Vita nzito! Zamaradi na Faiza Ally wajibizana na kutoleana siri nzito, Mange atia neno, chanzo Sugu
Pakua Application ya Upawa ili ujifunze jinsi ya kupika vyakula mbalimbali na kusoma makala muhimu za chakula na lishe
play.google.com/store/apps/de...
Пікірлер: 159
I stand with Faiza, she is real
I think Faiza is telling the truth
Faiza huwa yuko real! Kusema kweli Zamaradi anaonekana ana roho ya korosho sana! Ingawa kanavyojiweka huwezi kukadhania
@landmadvdmbeyacity9561
6 ай бұрын
Achen ujinga uyo c kahachika kwasugu mdaaa
Zama ana damu ya kinyarwanda upande wa mama yake usnitch ni jadi yao ni kanyoka flani hivi na ndo mana ali match sana na Ruge mana Ruge akikuandama utaomba ufe alikuwa mtu wa visasi kukomeshana lait Diamond angeamua kusema aliyomfanyia Ruge utabaki mdomo wazi kwa hiyo zama mdogo wangubleo Sigu ndo kawa brother? Muogope mungu zama
Zama wanamuona mtu mwema sna ila ogopa mtu anae jionyesha mwema kwa watu ila ndan n nyoka sna😂
Kiukweli zama huwa ni nyoka sema upole na face yke ndio inamficha
Faiza jitulize jitulize acha roho mbaya unaroho mbaya sn ww faiza ally ww kakuzidi kila kitu kwanza umekomaa ww faiza jitulize
Faiza yuko real. Zama alitumiwa na Ruge kumuharibia Sugu.
Mambo mengine ni kuomba Mungu hongera faidha uliona mbali hukutaka kumuharibia baba mtoto wako, ila najiuliza kwa nini Zamaradi anagombana na watu wengi
@atutweve4160
6 ай бұрын
Sababu wanamuonea wivu 🤪
@fbr5113
6 ай бұрын
ANA ROHO YA KINYARWANDA MAANA ANA DAMU HIYO KUTOKA KWA MAMA YAKE NA PIA KAIGA TABIA ZA MAREHEMU BWANA AKE NA PIA KAATHIRIWA NA MATESO YA HUYO MAREHEMU. NA PIA ANA MAUMIVU YA KUPOTEZA WAZAZI MAPEMA KWAHIYO HAYUKO SAWA ANAJARIBU KULIPIZA ILA HATOPONA BALI KAMA KWELI KUNA SIKU ATAHARIBU SANA ASIPOBADILIKA. AJITAHIDI KUWA MWEMA WA KWELI. SIO KISNEMA
@marymanoni5536
6 ай бұрын
Mtu mwenye maendeleo lazima apigwe mawe
@user-xz8xu1is3f
6 ай бұрын
Wanawake acheni wivu
@faidhamyovela179
6 ай бұрын
Mm kwa hili siamin kama zama alitaka kumuharibia sug uchaguz kwakwel bado sijaamin
Zama ni mbaya mnoooooooooo nyokaaaaa
Huyu bibi faiza nae atulie alee wajukuu
Faiza Queen herself I love you sister ❤
Zamaradi anaroho mbaya sana sema tukimuona social media mnamuona mtu mwema ...nilimchukia kipind kile cha dinnar Mario's alivyoondolewa clouds fm zama hafai hata kidogo
Sikuzote ubaya haujifichi utafhihirika tuu...Sugu anabaki anashangaaa😂😂😂...nyie khaaaaah
Thx bro👍🏽
Faiza needs a therapist,She must heal Abeeeeg😮
@homeandaway2811
6 ай бұрын
That therapist should start with Zama first then he or she can go help Faiza. Humjui Zama vizuri,
Zamaridi Ni narcissist she knows how to pretend 😂
@sheilaally9490
6 ай бұрын
siyo narcisst,
@BossLady-cq2xp
6 ай бұрын
Big narcissist
@eben_ezer8853
6 ай бұрын
A very Huge narcissist I've seen
@antipascann2797
6 ай бұрын
@@eben_ezer8853PhD holder😂
@neemayatosha1618
6 ай бұрын
The girl screems Narc so loud,yaani huhitaji tochi. Very self centered ,with ego na anawaburuza wengi especially Bongo movies artists. And it seems that,If you refused to be used for her gaining au ukimchalenge kimawazo ,things go sour😂
Faiza hasemagi uongo..
ZAMA IS SMART AND BLESSED LAZIMA ACHUKIWE,,,, UZURI SIO MAISHA
I stand with Faiza
😂😂😂😂😂pole sana zama maana huna bahati wanja mzima wamekuchoka eti😂😂😂😂😂
Faiza might be right kwa anavyo mpenda bby daddy sidhn ka anasema urongo😂😂hu ndonmutazamo wangu
Zamarad hafai niliwah sema na nitaendelea kusema,,,usoni mtu lkn moyoni bundi😂😂
@fbr5113
6 ай бұрын
SISHANGAI WANYARWANDA NDIVYO WALIVYO.
@spreadlove5300
6 ай бұрын
Sasa Zama ni mnyarwanda au ndo gari imewaka 😢
@sarahmcharo1548
6 ай бұрын
@@spreadlove5300 hahah
Faiza sijui yukoje
Zamaradi hawezi kumkubali faiza kwakuwa analipiza kisasi kwa ruge
Zama ni nyoka tena nyoka mwenye sumu kali 😢😢😢😢
@iantussa9064
6 ай бұрын
Mnafahamiana na zamaradi au faiza??
@atutweve4160
6 ай бұрын
Wivu jamani dada yupo smart huyo lazima watu wamchukie, ana maendeleo yake wakati wengine bado na miaka 40 wanajitafuta
@ashurajengela3926
6 ай бұрын
@@atutweve4160 wivu gani bwana weee kwann kila mtu amlalamikie yy ?!
@pendojeremiah1023
6 ай бұрын
@@atutweve4160hujawajua watu dear watu kama faidha wako real sana ndo maana wanaonekana wabaya ogopa Sana mtu anayejua kupretend tena public zamaradi ni mwigizaji sana
They always say 'Still water runs deep!'
Faiza anampenda saaaaaaaaaaanaaaaa sugu sasa quona hasimu waqe anashiriqiana na sugu anataqa quharibu 😂😂aisee faiza unataqiwa ququbali qwamba hutaqiwi
Shida yetu viewers yaani wa kwanza akianza kuponda au kusifia basi wote tunafuatisha hilo hilo ediots!!! Ooh!!Zama nyoka,sijui muuaji sijui nini wakati wakielewana tulikuwepo?! Shida kuna mtu hakubali kuachika ndio maana kila siku yupo kwenye page ya ex wake 😂kujichoresha na kujidhalilisha tu...mtu aliyekua kiakili ikitokea umegombana nae wala hahangaiki kufichua siri zako hadharani huo ni utoto!!!
@hidayaswai3119
6 ай бұрын
Mbona na wewe unaonesha una chuki na faiza? Tuacheni u follower kwenye magomvi yasiyotuhusu. Wanajuana hao
@faridanurdin9635
6 ай бұрын
Nakuelewa sana,nakumbuka marehemu baba yangu aliniambia chagua Rafik mwenye hekima na jizuie kugombana nae,na mkikwaruzana usiongee lolote..kila utakachoongea kitaaminiwa..kifupi ogopa ugomvi na rafiki yako.
Huyo Faiza nae mswahili kwann..asingepita kule angeacha..kwani ni lazima uongezee jambo. Zama might be a good person in one way lakn kwasababu anajulikana ana mambo meusi wanachukulia advantage.
Ugomvi wa watu wazima wataumaliza wenyewe
😂😂😂faidha yuko km gigymoney au Rubí wakikasirika tuu siri zote nje
@PhyinaElias-mu4wf
6 ай бұрын
😂😂 kabisa
@vennyrichard2139
6 ай бұрын
Hahaaa n huw za kwel
@rerisamba
6 ай бұрын
🤣🤣🤣
Watuwace tuko busy na manara❤
Huyu Zama aliwahi kugombana ht na Hamisa. Na akamtangaza vibaya mwenzake. Halafu anajidai kwa vile csemi nakaa kimya. Ukimta gani huo?
Mnamuonea wivu zamaradi kisa anamaendeleo
Siku zote walikuwa wapi zama songa mbele na yako watumie akili zao na wao zama zama
Alyesikia suge na rugu nani 😅😅😅
Mupitie na kwangu wapenzi ❤❤❤
Jamani mbona hivi 😢
Safi zama ww ni mti wenye matunda🎉
mh sugu ukute hta hajui haya yote
7:33 "Suge na Rugu" 😂😂😂
@pantaleomcha1795
5 ай бұрын
😂😂😂
Mimi sijaona sababu ya kushambuliana ule mda zama alikua hajakomaa ki akili na maanisha hajajitambua sasa anajielewa vzuri..binaadamu hufika wakati akajutia makosa yako aliyoyatenda nyuma sasa ameona hakuna sababu au uhasama au uadui amejitakasa moyo na kusamehe yalopita kuelewana na kila mtu.... maisha ni mafupi samehe hapa duniani
@najmasalim-rg6ow
6 ай бұрын
Fact
@iantussa9064
6 ай бұрын
Hongera uko sawa mumy❤
Kwaiyo ngapi uko kati ya faiza au zama
Ndomana kila siku Huwa nawaambia wanawake ni nyoka hatari sana hivyo umakini zaidi unahitajika kwenye baazi ya Siri zetu wanaume
@nancyg8664
6 ай бұрын
😂 😂aya mtoto wa nyoka
@umfahad2609
6 ай бұрын
Km wanawake ni nyoka. Bac ht mamaako ni nyoka?
Wivu nenda uko anakuzidi maendeleo wivuuuuuuuu
Lazima akatae..maana watanzania wote wamejionee..zama huwa anatabia mbaya..kila rafiki lazima anamlalamikia..niko na faiza inauma saana...zama hamalizanagi vizur na marafiki lazima anawapigaga kitu kizito
Zamaradi mimi siku nyingi nnajua kwamba ana roho mbaya sana hiyo ina julikana
@atutweve4160
6 ай бұрын
Ili ufanikiwe lazima uwe wa pekee sana kitabia na kila kitu, ukiwa mtu wakuchekacheka sio rahisi kufika malengo, ao matajir walofanikiwa wote utaambiwa wana roho mbaya sababu wapo determined,,,,, sasa yeye ndo mjinga alifunzwa kumharibia baba mtoto ake akakubali? Ndo ujue Zama yupo smart sana kumzidi, hata hakujua nani anathamani Kati ya baba mtoto na rafiki tu 👁👀👀👀🤔
@neemayatosha1618
6 ай бұрын
@@atutweve4160 its ok to be smart,ila si vema kuutumia usmart wako to manipulate people and situations for your interests. Huyu anaonekana ana mengi anafanyia watu ila wanaogopa kusema,ndio kama hivyo ukisema unaishia kawe police station.
@atutweve4160
6 ай бұрын
@@neemayatosha1618 hao walikua marafiki ndugu yangu, katika urafiki watu mnasimuliana vitu vingi sana mkikosana ndo kama hivo mnatoleana Siri, mwanamke ukimkingia kifua mumeo hakuna mtu wa nje atakuja kuku manipulate yani ubaya uliaza kwa mwenye mume mwenyewe alimteta na kumsema mumewe ndomana zama akapata njia ya kuingilia,,,,, very logical mbona
huyu Faiza daah 🤣
Pole faiza binadamu marafiki wabaya mnooo
Tafuten pesa banaaa
Zama this, Zama than, I like it.
@hopechidera
6 ай бұрын
Zama that not than🧐
@stonetown578
6 ай бұрын
@zimuzorchidera6077 typing error my friend
Faizaa😂😂😂😂hakopeshiii
Taabu ya Umaruifuuu hiii
Hivi vibibi vinapenda kutrend
@zainabwage4658
6 ай бұрын
😂😂tena mpk kero
@fridageorge2809
6 ай бұрын
Wanaubibi gani!? 40’s ndio kwanza wameanza maisha!❤
@priscajube4239
6 ай бұрын
Wana ubibi gani. Wasichana wabichi hawajachakaa kuliko walio 30.
@Mariam-fm8vq
6 ай бұрын
😂😂😂😂
@user-vy2bc6xg3i
6 ай бұрын
Acha zako wee unaenda juu au chini miaka 40 bibi
NAN KASKIA SUGE NA RUGU MWISHONI MWISHONI 😅😅
Wewe huna akili faiza
Daima ukiwa mwema utachukiwa mnoooooooo
SUGE NA RUGU......Chriss😂😂😂😂😂😂
@agathamwageni5016
6 ай бұрын
😅😅😅
Dada kashindwa kumuv
Ashamuharibia na kumchafua sana Sugu, hana chochote cha kueleza they're all snitches...
Zamaradi anaakili sana ndo mana wanamchukia pole zama wangu labda usiwe unaongea chochote manake ukiongea ni sumu inakuwa yani huyu faidha kwanza niliwahi kujiuliza huyu zama inakuaje anakuwa na urafiki na faidha sababu namuonaga analopakaga tu afu yeye hivi ndi anapenda ili aongelewe
@johasaeed391
6 ай бұрын
Weee usiseme hivyo binadama wanamazito sana tena hawo wakimya ni balaa sana ndugu mwisho wa siku huwa hamna sili tena utajulikana tu kitabia chako yaani ni bora linaloongea ovyo huwa ndani ya roho yake ni safi
@chanceB98
6 ай бұрын
@@johasaeed391kweli ❤
@marymanoni5536
6 ай бұрын
Ndioooooo
@zariadunia6328
6 ай бұрын
Ana GPA ya ngapi watu wqnquza unga mnawaita wana akili😊😊😊
waendelee kutupa burudani
Sasa jamani kama Zamaradi amekomenti vile kwa Sugu kuna shida gani?? Sioni shida labda kulikuwa bifu nzito kati yawo
@fatmaallyabdul1732
6 ай бұрын
Alikuwa anaafta saabu si unajua hakubali kuwa aliachwa na sugu
Zamaradi ni mshenzi sana 💯
@tecratzmwakyambomwakyambo7243
6 ай бұрын
Na wengi wanamsema
@homeandaway2811
6 ай бұрын
Yaani Faiza ana mapungufu kama binadamu wote tulivyo, najua sometimes Faiza mambo yake ni shida 😅 lakini Zama ni NYOKA mwenye sumu kali!@@tecratzmwakyambomwakyambo7243
Mtangazaji umetisha SUGE na RUGU 7:30
@ashurahatibu5069
6 ай бұрын
😅😅😅😅😅suge na rugu
Awajapigana
Ww faiza ww ni mtu mzima vingine uweunanyamaza,yann kutoana siri?
Subirini midoli ya Kichina iingie wanaume wahamie huko ugomvi utaisha😊😅😊😅
@fatmaallyabdul1732
6 ай бұрын
😂😂😂
@samwa9496
6 ай бұрын
😂😂😂😂😂
Watu mwembamba uwa WAONGO WAONGO Sana ndo havinenepi kabisaaa
@muzafarsharif9465
6 ай бұрын
vinanepa huko Chini Tu
@fridageorge2809
6 ай бұрын
Kama waongo waongo mbona mnashinda gym na madayati kibao na nyie mnataka kuwa waongo!!?
@neemayatosha1618
6 ай бұрын
@@fridageorge2809🤣🤣🤣 akikujibu nishtue
@umfahad2609
6 ай бұрын
@@fridageorge2809😂😂😂😂
Hahahahaaaa mtangazaji kachapia majina ya Sugu na Ruge,eti Suge na Rugu😂😂😂
@user-eo4hd8xu6d
6 ай бұрын
😂😂😂
@PhyinaElias-mu4wf
6 ай бұрын
Hahah😂
@judyngowi391
6 ай бұрын
Safi sna
@umfahad2609
6 ай бұрын
Majina yenyewe ni yakiajabu ndio mana.😂😂😂
Nyie ni wazazi acheni kina zuchu hizo drama
😅😅😅zamaaaa maji
itakuwa zama anamatatizo
Zamaradi ni muuaji wa chini
Vile umetaja Mangi nimekuja
I'm from Cuba and I don't understanding Swahili but hii imeenda 😂😂😂
@swabramohammad4487
6 ай бұрын
😂😂😂
@PhyinaElias-mu4wf
6 ай бұрын
You don't understand Swahili but hii imeendaa umeielewa🤣🤣
Watu wazima ovyooo.
Me nikajua zamaradi n mstarabu,mpole hadi nampendaga sanaaaa had wasani baadhi huwa wanasema zamaradi anajua kutuza siri anajua kushauri khaa kumbe ndivyo alivyooo 😮
@jescanicodemus
6 ай бұрын
ana roho mbaya wasanii wengi huwa wanamlalamikia
@PhyinaElias-mu4wf
6 ай бұрын
@@jescanicodemus Mmmh madogo,, khaaa uzaniae sie Kwa kwel
@rerisamba
6 ай бұрын
@@PhyinaElias-mu4wf🤣🤣🤣waa wacha tushangae jamani
Yan ukisoma comment ndo unajua watu wana magonjwa ya wivu na akili pia yan mnavo muattak zama utafikir mna ujua ukwel wivu Uta wauwa mbwa nyie 😅😅😅😅😅😅😅
@judyngowi391
6 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅😅
naoba number ya faiza tafadhali
@user-fy9pw2zr8l
6 ай бұрын
si uende kwenye bio ya insta
@MNHAMAOFICIAL
6 ай бұрын
SI TUMIII VP UNAWEZA NI HELP@@user-fy9pw2zr8l
Zamarandi ni yuda sana yani ni anakuua huku anacheka
@rerisamba
6 ай бұрын
🤣🤣🤣
@homeandaway2811
6 ай бұрын
💯 na ni kinyonga
Watu hugombana na kusameheana sioni shida ya Zama ya kale yamepita ila mwenye shida Ni Faizer mwenye sumu ya nyongo