Vita nzito! Zamaradi na Faiza Ally wajibizana na kutoleana siri nzito, Mange atia neno, chanzo Sugu

Pakua Application ya Upawa ili ujifunze jinsi ya kupika vyakula mbalimbali na kusoma makala muhimu za chakula na lishe
play.google.com/store/apps/de...

Пікірлер: 159

  • @zeinababdi4757
    @zeinababdi47576 ай бұрын

    I stand with Faiza, she is real

  • @sophiasophia9713
    @sophiasophia97136 ай бұрын

    I think Faiza is telling the truth

  • @claudiajames2003
    @claudiajames20036 ай бұрын

    Faiza huwa yuko real! Kusema kweli Zamaradi anaonekana ana roho ya korosho sana! Ingawa kanavyojiweka huwezi kukadhania

  • @landmadvdmbeyacity9561

    @landmadvdmbeyacity9561

    6 ай бұрын

    Achen ujinga uyo c kahachika kwasugu mdaaa

  • @zariadunia6328
    @zariadunia63286 ай бұрын

    Zama ana damu ya kinyarwanda upande wa mama yake usnitch ni jadi yao ni kanyoka flani hivi na ndo mana ali match sana na Ruge mana Ruge akikuandama utaomba ufe alikuwa mtu wa visasi kukomeshana lait Diamond angeamua kusema aliyomfanyia Ruge utabaki mdomo wazi kwa hiyo zama mdogo wangubleo Sigu ndo kawa brother? Muogope mungu zama

  • @dhhccfgui9400
    @dhhccfgui94006 ай бұрын

    Zama wanamuona mtu mwema sna ila ogopa mtu anae jionyesha mwema kwa watu ila ndan n nyoka sna😂

  • @citymwacheo4497
    @citymwacheo44976 ай бұрын

    Kiukweli zama huwa ni nyoka sema upole na face yke ndio inamficha

  • @marymanoni5536
    @marymanoni55366 ай бұрын

    Faiza jitulize jitulize acha roho mbaya unaroho mbaya sn ww faiza ally ww kakuzidi kila kitu kwanza umekomaa ww faiza jitulize

  • @stn4873
    @stn48736 ай бұрын

    Faiza yuko real. Zama alitumiwa na Ruge kumuharibia Sugu.

  • @florencemeza6540
    @florencemeza65406 ай бұрын

    Mambo mengine ni kuomba Mungu hongera faidha uliona mbali hukutaka kumuharibia baba mtoto wako, ila najiuliza kwa nini Zamaradi anagombana na watu wengi

  • @atutweve4160

    @atutweve4160

    6 ай бұрын

    Sababu wanamuonea wivu 🤪

  • @fbr5113

    @fbr5113

    6 ай бұрын

    ANA ROHO YA KINYARWANDA MAANA ANA DAMU HIYO KUTOKA KWA MAMA YAKE NA PIA KAIGA TABIA ZA MAREHEMU BWANA AKE NA PIA KAATHIRIWA NA MATESO YA HUYO MAREHEMU. NA PIA ANA MAUMIVU YA KUPOTEZA WAZAZI MAPEMA KWAHIYO HAYUKO SAWA ANAJARIBU KULIPIZA ILA HATOPONA BALI KAMA KWELI KUNA SIKU ATAHARIBU SANA ASIPOBADILIKA. AJITAHIDI KUWA MWEMA WA KWELI. SIO KISNEMA

  • @marymanoni5536

    @marymanoni5536

    6 ай бұрын

    Mtu mwenye maendeleo lazima apigwe mawe

  • @user-xz8xu1is3f

    @user-xz8xu1is3f

    6 ай бұрын

    Wanawake acheni wivu

  • @faidhamyovela179

    @faidhamyovela179

    6 ай бұрын

    Mm kwa hili siamin kama zama alitaka kumuharibia sug uchaguz kwakwel bado sijaamin

  • @rukiamziwanda7458
    @rukiamziwanda74586 ай бұрын

    Zama ni mbaya mnoooooooooo nyokaaaaa

  • @user-mb3xq1do3s
    @user-mb3xq1do3s6 ай бұрын

    Huyu bibi faiza nae atulie alee wajukuu

  • @FatumaIssa-kw3vv
    @FatumaIssa-kw3vv6 ай бұрын

    Faiza Queen herself I love you sister ❤

  • @ibrahimkibira9943
    @ibrahimkibira99436 ай бұрын

    Zamaradi anaroho mbaya sana sema tukimuona social media mnamuona mtu mwema ...nilimchukia kipind kile cha dinnar Mario's alivyoondolewa clouds fm zama hafai hata kidogo

  • @thaniakassim7687
    @thaniakassim76876 ай бұрын

    Sikuzote ubaya haujifichi utafhihirika tuu...Sugu anabaki anashangaaa😂😂😂...nyie khaaaaah

  • @chany9950
    @chany99506 ай бұрын

    Thx bro👍🏽

  • @heriethkusigwa7209
    @heriethkusigwa72096 ай бұрын

    Faiza needs a therapist,She must heal Abeeeeg😮

  • @homeandaway2811

    @homeandaway2811

    6 ай бұрын

    That therapist should start with Zama first then he or she can go help Faiza. Humjui Zama vizuri,

  • @hallykanze6693
    @hallykanze66936 ай бұрын

    Zamaridi Ni narcissist she knows how to pretend 😂

  • @sheilaally9490

    @sheilaally9490

    6 ай бұрын

    siyo narcisst,

  • @BossLady-cq2xp

    @BossLady-cq2xp

    6 ай бұрын

    Big narcissist

  • @eben_ezer8853

    @eben_ezer8853

    6 ай бұрын

    A very Huge narcissist I've seen

  • @antipascann2797

    @antipascann2797

    6 ай бұрын

    ​@@eben_ezer8853PhD holder😂

  • @neemayatosha1618

    @neemayatosha1618

    6 ай бұрын

    The girl screems Narc so loud,yaani huhitaji tochi. Very self centered ,with ego na anawaburuza wengi especially Bongo movies artists. And it seems that,If you refused to be used for her gaining au ukimchalenge kimawazo ,things go sour😂

  • @janethjonas1700
    @janethjonas17006 ай бұрын

    Faiza hasemagi uongo..

  • @atutweve4160
    @atutweve41606 ай бұрын

    ZAMA IS SMART AND BLESSED LAZIMA ACHUKIWE,,,, UZURI SIO MAISHA

  • @Mkombozi255
    @Mkombozi2556 ай бұрын

    I stand with Faiza

  • @Mariam-fm8vq
    @Mariam-fm8vq6 ай бұрын

    😂😂😂😂😂pole sana zama maana huna bahati wanja mzima wamekuchoka eti😂😂😂😂😂

  • @chainbre275
    @chainbre2756 ай бұрын

    Faiza might be right kwa anavyo mpenda bby daddy sidhn ka anasema urongo😂😂hu ndonmutazamo wangu

  • @lindambilinyi6253
    @lindambilinyi62536 ай бұрын

    Zamarad hafai niliwah sema na nitaendelea kusema,,,usoni mtu lkn moyoni bundi😂😂

  • @fbr5113

    @fbr5113

    6 ай бұрын

    SISHANGAI WANYARWANDA NDIVYO WALIVYO.

  • @spreadlove5300

    @spreadlove5300

    6 ай бұрын

    ​Sasa Zama ni mnyarwanda au ndo gari imewaka 😢

  • @sarahmcharo1548

    @sarahmcharo1548

    6 ай бұрын

    @@spreadlove5300 hahah

  • @marymanoni5536
    @marymanoni55366 ай бұрын

    Faiza sijui yukoje

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj6 ай бұрын

    Zamaradi hawezi kumkubali faiza kwakuwa analipiza kisasi kwa ruge

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela39266 ай бұрын

    Zama ni nyoka tena nyoka mwenye sumu kali 😢😢😢😢

  • @iantussa9064

    @iantussa9064

    6 ай бұрын

    Mnafahamiana na zamaradi au faiza??

  • @atutweve4160

    @atutweve4160

    6 ай бұрын

    Wivu jamani dada yupo smart huyo lazima watu wamchukie, ana maendeleo yake wakati wengine bado na miaka 40 wanajitafuta

  • @ashurajengela3926

    @ashurajengela3926

    6 ай бұрын

    @@atutweve4160 wivu gani bwana weee kwann kila mtu amlalamikie yy ?!

  • @pendojeremiah1023

    @pendojeremiah1023

    6 ай бұрын

    @@atutweve4160hujawajua watu dear watu kama faidha wako real sana ndo maana wanaonekana wabaya ogopa Sana mtu anayejua kupretend tena public zamaradi ni mwigizaji sana

  • @rajabdibwa6415
    @rajabdibwa64155 ай бұрын

    They always say 'Still water runs deep!'

  • @fauziasultanikilewa7602
    @fauziasultanikilewa76026 ай бұрын

    Faiza anampenda saaaaaaaaaaanaaaaa sugu sasa quona hasimu waqe anashiriqiana na sugu anataqa quharibu 😂😂aisee faiza unataqiwa ququbali qwamba hutaqiwi

  • @fatmaallyabdul1732
    @fatmaallyabdul17326 ай бұрын

    Shida yetu viewers yaani wa kwanza akianza kuponda au kusifia basi wote tunafuatisha hilo hilo ediots!!! Ooh!!Zama nyoka,sijui muuaji sijui nini wakati wakielewana tulikuwepo?! Shida kuna mtu hakubali kuachika ndio maana kila siku yupo kwenye page ya ex wake 😂kujichoresha na kujidhalilisha tu...mtu aliyekua kiakili ikitokea umegombana nae wala hahangaiki kufichua siri zako hadharani huo ni utoto!!!

  • @hidayaswai3119

    @hidayaswai3119

    6 ай бұрын

    Mbona na wewe unaonesha una chuki na faiza? Tuacheni u follower kwenye magomvi yasiyotuhusu. Wanajuana hao

  • @faridanurdin9635

    @faridanurdin9635

    6 ай бұрын

    Nakuelewa sana,nakumbuka marehemu baba yangu aliniambia chagua Rafik mwenye hekima na jizuie kugombana nae,na mkikwaruzana usiongee lolote..kila utakachoongea kitaaminiwa..kifupi ogopa ugomvi na rafiki yako.

  • @user-wp2uj7wt1i
    @user-wp2uj7wt1i6 ай бұрын

    Huyo Faiza nae mswahili kwann..asingepita kule angeacha..kwani ni lazima uongezee jambo. Zama might be a good person in one way lakn kwasababu anajulikana ana mambo meusi wanachukulia advantage.

  • @aishaabdul9287
    @aishaabdul92876 ай бұрын

    Ugomvi wa watu wazima wataumaliza wenyewe

  • @user-eo4hd8xu6d
    @user-eo4hd8xu6d6 ай бұрын

    😂😂😂faidha yuko km gigymoney au Rubí wakikasirika tuu siri zote nje

  • @PhyinaElias-mu4wf

    @PhyinaElias-mu4wf

    6 ай бұрын

    😂😂 kabisa

  • @vennyrichard2139

    @vennyrichard2139

    6 ай бұрын

    Hahaaa n huw za kwel

  • @rerisamba

    @rerisamba

    6 ай бұрын

    🤣🤣🤣

  • @user-yh2gy1lp7w
    @user-yh2gy1lp7w6 ай бұрын

    Watuwace tuko busy na manara❤

  • @umfahad2609
    @umfahad26096 ай бұрын

    Huyu Zama aliwahi kugombana ht na Hamisa. Na akamtangaza vibaya mwenzake. Halafu anajidai kwa vile csemi nakaa kimya. Ukimta gani huo?

  • @marymanoni5536
    @marymanoni55366 ай бұрын

    Mnamuonea wivu zamaradi kisa anamaendeleo

  • @edakilibika5935
    @edakilibika59356 ай бұрын

    Siku zote walikuwa wapi zama songa mbele na yako watumie akili zao na wao zama zama

  • @leilamohamed950
    @leilamohamed9506 ай бұрын

    Alyesikia suge na rugu nani 😅😅😅

  • @TaarabChannel
    @TaarabChannel6 ай бұрын

    Mupitie na kwangu wapenzi ❤❤❤

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan24996 ай бұрын

    Jamani mbona hivi 😢

  • @shanimbaruku2071
    @shanimbaruku20716 ай бұрын

    Safi zama ww ni mti wenye matunda🎉

  • @sarahmcharo1548
    @sarahmcharo15486 ай бұрын

    mh sugu ukute hta hajui haya yote

  • @magretangel5242
    @magretangel52426 ай бұрын

    7:33 "Suge na Rugu" 😂😂😂

  • @pantaleomcha1795

    @pantaleomcha1795

    5 ай бұрын

    😂😂😂

  • @rahmaabdallah4514
    @rahmaabdallah45146 ай бұрын

    Mimi sijaona sababu ya kushambuliana ule mda zama alikua hajakomaa ki akili na maanisha hajajitambua sasa anajielewa vzuri..binaadamu hufika wakati akajutia makosa yako aliyoyatenda nyuma sasa ameona hakuna sababu au uhasama au uadui amejitakasa moyo na kusamehe yalopita kuelewana na kila mtu.... maisha ni mafupi samehe hapa duniani

  • @najmasalim-rg6ow

    @najmasalim-rg6ow

    6 ай бұрын

    Fact

  • @iantussa9064

    @iantussa9064

    6 ай бұрын

    Hongera uko sawa mumy❤

  • @lilianjeremia1024
    @lilianjeremia10246 ай бұрын

    Kwaiyo ngapi uko kati ya faiza au zama

  • @emmasonanjawe9042
    @emmasonanjawe90426 ай бұрын

    Ndomana kila siku Huwa nawaambia wanawake ni nyoka hatari sana hivyo umakini zaidi unahitajika kwenye baazi ya Siri zetu wanaume

  • @nancyg8664

    @nancyg8664

    6 ай бұрын

    😂 😂aya mtoto wa nyoka

  • @umfahad2609

    @umfahad2609

    6 ай бұрын

    Km wanawake ni nyoka. Bac ht mamaako ni nyoka?

  • @marymanoni5536
    @marymanoni55366 ай бұрын

    Wivu nenda uko anakuzidi maendeleo wivuuuuuuuu

  • @Shehasweet-hy6xn
    @Shehasweet-hy6xn6 ай бұрын

    Lazima akatae..maana watanzania wote wamejionee..zama huwa anatabia mbaya..kila rafiki lazima anamlalamikia..niko na faiza inauma saana...zama hamalizanagi vizur na marafiki lazima anawapigaga kitu kizito

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne74916 ай бұрын

    Zamaradi mimi siku nyingi nnajua kwamba ana roho mbaya sana hiyo ina julikana

  • @atutweve4160

    @atutweve4160

    6 ай бұрын

    Ili ufanikiwe lazima uwe wa pekee sana kitabia na kila kitu, ukiwa mtu wakuchekacheka sio rahisi kufika malengo, ao matajir walofanikiwa wote utaambiwa wana roho mbaya sababu wapo determined,,,,, sasa yeye ndo mjinga alifunzwa kumharibia baba mtoto ake akakubali? Ndo ujue Zama yupo smart sana kumzidi, hata hakujua nani anathamani Kati ya baba mtoto na rafiki tu 👁👀👀👀🤔

  • @neemayatosha1618

    @neemayatosha1618

    6 ай бұрын

    ​@@atutweve4160 its ok to be smart,ila si vema kuutumia usmart wako to manipulate people and situations for your interests. Huyu anaonekana ana mengi anafanyia watu ila wanaogopa kusema,ndio kama hivyo ukisema unaishia kawe police station.

  • @atutweve4160

    @atutweve4160

    6 ай бұрын

    @@neemayatosha1618 hao walikua marafiki ndugu yangu, katika urafiki watu mnasimuliana vitu vingi sana mkikosana ndo kama hivo mnatoleana Siri, mwanamke ukimkingia kifua mumeo hakuna mtu wa nje atakuja kuku manipulate yani ubaya uliaza kwa mwenye mume mwenyewe alimteta na kumsema mumewe ndomana zama akapata njia ya kuingilia,,,,, very logical mbona

  • @user-nq4md3sj6d
    @user-nq4md3sj6d6 ай бұрын

    huyu Faiza daah 🤣

  • @merrynancesimon1562
    @merrynancesimon15626 ай бұрын

    Pole faiza binadamu marafiki wabaya mnooo

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray2776 ай бұрын

    Tafuten pesa banaaa

  • @stonetown578
    @stonetown5786 ай бұрын

    Zama this, Zama than, I like it.

  • @hopechidera

    @hopechidera

    6 ай бұрын

    Zama that not than🧐

  • @stonetown578

    @stonetown578

    6 ай бұрын

    @zimuzorchidera6077 typing error my friend

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n5 ай бұрын

    Faizaa😂😂😂😂hakopeshiii

  • @fatumahashimmcheni9610
    @fatumahashimmcheni96106 ай бұрын

    Taabu ya Umaruifuuu hiii

  • @ramadhanseleman4276
    @ramadhanseleman42766 ай бұрын

    Hivi vibibi vinapenda kutrend

  • @zainabwage4658

    @zainabwage4658

    6 ай бұрын

    😂😂tena mpk kero

  • @fridageorge2809

    @fridageorge2809

    6 ай бұрын

    Wanaubibi gani!? 40’s ndio kwanza wameanza maisha!❤

  • @priscajube4239

    @priscajube4239

    6 ай бұрын

    Wana ubibi gani. Wasichana wabichi hawajachakaa kuliko walio 30.

  • @Mariam-fm8vq

    @Mariam-fm8vq

    6 ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @user-vy2bc6xg3i

    @user-vy2bc6xg3i

    6 ай бұрын

    Acha zako wee unaenda juu au chini miaka 40 bibi

  • @mohamedibwatamu
    @mohamedibwatamu6 ай бұрын

    NAN KASKIA SUGE NA RUGU MWISHONI MWISHONI 😅😅

  • @marymanoni5536
    @marymanoni55366 ай бұрын

    Wewe huna akili faiza

  • @maryamconstantine2232
    @maryamconstantine22326 ай бұрын

    Daima ukiwa mwema utachukiwa mnoooooooo

  • @debbiethomas9825
    @debbiethomas98256 ай бұрын

    SUGE NA RUGU......Chriss😂😂😂😂😂😂

  • @agathamwageni5016

    @agathamwageni5016

    6 ай бұрын

    😅😅😅

  • @HappinessNess-dj6rt
    @HappinessNess-dj6rt6 ай бұрын

    Dada kashindwa kumuv

  • @jordanmwamlima7579
    @jordanmwamlima75796 ай бұрын

    Ashamuharibia na kumchafua sana Sugu, hana chochote cha kueleza they're all snitches...

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania97436 ай бұрын

    Zamaradi anaakili sana ndo mana wanamchukia pole zama wangu labda usiwe unaongea chochote manake ukiongea ni sumu inakuwa yani huyu faidha kwanza niliwahi kujiuliza huyu zama inakuaje anakuwa na urafiki na faidha sababu namuonaga analopakaga tu afu yeye hivi ndi anapenda ili aongelewe

  • @johasaeed391

    @johasaeed391

    6 ай бұрын

    Weee usiseme hivyo binadama wanamazito sana tena hawo wakimya ni balaa sana ndugu mwisho wa siku huwa hamna sili tena utajulikana tu kitabia chako yaani ni bora linaloongea ovyo huwa ndani ya roho yake ni safi

  • @chanceB98

    @chanceB98

    6 ай бұрын

    ​@@johasaeed391kweli ❤

  • @marymanoni5536

    @marymanoni5536

    6 ай бұрын

    Ndioooooo

  • @zariadunia6328

    @zariadunia6328

    6 ай бұрын

    Ana GPA ya ngapi watu wqnquza unga mnawaita wana akili😊😊😊

  • @OG_20
    @OG_206 ай бұрын

    waendelee kutupa burudani

  • @RandB_Channel
    @RandB_Channel6 ай бұрын

    Sasa jamani kama Zamaradi amekomenti vile kwa Sugu kuna shida gani?? Sioni shida labda kulikuwa bifu nzito kati yawo

  • @fatmaallyabdul1732

    @fatmaallyabdul1732

    6 ай бұрын

    Alikuwa anaafta saabu si unajua hakubali kuwa aliachwa na sugu

  • @homeandaway2811
    @homeandaway28116 ай бұрын

    Zamaradi ni mshenzi sana 💯

  • @tecratzmwakyambomwakyambo7243

    @tecratzmwakyambomwakyambo7243

    6 ай бұрын

    Na wengi wanamsema

  • @homeandaway2811

    @homeandaway2811

    6 ай бұрын

    Yaani Faiza ana mapungufu kama binadamu wote tulivyo, najua sometimes Faiza mambo yake ni shida 😅 lakini Zama ni NYOKA mwenye sumu kali!​@@tecratzmwakyambomwakyambo7243

  • @shabanponera2895
    @shabanponera28956 ай бұрын

    Mtangazaji umetisha SUGE na RUGU 7:30

  • @ashurahatibu5069

    @ashurahatibu5069

    6 ай бұрын

    😅😅😅😅😅suge na rugu

  • @mauakiza2295
    @mauakiza22956 ай бұрын

    Awajapigana

  • @neemanziku5403
    @neemanziku54036 ай бұрын

    Ww faiza ww ni mtu mzima vingine uweunanyamaza,yann kutoana siri?

  • @augustinemainde2730
    @augustinemainde27306 ай бұрын

    Subirini midoli ya Kichina iingie wanaume wahamie huko ugomvi utaisha😊😅😊😅

  • @fatmaallyabdul1732

    @fatmaallyabdul1732

    6 ай бұрын

    😂😂😂

  • @samwa9496

    @samwa9496

    6 ай бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @peninashungu6633
    @peninashungu66336 ай бұрын

    Watu mwembamba uwa WAONGO WAONGO Sana ndo havinenepi kabisaaa

  • @muzafarsharif9465

    @muzafarsharif9465

    6 ай бұрын

    vinanepa huko Chini Tu

  • @fridageorge2809

    @fridageorge2809

    6 ай бұрын

    Kama waongo waongo mbona mnashinda gym na madayati kibao na nyie mnataka kuwa waongo!!?

  • @neemayatosha1618

    @neemayatosha1618

    6 ай бұрын

    ​@@fridageorge2809🤣🤣🤣 akikujibu nishtue

  • @umfahad2609

    @umfahad2609

    6 ай бұрын

    @@fridageorge2809😂😂😂😂

  • @pulikisia7963
    @pulikisia79636 ай бұрын

    Hahahahaaaa mtangazaji kachapia majina ya Sugu na Ruge,eti Suge na Rugu😂😂😂

  • @user-eo4hd8xu6d

    @user-eo4hd8xu6d

    6 ай бұрын

    😂😂😂

  • @PhyinaElias-mu4wf

    @PhyinaElias-mu4wf

    6 ай бұрын

    Hahah😂

  • @judyngowi391

    @judyngowi391

    6 ай бұрын

    Safi sna

  • @umfahad2609

    @umfahad2609

    6 ай бұрын

    Majina yenyewe ni yakiajabu ndio mana.😂😂😂

  • @AllyJuma-zp9nw
    @AllyJuma-zp9nw6 ай бұрын

    Nyie ni wazazi acheni kina zuchu hizo drama

  • @faidhakikoba5399
    @faidhakikoba53996 ай бұрын

    😅😅😅zamaaaa maji

  • @marynjuka
    @marynjuka6 ай бұрын

    itakuwa zama anamatatizo

  • @queenmilan2024
    @queenmilan20246 ай бұрын

    Zamaradi ni muuaji wa chini

  • @rerisamba
    @rerisamba6 ай бұрын

    Vile umetaja Mangi nimekuja

  • @khadijarashidy9304
    @khadijarashidy93046 ай бұрын

    I'm from Cuba and I don't understanding Swahili but hii imeenda 😂😂😂

  • @swabramohammad4487

    @swabramohammad4487

    6 ай бұрын

    😂😂😂

  • @PhyinaElias-mu4wf

    @PhyinaElias-mu4wf

    6 ай бұрын

    You don't understand Swahili but hii imeendaa umeielewa🤣🤣

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry6 ай бұрын

    Watu wazima ovyooo.

  • @PhyinaElias-mu4wf
    @PhyinaElias-mu4wf6 ай бұрын

    Me nikajua zamaradi n mstarabu,mpole hadi nampendaga sanaaaa had wasani baadhi huwa wanasema zamaradi anajua kutuza siri anajua kushauri khaa kumbe ndivyo alivyooo 😮

  • @jescanicodemus

    @jescanicodemus

    6 ай бұрын

    ana roho mbaya wasanii wengi huwa wanamlalamikia

  • @PhyinaElias-mu4wf

    @PhyinaElias-mu4wf

    6 ай бұрын

    @@jescanicodemus Mmmh madogo,, khaaa uzaniae sie Kwa kwel

  • @rerisamba

    @rerisamba

    6 ай бұрын

    ​@@PhyinaElias-mu4wf🤣🤣🤣waa wacha tushangae jamani

  • @yunaisamidd7587
    @yunaisamidd75876 ай бұрын

    Yan ukisoma comment ndo unajua watu wana magonjwa ya wivu na akili pia yan mnavo muattak zama utafikir mna ujua ukwel wivu Uta wauwa mbwa nyie 😅😅😅😅😅😅😅

  • @judyngowi391

    @judyngowi391

    6 ай бұрын

    😅😅😅😅😅😅😅

  • @MNHAMAOFICIAL
    @MNHAMAOFICIAL6 ай бұрын

    naoba number ya faiza tafadhali

  • @user-fy9pw2zr8l

    @user-fy9pw2zr8l

    6 ай бұрын

    si uende kwenye bio ya insta

  • @MNHAMAOFICIAL

    @MNHAMAOFICIAL

    6 ай бұрын

    SI TUMIII VP UNAWEZA NI HELP@@user-fy9pw2zr8l

  • @Adje244
    @Adje2446 ай бұрын

    Zamarandi ni yuda sana yani ni anakuua huku anacheka

  • @rerisamba

    @rerisamba

    6 ай бұрын

    🤣🤣🤣

  • @homeandaway2811

    @homeandaway2811

    6 ай бұрын

    💯 na ni kinyonga

  • @beatricehenry6776
    @beatricehenry67766 ай бұрын

    Watu hugombana na kusameheana sioni shida ya Zama ya kale yamepita ila mwenye shida Ni Faizer mwenye sumu ya nyongo

Келесі