Akiri kupewa PESA nyingi na DIAMOND kuliko ALIKIBA, ni baada ya Video ya UTU na kazi mpya ya MAPOZ

Ойын-сауық

#diamondplatnumz #alikiba #mapoz #utu
Pakua Application ya Upawa ili ujifunze jinsi ya kupika vyakula mbalimbali na kusoma makala muhimu za chakula na lishe
play.google.com/store/apps/de...

Пікірлер: 76

  • @chariedecute8200
    @chariedecute82005 ай бұрын

    Alisema amjui mond amemuona 2 times maisha yake yote then saiv kapigiwa direct then akaenda na kapewa ela nyingi😊

  • @Zuu673
    @Zuu6735 ай бұрын

    Siulikiwa unamponda dai wewe kipindi umetokea kwenye utu😂😂😂haya maisha bhana nilijua utakata

  • @SurprisedFountainPen-ky7vt
    @SurprisedFountainPen-ky7vt5 ай бұрын

    Yaaan bado alikiba anamchango kwako

  • @stevenckanumba7
    @stevenckanumba75 ай бұрын

    Achakuongeya sana kwasababu Alikiba aneshakutowa

  • @Yasintakisholi
    @Yasintakisholi5 ай бұрын

    Sio kila video queen bx lazima adate

  • @benardochieng7117
    @benardochieng71175 ай бұрын

    Sns hawanaga uzuri na alikiba

  • @user-ol8xz7cp2j

    @user-ol8xz7cp2j

    5 ай бұрын

    Kumbe 😮 bas wajnga

  • @josephvenus3259
    @josephvenus32595 ай бұрын

    MOND HANA KAZI NDOGO 💪💪

  • @walizanasiri4963
    @walizanasiri49635 ай бұрын

    ❤❤❤❤Alikiba kanuna😂😂❤❤

  • @user-ij6eo6pq6z
    @user-ij6eo6pq6z5 ай бұрын

    Ww malaya kumamayo et mke wa mtu unavaa chupi kila mtu anakuona vimapaja vyako hata mmeo ni mupuuzi mupumbavu kama ww.jinga kwel ww . alikiba ndio msani mkubwa tz na Africa nzima

  • @user-sn6dc9gh8k
    @user-sn6dc9gh8k5 ай бұрын

    Kumbe dai nimemuelewa m2 akimdharau yy anamtafta kwa ela anamdharau zaid😅maan huyu dada nakumbuka cku anamsema dai 😂😂muwe mnabakisha maneno

  • @adamsengo1869
    @adamsengo18694 ай бұрын

    Huyu demu ni mzur ila sio pisi kali saaana kiivo, hapo kama mond atapita tu ila sio kujiweka

  • @user-wd2bc7bf5x
    @user-wd2bc7bf5x5 ай бұрын

    utajua mwenyew bana

  • @mwajumammbaga3683

    @mwajumammbaga3683

    5 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂 nimeipenda comment yako nimejikuta nacheka kwanguvuuu

  • @smilevideocreatorsznz
    @smilevideocreatorsznz5 ай бұрын

    Hata kitumbua kimezidi bei seuze video iliyofanywa miaka mitatu nyuma na video ya juzi? UNADHANI INAWEZA KUWA SAWA?

  • @supadada_

    @supadada_

    5 ай бұрын

    hahahah point

  • @user-xr6wi4jf3u
    @user-xr6wi4jf3u4 ай бұрын

    Msipoteze Uhalisia Wenu Tunawaamini Sana Simulizi Na Sauti Tunaomba Mnacho Andika Kifanane Na Ndani Sababu Tumewaamini

  • @salimjumaa8180
    @salimjumaa81805 ай бұрын

    Maskin keshaliwa. Adi huruma

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    5 ай бұрын

    Na nani? Mnapenda kuwadhalilisha wanawake kwa nini

  • @salimjumaa8180

    @salimjumaa8180

    5 ай бұрын

    @@MsAggie5 adhalilishwa au ajidhalilisha ivi unaijua thamani ya mwanamke ww..au hio kuwa video vixen ndio unadhani ni sawa. Mwanamke yyte mwenye hfu ya Mungu hawezi kujianika sehemu yyte ile.

  • @AngelmackieCharity
    @AngelmackieCharity5 ай бұрын

    Wigi kama cabbage😅

  • @Duanny-jm8fr
    @Duanny-jm8fr5 ай бұрын

    🔥🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌🙌🙌

  • @mumbeleamisleonard3571
    @mumbeleamisleonard35715 ай бұрын

    Paying more many Doesn't matter at all

  • @FredrickDaudy-sb3cz
    @FredrickDaudy-sb3cz5 ай бұрын

    huwez linganisha kos kwa king alikuwa kavaa nguo kwa mwambino yupo uchi so msipambane kuoji ilo swala

  • @supadada_

    @supadada_

    5 ай бұрын

    hahahahahaha 😊

  • @mpendwalove4390

    @mpendwalove4390

    5 ай бұрын

    wewe video umeshaiona acha unafki

  • @supadada_

    @supadada_

    5 ай бұрын

    cover inasema kilichopo ndani ya video

  • @mpendwalove4390

    @mpendwalove4390

    5 ай бұрын

    @@supadada_ alie piga cover ni mshichan mwingine nasio Nana

  • @nathanielsalano2399
    @nathanielsalano23995 ай бұрын

    Uyu utu ya alikiba ndio imempa platform

  • @VgmukomboziOficiel
    @VgmukomboziOficiel5 ай бұрын

    Uyu nana siyesaizi ya diamond kwa alikiba akatoka poa nakwenye utu ya alikiba ni director njo amemulipa siyo KING nana ata anastahili kuwa mke wa alikiba maana kwenye utu

  • @user-rz8hn7ew8t
    @user-rz8hn7ew8t4 ай бұрын

    😂😂😂hapo hamuwez ishusha Dah 1 Trend

  • @BrayoDimpoz
    @BrayoDimpoz5 ай бұрын

    What i know malipo ni makubaliano, kwa Ali alikubali malipo that's why alifanya video na kwa Chibu amekubali na amelipwa, huwezi kufanya comparison.

  • @TheBossOdhis

    @TheBossOdhis

    5 ай бұрын

    Kweli kaka

  • @SallmaXg

    @SallmaXg

    5 ай бұрын

    Kabisa

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    5 ай бұрын

    Ni kweli ndo maana hajalalamika

  • @ameirzapy1318
    @ameirzapy13185 ай бұрын

    King ndio kafanya nikuone kama upo hapo,, shukuru kupata ma deal mengine

  • @alibachirofficial3939
    @alibachirofficial39395 ай бұрын

    Akuna kitu apah

  • @user-hz5dv2el4m
    @user-hz5dv2el4m4 ай бұрын

    Mtu mwenye busara zake. Mbosso Khan

  • @jumalove2631
    @jumalove26315 ай бұрын

    alisema Awezi kufanya video na Diamond because Video zake Azina maadali Awezi kuvaa vichup ngoja nisubilie kuona 😅😅😅

  • @halidiselemani8289
    @halidiselemani82895 ай бұрын

    We kwa Kiba hata kama usingelipwa kutokea kwenye Ile video tu ni malipo endelevu kwan bila yeye huwenda tusingekujuwa na hata hzo dili zinakuja ni kwasababu hiyo so be humble

  • @user-gp8sz7xc1z
    @user-gp8sz7xc1z4 ай бұрын

    Kuan lazima atoe sir ya malipo ya kaz yake ?kuna wakat vizur ukae kimya kwa sababu iyo ni kazi

  • @njoroboihastla
    @njoroboihastla5 ай бұрын

    KUMMER BASED ON BUSINESS ORGANIZATION

  • @user-ij6eo6pq6z
    @user-ij6eo6pq6z5 ай бұрын

    Sasa biashara si makubaliano au nyinyi ni wapumbavu et

  • @richkaja3317
    @richkaja33174 ай бұрын

    Mond please watu wamekua na imani sanaa na ww usichoke kutenda mema

  • @chapter2719
    @chapter27195 ай бұрын

    Wig mbona hajatengeneza vizuri apo mbele

  • @Neuvemzaliwa5
    @Neuvemzaliwa55 ай бұрын

    Nasisi ambao tuko inje ya inchi tuna I Pata vip iyo season ya #nuru

  • @pcmchealthcare9339
    @pcmchealthcare93395 ай бұрын

    Yan nashangaa sana mambo ya pesa n akili yako na tusisahau kuwa n makubaliano ya watu wawili kwan alipolipwa na alikiba alituambia? Hapana na pengine angesema nimelipwa hela nyingi tu tufike pahala tuseme hizo pesa n siri yako iwe ndogo au kubwa n vile ulikubali so tuache maneno mengi bn

  • @user-ij6eo6pq6z
    @user-ij6eo6pq6z5 ай бұрын

    Kama alikiba alimupa pesa ndogo kwa nn kakubali kufanya kazi nae

  • @user-ny5ug4qo6c
    @user-ny5ug4qo6c5 ай бұрын

    Nonsense

  • @user-es9bm8sv6h
    @user-es9bm8sv6h25 күн бұрын

    Umearibu utu onaulivovijWa

  • @aidankakulu398
    @aidankakulu3985 ай бұрын

    MWANDISHI MSHAMBAAA HUNA AKILI MAHOJIANO YA KIPUUZI MWANDISHI HUNA SKILLS

  • @strong8534

    @strong8534

    5 ай бұрын

    Anzisha media uajiri watangazaji wenye akili na skills

  • @aidankakulu398

    @aidankakulu398

    5 ай бұрын

    @@strong8534 NINA MEDIA TAYARI NA NINAHITAJI NIKUAJIRI NA WEWE HIVYO KAMA UNAAMINI UNAVYO VIGEZO TUZUNGUMZE NIKUAJIRI

  • @felisterchimtunga9386

    @felisterchimtunga9386

    5 ай бұрын

    Nenda kamuhoji wewe mwenye skills na akili za kuvua chupi. 😂😂😂 akili dalasani mkono mdomoni viatu miguuni hatua njiani gari barabarani boda uchochoroni. Namaanisha kila mtu na taaruma yake.😂😂😂

  • @aidankakulu398

    @aidankakulu398

    5 ай бұрын

    @@felisterchimtunga9386 Unataka nikutongoze au?

  • @TeophilBuilding
    @TeophilBuilding5 ай бұрын

    Usishangae huyu jamaa ni kawaid pale sns ndo mnafik mkubwa has has hanaga mazuri na kiba

  • @angelsblackboard8008
    @angelsblackboard80085 ай бұрын

    Hivi ukishakuwa na iphone hakunaga kuiweka mfukoni wala wapi 😂

  • @niite_cousin1362
    @niite_cousin13625 ай бұрын

    Tanasha dona kaanza na kiba Amisa mobeto kaanza na abdukiba +kiba Huyo nae kaanza na kiba Mwambino ndo anamalizia makombo

  • @leonardsasita4634

    @leonardsasita4634

    5 ай бұрын

    Quma haina makombo

  • @bakarially253
    @bakarially2535 ай бұрын

    Kwahiyo yeye hayupo tayari Kuwa na kimapenzi na msanii lakini yupo tayari kushikwa shikwa na msanii. Mjinga sana

  • @SilaMinanda
    @SilaMinanda5 ай бұрын

    Wanatumika vibaya hawa madanga.

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    5 ай бұрын

    Sio danga huyo ulishawahi msikia na skendo yoyote

  • @SilaMinanda

    @SilaMinanda

    5 ай бұрын

    @@MsAggie5 Mbna huelew kwan danga lazima awe na skendo? Huyo danga tu, kiba ndio kampandisha thamani, so kitendo cha Diamond kwenda kufanyanae kaz lazima dau liwe kubwa zaidi aache kutumika vibaya, by the way ndicho kilichobakia kwa diamond kurubuni wajingawajinga

  • @supadada_
    @supadada_5 ай бұрын

    sisi wanawake bwana alikiba kafanya amefahamika Leo anasema Diamond kampa pesa nyingi kuliko kiba sawa bwana

  • @SallmaXg

    @SallmaXg

    5 ай бұрын

    Akija mwengine atasema kama Mondi jampa hela nyingi😂😂daaaah 😂😂

  • @rosemahenge9071

    @rosemahenge9071

    5 ай бұрын

    Sasa shida iko wapi ndugu si kaulizwa ulitaka ajibuje

  • @user-dj3nt7vm3w

    @user-dj3nt7vm3w

    5 ай бұрын

    Hpn nana aliemfahamisha ni izzoh pamj na Qrock jmn khaa

  • @DeogratiusMwalimu

    @DeogratiusMwalimu

    5 ай бұрын

    Cc tumemfaham kwa kiba huko kwa izo na racka hata nyimbo hatuijui​@@user-dj3nt7vm3w

  • @aidankakulu398
    @aidankakulu3985 ай бұрын

    KAHABA MMOJA USWAHILI MWINGII HAKUNA LOLOTE

  • @hajjiomary2383

    @hajjiomary2383

    5 ай бұрын

    😊😊😊

  • @aminahkimwana109
    @aminahkimwana1095 ай бұрын

    Nikajuwa kalipwa ml 100😏

  • @emilioadremaneadremane2706
    @emilioadremaneadremane27065 ай бұрын

    Kwayo wewe una la kusema unaa manaa

  • @lawidaleche9662
    @lawidaleche96625 ай бұрын

    Kwa hiyo huyu binti hataki msani sababu ikiwa msanii anashika shika mabinti kwenye nyimbo nanpengine atashinda inje akishoot wakati yeye anafanya hiyo kazi ya kushikwa shikwa na wasanii wenyewe kama vixen 😂😂😂 dah tabu sana

  • @elizabethmasitsa6537
    @elizabethmasitsa65375 ай бұрын

    Wanawake watu wajinga sana😮

  • @aminahkimwana109
    @aminahkimwana1095 ай бұрын

    Nikajuwa kalipwa ml 100😏

Келесі