K2GA amjibu DVOICE juu yakauli yake kwa ALIKIBA, mimi niko tayari kufanya kazi na Boss wako DIAMOND

#Harmonize #Kondegang #Rayvanny
Jiunge nasi kupitiaa mitandao yakijamii Facebook Instagram na Twitter gusa link za pages zetu apo chini pia waweza kuchat nasi kupitia whatsapp ama kutupigia kawaida kupitia namba za simu +255755449629 karibu sana kwa habari mbalimbali
FACEBOOK / minotv
INSTAGRAM / minotv_tz
TIKTOK / minotv_tz .

Пікірлер: 52

  • @witnaofficial
    @witnaofficial6 ай бұрын

    Ni ta anza ku follow wote wa King's sababu ya jibu zako

  • @wankurumasanja4764
    @wankurumasanja47646 ай бұрын

    Jamaa amejibu kiukweli one love❤️❤️❤️ ,D voice akili hana yule

  • @pc_boy426
    @pc_boy4265 ай бұрын

    K2ga uko mpole saana endeleya vile brother mungu aku zidishie

  • @ChenchiKing
    @ChenchiKing6 ай бұрын

    Nimemkubal Mchizi UK Kawajibu Kihakili Xan , Ila D.C Kam Kazinguw Kidogo Hivo❤❤❤🎉🎉🎉

  • @hamismchoma
    @hamismchoma6 ай бұрын

    Mchiz wa uk chaguo pendwa ilo tz atoe ngoma axtoe bado love

  • @OmegaKingKas
    @OmegaKingKas6 ай бұрын

    K2GA MCHIZI WA UK Akili sana 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤

  • @StanleyStanleyStanleyStanley
    @StanleyStanleyStanleyStanley6 ай бұрын

    Ni kweli huyu k2g haimbi nyimbo kwa kushindana na msaan mwenzake ye anaimba nyimbo zake kwa kuipenda 🎉

  • @ivantompoo3420
    @ivantompoo34206 ай бұрын

    Umeona watu wakubwa d voice wanavyo jibu maswal sio ww bado kijola haujui kujibu maswal kam msanii

  • @byamungujackson45

    @byamungujackson45

    6 ай бұрын

    Kabisa

  • @baimarrajahbuayan6237

    @baimarrajahbuayan6237

    6 ай бұрын

    😅😅😅😅Ety kijora 😅😅Bado. Mshamba ajui. Kitu

  • @user-ge6ce5nt9i
    @user-ge6ce5nt9i5 ай бұрын

    Ndug zangu niache hunafiki binafsi mimi sijawai kusikiliza nyimbo ya uyo D voc sijawai hata siku moja kwaza simwelewi kabisa ki2ga ❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤

  • @eggysulle7988

    @eggysulle7988

    5 ай бұрын

    Afzar ww mie ata kumskiiza tu smsikiizagi

  • @rajabmsinzia1715

    @rajabmsinzia1715

    5 ай бұрын

    Me too yaani hata interview zake sijawahi kuzisikiliza kiukweli

  • @TaarabChannel
    @TaarabChannel6 ай бұрын

    Nice..... Mupitie na kwangu wapenzi ❤❤❤

  • @erickgulayi2089
    @erickgulayi20896 ай бұрын

    Kajibu vyema sana kijana wetu

  • @kapeamohamed2750
    @kapeamohamed27506 ай бұрын

    Yuo ni ngoma kali 🙏🙏

  • @user-kd7kh1io9k
    @user-kd7kh1io9k6 ай бұрын

    D voice dogo kiburi mwisho wasiku utajuta kuingia wcb

  • @user-uk8rl7mi7i
    @user-uk8rl7mi7i6 ай бұрын

    Kijana kajibu vizr sana ❤❤

  • @user-ny5ug4qo6c
    @user-ny5ug4qo6c6 ай бұрын

    Haya ndio majibu ya kibusara.kwa king,s music

  • @salimkadege3415
    @salimkadege34156 ай бұрын

    Safi kabisa ki2gs

  • @user-ws7gp8xj4h
    @user-ws7gp8xj4h4 ай бұрын

    one love k2ga uko na akili san

  • @KhalphaniMussa-xz2wv
    @KhalphaniMussa-xz2wv6 ай бұрын

    Nimekukubali sana kwanzia leo broo Karim Allah akuongoze vyema katka kazi zako na akupe afya njema kaka mkubwa

  • @MahdonTz
    @MahdonTz6 ай бұрын

    K2ga anamalezi mazuri sana namkubali huyo dada d voice bado sana

  • @Igweezysirleem
    @Igweezysirleem6 ай бұрын

    Akili nyingi kichwani🔥🔥🔥🔥🔥kings music for life

  • @bakarisuleimani5692
    @bakarisuleimani56926 ай бұрын

    Mino TV

  • @mbwelamedia3469
    @mbwelamedia34695 ай бұрын

    Kama amejibu Hili kutoka kwenye moyo bas respect ndg wng k2ga

  • @kambandefusaidi6966
    @kambandefusaidi69666 ай бұрын

    Mchizi wa UK 🦅🔥🔥👏

  • @ivantompoo3420
    @ivantompoo34206 ай бұрын

    Nc ki2g

  • @LenaMwatwino-xi5cg
    @LenaMwatwino-xi5cg6 ай бұрын

    Mchizi wa UK❤❤❤

  • @salimasalim405
    @salimasalim4055 ай бұрын

    Be gup broo nice interview

  • @EricksonAbell
    @EricksonAbell5 ай бұрын

    Unajua brother

  • @StalonPetro
    @StalonPetro5 ай бұрын

    Congratulations

  • @Masudimwege-rc3tm
    @Masudimwege-rc3tm5 ай бұрын

    Saw brow nachuki yanni

  • @JuniorMuhima
    @JuniorMuhima5 ай бұрын

    Uyo D voice 😂maisha ndo katafuta ali siyo mwenziye🇨🇩

  • @user-pd2kw4qo2o
    @user-pd2kw4qo2o6 ай бұрын

    Akili kubwa San dogo kajibu kiutu uzima

  • @user-um4fk5ls3v
    @user-um4fk5ls3v6 ай бұрын

    Kweli ❤❤❤❤

  • @EdithaAlasi-wg2pt
    @EdithaAlasi-wg2pt6 ай бұрын

    ❤ nakukubali San k2g

  • @JosephMumuza
    @JosephMumuza5 ай бұрын

    Ka2g yangu Léo takufatikia sana una baya

  • @depsonathanase6275
    @depsonathanase62756 ай бұрын

    Kaka tuna kuchunga depuis congo

  • @abisaimuhanji3687
    @abisaimuhanji36876 ай бұрын

    Jamaa anaimba sana halafu hana kwere

  • @user-rh6nu4fc3p
    @user-rh6nu4fc3p6 ай бұрын

    Mature man anaongea kma yuko na akili za watu mia

  • @user-yq5xx8ft1i
    @user-yq5xx8ft1i5 ай бұрын

    D voic napenda ngoma zake ila amefeli kwa ilo kwaiyo baba akigombana na mama yako utomueshimu baba kisa wametofautiana ache uswaili

  • @MtumbaOG
    @MtumbaOG6 ай бұрын

    Vitu vingi vipi wewe unapoteza mashabiki k2ga

  • @NellyWaKidato
    @NellyWaKidato6 ай бұрын

    Natamani Siku Moja Nifanye Kollabo na K2ga

  • @user-vi7wy8xx9f
    @user-vi7wy8xx9f5 ай бұрын

    ♥️♥️♥️

  • @fredymsigala2289
    @fredymsigala22895 ай бұрын

    Wa Uk

  • @rajabmsinzia1715
    @rajabmsinzia17155 ай бұрын

    Miakili Mingi kama Baba wake

  • @mbezzoprince9462
    @mbezzoprince94626 ай бұрын

    Huyu duniani hayuko wala mbinguni

  • @user-lu3uo8tf2x
    @user-lu3uo8tf2x6 ай бұрын

    Dgo anajua kujibu maswali

  • @Tozdance3570
    @Tozdance35706 ай бұрын

    Wasani wakukaratasi ila uwanjani hawapo

  • @fredymsigala2289
    @fredymsigala22895 ай бұрын

    Mchizi

  • @user-gl2pr7se5n
    @user-gl2pr7se5n6 ай бұрын

    ❤❤

Келесі