K2GA amjibu DVOICE juu yakauli yake kwa ALIKIBA, mimi niko tayari kufanya kazi na Boss wako DIAMOND
#Harmonize #Kondegang #Rayvanny
Jiunge nasi kupitiaa mitandao yakijamii Facebook Instagram na Twitter gusa link za pages zetu apo chini pia waweza kuchat nasi kupitia whatsapp ama kutupigia kawaida kupitia namba za simu +255755449629 karibu sana kwa habari mbalimbali
FACEBOOK / minotv
INSTAGRAM / minotv_tz
TIKTOK / minotv_tz .
Пікірлер: 52
Ni ta anza ku follow wote wa King's sababu ya jibu zako
Jamaa amejibu kiukweli one love❤️❤️❤️ ,D voice akili hana yule
K2ga uko mpole saana endeleya vile brother mungu aku zidishie
Nimemkubal Mchizi UK Kawajibu Kihakili Xan , Ila D.C Kam Kazinguw Kidogo Hivo❤❤❤🎉🎉🎉
Mchiz wa uk chaguo pendwa ilo tz atoe ngoma axtoe bado love
K2GA MCHIZI WA UK Akili sana 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
Ni kweli huyu k2g haimbi nyimbo kwa kushindana na msaan mwenzake ye anaimba nyimbo zake kwa kuipenda 🎉
Umeona watu wakubwa d voice wanavyo jibu maswal sio ww bado kijola haujui kujibu maswal kam msanii
@byamungujackson45
6 ай бұрын
Kabisa
@baimarrajahbuayan6237
6 ай бұрын
😅😅😅😅Ety kijora 😅😅Bado. Mshamba ajui. Kitu
Ndug zangu niache hunafiki binafsi mimi sijawai kusikiliza nyimbo ya uyo D voc sijawai hata siku moja kwaza simwelewi kabisa ki2ga ❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤
@eggysulle7988
5 ай бұрын
Afzar ww mie ata kumskiiza tu smsikiizagi
@rajabmsinzia1715
5 ай бұрын
Me too yaani hata interview zake sijawahi kuzisikiliza kiukweli
Nice..... Mupitie na kwangu wapenzi ❤❤❤
Kajibu vyema sana kijana wetu
Yuo ni ngoma kali 🙏🙏
D voice dogo kiburi mwisho wasiku utajuta kuingia wcb
Kijana kajibu vizr sana ❤❤
Haya ndio majibu ya kibusara.kwa king,s music
Safi kabisa ki2gs
one love k2ga uko na akili san
Nimekukubali sana kwanzia leo broo Karim Allah akuongoze vyema katka kazi zako na akupe afya njema kaka mkubwa
K2ga anamalezi mazuri sana namkubali huyo dada d voice bado sana
Akili nyingi kichwani🔥🔥🔥🔥🔥kings music for life
Mino TV
Kama amejibu Hili kutoka kwenye moyo bas respect ndg wng k2ga
Mchizi wa UK 🦅🔥🔥👏
Nc ki2g
Mchizi wa UK❤❤❤
Be gup broo nice interview
Unajua brother
Congratulations
Saw brow nachuki yanni
Uyo D voice 😂maisha ndo katafuta ali siyo mwenziye🇨🇩
Akili kubwa San dogo kajibu kiutu uzima
Kweli ❤❤❤❤
❤ nakukubali San k2g
Ka2g yangu Léo takufatikia sana una baya
Kaka tuna kuchunga depuis congo
Jamaa anaimba sana halafu hana kwere
Mature man anaongea kma yuko na akili za watu mia
D voic napenda ngoma zake ila amefeli kwa ilo kwaiyo baba akigombana na mama yako utomueshimu baba kisa wametofautiana ache uswaili
Vitu vingi vipi wewe unapoteza mashabiki k2ga
Natamani Siku Moja Nifanye Kollabo na K2ga
♥️♥️♥️
Wa Uk
Miakili Mingi kama Baba wake
Huyu duniani hayuko wala mbinguni
Dgo anajua kujibu maswali
Wasani wakukaratasi ila uwanjani hawapo
Mchizi
❤❤