Akiri kupewa PESA nyingi na DIAMOND kuliko ALIKIBA, ni baada ya Video ya UTU na kazi mpya ya MAPOZ
Ойын-сауық
#diamondplatnumz #alikiba #mapoz #utu
Pakua Application ya Upawa ili ujifunze jinsi ya kupika vyakula mbalimbali na kusoma makala muhimu za chakula na lishe
play.google.com/store/apps/de...
Пікірлер: 76
Alisema amjui mond amemuona 2 times maisha yake yote then saiv kapigiwa direct then akaenda na kapewa ela nyingi😊
Siulikiwa unamponda dai wewe kipindi umetokea kwenye utu😂😂😂haya maisha bhana nilijua utakata
Yaaan bado alikiba anamchango kwako
Achakuongeya sana kwasababu Alikiba aneshakutowa
Sio kila video queen bx lazima adate
Sns hawanaga uzuri na alikiba
@user-ol8xz7cp2j
5 ай бұрын
Kumbe 😮 bas wajnga
MOND HANA KAZI NDOGO 💪💪
❤❤❤❤Alikiba kanuna😂😂❤❤
Ww malaya kumamayo et mke wa mtu unavaa chupi kila mtu anakuona vimapaja vyako hata mmeo ni mupuuzi mupumbavu kama ww.jinga kwel ww . alikiba ndio msani mkubwa tz na Africa nzima
Kumbe dai nimemuelewa m2 akimdharau yy anamtafta kwa ela anamdharau zaid😅maan huyu dada nakumbuka cku anamsema dai 😂😂muwe mnabakisha maneno
Huyu demu ni mzur ila sio pisi kali saaana kiivo, hapo kama mond atapita tu ila sio kujiweka
utajua mwenyew bana
@mwajumammbaga3683
5 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 nimeipenda comment yako nimejikuta nacheka kwanguvuuu
Hata kitumbua kimezidi bei seuze video iliyofanywa miaka mitatu nyuma na video ya juzi? UNADHANI INAWEZA KUWA SAWA?
@supadada_
5 ай бұрын
hahahah point
Msipoteze Uhalisia Wenu Tunawaamini Sana Simulizi Na Sauti Tunaomba Mnacho Andika Kifanane Na Ndani Sababu Tumewaamini
Maskin keshaliwa. Adi huruma
@MsAggie5
5 ай бұрын
Na nani? Mnapenda kuwadhalilisha wanawake kwa nini
@salimjumaa8180
5 ай бұрын
@@MsAggie5 adhalilishwa au ajidhalilisha ivi unaijua thamani ya mwanamke ww..au hio kuwa video vixen ndio unadhani ni sawa. Mwanamke yyte mwenye hfu ya Mungu hawezi kujianika sehemu yyte ile.
Wigi kama cabbage😅
🔥🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌🙌🙌
Paying more many Doesn't matter at all
huwez linganisha kos kwa king alikuwa kavaa nguo kwa mwambino yupo uchi so msipambane kuoji ilo swala
@supadada_
5 ай бұрын
hahahahahaha 😊
@mpendwalove4390
5 ай бұрын
wewe video umeshaiona acha unafki
@supadada_
5 ай бұрын
cover inasema kilichopo ndani ya video
@mpendwalove4390
5 ай бұрын
@@supadada_ alie piga cover ni mshichan mwingine nasio Nana
Uyu utu ya alikiba ndio imempa platform
Uyu nana siyesaizi ya diamond kwa alikiba akatoka poa nakwenye utu ya alikiba ni director njo amemulipa siyo KING nana ata anastahili kuwa mke wa alikiba maana kwenye utu
😂😂😂hapo hamuwez ishusha Dah 1 Trend
What i know malipo ni makubaliano, kwa Ali alikubali malipo that's why alifanya video na kwa Chibu amekubali na amelipwa, huwezi kufanya comparison.
@TheBossOdhis
5 ай бұрын
Kweli kaka
@SallmaXg
5 ай бұрын
Kabisa
@MsAggie5
5 ай бұрын
Ni kweli ndo maana hajalalamika
King ndio kafanya nikuone kama upo hapo,, shukuru kupata ma deal mengine
Akuna kitu apah
Mtu mwenye busara zake. Mbosso Khan
alisema Awezi kufanya video na Diamond because Video zake Azina maadali Awezi kuvaa vichup ngoja nisubilie kuona 😅😅😅
We kwa Kiba hata kama usingelipwa kutokea kwenye Ile video tu ni malipo endelevu kwan bila yeye huwenda tusingekujuwa na hata hzo dili zinakuja ni kwasababu hiyo so be humble
Kuan lazima atoe sir ya malipo ya kaz yake ?kuna wakat vizur ukae kimya kwa sababu iyo ni kazi
KUMMER BASED ON BUSINESS ORGANIZATION
Sasa biashara si makubaliano au nyinyi ni wapumbavu et
Mond please watu wamekua na imani sanaa na ww usichoke kutenda mema
Wig mbona hajatengeneza vizuri apo mbele
Nasisi ambao tuko inje ya inchi tuna I Pata vip iyo season ya #nuru
Yan nashangaa sana mambo ya pesa n akili yako na tusisahau kuwa n makubaliano ya watu wawili kwan alipolipwa na alikiba alituambia? Hapana na pengine angesema nimelipwa hela nyingi tu tufike pahala tuseme hizo pesa n siri yako iwe ndogo au kubwa n vile ulikubali so tuache maneno mengi bn
Kama alikiba alimupa pesa ndogo kwa nn kakubali kufanya kazi nae
Nonsense
Umearibu utu onaulivovijWa
MWANDISHI MSHAMBAAA HUNA AKILI MAHOJIANO YA KIPUUZI MWANDISHI HUNA SKILLS
@strong8534
5 ай бұрын
Anzisha media uajiri watangazaji wenye akili na skills
@aidankakulu398
5 ай бұрын
@@strong8534 NINA MEDIA TAYARI NA NINAHITAJI NIKUAJIRI NA WEWE HIVYO KAMA UNAAMINI UNAVYO VIGEZO TUZUNGUMZE NIKUAJIRI
@felisterchimtunga9386
5 ай бұрын
Nenda kamuhoji wewe mwenye skills na akili za kuvua chupi. 😂😂😂 akili dalasani mkono mdomoni viatu miguuni hatua njiani gari barabarani boda uchochoroni. Namaanisha kila mtu na taaruma yake.😂😂😂
@aidankakulu398
5 ай бұрын
@@felisterchimtunga9386 Unataka nikutongoze au?
Usishangae huyu jamaa ni kawaid pale sns ndo mnafik mkubwa has has hanaga mazuri na kiba
Hivi ukishakuwa na iphone hakunaga kuiweka mfukoni wala wapi 😂
Tanasha dona kaanza na kiba Amisa mobeto kaanza na abdukiba +kiba Huyo nae kaanza na kiba Mwambino ndo anamalizia makombo
@leonardsasita4634
5 ай бұрын
Quma haina makombo
Kwahiyo yeye hayupo tayari Kuwa na kimapenzi na msanii lakini yupo tayari kushikwa shikwa na msanii. Mjinga sana
Wanatumika vibaya hawa madanga.
@MsAggie5
5 ай бұрын
Sio danga huyo ulishawahi msikia na skendo yoyote
@SilaMinanda
5 ай бұрын
@@MsAggie5 Mbna huelew kwan danga lazima awe na skendo? Huyo danga tu, kiba ndio kampandisha thamani, so kitendo cha Diamond kwenda kufanyanae kaz lazima dau liwe kubwa zaidi aache kutumika vibaya, by the way ndicho kilichobakia kwa diamond kurubuni wajingawajinga
sisi wanawake bwana alikiba kafanya amefahamika Leo anasema Diamond kampa pesa nyingi kuliko kiba sawa bwana
@SallmaXg
5 ай бұрын
Akija mwengine atasema kama Mondi jampa hela nyingi😂😂daaaah 😂😂
@rosemahenge9071
5 ай бұрын
Sasa shida iko wapi ndugu si kaulizwa ulitaka ajibuje
@user-dj3nt7vm3w
5 ай бұрын
Hpn nana aliemfahamisha ni izzoh pamj na Qrock jmn khaa
@DeogratiusMwalimu
5 ай бұрын
Cc tumemfaham kwa kiba huko kwa izo na racka hata nyimbo hatuijui@@user-dj3nt7vm3w
KAHABA MMOJA USWAHILI MWINGII HAKUNA LOLOTE
@hajjiomary2383
5 ай бұрын
😊😊😊
Nikajuwa kalipwa ml 100😏
Kwayo wewe una la kusema unaa manaa
Kwa hiyo huyu binti hataki msani sababu ikiwa msanii anashika shika mabinti kwenye nyimbo nanpengine atashinda inje akishoot wakati yeye anafanya hiyo kazi ya kushikwa shikwa na wasanii wenyewe kama vixen 😂😂😂 dah tabu sana
Wanawake watu wajinga sana😮
Nikajuwa kalipwa ml 100😏