna watu hapa walianza kusema ni mkenya maana wakenya duuh kila kitu chao hahaaaa
@mannabu9333
3 жыл бұрын
Mmmh nilijua tu kenya watasema
Like zangu jmn kam unampenda huyu dada
English speaking in Tanzania inakuwanga big deal.
@abbyadams8691
3 жыл бұрын
Ilikuwa zamani sio siku hizi. Kwa sasa kuzungumza kiingereza ni km ushamba na kihele hele tu. English doesn't bring you food on the table.
@shangwekamando2599
3 жыл бұрын
Hebu zungumza wewe tukusikie ila usitukane tu Kuna sheria
mtangazaji ni catilage syo katles
@teamfocusfunny966
3 жыл бұрын
Au gegedu kwa kiswahili